Ndio sisi wote wanadamu, hasadi na uhasama ndio mapito yetu. Tumuombe Mwenyezi Mungu muumba mbingu na ardhi atupe nafsi zenye kuridhi kulhali jua au mvua. Shukrani kwa ujumbe maridhawa Bi Sabah.
Kumbe Sabah huu ujumbe wewe ulikua wa kwanza nakumbuka kipindi kile cha makuzi nishasikiliza hizi msg...those time east African melody nice msg, shukran shangazi..
Wimbo ulitungwa na omary mzee,,uliingiziwa sauti na khadija yusuphu ukaja kuimbwa rasmi na zuhura shabaani ukamilikiwa east African melody ukawa wimbo wa kundi hauna mwenyewe hivyo version ya pili akaja kuiimba sabaha saluum muchachu baadae khadija akaja kuimba version ya 3 hii ilitokana na ingia toka ya wasanii kwenye band
Swabaha twakupenda mpakaleo twasikiliza nyimpo nzuri sauti yenyeladha humtiwa nyoka pangoni❤❤❤
Ndio sisi wote wanadamu, hasadi na uhasama ndio mapito yetu.
Tumuombe Mwenyezi Mungu muumba mbingu na ardhi atupe nafsi zenye kuridhi kulhali jua au mvua.
Shukrani kwa ujumbe maridhawa Bi Sabah.
Inshaallh leo yetu kesho ya mungu🙏🙏🙏
Mashaalah mamaangu nakupenda sana mungu akuweke wewe ni fundi wa taarabu
Sabah, umenibamba sna na huo wimbo
Maashaallah mama ww Allah akupe maisha marefu hauna makuu na mtu
Nashangaa inakuwaje binadam tuna roho zaifu wabaya kweli wabaya binadam kweli wabaya🥰🥰🥰👏🔥🔥🔥
Walimshinda mungu. TUTAWAWEZA SISI . KHER UKAE NA PAKA.
hatari na nusu
Huna baya kwangu mama sabah kukupenda tu
Kumbe Sabah huu ujumbe wewe ulikua wa kwanza nakumbuka kipindi kile cha makuzi nishasikiliza hizi msg...those time east African melody nice msg, shukran shangazi..
Hata uwabebee turubai
Wimbo huu uliimbwa na Zuhura Shaaban pale Melody then akaimba khadija Yusuf na Sabah pia
Upo wapi mwenzetu..king of taarab ni rukia ramadhani ❤😂
@@sandukuladhahabuuhakika
Wimbo ulitungwa na omary mzee,,uliingiziwa sauti na khadija yusuphu ukaja kuimbwa rasmi na zuhura shabaani ukamilikiwa east African melody ukawa wimbo wa kundi hauna mwenyewe hivyo version ya pili akaja kuiimba sabaha saluum muchachu baadae khadija akaja kuimba version ya 3 hii ilitokana na ingia toka ya wasanii kwenye band
Halima
Nakupenda Sana maana uliniosha
Mashaalah taarab yenye mafunzo🎉
Raha ni leo kesho ni bahati
Apa uliimba👌❤❤
those days on TBC taifa radio with one band radio called MKULIMA
Mash aallah
Penda Sana vitu via zamani❤
Kabsa❤💯
The song is lovable , actually .
Nakupenda sana mama Sabaha
2023 Ataree 🔥🔥🔥🔥🔥♥️♥️
i used to love this song back in the early 2000s for the CCM PARTY CAMPAIGN
Hakika. ilikuwa ni bonge moja la wimbo kwa kipindi hicho na mpk sasa bado inapendwa
Eenh,,wasema si jema jitho la mja,
Allha akuweke inshaallh❤❤
Mashaallah
Alitop
binaadam mbaya jamani cjui tukoje.
kweli binaadamu wabaya
2023
❤❤ nakupenda
Mashallah ❤
Tamsana
Dude langu hili milele
Binadamu 🥰😍😍
hiinyimbo iko vizur
I love it
Endelea kusubscribe Channel yetu iliondoma kwa bahati mbaya na sasa tumerudi tena!
Just love w
Haaaaaa akika apo
❤❤
I like taarab
big up
2024🎉🎉🎉🎉🎉
Omari kopa
Uko
Vi
👌💕
2024
❤
Sp 210dc
Kweli kabisa
jahaz
Mustanira
Penda Sana vitu via zamani❤
Mashallah
💓💓🌺
Mashallah
Mashallah