Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Walaih hii nyimbo,huni gusa sana..naienzi hii nyimbo sana,huni ongoa wakati nina mzongo wa mawazo😁😁👍👍🙏🙏.allah atujalie ya kheri,atuepushe na yashari!!!!..
Vizazi na vizazi watackiliza hii nyimbo,iko poa sn.
Mashaallah mama nyimbo ya zama lakini Bado nikiisikiliza ni km ni ya juzi na maneno ambayo yanamafumbo
Nyimbo za zamani zilikuwa nzuri sana.
❤❤❤❤ SHARIF MOHAMED SHARIF MASHALLAH SKIZA VITU
Hii Ngoma haijawah kuchokwa na masikio yangu
Nimeielewa san
❤❤❤ UTAZIKWA NAYO ROHO MBAYA NA CHOYO ?TOKA MBIO
Mungu awazidishie inshaallah
Hizinyimbo zilikua tamu sana
Mashallah ❤❤
Naipenda Iko sawa
Nlienda likizo tanga mjini kwa dadaangu 2004 duuu nainjoi
na wapewe dozi lao,hao vijiba vya roho
Izo ni atari sanaa kipindi iyo acha kabisa
Hinyimbo nishida jaman
Pambeeee❤❤
Paaambe tu Asanteni
unalo lililokukaa na roho mbna hamjaupload,naitafuta sanaa
@@mwanakomboliganje4750
Inshallah allah akinijalia,uhai,uzima,pia nafasi ya fedha nitakuja kutalii zanzibar,nione madhari ya uko👁️👁️👁️🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪💯💯💯🦈🦈🦈🦂🦂🦂🦂....
Karibu sana
@@RioIpo kabisa
Vitu kwa mpango
Inanikumbusha mbali Sanaa hii nyimbo jamni
Zanzibar is in my list of destination ❤
2024❤❤🔥🔥🔥
Twende kazi
Hapi chacha
Zanzibar beutiff island of africa
Waaaa! Nani anigaramie safari za zanzibar niende nione hawa malkia wa kusema ukweli in lyrics? Nisibaki kubweka na windo lishaenda yawa!
Pambe hatar❤❤❤❤
❤ 2024
Very nice music
Kuna mtu hawezi kuingia huku kwenye mikito anaweza zimia by mr &Mrs Tausi wa Ghana Airport road location
Jitahidi
Kipind hich tumepanga yaan ukiweka tu wapangaji wengine wanajua umewawekea ilikuwa Raha sana
Hahahaha Zamani raha kweli yaani ukiiweka akili zao unawapigia mafumbo wao
umeoneèee
Mwenye kijiba cha roho akaugue hospitalini😂😂
Asante sana
Fitina mbaya
😅😅😅😊😅😊😅😅😅😅
Walaih hii nyimbo,huni gusa sana..naienzi hii nyimbo sana,huni ongoa wakati nina mzongo wa mawazo😁😁👍👍🙏🙏.allah atujalie ya kheri,atuepushe na yashari!!!!..
Vizazi na vizazi watackiliza hii nyimbo,iko poa sn.
Mashaallah mama nyimbo ya zama lakini Bado nikiisikiliza ni km ni ya juzi na maneno ambayo yanamafumbo
Nyimbo za zamani zilikuwa nzuri sana.
❤❤❤❤ SHARIF MOHAMED SHARIF MASHALLAH SKIZA VITU
Hii Ngoma haijawah kuchokwa na masikio yangu
Nimeielewa san
❤❤❤ UTAZIKWA NAYO ROHO MBAYA NA CHOYO ?TOKA MBIO
Mungu awazidishie inshaallah
Hizinyimbo zilikua tamu sana
Mashallah ❤❤
Naipenda Iko sawa
Nlienda likizo tanga mjini kwa dadaangu 2004 duuu nainjoi
na wapewe dozi lao,hao vijiba vya roho
Izo ni atari sanaa kipindi iyo acha kabisa
Hinyimbo nishida jaman
Pambeeee❤❤
Paaambe tu Asanteni
unalo lililokukaa na roho mbna hamjaupload,naitafuta sanaa
@@mwanakomboliganje4750
Inshallah allah akinijalia,uhai,uzima,pia nafasi ya fedha nitakuja kutalii zanzibar,nione madhari ya uko👁️👁️👁️🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪💯💯💯🦈🦈🦈🦂🦂🦂🦂....
Karibu sana
@@RioIpo kabisa
Vitu kwa mpango
Inanikumbusha mbali Sanaa hii nyimbo jamni
Zanzibar is in my list of destination ❤
2024❤❤🔥🔥🔥
Twende kazi
Hapi chacha
Zanzibar beutiff island of africa
Waaaa! Nani anigaramie safari za zanzibar niende nione hawa malkia wa kusema ukweli in lyrics? Nisibaki kubweka na windo lishaenda yawa!
Pambe hatar❤❤❤❤
❤ 2024
Very nice music
Kuna mtu hawezi kuingia huku kwenye mikito anaweza zimia by mr &Mrs Tausi wa Ghana Airport road location
Jitahidi
Kipind hich tumepanga yaan ukiweka tu wapangaji wengine wanajua umewawekea ilikuwa Raha sana
Hahahaha
Zamani raha kweli yaani ukiiweka akili zao unawapigia mafumbo wao
umeoneèee
Mwenye kijiba cha roho akaugue hospitalini😂😂
Asante sana
Fitina mbaya
😅😅😅😊😅😊😅😅😅😅