SICHAGUI SIBAGUI - ZANZIBAR TAARAB

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 сен 2024

Комментарии • 328

  • @miss_j224
    @miss_j224 3 месяца назад +4

    Mjomba kaaga na ametupa uchungu sana nyumbani, baba kaniimbia huu wimbo ndio maana Niko hapa.. Atakaye kuzika humjui.. 🇰🇪🇰🇪...❤️❣️

  • @silvestermogaka5126
    @silvestermogaka5126 Год назад +6

    Shairi limetungika mashalla, Nina niasafi sichagui sibagui siku nikafa nitakuepo kweli kujua mwenye alinizika
    Kwangu kutenda mema tu naenda zangu.
    Taaaamu 2023 nipo watu wa mkwiro, wasini Funzi islands kamata ngoma munje pwani subira salamu sikiaza mama

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 6 месяцев назад +2

    Asili haipotei nazikumbuka nazipenda nyimbo zote za East African Melody. Pia nawakumbuka Haji Moh’d, Lamania Shaaban, Zuhra Shaaban, Rukia Ramadhani na wengine nyote mlioshiriki kwenye sanaa hii tamu asanteni sana. 2024.

  • @ItihamuZaharani
    @ItihamuZaharani 4 месяца назад +4

    Still listening this so 2024 tujuane jmn

  • @yerikazungu1866
    @yerikazungu1866 2 года назад +11

    Nayabeba yote mabaya na mema,2022 bado zavuma, old is gold 💛👌💛

  • @carolyneogutu6489
    @carolyneogutu6489 7 месяцев назад +4

    2024 🎼📷🎶tamu Sana🥰

  • @latiphakasimu6481
    @latiphakasimu6481 4 года назад +23

    Haiwi baya moja lifute mema elfu moja ha hah aaa kaz kwenu sichagui sibagui ataenizika simjui kama bado unasikiliza hili goma kaliii xana 2020 gonga like hapo team sabaha salumu

    • @AmenyeMwampembwa
      @AmenyeMwampembwa 8 месяцев назад +3

      Iko poa sana

    • @EmilianaMfinanga
      @EmilianaMfinanga 7 месяцев назад

      Namkumbuka sana mama yangu kipenzi marehemu doto rashidi makangamka mpogoro hapo anavua nguo nguo zake❤

  • @lovelaynajimilove8096
    @lovelaynajimilove8096 4 месяца назад +3

    2024 kama mpya zamani hairudi❤

  • @mwanaherimohamedy6978
    @mwanaherimohamedy6978 6 лет назад +16

    Aiwi baya lifute mema elfu moja aiwi nikipanda mbegu ya wema mnaivunja, wenzangu amshangai nikiwatusi siumii jamani haaa amnisumbui mnayotaka hayawi jamani👌👌👌👌👌👌

  • @rayjay7017
    @rayjay7017 5 лет назад +21

    Jamani wa miaka ya 2000 mpo wapi enzi za abdhallah makame wa sauti ya Zanzibar masaa ya saa nane kwenye mirindimo

    • @RioIpo
      @RioIpo 3 года назад

      Ilikuwa mida ya chuoni ile dah mida inaenda

  • @salumramadhani5566
    @salumramadhani5566 3 года назад +8

    Ujumbe mzuri, na bado tunaendelea kuburudika mpaka leo hii 2021

  • @nyabisemaro2095
    @nyabisemaro2095 6 лет назад +18

    Viumbe Mnaninieeeee Aaaah nawaasa duniaa niyakupitaa Zuhura Shaaaabani kiukweli ulikuwa unaimba nyimbooo zenyee ujumbee unaoo dumuu Milelee Mfano hiii na ile ya Wema kama wema unaunzwaaa Ubarikiwe sanaaa

  • @iamlavalava
    @iamlavalava Год назад +3

    Old is gold

  • @iddikessi9300
    @iddikessi9300 Год назад +7

    I'm still listening this song in 2023

  • @aisherkhamis8268
    @aisherkhamis8268 3 года назад +5

    Piga kelele kwa wazee wa sasa wasichana wa zaman...!kifua nnacho cha mbele na nyuma maneno kuntu km 2po pamoja like

  • @sikuzanibusanya6423
    @sikuzanibusanya6423 3 года назад +3

    Nani Anasikiliza mwaka mpya tena tarehe 2 January 2021🎶🎶🎶🎵🎵🎵📢📢

  • @mariampetro2222
    @mariampetro2222 8 месяцев назад +3

    Wimbo mzuri sana 2024

  • @ibrahimsuleiman2183
    @ibrahimsuleiman2183 5 лет назад +19

    Laiti nyimbo km hizi zingelitumika kama dua'u mawaidha.
    Basi binaadamu tungelistarehe !
    Ah lkn whapi!

  • @mwanaidiatieno1260
    @mwanaidiatieno1260 2 года назад +5

    Old is gold taking me back Babu wangu mzee Ali Alma's alipenda sana Allah amlaze Pali pema

  • @NeemaKaifa
    @NeemaKaifa 3 месяца назад +3

    2024 haliwi baya moja lifute mema elfu moja

  • @missmuunasharifu2323
    @missmuunasharifu2323 7 лет назад +34

    "EWE MOLA WANGU NIZIDISHIE IMAANII"

  • @ferouztell5918
    @ferouztell5918 5 лет назад +117

    Jamani zamani raha sana nani anackiliza hii ngoma 2019 😀

    • @amnemkubwa7353
      @amnemkubwa7353 5 лет назад +2

      Mimi apa😂😂🤣🤣😄😃😉🤗😍😍

    • @tumajuma6917
      @tumajuma6917 5 лет назад +1

      🙋

    • @azizaabdi1265
      @azizaabdi1265 5 лет назад +2

      Nipo hapa nasikiliza saa hii tareh 17 /3/2019 🎧🎵🎵🎵

    • @priscalyimo5804
      @priscalyimo5804 5 лет назад

      Ferouz Tell mie kifua nnacho cha mbele na nyuma nyabeba yote na naamini mola yu pamoja nami ninaesubiri hahaaa yenu nayavumilia maneno hayachubui weee maneno kuntuuu apana chezea zamani weee

    • @yusrayusrat6916
      @yusrayusrat6916 5 лет назад

      Ferouz Tell namm npo

  • @bashirmkambala2407
    @bashirmkambala2407 4 года назад +5

    Yakale ni zahabu, kama unaikubali hii nyimbo na bado unasikiliza 2020 gonga like yako hapa ili tuwe pamoja

  • @suleimanmohamedramadhan3370
    @suleimanmohamedramadhan3370 3 года назад +16

    Old never get a crack take me back on 2002 on my childhood memories 🤗🤗🤗

  • @saidikivugo960
    @saidikivugo960 4 года назад +16

    2020 mko wapi picha nnayotendewa haaaa

  • @awadhmasud3150
    @awadhmasud3150 5 лет назад +10

    Wema hakupata nyuki mwenye asali nitapata mimi dhalili

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 4 года назад +4

    Huu Wimbo wankumbusha nkiwa mdogo 😙😙😙😙

  • @simsal8628
    @simsal8628 4 года назад +9

    Kweli mwana dada hii wimbo imenivutia sana. Ni raha sana.

  • @tumajuma6917
    @tumajuma6917 5 лет назад +14

    Aahaa kazi kwenu nategemea Karima....old is gold❤💣🎧🔥

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 5 лет назад +16

    Zilipendwa hapa kazi kwenda mbele 2019 bado tuna watch tu

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 7 лет назад +14

    Asante Zuhura kitamu hakiishi hamu.

    • @paulmkude7037
      @paulmkude7037 Год назад

      hizi ni nyimbo ambao zilo kuwa na maadili HUWA hazichuji kabisa nzuli kusikiliza watu ni walikuwa naakili ya kutulia nakifikilia.miziki mzuli hawa wasasa kazi yao kufikilia maungoooo ya wanawake tu hakuna mwanamziki wa sasa atawezakutungamziki kama huuu

  • @khadijabeib181
    @khadijabeib181 9 лет назад +8

    Wallah hii nyimbo inanikumbusha mbali Sanaaa sichagui sibagui wallah

  • @zuleikhaahmed7220
    @zuleikhaahmed7220 2 года назад +4

    Sichagui sibagui atakaye ni zika simjui!!! 💖💯💖

  • @jumaforodha2567
    @jumaforodha2567 5 лет назад +16

    Nyimbo za zamani ndio mnzuri sana

  • @aishayusuf4318
    @aishayusuf4318 8 лет назад +16

    wakat Taarab music ilikuwa taarab kweli👌

  • @ummymtema1750
    @ummymtema1750 8 лет назад +17

    kazi kwenu napata miye ckosi...ewe mola wng nizidishie imani

  • @khadijaahmed6420
    @khadijaahmed6420 Год назад +1

    2023
    Naamini Mola yuu pamoja nami ninayesubiri!!!swadakta

  • @bebyrux1224
    @bebyrux1224 7 лет назад +10

    Nambari moja .Baraka fm 95:5 with habiba matano kila jumamosi .i miss those days😍

  • @abdulrashidi9110
    @abdulrashidi9110 5 лет назад +11

    kitu hichooo wacha weee ....always old is gold ....mamy zuhura Shaaban I miss u mom its long time bt still sweet song

  • @hamidumpiga6283
    @hamidumpiga6283 Год назад +1

    Mungu amlaze shem wangu maali pema pepon amin,mama mosi alipenda sana wimbo huu.

  • @nyabisemaro2095
    @nyabisemaro2095 7 лет назад +3

    Jamani kusema kweli Miziki ya Zamani ilikuwa miziki naipenda Sana hiiii Miziki ya Zamani

  • @faridwawili4922
    @faridwawili4922 6 лет назад +5

    aaaa kazi kwenu punguzeni ubnfsi nastahamili vishindo navihimili''''''''''''''''hahaaaaaàa.
    ... asante sana zuhura shabani nakumbuka mbali sanaaaaaaaaa

  • @leilashaban3519
    @leilashaban3519 5 лет назад +22

    NASTAMILI VISHINDO NA VIHIMILI MIE KIFUA NINACHO CHA MBELE NA NYUMA NAYABEBA YOTE MABAYA NA MEMA

  • @mwisakihaji3782
    @mwisakihaji3782 3 года назад +4

    Hizi ndizo nyimbo bora kabisa hazina matuzi hutokwi jasho ukitaka kucheza ni mwendo wa ku enjoy tu hakuna karaha 2021

  • @milhatbela7306
    @milhatbela7306 8 лет назад +4

    sichagui cbagui atakae nizika cmjuii ❤naa amini mola yuko pamoja namii

  • @SuleimanKalongo-k9u
    @SuleimanKalongo-k9u 8 месяцев назад

    Hata Mimi uyu mwimbaji wa shairi hili la sichagui sibagui,,aki Linanipa amani katika maisha yangu kuzidi kua na subra wallahi

  • @nellyndowa5642
    @nellyndowa5642 3 года назад +1

    Mungu niwekee mie hili jimbooo tulicheze tarehe hyooo 👌👌👌

  • @lailahasan2200
    @lailahasan2200 4 года назад +10

    Hakunaga mfano,, old is gold 2019

  • @sabuhassabah7636
    @sabuhassabah7636 5 лет назад +1

    Nikweli Cjui Nani atanizikaa mm lazma nikuwe mzuri tabia Roho safi cz nikifaa mm najuwa kila mtuu atanikumbuka mm aunty mzur clean heart 👍😊😂😘

  • @coronakundi8650
    @coronakundi8650 6 лет назад +12

    Zuhura baby,uko wapi now days.sauti yako isipotelee huko.

  • @mwanaidymussa8937
    @mwanaidymussa8937 5 лет назад +2

    Good #haijunzwi tazwil lil walmwengu nimefudhu sinun tabia yangu

  • @ricardoortizqomboc2184
    @ricardoortizqomboc2184 2 года назад +5

    Surely old is gold it never rust , It reminds me mwenge Daresalaam when I visited my brother

  • @fwzehfwfw1520
    @fwzehfwfw1520 9 лет назад +12

    kweli dunia niya kupita kibri siungwana

  • @leilashaban3519
    @leilashaban3519 5 лет назад +6

    NIZUSHIENI UONGO PEMBENI NISENGENYENI MDOMO SIFUNGUI MOYONI SINA KINYONGO ATA HUKUMU MANANI ASIYEZIDI WA LAI NALIJUA LENU LENGO AMTHAMINI ITHANI MWACHEKA NAMI KWA TUMBO BAYA LENU NI LOHONI

  • @mariampembe604
    @mariampembe604 3 года назад +1

    Tunaoskiliza 2021 tujuaneeeee

  • @silasodongo9334
    @silasodongo9334 7 лет назад +8

    Inanikumbusha mwaka wa 2006 tukiwa na ndugu wangu jamu , na marehemu Omari.

  • @abuudhabi8949
    @abuudhabi8949 7 лет назад +19

    Peace and love usichague ucbague atakae kuzka humjui

  • @georgenjuguna4957
    @georgenjuguna4957 8 лет назад +13

    Nikisha kufa,huzuni kwenu mimi nishapumuzika. Hofu kwenu msiponizika mie shughuli sina.

  • @ashurakambangwa2087
    @ashurakambangwa2087 7 лет назад +10

    mkinitusi siumii wenzangu

  • @salmamasoud6055
    @salmamasoud6055 7 лет назад +8

    Asante mamy zuhra shabanii hiyo sauti ya kumtoa nyoka pangonii

    • @fatmamajora7230
      @fatmamajora7230 5 лет назад

      maneno kuntu yanaishi miaka mia aaa kazi nategea karima

    • @hamza89945
      @hamza89945 5 лет назад

      salma masoud whatsapp +447507409996

  • @leylasaid355
    @leylasaid355 5 лет назад +6

    Wallah hii nyimbo haishi utamu duuh!!

  • @khadijanyevu5866
    @khadijanyevu5866 2 года назад +3

    Nyimbo zilizokua na maadili sio hizi za sasa fujo tu...niliipenda na bado naipenda

  • @FatumaKondo-qg5fz
    @FatumaKondo-qg5fz Год назад +1

    Napenda Sana mie jaman hizi nyimbo zazamaman❤❤❤

  • @veronicamaganga8737
    @veronicamaganga8737 4 года назад +1

    Huu wimbo hauwezi kuchuja hata siku moja, kweli mlifanya kazi sana

  • @SuleimanKalongo-k9u
    @SuleimanKalongo-k9u 8 месяцев назад

    Mungu amzishie uyu mwana dada kipaji hicho Cha maneno mazito ya utu

  • @mudhengitomkahindi8198
    @mudhengitomkahindi8198 9 лет назад +5

    Sina lakusema muhogo semeni nyinyi vitunguu kwa kweli sichagui sibagui! I love this song.

  • @لمىالرشيدي-ب4ل
    @لمىالرشيدي-ب4ل 4 года назад +1

    ,aamnalenu ambalo linawachoma dah kitambo sn lkn aiishi hamu nakupenda sn zuhura shabani

  • @kari_ahmad06
    @kari_ahmad06 4 года назад +6

    mda wa chuoni uwo kavaeni kanzu upes apo roho ikiskia izi nyimbo mida iyo bhana unaanza kukereka ila kama unamini kama izi nyimbo nazo zimekulea gonga like twende p1

  • @taturamadhani6776
    @taturamadhani6776 3 года назад +1

    2021 twende sawa kama mnasikiliza

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 4 года назад +2

    2022 tuko wengi

  • @mohamedmasanga9134
    @mohamedmasanga9134 5 лет назад

    Sauti tulivu ikisindikizwa na ala zilizopangika aah hongereni Sana hatuna mamlaka ya kurudisha siku zilizopita basi tumebaki na machozi machoni enzi hizo DUNIA imepowa

  • @konamiboyfool
    @konamiboyfool 2 года назад +2

    Hiyo instrumental iko sawa sana

  • @leilashaban3519
    @leilashaban3519 5 лет назад +2

    Nia safi ziondoei sababu nimekinai

  • @salmaxalmesaid2251
    @salmaxalmesaid2251 4 года назад +11

    This song's are sweet than the present songs

    • @mudyboko2567
      @mudyboko2567 4 года назад

      ppppp0000000p6plp0pp0ppp0ppp0pppppppp000poppppppppppppp0000000p6plp0pp0ppp0ppp0pppppppp000popppppppppppppppppppppp6p5ppppppp5ppppp55pp5popppo7ppppp55opppppppp5p55pp5p555ppp5p5pp5p55p5pp5p5p5pp5pp5556

    • @mudyboko2567
      @mudyboko2567 4 года назад +1

      5

  • @sebastiansalamba8236
    @sebastiansalamba8236 6 лет назад +3

    Watoto was Zanzibar bwana si haba

  • @loveleasamson7952
    @loveleasamson7952 3 года назад +1

    2021 taraabu moja Kali hatari

  • @qaboossaid2259
    @qaboossaid2259 5 лет назад +14

    Zanzibar will always be the best ever

  • @chidmashine6115
    @chidmashine6115 5 лет назад

    Daaa nakumbuka siku ya harus yangu ziligongwa twaarab izi hatar 1999

    • @RioIpo
      @RioIpo 5 лет назад +1

      Chid mashine Ila nyimbo hii imetoka miaka ya 2000's

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 4 года назад +3

    2020 I'm here.

  • @khadijagunyu1566
    @khadijagunyu1566 5 лет назад +7

    Hapo sasa sibaghui wala sichagui

  • @Mhg-p5h
    @Mhg-p5h 2 месяца назад +1

    Nyimbo nzuli sana

  • @لمىالرشيدي-ب4ل
    @لمىالرشيدي-ب4ل 4 года назад

    Nastahamili vishindo navihili 2020 naisikiliza mdani ya oman

  • @latifayash3679
    @latifayash3679 5 лет назад +2

    nia safi siondoi sababu nimekinaiii

  • @نصرىعبدالله-ع2ك
    @نصرىعبدالله-ع2ك 6 лет назад +3

    Aaanaaumia kwetu zenj Nipo Oman nikiskia Nyimbo kamaizi Natamani kwetu

    • @halmakinty962
      @halmakinty962 6 лет назад

      نصرى عبدالله siku zita fika inshaalah mola akulinde niko kama wewe

    • @halmakinty962
      @halmakinty962 6 лет назад

      Naamini Rabi kweli subira ni ngumu mkinisuza skosi wakunizika jamani thanks for the upload hongera dadayetu kwa shairi la maana

    • @teefahbaby352
      @teefahbaby352 6 лет назад

      نصرى عبدالله mm. mwnyw npo nyumbn 2stahml inshllh 2tamlz 2trd nymbn

    • @mussaismailbadawy2686
      @mussaismailbadawy2686 5 лет назад

      Assalaam alykum dada

  • @martinlutalala4010
    @martinlutalala4010 4 года назад +4

    Hapo ndio mwazo wapenzi.mtaelewa.

  • @mwanawetu2168
    @mwanawetu2168 5 лет назад +1

    Sibagui sichagui kwangu naona cheo naona kimoja tu

  • @SalumuAlly-d9q
    @SalumuAlly-d9q 8 месяцев назад

    Nyie acheni tu hii nyimbo ni funzo kubwa sana walahi vile

  • @jumakhamis5053
    @jumakhamis5053 8 месяцев назад

    Nikisikiliza hizi nyimbo zinanikumbusha mbali sana

  • @AminaSalehe-i8s
    @AminaSalehe-i8s 8 месяцев назад

    Nyieeee 🤸 naamini mola yupamoja nami ninae subili 👌

  • @CoalitionControl
    @CoalitionControl 7 месяцев назад

    🎉🎉🎉🎉 wimbo nzuri sichagui waaaaaa ❤

  • @maryammaryam-jp2zg
    @maryammaryam-jp2zg 7 лет назад +1

    naipendaga hii jomoni ₹₹👌👌 wenzangu hamshangai wenzangu.... mkinitusi siumii wenzanguuuu

  • @stephenchasia45
    @stephenchasia45 2 месяца назад +1

    Haiwi nikipanda mbegu ya wema mna😂😂😂

  • @latiphakasimu6481
    @latiphakasimu6481 4 года назад +1

    Wa pwani wenxangu

  • @fwzehfwfw1520
    @fwzehfwfw1520 9 лет назад +6

    kweli dunia niya kupita

  • @abdallahkhamis2639
    @abdallahkhamis2639 Год назад

    Yani aloimba hii nyimbo cjui alikutwa nanin cjui duhh mana kaipa kweli

  • @abedkarume9088
    @abedkarume9088 4 года назад

    Ewe mola wangu nizidushie imani.

  • @swabrakaisar3212
    @swabrakaisar3212 3 года назад

    Mimi nasikiliza Leo tarehe 10/12/2020

  • @leilashaban3519
    @leilashaban3519 5 лет назад

    HAAA NAWAASA DUNIA NIYAKUPITA HAAA MKINISUSA SIKOSI WAKUNIZIKA SICHAGUI SIBAGUI ATAENIZIKA SIMJUI

  • @fahadabubaker7007
    @fahadabubaker7007 8 лет назад +5

    Haiwi baya moja lifute mema elfu moja

    • @fatumaathumani6676
      @fatumaathumani6676 3 года назад

      Naamini molanguzo ya subira ina malipo ndy maana ndugu zangu mkitafuta shari kwanguhaipo

  • @ramzanqarim4977
    @ramzanqarim4977 3 года назад +1

    Nani anasikiza hii nyimbo 2021?