Asili haipotei nazikumbuka nazipenda nyimbo zote za East African Melody. Pia nawakumbuka Haji Moh’d, Lamania Shaaban, Zuhra Shaaban, Rukia Ramadhani na wengine nyote mlioshiriki kwenye sanaa hii tamu asanteni sana. 2024.
Haiwi baya moja lifute mema elfu moja ha hah aaa kaz kwenu sichagui sibagui ataenizika simjui kama bado unasikiliza hili goma kaliii xana 2020 gonga like hapo team sabaha salumu
Viumbe Mnaninieeeee Aaaah nawaasa duniaa niyakupitaa Zuhura Shaaaabani kiukweli ulikuwa unaimba nyimbooo zenyee ujumbee unaoo dumuu Milelee Mfano hiii na ile ya Wema kama wema unaunzwaaa Ubarikiwe sanaaa
Ferouz Tell mie kifua nnacho cha mbele na nyuma nyabeba yote na naamini mola yu pamoja nami ninaesubiri hahaaa yenu nayavumilia maneno hayachubui weee maneno kuntuuu apana chezea zamani weee
hizi ni nyimbo ambao zilo kuwa na maadili HUWA hazichuji kabisa nzuli kusikiliza watu ni walikuwa naakili ya kutulia nakifikilia.miziki mzuli hawa wasasa kazi yao kufikilia maungoooo ya wanawake tu hakuna mwanamziki wa sasa atawezakutungamziki kama huuu
NIZUSHIENI UONGO PEMBENI NISENGENYENI MDOMO SIFUNGUI MOYONI SINA KINYONGO ATA HUKUMU MANANI ASIYEZIDI WA LAI NALIJUA LENU LENGO AMTHAMINI ITHANI MWACHEKA NAMI KWA TUMBO BAYA LENU NI LOHONI
mda wa chuoni uwo kavaeni kanzu upes apo roho ikiskia izi nyimbo mida iyo bhana unaanza kukereka ila kama unamini kama izi nyimbo nazo zimekulea gonga like twende p1
Sauti tulivu ikisindikizwa na ala zilizopangika aah hongereni Sana hatuna mamlaka ya kurudisha siku zilizopita basi tumebaki na machozi machoni enzi hizo DUNIA imepowa
Mjomba kaaga na ametupa uchungu sana nyumbani, baba kaniimbia huu wimbo ndio maana Niko hapa.. Atakaye kuzika humjui.. 🇰🇪🇰🇪...❤️❣️
Shairi limetungika mashalla, Nina niasafi sichagui sibagui siku nikafa nitakuepo kweli kujua mwenye alinizika
Kwangu kutenda mema tu naenda zangu.
Taaaamu 2023 nipo watu wa mkwiro, wasini Funzi islands kamata ngoma munje pwani subira salamu sikiaza mama
Asili haipotei nazikumbuka nazipenda nyimbo zote za East African Melody. Pia nawakumbuka Haji Moh’d, Lamania Shaaban, Zuhra Shaaban, Rukia Ramadhani na wengine nyote mlioshiriki kwenye sanaa hii tamu asanteni sana. 2024.
Still listening this so 2024 tujuane jmn
Nayabeba yote mabaya na mema,2022 bado zavuma, old is gold 💛👌💛
2024 🎼📷🎶tamu Sana🥰
Haiwi baya moja lifute mema elfu moja ha hah aaa kaz kwenu sichagui sibagui ataenizika simjui kama bado unasikiliza hili goma kaliii xana 2020 gonga like hapo team sabaha salumu
Iko poa sana
Namkumbuka sana mama yangu kipenzi marehemu doto rashidi makangamka mpogoro hapo anavua nguo nguo zake❤
2024 kama mpya zamani hairudi❤
Aiwi baya lifute mema elfu moja aiwi nikipanda mbegu ya wema mnaivunja, wenzangu amshangai nikiwatusi siumii jamani haaa amnisumbui mnayotaka hayawi jamani👌👌👌👌👌👌
Jamani wa miaka ya 2000 mpo wapi enzi za abdhallah makame wa sauti ya Zanzibar masaa ya saa nane kwenye mirindimo
Ilikuwa mida ya chuoni ile dah mida inaenda
Ujumbe mzuri, na bado tunaendelea kuburudika mpaka leo hii 2021
Viumbe Mnaninieeeee Aaaah nawaasa duniaa niyakupitaa Zuhura Shaaaabani kiukweli ulikuwa unaimba nyimbooo zenyee ujumbee unaoo dumuu Milelee Mfano hiii na ile ya Wema kama wema unaunzwaaa Ubarikiwe sanaaa
Old is gold
I'm still listening this song in 2023
Piga kelele kwa wazee wa sasa wasichana wa zaman...!kifua nnacho cha mbele na nyuma maneno kuntu km 2po pamoja like
Nani Anasikiliza mwaka mpya tena tarehe 2 January 2021🎶🎶🎶🎵🎵🎵📢📢
Wimbo mzuri sana 2024
Laiti nyimbo km hizi zingelitumika kama dua'u mawaidha.
Basi binaadamu tungelistarehe !
Ah lkn whapi!
Ibrahim Suleiman
Old is gold taking me back Babu wangu mzee Ali Alma's alipenda sana Allah amlaze Pali pema
2024 haliwi baya moja lifute mema elfu moja
"EWE MOLA WANGU NIZIDISHIE IMAANII"
Nia safi ninayo sababu nimekinahi👌👌👌
Jamani zamani raha sana nani anackiliza hii ngoma 2019 😀
Mimi apa😂😂🤣🤣😄😃😉🤗😍😍
🙋
Nipo hapa nasikiliza saa hii tareh 17 /3/2019 🎧🎵🎵🎵
Ferouz Tell mie kifua nnacho cha mbele na nyuma nyabeba yote na naamini mola yu pamoja nami ninaesubiri hahaaa yenu nayavumilia maneno hayachubui weee maneno kuntuuu apana chezea zamani weee
Ferouz Tell namm npo
Yakale ni zahabu, kama unaikubali hii nyimbo na bado unasikiliza 2020 gonga like yako hapa ili tuwe pamoja
Tupo pa1 nasikiliza 2020
Fresh Amri mchambuka tupo P 1
Old never get a crack take me back on 2002 on my childhood memories 🤗🤗🤗
Is true @suleiman Mohamed ramadhan
2020 mko wapi picha nnayotendewa haaaa
Wema hakupata nyuki mwenye asali nitapata mimi dhalili
Huu Wimbo wankumbusha nkiwa mdogo 😙😙😙😙
Kweli mwana dada hii wimbo imenivutia sana. Ni raha sana.
Aahaa kazi kwenu nategemea Karima....old is gold❤💣🎧🔥
Ok
Zilipendwa hapa kazi kwenda mbele 2019 bado tuna watch tu
Asante Zuhura kitamu hakiishi hamu.
hizi ni nyimbo ambao zilo kuwa na maadili HUWA hazichuji kabisa nzuli kusikiliza watu ni walikuwa naakili ya kutulia nakifikilia.miziki mzuli hawa wasasa kazi yao kufikilia maungoooo ya wanawake tu hakuna mwanamziki wa sasa atawezakutungamziki kama huuu
Wallah hii nyimbo inanikumbusha mbali Sanaaa sichagui sibagui wallah
Sichagui sibagui atakaye ni zika simjui!!! 💖💯💖
Nyimbo za zamani ndio mnzuri sana
wakat Taarab music ilikuwa taarab kweli👌
kazi kwenu napata miye ckosi...ewe mola wng nizidishie imani
2023
Naamini Mola yuu pamoja nami ninayesubiri!!!swadakta
❤️
Nambari moja .Baraka fm 95:5 with habiba matano kila jumamosi .i miss those days😍
Pauline Matano
Vindonge kumi moto zamani hairudi
nakumbuka Pauline matano chombeza time.
kitu hichooo wacha weee ....always old is gold ....mamy zuhura Shaaban I miss u mom its long time bt still sweet song
⁹
Mungu amlaze shem wangu maali pema pepon amin,mama mosi alipenda sana wimbo huu.
Jamani kusema kweli Miziki ya Zamani ilikuwa miziki naipenda Sana hiiii Miziki ya Zamani
aaaa kazi kwenu punguzeni ubnfsi nastahamili vishindo navihimili''''''''''''''''hahaaaaaàa.
... asante sana zuhura shabani nakumbuka mbali sanaaaaaaaaa
NASTAMILI VISHINDO NA VIHIMILI MIE KIFUA NINACHO CHA MBELE NA NYUMA NAYABEBA YOTE MABAYA NA MEMA
Hizi ndizo nyimbo bora kabisa hazina matuzi hutokwi jasho ukitaka kucheza ni mwendo wa ku enjoy tu hakuna karaha 2021
sichagui cbagui atakae nizika cmjuii ❤naa amini mola yuko pamoja namii
Hata Mimi uyu mwimbaji wa shairi hili la sichagui sibagui,,aki Linanipa amani katika maisha yangu kuzidi kua na subra wallahi
Mungu niwekee mie hili jimbooo tulicheze tarehe hyooo 👌👌👌
Hakunaga mfano,, old is gold 2019
Nikweli Cjui Nani atanizikaa mm lazma nikuwe mzuri tabia Roho safi cz nikifaa mm najuwa kila mtuu atanikumbuka mm aunty mzur clean heart 👍😊😂😘
Zuhura baby,uko wapi now days.sauti yako isipotelee huko.
Ziripedwa kazi kwedabere na wapenda
Good #haijunzwi tazwil lil walmwengu nimefudhu sinun tabia yangu
Surely old is gold it never rust , It reminds me mwenge Daresalaam when I visited my brother
Am in Nairobi listening
kweli dunia niya kupita kibri siungwana
NIZUSHIENI UONGO PEMBENI NISENGENYENI MDOMO SIFUNGUI MOYONI SINA KINYONGO ATA HUKUMU MANANI ASIYEZIDI WA LAI NALIJUA LENU LENGO AMTHAMINI ITHANI MWACHEKA NAMI KWA TUMBO BAYA LENU NI LOHONI
Asiyepigiwa Ramli
Zamani kulikuwa kuna taarabu sio has a hizi
Sisemi kitu #
Tunaoskiliza 2021 tujuaneeeee
Inanikumbusha mwaka wa 2006 tukiwa na ndugu wangu jamu , na marehemu Omari.
Peace and love usichague ucbague atakae kuzka humjui
abuu dhabi 👌👌👌👌👍👊❤
Swadktaaa
Upo kaka?
Nikisha kufa,huzuni kwenu mimi nishapumuzika. Hofu kwenu msiponizika mie shughuli sina.
haha kiswahili mufti pongezi.
Hapo cha-cha
Hahahahaha
mkinitusi siumii wenzangu
Asante mamy zuhra shabanii hiyo sauti ya kumtoa nyoka pangonii
maneno kuntu yanaishi miaka mia aaa kazi nategea karima
salma masoud whatsapp +447507409996
Wallah hii nyimbo haishi utamu duuh!!
Nyimbo zilizokua na maadili sio hizi za sasa fujo tu...niliipenda na bado naipenda
Napenda Sana mie jaman hizi nyimbo zazamaman❤❤❤
Huu wimbo hauwezi kuchuja hata siku moja, kweli mlifanya kazi sana
Mungu amzishie uyu mwana dada kipaji hicho Cha maneno mazito ya utu
Sina lakusema muhogo semeni nyinyi vitunguu kwa kweli sichagui sibagui! I love this song.
dah hakika maneno kuntu hayo
,aamnalenu ambalo linawachoma dah kitambo sn lkn aiishi hamu nakupenda sn zuhura shabani
mda wa chuoni uwo kavaeni kanzu upes apo roho ikiskia izi nyimbo mida iyo bhana unaanza kukereka ila kama unamini kama izi nyimbo nazo zimekulea gonga like twende p1
2021 twende sawa kama mnasikiliza
2022 tuko wengi
Wewe kiboko
Sauti tulivu ikisindikizwa na ala zilizopangika aah hongereni Sana hatuna mamlaka ya kurudisha siku zilizopita basi tumebaki na machozi machoni enzi hizo DUNIA imepowa
Sanaaa
Hiyo instrumental iko sawa sana
Nia safi ziondoei sababu nimekinai
This song's are sweet than the present songs
ppppp0000000p6plp0pp0ppp0ppp0pppppppp000poppppppppppppp0000000p6plp0pp0ppp0ppp0pppppppp000popppppppppppppppppppppp6p5ppppppp5ppppp55pp5popppo7ppppp55opppppppp5p55pp5p555ppp5p5pp5p55p5pp5p5p5pp5pp5556
5
Watoto was Zanzibar bwana si haba
2021 taraabu moja Kali hatari
Zanzibar will always be the best ever
Daaa nakumbuka siku ya harus yangu ziligongwa twaarab izi hatar 1999
Chid mashine Ila nyimbo hii imetoka miaka ya 2000's
2020 I'm here.
We are here together 2020
Hapo sasa sibaghui wala sichagui
Nyimbo nzuli sana
Nastahamili vishindo navihili 2020 naisikiliza mdani ya oman
nia safi siondoi sababu nimekinaiii
Aaanaaumia kwetu zenj Nipo Oman nikiskia Nyimbo kamaizi Natamani kwetu
نصرى عبدالله siku zita fika inshaalah mola akulinde niko kama wewe
Naamini Rabi kweli subira ni ngumu mkinisuza skosi wakunizika jamani thanks for the upload hongera dadayetu kwa shairi la maana
نصرى عبدالله mm. mwnyw npo nyumbn 2stahml inshllh 2tamlz 2trd nymbn
Assalaam alykum dada
Hapo ndio mwazo wapenzi.mtaelewa.
Sibagui sichagui kwangu naona cheo naona kimoja tu
Nice song
Nyie acheni tu hii nyimbo ni funzo kubwa sana walahi vile
Nikisikiliza hizi nyimbo zinanikumbusha mbali sana
Nyieeee 🤸 naamini mola yupamoja nami ninae subili 👌
🎉🎉🎉🎉 wimbo nzuri sichagui waaaaaa ❤
naipendaga hii jomoni ₹₹👌👌 wenzangu hamshangai wenzangu.... mkinitusi siumii wenzanguuuu
Haiwi nikipanda mbegu ya wema mna😂😂😂
Wa pwani wenxangu
kweli dunia niya kupita
Yani aloimba hii nyimbo cjui alikutwa nanin cjui duhh mana kaipa kweli
kwan huyu muimbai anaitwaje jmn
Ewe mola wangu nizidushie imani.
Mimi nasikiliza Leo tarehe 10/12/2020
HAAA NAWAASA DUNIA NIYAKUPITA HAAA MKINISUSA SIKOSI WAKUNIZIKA SICHAGUI SIBAGUI ATAENIZIKA SIMJUI
Haiwi baya moja lifute mema elfu moja
Naamini molanguzo ya subira ina malipo ndy maana ndugu zangu mkitafuta shari kwanguhaipo
Nani anasikiza hii nyimbo 2021?
Nipo hapa
@@upendomaseta327 pamoja sana
Naipend