LANGU JICHO - ZANZIBAR TAARAB

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 сен 2024

Комментарии • 234

  • @fatiFATI-d5f
    @fatiFATI-d5f 8 месяцев назад +5

    Bi khadija napenda sanaaa nyimbo zako

  • @KhadijaJuma-l6x
    @KhadijaJuma-l6x 7 месяцев назад +4

    Kama ndo imetoka leo vilè, khadija yusuph pongezi kwako dada unajua ety

  • @swaumumustaphamapondanga4707
    @swaumumustaphamapondanga4707 5 лет назад +10

    Nyimbo inatia faraja sn unapo kwazika ...asante bi khadija

  • @SwaumMadezi
    @SwaumMadezi 3 часа назад

    Langu jicho nyimbo yangu hii,naipenda hatar

  • @sarabello4328
    @sarabello4328 6 лет назад +5

    Yangu macho,.mkono na shavu langu taarabu za kale zina mafunzo Sana,.old is gold!

  • @mercyshakyz8707
    @mercyshakyz8707 4 года назад +9

    Wapo baadhi ya watu wameumbwa na muweza nyoyo imejaa kiu.. Ya kugomnana na watu... Duh... Langu jicho tyuuuuu.. Pambeeeeeee...

  • @asiakinia9344
    @asiakinia9344 3 года назад +5

    2020 nikiwa Oman muscat napata raha za ki home home yaani cjutii kbs kupoteza mb zangu 💃💃💃💃💃💃💃💃

  • @amda6676
    @amda6676 4 года назад +4

    I like the song very much....yataniepuka mengi nikiufunga mdomo...

  • @hawasadi6400
    @hawasadi6400 3 года назад +2

    Rahaa saanaaa muimbajiii upoojuuu yoteehayo nikweliiii maana binadam kwakudatiliyana nishidaa

  • @saadalacha5579
    @saadalacha5579 6 лет назад +11

    Ninapigana na tumbo langu, nataka kuona hatima yangu, ipi inaendelea ipi inaendeleaaaa

    • @RioIpo
      @RioIpo 4 года назад

      Hhhhhh teyna vipi naendelea

  • @ZaituniAthumani-r1g
    @ZaituniAthumani-r1g 10 месяцев назад +1

    Nimeipenda hii taarb ni Khadija mashallah mng akuweke maneno yamenifundisha meng

  • @rashidmapande4105
    @rashidmapande4105 Год назад +2

    Sisi watu wa Pwani hizi ndio nyimbo zetu,zinaburudisha,zinafunza ...

  • @asmasoud6498
    @asmasoud6498 6 лет назад +13

    Yanini shidawenzangu wakati raha nyingisana katuletea karima

  • @ReymasasaidSaid-kh2bk
    @ReymasasaidSaid-kh2bk 10 месяцев назад +2

    Hii nyimbo naipenda sana Wala haichuji

  • @zamdamohamed2845
    @zamdamohamed2845 4 года назад +2

    Langu jicho mkono na shavu langu yaniepuke mengi

  • @helsmilerandrew2563
    @helsmilerandrew2563 8 лет назад +5

    naipenda sana hi nyimbo sijui kujielezea hira naipenda

  • @collinslusweti
    @collinslusweti 3 года назад +2

    Langu jicho langu jicho langu jicho, sinyanyui mdomo wangu, nanyamaza nanyamaza nanyamaza Masha a Allah.

  • @rahmamwishehe2924
    @rahmamwishehe2924 5 лет назад +3

    Sijui niseme nn ila kama bado kama mm miaka kama yotee kuisikilizaa laik zenu kwa sanaaa sauti maneno na vitendo vyangu inagusaa haswaaa

  • @raymondjulius7052
    @raymondjulius7052 3 года назад +2

    Hi taaraabu kiukweli ukiisikiliza lazima ujifunze kitu to

  • @maimunaomary7135
    @maimunaomary7135 7 лет назад +12

    Naipenda sana hii nyimbo hasa ninapokerwa nikiusikiliza hasira huniisha na kuendelea na maisha, naweza kustahimili ndiyo maana nanyamaza hahahahah good life LANGU JICHO

  • @leilaleila4799
    @leilaleila4799 5 лет назад +2

    We adijaaaa weweee umenikosha sanaaaa nikazikuishi nawatunatabiazaooo kuziwezaa

  • @salmaomary979
    @salmaomary979 3 года назад +1

    Sivunji heshima yang kwamambo yasonamana wakapata lakusema ....sant zanzibar ntawakumbuka daimaa

  • @jacksondismas4109
    @jacksondismas4109 Год назад +2

    Majaliwa ya rabhana

  • @suzanamhando2611
    @suzanamhando2611 5 лет назад +4

    Heshima yangu na utu sitaki kuuupoteza waja wakanidharau hatari sana haka kanyimbo

  • @RioIpo
    @RioIpo 6 лет назад +5

    Mwenzenu nna damu mbaya natambua kipi nilofanya baya na kuchukiwa

  • @shahnaomary5454
    @shahnaomary5454 5 лет назад +30

    penda sn huu wimbo 2019 wp jmn like zenu

  • @habiba0022
    @habiba0022 7 лет назад +11

    jamaniiii raha sana song pambe Sana niwimbo wasikunyingi lakini haujachuja mpaka Leo jamani langu hicho mieeeeeee

  • @salmangwale5413
    @salmangwale5413 6 лет назад +5

    Kweli Hujakosea bi khadija sauti ya chiriku wakuacheee

  • @zeedymontanamontana7316
    @zeedymontanamontana7316 5 лет назад +4

    Naipenda sana hii nyimbo nimejifunza mengi wallah,,khadija mungu hakuweke wallhah

  • @mtondokibibi897
    @mtondokibibi897 6 лет назад +3

    Sigombani na wenzangu mi muungwana sana..safi sana bi khadija yusufu mm penda ww

  • @saudaabdallah8468
    @saudaabdallah8468 5 лет назад +3

    Nikisikiliza hii taarab namkumbuka rafiki yangu aliefariki kwa ajali tulikuwa wadogo enzi hizo

  • @raifamussa1522
    @raifamussa1522 3 года назад +1

    Naweza kustahamili, ndio maana nanyamaza 2021 bado iko juu

  • @mathewmghanga3705
    @mathewmghanga3705 4 года назад +2

    Hongera nyie Waja wake Mola!!!!Mko juuu tuuu sanaaa

  • @azzaalmaamry76
    @azzaalmaamry76 5 лет назад +3

    Wimbo huu nakumbuka mbali 2000 nipo dar miaka hairud nyuma miss saana dar

    • @RioIpo
      @RioIpo Год назад

      Wakati nyimbo imetoka 2007

  • @fortunatanazareno6145
    @fortunatanazareno6145 3 года назад +2

    Yaani nasikia kulia kila nikisikiliza huu wimbo hakika alijuwa kutoa funzo

    • @rahimalewe2835
      @rahimalewe2835 2 года назад

      uko na ndamu mbaya kama mm😭😭😭😭

  • @mejakichenje
    @mejakichenje 9 месяцев назад

    nikushkuru mungu2 kwasasa hekimana busara zikowap kamazaman hakika dunia yenda nawatuwake chakuomba nimwishomwema2 by meja kichenje

  • @jolvinaloyce3399
    @jolvinaloyce3399 5 лет назад +2

    Heshima yangu na utu sitaki kuipoteza

  • @yusrayusrat6916
    @yusrayusrat6916 5 лет назад +6

    2019 dah najilowazaga tu mwenyew

  • @aishaallyb8718
    @aishaallyb8718 6 лет назад +5

    pambe Tyuuuuuuuuu.hupo msemo wa zamani Mdomo hulimponza Kichwa.

  • @mbeuzaseleman7392
    @mbeuzaseleman7392 4 года назад +5

    Tuliopenda huu wimbo 17/4/2020tujuaje huku covid 19 tukiiwaza

    • @mdqweqwe251
      @mdqweqwe251 Год назад

      😂😂😂😂😂😂😂🙂🙂

  • @wagwankingston8913
    @wagwankingston8913 Год назад +1

    Hekima na busara ❤❤

  • @jolvinaloyce3399
    @jolvinaloyce3399 5 лет назад +4

    Kuna kero za ajabu zinapotokea nasikiliza wimbo huu mashairi yake jamani naweza kustaimili ndo maana nanyamaza langu jicho(Asante Hadija Yusufu)Heshima yangu na hutu sitaki kuipoteza.

  • @mariamkanyungu3150
    @mariamkanyungu3150 5 лет назад +3

    Jaman wimbo unanikumbusha mbali sana big up

  • @aminamustapha3826
    @aminamustapha3826 5 лет назад +4

    Hakuna kama jahazi tenaaaaa

  • @ggjghh6245
    @ggjghh6245 6 лет назад +10

    Jamani hii nyimbo nikisikiliza machozi yananitoka ina nikumbusha mbali sana yani nakumbuka miaka ya 2000

  • @silvestermogaka5126
    @silvestermogaka5126 Год назад

    Taaaamu 2023 watu wa kikoneni,shika adabu,fingirika,mvindeni,majoreni , bounty nyumba sita,munje pwani na watu wa magaoni wote nawapenda buuree

  • @saburyyusuph2118
    @saburyyusuph2118 5 лет назад +4

    masha Allah wimbo umejaa ujembe kuntu

  • @nicodemusmigiro9644
    @nicodemusmigiro9644 4 года назад +3

    Raha kweli!

  • @aryanamendes8700
    @aryanamendes8700 4 года назад +2

    2020nipo Hapa nanyamaza mkono na meshavu langu

  • @eddieramso7003
    @eddieramso7003 Год назад +1

    Nikiwa Stockholm nasikiza hii ngoma Yenye miaka dahar bado hipo na ujumbe wake

  • @leilaleila4799
    @leilaleila4799 5 лет назад +5

    huuwimbo pambeeee atariii

  • @Moon-wf2ec
    @Moon-wf2ec 4 года назад +2

    Nyimbo zurisana

  • @azzaalmaamry76
    @azzaalmaamry76 6 лет назад +4

    Naangalia maisha yangu hilo ndo jambo la maana

  • @aminajuma2625
    @aminajuma2625 5 лет назад +1

    Naipenda sana hii nyimbo maneno yake kuntu

    • @nasorochamangwana1423
      @nasorochamangwana1423 5 лет назад

      Amina Juma hiinyimboinanikumbushakwe2tanga jumbezakenimezielewasana

  • @saidytomasy6652
    @saidytomasy6652 5 лет назад +1

    nami namkumbuka marehu mama arikuwa anapenda tarabu Sana asa zamani

  • @antonfaru3600
    @antonfaru3600 5 лет назад +5

    Kwani hawa wasnii maneno walikuwa wanayatoa wapi?na awe mdgo kwangu hat akinitukana tuli nitizamaaa

  • @salmaomary979
    @salmaomary979 3 года назад +1

    Naweza kustamil 2020

  • @janetmayala3690
    @janetmayala3690 5 лет назад +9

    2019 tuonane

  • @hsm3646
    @hsm3646 12 лет назад +9

    maneno ya kweli maisha yako ndo muhimu

  • @faudhiamallata3074
    @faudhiamallata3074 4 года назад +4

    Like zangu 2020

  • @nafisamohamad3182
    @nafisamohamad3182 6 лет назад +4

    Yani kama alvyonigusia mm kuimba hii nyimbo, langu ni jicho haswa nahofia nisinyanyue mdomo nikajitia matatizoni, bora niyaangalie tu kisha nitabaki kuyakumbuka naeka mboni yangu iwe kumbu kumbu yakujionea ila mdomo naufunga.

  • @rosemarysebea8522
    @rosemarysebea8522 5 лет назад +1

    Nyimbo nzuri sana mwanan
    Nikiiskiliza machozi yana nitoka

  • @nkalamially5357
    @nkalamially5357 7 месяцев назад +1

    Enzi hairudi mashallah

  • @marylymo7709
    @marylymo7709 4 года назад +2

    Wale wa 2020 mko wapi

  • @seifushabani9686
    @seifushabani9686 4 года назад +6

    2020 oyoooooooo

  • @maymunamohamed2053
    @maymunamohamed2053 4 года назад +2

    Pambe sanaa

  • @ashurakambangwa2087
    @ashurakambangwa2087 7 лет назад +20

    sitagombana na mtu kurushiana maneno heshima likapotea

  • @duniakaongo1488
    @duniakaongo1488 9 лет назад +13

    Nyimbo hii nikiisikia nakumbuka mbali sana

    • @meckmajiko7617
      @meckmajiko7617 8 лет назад +3

      haswa heshima kwa kila mtu upoo sahihi.

    • @sheikhaalharasi2480
      @sheikhaalharasi2480 6 лет назад

      Dunia Kaongo wapi??

    • @antonfaru3600
      @antonfaru3600 5 лет назад

      Nyimbo ya taarabu iliyopata tuzo ,Dada huyu anajua kighani si masikhara pongezi kea mzee Yusuf

    • @emilianamfinanga3397
      @emilianamfinanga3397 4 года назад

      Namkumbuka marehemu mama yangu!mungu akupe pepo nzuri!

  • @mjunicharles1198
    @mjunicharles1198 5 месяцев назад

    Mwwnzenu nadamu mbaya natambua👌👌👌👌🇺🇬

  • @ashazam1605
    @ashazam1605 4 года назад +2

    My fovorite song

  • @winfridachaula1847
    @winfridachaula1847 2 года назад +1

    Iko safi dana

  • @hawaghasia8417
    @hawaghasia8417 6 месяцев назад

    Wimbo una ujumbe wenye Mafunzo, pia unafariji na kutia moyo

  • @LJ-vy2nt
    @LJ-vy2nt 7 лет назад +1

    nyimbo nzuri sana,Bin Seif unaweza nipatia nyimbo alimba khadija kopa nazanzibar stars album ya alokutwika...sikumbuki jina vizuri ila ni kama jawabu ya safii kama sijakosea..plse

  • @sophiacharles7111
    @sophiacharles7111 8 лет назад +5

    naipenda sanaa

  • @mwanakombobasho4762
    @mwanakombobasho4762 3 года назад +1

    hapo sawa 😙

  • @maryamhamza5546
    @maryamhamza5546 6 лет назад +1

    Manshallah ulijua kuimba humu na mafunzo pia yaan naupenda sana

  • @bahatirashidi3439
    @bahatirashidi3439 4 года назад +2

    2020 tupo au

  • @nasibndaro6281
    @nasibndaro6281 2 года назад

    mwenzenu nna Damu mbaya natambua kipi nlofanya kibaya na kuchukiwa .Ni kazi kuishi na watu na tabia zao kuziweza .

  • @aminaali7072
    @aminaali7072 6 лет назад +2

    Yani anipenda xana hii nyimbo

  • @safiaame7558
    @safiaame7558 5 лет назад +1

    Naupend xn huu wimbo

  • @KhadijaJuma-l6x
    @KhadijaJuma-l6x 7 месяцев назад

    Nyimbo tamu mnò hii, inakupa raha haswa yhaan jmn

  • @AuntyKaira-zz6qm
    @AuntyKaira-zz6qm Год назад

    Naweza kustahamil ndomana nanyamaza

  • @JackZulaDaJaime
    @JackZulaDaJaime 2 месяца назад

    Siwezi kunsahu ❤

  • @zarinaqasim9714
    @zarinaqasim9714 5 лет назад +2

    😭😭😭Tunskumbuk mbali wengine

  • @munaameenyarabiameenharosi5402
    @munaameenyarabiameenharosi5402 6 лет назад +2

    Kweli bihadija napiga matumbo langu upo juu bibie

  • @DullahKilua
    @DullahKilua 6 месяцев назад

    Daaah sauti kama ya bint mdogo umejaliwa saut

  • @kiluwasalum5002
    @kiluwasalum5002 6 лет назад +4

    daa jmn hii nyimbo atl

  • @AishaMsami-du8vm
    @AishaMsami-du8vm Год назад

    Haswaaa,maneno kuntu,Wala hayaishi ladha

  • @specialbreed6509
    @specialbreed6509 7 лет назад +3

    Nami pia LANGU DJITHO!

  • @halimakasonta1400
    @halimakasonta1400 4 года назад +7

    2020 hiyoooo

  • @gloryandrea9554
    @gloryandrea9554 2 года назад

    So mpz wa tarabu lakini huu mmmmh nakpenda mpaka nalia kwakweli

  • @rehemaosward1260
    @rehemaosward1260 6 лет назад +4

    unanikumbusha mbali xna...

  • @issahasan1299
    @issahasan1299 Год назад

    Nakumbuka mbali sana nikisikia nyimbo hii

  • @user-bu3lg2sc7x
    @user-bu3lg2sc7x 2 месяца назад

    Izi sasa ndo taarab..
    Maneno ya busara taha chizi atarevuka😂😂😂😂

  • @rahaaa1845
    @rahaaa1845 6 лет назад +1

    Nikiifunga mdomo tuliii nikiingalia

  • @SalumuAlly-d9q
    @SalumuAlly-d9q 7 месяцев назад

    Mama hakuna anaekuweza

  • @khadijambuta4360
    @khadijambuta4360 7 лет назад +8

    penda sna huu wimbo😍😍

  • @azzaalmaamry76
    @azzaalmaamry76 6 лет назад +1

    Kazi kuishi na watu na tabia kuziweza

  • @aisharayi8412
    @aisharayi8412 7 лет назад +4

    asanteee

    • @mejakichenje5386
      @mejakichenje5386 5 лет назад

      Daa siongei Zaid yamachoz kwa mamaangu kipenz kwakwel alikua anaupenda sana

  • @mariamngonyani5458
    @mariamngonyani5458 4 года назад

    Kweli kabisa , mi napigana na tumbo langu nijue hatima yangu 🙏