Naipenda sana hii nyimbo hasa ninapokerwa nikiusikiliza hasira huniisha na kuendelea na maisha, naweza kustahimili ndiyo maana nanyamaza hahahahah good life LANGU JICHO
Kuna kero za ajabu zinapotokea nasikiliza wimbo huu mashairi yake jamani naweza kustaimili ndo maana nanyamaza langu jicho(Asante Hadija Yusufu)Heshima yangu na hutu sitaki kuipoteza.
Yani kama alvyonigusia mm kuimba hii nyimbo, langu ni jicho haswa nahofia nisinyanyue mdomo nikajitia matatizoni, bora niyaangalie tu kisha nitabaki kuyakumbuka naeka mboni yangu iwe kumbu kumbu yakujionea ila mdomo naufunga.
nyimbo nzuri sana,Bin Seif unaweza nipatia nyimbo alimba khadija kopa nazanzibar stars album ya alokutwika...sikumbuki jina vizuri ila ni kama jawabu ya safii kama sijakosea..plse
Bi khadija napenda sanaaa nyimbo zako
Kama ndo imetoka leo vilè, khadija yusuph pongezi kwako dada unajua ety
Nyimbo inatia faraja sn unapo kwazika ...asante bi khadija
Langu jicho nyimbo yangu hii,naipenda hatar
Yangu macho,.mkono na shavu langu taarabu za kale zina mafunzo Sana,.old is gold!
Wapo baadhi ya watu wameumbwa na muweza nyoyo imejaa kiu.. Ya kugomnana na watu... Duh... Langu jicho tyuuuuu.. Pambeeeeeee...
2020 nikiwa Oman muscat napata raha za ki home home yaani cjutii kbs kupoteza mb zangu 💃💃💃💃💃💃💃💃
I like the song very much....yataniepuka mengi nikiufunga mdomo...
Rahaa saanaaa muimbajiii upoojuuu yoteehayo nikweliiii maana binadam kwakudatiliyana nishidaa
Ninapigana na tumbo langu, nataka kuona hatima yangu, ipi inaendelea ipi inaendeleaaaa
Hhhhhh teyna vipi naendelea
Nimeipenda hii taarb ni Khadija mashallah mng akuweke maneno yamenifundisha meng
Sisi watu wa Pwani hizi ndio nyimbo zetu,zinaburudisha,zinafunza ...
Yanini shidawenzangu wakati raha nyingisana katuletea karima
Hii nyimbo naipenda sana Wala haichuji
Langu jicho mkono na shavu langu yaniepuke mengi
naipenda sana hi nyimbo sijui kujielezea hira naipenda
Langu jicho langu jicho langu jicho, sinyanyui mdomo wangu, nanyamaza nanyamaza nanyamaza Masha a Allah.
Sijui niseme nn ila kama bado kama mm miaka kama yotee kuisikilizaa laik zenu kwa sanaaa sauti maneno na vitendo vyangu inagusaa haswaaa
safi sana
Langu jicho ya walimwengu Mengi
Sauti hiyo inanigusa.
Hi taaraabu kiukweli ukiisikiliza lazima ujifunze kitu to
Naipenda sana hii nyimbo hasa ninapokerwa nikiusikiliza hasira huniisha na kuendelea na maisha, naweza kustahimili ndiyo maana nanyamaza hahahahah good life LANGU JICHO
maashaallah
Nafarijika Sana nikiickia hii taarabu naipenda Sana kwakweli
wallah taarab hiz zikipigwa unatuLia tuLiiiiiii unaskiLiza ujumbe8-) z
We adijaaaa weweee umenikosha sanaaaa nikazikuishi nawatunatabiazaooo kuziwezaa
Sivunji heshima yang kwamambo yasonamana wakapata lakusema ....sant zanzibar ntawakumbuka daimaa
Majaliwa ya rabhana
Heshima yangu na utu sitaki kuuupoteza waja wakanidharau hatari sana haka kanyimbo
Mwenzenu nna damu mbaya natambua kipi nilofanya baya na kuchukiwa
Pambe sana
penda sn huu wimbo 2019 wp jmn like zenu
Kwer
Alijtahdi maneno yke mazuri Kwan sio mda wakujibizana
jamaniiii raha sana song pambe Sana niwimbo wasikunyingi lakini haujachuja mpaka Leo jamani langu hicho mieeeeeee
Mashaallah yaani burudani
Yani tamu sana hiiii nyimbo
Safi
😊😊😊😊😊
Kweli Hujakosea bi khadija sauti ya chiriku wakuacheee
Naipenda sana hii nyimbo nimejifunza mengi wallah,,khadija mungu hakuweke wallhah
Sigombani na wenzangu mi muungwana sana..safi sana bi khadija yusufu mm penda ww
Nikisikiliza hii taarab namkumbuka rafiki yangu aliefariki kwa ajali tulikuwa wadogo enzi hizo
Asante
Pole
Asante
Naweza kustahamili, ndio maana nanyamaza 2021 bado iko juu
Okjamani
Hongera nyie Waja wake Mola!!!!Mko juuu tuuu sanaaa
Wimbo huu nakumbuka mbali 2000 nipo dar miaka hairud nyuma miss saana dar
Wakati nyimbo imetoka 2007
Yaani nasikia kulia kila nikisikiliza huu wimbo hakika alijuwa kutoa funzo
uko na ndamu mbaya kama mm😭😭😭😭
nikushkuru mungu2 kwasasa hekimana busara zikowap kamazaman hakika dunia yenda nawatuwake chakuomba nimwishomwema2 by meja kichenje
Heshima yangu na utu sitaki kuipoteza
2019 dah najilowazaga tu mwenyew
sana tu mamyyyyyyy
pambe Tyuuuuuuuuu.hupo msemo wa zamani Mdomo hulimponza Kichwa.
Tuliopenda huu wimbo 17/4/2020tujuaje huku covid 19 tukiiwaza
😂😂😂😂😂😂😂🙂🙂
Hekima na busara ❤❤
Kuna kero za ajabu zinapotokea nasikiliza wimbo huu mashairi yake jamani naweza kustaimili ndo maana nanyamaza langu jicho(Asante Hadija Yusufu)Heshima yangu na hutu sitaki kuipoteza.
Mashallah wimbo una maana kubwa sana
Kweli kabisa yaani huu wimbo acha tu!
Jaman wimbo unanikumbusha mbali sana big up
Hakuna kama jahazi tenaaaaa
Jamani hii nyimbo nikisikiliza machozi yananitoka ina nikumbusha mbali sana yani nakumbuka miaka ya 2000
Gg Jghh nimejifunzamengikwenyehiinyimbo
Taaaamu 2023 watu wa kikoneni,shika adabu,fingirika,mvindeni,majoreni , bounty nyumba sita,munje pwani na watu wa magaoni wote nawapenda buuree
masha Allah wimbo umejaa ujembe kuntu
Raha kweli!
2020nipo Hapa nanyamaza mkono na meshavu langu
Nikiwa Stockholm nasikiza hii ngoma Yenye miaka dahar bado hipo na ujumbe wake
Iko poa sana
huuwimbo pambeeee atariii
Nyimbo zurisana
Naangalia maisha yangu hilo ndo jambo la maana
Kweli heshima itapotea
Naipenda sana hii nyimbo maneno yake kuntu
Amina Juma hiinyimboinanikumbushakwe2tanga jumbezakenimezielewasana
nami namkumbuka marehu mama arikuwa anapenda tarabu Sana asa zamani
Kwani hawa wasnii maneno walikuwa wanayatoa wapi?na awe mdgo kwangu hat akinitukana tuli nitizamaaa
Yani maneno yenye thaman mno
Naweza kustamil 2020
2019 tuonane
maneno ya kweli maisha yako ndo muhimu
pambe tu kukaa kimya nijibu LA mjinga
iwafikie visokorokwinyo wote
naipendaga sn
naipenda atar
nataman nikuone bi hadija
Like zangu 2020
Yani kama alvyonigusia mm kuimba hii nyimbo, langu ni jicho haswa nahofia nisinyanyue mdomo nikajitia matatizoni, bora niyaangalie tu kisha nitabaki kuyakumbuka naeka mboni yangu iwe kumbu kumbu yakujionea ila mdomo naufunga.
Hakika ni nyimbo ya busara
Hakika hii nyimbo hatar
Nyimbo nzuri sana mwanan
Nikiiskiliza machozi yana nitoka
😭😭😭🙏🙏
Enzi hairudi mashallah
Wale wa 2020 mko wapi
2020 oyoooooooo
Pambe sanaa
sitagombana na mtu kurushiana maneno heshima likapotea
Kweli kimya ni majibu
Nyimbo hii nikiisikia nakumbuka mbali sana
haswa heshima kwa kila mtu upoo sahihi.
Dunia Kaongo wapi??
Nyimbo ya taarabu iliyopata tuzo ,Dada huyu anajua kighani si masikhara pongezi kea mzee Yusuf
Namkumbuka marehemu mama yangu!mungu akupe pepo nzuri!
Mwwnzenu nadamu mbaya natambua👌👌👌👌🇺🇬
My fovorite song
Nakumbuka kitambo tandale1 mpaka leosichokki kuusikiliza
Wimbo smart
Iko safi dana
Wimbo una ujumbe wenye Mafunzo, pia unafariji na kutia moyo
nyimbo nzuri sana,Bin Seif unaweza nipatia nyimbo alimba khadija kopa nazanzibar stars album ya alokutwika...sikumbuki jina vizuri ila ni kama jawabu ya safii kama sijakosea..plse
naipenda sanaa
Nice song
Sophia Charles Aswa maneno kuntuuu
Asha
hapo sawa 😙
Manshallah ulijua kuimba humu na mafunzo pia yaan naupenda sana
2020 tupo au
mwenzenu nna Damu mbaya natambua kipi nlofanya kibaya na kuchukiwa .Ni kazi kuishi na watu na tabia zao kuziweza .
Yani anipenda xana hii nyimbo
hii ndio kudra yangu majaliwa yarabana......
Naupend xn huu wimbo
Nyimbo tamu mnò hii, inakupa raha haswa yhaan jmn
Naweza kustahamil ndomana nanyamaza
Siwezi kunsahu ❤
😭😭😭Tunskumbuk mbali wengine
Kweli bihadija napiga matumbo langu upo juu bibie
Ata akinichokoza...nitamzarau
Daaah sauti kama ya bint mdogo umejaliwa saut
daa jmn hii nyimbo atl
Haswaaa,maneno kuntu,Wala hayaishi ladha
Nami pia LANGU DJITHO!
2020 hiyoooo
So mpz wa tarabu lakini huu mmmmh nakpenda mpaka nalia kwakweli
unanikumbusha mbali xna...
Nakumbuka mbali sana nikisikia nyimbo hii
Izi sasa ndo taarab..
Maneno ya busara taha chizi atarevuka😂😂😂😂
Nikiifunga mdomo tuliii nikiingalia
Mama hakuna anaekuweza
penda sna huu wimbo😍😍
Khadija Mbuta
Kazi kuishi na watu na tabia kuziweza
asanteee
Daa siongei Zaid yamachoz kwa mamaangu kipenz kwakwel alikua anaupenda sana
Kweli kabisa , mi napigana na tumbo langu nijue hatima yangu 🙏