RICH MITINDO AFUNGUKA KUFUMANIWA NA MPENZI MWINGINE HOTELINI, KUACHANA NA WOLPER
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- RICH MITINDO AFUNGUKA KUFUMANIWA NA MPENZI MWINGINE HOTELINI, KUACHANA NA WOLPER
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
MAASHAAALLAH UMEPENDEZA UKIENDELEA KUJISITIRI HIVI BASI TUNAPELEKA POSA ARUSHA
ACHANA NA VINJUKI HUO SIO MWILI WA KILA MTU AUONE MADAME ALIAH
Richi anajielewa pamoja na mama p hongereni sana sana
Uko vizuri mtoto wangu mungu awajaalie ndowa yenu amen
Mtoto wetu umependeza aliyaa mashallllah naic
Watu wanajua kufwatilia maisha ya watu kuliko kwenda kuangalia afya zao...baba p umejua kuwajibu....
Hongera Rich kwa kujiamini juu ya mapenzi yenu pendaneni msisikilize maneno ya watu
Mungu awalinde tunawapendaaa!
Tena amekuzalia mtoto chombo kweli masha'allah
Binadamu wabaya jmn duh😢😢😢😢
Rich hongera sana unaakili mno wengi wameacha na ndoa kufa kabisaaaa kwaajili ya mneno tu
Umejua kuwa komesha wapuuzi hao
Congratulations Richie God bless you end wolper
Kweli kk waambiy kunawatu awatakagi kuona furaha ya wengine.nakuunga mkono asili miya.roho itawapasuka sana.nazaidi muwachome wakome.wasaulike hata walipotokey .I'm 🇨🇩🇨🇩🇸🇦🇸🇦
Hongera umejibu kiume mungu awalindie ndoa yenu
Masha Allah Richi unaongea vizuli sana watu hawaendi kuona watu wanapendana
Penzi lenu lidumu mama p na baba p na cc mungu tusaidie penzi letu lidumu Mimi na baba p wangu
Aliyah aki vaa hii anakaa vizuri sio zile masuruali na kichwa wazii na forehead kama FUSOO
Safi sana sana rich
Smart don't let them .
watu hawapendi furah za watu mungu awalinde daim wapambe wazidi kuumia
Baba p mwambie mama p atulie kwanza kuna watu hawataki kuona mnapendana ebu mleeni p jamani mnapendezena sana acheni wahangaike na mwisho wanyamaze wenyewe
Rich na Wolper nawapenda bureeeeee+P more love from me#wizards en witches they're there to destroy#Wolper,Rich ako na akili na mature plzzzzz don't listen to those who want to destroy your family#love Rich as you love baby P❤❤
Mm nawaombea kwa Mungu mzidi kupendana
Mimi nawashangaa wambea.mimi huwezi niambia chochote kuhusu mume wangu wakati ndani tunaelewana utajua mwenyewe.wala sisikilizi.
Hongera huo ndio uanamume
Rich ni mwanamme mxur bora Sanaa mashaalah
Me nakupenda unawavo wajibu t HB wangu haunaga maneno mengi Yani unaongea point kbs hongera mama na baba walio kulea
Wisdom richi mitindo
Hongera sn. Umeongea point ❤️
Mashallah unaongea vzr kaka watu hawapendi mnavyopendana
Kabisa broo
😍😍😍
Big up ba p
Nawewe Rich usitulishe matango pori hapa hiyo yakusema huyu mwanamke katembea nawanaume kibao niwewe tu umeyasema halafu inawezekana kwel tu video zipo zitavuja tu kuishi pamoja sio tatizo
Alia kua na vaa ivo izi Siku zote unapendeza
Ila bina dam wabay sasa uaribu mausiano v ya mwenzio ili iweje
Hongeraaaaaaaa Sana baba p
Mngu awadumishe mulee pamoja mtoto wenu .binadam mtihani
Bora kinadida watulie jmn shemeg kasema wambea pishanjia haachwi mtuhapa mtasubiri sana.
Haswaaa
Wanaazaga na kukataa hivi
Huyo dada aripata mume wakujierewa mwenye tabia nzuri kweri wanaume wote wangekua kamA wewe doa hazingekua zinavunjika awo wanawake wasingekua nausongo wamawazo ju yawaume zao
Hongera baba p na mama p
Una haya kweli mpaka uvae glasses
Kaka unavyoelezea mnavyopendana mpaka unatia wivu
Muoane basiii tucheze harus#ila bnadam watu wabayaa
Achana nao hawana la kusema
Acana nao wambeya. Ao
Rich ana akili
Walimwengu sio watu
KAMA VIDEO IPO IPO TU, ITAONEKNA 😂😂
Mbona jamaa kama anamnyenyekea?
Ndiyo mapenzi
Wewe ulitakaje kwa mfano
Kumuita mtu kwenye interview paka awe Ana.skendo.mxiiiiuuuu yaan kipindi chako Aliya hakipishan na shiladu fyuuuu
Sauti ya stan bakora😅🤣
We rich ni kweli Jacky ni mlevi sana malaya sana auwezi kuishi nae ata ufaanyaje
Unachoongea sio kwel jack anaupendo ametulia uwaga wanaume tu alokua anawapata walkua wanamtenda 😮
Aliah umejaa nn maana sio pigo zako
Kumuita mtu kwenye interview paka awe Ana.skendo.mxiiiiuuuu yaan kipindi chako Aliya hakipishan na shiladu fyuuuu
Nazma mrenbo Sana ww bint