RICH MITINDO AFUNGUKA KUFUMANIWA NA MPENZI MWINGINE HOTELINI, KUACHANA NA WOLPER

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • RICH MITINDO AFUNGUKA KUFUMANIWA NA MPENZI MWINGINE HOTELINI, KUACHANA NA WOLPER
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 61

  • @aminamodi8927
    @aminamodi8927 2 года назад +12

    MAASHAAALLAH UMEPENDEZA UKIENDELEA KUJISITIRI HIVI BASI TUNAPELEKA POSA ARUSHA
    ACHANA NA VINJUKI HUO SIO MWILI WA KILA MTU AUONE MADAME ALIAH

  • @arafakassela5398
    @arafakassela5398 2 года назад +10

    Richi anajielewa pamoja na mama p hongereni sana sana

  • @nadirdoody7955
    @nadirdoody7955 5 месяцев назад

    Uko vizuri mtoto wangu mungu awajaalie ndowa yenu amen

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat4300 2 года назад +5

    Mtoto wetu umependeza aliyaa mashallllah naic

  • @rosejacob4477
    @rosejacob4477 4 месяца назад

    Watu wanajua kufwatilia maisha ya watu kuliko kwenda kuangalia afya zao...baba p umejua kuwajibu....

  • @jenifajuma5395
    @jenifajuma5395 2 года назад +4

    Hongera Rich kwa kujiamini juu ya mapenzi yenu pendaneni msisikilize maneno ya watu

  • @vickystellah3194
    @vickystellah3194 2 года назад +7

    Mungu awalinde tunawapendaaa!

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 2 года назад +2

    Tena amekuzalia mtoto chombo kweli masha'allah

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir9 2 года назад +9

    Binadamu wabaya jmn duh😢😢😢😢

  • @evachuwa116
    @evachuwa116 2 года назад +3

    Rich hongera sana unaakili mno wengi wameacha na ndoa kufa kabisaaaa kwaajili ya mneno tu

  • @maidamwaipopo9603
    @maidamwaipopo9603 2 года назад +9

    Umejua kuwa komesha wapuuzi hao

  • @nellyflo9736
    @nellyflo9736 2 года назад +5

    Congratulations Richie God bless you end wolper

  • @aminasilvia4345
    @aminasilvia4345 2 года назад

    Kweli kk waambiy kunawatu awatakagi kuona furaha ya wengine.nakuunga mkono asili miya.roho itawapasuka sana.nazaidi muwachome wakome.wasaulike hata walipotokey .I'm 🇨🇩🇨🇩🇸🇦🇸🇦

  • @salmasaid1521
    @salmasaid1521 Год назад

    Hongera umejibu kiume mungu awalindie ndoa yenu

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 2 года назад +3

    Masha Allah Richi unaongea vizuli sana watu hawaendi kuona watu wanapendana

  • @gracengunga348
    @gracengunga348 2 года назад

    Penzi lenu lidumu mama p na baba p na cc mungu tusaidie penzi letu lidumu Mimi na baba p wangu

  • @IbrahimAli-jr4gy
    @IbrahimAli-jr4gy 2 года назад +2

    Aliyah aki vaa hii anakaa vizuri sio zile masuruali na kichwa wazii na forehead kama FUSOO

  • @jenifaranthony869
    @jenifaranthony869 2 года назад +1

    Safi sana sana rich

  • @rosemarymunyi5035
    @rosemarymunyi5035 2 года назад +5

    Smart don't let them .

  • @stelabrent6056
    @stelabrent6056 2 года назад

    watu hawapendi furah za watu mungu awalinde daim wapambe wazidi kuumia

  • @bitunisebarua3884
    @bitunisebarua3884 2 года назад +2

    Baba p mwambie mama p atulie kwanza kuna watu hawataki kuona mnapendana ebu mleeni p jamani mnapendezena sana acheni wahangaike na mwisho wanyamaze wenyewe

  • @lydiahboyani1021
    @lydiahboyani1021 2 года назад +1

    Rich na Wolper nawapenda bureeeeee+P more love from me#wizards en witches they're there to destroy#Wolper,Rich ako na akili na mature plzzzzz don't listen to those who want to destroy your family#love Rich as you love baby P❤❤

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 Год назад

    Mm nawaombea kwa Mungu mzidi kupendana

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 5 месяцев назад

    Mimi nawashangaa wambea.mimi huwezi niambia chochote kuhusu mume wangu wakati ndani tunaelewana utajua mwenyewe.wala sisikilizi.

  • @mariasalomemelchiorkaigaru1974
    @mariasalomemelchiorkaigaru1974 2 года назад +3

    Hongera huo ndio uanamume

  • @lailatlasway7107
    @lailatlasway7107 2 года назад

    Rich ni mwanamme mxur bora Sanaa mashaalah

  • @chalamuhamad2195
    @chalamuhamad2195 Год назад

    Me nakupenda unawavo wajibu t HB wangu haunaga maneno mengi Yani unaongea point kbs hongera mama na baba walio kulea

  • @junelatifa2618
    @junelatifa2618 2 года назад

    Wisdom richi mitindo

  • @jestinakanji8168
    @jestinakanji8168 2 года назад +5

    Hongera sn. Umeongea point ❤️

  • @rukiaomar3369
    @rukiaomar3369 2 года назад

    Mashallah unaongea vzr kaka watu hawapendi mnavyopendana

  • @khatijakhatija9518
    @khatijakhatija9518 2 года назад

    Kabisa broo

  • @fridaudoba7124
    @fridaudoba7124 2 года назад +3

    😍😍😍

  • @annaanyosisye8682
    @annaanyosisye8682 2 года назад

    Big up ba p

  • @najuf8021
    @najuf8021 2 года назад +2

    Nawewe Rich usitulishe matango pori hapa hiyo yakusema huyu mwanamke katembea nawanaume kibao niwewe tu umeyasema halafu inawezekana kwel tu video zipo zitavuja tu kuishi pamoja sio tatizo

  • @amourdelicieuse2961
    @amourdelicieuse2961 2 года назад +1

    Alia kua na vaa ivo izi Siku zote unapendeza

  • @ayoubslaym8304
    @ayoubslaym8304 2 года назад +5

    Ila bina dam wabay sasa uaribu mausiano v ya mwenzio ili iweje

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 2 года назад

    Mngu awadumishe mulee pamoja mtoto wenu .binadam mtihani

  • @user-nh9ql5fx7s
    @user-nh9ql5fx7s 5 месяцев назад

    Bora kinadida watulie jmn shemeg kasema wambea pishanjia haachwi mtuhapa mtasubiri sana.

  • @semenimohamed8156
    @semenimohamed8156 2 года назад +1

    Haswaaa

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 2 года назад +2

    Wanaazaga na kukataa hivi

  • @chicotteallan8006
    @chicotteallan8006 Год назад

    Huyo dada aripata mume wakujierewa mwenye tabia nzuri kweri wanaume wote wangekua kamA wewe doa hazingekua zinavunjika awo wanawake wasingekua nausongo wamawazo ju yawaume zao

  • @mariellerashidi4649
    @mariellerashidi4649 2 года назад

    Hongera baba p na mama p

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 2 года назад

    Una haya kweli mpaka uvae glasses

  • @esterdoriye4780
    @esterdoriye4780 2 года назад +1

    Kaka unavyoelezea mnavyopendana mpaka unatia wivu

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 2 года назад

    Muoane basiii tucheze harus#ila bnadam watu wabayaa

  • @dottokulwa9145
    @dottokulwa9145 2 года назад +3

    Achana nao hawana la kusema

  • @anitanahimana2115
    @anitanahimana2115 2 года назад

    Acana nao wambeya. Ao

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 2 года назад +1

    Rich ana akili

  • @dafrosadeus5203
    @dafrosadeus5203 2 года назад

    Walimwengu sio watu

  • @Lifelessons911
    @Lifelessons911 2 года назад +4

    KAMA VIDEO IPO IPO TU, ITAONEKNA 😂😂

  • @larickmtui2852
    @larickmtui2852 2 года назад +5

    Mbona jamaa kama anamnyenyekea?

  • @najuf8021
    @najuf8021 2 года назад +2

    Kumuita mtu kwenye interview paka awe Ana.skendo.mxiiiiuuuu yaan kipindi chako Aliya hakipishan na shiladu fyuuuu

  • @nanceaidan6622
    @nanceaidan6622 2 года назад

    Sauti ya stan bakora😅🤣

  • @amourdelicieuse2961
    @amourdelicieuse2961 2 года назад

    We rich ni kweli Jacky ni mlevi sana malaya sana auwezi kuishi nae ata ufaanyaje

    • @umirishasmgeni6360
      @umirishasmgeni6360 Год назад

      Unachoongea sio kwel jack anaupendo ametulia uwaga wanaume tu alokua anawapata walkua wanamtenda 😮

  • @iluminathakapange4220
    @iluminathakapange4220 2 года назад

    Aliah umejaa nn maana sio pigo zako

  • @najuf8021
    @najuf8021 2 года назад +1

    Kumuita mtu kwenye interview paka awe Ana.skendo.mxiiiiuuuu yaan kipindi chako Aliya hakipishan na shiladu fyuuuu

    • @eddy4998
      @eddy4998 2 года назад +1

      Nazma mrenbo Sana ww bint