MJENGO WA MWIGIZAJI WOLPER YASHITUA INSTA, WASANII WENZAKE WAMPONGEZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 93

  • @happyswai6688
    @happyswai6688 8 месяцев назад +2

    Hongera sana kwake mpambanaji mchaga wanguvu 🎉🎉❤❤

  • @EzekielDebora-cd2ib
    @EzekielDebora-cd2ib 8 месяцев назад +6

    Afazali Yani huyu dada Yuko busyy na maisha yake na walikuwa wanamzalau

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 8 месяцев назад +6

    HONGERA SANA OLPA KWANZA NDO MSANIII NAEMPENDA ALAF UMEFANYA KITU KATIK VITU AMEN

    • @ikouwasi7644
      @ikouwasi7644 8 месяцев назад

      😂vipi mumewe au siyo yake

  • @stellahanssen1434
    @stellahanssen1434 8 месяцев назад +1

    Well done. Hivyo inavyotakiwa, kufanya mambo kimya kimya mpaka utilimishe.👍

  • @maryamshabani5571
    @maryamshabani5571 8 месяцев назад +1

    Duuhh nyumba kama hekaluu....hongereni sana mr & mrs rich

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 8 месяцев назад +4

    Si mlusema hana kitu kafulia stress zinamsumbua"Leo katoa wapi nyumba😢

  • @toshirohitsugaya6421
    @toshirohitsugaya6421 8 месяцев назад +9

    Kajenga Mwanaume lakini sifa anapewa mwingine au kama wamejenga wote sifa wapewe wote ….

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 8 месяцев назад +1

      Kuna vihelehele vingine unavuka mipaka

    • @iddykwangaya2794
      @iddykwangaya2794 8 месяцев назад

      Wanasemaga nyuma ya mafanikio ya mwanamke kuna,,,,,,,,!!!!

  • @happynelson1136
    @happynelson1136 8 месяцев назад +2

    Hawa naamini wamejenga kweli, Lulu na wema wakati wametifuana Lulu alionyesha kuwa anajenga lakini baadaye ikawa kimya sijui aliishia wapi

  • @janethjonas1700
    @janethjonas1700 8 месяцев назад +1

    Nimemuona Rommy anasema hamna kitu hapo...why...??? Msimchukulie powa hii ni roho kamili...

  • @BukuruAhmed-zy1ub
    @BukuruAhmed-zy1ub 8 месяцев назад +1

    Ongera sana dada yangu

  • @kiya0910
    @kiya0910 6 месяцев назад

    Mungu awabariki pamoja nakazi zenu

  • @hawaaathman-rs8oy
    @hawaaathman-rs8oy 8 месяцев назад

    Hongera dear. Mungu amekuwezesha

  • @lucyaudax158
    @lucyaudax158 8 месяцев назад +3

    Beautiful

  • @clovicemusobozi3891
    @clovicemusobozi3891 8 месяцев назад

    Mashaa Allah hongereni sana ❤❤❤❤

  • @RoseMadatta
    @RoseMadatta 2 месяца назад

    Hongera sana❤❤❤

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 2 дня назад

    Nyumba kubwa lakini material local sio pvc madirisha

  • @DM.2200
    @DM.2200 8 месяцев назад

    Huna baya mchaga wangu wa nguvu barikiwa sana

  • @Ric_255_
    @Ric_255_ 8 месяцев назад

    Nzuri Hongera yako.

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 8 месяцев назад +4

    Safi sn, Binti anayejitambua, ❤❤❤

  • @simontemba1851
    @simontemba1851 8 месяцев назад +2

    Safi mankaa

  • @isacksamsoni7024
    @isacksamsoni7024 8 месяцев назад +1

    haaa kumbe ni jirani yangu

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 8 месяцев назад +1

    Ida sema tukuskie Tena na huyo shoga lokore na yure Fara mwingine sijuwi anaitwa idirisa mseme Tena hamkusema hatukusikia mseme tusikie mmedharirika na arivvo mujanja majibu yake yote hakuwajibu anachotarajia kuzinduwa arijikaria kimya na hakusema Kama mume Yuko karibu kurudi arijuwa mtapata aibu wenyewe MORA kawaumbuwa, nasisi tunawazomea😅😅😂😂🤧🤧🤧🤭🤭

  • @sarahwawuda5164
    @sarahwawuda5164 8 месяцев назад +2

    Hongera sana kwao
    Wenye wanatilia mashaka hivyi kwani mtu hawezi jenga?

  • @JoelinaPareso
    @JoelinaPareso 8 месяцев назад

    Uko vizuri

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 8 месяцев назад

    Kweli ile ya mzaramo ni banda la walinzi wallah!!!

  • @user-nj6vm7ij5f
    @user-nj6vm7ij5f 8 месяцев назад

    Hongera mamy

  • @mahmoudMshamu
    @mahmoudMshamu 7 месяцев назад

    Sister kila la kheir

  • @emanuelmacha4690
    @emanuelmacha4690 8 месяцев назад +1

    Usisahau kumwagilia moyo kidogo sio mbaya baada ya kazi.

  • @MusaHamis-oz2rg
    @MusaHamis-oz2rg 8 месяцев назад

    Mwenyenyumba akiiona hii post mtahamishwa

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 7 месяцев назад

    Show off za😢 nini 😢

  • @DicksonOnesmo-go1ts
    @DicksonOnesmo-go1ts 8 месяцев назад +1

    Nyumba zawat hz

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 8 месяцев назад

    Mashallah

  • @janengowi-lt9gu
    @janengowi-lt9gu 8 месяцев назад

    Tnamsubiri Jumalokole na Dida

  • @TonnyMchura
    @TonnyMchura Месяц назад

    Pesa za wanaume😅

  • @mariamibrahim6738
    @mariamibrahim6738 8 месяцев назад

    Ongera yke

  • @gorbywilliam2617
    @gorbywilliam2617 8 месяцев назад

    Sema wasanii ni waongo waongo yani mimi siamini yani.

    • @madaleinem8109
      @madaleinem8109 8 месяцев назад

      Weuoni alipoanzia ujenzi?

    • @gorbywilliam2617
      @gorbywilliam2617 8 месяцев назад

      @@madaleinem8109 wasanii na wanasiasa drama nyingi sana sema wanasiasa wanatudanganya ila wanasinii wanatudanganya na kujidanganya wenyewe.

    • @shflaBoaz
      @shflaBoaz Месяц назад

      Lopo bagamoyo jilan yetu

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 5 месяцев назад

    Huu mjengo kama jumba la treni

  • @user-iu4yg3kv7v
    @user-iu4yg3kv7v 8 месяцев назад

  • @pascaldonati2711
    @pascaldonati2711 8 месяцев назад

    Ya kawaida sana sio kwa jina lake huyo aje mwanza aone watu wanafugia popo tu huku pembezoni mwa ziwa

    • @ikouwasi7644
      @ikouwasi7644 8 месяцев назад

      😂😂onyesha ww yako

  • @UmmuMayrah-rg9ot
    @UmmuMayrah-rg9ot 8 месяцев назад

    Uyo mwanaume baba ake anaishi nyumba mbaya duuuh dunia hii

    • @aishaabeid2099
      @aishaabeid2099 8 месяцев назад

      Watu bhna Sasa ulitaka aanze kumjengea baba yake 😂😂😂

  • @evangelist22
    @evangelist22 8 месяцев назад +4

    Anajenga nini sasa dunia imefika mwisho

  • @kiya0910
    @kiya0910 6 месяцев назад

    Wabongo wajifunze kitu kupitia wolpe

  • @saphiasuleiman9594
    @saphiasuleiman9594 8 месяцев назад +3

    Dunia imeisha wewe unajenga nyumba

  • @juniorndambalilo66
    @juniorndambalilo66 8 месяцев назад

    Muiteni Dida aone nyumba siyo banda lake

  • @hallin9561
    @hallin9561 8 месяцев назад +5

    kama ni kwel bas hongera sana, Namuonea huruma sana SEPETU. akili kisoda..

    • @Soon815
      @Soon815 8 месяцев назад

      Utajiri wao unampa kiburi

    • @verianmatiliya5658
      @verianmatiliya5658 8 месяцев назад

      Punguza makasiriko

    • @joycekaguo8476
      @joycekaguo8476 8 месяцев назад

      😂😂😂😂 kisoda tenaaa😅😅😅

    • @neemaclement
      @neemaclement 8 месяцев назад

      😂😂😂😂

  • @HalimaJuma-de5gc
    @HalimaJuma-de5gc 8 месяцев назад +1

    subira huvuta heri

  • @sadajackson3209
    @sadajackson3209 8 месяцев назад

    Dinda hajaiona

  • @امنداامندا-ظ3ث
    @امنداامندا-ظ3ث 8 месяцев назад

    😂😂😂😂😂mijengo yawatu

  • @claritypmetalssales8121
    @claritypmetalssales8121 8 месяцев назад

    Chai ya moto

  • @user-eg8qw6jo1i
    @user-eg8qw6jo1i 8 месяцев назад

    Pw kaka

  • @ezekiamgimbaofficial5694
    @ezekiamgimbaofficial5694 8 месяцев назад

    Nikweli ninyumba yake ameijenga kiharaka

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 8 месяцев назад +1

    Wasanii bana

  • @daudysanga8492
    @daudysanga8492 8 месяцев назад +10

    Endeleeni kuonyesha majumba ya watu hizo episode zenu wasanii sijui zitaisha lini

    • @gracemtango
      @gracemtango 8 месяцев назад +11

      Nyumba yake ndugu amejitahidi sana huwezi ona hata mazingira ss majirani zake sikuzote furahieni mafanikio yamtu

    • @daudysanga8492
      @daudysanga8492 8 месяцев назад +3

      @@gracemtango kama niyakwake kweli maashalah

    • @ashwaqhasni
      @ashwaqhasni 8 месяцев назад +6

      Ameweza tena ameweza siyo rahisi jamn ukiona mwenzio kajenga mpigie salut kununua gar ni rahis mnoo lakn ujenzi ndiyo kipimo cha kukua kiakili

    • @gracemtango
      @gracemtango 8 месяцев назад +8

      Kabisa yaani unaambiwa nyumba siyo matako kilamtu anayo anastahili pongezi.

    • @salhaomar5382
      @salhaomar5382 8 месяцев назад

      Maashallah hongera san

  • @PhyinaElias-mu4wf
    @PhyinaElias-mu4wf 8 месяцев назад +4

    Haya sasa didah na juma lokole kipo wap😊😊

    • @HalimaJuma-de5gc
      @HalimaJuma-de5gc 8 месяцев назад +1

      Mashoga wale

    • @scholamodestus9386
      @scholamodestus9386 8 месяцев назад +1

      Bora hata juma ila dida ataumbuka sana mana anajionaga yeye ndio kajenga katika dunia hii wenzie wote anawaona wehu

  • @jumahalifa6436
    @jumahalifa6436 8 месяцев назад

    Kiki

  • @MawazoMwamba-fz5hr
    @MawazoMwamba-fz5hr 8 месяцев назад

    🔥🔥🔥💗💗❤️💖

  • @user-eg8qw6jo1i
    @user-eg8qw6jo1i 8 месяцев назад

    😂😂😂😂

  • @shivobs4485
    @shivobs4485 8 месяцев назад

    Kwaiyo hapo nyumba ya manzii sio mwana

    • @nigamo9645
      @nigamo9645 8 месяцев назад

      Niya watoto wao

  • @ashamtweka191
    @ashamtweka191 5 месяцев назад

    Hongera sana ❤❤