Ida sema tukuskie Tena na huyo shoga lokore na yure Fara mwingine sijuwi anaitwa idirisa mseme Tena hamkusema hatukusikia mseme tusikie mmedharirika na arivvo mujanja majibu yake yote hakuwajibu anachotarajia kuzinduwa arijikaria kimya na hakusema Kama mume Yuko karibu kurudi arijuwa mtapata aibu wenyewe MORA kawaumbuwa, nasisi tunawazomea😅😅😂😂🤧🤧🤧🤭🤭
Hongera sana kwake mpambanaji mchaga wanguvu 🎉🎉❤❤
Afazali Yani huyu dada Yuko busyy na maisha yake na walikuwa wanamzalau
HONGERA SANA OLPA KWANZA NDO MSANIII NAEMPENDA ALAF UMEFANYA KITU KATIK VITU AMEN
😂vipi mumewe au siyo yake
Well done. Hivyo inavyotakiwa, kufanya mambo kimya kimya mpaka utilimishe.👍
Duuhh nyumba kama hekaluu....hongereni sana mr & mrs rich
Si mlusema hana kitu kafulia stress zinamsumbua"Leo katoa wapi nyumba😢
Kajenga Mwanaume lakini sifa anapewa mwingine au kama wamejenga wote sifa wapewe wote ….
Kuna vihelehele vingine unavuka mipaka
Wanasemaga nyuma ya mafanikio ya mwanamke kuna,,,,,,,,!!!!
Hawa naamini wamejenga kweli, Lulu na wema wakati wametifuana Lulu alionyesha kuwa anajenga lakini baadaye ikawa kimya sijui aliishia wapi
Nimemuona Rommy anasema hamna kitu hapo...why...??? Msimchukulie powa hii ni roho kamili...
Ongera sana dada yangu
Mungu awabariki pamoja nakazi zenu
Hongera dear. Mungu amekuwezesha
Beautiful
Mashaa Allah hongereni sana ❤❤❤❤
Hongera sana❤❤❤
Nyumba kubwa lakini material local sio pvc madirisha
Huna baya mchaga wangu wa nguvu barikiwa sana
Nzuri Hongera yako.
Safi sn, Binti anayejitambua, ❤❤❤
Safi mankaa
haaa kumbe ni jirani yangu
Ida sema tukuskie Tena na huyo shoga lokore na yure Fara mwingine sijuwi anaitwa idirisa mseme Tena hamkusema hatukusikia mseme tusikie mmedharirika na arivvo mujanja majibu yake yote hakuwajibu anachotarajia kuzinduwa arijikaria kimya na hakusema Kama mume Yuko karibu kurudi arijuwa mtapata aibu wenyewe MORA kawaumbuwa, nasisi tunawazomea😅😅😂😂🤧🤧🤧🤭🤭
Hongera sana kwao
Wenye wanatilia mashaka hivyi kwani mtu hawezi jenga?
Uko vizuri
Kweli ile ya mzaramo ni banda la walinzi wallah!!!
Hongera mamy
Sister kila la kheir
Usisahau kumwagilia moyo kidogo sio mbaya baada ya kazi.
Mwenyenyumba akiiona hii post mtahamishwa
Show off za😢 nini 😢
Nyumba zawat hz
Mashallah
Tnamsubiri Jumalokole na Dida
Pesa za wanaume😅
Ongera yke
Sema wasanii ni waongo waongo yani mimi siamini yani.
Weuoni alipoanzia ujenzi?
@@madaleinem8109 wasanii na wanasiasa drama nyingi sana sema wanasiasa wanatudanganya ila wanasinii wanatudanganya na kujidanganya wenyewe.
Lopo bagamoyo jilan yetu
Huu mjengo kama jumba la treni
❤
Ya kawaida sana sio kwa jina lake huyo aje mwanza aone watu wanafugia popo tu huku pembezoni mwa ziwa
😂😂onyesha ww yako
Uyo mwanaume baba ake anaishi nyumba mbaya duuuh dunia hii
Watu bhna Sasa ulitaka aanze kumjengea baba yake 😂😂😂
Anajenga nini sasa dunia imefika mwisho
😂😂😂😂 kumbe imefika
Sasa mshauuri afanyeje 😳
Kwako ndio imefika mwisho😂😂😂
Hahahaaaa,,jmn
😂😂😂😂
Wabongo wajifunze kitu kupitia wolpe
Dunia imeisha wewe unajenga nyumba
Nakubali😂
Muiteni Dida aone nyumba siyo banda lake
😂😂
kama ni kwel bas hongera sana, Namuonea huruma sana SEPETU. akili kisoda..
Utajiri wao unampa kiburi
Punguza makasiriko
😂😂😂😂 kisoda tenaaa😅😅😅
😂😂😂😂
subira huvuta heri
Dinda hajaiona
😂😂😂😂😂mijengo yawatu
Chai ya moto
Pw kaka
Nikweli ninyumba yake ameijenga kiharaka
Wasanii bana
Endeleeni kuonyesha majumba ya watu hizo episode zenu wasanii sijui zitaisha lini
Nyumba yake ndugu amejitahidi sana huwezi ona hata mazingira ss majirani zake sikuzote furahieni mafanikio yamtu
@@gracemtango kama niyakwake kweli maashalah
Ameweza tena ameweza siyo rahisi jamn ukiona mwenzio kajenga mpigie salut kununua gar ni rahis mnoo lakn ujenzi ndiyo kipimo cha kukua kiakili
Kabisa yaani unaambiwa nyumba siyo matako kilamtu anayo anastahili pongezi.
Maashallah hongera san
Haya sasa didah na juma lokole kipo wap😊😊
Mashoga wale
Bora hata juma ila dida ataumbuka sana mana anajionaga yeye ndio kajenga katika dunia hii wenzie wote anawaona wehu
Kiki
🔥🔥🔥💗💗❤️💖
😂😂😂😂
Kwaiyo hapo nyumba ya manzii sio mwana
Niya watoto wao
Hongera sana ❤❤