MR. NANA AFUNGUKA SABABU ZA KUACHANA NA DIDA "MANGE ALIMWAMBIA ANIACHE, SIJAWAHI KUWA KING'AST WAKE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • MR. NANA AFUNGUKA SABABU ZA KUACHANA NA DIDA "MANGE ALIMWAMBIA ANIACHE, SIJAWAHI KUWA KING'AST WAKE"
    www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 368

  • @theresiamwandara7990
    @theresiamwandara7990 7 месяцев назад +8

    Huyu jamaa ni very humble. Yule dada kiboko

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 7 месяцев назад +18

    He is very humble. KIJANA anakupenda. Mkorogo wadida wanatumia pamoja😂😂

  • @khadijayusuph9316
    @khadijayusuph9316 7 месяцев назад +13

    Dida hajion kama anazeeka naile sura yake ilivyo nzito jmn, asa yale mashavu hayaon yanavyoshuka cjui😢😢bora amrudie tu huyu kaka ni mstarabu sana

  • @BeullahBujah-lk3sx
    @BeullahBujah-lk3sx 7 месяцев назад +12

    Pole one day mtarudiana au Mungu atakupa wa kwako.

  • @zoab2699
    @zoab2699 7 месяцев назад +4

    Nimeipenda hiyo mm nimekosea nimeobma msamah na nime achwa. Inshallah utapata mzuri kama ww Itakuja rizki yako mta penda mpaka kuzikana inshallah udikonde utapata wa saizi yako hao wa kuchati ju yakucha kope ju ya kope nywele ju ya nywele allah akuepushe nao inshallah 🤲

    • @mariumseif6751
      @mariumseif6751 7 месяцев назад

      Kuombana msamaha ni kawaida Kwa wapenzi.watu wore wanawachana na wanaombana msamaha na wanaludiana Mdogo wangu dida msamehe mwenzio angekua hakupendi asingekuomba hata huo msamaha na angekuchafua SI unakua wanaume walivyo. Ila huyo kaongea ukweri na kama wasingemuita kwenye intaview angeumia moyoni tu .ushauri wangu mludiane tu hatuna wapenzi wasiogombana shida ni Kwa kuwa ny'inyi mamboyenu lazima yawe mtandaoni kaka ana busara sana.kaa utulie sio Kila siku ndoa mpya km Bugat au madebe wewe ni mwanamke uwe na uvumilivu pia punguza wivu Hawa wenzetu hawatosheki na mwanamke mmoja hata awe markia

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 7 месяцев назад +18

    Jamani mrudiane mlikuwa mnapendezana jamani kama shida ni wivu wivu ni sunna jamani come on

  • @abisinamustafa3118
    @abisinamustafa3118 7 месяцев назад +24

    Ila huyu kaka ni mkweli

    • @hildascorner2327
      @hildascorner2327 7 месяцев назад +2

      Kweli, hata mimi nimeona he's honest sema inaonesha mkewe anapanic na ameshajiwekea kichwani wanaume ni wabaya

  • @mariumseif6751
    @mariumseif6751 7 месяцев назад +25

    Kaka mstaalabu sana unaongea kwa busara huna maneno machafu kuacha au kuachwa ni jambo la kawaida Mungu atakusimamia utapata mwingine au mtaludiana na mpenzi wako dida maana hujamfua wala hujaongea kibaya Mungu akusimamie una busara sio km hao vijana wengine wangeongea uongo na kumchafua

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 7 месяцев назад +15

    Maskin' mr nana anaonekana mkarimu sana na hajiskii'. Ila mchaga dah!!! Mbea sana

  • @maggiesaru376
    @maggiesaru376 7 месяцев назад +11

    What a fan interview, I loved it

  • @JeniBosco
    @JeniBosco 7 месяцев назад +11

    Leo tumejuwa habari za wasafi zinamfikiaje

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 7 месяцев назад +28

    Umejitoa muhanga mchanga og utachambwa mi simo

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 7 месяцев назад +113

    Dida tulia ushakuwa bibi hawa vijana watakuua kuna mwenzio umri kama wako alijifanya anajua mapenzi kutembea na vijana wadogo mwisho wa siku akaanza kuumwa uchungu hata mimba hana umri huo ndg yangu na vijana hawa marioo utaweza kweli mfano akuombe style ya popo kanyea mbingu au mama samia kauza bandari utaweza dida heka heka waachie vijana

    • @fettyrashid9042
      @fettyrashid9042 7 месяцев назад +16

      Jamani waja mnamambo 😅

    • @rehemafeysali4444
      @rehemafeysali4444 7 месяцев назад +30

      Kumbe watu mnasili nyie 🤣 stail ya mama samia kauza bandari nyie mbona Hamsemi🤣

    • @tajiertaj5956
      @tajiertaj5956 7 месяцев назад +16

      😂😂😂popokaneyea mbingu Samia kauza bandari😂😂😂

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 7 месяцев назад +3


      WAN MAMBO SN
      ETI MAM SAMIA
      KAUZA BANDARI😅😅

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 7 месяцев назад


      HATAREEE

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija 7 месяцев назад +7

    Wasaniii Wasaniìi hawawagi wanadumu hatta Yani Na vile vishindo vya Dida hapana 😂Ma ex njooni huku mskie😂😂😂

  • @SUZANSUZAN-fb9bh
    @SUZANSUZAN-fb9bh 7 месяцев назад +12

    Mungu akucmamie mrudiane umeongea kwa busara dida msamehe mwenzako

  • @georginapaul5013
    @georginapaul5013 7 месяцев назад +1

    Halafu hajafuta picha wala nini mwenyewe mstaarabu sana Dada Dida rudianeni jamani maisha yenyewe ndio hayahaya

  • @SalminMkwachu
    @SalminMkwachu 7 месяцев назад +3

    umeona wanaume wakiwa wanawaongelea ex wao wanavyo kua. hakuna kupanic, stress kujiliza kusema mambaya ya mwenzake nk, ila sasa upande wapili ukipewa nafasisi sasa

  • @nicksonink4921
    @nicksonink4921 7 месяцев назад +2

    Huyo manka kwenye interview kavaa jordan ngapi..? Hiyo😂😂😂😂😂😂

  • @sovajulius3870
    @sovajulius3870 7 месяцев назад +1

    Hivi huyu Dida hawezi akawa na moyo wa subra kidogo na Hawa viumbe?Mana kaachana na wengi hao wanaojulikana haya hao wa gizani .Mi nakwambia awe na moyo wa uvumilivu Sasa Kama kila mwanaume kwake wa Nini itakuwaje na umri umeenda?na kinaumia kiungo Cha chini

  • @janethngowi1058
    @janethngowi1058 7 месяцев назад +5

    c kwa sugu hizo jamani!

  • @rafiaahmad168
    @rafiaahmad168 7 месяцев назад +13

    Me nilikuwa sijui kama penzi limekufa haki Leo ndio nimejuwa🤣🤣🤣

  • @azorindege2556
    @azorindege2556 7 месяцев назад +15

    Mwana kaongea vzr sana

  • @mamaabduly
    @mamaabduly 7 месяцев назад +4

    SIRI ZA WASAFI... LEO KAPATIKANA KIDEGEPOSTA ANAEPELEKA HABARI APUNI

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 7 месяцев назад +4

    Duh maskn huzuni 😢😢

  • @zulphaadam4671
    @zulphaadam4671 7 месяцев назад +14

    Uyuu kak anarafudh nzur❤

  • @BeatriceKassim-tz8bf
    @BeatriceKassim-tz8bf 7 месяцев назад +4

    sema kaila usivae tena vinjunga unakua km popo bawa😂

  • @Yness-vh4yy
    @Yness-vh4yy 7 месяцев назад +5

    Washabwagana hahahaa huyo ndo Dida!

    • @happynescostat7420
      @happynescostat7420 7 месяцев назад

      Acha ambwage, wanaume mmetuchosha) dida kiboko)

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 7 месяцев назад +20

    Kucha juu ya kucha kope juu ya kope nywele juu ya nywele OGOPAAAA🙌🏼😂😂😂😂

  • @LucySemenye
    @LucySemenye 7 месяцев назад +3

    Waja mna mambo

  • @jamilajamal1584
    @jamilajamal1584 7 месяцев назад +3

    Kwa hiyo majibu yote yapo kwenye new song😂😂😂😂

  • @witnesrobson
    @witnesrobson 7 месяцев назад +5

    Kaka yangu umeongea point

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 7 месяцев назад +5

    Leo ndo nasikilizia mtakavyochambwa😮😅

  • @Shokolokobango9385
    @Shokolokobango9385 7 месяцев назад +6

    Ukilewa usichat #Tx dulla

  • @angelalyimo2862
    @angelalyimo2862 7 месяцев назад +3

    D alikuchoka bwana Mr Nana maisha ya endelea

  • @rahymaaa4357
    @rahymaaa4357 7 месяцев назад +2

    Muhimu aliomba msamaha muhimu alimuheshimu muhim hajaongea baya kinachonishangaza Huyo Patna WA mchaga og huyo Dada sjaelewa alichoshare apo amekaa kucheka tu na kuguna

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q 7 месяцев назад +2

    Kaka jikubali tu ww ni handsome achana na mkorogo baadae utakuja kukuharibu

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 4 месяца назад

    Watu wanatafuta wakukaa nao,kubadilishana nao mawazo,wengine wanawapga take, Mungu huyuuu🏃🏃🏃🏃🏃

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 7 месяцев назад +1

    Dida naye hio kitu imepitia malori mengi poo kwanza mzee sasahivi hebu tulia sasa hio ninino siitakua inaimba haleluya jamani😅 puu pwee

  • @angelalyimo2862
    @angelalyimo2862 7 месяцев назад +2

    Mhh D mambo yaliopita jamani penzi limekufa hivi

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 7 месяцев назад +3

    Nimecheka hii kauli ya mwanamke kubandika kucha juu ya kucha hashindwi pia kubandika mwanaume juu ya mwanaume

  • @vero57
    @vero57 7 месяцев назад +2

    Mie naangalia vidole tuu hapo😂😂😂

  • @AkimuMovie-rt3rp
    @AkimuMovie-rt3rp 7 месяцев назад

    Sema mwamba Ako na Confidence ya kuongea👏👏👏👏

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel 6 месяцев назад

    Muje na kwangu wapenzi ❤❤❤

  • @hamzaqaacm1869
    @hamzaqaacm1869 7 месяцев назад +12

    Muhimu umesha jipigia sana😂😂

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 7 месяцев назад +2

    Mmh Mara hii weee aiwezekani si kwa.penzi.lile tamu

  • @KAHINDITV
    @KAHINDITV 7 месяцев назад +1

    Hapo kwenye bituni hapo hebu tuweke sawa jina adimu hilo 😂😂😂😂

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 7 месяцев назад +10

    We mtangazaji wakike hamjielewi upo kazini unavaa kipensi kama upo beach au upo ndani na bwana wako miguu yenyewe kama njiti za fagio paja huna kimbau mbau huoni aibu jisitiri mtoto wa kike upo kazini watu wengi wanaangalia kipindi yaani kijana mwenzio wa kiume kapendeza kajisitiri hivi nyie wanawake mmerogwa na nani

    • @julianamaganga4803
      @julianamaganga4803 7 месяцев назад +1

      Aliyeturoga kafa

    • @Kabeya410
      @Kabeya410 7 месяцев назад

      @@julianamaganga4803 😂kweli ila tunaelezana ukweli jitahidini kujissitiri dini zote zinakataza kukaa uchi unamuona mama yake yesu alikua anajisitiri sasa nyie mmepata wapi kuvaa viguo vifupi tena kazini mnatangaza nini

    • @Shayy97
      @Shayy97 7 месяцев назад +2

      Mama yangu kila siku anasemag hvyo wakaka wanajistiri kimbembe sisi wadada

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 7 месяцев назад +4

    Hivi dida uba matatizo gani kwa nini hudumugi na wanaume au unaaleji yakukaa na wanaume mda mrefu

    • @hazimamohammed1340
      @hazimamohammed1340 7 месяцев назад

      Ana alejiii ya kukaa na wanaume 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nimechekaaaa sanaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Shammy-d1e
    @Shammy-d1e 7 месяцев назад +2

    Atakuwa amechoka kumlea jamani maisha magunu jamaniiii uwiiii

  • @moureennasrah5327
    @moureennasrah5327 6 месяцев назад

    Yana yuko so cool jamaa

  • @veveveve5517
    @veveveve5517 7 месяцев назад

    Mr nana mungu yiko na wewe haowa dada wa tanzanie wana pepo wana hitaji maombi

  • @RajabuSafu
    @RajabuSafu 7 месяцев назад

    Mmmh makubwa polen Sana

  • @pillyolsen6346
    @pillyolsen6346 7 месяцев назад +2

    Shikamoo mapenzi

  • @user-si4fu9dw8n
    @user-si4fu9dw8n 6 месяцев назад

    Mmmm hii imeenda

  • @luciafabiannjuu1988
    @luciafabiannjuu1988 7 месяцев назад +1

    Ila wanaume wanaojichubua wasiogopwe sio?

  • @user-fi9gm2et5r
    @user-fi9gm2et5r 7 месяцев назад +2

    Jmn akichambwa mnitag 😂😂😂mchaga og utacharazwa bakora

  • @user-ph2tk3cy9s
    @user-ph2tk3cy9s 7 месяцев назад

    Akutukanaye akuchangulii tusi du noma sana

  • @Shadia544
    @Shadia544 7 месяцев назад +5

    😂😂😂😂😂Nimejua kucheka duuh dida atawachamba sana tuu lakini dida hatulie tuu na mapenzi 😂

  • @kisubikilozo6128
    @kisubikilozo6128 7 месяцев назад +1

    That fine dida ukipata coment Yangu please nicheki maswali mengi Kumbe nawe unaitaji maswali mm raa Tanzania games is fun

  • @hawababy120
    @hawababy120 7 месяцев назад +2

    Ila OG bhana😂😂😂😂😂😂

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 7 месяцев назад +3

    Kuna wanawake mjini hapa ni viburudisho, unakamata UNAFIRA Kisha unapiga chini, yaani wapo kwa ajili ya KUWAFIRAFIRA tu sio kuoa , ukitaka kuendelea nao lazma utafeli ..!

  • @chisongastephen7299
    @chisongastephen7299 6 месяцев назад

    Jamaa ni mpole sana na nimuelewa,Dida mrudie mshikaji.

  • @user-mz6lq3gr9l
    @user-mz6lq3gr9l 7 месяцев назад +3

    Dada usiwe unavaa pensi, samahani lakn

  • @mrishomabrouk1646
    @mrishomabrouk1646 7 месяцев назад

    Huyu dida nikiwa nae mimi hawezi kuachana na mimi!!

  • @StarMerinyo
    @StarMerinyo 7 месяцев назад

    Mbona kijana yukonpowa Ila dida Ana matatzo kila mwanaume kwake nikutoka na kuachana 😂😂😂

  • @KibyStarTz
    @KibyStarTz 7 месяцев назад +1

    Mchaga og ni og kweli nakubali

  • @user-mx5dc3xx3o
    @user-mx5dc3xx3o 7 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂😂kucha juu ya kucha kope juu ya kope 😂😂😂

  • @jenjoseph7270
    @jenjoseph7270 7 месяцев назад

    pole kaka

  • @pauloegbert515
    @pauloegbert515 6 месяцев назад

    Mnapenda mdondo sana

  • @HafsaShayo-iv5xh
    @HafsaShayo-iv5xh 7 месяцев назад

    Eti tikiti maji hufai kuliwa wala kutengenezewa juice😂😂😂😂mchaga jumatatu umeisha

  • @hinduabushiri4216
    @hinduabushiri4216 7 месяцев назад +1

    Kaka amemwagwa mwa😂😂

  • @ekiliangoliga644
    @ekiliangoliga644 7 месяцев назад +1

    Huyu kaka hizo story za jinsia moja huenda sio uongo namuonaga maeneo ya ubungo sehem moja inaitwa best point mmh kaakaa yake, uvaaji wa vikaptula vyake vile mmh dada Mange hata hujakosea.

  • @user-ll9df3ib3o
    @user-ll9df3ib3o 7 месяцев назад

    Hahahahah mchagaaaaa...... jmn dad yetu Dida mlipendezana wenyew

  • @husseinkhamis3475
    @husseinkhamis3475 7 месяцев назад

    Mwamba Bora Hilo jimama limekuacha
    Afa ufala we unastahili kuwa na mademu wakali kama kina mobetooo huko , nimependa tuu umeongea kiume, hao ndio Sisi wanaume
    Maana Dida kama angekuwa anajiona heee angeacha hata kubwabwaja mitandaoni
    Akajambe huko

  • @isaacbywell7081
    @isaacbywell7081 7 месяцев назад

    @mr-nana africa, hv umeachana na Nuru?? Km umeachana naye Mungu atakuona umetoka mbali sana na yule dada wa watu hadi leo unajulikana

  • @praygodarmstrong7670
    @praygodarmstrong7670 7 месяцев назад

    I think kipindi ni kizuri ila lighting inahitaji maboresho.

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 7 месяцев назад

    Bongo mahusiano nayo imekuwa kama mchezo😮😮😮😮😮

  • @Shammy-d1e
    @Shammy-d1e 7 месяцев назад

    🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄eti ulaya😂😂😂Ulaya ya Nairobi

  • @annasumawe
    @annasumawe 7 месяцев назад

    Malaya huyu Kama nni khoooooo 😂😂😂😂😂😂😂😂au tuseme unavyotongoza ovyo ovyo na kutongoza enyewe unatongoza kizaman maneno kibao 😊😊😊😊😊😊na kipind upo na dida unatongoza madem hatar na kulala nao 😂😂😂😂😂😂

  • @aminamzuri9933
    @aminamzuri9933 7 месяцев назад +1

    Huyu kaka anampenda dida

  • @erickmakwena
    @erickmakwena 7 месяцев назад +3

    Kumbe kuna style ya popo kanyea mbigu na mama samia kazuia bandar😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @aishaaisha4549
      @aishaaisha4549 7 месяцев назад

      🤣🤣🤣🤣🤣

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 7 месяцев назад

      @@aishaaisha4549njoo tuijaribu

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 7 месяцев назад +2

    mnaosea dida anabadili wanaume kwan kinawauma nn kimbunye si chake

  • @aminaasia-jl8fk
    @aminaasia-jl8fk 7 месяцев назад

    Kunacoment mojaimenichekesha kweli sasa uchungu uo wakujifungua au

  • @user-fy9pw2zr8l
    @user-fy9pw2zr8l 7 месяцев назад +2

    😅😅😅😅😅nilitamani hii intewiew niyione kamili sasa huo kajingoa mwili kama nani subili dida akuchambe vijana tafuta kazi vibethen hivi njo wanapitiwa wakiwachoka wanawatema😂😂😂😂😂😂😂 na zile bata😂😂😂 na zile trank😂😂😂😂😂😂😂 mungu nisaidie😂😂😂😂😂🎉😂😂😂😊

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 7 месяцев назад +2

    Aliambiwa havina muda kumbee kweli alikuwa anamkomoa kimbi la moto yale ya dulla polen

  • @ywydhhd7941
    @ywydhhd7941 7 месяцев назад

    😂😂😂na nyie mnayobandka wanawake juu ya mwanamke, nyie mnabandka nn? 😅

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 7 месяцев назад +1

    Mtu kajichubua hivyo alafu mwanaume 🤣🤣

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 7 месяцев назад

      Alafu wengi sana wanaume wasanii wanajichubua sijui kwann

  • @estherwilliam3758
    @estherwilliam3758 7 месяцев назад +2

    Mlipendezeana sana jamani rudianeni basi. Nyiye basi😊

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 7 месяцев назад +5

    Nana nimekuelewa😂😂😂

  • @binthkhamis8042
    @binthkhamis8042 7 месяцев назад +1

    Duuh sio poa

  • @Yasintakisholi
    @Yasintakisholi 7 месяцев назад

    Mrudiane bn 😢 haya ni maisha

  • @higra-i5w
    @higra-i5w 7 месяцев назад

    Mr nana anaoneka anampenda sana dida ila dida mmmh nimtihani

  • @Official83640
    @Official83640 7 месяцев назад +2

    Dida arudi kwa Kumbilamoto tu maana wameachana lkn hakuwai kumuongelea wala baba Samira lkn hivi ving'ast vitamtia aibu kila leo wapi Ezdon Mkisi watu watakuamini sasa kupitia Mr Nana👌👌👌👌👌

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm 5 месяцев назад

    Mr nana anae kuhoji Nani?? Juma looker?? au Nani???

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 7 месяцев назад +5

    Haaaaa mchanga og unalo leo haaaa bakola za dida kwisha mchaga og😂

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 7 месяцев назад

    Kama majibu yapo kwenye new song hii ni kik.

  • @allymatilda7519
    @allymatilda7519 7 месяцев назад

    Huyu demu jaman anavaaje jamani aibu naona mimi

  • @hellendaniel3809
    @hellendaniel3809 7 месяцев назад

    😂😂😂😂😂nywele juu ya nywele,kucha juu ya kucha😂😂😂

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm 5 месяцев назад

    Dida awezikuka na mwanaume ni dangaaa suguuu dida

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 7 месяцев назад +2

    Mimi najiulizaga hili penzi liliishiaga wapi nikasema media wamesahau kufatilia