MR. NANA AFUNGUKA SABABU ZA KUACHANA NA DIDA "MANGE ALIMWAMBIA ANIACHE, SIJAWAHI KUWA KING'AST WAKE"
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- MR. NANA AFUNGUKA SABABU ZA KUACHANA NA DIDA "MANGE ALIMWAMBIA ANIACHE, SIJAWAHI KUWA KING'AST WAKE"
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Huyu jamaa ni very humble. Yule dada kiboko
He is very humble. KIJANA anakupenda. Mkorogo wadida wanatumia pamoja😂😂
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣
Dida hajion kama anazeeka naile sura yake ilivyo nzito jmn, asa yale mashavu hayaon yanavyoshuka cjui😢😢bora amrudie tu huyu kaka ni mstarabu sana
Pole one day mtarudiana au Mungu atakupa wa kwako.
Nimeipenda hiyo mm nimekosea nimeobma msamah na nime achwa. Inshallah utapata mzuri kama ww Itakuja rizki yako mta penda mpaka kuzikana inshallah udikonde utapata wa saizi yako hao wa kuchati ju yakucha kope ju ya kope nywele ju ya nywele allah akuepushe nao inshallah 🤲
Kuombana msamaha ni kawaida Kwa wapenzi.watu wore wanawachana na wanaombana msamaha na wanaludiana Mdogo wangu dida msamehe mwenzio angekua hakupendi asingekuomba hata huo msamaha na angekuchafua SI unakua wanaume walivyo. Ila huyo kaongea ukweri na kama wasingemuita kwenye intaview angeumia moyoni tu .ushauri wangu mludiane tu hatuna wapenzi wasiogombana shida ni Kwa kuwa ny'inyi mamboyenu lazima yawe mtandaoni kaka ana busara sana.kaa utulie sio Kila siku ndoa mpya km Bugat au madebe wewe ni mwanamke uwe na uvumilivu pia punguza wivu Hawa wenzetu hawatosheki na mwanamke mmoja hata awe markia
Jamani mrudiane mlikuwa mnapendezana jamani kama shida ni wivu wivu ni sunna jamani come on
Ila huyu kaka ni mkweli
Kweli, hata mimi nimeona he's honest sema inaonesha mkewe anapanic na ameshajiwekea kichwani wanaume ni wabaya
Kaka mstaalabu sana unaongea kwa busara huna maneno machafu kuacha au kuachwa ni jambo la kawaida Mungu atakusimamia utapata mwingine au mtaludiana na mpenzi wako dida maana hujamfua wala hujaongea kibaya Mungu akusimamie una busara sio km hao vijana wengine wangeongea uongo na kumchafua
Dida tafuta wazee wenziyo
Maskin' mr nana anaonekana mkarimu sana na hajiskii'. Ila mchaga dah!!! Mbea sana
What a fan interview, I loved it
it's "FUN," not "FAN."
Leo tumejuwa habari za wasafi zinamfikiaje
Umejitoa muhanga mchanga og utachambwa mi simo
Dida tulia ushakuwa bibi hawa vijana watakuua kuna mwenzio umri kama wako alijifanya anajua mapenzi kutembea na vijana wadogo mwisho wa siku akaanza kuumwa uchungu hata mimba hana umri huo ndg yangu na vijana hawa marioo utaweza kweli mfano akuombe style ya popo kanyea mbingu au mama samia kauza bandari utaweza dida heka heka waachie vijana
Jamani waja mnamambo 😅
Kumbe watu mnasili nyie 🤣 stail ya mama samia kauza bandari nyie mbona Hamsemi🤣
😂😂😂popokaneyea mbingu Samia kauza bandari😂😂😂
WAN MAMBO SN
ETI MAM SAMIA
KAUZA BANDARI😅😅
HATAREEE
Wasaniii Wasaniìi hawawagi wanadumu hatta Yani Na vile vishindo vya Dida hapana 😂Ma ex njooni huku mskie😂😂😂
Mungu akucmamie mrudiane umeongea kwa busara dida msamehe mwenzako
Halafu hajafuta picha wala nini mwenyewe mstaarabu sana Dada Dida rudianeni jamani maisha yenyewe ndio hayahaya
umeona wanaume wakiwa wanawaongelea ex wao wanavyo kua. hakuna kupanic, stress kujiliza kusema mambaya ya mwenzake nk, ila sasa upande wapili ukipewa nafasisi sasa
We acha balaa zito
Huyo manka kwenye interview kavaa jordan ngapi..? Hiyo😂😂😂😂😂😂
Hivi huyu Dida hawezi akawa na moyo wa subra kidogo na Hawa viumbe?Mana kaachana na wengi hao wanaojulikana haya hao wa gizani .Mi nakwambia awe na moyo wa uvumilivu Sasa Kama kila mwanaume kwake wa Nini itakuwaje na umri umeenda?na kinaumia kiungo Cha chini
c kwa sugu hizo jamani!
Aibu naona mimi
Me nilikuwa sijui kama penzi limekufa haki Leo ndio nimejuwa🤣🤣🤣
Mbwembwe zote zire🤣🤣🤣🤣🤣
Hata mimi😂😂
Mwana kaongea vzr sana
SIRI ZA WASAFI... LEO KAPATIKANA KIDEGEPOSTA ANAEPELEKA HABARI APUNI
Duh maskn huzuni 😢😢
Uyuu kak anarafudh nzur❤
Lafudhi*
Zanzibar iyo
Huyu mwamba sio mzanzibar, Huyu ni mpare aliekulia Tanga
sema kaila usivae tena vinjunga unakua km popo bawa😂
😅😅
Washabwagana hahahaa huyo ndo Dida!
Acha ambwage, wanaume mmetuchosha) dida kiboko)
Kucha juu ya kucha kope juu ya kope nywele juu ya nywele OGOPAAAA🙌🏼😂😂😂😂
😅😅😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Waja mna mambo
Kwa hiyo majibu yote yapo kwenye new song😂😂😂😂
Kaka yangu umeongea point
Leo ndo nasikilizia mtakavyochambwa😮😅
😂😂😂
Ukilewa usichat #Tx dulla
D alikuchoka bwana Mr Nana maisha ya endelea
Muhimu aliomba msamaha muhimu alimuheshimu muhim hajaongea baya kinachonishangaza Huyo Patna WA mchaga og huyo Dada sjaelewa alichoshare apo amekaa kucheka tu na kuguna
Kaka jikubali tu ww ni handsome achana na mkorogo baadae utakuja kukuharibu
Watu wanatafuta wakukaa nao,kubadilishana nao mawazo,wengine wanawapga take, Mungu huyuuu🏃🏃🏃🏃🏃
Dida naye hio kitu imepitia malori mengi poo kwanza mzee sasahivi hebu tulia sasa hio ninino siitakua inaimba haleluya jamani😅 puu pwee
Mhh D mambo yaliopita jamani penzi limekufa hivi
Nimecheka hii kauli ya mwanamke kubandika kucha juu ya kucha hashindwi pia kubandika mwanaume juu ya mwanaume
Umeonaa
Mie naangalia vidole tuu hapo😂😂😂
Sema mwamba Ako na Confidence ya kuongea👏👏👏👏
Muje na kwangu wapenzi ❤❤❤
Muhimu umesha jipigia sana😂😂
😂😂
Mmh Mara hii weee aiwezekani si kwa.penzi.lile tamu
Hapo kwenye bituni hapo hebu tuweke sawa jina adimu hilo 😂😂😂😂
We mtangazaji wakike hamjielewi upo kazini unavaa kipensi kama upo beach au upo ndani na bwana wako miguu yenyewe kama njiti za fagio paja huna kimbau mbau huoni aibu jisitiri mtoto wa kike upo kazini watu wengi wanaangalia kipindi yaani kijana mwenzio wa kiume kapendeza kajisitiri hivi nyie wanawake mmerogwa na nani
Aliyeturoga kafa
@@julianamaganga4803 😂kweli ila tunaelezana ukweli jitahidini kujissitiri dini zote zinakataza kukaa uchi unamuona mama yake yesu alikua anajisitiri sasa nyie mmepata wapi kuvaa viguo vifupi tena kazini mnatangaza nini
Mama yangu kila siku anasemag hvyo wakaka wanajistiri kimbembe sisi wadada
Hivi dida uba matatizo gani kwa nini hudumugi na wanaume au unaaleji yakukaa na wanaume mda mrefu
Ana alejiii ya kukaa na wanaume 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nimechekaaaa sanaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Atakuwa amechoka kumlea jamani maisha magunu jamaniiii uwiiii
Yana yuko so cool jamaa
Mr nana mungu yiko na wewe haowa dada wa tanzanie wana pepo wana hitaji maombi
Mmmh makubwa polen Sana
Shikamoo mapenzi
Mmmm hii imeenda
Ila wanaume wanaojichubua wasiogopwe sio?
Jmn akichambwa mnitag 😂😂😂mchaga og utacharazwa bakora
Akutukanaye akuchangulii tusi du noma sana
😂😂😂😂😂Nimejua kucheka duuh dida atawachamba sana tuu lakini dida hatulie tuu na mapenzi 😂
That fine dida ukipata coment Yangu please nicheki maswali mengi Kumbe nawe unaitaji maswali mm raa Tanzania games is fun
Ila OG bhana😂😂😂😂😂😂
Kuna wanawake mjini hapa ni viburudisho, unakamata UNAFIRA Kisha unapiga chini, yaani wapo kwa ajili ya KUWAFIRAFIRA tu sio kuoa , ukitaka kuendelea nao lazma utafeli ..!
Duh! Dunia shikamoo😊
😢😢😢😢😢
😢😢😢😢😢
Jamaa ni mpole sana na nimuelewa,Dida mrudie mshikaji.
Dada usiwe unavaa pensi, samahani lakn
Huyu dida nikiwa nae mimi hawezi kuachana na mimi!!
Mbona kijana yukonpowa Ila dida Ana matatzo kila mwanaume kwake nikutoka na kuachana 😂😂😂
Mchaga og ni og kweli nakubali
😂😂😂😂😂😂kucha juu ya kucha kope juu ya kope 😂😂😂
pole kaka
Mnapenda mdondo sana
Eti tikiti maji hufai kuliwa wala kutengenezewa juice😂😂😂😂mchaga jumatatu umeisha
Kaka amemwagwa mwa😂😂
Huyu kaka hizo story za jinsia moja huenda sio uongo namuonaga maeneo ya ubungo sehem moja inaitwa best point mmh kaakaa yake, uvaaji wa vikaptula vyake vile mmh dada Mange hata hujakosea.
Hahahahah mchagaaaaa...... jmn dad yetu Dida mlipendezana wenyew
Mwamba Bora Hilo jimama limekuacha
Afa ufala we unastahili kuwa na mademu wakali kama kina mobetooo huko , nimependa tuu umeongea kiume, hao ndio Sisi wanaume
Maana Dida kama angekuwa anajiona heee angeacha hata kubwabwaja mitandaoni
Akajambe huko
@mr-nana africa, hv umeachana na Nuru?? Km umeachana naye Mungu atakuona umetoka mbali sana na yule dada wa watu hadi leo unajulikana
I think kipindi ni kizuri ila lighting inahitaji maboresho.
Bongo mahusiano nayo imekuwa kama mchezo😮😮😮😮😮
🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄eti ulaya😂😂😂Ulaya ya Nairobi
Malaya huyu Kama nni khoooooo 😂😂😂😂😂😂😂😂au tuseme unavyotongoza ovyo ovyo na kutongoza enyewe unatongoza kizaman maneno kibao 😊😊😊😊😊😊na kipind upo na dida unatongoza madem hatar na kulala nao 😂😂😂😂😂😂
Huyu kaka anampenda dida
Kumbe kuna style ya popo kanyea mbigu na mama samia kazuia bandar😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
@@aishaaisha4549njoo tuijaribu
mnaosea dida anabadili wanaume kwan kinawauma nn kimbunye si chake
😂😂😂😂
Kunacoment mojaimenichekesha kweli sasa uchungu uo wakujifungua au
😅😅😅😅😅nilitamani hii intewiew niyione kamili sasa huo kajingoa mwili kama nani subili dida akuchambe vijana tafuta kazi vibethen hivi njo wanapitiwa wakiwachoka wanawatema😂😂😂😂😂😂😂 na zile bata😂😂😂 na zile trank😂😂😂😂😂😂😂 mungu nisaidie😂😂😂😂😂🎉😂😂😂😊
Aliambiwa havina muda kumbee kweli alikuwa anamkomoa kimbi la moto yale ya dulla polen
😂😂😂na nyie mnayobandka wanawake juu ya mwanamke, nyie mnabandka nn? 😅
Mtu kajichubua hivyo alafu mwanaume 🤣🤣
Alafu wengi sana wanaume wasanii wanajichubua sijui kwann
Mlipendezeana sana jamani rudianeni basi. Nyiye basi😊
Nana nimekuelewa😂😂😂
Duuh sio poa
Mrudiane bn 😢 haya ni maisha
Mr nana anaoneka anampenda sana dida ila dida mmmh nimtihani
Dida arudi kwa Kumbilamoto tu maana wameachana lkn hakuwai kumuongelea wala baba Samira lkn hivi ving'ast vitamtia aibu kila leo wapi Ezdon Mkisi watu watakuamini sasa kupitia Mr Nana👌👌👌👌👌
Mr nana anae kuhoji Nani?? Juma looker?? au Nani???
Haaaaa mchanga og unalo leo haaaa bakola za dida kwisha mchaga og😂
Kama majibu yapo kwenye new song hii ni kik.
Huyu demu jaman anavaaje jamani aibu naona mimi
😂😂😂😂😂nywele juu ya nywele,kucha juu ya kucha😂😂😂
Dida awezikuka na mwanaume ni dangaaa suguuu dida
Mimi najiulizaga hili penzi liliishiaga wapi nikasema media wamesahau kufatilia
Hii ilikuwa baada ya Kumbilamoto?
@@judyngowi391Ndio