MAIMARTHA AMKASIRISHA WOLPER -"NITAKUCHAPA KAMA MWANANGU MNIKOME , SEMA “SUU” - WOLPER

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 29

  • @gres1182
    @gres1182 Год назад +9

    Lakn sion vizuri jamen mjue ni ndoa hiyo ieshimiwe japo kidogo wajamen alf pia mjue kuna watoto jamen wa bongo mwanishida tabia🇰🇪🇰🇪

  • @zainabucharles6841
    @zainabucharles6841 Год назад +5

    Heshimuni doa , ndoa nimpango wa mungu vibaya sana mungu hapendi kuvunja ndoa ya mutu

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 Год назад +5

    Walpa naungana na mtwange, wazee wasio jiheshimu wakunute tu.

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 Год назад +5

    Ila Dida tangia umeingia wasaf kipindi chako kimekua cha umbea zaidi na sio buludani kama tulivyozoea acha maisha ya wasanii bhna

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 Год назад +1

      Kabisaaaaa ni umbea tu......hata kimekuwa hovyooo

  • @mtabevilaini6527
    @mtabevilaini6527 Год назад +1

    Media ya wasafi tv imekuwa ya Umbea siku izi mhh😢😢 badiliken

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 Год назад +2

    Wasafi ni Media kubwa sana Tz kwa sasa. Kwahiyo jaribuni kuwa makini na ndoa za watu. Dida kama umeachika mara tatu..Basi usichangie ndoa za wengine kuvunjika. Na hawo Watoto Wakiume hapo Lazma Wajitambue. Mna tuaribia Media yetu pendwa. Wacheni Kuongelea Wana Ndoa plzz.

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 Год назад +3

    Walper naungana na wewe, hawa wanawake wazee na wasiojiheshimu ni kuwatwanga tu ili wafumbe midomo yao na kuacha kufuatilia maisha ya watu, na w ahangaike ya kwao. Make sure you hit her very hard especial on her face and mouth 👄. Don’t let me down

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Год назад +7

    Jaman jamn ndoa ya watu haya mwaka bado mmeshaanza kuleta ujinga huuu

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Год назад +4

    Juma leo kawa mpole anamngunya maneno

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 Год назад +1

    Juma atafika hoi mbinguni

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 Год назад +4

    Eti mamaake au bibiake😂😂😂 Wolper anajionaga mdogo au sababu kaolewa na kitoto na yeye anajiona mtoto 😅😅😅

  • @kilizajumainn826
    @kilizajumainn826 Год назад +3

    Vingine muwe mnapotezea

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim Год назад +1

    Dada lokole lini utaacha ushoga

  • @khadijarashidy9304
    @khadijarashidy9304 Год назад +4

    Ila Juma mnafiki wewe😂😂😂kwel utafika mbinguni umechoka sana

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Год назад +2

    Mamaeeee aunt kunywa winee kumbe bondia🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @halimamhando5070
    @halimamhando5070 Год назад

    Eti atapigwa na mbege😅😅😅😅 juma khaaa

  • @user-dz5jc6pp8e
    @user-dz5jc6pp8e 6 месяцев назад

    Niandalieni huyo wolper

  • @aminaasia-jl8fk
    @aminaasia-jl8fk Год назад +1

    Sasa byiemnapenda kukufua mambo kumbe mwenyewe kafuta sasa mnaongelea ongeeni nayakwenu

  • @janemugoya1316
    @janemugoya1316 11 месяцев назад

    Heshima ndoa za watu nyie Wentworth vipindi that was bad

  • @laylahzayumba-wr3om
    @laylahzayumba-wr3om Год назад

    Hahaaaa, juma lokole ety napigwa na mbege,,,,

  • @omanmct135
    @omanmct135 Год назад

    Juma😂😂😂

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 Год назад

    Dida kweli munajuwa kumuikaliya juma kohoni kwKumusuta.

  • @jumasungula8510
    @jumasungula8510 Год назад

    Watu wote wenye jasho la pua usiwashezee

  • @bigirumanalululouise4540
    @bigirumanalululouise4540 Год назад

    Juma😂😂😂😂

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 Год назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @wardadanda6322
    @wardadanda6322 Год назад

    Kwenda uko choko wew hivi unajua maana ya ndoa wew eti angemfata kimya kimya angemuuliza kimya kimya mbona yey katoa hizo habari mtandaoni acha watanzania wawaone nyie ni wauaji ant na kusah ni wazazi,, jack ni mke wa mtu kwa nn uyo maimatha acngemfata jack kimya kimya kumpa ushauri km mdogo wake? Akatoa hizo habari mtandaoni bila kujua wenzie wataumia kiac gani acha adhalilishwe hazarani