MAIMARTHA AMKASIRISHA WOLPER -"NITAKUCHAPA KAMA MWANANGU MNIKOME , SEMA “SUU” - WOLPER
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Lakn sion vizuri jamen mjue ni ndoa hiyo ieshimiwe japo kidogo wajamen alf pia mjue kuna watoto jamen wa bongo mwanishida tabia🇰🇪🇰🇪
Heshimuni doa , ndoa nimpango wa mungu vibaya sana mungu hapendi kuvunja ndoa ya mutu
Walpa naungana na mtwange, wazee wasio jiheshimu wakunute tu.
Ila Dida tangia umeingia wasaf kipindi chako kimekua cha umbea zaidi na sio buludani kama tulivyozoea acha maisha ya wasanii bhna
Kabisaaaaa ni umbea tu......hata kimekuwa hovyooo
Media ya wasafi tv imekuwa ya Umbea siku izi mhh😢😢 badiliken
Wasafi ni Media kubwa sana Tz kwa sasa. Kwahiyo jaribuni kuwa makini na ndoa za watu. Dida kama umeachika mara tatu..Basi usichangie ndoa za wengine kuvunjika. Na hawo Watoto Wakiume hapo Lazma Wajitambue. Mna tuaribia Media yetu pendwa. Wacheni Kuongelea Wana Ndoa plzz.
Walper naungana na wewe, hawa wanawake wazee na wasiojiheshimu ni kuwatwanga tu ili wafumbe midomo yao na kuacha kufuatilia maisha ya watu, na w ahangaike ya kwao. Make sure you hit her very hard especial on her face and mouth 👄. Don’t let me down
Jaman jamn ndoa ya watu haya mwaka bado mmeshaanza kuleta ujinga huuu
Wanayataka wenyewe
Juma leo kawa mpole anamngunya maneno
Juma atafika hoi mbinguni
Eti mamaake au bibiake😂😂😂 Wolper anajionaga mdogo au sababu kaolewa na kitoto na yeye anajiona mtoto 😅😅😅
Vingine muwe mnapotezea
Dada lokole lini utaacha ushoga
Ila Juma mnafiki wewe😂😂😂kwel utafika mbinguni umechoka sana
Mamaeeee aunt kunywa winee kumbe bondia🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Eti atapigwa na mbege😅😅😅😅 juma khaaa
Niandalieni huyo wolper
Sasa byiemnapenda kukufua mambo kumbe mwenyewe kafuta sasa mnaongelea ongeeni nayakwenu
Heshima ndoa za watu nyie Wentworth vipindi that was bad
Hahaaaa, juma lokole ety napigwa na mbege,,,,
Juma😂😂😂
Dida kweli munajuwa kumuikaliya juma kohoni kwKumusuta.
Watu wote wenye jasho la pua usiwashezee
Juma😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Kwenda uko choko wew hivi unajua maana ya ndoa wew eti angemfata kimya kimya angemuuliza kimya kimya mbona yey katoa hizo habari mtandaoni acha watanzania wawaone nyie ni wauaji ant na kusah ni wazazi,, jack ni mke wa mtu kwa nn uyo maimatha acngemfata jack kimya kimya kumpa ushauri km mdogo wake? Akatoa hizo habari mtandaoni bila kujua wenzie wataumia kiac gani acha adhalilishwe hazarani