Salama Na TID SE6 EP07 FULL SHOW|NYOTA YAKO PART 1|SendTip MPESA LIPA NO 5578460

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
    NYOTA YAKO
    Khalid Mouhamed Tidy aka TID ni familia kwangu, mimi na yeye tunafahamiana zamani sana na ukabila wa Mama zetu pengine ndo ulitufanya tuwe karibu kwa kiasi hicho. Tulikua na marafiki wanaofahamiana. Sote tulikua tunaanza kazi na utafutaji tukiwa pamoja na pengine kiu na ubora wa kazi zetu ulitufanya kipindi flani twende kwenye njia tofauti. Ila kina mmoja alikua anashinda mechi zake kwenye ligi yake na kutawazwa kuwa bingwa wa mashindano kadha wa kadha.
    Nadhani yeye kuwa STAR mkubwa hapa Afrika ya Mashariki kulitokana na kujielewa kwake na kuwa mvumilivu wa mambo kwa kipindi kirefu. Usikuambie yoyote kwamba TID alikua star kwa usiku mmoja au, yaani alilala na kuamka then boom, hapana. Ilibidi afanye kazi nyingi, na watu wengi na kwenye hizo kazi ndo alikutana na Boss ambaye aliona kipaji chake na akamuunganisha na mtu sahihi. Baada ya hapo kazi ikafanyika na mengine yakafuata.
    Alikua mkubwa kiasi gani lakini? Alipitia mitihani gani? Na kipi anajivunia sana kwenye fani yake? Yepi majuto yake? Lowest moment kwenye maisha yake ilikua ipi? Kama huwa anapata mawazo ya kutaka siku zirudi nyuma na pengine angefanya vitu kwa utofauti? Kina nani na nani wanamaanisha nini katika maisha yake? Muziki wa nyumbani umemfanyia nini kwenye maisha yake?
    Wapi alisoma? Elimu yake ni ya kiwango gani? Ukaribu wake na Mama yake? Maisha ya sasa? Misukosuko aliyopitia miaka mitatu iliyopita ambayo ilimfanya aingie matatani na vyombo vya dola na mambo mengine mengi tuliyazungumzia humu. TID ana Kaka zake ambao wako naye karibu sana. Hilo nalo tuliligusia humu. Suala la yeye kuwa trend setter na mwisho wa siku hana faida anayopata kwa miaka mingi na nini hilo humfundisha pia hatukuliacha nyuma.
    Haya yalikua maongezi ya mtu na rafiki yake wa siku nyingi, humu pia nilitaka kujua kuhusu well being yake na mipango ya sasa ikiwa ni pamoja na TV show yake ambayo inamfanya awe busy na kumpa yeye nafasi ya kuwa na mashabiki wake kwa karibu zaidi. Tidy ni mcheshi, na mwenye kujielewa. Hatukuacha pia kuongelea mahusiano yake na Marehemu Albert Mangwea na maswali yaliyokua yamegubika juu ya chanzo cha kifo chake na pia yeye kama Rafiki na star, nini alijifunza.
    Yangu matumaini uta enjoy, utacheka na kuelewa baadhi ya mambo ambayo ulikua unajiuliza au pengine ulikua hujui kutoka kwa mmoja wa wasanii wa Bongo Flavour ambaye amesaidia kwa kiasi kikubwa kuutambulisha mziki wetu KIMATAIFA.
    Tafadhali enjoy.
    Love,
    Salama.Support us through anchor.fm/yahs...
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
    Audiomack Link bit.ly/YahSton...
    ‪RUclips Link bit.ly/RUclipsS...
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz

Комментарии • 121

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 2 года назад +16

    I can't wait Chidibeezi kwa hichi kipindi. Good Job Salama Always na enjoy show yakoo. TID 😂😂😂😂😂lazima ucheke saana

    • @fahamnitwahir9249
      @fahamnitwahir9249 2 года назад

      Dah itkuwa ni noma sana😂

    • @blackpanther4825
      @blackpanther4825 2 года назад

      Sanaa TID anachekesha sana

    • @Kobe_254
      @Kobe_254 2 года назад

      Chidi anazingua… ajibu maswali ipasavyo sometimes

    • @OnlyRuky
      @OnlyRuky 2 года назад

      @@Kobe_254 inategemea nani anamuuliza and how unamuuliza ukimchora na yeye ana kuchoka mara 2 yake but Salama yupo seriously

  • @HLee-qv7tl
    @HLee-qv7tl 2 года назад +15

    Curiously, I have been waited for that shit over miles

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao 2 года назад +9

    He's A Comedian he 🤣😅😂👋🤣👋🙌🏾❤️🇰🇪❤️🙌🏾nice vibing 💥👋🤣😂🤣

  • @salimselemani4861
    @salimselemani4861 2 года назад +6

    Lady I love your hair cut, second the way you talk.
    Now I have a question can we have a calendar not a date 🥰 calender have many days

  • @neypetpet9395
    @neypetpet9395 2 года назад +9

    TUNAMTAKA CHID BENZ MY CC 😂😂😂😂

  • @gathjanedominic2662
    @gathjanedominic2662 2 года назад +7

    😅😅😅😅 TId u will always be my no one artists

  • @dianamoshi167
    @dianamoshi167 6 месяцев назад +2

    TID uko vizuri kujieleza halafu English imelala hapo boss

  • @alwiyad1977
    @alwiyad1977 2 года назад +5

    Amazing interview and his sense of humor is on flick

  • @fahamnitwahir9249
    @fahamnitwahir9249 2 года назад +4

    Salama tuletee mwana wa ilalaaa, chi chi chi chi chid beeeeeenzzzzzz

  • @salummussa9880
    @salummussa9880 2 года назад +3

    I still enjoy the show....... sehemu nimeipenda Tid alipo mtag brother wake Abuudu Master......

  • @musamwambopo1269
    @musamwambopo1269 2 года назад +3

    Great video, your such a cool person Salama. And TID is funny .

  • @eyshermohammed2236
    @eyshermohammed2236 2 года назад +4

    Nampendaaa anaongea point sana 😂😂😂😂😂

  • @vevo3130
    @vevo3130 2 года назад +3

    yaani i have enjoyed this interview sanaaaaaaaa......

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 2 года назад +2

    Jina la Mr misifa halimfai Dully Skyse huyo ndo mwenyewe

  • @salumjumah5648
    @salumjumah5648 2 года назад +3

    Mzee kigogo mnyama Top iN Dar

  • @innocentshayo7599
    @innocentshayo7599 2 года назад +3

    Like a James Bond 007 😄😎

  • @empraapple-tonvevo3325
    @empraapple-tonvevo3325 Месяц назад

    I came here to confirm that TID is a Legend to Us in Uganda 🇺🇬 ( Nyota Yako)🎉🎉 ( TID, CHAMELEON AND MR NICE)

  • @kowech2626
    @kowech2626 2 года назад +9

    This felt so short. He is truly talented, an awesome person all round. You can feel his energy.

  • @johnmaina6081
    @johnmaina6081 2 года назад +3

    Nmempenda jesca na gauni lake la maua...nmempenda sana.

  • @boniventurekiwanuka.8098
    @boniventurekiwanuka.8098 2 года назад +3

    I like you guys very much.

  • @aloycesimon2028
    @aloycesimon2028 2 года назад +3

    Jessica shikamo😂😂😂😂😂😂🙌

  • @Kobe_254
    @Kobe_254 2 года назад +2

    Hapo kwa Chidi Benze nimecheka sana… guy is a serious actor; but very talented.. I like his songs ni vile kizazi kipya hakimwelewi sababu sahii mziki biashara na sio talanta tena 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇺🇸🇺🇸🇺🇸😂😂

    • @bahakyejo3800
      @bahakyejo3800 5 месяцев назад

      Big up tid real your top in dar Sasa kwa nn usipate kipindi say back then or olds gold

  • @palokuthereza2555
    @palokuthereza2555 2 года назад +2

    Uyu mbwaaa nampendaaa ukisoma hiii SMS njoo Sweden uinjoy one week TID

  • @nourvuitton2325
    @nourvuitton2325 2 года назад +4

    I like u guys ❤️

  • @salimselemani4861
    @salimselemani4861 2 года назад +2

    I laughed a Lot tuma na ya kutolea shukuru umetumiwa pesa

  • @mrmelody255
    @mrmelody255 2 года назад +2

    My brother is taking...watoto wa dogo🤣🤣🤣🤣

  • @StoryZaKibra
    @StoryZaKibra 2 года назад +8

    TID speaking good English

  • @bonifacembogo5675
    @bonifacembogo5675 2 года назад +3

    Tid is genius

  • @boniventurekiwanuka.8098
    @boniventurekiwanuka.8098 2 года назад +3

    Be blessed buddy.

  • @boniventurekiwanuka.8098
    @boniventurekiwanuka.8098 2 года назад +2

    Leo wamekutana wavunja Yai, nomaaaa sana.

  • @gracelee61
    @gracelee61 2 года назад +4

    this man is talented and so underrated sad sad sad

    • @Ebendentalclinic
      @Ebendentalclinic Год назад +2

      he is not underrated,around 2002-2007 he was at the pick,sema kuna kushuka kwenye mziki.kama ilivo kwenye biashara nyingine.

    • @RiricaMswati
      @RiricaMswati 8 месяцев назад

      ​@@Ebendentalclinic2007 na mbele kidogo
      🔥

  • @e.mmbasha218
    @e.mmbasha218 2 года назад +2

    Huyu mtu nimekosa muda wa kumsikiliza kabsa nimeskip hii interview more and more and now nimeshindwa kusikiliza

    • @manyaraboy
      @manyaraboy 2 года назад

      Unamjua tid top in dar WA zeze nyota yako ⭐💥💥💥

  • @flyingpharmacyapp2191
    @flyingpharmacyapp2191 2 года назад +1

    watoto wadogoooo🤣🤣....tuwazamie nyambavuuuu🔥🔥🔥🔥🔥

  • @maryshirima1234
    @maryshirima1234 2 года назад +10

    TID is a comedian...😂🙌😂

    • @rashah69
      @rashah69 2 года назад

      For sure, he needs to do something to it

  • @nicki1885
    @nicki1885 2 года назад +2

    I love this guy 😂😂♥️♥️

  • @elizabethsakina2306
    @elizabethsakina2306 2 года назад +1

    Nimecheka sana Jessica we mtoto mdogo ntakupiga 🤣😂😂🤣🤣🤣

  • @obenitejailos7007
    @obenitejailos7007 2 года назад +2

    NYIE HUYU JESSICA WOOOSHII

  • @josephjoh8260
    @josephjoh8260 2 года назад +2

    TID appreciate legend 🔥🔥🔥

  • @pulltheskymusicgroup4475
    @pulltheskymusicgroup4475 2 года назад +1

    I tried to talk tid one day but he's m7nd wasn't there, he's one if the best people in Tz and talented , wishing one day to see where he achieved

  • @MbonyiUpdates
    @MbonyiUpdates 3 месяца назад

    Rwanda loves you Tid

  • @editorfrank7471
    @editorfrank7471 5 месяцев назад

    2024 I HATE U NIMECHEKA LEO

  • @romansixbert4529
    @romansixbert4529 2 года назад +2

    I love the energy🤩

  • @dianamdaku9802
    @dianamdaku9802 2 года назад +2

    😂😂😂Top in dar🙌

  • @collinmhema5443
    @collinmhema5443 2 года назад +1

    Naona salama leo umeamua kutuletea tatizo studio

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 2 года назад +1

    Ilikuwa poa Sana! Ila haijaisha hii imekatikia njiani!!

  • @flyingpharmacyapp2191
    @flyingpharmacyapp2191 2 года назад +1

    a classic interview ever...i love th energy ...ths is🔥🔥🔥🔥🔥

    • @felixmtui8854
      @felixmtui8854 Год назад

      😄😄😄😄😄😄woow watoto wadogo

  • @boniventurekiwanuka.8098
    @boniventurekiwanuka.8098 2 года назад +1

    PEKEE,wimbo Bora forever.

  • @chpo7329
    @chpo7329 2 года назад +1

    M

  • @mosimakamba2085
    @mosimakamba2085 2 года назад +5

    He is powerful,I like the way's talking!!!

  • @allydamas3832
    @allydamas3832 2 года назад +1

    Amazing interview I really like it

  • @abdallahamad4682
    @abdallahamad4682 2 года назад +1

    Uko na chaf apoo ahahahah ni yeye

  • @hdmsasa3355
    @hdmsasa3355 2 года назад

    HD msasa official KITANZI gusa maandish ya blue ukasikie nilivyomfunika MBOSSO KHAN ruclips.net/video/Cdyxj5ymOR4/видео.html

  • @nassrasaid1925
    @nassrasaid1925 2 года назад +2

    1🧚🏽‍♀️

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 2 года назад +2

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @fredsanga9461
    @fredsanga9461 2 года назад +1

    TID ni motoooo sana

  • @Iamcameronboyce
    @Iamcameronboyce 2 года назад +1

    Salama is beautiful MashaAllah.

  • @KesheMedia
    @KesheMedia 2 года назад +2

    nampenda sana Mnyama..
    ruclips.net/video/oiFLHQq375g/видео.html

  • @tildahongkong6086
    @tildahongkong6086 2 года назад +1

    Daah nimecheka 😂😂

  • @cobrachristian3685
    @cobrachristian3685 2 года назад +1

    Chid benz aje pia

  • @LetdiscussBusiness
    @LetdiscussBusiness 6 месяцев назад

    Nakubali very talented huyu ndo kamtoa mpaka majizo

  • @sayuniseth8501
    @sayuniseth8501 Год назад

    Hii English ya tid is another level hahaha nimecheka Sana

  • @maryshirima1234
    @maryshirima1234 2 года назад +4

    Dah... I have never laughed out loud like today...😂😂😂

  • @Zarmahshimia
    @Zarmahshimia 2 года назад

    Uyu kaka namzimia🇰🇪🔥,ni yeyeee,kama inakuja inakataa💯🔥🔥🔥🔥

  • @kiumbekiumbe4711
    @kiumbekiumbe4711 2 года назад

    A bet u wil never gon pick harmonize coz of what u have said about him type shi u know wht I mean

  • @GivenTobago
    @GivenTobago Год назад

    i apriciated TID long way ago he is the best in singing

  • @bhaleeali8459
    @bhaleeali8459 2 года назад

    daaah TID bana ameifanya siku yangu kuwa nzuri nimefurahi sssaaanaa 😁😁

  • @matridahmwandali4258
    @matridahmwandali4258 2 года назад

    Panki kama la lucas mkenda. Salama utakuwa umemjua ni nani..hahahahahah..

  • @dianamoshi167
    @dianamoshi167 6 месяцев назад

    TID nimekupenda bureee

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 года назад

    Kichaa Wetu *TID* nyota yako

  • @bandanahmiqassa
    @bandanahmiqassa 2 года назад

    Watoto wadogo 😀😀😀😀😀

  • @ashuranuhu8586
    @ashuranuhu8586 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣aka yani huyu jmni

  • @richardfedrick8754
    @richardfedrick8754 2 года назад +1

    🔥

  • @suleimansuleiman1127
    @suleimansuleiman1127 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 dah TID wee ni noooma

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 2 года назад

    MVUTO WA KUOLEWA AU KUOWA
    m.ruclips.net/video/HdR6_C_pnto/видео.html

  • @mwasitiiddy1089
    @mwasitiiddy1089 2 года назад

    Nampend tid mashaalwah he si talented napend personality yak

  • @LetdiscussBusiness
    @LetdiscussBusiness 6 месяцев назад

    Huyu jamaa ana kipaji kikubwa sana sio mziki tu alifanya move inaitwa Girl friend kibongo haijawah tokea pia alikuwa mtangazaji magic fm bado alifanya vizur pia ndo mtu alie mtoa Majizo na wengine wengi

  • @sebastianalbert2857
    @sebastianalbert2857 Год назад

    Mnyama ana flooww

  • @NiraSaire
    @NiraSaire 2 года назад

    Pasua nijambe 😂😂

  • @kelvinmhanga3052
    @kelvinmhanga3052 2 года назад

    nzuri sana kwa kweli

  • @rosegideon336
    @rosegideon336 2 года назад

    TID upo Vzr broo

  • @justinomari1746
    @justinomari1746 2 года назад

    watoto wadogo😂😂😂

  • @boniventurekiwanuka.8098
    @boniventurekiwanuka.8098 2 года назад

    Wig?😂😂😂😂😂😂

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 2 года назад

    I like this guy ki ukweli.

  • @richardmassawe7147
    @richardmassawe7147 2 года назад

    TopInDar😁🙌🔥

  • @allyadamtz
    @allyadamtz 2 года назад

    Jamaa so talented sana

  • @boniventurekiwanuka.8098
    @boniventurekiwanuka.8098 2 года назад

    TID.

  • @Mpili307
    @Mpili307 2 года назад

    2nd to comment 🔥🔥

  • @wilbardkweka4572
    @wilbardkweka4572 2 года назад

    Mnyamaa

  • @nawaladan5730
    @nawaladan5730 2 года назад

    Big fun tidy

  • @kelvinkinabo8001
    @kelvinkinabo8001 2 года назад

    Eti pasua nijambe 😂😂😂

  • @brunodemarx9198
    @brunodemarx9198 2 года назад +2

    Nakubaliii legend T. I. D 🔥🔥🔥

  • @salomembasha7100
    @salomembasha7100 2 года назад

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @rahmaawadh1695
    @rahmaawadh1695 2 года назад +1

    Nimejikuta nacheka maneno ya TID suit style yake pasua nijambe jamaniiiii🤣🤣🤣

  • @johannahakim8470
    @johannahakim8470 2 года назад +1

    Tid amezeeka maskini

  • @johnmalembeka3546
    @johnmalembeka3546 2 года назад +1

    Jesca hanadili nguo sorry lakn

  • @enockmwilongo5771
    @enockmwilongo5771 2 года назад

    Uyu jamaa chizi sana

  • @Eddo-es7zs
    @Eddo-es7zs 2 года назад

    Viti ndio vinaboa Salama Jabir na kingine kwanini huwa unavaa nguo nyeusi kwenye hiki kipindi chako?

  • @salaita2829
    @salaita2829 Год назад

    Salama embu siku mtafute nay wa mitego katika hiki kipindi

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 2 года назад +2

    An intelligent woman with an intelligent man. Mnasikia nyinyi wanaume mnao kimbilia wanawake ambao sio wa standard zenu

    • @freddychris1407
      @freddychris1407 2 года назад

      Tunatizama character bro

    • @salimkibwana4699
      @salimkibwana4699 2 года назад

      Tumesikia

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 2 года назад +1

      @@salimkibwana4699 . Nice. Sio ukachague mke mkrugenzi au DC na mwanaume ni form 4 failure 😂. Kwanza lazima mta shindwana tu hata Kama utakua tajiri.

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 2 года назад +1

    He is no longer top in dar. No longer tid days. Don't lie