MAJABU! WADADA POA 18 WADAKWA MWANZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 май 2024
  • Jeshi la polisi mkoani Mwanza linawashikilia makahaba 18 waliokutwa wanafanya biashara ya kuuza miili yao ili kujipatia kipato katika eneo la shule ya msingi Kitangiri A iliyopo Ilemela mkoani Mwanza.

Комментарии • 1

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3y 21 день назад

    Sio kazi Yako kukamata makahaba na huyo mlinzi unamkamata kwa sababu gani kwa sababu hao dada zetu wamekosa kazi wamesoma serikali haitoi ajira ndio maana wanajiingiza huko na hao walinzi mishahara Yao ni midogo na inacheleweshwa kwa hiyo mtu anatumia njia ya mkato kujitafutia riziki hapo hajaiba