MJUSI,KIOO,GIZA LA USIKU NA MTU MWENYE MIKOSI, VIEPUKE HARAKA VIKO NA HASADI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 мар 2022

Комментарии • 74

  • @bitiiahmad3769
    @bitiiahmad3769 2 года назад +15

    Shekhe lakini tufundishe chakufanya itakua nisadaka kwako kwasababu watu wengi ni aathirika na sio wote wanaweza kukufikia

  • @aishambise6529
    @aishambise6529 2 года назад +11

    Sheikh Othuman mungu akuzidishie umri mrefu dawa zako n nzur manshallah nimepona baada y kuzitumia mungu akupe maisha marefu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🏻🙏🏻🙏🏻

    • @khadeejahrashid3177
      @khadeejahrashid3177 2 года назад +3

      Na kuunga mkono mm pia nimenunua dawa ya ulcers na bawasiri, na alhamndulillah binti yangu amepona na yuwala mpaka pilau, alhamndulillah Kisha JazakaLLahu Kheir sheikh othman

    • @ilhamcity2244
      @ilhamcity2244 2 года назад +2

      @@khadeejahrashid3177 dawa zake tutavipata vipi kenya

    • @khadeejahrashid3177
      @khadeejahrashid3177 2 года назад +1

      Zungumza na sheikh atakupa bei ya dawa na utalipa usafiri, zitakufikia popote Kenya in Sha Allah, zangu zilifika in two days alhamndulillah na binti yangu kwa Sasa mzima alikua yuwasumbuliwa na ulcers

  • @khadijaismail5013
    @khadijaismail5013 2 месяца назад +1

    Mashaallah shukuran shekh

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 2 года назад +3

    Shekhe mie yamenipata tena sana. Hivi nakuja huko nikifika nitawasiliana na wewe inshaallah

  • @ghanimaali4507
    @ghanimaali4507 2 года назад +5

    alla akuhifadh uzidi kutupa ladha ya dini yetu .

  • @hamidahamza8212
    @hamidahamza8212 15 дней назад

    Shekhe naomba unisaidie, nzii wakiwa wanakuzunguka hatakama hunuki tena umetoka kuoga lakini nzii wanakuzonga tu hiyo inamaana gani shekhe naomba unisaidie nijue,

  • @mohameeddoaan2296
    @mohameeddoaan2296 2 года назад +2

    MashaaAllah MashaaAllah Jazzaka Allah kheir sheikh nimejifunza kitu apa Shukran jazzilan

  • @mwaka308said7
    @mwaka308said7 2 года назад +2

    Shaikh nimekubali yamenipata ila nimeanza ku avoid iyo situation walay...shukran

  • @jumamohamedi5855
    @jumamohamedi5855 2 года назад +2

    Asante sana Kwa darsa zako Allah akuzidishie inshaallah

  • @user-pj7lj1bo3x
    @user-pj7lj1bo3x 6 месяцев назад

    Kweli twakuomba shekh,,tusaidie sana pale hasa tunapokupigia kwa msaada mungu akulinde sana .

  • @ashajuma1822
    @ashajuma1822 2 года назад +1

    Sheikh wetu mungu akubariki Sana ..naomba Allah akupe umri mrefu

  • @ggv866
    @ggv866 2 года назад

    Jazzaka Allah kheri Sheikh Othumam Michael

  • @hamidaasiimwe4266
    @hamidaasiimwe4266 2 года назад +1

    Nikweli Sheikh!
    Nafikiliya mimi nina hasad!
    ndugu zangu wote wananichukia
    mpaka na mtoto wangu hanachukia hanipendi. Sheikh nitakutafuta
    Shukran!

  • @bitiiahmad3769
    @bitiiahmad3769 2 года назад +16

    Mada mzuri lakini shekhe tuelekeze Dua dawa tujifanyie wenyewe itakua Kama ni sadaka kwako kwasababu watu wengi ni waathirika na sio wote wanao weza kukufikia

    • @fafafafa7175
      @fafafafa7175 2 года назад +2

      Kweli ..

    • @aminaramdan3283
      @aminaramdan3283 2 года назад +1

      Sheikh Ametoa sana Tatizo Hamfatilii vidio zake Anaelekeza na kutaja madawa yote kwa majina na kuzionyesha hasa Ili kama Unaweza ukanunue mwenyewe Uzifanye na Dua zote anaelegeza na Anakwambia kuwa Ni Sura gani usomee Hizo dawa Ama mafuta,, Wewe fatilieni vidio zake zote zilizo pita mtaona kila Kitu,,, Ila ni Bora Umwagizie Akutumie Mana Anatuma popote pale dunian,,

    • @rizikilukali1558
      @rizikilukali1558 Год назад

      @@aminaramdan3283 namba zake za simu

    • @yussuphharawe8075
      @yussuphharawe8075 Год назад

      @@rizikilukali1558 anagalia kwenye clip chini

  • @user-fc7vm5lk7u
    @user-fc7vm5lk7u 2 месяца назад

    Shekhe mm ninamume wangu yaani mungu anisamehe kwasababu kwakati mwengine nasema kama anakoo la kike kwasababu hana siri mambo yake kila mtu anakuambia chochote ninachomfanyia lazima kiwafikie watu labd nikimfanyia massage anaenda kutangaza yaan nisiongee tu mengi lkn vitu vyote vya ndoa ninavyomfanyia lazima akaongeee kwa wenzake hata mipango yake ya kupata ridhi lazima akaseme inaniwia ngumu sababu mimi sipendi hiy tabia naomba kama kina chochote kinawezekana unishauri nifanye nafsi yangu hairidhiki kwa tabia yake

  • @zaitunimakiya7096
    @zaitunimakiya7096 2 года назад +3

    Jazakalaukhaira mashallah

  • @kimcash3079
    @kimcash3079 2 года назад +3

    Dah hasdi mbaya sana

  • @fafafafa7175
    @fafafafa7175 2 года назад +5

    Dah!nafikiri Mume wangu ana hasadi kwa kweli .. yaani haeleweki .. anadharauliwa

  • @hamidaasiimwe4266
    @hamidaasiimwe4266 2 года назад +1

    Shukran Sheikh

  • @mifunga3414
    @mifunga3414 2 года назад +1

    Sukran sheikh

  • @nzarorazawadi1791
    @nzarorazawadi1791 Год назад

    Allah akuzidishie umri kwa kuzidi kupana elmu
    Tuna kijana kwenye familia nimefatilia ninegunduwa Iko hivyo Kila anapo ingia ni shida jambo lote akiliingilia libaharibika Najye ameisha gunduwa Ila hatujue tufanye Nini il nae akae sawa

  • @IMRANSTORIES136
    @IMRANSTORIES136 2 года назад +1

    Shukran sheikh

  • @shamymhmazan7778
    @shamymhmazan7778 2 года назад +2

    Mashallah shukran

  • @fridamweni8110
    @fridamweni8110 2 года назад

    Asante mungu akuzidishie

  • @mahdiakite1833
    @mahdiakite1833 2 года назад

    Maashallah je utafanyaje usithurike shehe tafathali

  • @ndohoriomsacky445
    @ndohoriomsacky445 2 года назад

    Pole na majukumu shehe tunaomba utusaidie tufanye Nini tupone

  • @hassankatemba1933
    @hassankatemba1933 2 года назад

    Jazza qu'Allah sheikh

  • @user-kg3hv5pf5q
    @user-kg3hv5pf5q Год назад

    Mashalaa shee othoman

  • @ashalaurent2465
    @ashalaurent2465 2 года назад +1

    Mashaallah shekh ila tupe njia mbadala ya kuiondoa hiyo hasad maana wengine uwezo wakufika hatuna kwa sasa wallahi tuna mitihani mikubwa tu

    • @aminaramdan3283
      @aminaramdan3283 2 года назад

      Mbona Sheikh Katoa Maelekezo Jinsi ya kujitibia Hasad Jamani Fatilia Vidio zake zote Yani Anaelekeza na vitendo kabisaa Ili Ufanye Ama mtu Akufanyie hapo Ulipo

    • @neemajoseph9192
      @neemajoseph9192 Год назад

      Shekh ALLA akulipe hata mimi hasadi imedhuru kwa muda mrefu ni ugonjwa mbaya Sana Alla atupe shifaa

  • @sweetmeena5970
    @sweetmeena5970 2 года назад +1

    Huyu ni mimi kabisaa nikipata hatua nitakuja huko Tanzania

  • @ukhtykhajradunia1858
    @ukhtykhajradunia1858 2 года назад +1

    Assalam aleykum shekhe unapa tokana wapi nina shida sana

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 2 года назад

    Sheikh usiwalinganie wasiokua waisilam kwa Utnz ni vzr uwalinganie kwa imani ya haq. Kwa sabbu unapoingiza utnz na waisilam wanaoenda makanisani kuombewa watajiona wapo sawa.

  • @rehemakupela2128
    @rehemakupela2128 2 года назад +1

    Shekhe Nina wanangu nahisi wanasumbuliwa na hasadi ,nitakupataje nipo mtwara Newala ,mmoja anasumbuliwa na mabaka mwingine kifua na mwingine kimasomo ameshuka iki Khali hakuwa hivyo ,nahitaji msaada wako namba ya kukupata

  • @meezmaa2790
    @meezmaa2790 2 года назад

    Aslam aleykum shekhe kweli m ninavyo vyote iv ntkpatje

  • @swaumhassan8413
    @swaumhassan8413 Год назад

    Usiku wa jana kuamkia Leo tarh 5 nimeota nipo na mwenzangu kuna njia tunapita kuna mijusi kenge wengi wakubwa na wadog

  • @fatimaismail2250
    @fatimaismail2250 2 года назад

    masha Allah

  • @sashoright8213
    @sashoright8213 2 года назад

    Mie sipend wanangu watu wawashangae au kuwaukizia sa zote sipend mnoo loh leo ndo nmejua mana wakiulizwa ujue anaumwa mmoja anafata nwngne na apo kwnye mapunye wanaomsifia nzurii katika wanangu walimshika kichwa ad leo punye aziishi kichwa kibaya

  • @sumydady8380
    @sumydady8380 Год назад +1

    Mashallah

  • @zainabmsuya2419
    @zainabmsuya2419 2 года назад +3

    Maashallaah , mwenyezi mungu akujalie mema dunia na akhera

  • @user-dz1cm6rt4b
    @user-dz1cm6rt4b 4 месяца назад

    Elimu yako nimekuelewa

  • @minalgodlove2363
    @minalgodlove2363 Год назад

    Unapatikna wap sheikh

  • @aminaegge4930
    @aminaegge4930 2 года назад

    Asc siku moja niliona mijusi mbili Mombasa baharini moja kijani upande wa kulia jingine kijivu upande wa wa Kushiro kungeuuka huku kuangalia yuko mwengine kushoto kwa sekunde moja paka leo sjasahau sh nini

  • @planetanimals9547
    @planetanimals9547 2 года назад +3

    Hii mada lkn unaizungumza sn mda mwingine inasababisha kila mtu anaekufatilia aone kafanyiwa hasad yaani ukizungumzia jambo moja maranyingi unafanya watu wawe na stress sana kuhusu jambo hilo pamoja na dhana

    • @mamibaybii2669
      @mamibaybii2669 2 года назад +1

      Shukran shekh nahisi hata mume wangu tatizo hilo analo, ni mtihani kwa kweli

  • @funnyVids_001
    @funnyVids_001 Год назад

    Shekh miyeyusho et ukiitazama taa ina pasuka, mwizi tu

    • @MimahYaseen
      @MimahYaseen 3 дня назад

      We nae sio mzima kwanz umesoma dini wew

  • @maalimkhamis4600
    @maalimkhamis4600 2 года назад

    Ila shekhe suala la kadari apo linakuaje

  • @idayagicheha
    @idayagicheha Год назад

    Nimejifunza ila mimi simuislam sisi tunasena umekosa kibali

  • @lulukinyaka8488
    @lulukinyaka8488 2 года назад

    Shekhe utajijuaje kama unahasadi?

  • @abduljabbar1435
    @abduljabbar1435 2 года назад +1

    Sheikh tunakutafuta kwenye simu hatukupate

    • @shamymhmazan7778
      @shamymhmazan7778 2 года назад +1

      Samahani cm zake muda wote ziko hewan mbona ukipiga atapokea yeye ama wa saidizi wake

  • @user-pl4qn1ko1j
    @user-pl4qn1ko1j 7 месяцев назад

    Asante

  • @yumnarh1516
    @yumnarh1516 2 года назад +1

    Unapatikana wapi mm naumwa niko na matatizo kibao

    • @binrashid8671
      @binrashid8671 2 года назад

      Allah akuafu

    • @umsulaiman7468
      @umsulaiman7468 2 года назад

      Assalam aleik naomba namba yko ili nikueleze matatizo yangu mm na matatizo mengi

  • @mamdiakite698
    @mamdiakite698 7 месяцев назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @sarahmohamed337
    @sarahmohamed337 2 года назад +1

    Nakupata vp sheikh?

    • @mudhainamuhd2009
      @mudhainamuhd2009 2 года назад

      Nahitaji dawa za kupata mimba shekhe

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 Год назад

      @@mudhainamuhd2009 in shaa Allah akufanyie wepesi🙏🙏🙏😭😭😭😭

  • @mkasiali6956
    @mkasiali6956 2 года назад

    Nina swali bt nipenambayako

    • @latifagatore9910
      @latifagatore9910 2 года назад

      Shukran sheh duwa yakujiodowa hasadi niyawapi

  • @bitiiahmad3769
    @bitiiahmad3769 2 года назад

    Nina maoni mengi