Na kuunga mkono mm pia nimenunua dawa ya ulcers na bawasiri, na alhamndulillah binti yangu amepona na yuwala mpaka pilau, alhamndulillah Kisha JazakaLLahu Kheir sheikh othman
Zungumza na sheikh atakupa bei ya dawa na utalipa usafiri, zitakufikia popote Kenya in Sha Allah, zangu zilifika in two days alhamndulillah na binti yangu kwa Sasa mzima alikua yuwasumbuliwa na ulcers
Mada mzuri lakini shekhe tuelekeze Dua dawa tujifanyie wenyewe itakua Kama ni sadaka kwako kwasababu watu wengi ni waathirika na sio wote wanao weza kukufikia
Sheikh Ametoa sana Tatizo Hamfatilii vidio zake Anaelekeza na kutaja madawa yote kwa majina na kuzionyesha hasa Ili kama Unaweza ukanunue mwenyewe Uzifanye na Dua zote anaelegeza na Anakwambia kuwa Ni Sura gani usomee Hizo dawa Ama mafuta,, Wewe fatilieni vidio zake zote zilizo pita mtaona kila Kitu,,, Ila ni Bora Umwagizie Akutumie Mana Anatuma popote pale dunian,,
Shekhe mm ninamume wangu yaani mungu anisamehe kwasababu kwakati mwengine nasema kama anakoo la kike kwasababu hana siri mambo yake kila mtu anakuambia chochote ninachomfanyia lazima kiwafikie watu labd nikimfanyia massage anaenda kutangaza yaan nisiongee tu mengi lkn vitu vyote vya ndoa ninavyomfanyia lazima akaongeee kwa wenzake hata mipango yake ya kupata ridhi lazima akaseme inaniwia ngumu sababu mimi sipendi hiy tabia naomba kama kina chochote kinawezekana unishauri nifanye nafsi yangu hairidhiki kwa tabia yake
Allah akuzidishie umri kwa kuzidi kupana elmu Tuna kijana kwenye familia nimefatilia ninegunduwa Iko hivyo Kila anapo ingia ni shida jambo lote akiliingilia libaharibika Najye ameisha gunduwa Ila hatujue tufanye Nini il nae akae sawa
Mbona Sheikh Katoa Maelekezo Jinsi ya kujitibia Hasad Jamani Fatilia Vidio zake zote Yani Anaelekeza na vitendo kabisaa Ili Ufanye Ama mtu Akufanyie hapo Ulipo
Sheikh usiwalinganie wasiokua waisilam kwa Utnz ni vzr uwalinganie kwa imani ya haq. Kwa sabbu unapoingiza utnz na waisilam wanaoenda makanisani kuombewa watajiona wapo sawa.
Shekhe Nina wanangu nahisi wanasumbuliwa na hasadi ,nitakupataje nipo mtwara Newala ,mmoja anasumbuliwa na mabaka mwingine kifua na mwingine kimasomo ameshuka iki Khali hakuwa hivyo ,nahitaji msaada wako namba ya kukupata
Mie sipend wanangu watu wawashangae au kuwaukizia sa zote sipend mnoo loh leo ndo nmejua mana wakiulizwa ujue anaumwa mmoja anafata nwngne na apo kwnye mapunye wanaomsifia nzurii katika wanangu walimshika kichwa ad leo punye aziishi kichwa kibaya
Asc siku moja niliona mijusi mbili Mombasa baharini moja kijani upande wa kulia jingine kijivu upande wa wa Kushiro kungeuuka huku kuangalia yuko mwengine kushoto kwa sekunde moja paka leo sjasahau sh nini
Hii mada lkn unaizungumza sn mda mwingine inasababisha kila mtu anaekufatilia aone kafanyiwa hasad yaani ukizungumzia jambo moja maranyingi unafanya watu wawe na stress sana kuhusu jambo hilo pamoja na dhana
Shekhe lakini tufundishe chakufanya itakua nisadaka kwako kwasababu watu wengi ni aathirika na sio wote wanaweza kukufikia
Sheikh Othuman mungu akuzidishie umri mrefu dawa zako n nzur manshallah nimepona baada y kuzitumia mungu akupe maisha marefu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Na kuunga mkono mm pia nimenunua dawa ya ulcers na bawasiri, na alhamndulillah binti yangu amepona na yuwala mpaka pilau, alhamndulillah Kisha JazakaLLahu Kheir sheikh othman
@@khadeejahrashid3177 dawa zake tutavipata vipi kenya
Zungumza na sheikh atakupa bei ya dawa na utalipa usafiri, zitakufikia popote Kenya in Sha Allah, zangu zilifika in two days alhamndulillah na binti yangu kwa Sasa mzima alikua yuwasumbuliwa na ulcers
Mashaallah shukuran shekh
Shekhe mie yamenipata tena sana. Hivi nakuja huko nikifika nitawasiliana na wewe inshaallah
alla akuhifadh uzidi kutupa ladha ya dini yetu .
Shekhe naomba unisaidie, nzii wakiwa wanakuzunguka hatakama hunuki tena umetoka kuoga lakini nzii wanakuzonga tu hiyo inamaana gani shekhe naomba unisaidie nijue,
MashaaAllah MashaaAllah Jazzaka Allah kheir sheikh nimejifunza kitu apa Shukran jazzilan
Shaikh nimekubali yamenipata ila nimeanza ku avoid iyo situation walay...shukran
Asante sana Kwa darsa zako Allah akuzidishie inshaallah
Kweli twakuomba shekh,,tusaidie sana pale hasa tunapokupigia kwa msaada mungu akulinde sana .
Sheikh wetu mungu akubariki Sana ..naomba Allah akupe umri mrefu
Jazzaka Allah kheri Sheikh Othumam Michael
Nikweli Sheikh!
Nafikiliya mimi nina hasad!
ndugu zangu wote wananichukia
mpaka na mtoto wangu hanachukia hanipendi. Sheikh nitakutafuta
Shukran!
Mada mzuri lakini shekhe tuelekeze Dua dawa tujifanyie wenyewe itakua Kama ni sadaka kwako kwasababu watu wengi ni waathirika na sio wote wanao weza kukufikia
Kweli ..
Sheikh Ametoa sana Tatizo Hamfatilii vidio zake Anaelekeza na kutaja madawa yote kwa majina na kuzionyesha hasa Ili kama Unaweza ukanunue mwenyewe Uzifanye na Dua zote anaelegeza na Anakwambia kuwa Ni Sura gani usomee Hizo dawa Ama mafuta,, Wewe fatilieni vidio zake zote zilizo pita mtaona kila Kitu,,, Ila ni Bora Umwagizie Akutumie Mana Anatuma popote pale dunian,,
@@aminaramdan3283 namba zake za simu
@@rizikilukali1558 anagalia kwenye clip chini
Shekhe mm ninamume wangu yaani mungu anisamehe kwasababu kwakati mwengine nasema kama anakoo la kike kwasababu hana siri mambo yake kila mtu anakuambia chochote ninachomfanyia lazima kiwafikie watu labd nikimfanyia massage anaenda kutangaza yaan nisiongee tu mengi lkn vitu vyote vya ndoa ninavyomfanyia lazima akaongeee kwa wenzake hata mipango yake ya kupata ridhi lazima akaseme inaniwia ngumu sababu mimi sipendi hiy tabia naomba kama kina chochote kinawezekana unishauri nifanye nafsi yangu hairidhiki kwa tabia yake
Jazakalaukhaira mashallah
Dah hasdi mbaya sana
Dah!nafikiri Mume wangu ana hasadi kwa kweli .. yaani haeleweki .. anadharauliwa
Hana
Hahahah ww apo ndo utakua unayo hasad
Jee yeye mwenyewe kajiheshimu?
Shukran Sheikh
Sukran sheikh
Allah akuzidishie umri kwa kuzidi kupana elmu
Tuna kijana kwenye familia nimefatilia ninegunduwa Iko hivyo Kila anapo ingia ni shida jambo lote akiliingilia libaharibika Najye ameisha gunduwa Ila hatujue tufanye Nini il nae akae sawa
Shukran sheikh
Mashallah shukran
Asante mungu akuzidishie
Maashallah je utafanyaje usithurike shehe tafathali
Pole na majukumu shehe tunaomba utusaidie tufanye Nini tupone
Jazza qu'Allah sheikh
Mashalaa shee othoman
Mashaallah shekh ila tupe njia mbadala ya kuiondoa hiyo hasad maana wengine uwezo wakufika hatuna kwa sasa wallahi tuna mitihani mikubwa tu
Mbona Sheikh Katoa Maelekezo Jinsi ya kujitibia Hasad Jamani Fatilia Vidio zake zote Yani Anaelekeza na vitendo kabisaa Ili Ufanye Ama mtu Akufanyie hapo Ulipo
Shekh ALLA akulipe hata mimi hasadi imedhuru kwa muda mrefu ni ugonjwa mbaya Sana Alla atupe shifaa
Huyu ni mimi kabisaa nikipata hatua nitakuja huko Tanzania
Assalam aleykum shekhe unapa tokana wapi nina shida sana
Sheikh usiwalinganie wasiokua waisilam kwa Utnz ni vzr uwalinganie kwa imani ya haq. Kwa sabbu unapoingiza utnz na waisilam wanaoenda makanisani kuombewa watajiona wapo sawa.
Shekhe Nina wanangu nahisi wanasumbuliwa na hasadi ,nitakupataje nipo mtwara Newala ,mmoja anasumbuliwa na mabaka mwingine kifua na mwingine kimasomo ameshuka iki Khali hakuwa hivyo ,nahitaji msaada wako namba ya kukupata
Aslam aleykum shekhe kweli m ninavyo vyote iv ntkpatje
Usiku wa jana kuamkia Leo tarh 5 nimeota nipo na mwenzangu kuna njia tunapita kuna mijusi kenge wengi wakubwa na wadog
masha Allah
Mie sipend wanangu watu wawashangae au kuwaukizia sa zote sipend mnoo loh leo ndo nmejua mana wakiulizwa ujue anaumwa mmoja anafata nwngne na apo kwnye mapunye wanaomsifia nzurii katika wanangu walimshika kichwa ad leo punye aziishi kichwa kibaya
Mashallah
Maashallaah , mwenyezi mungu akujalie mema dunia na akhera
Elimu yako nimekuelewa
Unapatikna wap sheikh
Asc siku moja niliona mijusi mbili Mombasa baharini moja kijani upande wa kulia jingine kijivu upande wa wa Kushiro kungeuuka huku kuangalia yuko mwengine kushoto kwa sekunde moja paka leo sjasahau sh nini
Hii mada lkn unaizungumza sn mda mwingine inasababisha kila mtu anaekufatilia aone kafanyiwa hasad yaani ukizungumzia jambo moja maranyingi unafanya watu wawe na stress sana kuhusu jambo hilo pamoja na dhana
Shukran shekh nahisi hata mume wangu tatizo hilo analo, ni mtihani kwa kweli
Shekh miyeyusho et ukiitazama taa ina pasuka, mwizi tu
We nae sio mzima kwanz umesoma dini wew
Ila shekhe suala la kadari apo linakuaje
Nimejifunza ila mimi simuislam sisi tunasena umekosa kibali
Shekhe utajijuaje kama unahasadi?
Sheikh tunakutafuta kwenye simu hatukupate
Samahani cm zake muda wote ziko hewan mbona ukipiga atapokea yeye ama wa saidizi wake
Asante
Unapatikana wapi mm naumwa niko na matatizo kibao
Allah akuafu
Assalam aleik naomba namba yko ili nikueleze matatizo yangu mm na matatizo mengi
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nakupata vp sheikh?
Nahitaji dawa za kupata mimba shekhe
@@mudhainamuhd2009 in shaa Allah akufanyie wepesi🙏🙏🙏😭😭😭😭
Nina swali bt nipenambayako
Shukran sheh duwa yakujiodowa hasadi niyawapi
Nina maoni mengi