Faida Za Swala Za Usiku / Kama Unashida Zako Soma Aya Hii/ Surah Al Muzzammil Part 2/Sheikh Hashimu
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Faida Za Swala Za Usiku / Kama Unashida Zako Soma Aya Hii / Surah Al Muzzammil Part 2 / Sheikh Hashimu Rusaganya
Darsa la tafsiri Mwinyimkuu 2021 la mwezi Rabil Thanni mwaka 1443H lilotolewa na sheikh Hashimu Rusaganya kwa uzuri na ubora wa hali juu kabisa tiizama na endelea kufatilia darsa zetu na usisahau kushare kwa wingi
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/Dars...
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks - Развлечения
Shukran sheikh Allahazidi kukupa maisja marefu ilmu kwa waislamu wenzako
Shukran sheikh Allahndiye atakae kulipe kila kher na kukupa daraja bora zaidi kesho akhera
Allah akulipe kheri
ALLAH AKULIPE KHERI NIMEFANIKIWA KWA DARSA ZAKO SHEIKH ...MOJA YA MAWAIDHA YAKO MIAKA KADHAA YA 2005 ULISEMA UZITO WA SWALA YA SUNNA YA KABLA YA SUBHI ILIVYO BORA KULIKO ..NA SWALA YA DHUHA ...INSHAALLAH HADI LEO NAAMINI KABISA ZIMENIATHIRI KIIMANI NA ZINANISAIDIA SANA SANA ALLAH ATULIPE SOTE
Allah anijalie niweze kupata mume sahihi mwaka huu usiishe inshallah
Aamin
Inshaalah Allah akuwekee wepec upate mume bora
Sheikh nimekuvulia kofia nimesoma madras a Kenya walahi ni kweli unayo Sema, WAMAN YATAQIL Allah yajaalu Allah maqrajah, WAyarzuquha min heythi LA tahsib
Maaa shaaa Allah🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭
Waufawidhu amri ila llah inna llaha baswirun bil ibad
Shukran shekhe .
Allah akuhifadhi duniani n'a akhera
Mwenyezimungu (SW) akupe kheri ,akilinde na akupe mwisho mwema Aamin
Khadija dua hii Waufawidhu amri ilalah inallah baswiru bil,ibady inshaallah ALLAH atutakabaliye
Mashallah mafundisho Mazurie ❤❤❤❤❤
MashaAllah sheikh Allah akulipe kheri inshaAllah
WA OUFAWIZU AMRI ILALLAH, INNALLAH BASEERUM BIL EBAD
Wa oufawizu amri ilallah innallah baseerum bil ebad
@@ashuraissak8561😊
14:43 14:46 14:49
Allah akuzidishie Ujuzi Mashallah
Alhamdulilah najifunza mengi kutoka kwako allah akujalie afya njema uzid kutuelimisha
Mungu akupe mwisho mwema kwakila jambo
Alhamdulillah M/Mungu akupe umri Mrefu shekh wetu na mwisho ulio mwema🤲
Wa ufawwidu amri ila-Allah, inna-Allaha basirun bil-ibad”
Aya ya ngapi na katika surati muzzamil
Mana siiyoni
@@anasamaaliki6825 hiyo aliyoandika haipo kwenye muzzamil
@@anasamaaliki6825 surat ghafir aya 44
Niandie kiswahili ndugu yangu
Shukran shekh wetu, kwa kutufunza na wewe Allah akufanyie wepesi kila penye uzito.
Shukuran shekhe wetu ALLAH akulipe malipo duniani na akhera inshaallah shukuran
Shukrani sanaa
@@Pondaboy5759 AFWAN BROTHER 🤲☝️
Shukran Jazelan Sheikh Hashim .
Waisilamu wamejaa baraka tele
Ss siku zote tunaomba amani ndio kila kitu Amani Ya Allah isambae kila kona ya nchi yetu na majirani zetu kwa unyenyekevu tunakuomba SALAM Amiin
Allah akupe umri mrefu Sheikh wetu utupe ilmu amini
Nalikabidhi jambo langu kwa Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu anawajua waja wake.
Tunakupenda sana allah akulipe jannah
Alhamdulillah najifunza mambo mengi kutoka kwako allah akupe afya njema uzid kutuelimisha in sha allah
Ahsante shekhe Allah akujalye kheri
Shukurani shekh nakupenda kwa ajilinua Allah. Akulipe pepo mwenye pepo yake. Hapo washirikina kushnei
Alhamdulilah shekh.mung akuzidishie kila la kher
Allah akujaalie kila la kheri
Jazaaka lahu haira sheikh
Alhamdulillah kupata shekhe kutuelimisha. Leo nimejua hiyo swala ya saa sita. Jazakallahul kheir. Dua nzuri sana hizo zote ulizo taja SHEIKH.
Jadhakallaul kheir ,Shukla n,kujua
Mashallah Allah atuongoze
Jazakallahu kheir sheikh Kwa mafunzo
Shukran sheikh! Allah akulipe kila la kheri umenipa darsa zuri mashaallah!
Ya Rabb atulinde na athari za makafiri🤲
tumuombe mungu atupe mwisho mwema
Na kimombo yumo sheikh wetu excellent nice person Allah bless us all
Mashalah mashallah Allah atakulipa kwaujira huu hakika najifunza menqi kupitia paqe yako
Allah akujaalie umri mrefu ulioambatana na matendo mema
Sheikh Hashim Rusaganya one among the greatest Muslim schooler in Tanzania and East Africa in general, I like the way he preaches.
wafaudhu amri ilaah ina lash baswiru billbad
66666y
Yes he is a very good Muslim
@@shabanimtambulange512😢
😊Allah akulipe kwa wema unao endelea Amina
Shekh wetu hawezi maliza bila kutukana mashallah japo wanastahili kutukanwa . Neno mshenzi huwa halikosi ktk mada zake. Allah akuhifadhi shekh wetu .
😳😳😳🏃
MashaAllah Sheikh mawaidha mazuri❤❤❤ .
Mashaalah jazaakallah
Allah akulipe shekhe
A alkm. Warahmatu Allahi wabarakat. Sheikh mm nayaelewa sana mawaidha yako.. na yaniingia kwenye moyo na akili na kwa uwezo wa Allah hujitajid kuyafanyia kazi. Eeeh Mola wangu muhifadhi Sheikh wetu. Umpe kila la kheir katika Dunia yake na akhera yake..Ameen
Amiin
Amiin yarabi
Ameen
Amiin
Masha Allah shukuran sana shekh wetu mwenyezi mungu akulipe heri
Maa shaa Allah
Alhamdulilah 🙏, Allah akusimamie
ManahaAllah baraka Allah Shekhe 🙏
Allah akufungulie mambo yako pia shekhe na sisi pia allahumma amin.
Amiin
Mashaallah shekhe Allah akuhifadhi lnshaallah
Ma Shaa Allah
Mungu akulipe kila laheri shehe Na akupe umri mrefu
ooooh sio shia huyu sina haja laye kusikiza huyu nimzee msaniii
Mungu akufanyie wepes
Asantee shekhy .tena asantee sana Kwa kunielimisha
mashaAllah ust Dua nzuri Allahu barik
Shukran Allah akujaze kheri utufunze na mengine
Ni kweli ustadh
Thank you Sheikh for the Zhikr you taught us. May Allah bless you & I have already memorized them In Shaa Allah I put in practice.
Mashaallah shehe
Allah.akukuhifadhi
Yusuf Al shekhe nakupenda kwa uswalishaji wako Sana mi natoka Kenya kwa mosque ya uchamah pale webuye
Jazakalaukher
Sheikh Hashim Rusanganya keep up the excellent work of daawah
Allah akuzidishie elimu uzid kutuelimisha yalo mazuri.
tutajitahid sheikh kwa ilo inshaallah.
MashaAllah Allah barik
بارك الله فيك وجزاك الله خير شيخنا
❤ 25:09 m
Mashallah sheikh
Assalam alykum warahmatullah wabarakat. Asante saana sheikh kwa mafunzo Mazurie Allah akuzudishiee khel n'a muri mulefu❤️❤️❤️
Shukran Allah akujaze kheir
Shukran sana jadhaakallahu kheri
Allah akuhifadhi sheikh wetu. Alhamdulillah nimefaidika
Mashallah mashallah jazakallah kheir
Alhamdulilah all wah akulipe umenpa faida kubwa xna
AHSANTE SANA MWL WANGU PALE MKWAJUNI KINONDONI MUNGU AKUWEKE SANA TUU NINAKUFATILIA FROM UK
Mashaa Allah zitafika salamu zako
Shukran shekhe kwa dua
MashaAllah sheikh,tunaelimika huku tunafurahi.
Amen amen
Manshallah shekhe Allah akulipe
Tuandikie kiswahili ya hii aya anyejua msaada tafadhali...mie nataka kuisali. Asanteni
Waufawwidhu amrii ilallah innallaaha baswiirun bil ibaad.
Shukran kwa darsa🙏
M.
Shukran jazzka Allah kheri
maasha Allah shekhe wetu
Mashallah, mafundisho mazuri shekhe wetu, mwenyezi mungu awape uhai mrefu mtupe faida kubwa
shaikh shukran sanaaa
Shukran shekh
Mashallah ust kwa dua zuri
Jazzakumllah Khery
Asante ❤
Shukrani sheikh 👏🇴🇲
Allahu Akbar. Alhamudulilah sheikh.jazakallahu kheiru
mashallah
Ndugu zangu ni kweli kabisa swala za usiku tuswalini
Mashallah Allah azidi Kukubarik
Amn 🤲 amn 🤲
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
Mimi_nakuamin_sana_nimesha,fanikiwa_ila_nazidi_,kupata_Faida_Allah_akulipe
Mashallah 🌹
@@mariamkijangwa7611 maaa shaa Allah
MaashAllah
Assalam alaykum mshukuru KWANZA ALLAH S.W kisha umshukuru yy🥰🙏
Allahamdu
ALLAH akuhifadhi sheikh wetu
Jazakallah kheir
Maashallah tabarakallah, Ila Samahani nauliza je inaswihi kwa mwanamke asiye ktk udhu kusoma uradi huu
Inaswihi kipenzi nyiradi zinaswihi kusemwa au kusomwa
Ninavyo juaa adhikafi unafanya atakama hauko na Udhuu. Ukiwa kazini kwako unapo tembea popote ulipo
❤
ALLAH AKULIPE SHEKH MAASHAALLAH
Mashaallah naswali sana Dua zausiku ila Bado sijajibiwa naomba anaee Jua hiyo Dua aniandikie hapa niisome Kwa makini ndugu zangu Kwa ajili ya Allah
Pia ukiona hujajibiwa unatakiwa usichoke uendelee kumuomba Mwwnyezimungu
Usichoke dada khadija
Ila kingine nakushauri! Ukishamaliza kuswali haja usiku!
Ukimaliza mswalie saaaana Mtume muhammad (SAW) mara 1440 kila siku
In shaa Allah Allah atakupa unachokitaka na chenye kheri na wewe
@@muddymuzungu4357ahsante
Niandikie Namba Zako Hapa nikuelekeze Vzr