FUKUZA UMASIKINI MIKOSI MADENI KWA NJIA HII

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 229

  • @HabibaHared
    @HabibaHared 9 месяцев назад +1

    Mashaallah mashaallah darsa nzury sana mola akuhifathi na akube maisha marefu

  • @MpajiMohamed-h2q
    @MpajiMohamed-h2q 9 месяцев назад +1

    Shekhe toka nianze kufatilia darsa zako na kuzifanyia kazi alhamdulilah moyo wangu umekinai sana

  • @MwajumaSalum-n1b
    @MwajumaSalum-n1b 7 месяцев назад +1

    Shehe nakupenda sana kwa kutufundisha dini mungu akupe Maisha marefu

  • @IMRANSTORIES136
    @IMRANSTORIES136 3 года назад +7

    Sheikh nakupenda kuajili Ya Allah, Allah ajibu dua zako. Aamiin

  • @aminashee2027
    @aminashee2027 3 года назад +8

    Assalam alaykum... shukrn Sana sheikh ..Allah akupe kila la kheri .tunafaidika snaa na mawaidha yako

  • @nushabdile3610
    @nushabdile3610 Год назад

    Mashaalah sheik osman Allah akupe Maisha marefu inshaalah sheik osman na mungu akulinde na hasad na aini inshaalah sheik osman shukran bro.

  • @Ostadhatnasma
    @Ostadhatnasma 11 месяцев назад

    MashaAllah Allah akulipe kwa hili unalituelimisha hakika nimepata elimu kubwa sana Jazakallahu kheri Allah akufanyie wepes kwa Kila jambo lako

  • @aminamooni1488
    @aminamooni1488 3 года назад +3

    Maashaa. Allah. Shekhe. Ukovizuri. Mwenyezi. Mungu. Akuzkdishie. Urimrefu uzidikutuelimisha na. Akulipekila. Lakheri katikakazihii. Nzito

  • @mwanaiditwaha-jf6lg
    @mwanaiditwaha-jf6lg 7 месяцев назад

    mashaAllah Allah akulipe kheir kubwa Dunian na kesho akhera tunanufaika Kila kukicha juu ya elimu yako

  • @noory6910
    @noory6910 3 года назад +3

    Mashaallah .. shekhe letu Allah akujalie Afya njema naakuifadhi tunapata faida kutokamana na uwepo wako Allah akujalie Afya njema na akuifadhi fii dunia waliakhela ln shaallah

  • @shadrackpatrees4276
    @shadrackpatrees4276 2 года назад +2

    Mashallah Shekhe Allah akujalie usichoke kutupa elim insha'allah na akujalie itaji la moyo wako Ameen

  • @hubsonisack
    @hubsonisack 4 месяца назад +1

    🤝

  • @thabitkilangwa7174
    @thabitkilangwa7174 3 года назад +3

    Sheikh Othman nakukubali sana japo nimeanza kukufuatilia kipind hiki kifupi, Mungu akupe umri mrefu

  • @RWANOMBEASHIRU-nh5xt
    @RWANOMBEASHIRU-nh5xt 11 месяцев назад

    Ahsante sana Shekh. Wallah nakupenda Sana kwa Ajili ya Allah!

  • @shemsabitorioiddy3143
    @shemsabitorioiddy3143 2 года назад

    Allah hazid kukuweka uzidi kutufikishia maneno ya hallah namtume sw

  • @faizanassor6336
    @faizanassor6336 3 года назад +2

    Mashallah shukrain sheikh wetu allah akujalie afya njema akuifaidhi alhmdullah tunafaidika na mafuzo maneno yako nikweli kabisa azikari kitu kizuri sn mm na mini tena sn💯

  • @nushabdile3610
    @nushabdile3610 Год назад

    Mashaalah sheik osman Allah akupe Janato firdhos you want to do for you guys to get it done for letting us know that was my dia ❤❤ me.

  • @mahramarswad6041
    @mahramarswad6041 3 года назад +8

    Shekh nakupenda kwa ajili ya Allah nafarajika kwa mawaidha yako Shukran 👍

  • @hanoxhhhh7601
    @hanoxhhhh7601 3 года назад +3

    Mashaallaah Sheik Othman..mawaidha mzur mungu akuzidishie neema hio inshaallah

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 3 года назад +6

    ماشاءالله تبارك الله جزاك الله خير ا شكرا يا شيخ

    • @AdmiringGrazingCows-im1kh
      @AdmiringGrazingCows-im1kh 9 месяцев назад

      MAALIM ALLAH kuzidishiye umri akukinge na maradhi akupe nguvu na afya aamiin

  • @FatumaKabihogo
    @FatumaKabihogo 9 месяцев назад

    Shehk Allah akupe umur murefu nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @mauayahaya5039
    @mauayahaya5039 2 года назад +1

    Maashallah tabarakallah,, Yaa Rabbi mpe mja huyu kila la kheri duniani na Akhera 🤲 wallah kwa uwezo wake Allah unagusa nyoyo za watu na unakumbusha

  • @afric01
    @afric01 3 года назад +2

    Aslm alkm wtw.... wow 😲 Ma Sha Allah!!! You are the best teacher Sheikh Othman. Tusijali hata kama tunajua kidogo, tutapata hesabu kutokana na niyya zetu. Tushuke kwa watu wote lakini tuhakikishe tumepanda kwa Allah. Dua ni dawa Sheikh wetu umegonga ndipo Wallah. Twakupenda sanaaaa Sheikh Othman. Allah akulinde, akukinge na akuhifadhi. Jazakallahu kheir. Asante sanaaaa Sheikh Othman.

  • @habibtysalmah6064
    @habibtysalmah6064 3 года назад

    MashaAllah tabarakallah
    Shukran sana sheikh Othman
    Allah azidi kukufungulia mambo yako.
    Kwa kweli twafaidika sana Alhamdulillah.
    Nimejifunza mengi sana mm pamoja na mume wangu Alhamdulillah Allah akuweke.
    Tunakufwatili sana tukiwa ujerumani.

  • @halimandune7317
    @halimandune7317 Год назад

    Mashaallah x2. Naomba uniombee mm na jamii yangu. Mm Halima Ndune,Zainab Hassan,Hamza Hassan,Mohammed Hassan na Sumeiya Mbodze. Masoud Ngala.

  • @nasorotsofyo9425
    @nasorotsofyo9425 2 месяца назад

    Mashalla sheikh naitaji dua zako

  • @eshamaamun5932
    @eshamaamun5932 Год назад +1

    Assalam Aleykum shekh nashukuru napata elimu kupitia mawaidha Yako kweli unatufungua macho Allah akujaze

  • @MgeniMohd-jp9yl
    @MgeniMohd-jp9yl Год назад

    Allah akulipe kheri shekhe wet ktk kila hatuwa unayo tuelekeza ktk mamb ya kher kwet amin

  • @nizigiyemananafisa4897
    @nizigiyemananafisa4897 3 года назад +1

    As saallaam Aalaiykum warrhmatullah wabarakatuh JazzakaAllahu kheir. Sheikh allah akujalie duniiani na akhera.uko vizuri

  • @abuubakarivigambo9809
    @abuubakarivigambo9809 Год назад

    Shekhe nashukuru elimu yako imenisaidia

  • @nkurunzizaabdul-aziz7211
    @nkurunzizaabdul-aziz7211 3 года назад

    Jazakhallah kheiri kwahayo umetufikishi sheikh wetu

  • @NayratDarwesh
    @NayratDarwesh Год назад

    Mashallah shekhe wetu jazakallah

  • @DebalzacOmari
    @DebalzacOmari Год назад

    Swadakta sheikh wangu

  • @mwastimsingi9373
    @mwastimsingi9373 2 года назад +1

    Maashaallah shukrani

  • @intisarsaid2870
    @intisarsaid2870 2 года назад

    MaashaAllah Allah akuzdishie shekh tunaelumika sana jazakaAllah lkhery

  • @hawahatibu5409
    @hawahatibu5409 3 года назад +1

    Shukrani shehewetu allha akuongoze na akuhifadhi

  • @raheemarahman1435
    @raheemarahman1435 2 года назад

    Shkrn sana shekhe wetu mung akupe kil lakher

  • @safiasuliman5136
    @safiasuliman5136 11 месяцев назад

    Masha Allah shekhe mm nisha kutana na watu wana niambia nina matatzo nifanye dua

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 3 года назад

    Shekh kweli maneno unayo sema takatifu. Ukweli mtupu. Mafanikio yapo kwa kumjali mungu na kumuomba .

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 3 года назад +7

    Masha Allah ❤❤❤shukraan sheikh wangu

  • @zubuzubu1860
    @zubuzubu1860 3 года назад

    Shehe kwamfano kunamtu kakuona na neema fulani alafu akashangaa,na ukamwambia sema mashalla NA AKASEMA JE AKIWA NA HUSDA ITAKUPATA

  • @روعةسماويلآتصالات
    @روعةسماويلآتصالات 3 года назад +2

    Mashallah shukran jazakallahu kheir

  • @issanduwayo8090
    @issanduwayo8090 Год назад

    Sheikh alhamdulillah

  • @bebeb779
    @bebeb779 3 года назад

    Assalm alyikum walhumatullah wabalkatuh shekh kutoka 2020 mwezi wa 6 Niko nakuomba musada wakunisomeya Kila ninacho fanya hakifanyiki kwassa na maliza myaka 3 bila kutumika wengine wanatumika Kila siku nilipata mutu wakunisaidia huku saudia kumbe nimwenye amekuja kunialibia maisha sheikh kwakwer matatizo yangu ni mengi n'a hapa Niko naongea hapa Niko n'a ujauzito wa myezi 2uyo mwanaume nilimwambia kama Niko n'a ujauzito akanijibu niwutowe mamie nikamujibu kuliko nitowe ujauzito bola nikuache wewe Mimi mi mutt wa k islamu nasiezi kufanya ilo kosa arinijubu ivi tutamuomba musamah mung Mimi nilikata kbsaaaa na hataki hata kuniona Tena yeye ndonilikua. Namutegeaeko musada wakusomea sheikh hapa sijuw nimikosi gani ilinipata uku Tena na sali Kila siku namulilia mungu kwa iyi mithiani yakira Siku lkn naona nimeshindwa kuishi uku n'a nimba bila musaidizi nihtr nasiezi kwenda nyumbani n'a ujauzito bola nende na mutto nikiangalia kwa mach yngu naona kama nihusida nilifanyiAa naomba musada wallah mungu ndo atakuripa🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🏼😢

  • @minaali7823
    @minaali7823 3 года назад

    MashaAllah tabaarak Allah. Shukran sana kw maalumat wenye faida.

  • @sweetmeena5970
    @sweetmeena5970 3 года назад +1

    Daah yani sheikh kama unaniongelea mimi yani hadi nilimuomba msamaha babangu nikadhani kanilaani wkt nilikuwa mtoto wa baba alikuwa ananipenda sana

  • @MmMm-hx6ln
    @MmMm-hx6ln Год назад

    Mashaallah,jee hio Dua ya kijicho na hasad anaweza kusomewa mtu japo Yuko mbali inafaa na inamtibu au mpk aje hukoo??

  • @azizatamko3191
    @azizatamko3191 3 года назад +1

    SHEKHE nayapenda sana mawaidha yako nikweli kabisa Allah akujalie heri na baraka ktk maisha yako ya dunia na Ahra

  • @husnakh5136
    @husnakh5136 3 года назад +1

    Allah akujaze kheir sheikh

  • @fatmakaatar3519
    @fatmakaatar3519 3 года назад +5

    Aa bismillah mashaAllah mwenyeezimungu ukimuomba na kumtegemea lazima akujibu kuna hii dua niliisikia kwa clip yako unasoma suratul ikhlas 11
    Suratul naas 11
    Nasuratul falaq11
    Na usome aya hii mara 71 wadhallanahum minhum faniharakunun waminha yaakulun

  • @zenajimmy6603
    @zenajimmy6603 3 года назад +1

    Hapa mtiani Sasa wengi ni Hawa wakristo twawaeleza vipi ndio ukimuambia akikusifia kitu wamwambia sema Mashallah neno ndogo tu hila wataaza mimi si mchawi mimi sio hivyo amba poke kama nimekukosea kukusifia siwalaumu hawaelewi japo waislamu wapo pia ujitia sitofaamu na ndio hivyo umetoka twaishi kwa sababu ya kudra ya Allah.Allah atustiri.

    • @latifamkulazi8378
      @latifamkulazi8378 3 года назад

      Nikweli ndugu. pia unaweza kudumisha ulinziwako kwa adhkar hii
      Laa illaha ilallah wahadahu laashalikalah lahulmulku walahul-hamdu wahuwa alakul shain qadeer mara mia kwa kila masaa24

    • @sweetmeena5970
      @sweetmeena5970 3 года назад

      Hata waislamu wengine yupo rafki yngu kila kitu anakushangaa anakusifia ukimwambia sema mashallah anakukasirikia eti umemwita hasidi

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад

      @@latifamkulazi8378 dua nzuri sana hii ukisoma mara mia kila siku bac ww utakuwa unakomboa watumwa

  • @JumaTamim
    @JumaTamim Год назад

    Sheikh Mimi sijuyi ku Soma Quran Basi Ni fanyenini please

  • @msgkosaeeg1446
    @msgkosaeeg1446 3 года назад +1

    Mashallah mungu akupe umri mrefu

  • @aishasaid7426
    @aishasaid7426 3 года назад +2

    ماشا الله، جازاك الله خير

  • @hafsaali7976
    @hafsaali7976 3 года назад +1

    "Mashaallah swadaqta ya ustadh barakallahu fiikum

  • @amenamaashaallahyasheikh3457
    @amenamaashaallahyasheikh3457 3 года назад +2

    Maa sha Allah Jazakaallah kheir

  • @fahmialamri5958
    @fahmialamri5958 3 года назад +1

    MashaAllah darasa.mzuri

  • @NayratDarwesh
    @NayratDarwesh Год назад +1

    Yani shekhe unaniongelea mimi mpaka nalia hivi unavo ongea yote yananihusu allah atupe wepesi duniani na kesho akhera

  • @safiunamugen2523
    @safiunamugen2523 3 года назад +1

    Masha Allah Sheikh mm naitaji dua zako sheikh

  • @AminahMtwa
    @AminahMtwa 7 месяцев назад

    Shukrn san,samahn nilikuw naomb kuuliza je km mwnmke akiw kwny ada yak anaweza kumswalia mtume na kufany dhikr yoyote?

  • @aishaomari944
    @aishaomari944 3 года назад +2

    Mungu nijaaliye nirud tanzania salama nije kusomea dua maan nahis kusisimua mwiliwang na machozi yanitoka hasaa😭😭😭

    • @فاطمةسعيد-ث2ق
      @فاطمةسعيد-ث2ق 3 года назад

      Insha Allah allah atatujaalia tutaludi salama 😭😭😭nikiludi salama nitaenda nikasomewe dua insha allah😭😭

  • @monam5297
    @monam5297 3 года назад

    Mungu akuongoze kwa kazi hii yakujitolea ishalla

    • @salamasaid6905
      @salamasaid6905 3 года назад

      Aslm aleykum shekhe wetu kwa kutugungua na kujuwa kujuwa mengi inshaallah kheri iwe juu yako

  • @ashasudi8802
    @ashasudi8802 3 года назад +2

    Penda sana sheikh letu mada safi kwely,zahma lakheri.

  • @fatumjumaa5563
    @fatumjumaa5563 3 года назад +1

    mashaallah mungu hakuhifadhi kwa kutufahamisha

  • @fatumakambi960
    @fatumakambi960 Год назад

    MASHALLAH SHEHK wetu

  • @abdisalamimasoud8346
    @abdisalamimasoud8346 3 года назад +2

    Mashallah hii ni notably mashallah

  • @EshaMbarack
    @EshaMbarack Год назад

    A alykm jee mm cijui tafsri ya Quran lakini napenda kuisoma napata thawabu

  • @HadijaRajabu-c3d
    @HadijaRajabu-c3d Год назад

    Mashallah

  • @kizamaulidi6004
    @kizamaulidi6004 3 года назад

    Mashaallah mungu akupe kila lenye kheri shekh wetu

  • @fatnaally-ou7xx
    @fatnaally-ou7xx Год назад

    Allah hakika shekhe tunatakiwa tusimame imara ktk kupambania dini ya allah

  • @hamisijuma3362
    @hamisijuma3362 3 года назад

    mungu akufanyie wepesi majambo yako shekhe

  • @saniramashaallahhussein8716
    @saniramashaallahhussein8716 3 года назад

    Asylum Alekm nimefurahi kusikiza Mawaitha

  • @shanyally
    @shanyally 10 месяцев назад

    Jmn shekhe nitakupata wap mm

  • @thehonesty6765
    @thehonesty6765 3 года назад +3

    كلامك صحيح الإسلام نعمه

  • @VERONICADENIS-pj3ye
    @VERONICADENIS-pj3ye Год назад

    Xhekha natamani uniombe dua maana riziki yagu sipati Nina madeni yasierew

  • @جنيتكينيا
    @جنيتكينيا 3 года назад +1

    MashaAllahu mashaAllahu mashaAllahu.jazzakh Allahu

  • @vuairamadhan9576
    @vuairamadhan9576 3 года назад +2

    Sadacta shekh

  • @borungatiakibuchi5059
    @borungatiakibuchi5059 Год назад

    Masha Allah

  • @ramadhansalum5966
    @ramadhansalum5966 3 года назад +1

    Shukran sheikh 🙏🤲

  • @abdillahmbarak7418
    @abdillahmbarak7418 3 года назад

    Asalam alaykum waramatullahi wa barakatuh sheikh mashaallah mungu akulinde na kila baya na akuzidishie umuri na subra inshaallah twakupenda kwa ajili ya Allah

  • @ashurazaidu5265
    @ashurazaidu5265 3 года назад +1

    Jee mimi nikitaka munifanyie nichukue tartibu gani sheikh

  • @zenajimmy6603
    @zenajimmy6603 3 года назад +2

    Mashallah Mashallah Mashallah kheri Inshallah

  • @mohamedoierussis1784
    @mohamedoierussis1784 3 года назад +3

    Mashallah ❤❤❤🤲🤲🤲

  • @haseanatnsanya2079
    @haseanatnsanya2079 3 года назад

    Allaa mungu akupe elim naufaham

    • @haseanatnsanya2079
      @haseanatnsanya2079 3 года назад

      Shukran sana hayo unayo ongea yako waz sana Allaah akuzidishie

  • @khairatabbas8523
    @khairatabbas8523 3 года назад

    niombee na mimi sheikh....

  • @fetysukafetysuka9056
    @fetysukafetysuka9056 3 года назад +2

    Waalaykum salaam warahmatullah wabarakatuh.shukuran Allah akulipe pepo ya fridaus amiina

  • @asyaali652
    @asyaali652 Год назад

    JAZAQ ALLAHU KHAYR

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 3 года назад

    Shukran jazakallahu lkhair shekh

  • @evelynengilah523
    @evelynengilah523 Год назад

    Amen

  • @sadamrisho7719
    @sadamrisho7719 3 года назад

    Mashallaah shehe wetu mungu akulinde

  • @mujawamariyamariam1241
    @mujawamariyamariam1241 2 года назад

    Al hamudulillah ala niimatil Islam.

  • @aliidrisahmadhuvavaruu4918
    @aliidrisahmadhuvavaruu4918 3 года назад

    Assalam aleykum warahmatullahi shekh Othman Michael

  • @ahmedaliidris4174
    @ahmedaliidris4174 2 года назад

    Assalamaleykum

  • @nihanramadhan2527
    @nihanramadhan2527 2 года назад

    Shekh Allah Azidi kukupa umri mrefu wenye kheri Ili uzidi kutupatia Elimu

  • @thehonesty6765
    @thehonesty6765 3 года назад +3

    ما شاء الله شيخنا بارك الله فيك

    • @zohoraramadan4540
      @zohoraramadan4540 3 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣into shaghala MashaALLAH tou mkhalasi shughulishi wala lyoum ma msawiye lghishai tou magha shekhe maburuki min when my ana lkhoudh

    • @thehonesty6765
      @thehonesty6765 3 года назад

      احسنت يا اختي العزيزة 🙂 الله يعطيك صحة و العافية

    • @thehonesty6765
      @thehonesty6765 3 года назад

      @@zohoraramadan4540 مشكووووووورة حبيبتي

    • @hazayusufu7546
      @hazayusufu7546 3 года назад

      sheikher dalasa umelitoa kwa upole ila maneno yako yamejaa hisia kali na uchungu hadi moyo wangu umeugua maneno yamejeruhi moyo wangu mwenyezi mungu akupe amani duniani na akhera

  • @jamilamohammed2771
    @jamilamohammed2771 3 года назад +1

    Jazakallah kheir

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya8358 3 года назад

    Mashallah tabaraka Allah mungu akuweke sheikh wetu una maneno Mazur inshallah Allah Atufanyie wepes tutende mambo yaliyo mema

  • @OmanOman-zc5dt
    @OmanOman-zc5dt 3 года назад

    Masha Allha shukran shekhe wetu

  • @irenemulira3626
    @irenemulira3626 3 года назад +1

    Asalam Alaykum. Naomba mimi i need your help. Kwa hio jambo Niko Congo

  • @Mariam12489
    @Mariam12489 3 года назад

    Asalaam Aleikhum Sheikh unapatikana vipi kama ninahitaji dua?