Mashaallah .. shekhe letu Allah akujalie Afya njema naakuifadhi tunapata faida kutokamana na uwepo wako Allah akujalie Afya njema na akuifadhi fii dunia waliakhela ln shaallah
Mashallah shukrain sheikh wetu allah akujalie afya njema akuifaidhi alhmdullah tunafaidika na mafuzo maneno yako nikweli kabisa azikari kitu kizuri sn mm na mini tena sn💯
Aslm alkm wtw.... wow 😲 Ma Sha Allah!!! You are the best teacher Sheikh Othman. Tusijali hata kama tunajua kidogo, tutapata hesabu kutokana na niyya zetu. Tushuke kwa watu wote lakini tuhakikishe tumepanda kwa Allah. Dua ni dawa Sheikh wetu umegonga ndipo Wallah. Twakupenda sanaaaa Sheikh Othman. Allah akulinde, akukinge na akuhifadhi. Jazakallahu kheir. Asante sanaaaa Sheikh Othman.
MashaAllah tabarakallah Shukran sana sheikh Othman Allah azidi kukufungulia mambo yako. Kwa kweli twafaidika sana Alhamdulillah. Nimejifunza mengi sana mm pamoja na mume wangu Alhamdulillah Allah akuweke. Tunakufwatili sana tukiwa ujerumani.
Assalm alyikum walhumatullah wabalkatuh shekh kutoka 2020 mwezi wa 6 Niko nakuomba musada wakunisomeya Kila ninacho fanya hakifanyiki kwassa na maliza myaka 3 bila kutumika wengine wanatumika Kila siku nilipata mutu wakunisaidia huku saudia kumbe nimwenye amekuja kunialibia maisha sheikh kwakwer matatizo yangu ni mengi n'a hapa Niko naongea hapa Niko n'a ujauzito wa myezi 2uyo mwanaume nilimwambia kama Niko n'a ujauzito akanijibu niwutowe mamie nikamujibu kuliko nitowe ujauzito bola nikuache wewe Mimi mi mutt wa k islamu nasiezi kufanya ilo kosa arinijubu ivi tutamuomba musamah mung Mimi nilikata kbsaaaa na hataki hata kuniona Tena yeye ndonilikua. Namutegeaeko musada wakusomea sheikh hapa sijuw nimikosi gani ilinipata uku Tena na sali Kila siku namulilia mungu kwa iyi mithiani yakira Siku lkn naona nimeshindwa kuishi uku n'a nimba bila musaidizi nihtr nasiezi kwenda nyumbani n'a ujauzito bola nende na mutto nikiangalia kwa mach yngu naona kama nihusida nilifanyiAa naomba musada wallah mungu ndo atakuripa🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🏼😢
Aa bismillah mashaAllah mwenyeezimungu ukimuomba na kumtegemea lazima akujibu kuna hii dua niliisikia kwa clip yako unasoma suratul ikhlas 11 Suratul naas 11 Nasuratul falaq11 Na usome aya hii mara 71 wadhallanahum minhum faniharakunun waminha yaakulun
Hapa mtiani Sasa wengi ni Hawa wakristo twawaeleza vipi ndio ukimuambia akikusifia kitu wamwambia sema Mashallah neno ndogo tu hila wataaza mimi si mchawi mimi sio hivyo amba poke kama nimekukosea kukusifia siwalaumu hawaelewi japo waislamu wapo pia ujitia sitofaamu na ndio hivyo umetoka twaishi kwa sababu ya kudra ya Allah.Allah atustiri.
Nikweli ndugu. pia unaweza kudumisha ulinziwako kwa adhkar hii Laa illaha ilallah wahadahu laashalikalah lahulmulku walahul-hamdu wahuwa alakul shain qadeer mara mia kwa kila masaa24
Asalam alaykum waramatullahi wa barakatuh sheikh mashaallah mungu akulinde na kila baya na akuzidishie umuri na subra inshaallah twakupenda kwa ajili ya Allah
sheikher dalasa umelitoa kwa upole ila maneno yako yamejaa hisia kali na uchungu hadi moyo wangu umeugua maneno yamejeruhi moyo wangu mwenyezi mungu akupe amani duniani na akhera
Mashaallah mashaallah darsa nzury sana mola akuhifathi na akube maisha marefu
Shekhe toka nianze kufatilia darsa zako na kuzifanyia kazi alhamdulilah moyo wangu umekinai sana
Shehe nakupenda sana kwa kutufundisha dini mungu akupe Maisha marefu
Sheikh nakupenda kuajili Ya Allah, Allah ajibu dua zako. Aamiin
Assalam alaykum... shukrn Sana sheikh ..Allah akupe kila la kheri .tunafaidika snaa na mawaidha yako
Mashaalah sheik osman Allah akupe Maisha marefu inshaalah sheik osman na mungu akulinde na hasad na aini inshaalah sheik osman shukran bro.
MashaAllah Allah akulipe kwa hili unalituelimisha hakika nimepata elimu kubwa sana Jazakallahu kheri Allah akufanyie wepes kwa Kila jambo lako
Maashaa. Allah. Shekhe. Ukovizuri. Mwenyezi. Mungu. Akuzkdishie. Urimrefu uzidikutuelimisha na. Akulipekila. Lakheri katikakazihii. Nzito
Ameen yaraab alamiin
mashaAllah Allah akulipe kheir kubwa Dunian na kesho akhera tunanufaika Kila kukicha juu ya elimu yako
Mashaallah .. shekhe letu Allah akujalie Afya njema naakuifadhi tunapata faida kutokamana na uwepo wako Allah akujalie Afya njema na akuifadhi fii dunia waliakhela ln shaallah
Mashallah Shekhe Allah akujalie usichoke kutupa elim insha'allah na akujalie itaji la moyo wako Ameen
🤝
Sheikh Othman nakukubali sana japo nimeanza kukufuatilia kipind hiki kifupi, Mungu akupe umri mrefu
52710094
Ahsante sana Shekh. Wallah nakupenda Sana kwa Ajili ya Allah!
Allah hazid kukuweka uzidi kutufikishia maneno ya hallah namtume sw
Mashallah shukrain sheikh wetu allah akujalie afya njema akuifaidhi alhmdullah tunafaidika na mafuzo maneno yako nikweli kabisa azikari kitu kizuri sn mm na mini tena sn💯
اللهم امين 🤲🏻
Mashaa Allah shukran sana
Mashaallah Allah akuzidishie funzo njema nimepata sheikh
Mashaalah sheik osman Allah akupe Janato firdhos you want to do for you guys to get it done for letting us know that was my dia ❤❤ me.
Shekh nakupenda kwa ajili ya Allah nafarajika kwa mawaidha yako Shukran 👍
Asalam alek shh nakupenda napata faida San kutokakwak
1004/10114
Mashaallah tabarakaallah shekhe nafarijika sana na mawaidha yako Allah akupe umri wenye manufaa hapa duniani mpaka kesho akher
Mzima wewe
Kwema
Mashaallaah Sheik Othman..mawaidha mzur mungu akuzidishie neema hio inshaallah
ماشاءالله تبارك الله جزاك الله خير ا شكرا يا شيخ
MAALIM ALLAH kuzidishiye umri akukinge na maradhi akupe nguvu na afya aamiin
Shehk Allah akupe umur murefu nakupenda kwa ajili ya Allah
Maashallah tabarakallah,, Yaa Rabbi mpe mja huyu kila la kheri duniani na Akhera 🤲 wallah kwa uwezo wake Allah unagusa nyoyo za watu na unakumbusha
Aslm alkm wtw.... wow 😲 Ma Sha Allah!!! You are the best teacher Sheikh Othman. Tusijali hata kama tunajua kidogo, tutapata hesabu kutokana na niyya zetu. Tushuke kwa watu wote lakini tuhakikishe tumepanda kwa Allah. Dua ni dawa Sheikh wetu umegonga ndipo Wallah. Twakupenda sanaaaa Sheikh Othman. Allah akulinde, akukinge na akuhifadhi. Jazakallahu kheir. Asante sanaaaa Sheikh Othman.
Sa nataka dua kwako
Amiin
A)l
MashaAllah tabarakallah
Shukran sana sheikh Othman
Allah azidi kukufungulia mambo yako.
Kwa kweli twafaidika sana Alhamdulillah.
Nimejifunza mengi sana mm pamoja na mume wangu Alhamdulillah Allah akuweke.
Tunakufwatili sana tukiwa ujerumani.
Mashaallah x2. Naomba uniombee mm na jamii yangu. Mm Halima Ndune,Zainab Hassan,Hamza Hassan,Mohammed Hassan na Sumeiya Mbodze. Masoud Ngala.
Mashalla sheikh naitaji dua zako
Assalam Aleykum shekh nashukuru napata elimu kupitia mawaidha Yako kweli unatufungua macho Allah akujaze
Allah akulipe kheri shekhe wet ktk kila hatuwa unayo tuelekeza ktk mamb ya kher kwet amin
As saallaam Aalaiykum warrhmatullah wabarakatuh JazzakaAllahu kheir. Sheikh allah akujalie duniiani na akhera.uko vizuri
Shekhe nashukuru elimu yako imenisaidia
Jazakhallah kheiri kwahayo umetufikishi sheikh wetu
Mashallah shekhe wetu jazakallah
Swadakta sheikh wangu
Maashaallah shukrani
MaashaAllah Allah akuzdishie shekh tunaelumika sana jazakaAllah lkhery
Shukrani shehewetu allha akuongoze na akuhifadhi
Shkrn sana shekhe wetu mung akupe kil lakher
Masha Allah shekhe mm nisha kutana na watu wana niambia nina matatzo nifanye dua
Shekh kweli maneno unayo sema takatifu. Ukweli mtupu. Mafanikio yapo kwa kumjali mungu na kumuomba .
Masha Allah ❤❤❤shukraan sheikh wangu
Nisaidie nifungue facebook nimepata tabu sana
Shehe kwamfano kunamtu kakuona na neema fulani alafu akashangaa,na ukamwambia sema mashalla NA AKASEMA JE AKIWA NA HUSDA ITAKUPATA
Mashallah shukran jazakallahu kheir
Amin na wewe pia
Sheikh alhamdulillah
Assalm alyikum walhumatullah wabalkatuh shekh kutoka 2020 mwezi wa 6 Niko nakuomba musada wakunisomeya Kila ninacho fanya hakifanyiki kwassa na maliza myaka 3 bila kutumika wengine wanatumika Kila siku nilipata mutu wakunisaidia huku saudia kumbe nimwenye amekuja kunialibia maisha sheikh kwakwer matatizo yangu ni mengi n'a hapa Niko naongea hapa Niko n'a ujauzito wa myezi 2uyo mwanaume nilimwambia kama Niko n'a ujauzito akanijibu niwutowe mamie nikamujibu kuliko nitowe ujauzito bola nikuache wewe Mimi mi mutt wa k islamu nasiezi kufanya ilo kosa arinijubu ivi tutamuomba musamah mung Mimi nilikata kbsaaaa na hataki hata kuniona Tena yeye ndonilikua. Namutegeaeko musada wakusomea sheikh hapa sijuw nimikosi gani ilinipata uku Tena na sali Kila siku namulilia mungu kwa iyi mithiani yakira Siku lkn naona nimeshindwa kuishi uku n'a nimba bila musaidizi nihtr nasiezi kwenda nyumbani n'a ujauzito bola nende na mutto nikiangalia kwa mach yngu naona kama nihusida nilifanyiAa naomba musada wallah mungu ndo atakuripa🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🏼😢
MashaAllah tabaarak Allah. Shukran sana kw maalumat wenye faida.
Daah yani sheikh kama unaniongelea mimi yani hadi nilimuomba msamaha babangu nikadhani kanilaani wkt nilikuwa mtoto wa baba alikuwa ananipenda sana
Mashaallah,jee hio Dua ya kijicho na hasad anaweza kusomewa mtu japo Yuko mbali inafaa na inamtibu au mpk aje hukoo??
SHEKHE nayapenda sana mawaidha yako nikweli kabisa Allah akujalie heri na baraka ktk maisha yako ya dunia na Ahra
Allah akujaze kheir sheikh
Aa bismillah mashaAllah mwenyeezimungu ukimuomba na kumtegemea lazima akujibu kuna hii dua niliisikia kwa clip yako unasoma suratul ikhlas 11
Suratul naas 11
Nasuratul falaq11
Na usome aya hii mara 71 wadhallanahum minhum faniharakunun waminha yaakulun
Ukisoma inakuaje dear
Alafu unasoma wqkati gani
M mung akujaalie
Hapa mtiani Sasa wengi ni Hawa wakristo twawaeleza vipi ndio ukimuambia akikusifia kitu wamwambia sema Mashallah neno ndogo tu hila wataaza mimi si mchawi mimi sio hivyo amba poke kama nimekukosea kukusifia siwalaumu hawaelewi japo waislamu wapo pia ujitia sitofaamu na ndio hivyo umetoka twaishi kwa sababu ya kudra ya Allah.Allah atustiri.
Nikweli ndugu. pia unaweza kudumisha ulinziwako kwa adhkar hii
Laa illaha ilallah wahadahu laashalikalah lahulmulku walahul-hamdu wahuwa alakul shain qadeer mara mia kwa kila masaa24
Hata waislamu wengine yupo rafki yngu kila kitu anakushangaa anakusifia ukimwambia sema mashallah anakukasirikia eti umemwita hasidi
@@latifamkulazi8378 dua nzuri sana hii ukisoma mara mia kila siku bac ww utakuwa unakomboa watumwa
Sheikh Mimi sijuyi ku Soma Quran Basi Ni fanyenini please
Mashallah mungu akupe umri mrefu
ماشا الله، جازاك الله خير
"Mashaallah swadaqta ya ustadh barakallahu fiikum
Maa sha Allah Jazakaallah kheir
MashaAllah darasa.mzuri
Yani shekhe unaniongelea mimi mpaka nalia hivi unavo ongea yote yananihusu allah atupe wepesi duniani na kesho akhera
Masha Allah Sheikh mm naitaji dua zako sheikh
Shukrn san,samahn nilikuw naomb kuuliza je km mwnmke akiw kwny ada yak anaweza kumswalia mtume na kufany dhikr yoyote?
Mungu nijaaliye nirud tanzania salama nije kusomea dua maan nahis kusisimua mwiliwang na machozi yanitoka hasaa😭😭😭
Insha Allah allah atatujaalia tutaludi salama 😭😭😭nikiludi salama nitaenda nikasomewe dua insha allah😭😭
Mungu akuongoze kwa kazi hii yakujitolea ishalla
Aslm aleykum shekhe wetu kwa kutugungua na kujuwa kujuwa mengi inshaallah kheri iwe juu yako
Penda sana sheikh letu mada safi kwely,zahma lakheri.
mashaallah mungu hakuhifadhi kwa kutufahamisha
MASHALLAH SHEHK wetu
Mashallah hii ni notably mashallah
A alykm jee mm cijui tafsri ya Quran lakini napenda kuisoma napata thawabu
Mashallah
Mashaallah mungu akupe kila lenye kheri shekh wetu
Allah hakika shekhe tunatakiwa tusimame imara ktk kupambania dini ya allah
mungu akufanyie wepesi majambo yako shekhe
Asylum Alekm nimefurahi kusikiza Mawaitha
Jmn shekhe nitakupata wap mm
كلامك صحيح الإسلام نعمه
Xhekha natamani uniombe dua maana riziki yagu sipati Nina madeni yasierew
MashaAllahu mashaAllahu mashaAllahu.jazzakh Allahu
Sadacta shekh
Masha Allah
Shukran sheikh 🙏🤲
Asalam alaykum waramatullahi wa barakatuh sheikh mashaallah mungu akulinde na kila baya na akuzidishie umuri na subra inshaallah twakupenda kwa ajili ya Allah
Marshall Mungu Akupe umri mrefu
Jee mimi nikitaka munifanyie nichukue tartibu gani sheikh
Mashallah Mashallah Mashallah kheri Inshallah
Mashallah ❤❤❤🤲🤲🤲
Allaa mungu akupe elim naufaham
Shukran sana hayo unayo ongea yako waz sana Allaah akuzidishie
niombee na mimi sheikh....
Waalaykum salaam warahmatullah wabarakatuh.shukuran Allah akulipe pepo ya fridaus amiina
Ali
259
JAZAQ ALLAHU KHAYR
Shukran jazakallahu lkhair shekh
Amen
Mashallaah shehe wetu mungu akulinde
Al hamudulillah ala niimatil Islam.
Assalam aleykum warahmatullahi shekh Othman Michael
Assalamaleykum
Shekh Allah Azidi kukupa umri mrefu wenye kheri Ili uzidi kutupatia Elimu
ما شاء الله شيخنا بارك الله فيك
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣into shaghala MashaALLAH tou mkhalasi shughulishi wala lyoum ma msawiye lghishai tou magha shekhe maburuki min when my ana lkhoudh
احسنت يا اختي العزيزة 🙂 الله يعطيك صحة و العافية
@@zohoraramadan4540 مشكووووووورة حبيبتي
sheikher dalasa umelitoa kwa upole ila maneno yako yamejaa hisia kali na uchungu hadi moyo wangu umeugua maneno yamejeruhi moyo wangu mwenyezi mungu akupe amani duniani na akhera
Jazakallah kheir
Mashallah tabaraka Allah mungu akuweke sheikh wetu una maneno Mazur inshallah Allah Atufanyie wepes tutende mambo yaliyo mema
Alhamdulillah Rabbi
Alhamdulillah Rabbi
Masha Allha shukran shekhe wetu
Asalam Alaykum. Naomba mimi i need your help. Kwa hio jambo Niko Congo
Mashaallah
Asalaam Aleikhum Sheikh unapatikana vipi kama ninahitaji dua?