Mashallah Allahubarik.Allah anapenda mja wake amuombe kwani wapi pakuomba ispokua kwake.sisi ni wake na kwake tutarudi.Allah atupe mafanikio mema ya hapa duniani na kesho akhera.🤲🤲🤲🤲🤲😢Allah atusameh dhambi zetu sote ummati Muhammad salla llahu Allaih wasalam.😢😢
Asante shekhe wangu Allah akujaze kher dunia Wali akhera yaan nisipokusikiliza siku moja tu nahis siko sawa unanifariji saana kwa darasa lako ALLAH Kareem akupe umri mrefu
Mashaallah mashaallah mashaallah
Manshallah sheikh wetu kipenz mung akujalie dunian n'a akhera
Mashallah Allahubarik.Allah anapenda mja wake amuombe kwani wapi pakuomba ispokua kwake.sisi ni wake na kwake tutarudi.Allah atupe mafanikio mema ya hapa duniani na kesho akhera.🤲🤲🤲🤲🤲😢Allah atusameh dhambi zetu sote ummati Muhammad salla llahu Allaih wasalam.😢😢
Maashaallah Maashallah Maashallahhhhh❤❤❤❤
Masha Allah Sheikh, BarakAllah feek
Asante shekhe wangu Allah akujaze kher dunia Wali akhera yaan nisipokusikiliza siku moja tu nahis siko sawa unanifariji saana kwa darasa lako ALLAH Kareem akupe umri mrefu
Mola akupe kila lakheri inshallah
Mashallah
Shukran sheikh Allah akulinde🤲🤲
shukran jaziilan kwakwel n hakika unayoyasema...MashaAllah ndugu yang shekhe wangu wa kiwalani
Shukran
Maasha allah, nimekuelewa sana maalim,ujumbe umewafikia walengwa.
Mashallah Allah akulipe ujira mwema shekh wetu kipenzi
𝐌𝐚𝐬𝐡𝐚𝐥𝐥𝐚𝐡.𝐉𝐚𝐳𝐚𝐤𝐚𝐥𝐥𝐚𝐡 𝐤𝐡𝐞𝐢𝐫
Sheikhe mm Niko mbali yarabi nahitaji dua zako nifanyeje? Mwenyezi Mungu nisaidie nifike kwa sheikhe Othumani Michael yarab
In Shaa Allah Allah atakufanyia wepesi
MWENYE KUMTEGEMEA ALLAH HUMFANYIA WEPESI
TAWAKKAL KWA ALLAH
Mashaallah Shehe ❤
Taib ya Ustadhi . Allahau Akbar
Mashallah ❤❤❤❤
Mashaallah sheikh Allah akupe umri mrefu wenye kheri naomba sn dua zako sheikh
Allah akulipe kila la heri
Mashaalah
Manshaa ALLAH❤❤
Shukran sheikh
mashallah
Merci beaucoup
Alhamdulillah,jazakaAllah
Shukrani shekhe
Shukran jazakallu kheir❤❤❤
Assalam alaikum warahmatullahi wabarakatuh sheikh wangu, shukran kwa somo zuri,ila tatizo nataka tiba zako,namba zako ninazo Léo myaka minne,nakuandikia hunijibu,nikituma voice ni mwanamke ananijibu, sijuwi ntatibia adje ?
Assalam alaykum
shehewangu niombee duwa na mm nipate pesa nyingi zenyekheri
Sheikh mungu akupe uhai mrefu tuzidi kupata darsa inshaallah
Asalamu alykum
Shukuran napend kukufatiliy sn ❤❤❤❤
Shekh naomba dua zoko nip namutihan
napend san mawidh yako mazur san allah akalipe
Shekh nakuelewa rakini yule shekh flani apunguze mambo ya mitandao anajiamgusha sana
Mapete?????au
@@muddymuzungu4357 Itakuwa sijafanya busara nikimtaja
😂😂😂😂 mapete ndio nani,!
Shukran sana sheikh wetu
Naomba dua zako shekh wako 17:33 17:35
Barrakalah fikum USTZ
😂😂😂😂shekhewangu nimecheka eti ndionshasema lkn sikutakiwa kusema ila ndonshasema😂😂
Mashallah ukweli kabisa sherk wetu wanatutia aibu
Jamani huyu shekhe anapatikana msikiti gani siku ya ijumaa. Naomba mniambie jamani.please
Assalam alaykum shekhe naomba dua zako niombee nina matatizo
Asalam aleykum shekh mmi Nina mume wangu ni mgonjwa sijui utamseidia vipi.
Ukiwa mgonjwa wamgongo hauruhusiwe kukaa kwenye kiti
Mashaalah