Nataman uendelee kuimbia hizi nyimbo za hisia mpka milele daima na hakika we ni msanii marufu hapa Tanzania nimeanza kuuskiliza yangu uitowe hii nyimbo na nikiwa mdongo hd mpka wa leo
Leo 2024 nmekutana na peter "tausi unaimba vizuri" nimempa maua yake kwenye hii nyimbo katisha sana! Ni kama zuwena kwa diamond. Haya wanaoutizama huu wimbo 2024 gonga like hapa
hkllhllhhhkhkhhljkkhkkhlllkkklkk😊😊kkklkljlkkkkk😊kjk😊h😊lkkkkkhkhkkkhkkkkhjkkkhkkkhlkkkkkkkkklklhljhkkhkklkh.Kkbnbmkk A0 Nn m.mnnnnnnnnnnnnnnnnn .n M m vv m vn nmv b m ñnnvnn n Nn ñmnn bvm Mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmv . N mmm m.V b .Hkhh.jhkkk hllhhhk😊lkhhkhkhkljlhhllhkhjhlkhllhl Jjp😂😮jh😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊²2
Achia mbali na wimbo huu quality na organization ya hii video na maigizo yako kwa ujumla halijawahi kutokea ktk historia ya bongo movie, it was pure talent
Imeshawahi kutokea tayari na kwa bahati nzuri organiser, cameraman, director na producer ww hii kazi and the entire production team ndio waliotengeneza filamu ya Fatuma,Tunu,Chumo,Bahasha na tamthilia maarufu sana iliyobamba inayoitwa Siri ya Mtungi. Hizo kazi tajwa hapo juu zimeshinda tuzo kadhaa ktk tamasha la kimataifa la filamu zanzibar Ziff, na pia kuonyeshwa katika majumba mbalimbali ya sinema barani Afrika. Zote zipo RUclips na zingine zipo Netflix. Enjoy
I've looked for this song for over the last 10 years, I didn't even know the title. Am from Uganda, It's unfortunate we never knew swahili when growing up... East Africa TV, we really miss you. You truly made our childhood days remarkable. Tuna wapenda sana... lots of love ❤❤❤
nilikua nkiipenda hii nyimbo tangu nikiwa na umri wa miaka 12 2015 ndio mwisho wa kuitazama ila leo 27 october 2019 nimeicheck hii ngoma bado kali tu history is making peace bwana banana zoro afrobongo haitochuja hata kidogo
Mafunzo si haba. Bahati maishani hujitokeza mara moja tu kama Siku kuu mwakani,panapotokea kipenyezo, usingojee usije ukabakia kuwatizama wengine wakijiponda kwa nafasi yako. Mkenya mzalendo wa Bongo.
Ni miaka mingi imepita toka wimbo huu mzuri utoke Bado naangalia nakumbuka mbali sana Kila nikiuangalia kipindi nipo Kijijini radio yangu ilikuwa kwenye repeating mode.
A great inspiration. Chances in life comes just once like Christmas in a year, whichever the opportunity, seize it boldly lest you crash down when you see someone else live your wish. Waaauh! Loving it in Kenya.
Hii video ni mzuri mno, kuanzia uigizaji, uchezaji, ala, rangi kila kitu kimekaa vizuri mno.....na ckujua kama cheche anajua kubanjuka hivi....video imejaa watu wenye vipaji
Imeshawahi kutokea tayari na kwa bahati nzuri organiser, cameraman, director na producer ww hii kazi and the entire production team ndio waliotengeneza filamu ya Fatuma,Tunu,Chumo,Bahasha na tamthilia maarufu sana iliyobamba inayoitwa Siri ya Mtungi. Hizo kazi tajwa hapo juu zimeshinda tuzo kadhaa ktk tamasha la kimataifa la filamu zanzibar Ziff, na pia kuonyeshwa katika majumba mbalimbali ya sinema barani Afrika. Zote zipo RUclips na zingine zipo Netflix. Enjoy
Nani anaangalia leo 10 September 2019 kweli subira huvuta bangi ,,subira subira yamemkuta BAHARIA CHECHE , nani kamuona MWISHO MWAMPAMBA ENZI EZO ALIKUWA NA HELA KWELI
Jordan Riber ndio director na producer ww hii kazi kupitia Median for Development International (MFDI) Tanzania and the entire production team ndio waliotengeneza filamu ya Fatuma,Tunu,Chumo,Bahasha na tamthilia maarufu sana iliyobamba inayoitwa Siri ya Mtungi. Hizo kazi tajwa hapo juu zimeshinda tuzo kadhaa ktk tamasha la kimataifa la filamu zanzibar Ziff, na pia kuonyeshwa katika majumba mbalimbali ya sinema barani Afrika. Zote zipo RUclips na zingine zipo Netflix. Enjoy
Tunao angalia 2025
2025 bado nipo nahii ngoma kama na wewe upoo just gonga like ili nizidi ikumbuka every year
Wanaoangalia mpaka leo 2024 tujuane
🎉🎉🎉
Tupo apa😂
Niko naimba hii ngoma muda huu
Nipo hapa
Nipo hapa
Tunaoangalia 2025 tujuane
p1Sana
Naupenda sana huu wimbo,nautazama kila siku.kama nawewe unaangalia huu wimbo kwa mwezi huu wa april gonga like nyingi
Daily
0
Ni mzuri sana huu wimbo
Nataman uendelee kuimbia hizi nyimbo za hisia mpka milele daima na hakika we ni msanii marufu hapa Tanzania nimeanza kuuskiliza yangu uitowe hii nyimbo na nikiwa mdongo hd mpka wa leo
Hebu tazama kinguo chako angeona vinguo vya sasa
Leo 2024 nmekutana na peter "tausi unaimba vizuri" nimempa maua yake kwenye hii nyimbo katisha sana! Ni kama zuwena kwa diamond. Haya wanaoutizama huu wimbo 2024 gonga like hapa
daah huu wimbo umenigusa Sana yani kama kaniimbia mimi daah kwel mapenz mabaya ndani ya 2024
hahah pole chief
Nishapoa kk@
pole sana
pole
Baada ya kupigwa na kitu kizito hatimaye nikaja kusikiliza apa 2024😂
hhahahahaha pole sana
😂
Pole
Hhhhhh 😂😂
hahahahahahaha! pole
Tunao iyangalia hii nyimbo had leo 2022 gonga like ❤❤
2022...😊🥳
Namm naupenda Sana uwimbo dogo anajua Sana kuimba mbona hatoi nyimbo mpya
😂😂😂sisi tuko tunaihangalia 2025
huu wimbo hatuutendei haki .... unatakiwa mpaka sasa uwe una views 10M
Kwa filamu mpya, endelea kubofya kwenye channel yetu
Inatakiwa mujitahidi sana kushare
Tuipelekeni tu hata hivyo tunajitahidi sna niya zamani mno ila ina views m1 na kadhaa
Huu wimbo unaishi miaka mia❤❤
Its 2023 and we still keep the good music alive #love
Nyimbo n hizi
hkllhllhhhkhkhhljkkhkkhlllkkklkk😊😊kkklkljlkkkkk😊kjk😊h😊lkkkkkhkhkkkhkkkkhjkkkhkkkhlkkkkkkkkklklhljhkkhkklkh.Kkbnbmkk
A0
Nn m.mnnnnnnnnnnnnnnnnn .n
M m vv m vn nmv b m ñnnvnn n
Nn ñmnn bvm
Mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmv . N mmm m.V b
.Hkhh.jhkkk
hllhhhk😊lkhhkhkhkljlhhllhkhjhlkhllhl
Jjp😂😮jh😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊²2
Bado miezi miwil kumaliza mwaka 2019 kma na we unacheki ngoma hii gonga like ,,,,,,,,
mohamedi ndalo kuna baki mwezi
Tupo
Bado tupo 2024
Anyone who watching this, once again in August 2019 na akajijua kuwa alifanya uzoba...twende sawa😁😁😀
No sio zoba hahaha
Nilifanya na ni2022 hii🤣🤣🤣
2025 nipo nasherehesha mwaka mpya hapa ❤
Kama unaangalia hii ngoma2019 gonga like twende sawa
Ziko vzur sana
@@masudmapesa5591 mim ndio nachek video Leo naskiaga audio tu haha
Ben Wamadaba Wawooô😘😘😘😘
Achia mbali na wimbo huu quality na organization ya hii video na maigizo yako kwa ujumla halijawahi kutokea ktk historia ya bongo movie, it was pure talent
Umeongea ukweli
Imeshawahi kutokea tayari na kwa bahati nzuri organiser, cameraman, director na producer ww hii kazi and the entire production team ndio waliotengeneza filamu ya Fatuma,Tunu,Chumo,Bahasha na tamthilia maarufu sana iliyobamba inayoitwa Siri ya Mtungi. Hizo kazi tajwa hapo juu zimeshinda tuzo kadhaa ktk tamasha la kimataifa la filamu zanzibar Ziff, na pia kuonyeshwa katika majumba mbalimbali ya sinema barani Afrika. Zote zipo RUclips na zingine zipo Netflix. Enjoy
sure kbx
MUZIKI NI HISIA OLD IS GOLD 2024 still we here🔥🔥🔥
I've looked for this song for over the last 10 years, I didn't even know the title. Am from Uganda, It's unfortunate we never knew swahili when growing up... East Africa TV, we really miss you. You truly made our childhood days remarkable. Tuna wapenda sana... lots of love ❤❤❤
It’s 2022 and this song is still lit🙌🏽🙌🏽🙌🏽🤩
Baad ya kifo cha dadake
Bado siku mbili 2018 imalizike na naamua nimalizane na kitu hiki adimu, yani kama imetoka jana..
Wangapi bado tupo apa..
Mnajuwa nyimbo iz ni maisha yetu ya kila siku tunayo ishi so nakumbuka mbar jmn 2004-2006 kama yalinikuta
Wanaorudi hapa tujuane 2024
hii ngoma naicheki 19 october 2024,mda nasubiri kiumane hapo kwa mkapa😂😂😂 ngoma kali sana hii
Lupaso
Kama unaangalia 2020 gonga like
🔥
🔥
Daaaah Leo Nani kaiona 2018 mwishon
Rodgerz Dangote tupo wote mkubwa mziki mzuri unaishi milele
Tupo baba
Rodgerz Dangote naungalia Leo trh30_12_2018 bonge la nyimbo
2019 wimbo huu hauchuji kila ukiuskiliza
Naipenda mno
huu wimbo mzur jmn naupenda sana duuu leo imekuwa kama bahati kuona
Sana
August 5 / 2024 nasikiliza Tena gonga like kama nawe umeuangalia Tena mwaka huu
Who is with me this October 2019???
The best song by the way.
Umesurvive pandemic ? Tupo 2021
Jamani WA 2024 tugonge like KWA banana
Kama nawewe unaangalia 2024 gonga like
Juma aliua sana kwenye hii opening... Eti "tausi unajua kuimba .. oh" 😂😂
Its 2022 we're still here like we never left.
Huu wimbo nimeusikiliza kwenyekipindi hivi majuzi nimeona niudach. Mzury sana
Huu Wimbo Mlitisha Sana Mamaa Mamaa Nakufaa Konk Fire Konk Liquid
kasanga mrisho kufa unamringishia nan
nilikua nkiipenda hii nyimbo tangu nikiwa na umri wa miaka 12 2015 ndio mwisho wa kuitazama ila leo 27 october 2019 nimeicheck hii ngoma bado kali tu history is making peace bwana banana zoro afrobongo haitochuja hata kidogo
Sema Cheche anajua sana kuigiza aisee daah!
2019 bado inabamba
Good bann
August hii tulio rudi kumwangalia banana zoro gonga like❤❤❤
2024 kama bad upo like tujuane
Aaaah I was replaying some old hits then this song popped up its 2023 but am just astonished of how this song is so beautiful just amazing 10/10
Wanaoangalia mpaka Leo 2025 tujuane Kwa like!!
We muongo
@mikamauzo1104 kweli man c ndo leo au?😀😀😀
Mafunzo si haba. Bahati maishani hujitokeza mara moja tu kama Siku kuu mwakani,panapotokea kipenyezo, usingojee usije ukabakia kuwatizama wengine wakijiponda kwa nafasi yako. Mkenya mzalendo wa Bongo.
Love it. Love the comment. educational
Wimbo mzuri hauishi
It's 29 April 2022...and the songs feels so nostalgic...all previous memories flows back...😊
Me mwenyewe ❤❤❤ naungalia hapaa
Mziki wangu pendwa 2019 naelekea 2020 thanks God
2019 achia like
Gonga like kama unaangalia Ngoma hii 2020 Ngoma Kali sana
Hii nyimbo niliimbiwa sana na mpenz wangu ila mimi nilimpenda kwel yeye tu alihis sikumpenda nampenda mpaka kesho sema tu ali wahi kuoa
Kama nayaona maumiv uliyopitiaga yan😢
Hii ngoma haichuji miaka yote utazani imetoka jana aisee 🔥🔥🔥
Ni miaka mingi imepita toka wimbo huu mzuri utoke Bado naangalia nakumbuka mbali sana Kila nikiuangalia kipindi nipo Kijijini radio yangu ilikuwa kwenye repeating mode.
I’m still love this song Banana uko wapi tupe mambo 🙏🏿🇺🇸
"Tausi unaimba vizuri hooo"
Yaan haya Mambo ndo yanazid kujtokeza 2019 na 2020 Kama Ni kwel twende Kaz maana usalit umezd
Nikweli ndugu ya maana mtihani
A great inspiration. Chances in life comes just once like Christmas in a year, whichever the opportunity, seize it boldly lest you crash down when you see someone else live your wish. Waaauh! Loving it in Kenya.
2019 badoo tunasonga nayoo
Wimbo wng pendwa myaka nenda rudi mpka ssa bado unaupenda 2023
Wimbo huu umenifungulia 2019
Peter Nicholaus Kimwaga woow
Peter Nicholaus Kimwaga inyimb inamafunzo
Huu mwimbo ni mzuri na unaelimisha sehem fran
The good message to the society, anyone in 2020, who watching this one
One day sasikiliza uuwimbo
2018..2019 twende sawa like za kushata
Safi sana kiongozi.
October 22 2024 saa 1658nasikiliza,,, who else !????
Narudigi hapa kila siku kuangalia the opening act.
🇰🇪 Representing 2023
Bado kama kawa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huu wimbo balaa🎉
Nipo hapa 2024 2/11
Noma sana hii nyimbo mpaka Leo nikisikiliza
Hii ndio sabuni ya roho; a classic blend; might I add bitter and sweet💟
It doesn't fade away
Mapenzi mabaya
Kazi bab'kubwa.
Who’s watching this March 10 2019?? Good music 🥰🥰🥰😍😍
Ah hia
Great art bro
2020 naicheki hii ngoma siku hz mm nasikiliza beat tu sioni mashairi kabisa, gonga likes kama unaisikiliza ngoma hii 2020
Nausikiliza huu Wimbo 6.1.2025 naupenda❤❤❤
Hii video ni mzuri mno, kuanzia uigizaji, uchezaji, ala, rangi kila kitu kimekaa vizuri mno.....na ckujua kama cheche anajua kubanjuka hivi....video imejaa watu wenye vipaji
Lusekelo Vitu adimu sana siku hizi
Lusekelo Bongomvi
Imeshawahi kutokea tayari na kwa bahati nzuri organiser, cameraman, director na producer ww hii kazi and the entire production team ndio waliotengeneza filamu ya Fatuma,Tunu,Chumo,Bahasha na tamthilia maarufu sana iliyobamba inayoitwa Siri ya Mtungi. Hizo kazi tajwa hapo juu zimeshinda tuzo kadhaa ktk tamasha la kimataifa la filamu zanzibar Ziff, na pia kuonyeshwa katika majumba mbalimbali ya sinema barani Afrika. Zote zipo RUclips na zingine zipo Netflix. Enjoy
Jamani mbona banana zoro na dada hawaimbi tena wasauti nziri sana
Dada yake aliokoka akaacha mziki
Banana sijui habari yake
I really missed that kind of songs
Salome Mlagila please tell me the genre...this music is like my brain's poison, I could study days on end with this
Niliachwa na dem wangu niliushindia huu wimbo
@@samwelmashauri9414 hu hhu. Pl kijn
@@samwelmashauri9414 ahahahahah
Banana Zoro, za enzi zetu hizo daah. Nimeukumbuka leo wimbo huu
This song is a masterpiece, a classic.
Hii nyimbo siachagi kuisikiliza aisee nyimbo tamu balaa mziki live daaaaah
2019 bado naangalia hii nyimbo
Natamani sana jamaa angeendelea hilibswaga la nyimbo zake. Mbona angepaa sana.
Nani anaangalia leo 10 September 2019 kweli subira huvuta bangi ,,subira subira yamemkuta BAHARIA CHECHE , nani kamuona MWISHO MWAMPAMBA ENZI EZO ALIKUWA NA HELA KWELI
Jordan Riber ndio director na producer ww hii kazi kupitia Median for Development International (MFDI) Tanzania and the entire production team ndio waliotengeneza filamu ya Fatuma,Tunu,Chumo,Bahasha na tamthilia maarufu sana iliyobamba inayoitwa Siri ya Mtungi. Hizo kazi tajwa hapo juu zimeshinda tuzo kadhaa ktk tamasha la kimataifa la filamu zanzibar Ziff, na pia kuonyeshwa katika majumba mbalimbali ya sinema barani Afrika. Zote zipo RUclips na zingine zipo Netflix. Enjoy
it’s may 2022 and still the hit song😍😍 all the way from Ukraine 🇺🇦
November 2024
hii ngoma naikubal miaka yote
Nyimbo bado inadumu....
huu wimbo umeimbwa vizuri bana
tuko pamoja mm mwenyewe naulewa san huu wimbo
daah hii nyimbo nzuri sana mapenzi bhana.
Ni nomaaa kitu loveeeeeeeeee
yaani ni stori moja amazing sana. dah! mziki kwa sasa umesha kufa. hawa ndio walikuwa wasanii bana. nyimbo haichoshi stori mpaka video
Who is here in 2021...this song is underrated... deserves 10M views
Huu wimbo naupenda sana 2023/10/11
2019 bado natesa hit like kama upoooooooo
2024😢🕘
#Old is gold!! Angalia viatu vyako😅😅😅
Dah mpaka Leo 2019 mwez huu wa5 nimeiona bas kila mwaka utadum
Namm pia
Wangapi wanacheki hii ngoma 2020, twende pamoja !!!!!!!111111