Zenji Flava na Bongo Flava wakutana kwenye hili songi. Instrumental from East African classic hit but remixed by new generation music artists from Tanzania, East Africa.
Back then, kila kitu kilikua on point yan beat, melody, utunzi.... then msikilize AT alivyopita then Stara... ending guitar sasa yan sio poa .Best mashap
Huu wimbo bwana sijui imekuwaje..unajua nimeshangaa naimba imba mwenyewe..huku natembea tembea..nikajiuliza mbona wimbo mtamu sana..hivi ni wa naaani vile...Aa nikaishia kukumbuka jina moja tu Thomas..baadae nikaja kujua kumbe ni Stara..Yaani nimeshangaa kuona automatically napata hisia ya wimbo wake kichwani...Ameimba vizuri sana..nyimbo za heshima hata ukiwa na watoto unaweza angalia
Nakumbuka mara ya Kwanza kusikia huu wimbo ni mwaka 2009 nikiwa darasa la pili and now am university student kweli miaka inaenda but Mziki mzuri Sana huu be blessed AT and stara Thomas kwa Ngoma hii Kali ##nipigie## 14/01/2022
Saiv tunaishi ishi tu bila formula..zaman maisha yalikua matamu si tajiri si maskinn kama unavoona kwenye nyimbo..mapenzi kote kote saiv tunaringishiana maisha tu
Baaaab kubwa AT big up nice song ,Actually dint forget you Stara nice sweet voice you got there ,Tupeni vitu kama hivyo Nipigie mkewangu Nipigieeeeeeeeeeee
Huu wimbo una hisia nyingi sana sio tu kwa wapenzi bali hadi watu wanaokuzunguka familia na majirani... So may emotions embedded in this song and it's always been my favorite.
ulituliza kichwa imetulia ukiongeza sauti At ilivyokuwa nzuri ya Stara ni ya kumtoa nyoka pangoni. Nyimbo ni nzuri sana yani kila niingiapo kwenye computer lazima niisikilize.
Fauzia Mohamed Daah mwenye hii coment sijui upo wapi maana umekomemt miaka tisa iliyopitaa kipindi hicho sijui hata kama ntawahi kumiliki simu ila saiv nabadlisha tuuuu 2019
2024 tujuwane maana had rah 😂😂😂😂 imenikumbusha kidogo
31.12.2024😂 saa12:40 jion
13.1.2025🇧🇮
Hadi 2024 nipo kuusikiliza huu Wimbo ❤
2024 Maisha hayatabiriki, na hakuna uhakika wa kile ambacho kinaweza kutokea kesho. Kwa hiyo, ulienae mpende kweli❤2024
Hahahahahha umeonge kiprofesa
😂😂😂😂@@davidkossy3228
Safi Sana Ngoma Kali mno I see.
Admired dear
Kuna nyimbo zingine hata ipite miaka 2000 lakini bado itaendelea kuwa nzuri kwa watu
2023 watching 🔥🔥 sweet melody 😋 twende na like za kutoshaaa
Tunao icheki had leo 2024 gonga like
Wewe ni mwenzetu 🎉🎉🎉🎉
Back then, kila kitu kilikua on point yan beat, melody, utunzi.... then msikilize AT alivyopita then Stara... ending guitar sasa yan sio poa
.Best mashap
Miaka 13 imepita lakini bado wimbo bora. Hakika mziki mzur auitaji matusi wala kiki
kwakwel hii nyimbo ni nzur sana sijui sasa hv kwann atoi hit song kama hz
Huu wimbo bwana sijui imekuwaje..unajua nimeshangaa naimba imba mwenyewe..huku natembea tembea..nikajiuliza mbona wimbo mtamu sana..hivi ni wa naaani vile...Aa nikaishia kukumbuka jina moja tu Thomas..baadae nikaja kujua kumbe ni Stara..Yaani nimeshangaa kuona automatically napata hisia ya wimbo wake kichwani...Ameimba vizuri sana..nyimbo za heshima hata ukiwa na watoto unaweza angalia
Hii hali imenkuta leo
Wimbo mtam san
nzuri hata mami huwa naikumbukaga sana
Huuu wimbo Wa AT kamshirikisha Stara thomasi
vizur sana binafs naipenda
long gone are the good days when music used to hit deep down in the bone marrow🤤
We miss dem days
For sure I listen to this right now while I typing ma comment
😍
Daa hii ngoma hatali
Nakumbuka mara ya Kwanza kusikia huu wimbo ni mwaka 2009 nikiwa darasa la pili and now am university student kweli miaka inaenda but Mziki mzuri Sana huu be blessed AT and stara Thomas kwa Ngoma hii Kali ##nipigie##
14/01/2022
Kumbe kama mimi❤
Mm nilikuwa darasa la 5 kipindi hicho❤
Dah.....miaka mingi imepita...lakini wimbo haujachacha kabisaa...Yani ni kama uliiimbwa jana...Shouts out to you guys🎊🎉💪
Hii nyimbo Leo mpenz kanitumia nikaja chapu RUclips nyie adi raha 2024 tujuane hapa
Waliotoka wasafi kuja kuchek ngoma hizi tujuane naomba like 2 tu kutoka south Africa 🌍
Demu wangu alinizoesha kuniambia nipigie nikupe ubuyu. 😂 Nimeona nisikilize huu wimbo kumkumbuka
Kitambo sanaaaa...imenikumbusha mbali sana🙌🏾🙌🏾🙌🏾🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
2020 bado naangalia nawapenda sana jaman mmepotea sana
Leo nimefarijika sana kusikiliza huu mdundo HIV enzi Zita jirudia kwl?
Yaan jaman ww kama mimi nasikiliza hizi nyimbo zinanikumbusha mbali sana,, mnaosikiliza mwaka huu wa 2021 gonga like tujuane
utulivu ulikua mkubwa sana kwenye huu wimbo
Nipigie Mpenzi wangu Npigie, love from +257,🇧🇮🇧🇮
Old times, wen we were too young, nothing we did to know that days rather than waiting for food and going primary school
Nakumbuka nyimbo nilikuwa nasikiliza kwenye radio nikiwa darasa la 3 2009 leo nipo chuo kikuu daah , miaka inaenda
Pole kipindi hicho nmemaliza lasaba
Mimi nilikua darasa la 4
mm pia jmn kitamboo
Me nlikua form2
20009 nakumbk nip darasa la 3 ndio mwak nilompotez baba yang🎉 Life goes on✊🏼
Daaaah..! kitambo sana. kipind hcho nipo mbwite uko. nachunga. Ng'ombe. Sahz nipo Dar naponda raha. ahsante mungu kwa yote
Ha ha ha
Unakula Maisha ndani ya bongo
Hahaaaa
😂😂
Tunao tazama 2020 tujuane kwa like hapa
kuma la mamako
@@claudiusmaximus319 msenge mbwa Wew kafie mbele chawa wew koma lako unafilwa bila kuoga
@@claudiusmaximus319 kuma la mama ako mwenyewe sura mbala kafie mbele huko msenge nini
@@aureliaswai1616 hahaha lmao..
@@claudiusmaximus319 msenge wew unatafuta kiki kwa watu usio wajua kafie mbele chawa wew
Nakumbuka mbali sana adi 😢 linanitoka R.I.P kipenzi changu Sophia sina tena wa kumpigia 😢
Pole sana mpendwa
Daaah pole sana
Pole wangu@@albywamandalinho
Sorry
Pole mno
Daah tumetoka mbali sana😢,,,God bless you all
I was at Handeni Tanga i was standard four now am a last year student at udsm i realy miss those day
Sasaivi wanataka uwapigie atakama umeacha ya vochwa
Nyimbo zinazotakiawa ni hizi! siyo kama zile za walala hoy kizazi kipya. By the way mumetumia maneno ninayoongea na mke wangu. Go Stara and AT
Hi
Hlw
I remember those days
Daa nakumbuka 2009 nikiwa kdato cha 3 momba secondary, Leo nilishahitim chuo kikuu na kupata kazi@ Nyimbo imenitoa machozi Jaman
Hongera sana
Pole mwaya tupo wengi
Noma sana mziiki unaoishi 👏👏👏 AT, Stara
Saiv tunaishi ishi tu bila formula..zaman maisha yalikua matamu si tajiri si maskinn kama unavoona kwenye nyimbo..mapenzi kote kote saiv tunaringishiana maisha tu
2009 nikiwa kwenye ndoa❤❤❤bado nakumbuka zile siku tulikuwa pamoja tukisikiliza hii nyimbo❤2024 nipo mwenye ila wimbo bado nitamu😊
Nimeisikia leo kwa daradara.... nimekumbuka utotoni!!!
Muziki wa Zamani daa very sweet song..2025 bado ngoma inabeng
2021 tuko wapi
Here we go.🔥
2021/pa1
Kwa kweli ni Wimbo Mzuri Naupenda Mpaka Leo hii ❤🎉
Nikisikiliza hii nyimbo nakumbuka utoto kwangu ila hii nyimbo haishi hadhi kwakwel imetulia sana from Zanzibar
Mambo
That's time I was in primary school where are u Stara Thomas much love
I just feel so emotionally attached to this song, I don't know why. I can't have enough of it. it's just superb
It’s all the memories that comes with it
Me too
This song is nice
Still here jaman gonga like here
Hatar sana ngoma hii
Still watching this hit song 2023 muziki umeenda, shule, sauti. Nyie mlikua wanamuziki wa ukweli.
Hakika ni Wimbo Mzuri sana🥰💝👏
Ni 2022 lakini nimerudi kutafta huu wimbo wimbo mzuri sana
Huu mziki unaishi miaka ya kobe ❤
the emotions in this song!!!!!!!!!!!! i know you are feeling it...listening it from Nairobi, Kenya.
I have great memories attached to this song way back in 2012. Old is gold indeed
The good old days when people actually took time to produce real music that fit the definition music is food for the soul
Aaah nkimc mke wangu tu kichwani huu wimbo unankusha haraka sana
2023 kwani we upigiwi😅? Gonga like
AT is a Real Bongoflavo 🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Absolutely 💯
Baaaab kubwa AT big up nice song ,Actually dint forget you Stara nice sweet voice you got there ,Tupeni vitu kama hivyo Nipigie mkewangu Nipigieeeeeeeeeeee
Said mponda, kitambo sana naikubali bongo freva
Sana, At
Dah nimekumbuka mbali sana 2010 kweli tunatoka mbali 😊
Huuu wimbo sijawai kuuchoka!Nipigie!💞💞💞💞💞💞
Zamani kulikua na laha Sana jamani. Miaka Rudi nyumaaaa😢😢
Amazing piece! This music will never die. If it dies, then it is not this music.
Those days when music was still music, reminding me of my honeymoon time 💖 13yrs
best song of the year
Story yenyewe ya nani....❤❤❤❤❤❤❤nipigie...2023 August happy birthday inadvance my love
Keep the good music alive
Hizi nyimbo zinanikumbusha mbali sana ,, daaaah
Huu wimbo una hisia nyingi sana sio tu kwa wapenzi bali hadi watu wanaokuzunguka familia na majirani...
So may emotions embedded in this song and it's always been my favorite.
2020 twende twende still tuko hapa 13.01 nmemiss wifi yenu
Huu mziki umekamilika kwa kila kitu kuanzia beat vocals na kila kitu kilizingatiwa 🤝🏾
Kipindi luv ilikuaga real eroo,ukipenda umepanda sio saa hii ni biashara
Nakumbali sana jamani daaah kuna kaka angu alikuwa ananiimbia sana rest in peace anosisye
ulituliza kichwa imetulia ukiongeza sauti At ilivyokuwa nzuri ya Stara ni ya kumtoa nyoka pangoni. Nyimbo ni nzuri sana yani kila niingiapo kwenye computer lazima niisikilize.
Fauzia Mohamed Daah mwenye hii coment sijui upo wapi maana umekomemt miaka tisa iliyopitaa kipindi hicho sijui hata kama ntawahi kumiliki simu ila saiv nabadlisha tuuuu 2019
Duh anaonekana alikua mjanja
@@dilekalayon5925 kweli
Kw
@@sharamata1119 b
October 17 2023 still 🔥🔥🔥
Daah hii nyimbo imenikaa kwa kichwa 😃
Heshima Zangu kw huu wimbo.Big up @AT na @Starathomas...Another Classic...
Such A great 👍👍 song❤❤🎉
2024 tar 12 mwezi 11 muda saa 07:49 asubuhi nafanya kazi nikajikuta naimba moyoni hu wimbo ❤😢
Naipenda sana.inanikumbusha mbari
Sooooon live in Tabata Bima!
Dah huu wimbo unanikumbusha mbali sana jmn
Najomo mwandega alikuwa anaupenda mnoooo miaka hiyo
Reast easy Najomo 😢
Nzuri sana hii wa 92 tujuane
Nawakubali kinoma daily nawasikiliza 2020
Dec 2020 still best song, who else is watching
Duuuh, this song jaman acha zingine zichuje but some songs like this mmmh so sweet apo unataman kumwambia umbea ur love
2024 here we go 💙 💙 💙 button
Wimbo mtamu balaa❤
Fanye ni tena bas mana mko vzr ina tamba hadi sasa kitu safi
kul tune frm bongo,,,kip up da gd work
Aka kamuimbo Leo since naamka akataki kutoka kichwan najikuta nauimba❤
yani duuuuuu mpaka najisikia kuIia kwawemboo huuuuuu 😂❤❤❤❤❤❤❤🤙🤙🤙🤙🤳💯💯🧡❤️❤️❤️❤️
This was a banger back in days 🔥
best song of all time sana tu bongo flava
2024 listening to this beautiful Jam. 🎉 So much memories.
Still watching 2019
Dah nami Leo nimeukumbuka eti
2025 hands up
If your still whatching this video 2024 god bless you🎉🎉❤❤
Woow imenikumbusha Mbali sana NGOMA Hii❤
Sema mpendi unasemaje Ndio naweka msosi mezani.....
Wow,,,,wimbo mtamu
Mambo bado mazuri sana miaka mingi laki bado ni fire❤❤❤❤❤
Kipihicho miziki hauna machawa.