AT Feat Stara Thomas - Nipigie

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • Zenji Flava na Bongo Flava wakutana kwenye hili songi. Instrumental from East African classic hit but remixed by new generation music artists from Tanzania, East Africa.

Комментарии • 422

  • @FadhilaMatope
    @FadhilaMatope Год назад +132

    2024 tujuwane maana had rah 😂😂😂😂 imenikumbusha kidogo

  • @alexanderkatanga7750
    @alexanderkatanga7750 Год назад +40

    Hadi 2024 nipo kuusikiliza huu Wimbo ❤

  • @yazzbyser7944
    @yazzbyser7944 Год назад +70

    2024 Maisha hayatabiriki, na hakuna uhakika wa kile ambacho kinaweza kutokea kesho. Kwa hiyo, ulienae mpende kweli❤2024

  • @makumboproduction
    @makumboproduction 11 месяцев назад +8

    Kuna nyimbo zingine hata ipite miaka 2000 lakini bado itaendelea kuwa nzuri kwa watu

  • @JosephShagembe-dj6qv
    @JosephShagembe-dj6qv Год назад +26

    2023 watching 🔥🔥 sweet melody 😋 twende na like za kutoshaaa

  • @DiophSelemani-zt4jz
    @DiophSelemani-zt4jz 5 месяцев назад +44

    Tunao icheki had leo 2024 gonga like

  • @nyanzaOG
    @nyanzaOG Год назад +15

    Back then, kila kitu kilikua on point yan beat, melody, utunzi.... then msikilize AT alivyopita then Stara... ending guitar sasa yan sio poa
    .Best mashap

  • @saidmembe8329
    @saidmembe8329 Год назад +10

    Miaka 13 imepita lakini bado wimbo bora. Hakika mziki mzur auitaji matusi wala kiki

  • @yahayakassimu
    @yahayakassimu Год назад +5

    kwakwel hii nyimbo ni nzur sana sijui sasa hv kwann atoi hit song kama hz

  • @michaelsiweya6500
    @michaelsiweya6500 4 года назад +123

    Huu wimbo bwana sijui imekuwaje..unajua nimeshangaa naimba imba mwenyewe..huku natembea tembea..nikajiuliza mbona wimbo mtamu sana..hivi ni wa naaani vile...Aa nikaishia kukumbuka jina moja tu Thomas..baadae nikaja kujua kumbe ni Stara..Yaani nimeshangaa kuona automatically napata hisia ya wimbo wake kichwani...Ameimba vizuri sana..nyimbo za heshima hata ukiwa na watoto unaweza angalia

  • @simonndune4457
    @simonndune4457 4 года назад +78

    long gone are the good days when music used to hit deep down in the bone marrow🤤

  • @sarasaraz-vn1vl
    @sarasaraz-vn1vl Год назад +2

    Daa hii ngoma hatali

  • @edwardtetian215
    @edwardtetian215 3 года назад +17

    Nakumbuka mara ya Kwanza kusikia huu wimbo ni mwaka 2009 nikiwa darasa la pili and now am university student kweli miaka inaenda but Mziki mzuri Sana huu be blessed AT and stara Thomas kwa Ngoma hii Kali ##nipigie##
    14/01/2022

    • @sarahmkenga2007
      @sarahmkenga2007 4 месяца назад +1

      Kumbe kama mimi❤

    • @EriyaRichard
      @EriyaRichard 2 месяца назад

      Mm nilikuwa darasa la 5 kipindi hicho❤

  • @marykutururu1
    @marykutururu1 2 года назад +10

    Dah.....miaka mingi imepita...lakini wimbo haujachacha kabisaa...Yani ni kama uliiimbwa jana...Shouts out to you guys🎊🎉💪

  • @IreneSamuel-s2v
    @IreneSamuel-s2v 6 месяцев назад +11

    Hii nyimbo Leo mpenz kanitumia nikaja chapu RUclips nyie adi raha 2024 tujuane hapa

  • @hakimugarincha
    @hakimugarincha 8 месяцев назад +10

    Waliotoka wasafi kuja kuchek ngoma hizi tujuane naomba like 2 tu kutoka south Africa 🌍

  • @1000Brain
    @1000Brain Год назад +5

    Demu wangu alinizoesha kuniambia nipigie nikupe ubuyu. 😂 Nimeona nisikilize huu wimbo kumkumbuka

  • @jobwanjala9176
    @jobwanjala9176 4 года назад +13

    Kitambo sanaaaa...imenikumbusha mbali sana🙌🏾🙌🏾🙌🏾🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @janethmgonja409
    @janethmgonja409 5 лет назад +44

    2020 bado naangalia nawapenda sana jaman mmepotea sana

    • @abdulshaban4560
      @abdulshaban4560 4 года назад

      Leo nimefarijika sana kusikiliza huu mdundo HIV enzi Zita jirudia kwl?

    • @edisonkashaija4067
      @edisonkashaija4067 3 года назад +1

      Yaan jaman ww kama mimi nasikiliza hizi nyimbo zinanikumbusha mbali sana,, mnaosikiliza mwaka huu wa 2021 gonga like tujuane

  • @mohamedhamisi9766
    @mohamedhamisi9766 2 года назад +4

    utulivu ulikua mkubwa sana kwenye huu wimbo

  • @ntawurusigajaphet8813
    @ntawurusigajaphet8813 5 лет назад +7

    Nipigie Mpenzi wangu Npigie, love from +257,🇧🇮🇧🇮

  • @liberatusulaya2269
    @liberatusulaya2269 3 года назад +8

    Old times, wen we were too young, nothing we did to know that days rather than waiting for food and going primary school

  • @massa3604
    @massa3604 4 года назад +14

    Nakumbuka nyimbo nilikuwa nasikiliza kwenye radio nikiwa darasa la 3 2009 leo nipo chuo kikuu daah , miaka inaenda

  • @steveafrica3533
    @steveafrica3533 5 лет назад +21

    Daaaah..! kitambo sana. kipind hcho nipo mbwite uko. nachunga. Ng'ombe. Sahz nipo Dar naponda raha. ahsante mungu kwa yote

  • @aureliaswai1616
    @aureliaswai1616 4 года назад +38

    Tunao tazama 2020 tujuane kwa like hapa

    • @claudiusmaximus319
      @claudiusmaximus319 3 года назад

      kuma la mamako

    • @aureliaswai1616
      @aureliaswai1616 3 года назад

      @@claudiusmaximus319 msenge mbwa Wew kafie mbele chawa wew koma lako unafilwa bila kuoga

    • @aureliaswai1616
      @aureliaswai1616 3 года назад

      @@claudiusmaximus319 kuma la mama ako mwenyewe sura mbala kafie mbele huko msenge nini

    • @claudiusmaximus319
      @claudiusmaximus319 3 года назад

      @@aureliaswai1616 hahaha lmao..

    • @aureliaswai1616
      @aureliaswai1616 3 года назад

      @@claudiusmaximus319 msenge wew unatafuta kiki kwa watu usio wajua kafie mbele chawa wew

  • @ommyguizer6677
    @ommyguizer6677 7 месяцев назад +10

    Nakumbuka mbali sana adi 😢 linanitoka R.I.P kipenzi changu Sophia sina tena wa kumpigia 😢

  • @augustuscaesar2816
    @augustuscaesar2816 Год назад +1

    Daah tumetoka mbali sana😢,,,God bless you all

  • @rosemkwama5675
    @rosemkwama5675 Год назад +1

    I was at Handeni Tanga i was standard four now am a last year student at udsm i realy miss those day

  • @StevenPaul-w4f
    @StevenPaul-w4f Месяц назад +4

    Sasaivi wanataka uwapigie atakama umeacha ya vochwa

  • @ntahix
    @ntahix 14 лет назад +21

    Nyimbo zinazotakiawa ni hizi! siyo kama zile za walala hoy kizazi kipya. By the way mumetumia maneno ninayoongea na mke wangu. Go Stara and AT

  • @kasukukasuku3896
    @kasukukasuku3896 Год назад +2

    I remember those days

  • @angelinasimchimba705
    @angelinasimchimba705 4 года назад +8

    Daa nakumbuka 2009 nikiwa kdato cha 3 momba secondary, Leo nilishahitim chuo kikuu na kupata kazi@ Nyimbo imenitoa machozi Jaman

  • @danielmathias160
    @danielmathias160 4 года назад +5

    Noma sana mziiki unaoishi 👏👏👏 AT, Stara

  • @almasy007mussss
    @almasy007mussss 5 месяцев назад +2

    Saiv tunaishi ishi tu bila formula..zaman maisha yalikua matamu si tajiri si maskinn kama unavoona kwenye nyimbo..mapenzi kote kote saiv tunaringishiana maisha tu

  • @ireneonono4664
    @ireneonono4664 6 месяцев назад +1

    2009 nikiwa kwenye ndoa❤❤❤bado nakumbuka zile siku tulikuwa pamoja tukisikiliza hii nyimbo❤2024 nipo mwenye ila wimbo bado nitamu😊

  • @giftmalema5032
    @giftmalema5032 2 года назад +2

    Nimeisikia leo kwa daradara.... nimekumbuka utotoni!!!

  • @rajabsenkondo1016
    @rajabsenkondo1016 Месяц назад

    Muziki wa Zamani daa very sweet song..2025 bado ngoma inabeng

  • @mwafote3466
    @mwafote3466 4 года назад +43

    2021 tuko wapi

  • @petersonGiesi
    @petersonGiesi 3 месяца назад +1

    Kwa kweli ni Wimbo Mzuri Naupenda Mpaka Leo hii ❤🎉

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 2 года назад +3

    Nikisikiliza hii nyimbo nakumbuka utoto kwangu ila hii nyimbo haishi hadhi kwakwel imetulia sana from Zanzibar

  • @brunofernandez6608
    @brunofernandez6608 2 года назад +1

    That's time I was in primary school where are u Stara Thomas much love

  • @esnartnamukonda7564
    @esnartnamukonda7564 4 года назад +31

    I just feel so emotionally attached to this song, I don't know why. I can't have enough of it. it's just superb

  • @nola9334
    @nola9334 3 года назад +4

    Still here jaman gonga like here

  • @valerianmchau5188
    @valerianmchau5188 4 года назад +3

    Hatar sana ngoma hii

  • @josephjohn2114
    @josephjohn2114 Год назад +1

    Still watching this hit song 2023 muziki umeenda, shule, sauti. Nyie mlikua wanamuziki wa ukweli.

  • @petersonGiesi
    @petersonGiesi 3 месяца назад

    Hakika ni Wimbo Mzuri sana🥰💝👏

  • @princedominic8776
    @princedominic8776 2 года назад +4

    Ni 2022 lakini nimerudi kutafta huu wimbo wimbo mzuri sana

  • @MichaelInnocent-i7c
    @MichaelInnocent-i7c 3 месяца назад

    Huu mziki unaishi miaka ya kobe ❤

  • @johnstoneolefa913
    @johnstoneolefa913 Год назад +3

    the emotions in this song!!!!!!!!!!!! i know you are feeling it...listening it from Nairobi, Kenya.

  • @gent8412
    @gent8412 3 года назад +8

    I have great memories attached to this song way back in 2012. Old is gold indeed

  • @nuelmikes
    @nuelmikes Год назад +3

    The good old days when people actually took time to produce real music that fit the definition music is food for the soul

  • @DeogratiusIdama
    @DeogratiusIdama 2 месяца назад

    Aaah nkimc mke wangu tu kichwani huu wimbo unankusha haraka sana

  • @dancanchacha8139
    @dancanchacha8139 Год назад +3

    2023 kwani we upigiwi😅? Gonga like

  • @mangetz2835
    @mangetz2835 2 года назад +7

    AT is a Real Bongoflavo 🙌🏾🙌🏾🙌🏾

  • @duliz2002
    @duliz2002 14 лет назад +3

    Baaaab kubwa AT big up nice song ,Actually dint forget you Stara nice sweet voice you got there ,Tupeni vitu kama hivyo Nipigie mkewangu Nipigieeeeeeeeeeee

  • @ITIKAGIDEON
    @ITIKAGIDEON 2 месяца назад

    Dah nimekumbuka mbali sana 2010 kweli tunatoka mbali 😊

  • @miriampaulo2600
    @miriampaulo2600 4 года назад +3

    Huuu wimbo sijawai kuuchoka!Nipigie!💞💞💞💞💞💞

  • @HellenaMky
    @HellenaMky 3 месяца назад

    Zamani kulikua na laha Sana jamani. Miaka Rudi nyumaaaa😢😢

  • @georgeodoo9924
    @georgeodoo9924 3 года назад +8

    Amazing piece! This music will never die. If it dies, then it is not this music.

  • @familyfriendlyfan269
    @familyfriendlyfan269 Год назад +3

    Those days when music was still music, reminding me of my honeymoon time 💖 13yrs

  • @charlestonkimario4322
    @charlestonkimario4322 4 года назад +10

    best song of the year

  • @jacklinerenson1708
    @jacklinerenson1708 Год назад

    Story yenyewe ya nani....❤❤❤❤❤❤❤nipigie...2023 August happy birthday inadvance my love

  • @jamesmgimba7403
    @jamesmgimba7403 Год назад +2

    Keep the good music alive

  • @ericedison5437
    @ericedison5437 5 лет назад +3

    Hizi nyimbo zinanikumbusha mbali sana ,, daaaah

  • @alanpierrers
    @alanpierrers 5 месяцев назад +1

    Huu wimbo una hisia nyingi sana sio tu kwa wapenzi bali hadi watu wanaokuzunguka familia na majirani...
    So may emotions embedded in this song and it's always been my favorite.

  • @vedastogenius45
    @vedastogenius45 5 лет назад +18

    2020 twende twende still tuko hapa 13.01 nmemiss wifi yenu

  • @Baisah120
    @Baisah120 7 месяцев назад +1

    Huu mziki umekamilika kwa kila kitu kuanzia beat vocals na kila kitu kilizingatiwa 🤝🏾

  • @adamnjere5907
    @adamnjere5907 2 месяца назад

    Kipindi luv ilikuaga real eroo,ukipenda umepanda sio saa hii ni biashara

  • @vumiliamwangasa3627
    @vumiliamwangasa3627 5 лет назад +4

    Nakumbali sana jamani daaah kuna kaka angu alikuwa ananiimbia sana rest in peace anosisye

  • @lulu201010
    @lulu201010 14 лет назад +21

    ulituliza kichwa imetulia ukiongeza sauti At ilivyokuwa nzuri ya Stara ni ya kumtoa nyoka pangoni. Nyimbo ni nzuri sana yani kila niingiapo kwenye computer lazima niisikilize.

    • @dilekalayon5925
      @dilekalayon5925 5 лет назад +1

      Fauzia Mohamed Daah mwenye hii coment sijui upo wapi maana umekomemt miaka tisa iliyopitaa kipindi hicho sijui hata kama ntawahi kumiliki simu ila saiv nabadlisha tuuuu 2019

    • @joelinko6632
      @joelinko6632 4 года назад +1

      Duh anaonekana alikua mjanja

    • @ahmedjack4135
      @ahmedjack4135 3 года назад

      @@dilekalayon5925 kweli

    • @ahmedjack4135
      @ahmedjack4135 3 года назад

      Kw

    • @ahmedjack4135
      @ahmedjack4135 3 года назад

      @@sharamata1119 b

  • @didakalaule7840
    @didakalaule7840 Год назад +1

    October 17 2023 still 🔥🔥🔥

  • @shebbynzengula6993
    @shebbynzengula6993 7 месяцев назад

    Daah hii nyimbo imenikaa kwa kichwa 😃

  • @umraumi3
    @umraumi3 5 месяцев назад

    Heshima Zangu kw huu wimbo.Big up @AT na @Starathomas...Another Classic...

  • @wanguiemily751
    @wanguiemily751 Год назад +2

    Such A great 👍👍 song❤❤🎉

  • @hasheemomary4507
    @hasheemomary4507 2 месяца назад

    2024 tar 12 mwezi 11 muda saa 07:49 asubuhi nafanya kazi nikajikuta naimba moyoni hu wimbo ❤😢

  • @ElizabethJuma-uz1pm
    @ElizabethJuma-uz1pm 8 месяцев назад

    Naipenda sana.inanikumbusha mbari

  • @kennedymmbando
    @kennedymmbando 2 года назад +3

    Sooooon live in Tabata Bima!

  • @EmmanuelBrighton-rw3lt
    @EmmanuelBrighton-rw3lt 8 месяцев назад

    Dah huu wimbo unanikumbusha mbali sana jmn
    Najomo mwandega alikuwa anaupenda mnoooo miaka hiyo
    Reast easy Najomo 😢

  • @jipsonmwallo7887
    @jipsonmwallo7887 Месяц назад

    Nzuri sana hii wa 92 tujuane

  • @sarahmwaluko2480
    @sarahmwaluko2480 4 года назад +4

    Nawakubali kinoma daily nawasikiliza 2020

  • @taicollegetz
    @taicollegetz 4 года назад +2

    Dec 2020 still best song, who else is watching

  • @SalmaMchome
    @SalmaMchome Год назад

    Duuuh, this song jaman acha zingine zichuje but some songs like this mmmh so sweet apo unataman kumwambia umbea ur love

  • @raynellyaugustino3237
    @raynellyaugustino3237 5 месяцев назад +1

    2024 here we go 💙 💙 💙 button

  • @janemayala1138
    @janemayala1138 6 месяцев назад

    Wimbo mtamu balaa❤

  • @pilikhamis2924
    @pilikhamis2924 3 года назад

    Fanye ni tena bas mana mko vzr ina tamba hadi sasa kitu safi

  • @harrisleonard3490
    @harrisleonard3490 12 лет назад +4

    kul tune frm bongo,,,kip up da gd work

  • @BinSuleyman-gq5vk
    @BinSuleyman-gq5vk 9 месяцев назад

    Aka kamuimbo Leo since naamka akataki kutoka kichwan najikuta nauimba❤

  • @MussaDhahabu-l5b
    @MussaDhahabu-l5b 7 месяцев назад

    yani duuuuuu mpaka najisikia kuIia kwawemboo huuuuuu 😂❤❤❤❤❤❤❤🤙🤙🤙🤙🤳💯💯🧡❤️❤️❤️❤️

  • @DM-bq7ys
    @DM-bq7ys 3 года назад +7

    This was a banger back in days 🔥

  • @romansuzana46
    @romansuzana46 13 лет назад +6

    best song of all time sana tu bongo flava

  • @jeremiahshayoarchitect10
    @jeremiahshayoarchitect10 7 месяцев назад

    2024 listening to this beautiful Jam. 🎉 So much memories.

  • @emiliangasto9467
    @emiliangasto9467 5 лет назад +20

    Still watching 2019

  • @RahmaSimba-i6j
    @RahmaSimba-i6j Год назад

    Dah nami Leo nimeukumbuka eti

  • @alfredkiyega1836
    @alfredkiyega1836 28 дней назад +3

    2025 hands up

  • @Feisalmatandula
    @Feisalmatandula 4 месяца назад +2

    If your still whatching this video 2024 god bless you🎉🎉❤❤

  • @yussufprofessor
    @yussufprofessor 7 месяцев назад

    Woow imenikumbusha Mbali sana NGOMA Hii❤

  • @deodatusmwacha719
    @deodatusmwacha719 10 месяцев назад

    Sema mpendi unasemaje Ndio naweka msosi mezani.....

  • @edwardmukanda2753
    @edwardmukanda2753 4 года назад +2

    Wow,,,,wimbo mtamu

  • @JeniphaMtundu
    @JeniphaMtundu 8 месяцев назад

    Mambo bado mazuri sana miaka mingi laki bado ni fire❤❤❤❤❤

  • @mfaumeally4476
    @mfaumeally4476 2 года назад +1

    Kipihicho miziki hauna machawa.