Mch Moses Magembe - KUJITOA KUWA DHABIHU ILIYO HAI | IBADA JUMAPILI MCHANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 июл 2024
  • Somo: KUJITOA KUWA DHABIHU ILIYO HAI
    Andiko: WARUMI 12:1-8
    Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE
    Tarehe: 07.07.2024

Комментарии • 33

  • @frankluoga9651
    @frankluoga9651 13 дней назад +4

    Nimefurahi kusia unakuja SONGEA baba tunasubiria kwa hamu, mkutano utakuwa viwanja gani?

  • @IsayaSchone-kt7uq
    @IsayaSchone-kt7uq 10 дней назад

    Amen amen Baba

  • @mbuerecarlos1396
    @mbuerecarlos1396 12 дней назад

    Apa ni Germany nakufatilia Leo nimekuona kwa kwa TV Asanteni kwa mahubiri yako mazuri ya kutujengakiroho. Nashukuru kwa kutembelea Bukoba Tembelea tena Bukoba Vijijini na Bukoba Mjini . Kote ni uganga na udini mtupu kuokoka si rahisi ni udini tu.

  • @Patience.67
    @Patience.67 4 дня назад

    Watching from kenya Nairobi

  • @jamesrobare522
    @jamesrobare522 12 дней назад

    Asante SN mtumishi wa mungu aliye hai.

  • @odismwanjoba5599
    @odismwanjoba5599 День назад

    Barikiwa baba

  • @mbuerecarlos1396
    @mbuerecarlos1396 12 дней назад

    Na kuhusu kusikia wewe Mchungaji tuna kusikia Lakini kuhusu wanatumia microtone Haisikiki vizuri sijui ni nini . Hatukuweza kusikia shuhuda za watu wakisema ni wewe ulikuwa unasema tu wao hatukusikia walivyokuwa wanasema Microphone yao haikusikika na mtu alikuwa ameishika haikusikika. Ya kwako iko vizuri kabisa .

  • @fidemikaeli8145
    @fidemikaeli8145 10 дней назад

    Mungu wetu azidi kukutunza

  • @SARAKAMBARAGE
    @SARAKAMBARAGE 14 дней назад +1

    Asante kwa Mungu kwa neno hili la baraka. Ubarikiwe sanaa mtumishi wa Mungu

  • @ignusrwelamila7355
    @ignusrwelamila7355 14 дней назад +1

    Ameni sana babu hakika Tanzania na Dunia nzima shall be saved in the name of Jesus and for this message I believe you will planting the even and breaks the devil kingdom in Jesus name

  • @alexkizito892
    @alexkizito892 13 дней назад +1

    Ubarikiwe sana Baba Mchungaji

  • @user-yl9hu8ho1y
    @user-yl9hu8ho1y 14 дней назад +2

    Baba naomba ruhusa yako ili nije kumuona hapo majumba sita kati ya jumanne au jumatano kabla haujaondoka kwenda songea

  • @emmenuelmwalembe-yd1cz
    @emmenuelmwalembe-yd1cz 14 дней назад +1

    Amina sana baba, Nabarikiwa Sanaa na masomo haya

  • @godfreymwenesho1770
    @godfreymwenesho1770 8 дней назад

    Njoo na Katavi Baba
    Nataman usikie

  • @ernestbutagalala
    @ernestbutagalala 11 дней назад

    Karibu tu Zanzibar mtumishi wa mungu sijajua mtakuw Zanzibar Sehem gani pia karbu san watumish wa mungu

  • @PauloGerald-fx2ev
    @PauloGerald-fx2ev 13 дней назад

    Ubarikiwe saana Baba Mchungaji Moses Magembe Bwana akutunze🙏🙏

  • @kconnect27
    @kconnect27 14 дней назад +1

    Boresheni kidogo sauti ipo chini. Kazi nzuri Mungu awabariki, tulikuwa pamoja Mwanza❤

    • @ernestbutagalala
      @ernestbutagalala 11 дней назад

      Hahahahahaha kumb na ww umeona eee me nikajua labda ni cm yangu inasaut ndogo kumb na ww umeliona Hilo ila sio mbaya san tutatumia earphones 🎧🎧

  • @wilbertgaudencemitao
    @wilbertgaudencemitao 14 дней назад +1

    Jina la Bwana YESU litukuzwe

  • @Habarizacongo
    @Habarizacongo 14 дней назад +2

    Na wa belgium bado yupo pamoja

  • @FunnyDarypink
    @FunnyDarypink 14 дней назад +1

    Amen amen 🙏

  • @SYLIVESTERKAWONGA
    @SYLIVESTERKAWONGA 13 дней назад

    Mungu akubaliki Kwa Kwa safari ya Songea uamsho uwe motomoto

  • @judithmartin9442
    @judithmartin9442 13 дней назад

    Mungu wa mbinguni akubariki sana sana Baba

  • @user-lt4pv6vh8g
    @user-lt4pv6vh8g 13 дней назад

    Amen baba kwa somo nzuri

  • @GraceNicolas-tr8sk
    @GraceNicolas-tr8sk 13 дней назад

    Nakufatilia sana baba ubarikiwe mno mno

  • @PauloMaona-in4qh
    @PauloMaona-in4qh 13 дней назад

    mchungaji umenawa

  • @joshuanjiuka2870
    @joshuanjiuka2870 13 дней назад

    AMINA

  • @AGNESMBUNDA-i4o
    @AGNESMBUNDA-i4o 13 дней назад

    Injili

  • @MwaringaJira
    @MwaringaJira 9 дней назад

    Bwana asifiwe, nko kenya nataka hivyo vitabu mchungaji vyenye mafunzo haya tavipata vipi?

  • @EdsonBandari-mk8wb
    @EdsonBandari-mk8wb 12 дней назад

    ukweli unauma ,hakika jamani Mungu ametupa zawadi wanaTag

  • @mbuerecarlos1396
    @mbuerecarlos1396 12 дней назад

    Apa ni Germany nakufatilia Leo nimekuona kwa kwa TV Asanteni kwa mahubiri yako mazuri ya kutujengakiroho. Nashukuru kwa kutembelea Bukoba Tembelea tena Bukoba Vijijini na Bukoba Mjini . Kote ni uganga na udini mtupu kuokoka si rahisi ni udini tu.

  • @mbuerecarlos1396
    @mbuerecarlos1396 12 дней назад

    Na kuhusu kusikia wewe Mchungaji tuna kusikia Lakini kuhusu wanatumia microtone Haisikiki vizuri sijui ni nini . Hatukuweza kusikia shuhuda za watu wakisema ni wewe ulikuwa unasema tu wao hatukusikia walivyokuwa wanasema Microphone yao haikusikika na mtu alikuwa ameishika haikusikika. Ya kwako iko vizuri kabisa .

  • @alexkizito892
    @alexkizito892 13 дней назад

    Ubarikiwe sana Baba Mchungaji