Apa ni Germany nakufatilia Leo nimekuona kwa kwa TV Asanteni kwa mahubiri yako mazuri ya kutujengakiroho. Nashukuru kwa kutembelea Bukoba Tembelea tena Bukoba Vijijini na Bukoba Mjini . Kote ni uganga na udini mtupu kuokoka si rahisi ni udini tu.
Na kuhusu kusikia wewe Mchungaji tuna kusikia Lakini kuhusu wanatumia microtone Haisikiki vizuri sijui ni nini . Hatukuweza kusikia shuhuda za watu wakisema ni wewe ulikuwa unasema tu wao hatukusikia walivyokuwa wanasema Microphone yao haikusikika na mtu alikuwa ameishika haikusikika. Ya kwako iko vizuri kabisa .
Ameni sana babu hakika Tanzania na Dunia nzima shall be saved in the name of Jesus and for this message I believe you will planting the even and breaks the devil kingdom in Jesus name
Apa ni Germany nakufatilia Leo nimekuona kwa kwa TV Asanteni kwa mahubiri yako mazuri ya kutujengakiroho. Nashukuru kwa kutembelea Bukoba Tembelea tena Bukoba Vijijini na Bukoba Mjini . Kote ni uganga na udini mtupu kuokoka si rahisi ni udini tu.
Na kuhusu kusikia wewe Mchungaji tuna kusikia Lakini kuhusu wanatumia microtone Haisikiki vizuri sijui ni nini . Hatukuweza kusikia shuhuda za watu wakisema ni wewe ulikuwa unasema tu wao hatukusikia walivyokuwa wanasema Microphone yao haikusikika na mtu alikuwa ameishika haikusikika. Ya kwako iko vizuri kabisa .
Nimefurahi kusia unakuja SONGEA baba tunasubiria kwa hamu, mkutano utakuwa viwanja gani?
Amen amen Baba
Apa ni Germany nakufatilia Leo nimekuona kwa kwa TV Asanteni kwa mahubiri yako mazuri ya kutujengakiroho. Nashukuru kwa kutembelea Bukoba Tembelea tena Bukoba Vijijini na Bukoba Mjini . Kote ni uganga na udini mtupu kuokoka si rahisi ni udini tu.
Watching from kenya Nairobi
Asante SN mtumishi wa mungu aliye hai.
Barikiwa baba
Na kuhusu kusikia wewe Mchungaji tuna kusikia Lakini kuhusu wanatumia microtone Haisikiki vizuri sijui ni nini . Hatukuweza kusikia shuhuda za watu wakisema ni wewe ulikuwa unasema tu wao hatukusikia walivyokuwa wanasema Microphone yao haikusikika na mtu alikuwa ameishika haikusikika. Ya kwako iko vizuri kabisa .
Mungu wetu azidi kukutunza
Asante kwa Mungu kwa neno hili la baraka. Ubarikiwe sanaa mtumishi wa Mungu
Ameni sana babu hakika Tanzania na Dunia nzima shall be saved in the name of Jesus and for this message I believe you will planting the even and breaks the devil kingdom in Jesus name
Ubarikiwe sana Baba Mchungaji
Baba naomba ruhusa yako ili nije kumuona hapo majumba sita kati ya jumanne au jumatano kabla haujaondoka kwenda songea
Amina sana baba, Nabarikiwa Sanaa na masomo haya
Njoo na Katavi Baba
Nataman usikie
Karibu tu Zanzibar mtumishi wa mungu sijajua mtakuw Zanzibar Sehem gani pia karbu san watumish wa mungu
Ubarikiwe saana Baba Mchungaji Moses Magembe Bwana akutunze🙏🙏
Boresheni kidogo sauti ipo chini. Kazi nzuri Mungu awabariki, tulikuwa pamoja Mwanza❤
Hahahahahaha kumb na ww umeona eee me nikajua labda ni cm yangu inasaut ndogo kumb na ww umeliona Hilo ila sio mbaya san tutatumia earphones 🎧🎧
Jina la Bwana YESU litukuzwe
Na wa belgium bado yupo pamoja
Amen amen 🙏
Mungu akubaliki Kwa Kwa safari ya Songea uamsho uwe motomoto
Mungu wa mbinguni akubariki sana sana Baba
Amen baba kwa somo nzuri
Nakufatilia sana baba ubarikiwe mno mno
mchungaji umenawa
AMINA
Injili
Bwana asifiwe, nko kenya nataka hivyo vitabu mchungaji vyenye mafunzo haya tavipata vipi?
ukweli unauma ,hakika jamani Mungu ametupa zawadi wanaTag
Apa ni Germany nakufatilia Leo nimekuona kwa kwa TV Asanteni kwa mahubiri yako mazuri ya kutujengakiroho. Nashukuru kwa kutembelea Bukoba Tembelea tena Bukoba Vijijini na Bukoba Mjini . Kote ni uganga na udini mtupu kuokoka si rahisi ni udini tu.
Na kuhusu kusikia wewe Mchungaji tuna kusikia Lakini kuhusu wanatumia microtone Haisikiki vizuri sijui ni nini . Hatukuweza kusikia shuhuda za watu wakisema ni wewe ulikuwa unasema tu wao hatukusikia walivyokuwa wanasema Microphone yao haikusikika na mtu alikuwa ameishika haikusikika. Ya kwako iko vizuri kabisa .
Ubarikiwe sana Baba Mchungaji