MCH.MAGEMBE AWASHA MOTO, MCH,GENYA AKIAGWA VCCT NA KUZIKWA MAKABURI YA KONDO DSM.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 41

  • @johnmawewebusobe7138
    @johnmawewebusobe7138 Год назад +3

    Mtumishi kazi nzuri Mungu akutangulie

  • @editasikabenga3517
    @editasikabenga3517 Год назад +1

    Asante kwa neno la uzima

  • @floramongi1410
    @floramongi1410 Год назад +2

    Mungu akubariki mchungaji Magembe Kwa injili isiyogoshiwa

  • @tlotwe.01.
    @tlotwe.01. Год назад +7

    Yesu Fariji na Kuitia Nguvu Hii Familia.
    Daaah Lakini Huyu mzee namkubali Haswaa ......injili yake ni pure....imenyooka Zaidi ya rula Kweli Kweli.
    Mafundisho yake ni thabiti na Kweli.
    We lndeed need to learn from this old man....He is well loaded with pure gospel of Christ.
    Bwana Akutunze Pst. Maghembe.

  • @falijiubamba4155
    @falijiubamba4155 Год назад +2

    Mungu akubariki Mchungaji Magembe pamoja na uzao wako

  • @yuajamlimwa6318
    @yuajamlimwa6318 Год назад +1

    Hallelujah Hallelujah, Dear Brethrens Nimekuwa karibu na huyu mtumishi Peter Genya hadi wiki moja kabla ya umauti wake, Surely kutoka kwake NIMEJIFUNZA KUJIDHABIHU KABISA KABISA KATIKA KUMTUMIKIA MUNGU (DEADLY/ TOTALLY DEDICATION TO THE LORD GOD) NDIPO TUTAMUONA YESU KRISTO ALIYEHAI PALE MAWINGUNI 🙏🙏🙏🙏

  • @lawrencekamete2404
    @lawrencekamete2404 Год назад +5

    Asante sana kwa ujumbe wa faraja ya Kweli. Poleni sana familia, jamani mara ya mwisho nilimuona huyo mtele kwa Rev. Dr Hamuli akifundisha darasa la Uanafunzi kwa upako na kuakilisha somo kwa namna nyepesi ya kueleweka. Nasema tena Pole, hakika ametutangulia kwenda nyumbani kazi kamaliza vyema.

    • @evelynjohn3171
      @evelynjohn3171 Год назад

      Kwani amefariki??? Jamani mbona umenipa presha

  • @Reuben658
    @Reuben658 Год назад +2

    POLENI SANA KWA MSIBA pia asante kwa ujumbe mzuri

  • @IsaacLameck-nz8yr
    @IsaacLameck-nz8yr 9 месяцев назад +1

    Top quality heavyweight gospel preacher

  • @henryjoseph3512
    @henryjoseph3512 Год назад +4

    Karibu Zanzibar baba

  • @saimonseleka8792
    @saimonseleka8792 Год назад +3

    Hapo ndio kwenye "Lutata" wahehe🤣🤣
    Mnirehemu kwa kucheka msibani na Mungu awape wepesi wafiwa

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Год назад +2

    Mchungaji maghembe, Mungu akubariki sana. Injili uhubiriyo ndio Injili hasa.

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga Год назад +2

    Amen Mungu mwema watu wahong'ea ukweli wazee kujenga kanisa,

  • @DanielKilango-fs2px
    @DanielKilango-fs2px Год назад +2

    Aminaa babaa angu wewe n mwinjilist ninayee kubal injili unayoo tangazaa

  • @SamitoBlaunde
    @SamitoBlaunde Год назад +3

    Asante baba Mungu alibariki madhabahu yake, yesu ni mfariji wa pekee

  • @matokeomwakibinga3344
    @matokeomwakibinga3344 Год назад +2

    Mungu akutunze sana baba binafsi nabarikiwa sana na injili yako maana ni injili isiyo goshiwa

  • @MariaJuma-q2k
    @MariaJuma-q2k Год назад +2

    Naomba msaada wakuonana uso kwa uso na mchangaji magembe,nahisi nikionana nae,nitajengwa sana kiimani,jamani mi ninasali imani nyingine nayeye,lakini,namuona anamungu wakweli kabisa,tumekoswa kabisa wachungaji katika kipindi hiki cha mwisho ambacho shetani ameapa kuliua kabisa kanisa,tutapataje kupona???,ikiwa hatuna waamuzi???,ee mungu utukumbuke,uturehemu,hatuna wakutoka nasisi wala wakuingia na sisi,tunapigwa,tusaidie mungu wetu

  • @haningtonkabuta9387
    @haningtonkabuta9387 Год назад +2

    Asante sana!

  • @re.emmanuelmdoe3345
    @re.emmanuelmdoe3345 Год назад +1

    🔥🔥🔥👈

  • @jacklinmacha2964
    @jacklinmacha2964 Год назад +4

    Mungu mfarij huyu mama

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia7940 Год назад +3

    Poleni sana wafiwa wote

  • @samjapheth8411
    @samjapheth8411 Год назад +2

    It is very touching.

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia7940 Год назад +2

    Hallelujah 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @anithambise90
    @anithambise90 Год назад +4

    Mchungaji Peter mwendo umeumaliza na malaika wa Bwana wamekupokea kwa tarumbeta na vinubi maan umekuwa Mtumishi mwema wa Mungu. Eee Mwenyezi Mungu mtie nguvu mke wake aweze kuwalea watoto katika maadili yampasayo Bwana😭😭🙏🙏🙏

  • @samjapheth8411
    @samjapheth8411 Год назад +1

    A word of God it is what is needed.

  • @Idmmuedacente
    @Idmmuedacente Год назад +2

    Mungu awalinde ndugu za zangu hapa chemas Nelly tokea Mueda Mozambique Kwa Oberd Daniford Burumela

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 Год назад +2

    MAGEMBE NI JEMBE ANANYOOSHA PALIPOPINDA.

  • @AmosSambe
    @AmosSambe Год назад +2

    Amen❤

  • @dadamuebrania1539
    @dadamuebrania1539 Год назад +1

    Amina

  • @johnsebastian-bx6qn
    @johnsebastian-bx6qn Год назад +1

    Amena

  • @Israelnabii
    @Israelnabii Год назад +2

    🇰🇪 injili imenikuza

  • @saidmatikiti1566
    @saidmatikiti1566 Год назад +1

    Injili isiyo goshiwa

  • @markokulanga5503
    @markokulanga5503 Год назад +1

    Kweli photo copy 😂😂😂

  • @nangukidasu8040
    @nangukidasu8040 Год назад +5

    Hii ndiyo injili ya kweli

    • @jacobmugga3273
      @jacobmugga3273 Год назад +1

      Hongera. The correct Doctrine . God bless you mzee. Hii doctrine isipotee weka kwenye maandishi

    • @alexmgwasi7087
      @alexmgwasi7087 Год назад +1

      Injili hii ndiyo ya kweli haijagoshiwa Mungu akubariki Rev.Magembe

    • @nurumbwile4913
      @nurumbwile4913 Год назад +1

      Baba yangu wa kiroho alienibatiza Mungu akubariki kwakumtetea yesu

  • @pisperconstantine6111
    @pisperconstantine6111 Год назад +1

    Tuonane bandarini kule 😭

  • @gervasexavery2977
    @gervasexavery2977 Год назад +2

    Be YESU ASIFIWE MT. UKISOMA KITABU CHA YONA 2:1---- UTAKUTANA NA NENO ™ktk tumbo la kuzimu nalimuomba MUNGU---- YONA NIKATI YAMTU ALIOONA SHIDA YA KUZIMU .BAADA YA NAFSI YAKE KUPELEKWA .LAKINI BAADA YA KILIO NA MAOMBI BWANA AKAMTOA AKAMWAMURU AENDE TENA NINAWI 2:1--6