Yesu Fariji na Kuitia Nguvu Hii Familia. Daaah Lakini Huyu mzee namkubali Haswaa ......injili yake ni pure....imenyooka Zaidi ya rula Kweli Kweli. Mafundisho yake ni thabiti na Kweli. We lndeed need to learn from this old man....He is well loaded with pure gospel of Christ. Bwana Akutunze Pst. Maghembe.
Hallelujah Hallelujah, Dear Brethrens Nimekuwa karibu na huyu mtumishi Peter Genya hadi wiki moja kabla ya umauti wake, Surely kutoka kwake NIMEJIFUNZA KUJIDHABIHU KABISA KABISA KATIKA KUMTUMIKIA MUNGU (DEADLY/ TOTALLY DEDICATION TO THE LORD GOD) NDIPO TUTAMUONA YESU KRISTO ALIYEHAI PALE MAWINGUNI 🙏🙏🙏🙏
Asante sana kwa ujumbe wa faraja ya Kweli. Poleni sana familia, jamani mara ya mwisho nilimuona huyo mtele kwa Rev. Dr Hamuli akifundisha darasa la Uanafunzi kwa upako na kuakilisha somo kwa namna nyepesi ya kueleweka. Nasema tena Pole, hakika ametutangulia kwenda nyumbani kazi kamaliza vyema.
Naomba msaada wakuonana uso kwa uso na mchangaji magembe,nahisi nikionana nae,nitajengwa sana kiimani,jamani mi ninasali imani nyingine nayeye,lakini,namuona anamungu wakweli kabisa,tumekoswa kabisa wachungaji katika kipindi hiki cha mwisho ambacho shetani ameapa kuliua kabisa kanisa,tutapataje kupona???,ikiwa hatuna waamuzi???,ee mungu utukumbuke,uturehemu,hatuna wakutoka nasisi wala wakuingia na sisi,tunapigwa,tusaidie mungu wetu
Mchungaji Peter mwendo umeumaliza na malaika wa Bwana wamekupokea kwa tarumbeta na vinubi maan umekuwa Mtumishi mwema wa Mungu. Eee Mwenyezi Mungu mtie nguvu mke wake aweze kuwalea watoto katika maadili yampasayo Bwana😭😭🙏🙏🙏
Be YESU ASIFIWE MT. UKISOMA KITABU CHA YONA 2:1---- UTAKUTANA NA NENO ™ktk tumbo la kuzimu nalimuomba MUNGU---- YONA NIKATI YAMTU ALIOONA SHIDA YA KUZIMU .BAADA YA NAFSI YAKE KUPELEKWA .LAKINI BAADA YA KILIO NA MAOMBI BWANA AKAMTOA AKAMWAMURU AENDE TENA NINAWI 2:1--6
Mtumishi kazi nzuri Mungu akutangulie
Asante kwa neno la uzima
Mungu akubariki mchungaji Magembe Kwa injili isiyogoshiwa
Yesu Fariji na Kuitia Nguvu Hii Familia.
Daaah Lakini Huyu mzee namkubali Haswaa ......injili yake ni pure....imenyooka Zaidi ya rula Kweli Kweli.
Mafundisho yake ni thabiti na Kweli.
We lndeed need to learn from this old man....He is well loaded with pure gospel of Christ.
Bwana Akutunze Pst. Maghembe.
Mungu akubariki Mchungaji Magembe pamoja na uzao wako
Hallelujah Hallelujah, Dear Brethrens Nimekuwa karibu na huyu mtumishi Peter Genya hadi wiki moja kabla ya umauti wake, Surely kutoka kwake NIMEJIFUNZA KUJIDHABIHU KABISA KABISA KATIKA KUMTUMIKIA MUNGU (DEADLY/ TOTALLY DEDICATION TO THE LORD GOD) NDIPO TUTAMUONA YESU KRISTO ALIYEHAI PALE MAWINGUNI 🙏🙏🙏🙏
Asante sana kwa ujumbe wa faraja ya Kweli. Poleni sana familia, jamani mara ya mwisho nilimuona huyo mtele kwa Rev. Dr Hamuli akifundisha darasa la Uanafunzi kwa upako na kuakilisha somo kwa namna nyepesi ya kueleweka. Nasema tena Pole, hakika ametutangulia kwenda nyumbani kazi kamaliza vyema.
Kwani amefariki??? Jamani mbona umenipa presha
POLENI SANA KWA MSIBA pia asante kwa ujumbe mzuri
Top quality heavyweight gospel preacher
Karibu Zanzibar baba
Hapo ndio kwenye "Lutata" wahehe🤣🤣
Mnirehemu kwa kucheka msibani na Mungu awape wepesi wafiwa
Mchungaji maghembe, Mungu akubariki sana. Injili uhubiriyo ndio Injili hasa.
Amen Mungu mwema watu wahong'ea ukweli wazee kujenga kanisa,
Aminaa babaa angu wewe n mwinjilist ninayee kubal injili unayoo tangazaa
Asante baba Mungu alibariki madhabahu yake, yesu ni mfariji wa pekee
Mungu akutunze sana baba binafsi nabarikiwa sana na injili yako maana ni injili isiyo goshiwa
Naomba msaada wakuonana uso kwa uso na mchangaji magembe,nahisi nikionana nae,nitajengwa sana kiimani,jamani mi ninasali imani nyingine nayeye,lakini,namuona anamungu wakweli kabisa,tumekoswa kabisa wachungaji katika kipindi hiki cha mwisho ambacho shetani ameapa kuliua kabisa kanisa,tutapataje kupona???,ikiwa hatuna waamuzi???,ee mungu utukumbuke,uturehemu,hatuna wakutoka nasisi wala wakuingia na sisi,tunapigwa,tusaidie mungu wetu
Asante sana!
🔥🔥🔥👈
Mungu mfarij huyu mama
Poleni sana wafiwa wote
Kweli Mungu awape aman sana
It is very touching.
Hallelujah 🔥🔥🔥🔥🔥
Mchungaji Peter mwendo umeumaliza na malaika wa Bwana wamekupokea kwa tarumbeta na vinubi maan umekuwa Mtumishi mwema wa Mungu. Eee Mwenyezi Mungu mtie nguvu mke wake aweze kuwalea watoto katika maadili yampasayo Bwana😭😭🙏🙏🙏
A word of God it is what is needed.
Mungu awalinde ndugu za zangu hapa chemas Nelly tokea Mueda Mozambique Kwa Oberd Daniford Burumela
MAGEMBE NI JEMBE ANANYOOSHA PALIPOPINDA.
Amen❤
Amina
Amena
🇰🇪 injili imenikuza
Injili isiyo goshiwa
Kweli photo copy 😂😂😂
Hii ndiyo injili ya kweli
Hongera. The correct Doctrine . God bless you mzee. Hii doctrine isipotee weka kwenye maandishi
Injili hii ndiyo ya kweli haijagoshiwa Mungu akubariki Rev.Magembe
Baba yangu wa kiroho alienibatiza Mungu akubariki kwakumtetea yesu
Tuonane bandarini kule 😭
Be YESU ASIFIWE MT. UKISOMA KITABU CHA YONA 2:1---- UTAKUTANA NA NENO ™ktk tumbo la kuzimu nalimuomba MUNGU---- YONA NIKATI YAMTU ALIOONA SHIDA YA KUZIMU .BAADA YA NAFSI YAKE KUPELEKWA .LAKINI BAADA YA KILIO NA MAOMBI BWANA AKAMTOA AKAMWAMURU AENDE TENA NINAWI 2:1--6