Kila Jambo Jema Huanzia Kwenye Ubaya | Morning Philosophy | Rev. Dr. Eliona Kimaro

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 103

  • @ceciliamfuko8045
    @ceciliamfuko8045 2 месяца назад +19

    Mchungaji Asante sana namshukuru Mungu kwa kusema NAMI Leo hii. Kwa Yale ninayoyapitia na Binti yangu kufukuzwa kwenye eneo la biashara yetu. Ninaamini neema Iko mbele yetu🙏🏿

    • @OlaisMeyasi
      @OlaisMeyasi 2 месяца назад +2

      😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

    • @getrudaleonard8323
      @getrudaleonard8323 2 месяца назад +1

      Pole ni mapito
      Nayo yatapita na hiyo ni njia ya mafanikio Zaidi

    • @EsterMarwa-x8x
      @EsterMarwa-x8x 2 месяца назад

      Pastor! Umeniokoa sana,! Niko ktk Hali ngumu sana ya kusingiziwa na baadhi ya waumini na kuchukua la kunitoa Kanisa nililojenga Kwa kumpata mfadhili. Kosa nilimwamini nikawapa namba za mfadhili badala yake wakampigia cm kwamba Sasa sio Kanisa Bali nimefungua baa, mfadhili hataki kupokea cm yangu na amewaambia wasimamie Kila kitu ilihali wakati najenga Tena kwenye mvua, nikaanzia ibada hapo likiwa jengo limefikia kwenye Renta ya madirisha, mvua zinatunyeshea tumeweka maturubali, Leo Kanisa imeisha kabisa, wakaja kama waumini niakawapokea vizuri, wakiwa waaminifu sana, baada ya miezi 2 ndo wamenifanyia haya. Afadhali Leo nimefarijika.

  • @speciozakaloli
    @speciozakaloli 11 дней назад +1

    Amina mchungaji unasema kweli kabisa

  • @consoassenga7153
    @consoassenga7153 2 месяца назад +6

    Mchungaji umezungumza na mimi. Asante sana Namshukuru sana Mungu kwaajili yako.

  • @Charlesgitano-u8k
    @Charlesgitano-u8k 22 дня назад

    Amina mtumishi wa mungu ubarkiwe sana kwa mahupili mazuri sana yanatujenga kiloho

  • @JocktanMwatoa
    @JocktanMwatoa 2 дня назад

    Am touched by the teaching of you man of God!.

  • @JoyceHaule-o7b
    @JoyceHaule-o7b 4 дня назад

    Amina amina

  • @valentinengetich
    @valentinengetich Месяц назад

    Amina

  • @estherlemburismollel5901
    @estherlemburismollel5901 2 месяца назад +4

    Asante Yesu kwa kuniona, ujumbe huu ni ka ajili yangu leo nimevuka eneo moja kwenda nyingine, ubarikiwe Mchg. Dr. Kimaro unatumika kutuhuisha wengine tulikuwa tumeshakata tamaa

  • @AbisaiBilla
    @AbisaiBilla 2 месяца назад +1

    Mchungaji hongera kwa mahubili ya kututia moyo, Asante sana MUNGU azidi kukubariki.

  • @OdinaLujaji
    @OdinaLujaji 5 дней назад

    Pastor GOD BLLESS YOU

  • @gracebasondole6990
    @gracebasondole6990 Месяц назад

    Amen baba,Mungu akutunze

  • @jameskilowoko7153
    @jameskilowoko7153 2 месяца назад +1

    Ahsante sana Mtumishi wa Mungu kimaro.Nimeelewa sanaaaaaa.limenifariji mnooo

  • @OdinaLujaji
    @OdinaLujaji 5 дней назад

    THIS MESSAGE TO DAY IS FOR ME

  • @eldaphilemonkabondo9883
    @eldaphilemonkabondo9883 Месяц назад

    Mtumishi wa Mungu Bwana Yesu akubariki sana kwa huduma hii

  • @LeahMuganyizi
    @LeahMuganyizi 2 месяца назад +1

    Ameeen!asante sana Baba kwa ujumbe huu

  • @marymassawe8350
    @marymassawe8350 2 месяца назад

    Amina!

  • @giftmasharo4018
    @giftmasharo4018 2 месяца назад +3

    Ameen Ameen Ameen IN Jesus Name
    KUOR'EE KINDO KYAA RUWA❤

  • @Busaradona
    @Busaradona 6 часов назад

    ubarikiwe sana mchungaji mbarikiwa

  • @dorothymbise3427
    @dorothymbise3427 Месяц назад

    Amina mtumishi wa Mungu.
    Hakika Bwana amesema na mimi.

  • @elizabethlinusndanzindanzi
    @elizabethlinusndanzindanzi 2 месяца назад

    Barikiwa, Asante mchungaji kwa maneno ya kututia moyo...tuliokata tamaa

  • @StellaSelli
    @StellaSelli 2 месяца назад

    Amina mtumishi ubarikiwe sana, haya mahubiri yamenigusa sana

  • @EllahGunzu
    @EllahGunzu Месяц назад

    Nakushukuru mchungaji kwa maneno niliyopata kutoka kwako, mungu akubariki sana

  • @JacquelineBusime
    @JacquelineBusime 2 месяца назад

    Amen Amen mtumishi wa Mungu, Mungu akuzidishiy maisha marefu na Afya nzuri ndani ya wokovu wey na you family

  • @dionicyndelwa663
    @dionicyndelwa663 Месяц назад

    Amina mtumishi nimebarikiwa sana sana

  • @AlexMchau
    @AlexMchau 2 месяца назад

    Mungu aendelee kukulinda ili uendelee kufanya kazi ya Mungu .

  • @EddaAnthony
    @EddaAnthony Месяц назад

    Duh,mbona kama naambiwa mimi,Asante Mungu nimefarijika sana

  • @Monicamadaha
    @Monicamadaha 2 месяца назад

    Amen baba 🙏🙏

  • @Regina-yz9bu
    @Regina-yz9bu 2 месяца назад

    Amen mchungaji,mungu tujalie neema ya kuweza kuvumilia na kukutumaini Ili tuweza kuona wema huo in Jesus name amen

  • @DanielKishinja
    @DanielKishinja 2 месяца назад

    Amen, pastor nimebarikiwa ujumbe wako

  • @angelrugemalila3359
    @angelrugemalila3359 2 месяца назад

    AMEEN Mtumishi wa MUNGU Ubarikiwe mno yaani nimepata kitu kipya

  • @lamiriamNishell
    @lamiriamNishell 2 месяца назад

    Amen 🙏

  • @rumariletimba7585
    @rumariletimba7585 2 месяца назад

    Amen, umenifunza kitu Man of God

  • @francjose9596
    @francjose9596 2 месяца назад +3

    🙏🏾🤲🏽

  • @richardonai3419
    @richardonai3419 2 месяца назад +1

    Namshukuru mungu .kunakitu Cha mungu ndani yangu ndiyo maana wanajitahidi kunitenga na Binti zangu.

  • @mancamushi
    @mancamushi 2 месяца назад

    Ameen mchungaji kwa kweli kindo Kya iruwa

  • @eliamoikan
    @eliamoikan 17 часов назад

    Ameeeen

  • @Nancybosibori-sz5nb
    @Nancybosibori-sz5nb 2 месяца назад

    Be blessed 🙏 mchungaji

  • @shijacharles
    @shijacharles 2 месяца назад

    Mungu akubariki nimesikiliza naona moyo wangu unapata Amani Mungu atusaidie sote🙏

  • @EllahGunzu
    @EllahGunzu Месяц назад

    Ameen

  • @clarageorge8385
    @clarageorge8385 2 месяца назад

    Your the best ever

  • @naeema8155
    @naeema8155 2 месяца назад

    Amen Mungu akubariki sana baba Mchungaji

  • @MecoMathew
    @MecoMathew 23 дня назад

    Amen

  • @forminaformina7694
    @forminaformina7694 2 месяца назад

    Amina.nami.nimebarikiwa.asante

  • @diackbenoit3215
    @diackbenoit3215 2 месяца назад

    Ameen yani iyi leo imenipa faraja sana mungu ni mwaminifu sana

  • @mamaivon8285
    @mamaivon8285 2 месяца назад

    Amen pastor

  • @fatumamshana-yz2tu
    @fatumamshana-yz2tu Месяц назад

    Nakuombea umri mrefu unanitia moyo sana unayofundisha ndio tunapitia mungu akusimamie

  • @WwEe-qc7tc
    @WwEe-qc7tc 2 месяца назад

    Amina Amina Amina
    hakika Ubaya unao kusudiwa kwetu baada yakuuvumilia nakuupokea kwa njia yakuukubali na kukubali kuhangaika nao hadi upite mwisho wake huwa kumejaa mema yakushangaza

  • @ElizaMgendi
    @ElizaMgendi 2 месяца назад

    Asante sana

  • @apolinaayebacanadienne7188
    @apolinaayebacanadienne7188 2 месяца назад

    Amène 😭🙏

  • @VeronicaOwenya
    @VeronicaOwenya 2 месяца назад

    Amina mchungaji wangu

  • @RICHARDNDAUKA
    @RICHARDNDAUKA 2 месяца назад

    Ameen🙌🙌

  • @velmamwango4393
    @velmamwango4393 2 месяца назад

    Amen l have gain hope again 😭😭😭

  • @veronicasarita8422
    @veronicasarita8422 2 месяца назад

    Ameen kuere kindo Cha ruwa

  • @FurahaMahesha-xe7yy
    @FurahaMahesha-xe7yy 2 месяца назад +2

    Ameen nimepitia kipindi hichocha Haman sasa naona uelekeo wa Modekai

  • @erikalutevele8362
    @erikalutevele8362 2 месяца назад

    Amen mtumishi mbona Mungu ameniona mm asabuhi hii yaleo

  • @AdaSadiki
    @AdaSadiki 2 месяца назад

    Amen amen 🎉

  • @JescarFikirini
    @JescarFikirini 2 месяца назад

    Amen Amen Amen 🙏 🙌

  • @IreneMtoto-un5lg
    @IreneMtoto-un5lg 2 месяца назад

    Amen 👏👏👏

  • @RoseMrio
    @RoseMrio 2 месяца назад

    amen

  • @abigaelmwadena2262
    @abigaelmwadena2262 2 месяца назад

    Asnte kwa somo hili la leo nimepta kitu jipya 🎉❤

  • @jessicamasepo8320
    @jessicamasepo8320 2 месяца назад

    AMEN, 🙌.

  • @AdaSadiki
    @AdaSadiki 2 месяца назад

    Amen amen

  • @nicksonngogo7904
    @nicksonngogo7904 2 месяца назад

    🎉🎉🎉

  • @FabiolaAntony-up7ih
    @FabiolaAntony-up7ih 2 месяца назад

    Mchungaji eeh ebu mungu akupe maisha marefu mataifa tupone

  • @millianngunda1553
    @millianngunda1553 2 месяца назад

    Ameni

  • @JacquelineBusime
    @JacquelineBusime 2 месяца назад

    Mchungaji ubarikiwe saaana

  • @BeatriceKatula
    @BeatriceKatula 22 дня назад

    Hakika kuna kitu cha mungu

  • @julianapenza1223
    @julianapenza1223 2 месяца назад

    Shalom Mch mie ni Pata ndoto magufuli matatu yamefungwa juu ya bati sijaelewa Maana yake

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 2 месяца назад

    Nimepata ujumbe wa kunivusha kimaisha

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 2 месяца назад

    Kindo kyaRuwa!!!!!

  • @paulineuisso
    @paulineuisso 2 месяца назад +1

    MUNGU kakutuma ili tupone

  • @vickymanyanga6448
    @vickymanyanga6448 Месяц назад

    Machozi yangu yaoree kindo kya Ruwa hasara masengenyo adai zangu kufurahia hali ninayoipitia kuore kindo kya Ruwa

  • @DosianaLulakuze-bv7fg
    @DosianaLulakuze-bv7fg 2 месяца назад

    Nashukuru baba Nashukuru nimepona Nimepona

  • @irenemwaigwisya6499
    @irenemwaigwisya6499 Месяц назад

    Amina

  • @LeahMuganyizi
    @LeahMuganyizi 2 месяца назад

    Ameeen!asante sana Baba kwa ujumbe huu

  • @francjose9596
    @francjose9596 2 месяца назад +1

    🙏🏾🤲🏽

  • @ShabaniChacha
    @ShabaniChacha 8 дней назад

    Amen

  • @asiliyetu
    @asiliyetu 2 месяца назад

    Amen 🙏🙏🙏

  • @AdaSadiki
    @AdaSadiki 2 месяца назад

    Amen amen

  • @CassianSigore
    @CassianSigore 2 месяца назад

    Amina

  • @francjose9596
    @francjose9596 2 месяца назад +1

    🙏🏾🤲🏽

  • @francjose9596
    @francjose9596 2 месяца назад +1

    🙏🏾🤲🏽

  • @scollasticangao7756
    @scollasticangao7756 2 месяца назад

    AMEN 🙏🙏

  • @ikundakimaro8570
    @ikundakimaro8570 2 месяца назад

    Amen

  • @EdwardNgunyi
    @EdwardNgunyi 2 месяца назад

    Amen

  • @qatarrarre30
    @qatarrarre30 2 месяца назад

    Amen

  • @atuganilejacob3119
    @atuganilejacob3119 2 месяца назад

    Amen

  • @vonniemarry2680
    @vonniemarry2680 2 месяца назад

    Amen 🙌

  • @grace-rh3vv
    @grace-rh3vv 2 месяца назад

    Amen

  • @MariamObote
    @MariamObote 2 месяца назад

    Amen

  • @reginakimario-lj1xo
    @reginakimario-lj1xo 2 месяца назад

    Amen

  • @MaryMatereadvicer011
    @MaryMatereadvicer011 2 месяца назад

    Amen

  • @SabinaNyiti
    @SabinaNyiti 2 месяца назад

    Amen

  • @ScriptureUnionofTanzania
    @ScriptureUnionofTanzania 2 месяца назад

    Amen Amen Amen

  • @Eunicemkabili-xb6vx
    @Eunicemkabili-xb6vx 2 месяца назад

    Amen,, amen