Mchungaji Asante sana namshukuru Mungu kwa kusema NAMI Leo hii. Kwa Yale ninayoyapitia na Binti yangu kufukuzwa kwenye eneo la biashara yetu. Ninaamini neema Iko mbele yetu🙏🏿
Pastor! Umeniokoa sana,! Niko ktk Hali ngumu sana ya kusingiziwa na baadhi ya waumini na kuchukua la kunitoa Kanisa nililojenga Kwa kumpata mfadhili. Kosa nilimwamini nikawapa namba za mfadhili badala yake wakampigia cm kwamba Sasa sio Kanisa Bali nimefungua baa, mfadhili hataki kupokea cm yangu na amewaambia wasimamie Kila kitu ilihali wakati najenga Tena kwenye mvua, nikaanzia ibada hapo likiwa jengo limefikia kwenye Renta ya madirisha, mvua zinatunyeshea tumeweka maturubali, Leo Kanisa imeisha kabisa, wakaja kama waumini niakawapokea vizuri, wakiwa waaminifu sana, baada ya miezi 2 ndo wamenifanyia haya. Afadhali Leo nimefarijika.
Asante Yesu kwa kuniona, ujumbe huu ni ka ajili yangu leo nimevuka eneo moja kwenda nyingine, ubarikiwe Mchg. Dr. Kimaro unatumika kutuhuisha wengine tulikuwa tumeshakata tamaa
Amina Amina Amina hakika Ubaya unao kusudiwa kwetu baada yakuuvumilia nakuupokea kwa njia yakuukubali na kukubali kuhangaika nao hadi upite mwisho wake huwa kumejaa mema yakushangaza
Mchungaji Asante sana namshukuru Mungu kwa kusema NAMI Leo hii. Kwa Yale ninayoyapitia na Binti yangu kufukuzwa kwenye eneo la biashara yetu. Ninaamini neema Iko mbele yetu🙏🏿
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Pole ni mapito
Nayo yatapita na hiyo ni njia ya mafanikio Zaidi
Pastor! Umeniokoa sana,! Niko ktk Hali ngumu sana ya kusingiziwa na baadhi ya waumini na kuchukua la kunitoa Kanisa nililojenga Kwa kumpata mfadhili. Kosa nilimwamini nikawapa namba za mfadhili badala yake wakampigia cm kwamba Sasa sio Kanisa Bali nimefungua baa, mfadhili hataki kupokea cm yangu na amewaambia wasimamie Kila kitu ilihali wakati najenga Tena kwenye mvua, nikaanzia ibada hapo likiwa jengo limefikia kwenye Renta ya madirisha, mvua zinatunyeshea tumeweka maturubali, Leo Kanisa imeisha kabisa, wakaja kama waumini niakawapokea vizuri, wakiwa waaminifu sana, baada ya miezi 2 ndo wamenifanyia haya. Afadhali Leo nimefarijika.
Amina mchungaji unasema kweli kabisa
Mchungaji umezungumza na mimi. Asante sana Namshukuru sana Mungu kwaajili yako.
Amina mtumishi wa mungu ubarkiwe sana kwa mahupili mazuri sana yanatujenga kiloho
Am touched by the teaching of you man of God!.
Amina amina
Amina
Asante Yesu kwa kuniona, ujumbe huu ni ka ajili yangu leo nimevuka eneo moja kwenda nyingine, ubarikiwe Mchg. Dr. Kimaro unatumika kutuhuisha wengine tulikuwa tumeshakata tamaa
Lilian...upo
Mchungaji hongera kwa mahubili ya kututia moyo, Asante sana MUNGU azidi kukubariki.
Pastor GOD BLLESS YOU
Amen baba,Mungu akutunze
Ahsante sana Mtumishi wa Mungu kimaro.Nimeelewa sanaaaaaa.limenifariji mnooo
THIS MESSAGE TO DAY IS FOR ME
Mtumishi wa Mungu Bwana Yesu akubariki sana kwa huduma hii
Ameeen!asante sana Baba kwa ujumbe huu
Amina!
Ameen Ameen Ameen IN Jesus Name
KUOR'EE KINDO KYAA RUWA❤
Eee den
ubarikiwe sana mchungaji mbarikiwa
Amina mtumishi wa Mungu.
Hakika Bwana amesema na mimi.
Barikiwa, Asante mchungaji kwa maneno ya kututia moyo...tuliokata tamaa
Amina mtumishi ubarikiwe sana, haya mahubiri yamenigusa sana
Nakushukuru mchungaji kwa maneno niliyopata kutoka kwako, mungu akubariki sana
Amen Amen mtumishi wa Mungu, Mungu akuzidishiy maisha marefu na Afya nzuri ndani ya wokovu wey na you family
Amina mtumishi nimebarikiwa sana sana
Mungu aendelee kukulinda ili uendelee kufanya kazi ya Mungu .
Duh,mbona kama naambiwa mimi,Asante Mungu nimefarijika sana
Amen baba 🙏🙏
Amen mchungaji,mungu tujalie neema ya kuweza kuvumilia na kukutumaini Ili tuweza kuona wema huo in Jesus name amen
Amen, pastor nimebarikiwa ujumbe wako
AMEEN Mtumishi wa MUNGU Ubarikiwe mno yaani nimepata kitu kipya
Amen 🙏
Amen, umenifunza kitu Man of God
🙏🏾🤲🏽
Namshukuru mungu .kunakitu Cha mungu ndani yangu ndiyo maana wanajitahidi kunitenga na Binti zangu.
Mungu afanye alichokusudia kwako
Ameen mchungaji kwa kweli kindo Kya iruwa
Ameeeen
Be blessed 🙏 mchungaji
Mungu akubariki nimesikiliza naona moyo wangu unapata Amani Mungu atusaidie sote🙏
Ameen
Your the best ever
Amen Mungu akubariki sana baba Mchungaji
Amen
Amina.nami.nimebarikiwa.asante
Ameen yani iyi leo imenipa faraja sana mungu ni mwaminifu sana
Amen pastor
Nakuombea umri mrefu unanitia moyo sana unayofundisha ndio tunapitia mungu akusimamie
Amina Amina Amina
hakika Ubaya unao kusudiwa kwetu baada yakuuvumilia nakuupokea kwa njia yakuukubali na kukubali kuhangaika nao hadi upite mwisho wake huwa kumejaa mema yakushangaza
Asante sana
Amène 😭🙏
Amina mchungaji wangu
Ameen🙌🙌
Amen l have gain hope again 😭😭😭
Ameen kuere kindo Cha ruwa
Ameen nimepitia kipindi hichocha Haman sasa naona uelekeo wa Modekai
Ameeen
Amen mtumishi mbona Mungu ameniona mm asabuhi hii yaleo
Amen amen 🎉
Amen Amen Amen 🙏 🙌
Amen 👏👏👏
amen
Asnte kwa somo hili la leo nimepta kitu jipya 🎉❤
AMEN, 🙌.
Amen amen
🎉🎉🎉
Mchungaji eeh ebu mungu akupe maisha marefu mataifa tupone
Mungu sio mungu
Ameni
Mchungaji ubarikiwe saaana
Hakika kuna kitu cha mungu
Shalom Mch mie ni Pata ndoto magufuli matatu yamefungwa juu ya bati sijaelewa Maana yake
Nimepata ujumbe wa kunivusha kimaisha
Kindo kyaRuwa!!!!!
MUNGU kakutuma ili tupone
Machozi yangu yaoree kindo kya Ruwa hasara masengenyo adai zangu kufurahia hali ninayoipitia kuore kindo kya Ruwa
Nashukuru baba Nashukuru nimepona Nimepona
Amina
Ameeen!asante sana Baba kwa ujumbe huu
🙏🏾🤲🏽
Amen
Amen 🙏🙏🙏
Amen amen
Amina
🙏🏾🤲🏽
🙏🏾🤲🏽
AMEN 🙏🙏
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen 🙌
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen Amen Amen
Amen,, amen