USHUHUDA | Siri ya Mafanikio ni Kutokata Tamaa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 фев 2025

Комментарии • 68

  • @miriammbwambo-cr4jn
    @miriammbwambo-cr4jn 2 месяца назад +1

    Ushuhuda wake unafanana na wangu nilitupwa shimoni nikaibukia juu sana kwa waliyonitendea nanilivyo kwa sasa hakuna anayeamini ni kamzozo kila cona,nilianza mwaka kwa machozi ya uchungu mkubwa,lkn ilipofika mwezi wa5 mungu akasikia kilio changu amenipa dabo dabo siwezi kuelezea kwa kirefu mungu nishahidi daaaah sifa nautukufu zimrudie mungu awezaye kutenda mambo makuu kuliko yale tuyawazayo na tuyaombayo ameeeen

  • @restitutatheobald619
    @restitutatheobald619 2 месяца назад

    Amina! Napokea mafundisho ya Leo Kwa Jina la Yesu KRISTO. Barikiwa pastor

  • @JoyceHaule-o8c
    @JoyceHaule-o8c 5 месяцев назад +5

    Nimeipenda hiyo baba mchungaji uliposema matatizo yapo ila mwenye kuondoa matatizo yupo Amina

  • @lucreshmkawe8572
    @lucreshmkawe8572 5 месяцев назад +2

    Napokea katika jina la Yesu kristo naomba Mungu anisaidie nivuke hapa nilipo

  • @ShedrackMollel-z1e
    @ShedrackMollel-z1e 5 месяцев назад

    Amen mtumishi wa mugu hakika mungu anarizisha ukuu wake na sifa na utukufu ni kwa shujaa wa msalaba kupitia hizo shuhuda na mimi naomba mungu akanifunguliye milango na nifunguwe biashara yangu kwa jina la yesu kristo amen🙏🙏🙏

  • @elizabethlinusndanzindanzi
    @elizabethlinusndanzindanzi 5 месяцев назад +5

    Hata Mimi wanadamu wamenipa maisha feki,haya si maisha yangu ..naamini kwa mafundisho yako na kwa msaada wa yesu kristo...maisha yangu yatapata kibali kipya

  • @CeciliaMaziku-bo2lo
    @CeciliaMaziku-bo2lo 5 месяцев назад

    Baba mchungaji Mimi hizi shuhuda huwa zinanitia moyo sana na kunipa hatua ya kusonga mbele.Ubarikiwe sana baba ipo siku nitakanyanga katika madhabahu ya kijitonyama.

  • @lisakuingwa7337
    @lisakuingwa7337 5 месяцев назад

    Munguuu akubarikiii sanaaaa.....Mchungajiii elionaaa hakika kweli ww ni mwana wa Munguuu utatufundisha mengi mazuriiii na mafundisho yako yamenijengaaa sanaaa

  • @jessicamasepo8320
    @jessicamasepo8320 5 месяцев назад +2

    AMEN, shuhuda zinabariki na kuinua kiwango cha Imani, 🙏.

  • @claudiuschristopher6682
    @claudiuschristopher6682 2 месяца назад

    ahsante Baba mchungaji,napokea baraka zako

  • @kimongemalyawere
    @kimongemalyawere 5 месяцев назад

    Mungu wangu ,Baba yangu, Nimekukimbilia ww .nakuomba nipokee ushuhuda huu uwe njia kwangu

  • @alodiaeugen
    @alodiaeugen 5 месяцев назад

    Aminaaa baba naamina maombi yako. Na mungu akuinue azaidi

  • @williamjumbe1988
    @williamjumbe1988 5 месяцев назад +2

    Mungu aturudishie maisha yetu yalo potea

  • @deniswolfganglyimo
    @deniswolfganglyimo 5 месяцев назад

    Kweli sjayaona bado. Nitamtukuza Mungu kila kukicha,mambo yote yanawezekana mbele za Mungu, Mungu ananipenda sana,na nitayaona matendo yake makuu mno. 🙌Nitasimama tena.🙏🙏🙏

  • @amoogaza6825
    @amoogaza6825 5 месяцев назад +12

    Hapa ndio naamini umuhimu wa kuwa mtu wa imani. Yakatishayo tamaa ni mengi mno tuzidi kuombeana 😊

  • @zengomichael8238
    @zengomichael8238 5 месяцев назад

    Napokea kwa jina la Yesu maisha yangu haya feki nayavua kwa jina la Yesu Amina

  • @enezaelnanyaro
    @enezaelnanyaro 3 месяца назад +1

    Kwa huu ushuhuda napokea maisha yangu halisi.

  • @heavenlight5084
    @heavenlight5084 5 месяцев назад +3

    MUNGU nisaidie mimi heavenlight nitoke hapa kwenye haya madeni mana haya sio maisha yangu,kweli mimi ndio huyo wa pili

    • @REHEMAMUNA-p5v
      @REHEMAMUNA-p5v 3 месяца назад

      Namshukuru Mungu sana naishi kwa Imani ya MUNGU wangu nayapitia mengi lakini Sina hofu Wala mashaka kwani yupo ambaye ananipambania na sitomuacha kamwe NAMPENDA SANA SANA SANA asante kwa yote naomba pia uitunze Familiya ya mama MUNA tuwe wa Imani daima

  • @emmanuelmwandu.3126
    @emmanuelmwandu.3126 3 месяца назад

    Mungu azidi kukutunza sana mtumishi wa Mungu.

  • @omegamwaisumo3924
    @omegamwaisumo3924 Месяц назад

    Ameeen Ameeeen Ameen 🙏🙏

  • @ValentineCherotich-bw1nz
    @ValentineCherotich-bw1nz 5 месяцев назад

    Amen mungu nionee huruma mm nimekuasi kwa matendo yangu

  • @gracebuhatwa6359
    @gracebuhatwa6359 2 месяца назад

    Amina Naomba nirudishe nilivyopoteza vyote

  • @WilfredWilfred-v5q
    @WilfredWilfred-v5q 5 месяцев назад +2

    Yeah tunapona baba.....najifunza usimdharau mtu yoyote yule Yesu anabariki

  • @Sophie-u6e
    @Sophie-u6e 5 месяцев назад

    Amina
    Following up from Kenya

  • @mkulimatanzania
    @mkulimatanzania 5 месяцев назад

    Amen amen amen amen amen

  • @newhopeonline5818
    @newhopeonline5818 5 месяцев назад

    Amen, naomba nionane nawe mtumishi. Mimi niko mbozi - Songwe

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 5 месяцев назад +1

    Naimani nami nasiku yangu mungu atanitendea barikiwa baba mchugaji 🙏🙏🙏

  • @AnociathaChuwa-cb5nk
    @AnociathaChuwa-cb5nk 5 месяцев назад +2

    Mchungaji MUNGU akubariki sana tunakupenda tunabarikiwa na mahubiri yako

  • @user-Ndashuka001
    @user-Ndashuka001 4 месяца назад

    AMEN AMEN AMEN

  • @JohnMbise-go7we
    @JohnMbise-go7we 5 месяцев назад

    Baba MUNGU akuongezee upako zaidi umekuwa mentor wangu sana

  • @getrudaleonard8323
    @getrudaleonard8323 5 месяцев назад +5

    Kwa kweli hata sisi tuliombali kidogo na hapo ulipo tunatamani kuwasiliana nawe kabisa...Tunakupateje Baba kwa mawasiliano mengine ukiachana na Huku

  • @edithakailembo2246
    @edithakailembo2246 5 месяцев назад

    Mungu nikumbuke nitoke apa nilipo

  • @franklyatuu8250
    @franklyatuu8250 5 месяцев назад

    Mungu atukumbuke na sisi.

  • @elesiakaduma7290
    @elesiakaduma7290 5 месяцев назад

    Amen Amen

  • @JaneGi-zf2kb
    @JaneGi-zf2kb 5 месяцев назад

    Wee Mungu na Mimi napokeaa

  • @janethmoshi3362
    @janethmoshi3362 5 месяцев назад

    Ahsante sana baba mchungaji

  • @gracemaina8438
    @gracemaina8438 5 месяцев назад

    Amen

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 5 месяцев назад +1

    Nimepona

  • @FadhilaKombe-q4h
    @FadhilaKombe-q4h 5 месяцев назад

    Fadhila@kombe Amina

  • @miriammbwambo-cr4jn
    @miriammbwambo-cr4jn 2 месяца назад

    Nikweli matatizo yapo namwenye kuyaondoa pia yupo🙏🙏🙏

  • @Gsurasa
    @Gsurasa 5 месяцев назад

    Aminaaaa

  • @JoshuaHilgath
    @JoshuaHilgath 5 месяцев назад

    Amina

  • @priscakimario4863
    @priscakimario4863 5 месяцев назад

    Yesu kumbe unatenda kiasi ichi tena na kwangu bac baba nakuomba baba

  • @JoshuaAlfred-og3hi
    @JoshuaAlfred-og3hi 5 месяцев назад

    Baba Mchungaji kimaro Mimi nainuliwa Sana na mafundisho yako...natamani uniombee..naomba kupata mawasiliano

  • @AnnamwendoZaroni
    @AnnamwendoZaroni 5 месяцев назад

    Nisaidie na Mimi nifunguliwe ktk maisha yangu haya sio maisha yangu naitwa Anna Zablon nisaidie mchungaji

  • @odethamlyuka2552
    @odethamlyuka2552 5 месяцев назад +1

    Hakika Mungu ni mwema Kwa waaminio huo ni ushuhuda halisi

  • @housekeepingtarangiresopal9883
    @housekeepingtarangiresopal9883 5 месяцев назад

    AMINA

  • @elizabethlinusndanzindanzi
    @elizabethlinusndanzindanzi 5 месяцев назад +2

    Natamani kurudi shule, nikafanye Qt

  • @nicksonshoo429
    @nicksonshoo429 5 месяцев назад +5

    Hivi Mch.Kimaro haya mambo unayofundisha hapa mbona ndiyo yananikabili?.Mungu nisaidie nivuke hapa.

  • @emanuelmasidy6017
    @emanuelmasidy6017 5 месяцев назад

    Mmtumishi naomba uniombe napitia sana baba

  • @AnnamwendoZaroni
    @AnnamwendoZaroni 5 месяцев назад

    Baba mchungaji niombee na Mimi Mwanangu Mary apate watoto yupo kwenye ndoa mwaka na miezi na anasumbuka Sana na tumbo muombee mchungaji

  • @alonkare5881
    @alonkare5881 3 месяца назад

    Mchungaj natamani nionane na wewe angalau naweza kupata msaada nimehangaika sana naomba niambie sehem ulpo nije tuonane

  • @leonardkajuna1213
    @leonardkajuna1213 5 месяцев назад

    Huo ndio Ufalme wa Mungu, umekuwa halisi!

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 5 месяцев назад +1

    Mchungaji mafanikio yanapatikana kwajitihada au kuongozwa naMungu

    • @aishaally1859
      @aishaally1859 5 месяцев назад +2

      Vyote viwili vinahitanika mosi anza na Mungu then jibiidishe na kazi

  • @Abraham_official-3
    @Abraham_official-3 5 месяцев назад +2

    Pasta. Umeongea kitu ambacho kimetokea kwenye maisha yangu. Kifupi. Mwaka Jana. Mpk MWAKA huu
    Mambo yametokea kwenye maisha yangu mpka. Naogopa lkn naamini mungu yupo. Ntasimama. Wote. Wamenikataa lkn nimebaki na mungu tu kwasasa. Nilie zani. Mke nae kanikimbia lkn ndani ya moyo wangu. Naona Kuna nguvu ya utajili. MKubwa mno.
    Japo. Sasa mambo. Yamekuwa magum sana. Kila nikikata. Tamaa. Nasikia nguvu ndani yangu kuniambia unaweza. Simama.
    NATAMANI sana. Nikutane na wewe sana. Pasta. 😢

  • @yudachelango6824
    @yudachelango6824 5 месяцев назад

    MCHUNGAJI UWE UNANYOOSHA MAELEZO KIDOGO. Sasa mtu alisema hana mtaji halafu unasema ulimwambia afungue kampuni hivohivo inawezekanaje bila hela ukagungua kampuni???

    • @NillahMbuya
      @NillahMbuya 5 месяцев назад

      Kampuni si alikua ameshafungiwa ndio akapata matatizo

  • @grace-rh3vv
    @grace-rh3vv 5 месяцев назад

    Amen. Amen

  • @edithakailembo2246
    @edithakailembo2246 5 месяцев назад

    Amina

  • @cliffordmaboi684
    @cliffordmaboi684 5 месяцев назад

    Amen

  • @bensonmgaya6290
    @bensonmgaya6290 4 месяца назад

    Amina

  • @mariamchindoli5462
    @mariamchindoli5462 5 месяцев назад

    Amen

  • @davidkilajaga8842
    @davidkilajaga8842 5 месяцев назад

    Amen

  • @rachelmwangoka3290
    @rachelmwangoka3290 20 дней назад

    Amen