Mimi nishidwa kijizuiliya machosi ninapozikiza neno la Mungu Kwa unyakusi WA kanixa moyo waku unatetemeka Sana ninapozikiza unapo hubiri niombee Mungu Anindiye nguvu 😢😢😢😢😢 napenda Sana mafundisho Yako
Nirehemu Mimi mwenye dhambi Mungu nisamehee Mimi muovu naomba musamaha Mungu ninaomba rehema naomba musamaha Mungu ninaomba rehema Yesu Kristo wanasareti Nikutumie Yesu niamushe Tena niamushe Tena niamushe Tena niamushe Tena niamushe Tena niamushe Tena niamushe Tena 😢😢😢😢😢😢 Mungu Mungu Mungu atusaidie usinije masiyaa
Hakika Kuna nguvu za Mungu Dani Yako ambayo si yakawata kwaku Mimi moyo waku unapona kupitiya wewe babaku wa kiroho barikiwa sanaaaana mutumishi wa Mungu
Mimi naona kama Kuna kitu sielewi hapa kumbwa kwa Adam na ulimwengu nani alifanya unabii huu wakati mungu alikuwa hajaumba mtu yeyote hapa ndipo tuone sana tulio Wana wa mungu maana tusije tukadanyana maana akija mungu tusije tukakosa majibu watu wa mungu
Chanzo cha ufunuo wote ambao hadi sasa tupo unatokana na kuumbwa kwa ulimwengu hadi adamu,hivyo mtumish hajakosea kuzungumza kuwa unabii wa kwanza ulitokan na kuumbwa kwa ulimwengu hadi adamu,kwan kwa tafsiri halisi ni huu kielelezo cha unabii wote unaotendeka hapa dunian unatokana na msingi wa siku saba ambazo ni kuumbwa kwa ulimwengu hadi adamu ambayo ndio miaka hiyo 7000 kibibilia ambayo imebeba siku saba hadi kupumzika kwa Mungu baadq ya kumaliza kila kazi.....nasi katika pumziko letu ni pale Yesu atakaporudi na kulichukua kanisa ambalo unabii unaonyesha tupo ndani ya hicho kipindi na dalili zote zimekwisha kuonekana dhahiri
Unachosema ni kweli. Maana hata wewe watu wote huwa hawakuelewa. Hata darasani wanafunzi huwa na uelewa tofauti. Hatimaye mwalimu akitoa mtihani huwa yupo mwenye zero na mwenye A,B,C,D na F
Mimi ndo sijakuelewa wewe unaisomaje injili kwani kuuliza uweza wa mungu hukusoma mungu alikua neno naye akafanyika mwili naye akaja akakaa kwetu soma basi mwanzo kwanza bwana
Amina . Jameni ndugu zetu wa Tanzania mko na bahati kufundishwa neno la Mungu na muezraeli mwenyewe
Nabarikiwa sana na mafundisho ya Neno la Kristo Mungu, akutumie Kwa viwango vya juu sana Ameen
Mutumishi wa mungu apewa sifa
DRCongo ungefika bukavu, chunvi na maji ;vimechukuwa nafasi ya MUNGU kwa wengi,.
Mimi nishidwa kijizuiliya machosi ninapozikiza neno la Mungu Kwa unyakusi WA kanixa moyo waku unatetemeka Sana ninapozikiza unapo hubiri niombee Mungu Anindiye nguvu 😢😢😢😢😢 napenda Sana mafundisho Yako
ndiyo Bwana !!
Mungu aendelee kukutunza Rabbi wetu
honger mtumish wa mung akubarik matundish yako yananibarik sana
Merci beaucoup papa mu tu mi shi n apen da un ipe maza bahu
Huyu mtumishi dah Mungu wa ajabu sana nimejikuta nimepata RUclips Nashukuru Sana
Yan me mwenyww uyu. Baba anaubir kweli ya Mungu
Ubarikiwe mno kwa fundisho Muhimu sana kwetu sote.
Ubarikiweee baba Kwa kutuponya roho zetuuuu
Asante sana Babaku barikiwa sanaaaana mutumishi wa Mungu
Namshukuru mungu alokutengeneza kuwa mtumishi wa kweli
Asante sana mtumishi wa Mungu . Ubarikiwe sana .
Nipo Rwanda nime furahi sana .
Yesu Kristo Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie unaporuti usinipite mwokonzi waku Mimi mwenye dhambi
Mungu aku bariki baba 😊
Mungu unilehemu kamaupendavyo.
Bwana akubariki mchungaji
Barikiwa na Bwana Yesu!
Alelluyah alelluyah blessed barikiwa sanaaaana wa Mungu Glory to God
Ume sema kweli
Mungu akutunze baba Injili ya kweli kabisa
amen mtumishi ubarikiwe saana
MUNGU akutie nguvu ili usichoke
Ubarikiwe.mtumishi.wa.mungu
Hakika mtumishi maarifa yameongezeka sana ni kweli hii ni karenda Mungu akubariki sana mtumishi nakusikia nipo hapa makambako napokea maarifa
Mchungaji endelea ivoivo na neno lako linatubariki sana
Amen men 🙏 Asante sana ubarikiwe mtumishi wa mungu
Ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ❤❤❤
Mungu tuhurumihe tusaindiye kumbuka viumbe hivi vya rohoni
Asante sana barikiwa sanaaaana babaku wa kiroho tuombee Mungu ainue Imani yetu
Yesu kristo nirehemu na uzao wangu na ndugu yangu na nyumba yangu na kazi yangu AMEN
Sema baba, wasaidike, Mungu akutie nguvu sana, utukufu kwa Yesu
Ameeeeeen
Ahsante masomo mazuri hakurudi kwa yesu matamani kuendelea kukua zaidi Mungu akubariki.
Hakika wewe ni miongoni mwa watumishi wazuri na mhimu sana wa Mungu katika nyakati hizi za mwisho Mungu baba akupe afya njema.
Nirehemu Mimi mwenye dhambi Mungu nisamehee Mimi muovu naomba musamaha Mungu ninaomba rehema naomba musamaha Mungu ninaomba rehema Yesu Kristo wanasareti Nikutumie Yesu niamushe Tena niamushe Tena niamushe Tena niamushe Tena niamushe Tena niamushe Tena niamushe Tena 😢😢😢😢😢😢 Mungu Mungu Mungu atusaidie usinije masiyaa
Amina mtumishi
Ni Bahati sana kwa tanzania kukupata mtumishi wa KWELI ya MUNGUTanzania nisawa na machimbo ya Mema ktk Nchi YASIYO ISHA AMEN
YESU KRISTO AKUPE NGUVU ZAIDI UZIDI SANA KUHUBIRI NENO LAKE
Mungu akubariki sana nabii wa Bwana kwa mafundisho yako
Vizuri sana mtumishi wa MUNGU nabarikiwa sana neno la MUNGU
Hakika Kuna nguvu za Mungu Dani Yako ambayo si yakawata kwaku Mimi moyo waku unapona kupitiya wewe babaku wa kiroho barikiwa sanaaaana mutumishi wa Mungu
Aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa
Yes this is a knowledgeable pastor in line with the hebrew context of scripture
Bwana yesu akulinde na kukutunza mtumishi wetu mpendwa napenda sn kusikuliza ukiwa unafundisha neno la mungu nasikia laha sn kusikia neno la mungu
Amen Asante Mtumishi Mungu akutunze
Amen ubarikiwe Rabbi
Mungu akubariki baba kwa neno zuri
Bwana Yesu akubariki sana sana
Amen Mungu akubariki
Kwa kweli MUNGU wetu akutiye ngufu kwa neno la kweli ume tupa
Shalom mchungaji
Hizo nyingine ni story tu sio kweli
Ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen
EXACTLY 💯, YESU ANARUDI!!
Babaku leo nionda ndodo Nina ongea na wewe live moyo waku ukawa unamuzokea Mungu sana nikawa naona ndani mwaku nimepata amani kumbe Niko naonda ndodo
Hiki kichina au kijaruo?😂😂
hayo ndiy mafundisho yanayotakiwa kwa hiz nyakati turizonaz chapa lnjiri watu wajue kwamba yesu anarud
Mchungaji na kusikiliza kutoka Uganda
AMENI
Amen 🙌
Amen❤❤
❤❤❤
Amen Amen
Sharomu
Mungu nisaidie kulielewa neno linijenge nikae sawasawa na utakavyo wewe
Mimi naona kama Kuna kitu sielewi hapa kumbwa kwa Adam na ulimwengu nani alifanya unabii huu wakati mungu alikuwa hajaumba mtu yeyote hapa ndipo tuone sana tulio Wana wa mungu maana tusije tukadanyana maana akija mungu tusije tukakosa majibu watu wa mungu
Chanzo cha ufunuo wote ambao hadi sasa tupo unatokana na kuumbwa kwa ulimwengu hadi adamu,hivyo mtumish hajakosea kuzungumza kuwa unabii wa kwanza ulitokan na kuumbwa kwa ulimwengu hadi adamu,kwan kwa tafsiri halisi ni huu kielelezo cha unabii wote unaotendeka hapa dunian unatokana na msingi wa siku saba ambazo ni kuumbwa kwa ulimwengu hadi adamu ambayo ndio miaka hiyo 7000 kibibilia ambayo imebeba siku saba hadi kupumzika kwa Mungu baadq ya kumaliza kila kazi.....nasi katika pumziko letu ni pale Yesu atakaporudi na kulichukua kanisa ambalo unabii unaonyesha tupo ndani ya hicho kipindi na dalili zote zimekwisha kuonekana dhahiri
Na Mungu ndiye aliyeweka unabii pekee yake baadae ukaja kuwa udhiirisho kwa manabii wake
Unachosema ni kweli. Maana hata wewe watu wote huwa hawakuelewa. Hata darasani wanafunzi huwa na uelewa tofauti. Hatimaye mwalimu akitoa mtihani huwa yupo mwenye zero na mwenye A,B,C,D na F
Mimi ndo sijakuelewa wewe unaisomaje injili kwani kuuliza uweza wa mungu hukusoma mungu alikua neno naye akafanyika mwili naye akaja akakaa kwetu soma basi mwanzo kwanza bwana
Mimi sielewi huu alichosema umeandika ukijaaa roho mtakatifu ao mchafu.
Kanisa lake lipo wapi jamaani???
🙏🙏
Àmina mchungaji
Jamani, mtumishi hajatoa kitabu juu ya mafundisho haya?
🇨🇩🇨🇩🇨🇩 RDC
Tunafata
onja radha ya fundisho bora
Hiyo ni alama ya mwana kondoo ishara ya ushnd wa kristo. Japo c lazma kuweka alama hio. Watu wa giiza wanatumia alama ya mbuz
Tufanye nini hili tuondoe giza mwalimu?
Jamani mimi huwenda sielewi mbona hivi vitamba vilivyo tandikwa kwenye hivyo viti vinaalama ya mnyama huyomnyama mbonasimwelewi
Ile siyo tatizo none kwa
Ni mwana kondoo aliyejitoa sadaka, ni yule aliyeambiwa anastahili kuzifungua zi muhuri .... yaani ni Yesu Kristo aliyetolewa sadaka
Ee ROHO MTAKATIFU TUSAIDIYE KUELEWA NAKUKAA KTK HAYA
Kweli tupu
Mchungaji huyu na mchungaji magembe wanapasua neno kweli
Kweli kabisa udongo ni mtu mazao shambani yakisitawi na mwenye shamba Hana Roho mtakatifu,bado huyo yupo kwenye Asara
Àmina
Aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa
❤❤
Amen amen amen
Aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa