JINSI YA KUJUA MAKANISA YENYE IMANI POTOVU NA MCH. ABIUD MISHOL

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 дек 2024

Комментарии • 51

  • @YohanaWagana
    @YohanaWagana 23 часа назад +3

    Nakupenda sana pst wangu ubarikiwe na BWANA YESU kwa somo nzuri sana kuhusu huduma hizi

    • @estherwilliam5125
      @estherwilliam5125 13 часов назад +1

      Mimi nampenda pia kuna siku nilishawahi kumuota

  • @elisaambise9502
    @elisaambise9502 День назад +2

    Barikiwa Mtumishi wa Mungu. Somo zuri na Injili ya kweli hii.

  • @emamshana979
    @emamshana979 19 часов назад +2

    Mungu atusaidie,Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu aliye hai

  • @Rashid-vm1fk
    @Rashid-vm1fk День назад +2

    Amen amen ubarikiwe sana Mtumishi wa Bwana kwa mafundisho yako yenye uzima

  • @SarahFuraha-tg4br
    @SarahFuraha-tg4br 22 часа назад +1

    Amen Baba yangu kuwa nabarikiwaka na maubiri yako Mungu azidi kukutumiya nyakati izi za mwicho

  • @fidemikaeli8145
    @fidemikaeli8145 12 часов назад

    Amina,mafundisho yenye nguvu kubwa na Mungu na baba yetu uliye juu tusaidie sana kuyaishi hayo

  • @MichaelAbel-m5y
    @MichaelAbel-m5y 2 часа назад

    Kanisa si sawa na mifumo ya dhehebu na dini Yk 2:27-28; Mt 16:13--16---Ubarikiwe!

  • @LaurahWasike
    @LaurahWasike 22 часа назад +1

    Amina ubarikiwe sana mchungaji

  • @JohnMewa
    @JohnMewa День назад +2

    Ameeen mtumishi ubarikiwe 🙏

  • @JoeTruthisbitterMuinde
    @JoeTruthisbitterMuinde День назад +1

    Ukweli mtupu......barikiwa sana

  • @rev.musabalalarogersmusabalala
    @rev.musabalalarogersmusabalala 15 часов назад

    Ahsante kwa fundisho umesema vyema !

  • @Norisi-c6u
    @Norisi-c6u 11 часов назад

    Amina baba MUNGU tusaidie

  • @BayaganakandiLydia
    @BayaganakandiLydia 22 часа назад +1

    Yesu kristo atusaidie sana atupe macho ya rohoni

  • @DenisMbongo-o9c
    @DenisMbongo-o9c День назад +1

    God bless you pasta nakupata nikiwa Kenya napenda sana mahubir yako

  • @RahabuLugu
    @RahabuLugu 23 часа назад +1

    Ameen mungu tusaidie

  • @mkalma-i4q
    @mkalma-i4q 23 часа назад +1

    Injili ya MOTO🔥🔥🙏🙏

  • @JosephChai-u1h
    @JosephChai-u1h 15 часов назад

    Barikiwa mwalim

  • @reginapeter1467
    @reginapeter1467 День назад

    Amen Mungu atusaidie

  • @rev.musabalalarogersmusabalala
    @rev.musabalalarogersmusabalala 14 часов назад

    Ukweli ni ukweli tu lazima ubaki kuwa ukweli tu, Mungu akutunze na Mungu atusaidie sana

  • @michaelmshighati8432
    @michaelmshighati8432 День назад +2

    99 Piece not ya Wachungaji wanaenda Jehanamu sababu ya kutaka Pesa na Umaarufu Kanisa limepoteza Ladha nikama Makundi ya Wanyang'anyi Tuwe macho.

  • @JosephinaAyoub
    @JosephinaAyoub 23 часа назад +1

    Amina 🙏🙏

  • @ElizabethSimon-g8n
    @ElizabethSimon-g8n 18 часов назад +1

    Ubarikiwe mtumwa wa kristo Yesu nimekupata vizuri, nina swali linanichanganya kuhusu chrismasi, tuliookoka tunapaswa kusherehekea Christmas?

    • @germanoburushi
      @germanoburushi 18 часов назад

      Shalomu mtu wa Mungu! Najua hasa umemuuliza Mchungaji lakini nikusaidie tu kuwa tuliookoka hatutakiwi kusherehekea Chrismas kwa sababu nyingi sana, moja sio kweli kwamba Yesu Kristo alizaliwa tarehe 25 decemba, na hilo halikusherehekewa katika biblia hata Yesu mwenyewe alipokuwa yupo hata na mitume wake na sababu nyingi siwezi kuziweka hapa zote ila usiwahukumu wanaosherehekea Chrismas

    • @ElizabethSimon-g8n
      @ElizabethSimon-g8n 17 часов назад

      @@germanoburushi ubarikiwe kwa majibu

    • @simonnjovu586
      @simonnjovu586 Час назад

      Christmas ni kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Yesu, ni kweli Yesu hakuzaliwa tarehe 25/12 lakini kuna siku moja katika mwaka Yesu alizaliwa. Hivyo tarehe sio issue bali tukio. Tarehe 25/12 imekujaje? Google historia ya Christmas - sherehe za kuzaliwa mungu jua wa kipagani. Wanaosherekea Christmas, na mimi nimo, wakaiweka tarehe kwa kuwa Yesu Kristo ni jua la kweli.

  • @mkalma-i4q
    @mkalma-i4q 23 часа назад +1

    Amen 🙏🙏

  • @OmegaMwaikuju
    @OmegaMwaikuju 13 часов назад

    Ubarikiwa pastor kwa somo, tatizo lililopo ni kutokujua nabii wa uongo ni nani wengine wanafikiri kuwa nabii wa uongo ni wale wenye huduma binafsi bila kujua kuwa nabii wa uongo ni yule anaesema neno asilotumwa na MUNGU soma yeremia 28: na 29 utajua ni habari ya Anania na yeremia

  • @GidoGisbeth
    @GidoGisbeth День назад

    Amina mtumishi

  • @isaacjosephjoseph2733
    @isaacjosephjoseph2733 День назад +2

    AMEN AMEN

  • @vladimirputn1809
    @vladimirputn1809 День назад +2

    Amennii

  • @JoyceMlelwa
    @JoyceMlelwa 13 часов назад

    Aminaa

  • @YohanaWagana
    @YohanaWagana 23 часа назад +1

    Mwenye sikio la kusikia amesikia

  • @ChristopherKitheka
    @ChristopherKitheka 13 часов назад

    Watu wa Mungu kuweni macho jisomeeni Neno la Mungu ninyi wenyewe ...tafakarini mnachosoma ...msingoje kuelezwa mambo ambayo hayapo ktk ( Biblia.) maandiko. hizi ni nyakati za hatari 2Timotheo 3....

  • @ChristopherKitheka
    @ChristopherKitheka 13 часов назад

    Wachungaji na Wainjilist wengi kwa sasa wamejificha ktk ufahamu wa maa ndiko ( biblia) na kufanyia wanaoitwa washarika wao mambo mengi ya..kuwapotosha..lengo lao likiwa matoleo (pesa)

  • @hebronijaluomahuvi1025
    @hebronijaluomahuvi1025 День назад

    Amina

  • @Hawesidikadzowehu
    @Hawesidikadzowehu День назад +1

    amen

  • @PamelaGodfrey-q9b
    @PamelaGodfrey-q9b 22 часа назад

    Izo taa zitoe mch hatsherekei sisi wateule wa Munchies kweli

  • @akothchristine4752
    @akothchristine4752 21 час назад

    Amiina

  • @HarryMbale-t5y
    @HarryMbale-t5y 14 часов назад

    Amen mtumishi wa MUNGU aturehemu maana siku hizi zamwisho nihatari sana

  • @ernestbutagalala
    @ernestbutagalala День назад

    Amina baba 🙏🧎

  • @WilsonMshindo-w5d
    @WilsonMshindo-w5d День назад

    Mch andaa mwendelezo juu ya makanisa ya kiroho lakin yamepotoka

  • @WilsonMshindo-w5d
    @WilsonMshindo-w5d День назад +1

    Kweli naamin huu ni wakati wako. Mungu awe nawe kwa nguvu zake akulinde na kukutetea.

  • @jayjoe5160
    @jayjoe5160 23 часа назад

    Mchungaj hizo taaa ulizoweka unasheherekea Christmas au wewe hujui hio sherehe orgin yake ni upagan

  • @GRASIANOMSOLA
    @GRASIANOMSOLA 20 часов назад +2

    Amina

  • @FrankBbd
    @FrankBbd 2 часа назад

    AMEN

  • @fidemikaeli8145
    @fidemikaeli8145 14 часов назад

    Amina

  • @fidemikaeli8145
    @fidemikaeli8145 13 часов назад

    Amina