INASIKISHA MWANANCHI ADAIWA KUPORWA KIWANJA NA GBP PETRO STATION/WAZIRI AOMBWA KUINGILIA KATI
HTML-код
- Опубликовано: 30 апр 2024
- WAZIRI SILAA AOMBWA KUINGILIA KATI MGOGORO WA KIWANJA KATI YA GBP NA WANANCHI
VILIO VYATALA TANGA MWANANCHI
ADAIWA KUPORWA KIWANJA NA KAMPUNI YA GBP PETRO STATION
Mara nyingi wafanyabiashara wa mafuta wanashirikiana na mipango miji wanabadilisha miundo mbinu ya miji bila ya hata kuwashirikisha wananchi majerani wa sehemu husika.
Waziri slaa apunguze haraka asikilize kessi na afike eneo husika,katika hili amezinguwa
Sikuzote nasemaga huyu wazir anakurupukaga kibabe ona anavyopoteza haki za watu
Hili alilosema waziri kuwa barabara imejengwa kwa kodi za wananchi linanitiya mashaka makubwa sana kwa sababu barabara hii ina urefu wa mita 120 tu na inatumika na secretary wa GBP tu. Mama Samia Suluhu Hasan hawezi fanya haya aliyozungumza Waziri.
Waziri Jerry Slaa hajakula hongo ila amesoma karatasi za kupewa na wakuu katika eneo la Tanga, huyu bwana Mwenye Kiwanja amfate waziri na hizi hati za vibali vyake hii ishu itaisha mara moja tu.
Aache maelezo meengi tu wakati yuajua hakika waziri huyo atalitatua sawala bila kupinda maneno 😢
Waziri kalishwa vitango pori
Kama waziri hakummpa haki ya kumsikiliza kama anavyofanya kwa watu wengine, basi atakuwa hakumtendeya haki huyo bwana Farid
Eneo lina mgogoro. Alafubunawekezanhapo. Je ukichomewa.nyumva?
hiv umaandik nn hapo mzee