Mimi nakukubali sanaa toka ulivyotolewa kwenye uongozi niliumia sana, ebu msaidie sabaya nae arudi kwenye system mshawishi mama mheshimiwa makonda sabaya nae arudi.
Huyu ndio kiongozi baba wataifa alietaka wananchi wamchague, wakati huo alikuwa anazungumzia mgomea uraisi. Alietaka kiongozi ambaye kilammoja akiulizwa aweze kusema ndio Kwa mambo manne la kwanza likiwa ni rushwa.
Asante Sana Makonda! Hakika MUNGu atakuwa pamoja Nawe Na tukuombea Mungu Aendelee Moyo wa kutumika Maana hii ni Vita tunapaswa Tushikamane site wanaarusha!
No more Rushwa, naomba Raisi wetu na yeye alizungumzie hili kinagaubaga. Ikiwa ni hamna rushwa tu Kwa Makonda au Arusha! Dhambi ya rushwa maeneo Mengine ya nchi yataambukiza Arusha.
Njoo Mushono kiseriani madukani kaka wakata ushuru wa mchanga hawakati ushuru wanakula hela za serikali na wao pia ni wauza mchanga kitu kinachosababisha conflict of interest na kuleta migogoro mara kwa mara
Kaka hawa tafas wanafanya madudu kweli kuna kioja pale kata ya magulilwa kijiji cha ng'enza kitongoji cha lutengelo watu hawa wametelekeza mradi pale tangu mwaka jana
Kaka iyo kazi ningumu peke Yako utaweza nchi ngumu sana hata jpm alikemea rushwa lakini alishindwa kaka makonda nakuomba uwe mpole mengine yatazame uyaache kama yalivyo
Kaka iyo kazi ningumu peke Yako utaweza nchi ngumu sana hata jpm alikemea rushwa lakini alishindwa kaka makonda nakuomba uwe mpole mengine yatazame uyaache kama yalivyo
Wewe ni kipenzi wa mungu .fanya kazi mola atakulipa.tupo kenya tunakupenda sana
Asante makonda jembe letu , izo ela warudishe na fidia wananchi tunufaike. tunateseka hatuna barabra na umeme haujatufikia .
Daaah Mungu akupe nafasi kubwa zaidi brother makonda kitendo cha wewe kupaza tu sauti yako,unaonesha nishijaa wa Tanzania
Hawo wahalifu wapate kifungo ya maisha well done makonda mungu yuko na wewe
Muheshimiwa em njoo Kiseriani kuna kakalavati kamejengwa kwa milioni mia na hamsini
Hongera sana Mh Makonda piga kazi Mungu akusimamie
asante sana haya ndio mambo ya msingi kuwapa taluma wananch na viongozi wanye maamuzi ya uwendeleshaji wa rushuwa
Piga kazi ww ni jembe
We are proud of you
Mimi nakukubali sanaa toka ulivyotolewa kwenye uongozi niliumia sana, ebu msaidie sabaya nae arudi kwenye system mshawishi mama mheshimiwa makonda sabaya nae arudi.
Tunahaja ya kumlinda kuanzia sasa
Wananchi arusha tumuombee makonda, tutanufaika na uongozi wa mama samia ela zimepigwa
Huo mchezo siyo Arusha NCHI nzima
Ze Jembe at WORK 🎉🎉🎉
Haya unayofanya Mungu akutangulie, asnt
Huyu ndio kiongozi baba wataifa alietaka wananchi wamchague, wakati huo alikuwa anazungumzia mgomea uraisi. Alietaka kiongozi ambaye kilammoja akiulizwa aweze kusema ndio Kwa mambo manne la kwanza likiwa ni rushwa.
Makonda nimekuona upo
Wananchi tilihuzunika tulipokukosa kwa muda ulipoitwa na CCM.
Zz
HIVI WE MAKONDA SIUWE RAIS WETU TU JAMANI
Mungu Akusimamie katika Majukumu yako...
Kwamakonda vichaa watapona
Asante Sana Makonda!
Hakika MUNGu atakuwa pamoja
Nawe Na tukuombea Mungu Aendelee Moyo wa kutumika
Maana hii ni Vita tunapaswa Tushikamane site wanaarusha!
Hata dada yetu jana ameniambia ameandikishwa mara nyingi pale Mlowo,lakini hajawahi kupokea pesa ya Tasaf!
Karibu ngorongoro kuna madudu kibao
Hongera kijana wa JPM,,
Migambo nao wamilike
Wanaenda kusumbua tena wajasilia Mali kwenye masoko
Waliyopangiwa .
JPM aliko anafurahia
Mh chapa kazi lakini unatakiwa uongoze nchi hii
Asante mheshimiwa Makonda ❤❤❤❤
PAAZA SAUTI RC. HII NCHI NI WIZI MTUPU. MUNGU TUNUSURU
👏👏👏
No more Rushwa, naomba Raisi wetu na yeye alizungumzie hili kinagaubaga. Ikiwa ni hamna rushwa tu Kwa Makonda au Arusha! Dhambi ya rushwa maeneo Mengine ya nchi yataambukiza Arusha.
Kamata mtandao wote iwe fundisho kwa wengine,wawajibishwe kwa mujibu wa Sheria,
Wasipowajibika watawajibishwa, ifike mahali uadilifu iwe ni kipao mbele namba moja
Njoo Mushono kiseriani madukani kaka wakata ushuru wa mchanga hawakati ushuru wanakula hela za serikali na wao pia ni wauza mchanga kitu kinachosababisha conflict of interest na kuleta migogoro mara kwa mara
Ivi kweli yale malori yanakatwa ela huwa zinaenda wapi? Alaf yanaleta kero mno pale yanaposimama kweny kalavati
Huyu kijana apelekwe Rukwa kule Kuna uozo uliokithili
Kaka hawa tafas wanafanya madudu kweli kuna kioja pale kata ya magulilwa kijiji cha ng'enza kitongoji cha lutengelo watu hawa wametelekeza mradi pale tangu mwaka jana
Kaka iyo kazi ningumu peke Yako utaweza nchi ngumu sana hata jpm alikemea rushwa lakini alishindwa kaka makonda nakuomba uwe mpole mengine yatazame uyaache kama yalivyo
Acha kumkatisha tamaa jembe la Watanzania wote
Kwa hili kongole. Kaza moyo wako , hawa wako wengi hasa Mainjinia wa miradi. Wanachukua wala Hawaibi utafikiri pesa ni zao.
🤔
Baba hapo tutapona yaani Kuna wazee wetu wameandishwa lakini hawajawahi pewa hizo pesa mpaka wengine wamekufa
Ndio maana nataka kumpa makonda uwaziri mkuu anapiga kazi sn
Ufuatiliaji alifanya magufuli ikafanya watu wakaiogopa pesa ya uma.utashanga chadema wanakuja kuponda kazi nzuri ka hii .wajinga sana
tasafu wanapiga hela viongozi wa taasisi hiyo wazee wangu wanaishiaga kuandikwa majina tu
Kaka iyo kazi ningumu peke Yako utaweza nchi ngumu sana hata jpm alikemea rushwa lakini alishindwa kaka makonda nakuomba uwe mpole mengine yatazame uyaache kama yalivyo