Ongea umalize halafu usome comments. Huna points zozote. Na unapaswa kujua kuwa Mpina amekuzidi kila kitu. Pia ujue mawazo yako hayafai hata kidogo. Huwezi kuongea ukweli tofauti na kujipendekeza
Huyo mzee hana agenda,anawapotezea muda tu.wakati mpina anaongelea vitu serious yeye anaongelea vitu lightly.Marwa amemuoji vizuri sana huyo mzee maswali mazuri kakini yeye ameshindwa kujibu.
Kama kuna shida mpina kuleta alichopeleka kwa spika? Spika na yeye alete majibu kwetu.Acha uchawa mzee
Hakuna uchawa hapa. Umeagizwa upeleke ushaid kwa mkuu wa bunge wewe unatuletea cc wananchi ili iweje? Huko c ni kutaka huruma kwa wananchi
Ameongea vizuri Dr Mchunguzi.
Uko sahihi mzee
Nchi Ina ma Dr wajinga kiasi hiki kweli ?
Dr unajichafua na mavi bila wewe kujua ,, huwezi pata uteuzi ,,YUKO wapi msiba
Awa wazee ndio wameifanya hii nchi kubwa maskini embu jiulize Kodi anayokwepwa ni billion 500 yaani Wala awazi ilo
Kazini kwetu kuna kazi na kazi yenyewe ndio hii ya Mzee wetu
Huyu mchunguzi niliwahi kusema simkubli huyu hata ningewekewa kisu shingoni nitamkataa, huyu mzee ni hatari sana na watanzania wasiamini maoni yake.
Wewe Mzee hebu achanaga na haya mambo maana sioni unaongea nini
Hovyo Mno Mzee wewe ni chawa Udaktari feki, Acha uchawa
Hilo jamaa huwa la hovyo halina hoja za msingi. Sijui u Dr ni WA nini.
Mpina ameongea na waandishi wa habari ili kila kitu kijulikane kwa kila mwananchi,lakini huyo mzee anakuja kuongea theories.sisi hatutaki theoties.
Hili jamaa huwa la hovyo kweli sijui lilisomea wapi kila siku ni pumba tupu
Mzee wangu mbona hata wewe unwapriempty waandishi kwa kujiondoa kuwa huna afilliation yoyote ili kuwaweka positive kwako kabla hawajasikia hoja yako?
Huyu mzee ndiyo walewale wanaomfitini mkuu wetu wa mkoa kuwa mbabe
Nia njema kivipi?
Ndio maana huna meno....kwenda zako huko!!
Nyie tumewachoka kutupotosha mnatuhanisha kwenye mada hiyo Sasa niporopoganda zako karale
Ongelea na kikokotoo basi
Duu hayo macho usijekutumeza wee babu.
Mzee yupo sahihi. Bunge liliagiza alete ushaidi lkn yeye ameleta ushaidi kwa wananchi. Ushaidi alitakiwa apeleke kwa aliyetaka ushaidi. Hapo Mpina anataka wananchi ndiyo tutoe hukumu
Pale pana Bunge la kuwapa ushahidi na wakaufanyia kazi?Kwakuwa wote ni CCM,watajuana wenyewe kwa wenyewe.
Nani anataka maoni yako?
KImsingi huyo anayejiita Dr hana hoja yoyote zaidi ya kupoteza muda. Hana ushahidi wowote wa anachosema!
Ruhusu Uajibikaji bkuliko siasa
Unazingua mzee na jii media nadhani sio ya kuifata ni ku unfolow
Mi naanza
Hunaga point
Ongea umalize halafu usome comments. Huna points zozote. Na unapaswa kujua kuwa Mpina amekuzidi kila kitu. Pia ujue mawazo yako hayafai hata kidogo. Huwezi kuongea ukweli tofauti na kujipendekeza
Mbona siku zote huwagi kinyume na wenye mamlaka? Unafiki mtupu
Sio mkweli
Anzisha yakwako usidakie ya Mpina
Mpeni kichapo huyo chawa!
Uchawa na umri
Haki kwanza amani injileta lenyewe
Huna point mzee. Acha kutumiwa.
Wewe Dingi dishi limeyumba
Huyu ni chawa tu
Huyo mzee hana agenda,anawapotezea muda tu.wakati mpina anaongelea vitu serious yeye anaongelea vitu lightly.Marwa amemuoji vizuri sana huyo mzee maswali mazuri kakini yeye ameshindwa kujibu.