#LIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #habari

Комментарии • 40

  • @geraldgogadi7054
    @geraldgogadi7054 3 месяца назад +4

    Kama kuna shida mpina kuleta alichopeleka kwa spika? Spika na yeye alete majibu kwetu.Acha uchawa mzee

    • @piumagoha
      @piumagoha 3 месяца назад

      Hakuna uchawa hapa. Umeagizwa upeleke ushaid kwa mkuu wa bunge wewe unatuletea cc wananchi ili iweje? Huko c ni kutaka huruma kwa wananchi

  • @lwakainaza
    @lwakainaza 3 месяца назад

    Ameongea vizuri Dr Mchunguzi.

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 3 месяца назад

    Uko sahihi mzee

  • @salummussa9871
    @salummussa9871 3 месяца назад +1

    Nchi Ina ma Dr wajinga kiasi hiki kweli ?

  • @salummussa9871
    @salummussa9871 3 месяца назад

    Dr unajichafua na mavi bila wewe kujua ,, huwezi pata uteuzi ,,YUKO wapi msiba

  • @EliaMarco
    @EliaMarco 3 месяца назад

    Awa wazee ndio wameifanya hii nchi kubwa maskini embu jiulize Kodi anayokwepwa ni billion 500 yaani Wala awazi ilo

  • @ikangilatunduje2721
    @ikangilatunduje2721 3 месяца назад

    Kazini kwetu kuna kazi na kazi yenyewe ndio hii ya Mzee wetu

  • @OscarKasalile-u4k
    @OscarKasalile-u4k 3 месяца назад

    Huyu mchunguzi niliwahi kusema simkubli huyu hata ningewekewa kisu shingoni nitamkataa, huyu mzee ni hatari sana na watanzania wasiamini maoni yake.

  • @JumaMbaga-sd5yi
    @JumaMbaga-sd5yi 3 месяца назад

    Wewe Mzee hebu achanaga na haya mambo maana sioni unaongea nini

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle911 3 месяца назад

    Hovyo Mno Mzee wewe ni chawa Udaktari feki, Acha uchawa

  • @SylivesterKasikila
    @SylivesterKasikila 3 месяца назад

    Hilo jamaa huwa la hovyo halina hoja za msingi. Sijui u Dr ni WA nini.

  • @jorammasunu7040
    @jorammasunu7040 3 месяца назад

    Mpina ameongea na waandishi wa habari ili kila kitu kijulikane kwa kila mwananchi,lakini huyo mzee anakuja kuongea theories.sisi hatutaki theoties.

  • @SylivesterKasikila
    @SylivesterKasikila 3 месяца назад

    Hili jamaa huwa la hovyo kweli sijui lilisomea wapi kila siku ni pumba tupu

  • @gibsonsimburya5291
    @gibsonsimburya5291 3 месяца назад

    Mzee wangu mbona hata wewe unwapriempty waandishi kwa kujiondoa kuwa huna afilliation yoyote ili kuwaweka positive kwako kabla hawajasikia hoja yako?

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 3 месяца назад

    Huyu mzee ndiyo walewale wanaomfitini mkuu wetu wa mkoa kuwa mbabe

  • @jacksonmwakasege6210
    @jacksonmwakasege6210 3 месяца назад

    Nia njema kivipi?

  • @Geofrey-k3g
    @Geofrey-k3g 3 месяца назад

    Ndio maana huna meno....kwenda zako huko!!

  • @victorphilipo
    @victorphilipo 3 месяца назад

    Nyie tumewachoka kutupotosha mnatuhanisha kwenye mada hiyo Sasa niporopoganda zako karale

  • @godfreyjohn1814
    @godfreyjohn1814 3 месяца назад

    Ongelea na kikokotoo basi

  • @godfreymkulu4966
    @godfreymkulu4966 3 месяца назад

    Duu hayo macho usijekutumeza wee babu.

  • @piumagoha
    @piumagoha 3 месяца назад

    Mzee yupo sahihi. Bunge liliagiza alete ushaidi lkn yeye ameleta ushaidi kwa wananchi. Ushaidi alitakiwa apeleke kwa aliyetaka ushaidi. Hapo Mpina anataka wananchi ndiyo tutoe hukumu

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 3 месяца назад

      Pale pana Bunge la kuwapa ushahidi na wakaufanyia kazi?Kwakuwa wote ni CCM,watajuana wenyewe kwa wenyewe.

  • @johnkmjema9727
    @johnkmjema9727 3 месяца назад

    Nani anataka maoni yako?

  • @7675kio
    @7675kio 3 месяца назад

    KImsingi huyo anayejiita Dr hana hoja yoyote zaidi ya kupoteza muda. Hana ushahidi wowote wa anachosema!

  • @amosmangura
    @amosmangura 3 месяца назад

    Ruhusu Uajibikaji bkuliko siasa

  • @gervasejerry
    @gervasejerry 3 месяца назад +1

    Unazingua mzee na jii media nadhani sio ya kuifata ni ku unfolow

  • @jdanny497
    @jdanny497 3 месяца назад

    Hunaga point

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius1796 3 месяца назад

    Ongea umalize halafu usome comments. Huna points zozote. Na unapaswa kujua kuwa Mpina amekuzidi kila kitu. Pia ujue mawazo yako hayafai hata kidogo. Huwezi kuongea ukweli tofauti na kujipendekeza

  • @nyibukojoel3952
    @nyibukojoel3952 3 месяца назад

    Mbona siku zote huwagi kinyume na wenye mamlaka? Unafiki mtupu

  • @MohamedBlanker-jw9qy
    @MohamedBlanker-jw9qy 3 месяца назад

    Sio mkweli

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 3 месяца назад

    Anzisha yakwako usidakie ya Mpina

  • @7675kio
    @7675kio 3 месяца назад

    Mpeni kichapo huyo chawa!

  • @pancrasluoga4584
    @pancrasluoga4584 3 месяца назад

    Uchawa na umri

  • @KimanguShemwaliko-ht2jr
    @KimanguShemwaliko-ht2jr 3 месяца назад

    Haki kwanza amani injileta lenyewe

  • @abelmakalwe
    @abelmakalwe 3 месяца назад +1

    Huna point mzee. Acha kutumiwa.

  • @gervasejerry
    @gervasejerry 3 месяца назад

    Wewe Dingi dishi limeyumba

  • @jorammasunu7040
    @jorammasunu7040 3 месяца назад

    Huyu ni chawa tu

  • @jorammasunu7040
    @jorammasunu7040 3 месяца назад

    Huyo mzee hana agenda,anawapotezea muda tu.wakati mpina anaongelea vitu serious yeye anaongelea vitu lightly.Marwa amemuoji vizuri sana huyo mzee maswali mazuri kakini yeye ameshindwa kujibu.