FARISAYO NA MTOZA USHURU By VOP CHOIR KASULU KIGOMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024

Комментарии • 33

  • @christmasphilpo107
    @christmasphilpo107 6 месяцев назад +1

    Mbalikiwe watu wa Mungu

  • @ronogeoffrey744
    @ronogeoffrey744 Год назад +1

    Amina

  • @ladsonjames9750
    @ladsonjames9750 Год назад +1

    🙏🙏🙏

  • @shedomumbere2044
    @shedomumbere2044 Год назад +1

    Sijuwi niseme Nini, ila roho mtakatifu awaongoze kwakuimbiya mungu

  • @harontoo9617
    @harontoo9617 Год назад +1

    Nyinyi kweli na shuhudia ni Wana wa ngu kweli...I have learned prophecy kupitia nyimbo zenu

  • @malimajr8708
    @malimajr8708 Год назад +1

    Nafuatilia Nyimbo zenu zote ya Kwenye computer yangu ninazo nyingi na kuziimba naweza,Msalimie Rafiki yangu mwenye ndevu yule Nampenda/Nawapenda sana VOP.Karibuni Mwanza

  • @emmanuelmutuku7434
    @emmanuelmutuku7434 Год назад +1

    Wanadada wetu tujaribu kujisitiri kabisa toka juu hadi chini

  • @nicholauspaul2589
    @nicholauspaul2589 Год назад +1

    Wooow! Hatimaye mambo yamekuwa, huu wimbo nimeusubiri kwa siku nyingi sana tangu nilipousikiliza kwa mara ya kwanza kwenye Makambi ya Mwenge, huwezi amini audio yake niliyokuwa nimerekodi niliitunza kwa umakini kama nini yani wala sikutaka kabisa ifutike,, Mungu awabariki sana watu wa Mungu.

    • @thevoiceofprophecy7757
      @thevoiceofprophecy7757  Год назад +1

      nicholaus paul kiuyako sasa tumeitimiliza kwa namnayapekee sana basi endelea kutufuatilia nakutubariki kwa namna mbalimbali asnante

    • @eliphasethobias1133
      @eliphasethobias1133 Год назад

      Imana yibhahezagire mwabhibhondo vya lurema
      Napenda uimbaji wenu

  • @charlesmanyama8842
    @charlesmanyama8842 Год назад

    Kwa mara ya kwanza nasikiliza 666 wa like wow 👏 from there mmekuwa mbaraka kwa moyo wangu kila nikisikiliza nyimbo zenu

  • @changesnlatitudes
    @changesnlatitudes Год назад +1

    Excellent! (As always) ...thank you for blessing us with your ministry.

  • @phinawatwego5279
    @phinawatwego5279 Год назад

    Aminaaaaaaa

    • @thevoiceofprophecy7757
      @thevoiceofprophecy7757  Год назад

      Phina watwego wewe umebarikiwa saana nasasa wewe nimiongoni mwawadau wetu wakwaya ya vop kwaya inakutambua na imepanga kuwa itakushirikisha katika kazizake Mungu

    • @phinawatwego5279
      @phinawatwego5279 Год назад

      Aminaaaaaaa

  • @maggyalexalex3569
    @maggyalexalex3569 Год назад +1

    Nice song but the camera is not clear

  • @jele.mlimba-ni6ut
    @jele.mlimba-ni6ut Год назад

    Mungu awabariki sana!Nina swali ninyi ni kwaya nzuri sana taratibu za kuwapata kwa ajili ya makambi?nawakubali sana

  • @emmanuelmoyo101
    @emmanuelmoyo101 Год назад

    MUNGU niwapekee itangazeni injili ulimwenguni kote hadi yesu ajapo

  • @edwinbhetetse9685
    @edwinbhetetse9685 Год назад

    Hongereni sana songeni mbele

  • @tumainjulius2311
    @tumainjulius2311 Год назад

    Hongereni sana ! Bwana aendelee kuwa nanyi ...VOP imbeni nyimbo za unabii sana sana siku za mwisho hizi..Unabii umewekwa kando sana makanisani mwetu leo..

  • @nicholaspoul6094
    @nicholaspoul6094 Год назад

    Kama kawaida yenu huwa hamnianguxh kwenye uimbaji,Hongereni sanaa

  • @nasmaaudas1990
    @nasmaaudas1990 Год назад

    Ameeen

  • @kamakalhaalfred9880
    @kamakalhaalfred9880 Год назад

    Respect to the VOP.

  • @mwaminihilary1929
    @mwaminihilary1929 Год назад

    balikiwen sana

  • @emmanuelmutuku7434
    @emmanuelmutuku7434 Год назад

    Mavazi ni marefu vizuri lakini uko juu kwa kifua mna expose, please hio sio ya wasabato