Nafuatilia Nyimbo zenu zote ya Kwenye computer yangu ninazo nyingi na kuziimba naweza,Msalimie Rafiki yangu mwenye ndevu yule Nampenda/Nawapenda sana VOP.Karibuni Mwanza
Wooow! Hatimaye mambo yamekuwa, huu wimbo nimeusubiri kwa siku nyingi sana tangu nilipousikiliza kwa mara ya kwanza kwenye Makambi ya Mwenge, huwezi amini audio yake niliyokuwa nimerekodi niliitunza kwa umakini kama nini yani wala sikutaka kabisa ifutike,, Mungu awabariki sana watu wa Mungu.
Phina watwego wewe umebarikiwa saana nasasa wewe nimiongoni mwawadau wetu wakwaya ya vop kwaya inakutambua na imepanga kuwa itakushirikisha katika kazizake Mungu
Hongereni sana ! Bwana aendelee kuwa nanyi ...VOP imbeni nyimbo za unabii sana sana siku za mwisho hizi..Unabii umewekwa kando sana makanisani mwetu leo..
Mbalikiwe watu wa Mungu
Amina
🙏🙏🙏
Sijuwi niseme Nini, ila roho mtakatifu awaongoze kwakuimbiya mungu
asante
Nyinyi kweli na shuhudia ni Wana wa ngu kweli...I have learned prophecy kupitia nyimbo zenu
Nafuatilia Nyimbo zenu zote ya Kwenye computer yangu ninazo nyingi na kuziimba naweza,Msalimie Rafiki yangu mwenye ndevu yule Nampenda/Nawapenda sana VOP.Karibuni Mwanza
Wanadada wetu tujaribu kujisitiri kabisa toka juu hadi chini
Wooow! Hatimaye mambo yamekuwa, huu wimbo nimeusubiri kwa siku nyingi sana tangu nilipousikiliza kwa mara ya kwanza kwenye Makambi ya Mwenge, huwezi amini audio yake niliyokuwa nimerekodi niliitunza kwa umakini kama nini yani wala sikutaka kabisa ifutike,, Mungu awabariki sana watu wa Mungu.
nicholaus paul kiuyako sasa tumeitimiliza kwa namnayapekee sana basi endelea kutufuatilia nakutubariki kwa namna mbalimbali asnante
Imana yibhahezagire mwabhibhondo vya lurema
Napenda uimbaji wenu
Kwa mara ya kwanza nasikiliza 666 wa like wow 👏 from there mmekuwa mbaraka kwa moyo wangu kila nikisikiliza nyimbo zenu
Excellent! (As always) ...thank you for blessing us with your ministry.
Aminaaaaaaa
Phina watwego wewe umebarikiwa saana nasasa wewe nimiongoni mwawadau wetu wakwaya ya vop kwaya inakutambua na imepanga kuwa itakushirikisha katika kazizake Mungu
Aminaaaaaaa
Nice song but the camera is not clear
Mungu awabariki sana!Nina swali ninyi ni kwaya nzuri sana taratibu za kuwapata kwa ajili ya makambi?nawakubali sana
MUNGU niwapekee itangazeni injili ulimwenguni kote hadi yesu ajapo
Hongereni sana songeni mbele
Hongereni sana ! Bwana aendelee kuwa nanyi ...VOP imbeni nyimbo za unabii sana sana siku za mwisho hizi..Unabii umewekwa kando sana makanisani mwetu leo..
sisi tutaendelea kuuhubiri kwajia ya nyimbo tunaomba tuu saport yenu ili tutuo nyimba zingine
Amina
Amina saaana Mungu awabariki
Kama kawaida yenu huwa hamnianguxh kwenye uimbaji,Hongereni sanaa
ooooh ubarikiwe
Ameeen
Respect to the VOP.
thank you sir
balikiwen sana
asante
Mavazi ni marefu vizuri lakini uko juu kwa kifua mna expose, please hio sio ya wasabato
Jicho lisikunyime Kuingia Mbinguni.