NJOO TUONGEE BIASHARA,VITUMBUA,MTAJI 10,000/- FAIDA 13,000/-
HTML-код
- Опубликовано: 5 июл 2021
- njoo tuongee biashara ya vitumbua.
in biashara nzuri sana na biashara yenye faida ya kutosha .kama utafuata taratibu,maelekezo na vipimo vyote..
Mara nyingi biashara hii faida yake inazidi mtaji.
Umefanya juu juu sana. Wengine hatuna idea kabisa hatujui viungo vyake wala kuusaga huo mchele
Yaan unaelekza utafkr wote tunajua😢nenda step kwa step tuelewe
Nakupenda Jana, Leo na kesho my love.
Masha Allah , from Somalia 🇸🇴🇸🇴🖐
Jaman mngetuelezea jinsi ya kuchanganya,na mmetumia viungo gani
Wow wow wonderful
Mchele kiasi gani,, vyote viwe vya kias gani ili kupata hiyo elf 10 ili kupata elf13
Mmh. Umelipua sana maelezo yako. Ni ngumu kuelewa
Wow. Just wow! Creativity at it's best. You're doing a good job ya kutuelimisha sis
Asante sana love..thanks for supporting
Great!!!
Mme tufundisha juu juu process za uandaaji hakuna
Ukatuficha vipi yakuchanganya cake ume explain pia jali utafauti wawakati,watu wanaishi Congo,tupo Asia, Europe,pata thawabu dada yetu fundisha watu,hio nisadakatul jaria Mie nataka vya kula basi! barakallahu fiikum
Habari nilijaribu kusaga mchele kutumia blenda lakini chenga zinabaki na hata nikipiga Sana chenga zinabaki wewe unafanyeje unapotumia blenda usibakie chega chenga je! ni utaratibu gani unaotumia ktk kuandaa mchele wako Hadi kuusaga kutumia blenda? Swali la 2 mbona ninapohuumua maji yanapanda unga unabaki chini na Wala hauumuki tatizo ni nini au nimekosea wapi? Naomba unifahamishe
Sijaelewa michanganyiko hiyo.
Hizo ndoo jaman kaaa
♥️♥️
HUjasemAaa tunawekaa nn hujatonyeshaa mwanzoo wa kuchangany ivooo kwa mm cjaelewa
Mwanamke Bombaaaa shukran sanaaa wacha nisome
MashaaAllah hio pan nzuri sanaaaa.. Napenda sanaa vile alikua akisonga shukran kwa hili somo babe
Asante sana love
❤️❤️❤️
mchel kias ghn my
Mbona namba yenyewe haipatikani?
Umetumia mchele gan?
Je huo mchele hukuusaga?
Sasa dada hapo kwenye viungo naomba naomba urudie
Mchele ametumia kiasi gani?
naomba namba ya simu nipate kuelekezwa vtumbua
Kam n sukar na vtu gan vnahtajkaaa hujawlewekaaa
Dia only rice plz reply me am here uganda 🇺🇬 kyiswahiri no plz tell me
You have to pay for the recipe dear
Biashara nyingi zakusimuliwa huwa slzina faida kubwa kwa maneno lakini uhalisia no
Hi mamb
Jee unachanganya na unga wa ngano
Numba yako ya simu haifanyi
Mbona hamjaonesha mbinu zake kumbe mnatangaza darasa🙄🙄
Ndiyo ni darasa dear,karibu
Ashu raasatesana
Keki plus mie nataka darasa LA kutengeneza buttercream inayokauka haraka kwenye keki
Nitafute whatsap nikupatie recipe.
@@kekiplus1andonly ok
Siku pati watsap
Mtoa maelezo cyo mpishi,hata YY kupika ajui ndo maana kamrekod mwenye kaz yake,kaficha maelezo ili ulipie 15000,Kwa staili hii Bora utafute mpish wako mzur mtaan mpatane akufundishe tu
Mme tufundisha juu juu process za uandaaji hakuna