NJOO TUONGEE BIASHARA,VITUMBUA,MTAJI 10,000/- FAIDA 13,000/-

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 июл 2021
  • njoo tuongee biashara ya vitumbua.
    in biashara nzuri sana na biashara yenye faida ya kutosha .kama utafuata taratibu,maelekezo na vipimo vyote..
    Mara nyingi biashara hii faida yake inazidi mtaji.

Комментарии • 45

  • @olivabongole9096
    @olivabongole9096 2 года назад +4

    Umefanya juu juu sana. Wengine hatuna idea kabisa hatujui viungo vyake wala kuusaga huo mchele

  • @monjefrank6341
    @monjefrank6341 День назад

    Yaan unaelekza utafkr wote tunajua😢nenda step kwa step tuelewe

  • @maruunyange1091
    @maruunyange1091 3 года назад +3

    Nakupenda Jana, Leo na kesho my love.

  • @xabiibomaxamed8910
    @xabiibomaxamed8910 2 года назад

    Masha Allah , from Somalia 🇸🇴🇸🇴🖐

  • @ciekeyslebulu6393
    @ciekeyslebulu6393 2 года назад +3

    Jaman mngetuelezea jinsi ya kuchanganya,na mmetumia viungo gani

  • @NyagazDXB
    @NyagazDXB 3 года назад +1

    Wow wow wonderful

  • @EstherMsaky
    @EstherMsaky Месяц назад +1

    Mchele kiasi gani,, vyote viwe vya kias gani ili kupata hiyo elf 10 ili kupata elf13

  • @josephinentaumenya6460
    @josephinentaumenya6460 Год назад +1

    Mmh. Umelipua sana maelezo yako. Ni ngumu kuelewa

  • @cookwithmsoo
    @cookwithmsoo 3 года назад +1

    Wow. Just wow! Creativity at it's best. You're doing a good job ya kutuelimisha sis

  • @lucywaithira7254
    @lucywaithira7254 3 года назад

    Great!!!

  • @paulinamoshi8141
    @paulinamoshi8141 2 года назад +3

    Mme tufundisha juu juu process za uandaaji hakuna

  • @kihimbamushyaibrahim7284
    @kihimbamushyaibrahim7284 3 года назад +1

    Ukatuficha vipi yakuchanganya cake ume explain pia jali utafauti wawakati,watu wanaishi Congo,tupo Asia, Europe,pata thawabu dada yetu fundisha watu,hio nisadakatul jaria Mie nataka vya kula basi! barakallahu fiikum

  • @maryrogers7141
    @maryrogers7141 3 месяца назад

    Habari nilijaribu kusaga mchele kutumia blenda lakini chenga zinabaki na hata nikipiga Sana chenga zinabaki wewe unafanyeje unapotumia blenda usibakie chega chenga je! ni utaratibu gani unaotumia ktk kuandaa mchele wako Hadi kuusaga kutumia blenda? Swali la 2 mbona ninapohuumua maji yanapanda unga unabaki chini na Wala hauumuki tatizo ni nini au nimekosea wapi? Naomba unifahamishe

  • @lucywaithira7254
    @lucywaithira7254 3 года назад +2

    Sijaelewa michanganyiko hiyo.

  • @leonidasimon7814
    @leonidasimon7814 Год назад +1

    Hizo ndoo jaman kaaa

  • @amuialvov3057
    @amuialvov3057 3 года назад +1

    ♥️♥️

  • @rajabukamota4141
    @rajabukamota4141 Год назад

    HUjasemAaa tunawekaa nn hujatonyeshaa mwanzoo wa kuchangany ivooo kwa mm cjaelewa

  • @HadijaSheban
    @HadijaSheban 3 года назад +1

    Mwanamke Bombaaaa shukran sanaaa wacha nisome

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban 3 года назад +1

      MashaaAllah hio pan nzuri sanaaaa.. Napenda sanaa vile alikua akisonga shukran kwa hili somo babe

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  3 года назад

      Asante sana love

  • @maryolalo
    @maryolalo 3 года назад

    ❤️❤️❤️

  • @evalineemmanuel8178
    @evalineemmanuel8178 2 дня назад

    mchel kias ghn my

  • @stellahmichael7156
    @stellahmichael7156 2 года назад

    Mbona namba yenyewe haipatikani?

  • @yusramkamiamaji7565
    @yusramkamiamaji7565 2 года назад

    Umetumia mchele gan?

  • @dorothylyimo5378
    @dorothylyimo5378 11 месяцев назад

    Je huo mchele hukuusaga?

  • @elizabethwilliam5008
    @elizabethwilliam5008 2 года назад

    Sasa dada hapo kwenye viungo naomba naomba urudie

  • @floramagoli4505
    @floramagoli4505 2 года назад

    Mchele ametumia kiasi gani?

  • @stellahmichael7156
    @stellahmichael7156 2 года назад

    naomba namba ya simu nipate kuelekezwa vtumbua

  • @rajabukamota4141
    @rajabukamota4141 Год назад

    Kam n sukar na vtu gan vnahtajkaaa hujawlewekaaa

  • @joanbetty5752
    @joanbetty5752 3 года назад

    Dia only rice plz reply me am here uganda 🇺🇬 kyiswahiri no plz tell me

  • @kuluthumually6811
    @kuluthumually6811 2 года назад

    Biashara nyingi zakusimuliwa huwa slzina faida kubwa kwa maneno lakini uhalisia no

  • @giovannyally6066
    @giovannyally6066 Год назад

    Hi mamb

  • @ramsonmoha3347
    @ramsonmoha3347 Год назад

    Jee unachanganya na unga wa ngano

  • @nageryt
    @nageryt Год назад

    Numba yako ya simu haifanyi

  • @salmaseif8755
    @salmaseif8755 3 года назад +2

    Mbona hamjaonesha mbinu zake kumbe mnatangaza darasa🙄🙄

  • @AnethDavid-jg2ol
    @AnethDavid-jg2ol Год назад

    Ashu raasatesana

  • @jackyluns8224
    @jackyluns8224 3 года назад +1

    Keki plus mie nataka darasa LA kutengeneza buttercream inayokauka haraka kwenye keki

  • @nasraomar-gc6kd
    @nasraomar-gc6kd Год назад

    Siku pati watsap

    • @faridahamis1165
      @faridahamis1165 Год назад

      Mtoa maelezo cyo mpishi,hata YY kupika ajui ndo maana kamrekod mwenye kaz yake,kaficha maelezo ili ulipie 15000,Kwa staili hii Bora utafute mpish wako mzur mtaan mpatane akufundishe tu

  • @paulinamoshi8141
    @paulinamoshi8141 2 года назад

    Mme tufundisha juu juu process za uandaaji hakuna