SAFARI YANGU YA MAREKANI NI KAMA MOVIE YA KUTISHA NILISAFISHA MAVI WAZEE NA KUWATUNZA KMA WATOTO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 апр 2024

Комментарии • 30

  • @Formula_Tz
    @Formula_Tz 3 месяца назад +4

    Black mamba umetish respect bro ume ni inspire san

  • @binabeid3980
    @binabeid3980 3 месяца назад +1

    Hongereni sn ma broo nyote kwa kutupa update km hizii na mungu awabariki sana munatufunza mmb mengi sana kiukweli

  • @mkingageorge2641
    @mkingageorge2641 3 месяца назад +2

    Dar hyuu mwamba namwona sana TikTok nilijua mtu wa njombe hom boy banaa big up sana vipaji

  • @hericharles3604
    @hericharles3604 Месяц назад +1

    Kazi ya meli Passport na discharge book huwa zinahifadhiwa na Captain kwenye safe malumu huo ndio utaratibu

  • @emachrissdalah8602
    @emachrissdalah8602 25 дней назад

    Bro tunaomba tusaidie link ya hizo fursa za meli, cruisership

  • @issacalley5145
    @issacalley5145 Месяц назад

    Nakubar sana kaka one ❤

  • @SamwelJoseph-yk3cw
    @SamwelJoseph-yk3cw 20 дней назад

    Brother tu naomba utusaidie hiyo link ya cruise ship

  • @sabriwayee4180
    @sabriwayee4180 3 месяца назад

    Aiseee interview ni tamu sana wakuuu😅🔥🔥🔥, changamoto ni mitambo tuuh Leo kidgo..ilaa fresh kinoma.. mwanangu black Singapore 😂😂, Daah ety sutii😂

  • @Mohammedmnyamani5
    @Mohammedmnyamani5 3 месяца назад +2

    Mimi nime pita Gulf nime piga kazi dubai na saud arabia na Iran nil taka anipe conection za uko u.s.a katika meli

    • @MAISHAYACROATIA
      @MAISHAYACROATIA 3 месяца назад

      Iyo si kama hotel Cv yake yani kama baharia flani hv

    • @silvasekamba9549
      @silvasekamba9549 Месяц назад

      oya mzee, mambo vp? hapo gulf kazi za meli vp?

  • @user-vh3lc7vn9y
    @user-vh3lc7vn9y 2 месяца назад

    Daaah nakubar sana

  • @allanshira7590
    @allanshira7590 2 месяца назад

    Black mamba blood brother

  • @ramamakelo3780
    @ramamakelo3780 Месяц назад

    Maswali mengi saana mpaka unakata stimu ya interview

  • @Johnsonkayila
    @Johnsonkayila 3 месяца назад

    Jamaa namfahamu sana, siku nyingi simuoni kumbe yuko huku dar?

  • @Mohammedmnyamani5
    @Mohammedmnyamani5 3 месяца назад

    Oi broo nampataje uyo mwana anipe conection ya ubaharia

  • @manbo5245
    @manbo5245 3 месяца назад

    Kaka kazi zuli sema sauti inakata kata

  • @chengeson
    @chengeson 3 месяца назад +2

    Jiataidi Sana kua unamuacha MTU aongee usiweke ujuaji Sana ila muache aongee ndomana live zako watu awazifatilii mapepe Ni mengi

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  3 месяца назад +2

      Duh Sawa lakn hi sio simulizi ni interview mzee

    • @gidesbalunguza7152
      @gidesbalunguza7152 3 месяца назад +1

      Kwelii aache ujuaje mtu alitaja mahali na yye ansema napajua then anaanza kuulza unpjua sehem fulan,?? Wanaacha mada husika tena😂😂wanamlza bando letu😅

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  3 месяца назад +2

      Sawa😂😂

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  3 месяца назад +2

      Tatzo kitu anachoelezea kuhusu marekani nina Experian be nacho pia

    • @chengeson
      @chengeson 3 месяца назад

      @@gidesbalunguza7152 ya kwasababu MTU anafunguka ili watu wajifunze inaitaji kumuacha MTU afunguke akitaja bagamoyo napajua mala pale nilikula ugali mala anazoom sauti ina potea alafu ana studio nzuri ya live ambayo akilekebisha RUclips yake ingekua kati ya moja zinazo fanya poa east Africa Kwa kuwasanua watu akiacha mapepe interview zitakua poa

  • @user-vh3lc7vn9y
    @user-vh3lc7vn9y 2 месяца назад

    Bro sorry naomba m2 meenye jina kamili la veda aniandikie apa kwenye coment m nimeshidwa kulipata

  • @IssaIddi-vb9yi
    @IssaIddi-vb9yi 2 месяца назад

    Sauti inavyo katakata inapunguza utam wa story

  • @ayubuzayumba
    @ayubuzayumba 3 месяца назад

    Link tuombe