MZEE APOKONYWA MKE NA NABII/HUYU NABII ANAISHI NA MKE WANGU WAMECHUKUA NA MALI ZANGU ZOTE

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 79

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Год назад +1

    Dah Bongo Dar es salaam atari pole sana Mzee wangu ata mimi Best yangu aliwai kuuza kiwanja changu kibada ila nilifanikiwa kukipata Mungu atakulejeshea vitu vyako Inshallah Mungu atufanyie wepesi sote keenye mambo yetu

  • @emmanueljackson9266
    @emmanueljackson9266 11 месяцев назад

    Pole Sana Mzee, Hilo ni fundisho hata kwa wengine waliokatika mazingira hayo. Dai haki zako , ishi na watoto wako inatosha

  • @petridatryphone2232
    @petridatryphone2232 11 месяцев назад

    Pole sana.mzee anahitaji msaada wa kisheria akafungue kesi mahakamani haki zake apewe mali zake akafilisiwe huyo nabii

  • @Philipoupdates
    @Philipoupdates Год назад +4

    Mungu atunusuru maana watumishi siku hizi sio wote ni watumishi wa Mungu wa kweli

    • @Kalssambabo-gv6uh
      @Kalssambabo-gv6uh Год назад

      Sikama ulivo msikia daniel akisema wengine wanakua wakuzim

  • @rerisamba
    @rerisamba Год назад

    Waa pole sana Mzee endelee tu kumwamini omba na kufunga imeeandikwa Mungu sio mwanadam aseme uongo na pia sio mtu ajutie shida ulimwamini

  • @ladyt1471
    @ladyt1471 11 месяцев назад

    Pole sana mzee wangu huyp mchungaji ni tapeli mkubwa tena ni mwizi wa wake za watu Mingu yupo na atalipiza kisasi

  • @charleshangaya3550
    @charleshangaya3550 Год назад

    Mungu atakupigania mzee wangu suburi majibu yake utayashuhudia na mapema sana kwakua hukutaka kujichukulia sheria mkononi umesimia ktk kulilinda na kuliheshimu neno lake hkika Mungu wa mbinguni si muongo amini fimbo yke utaishuhudia

  • @teofridamlelwa6051
    @teofridamlelwa6051 11 месяцев назад

    Pole sana mzee huyo ameshakuacha angalia Maisha yako tu sasa

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Год назад

    Nawe xee unakuwa xoba,umpokee mkeo kwa kipi malaya mbovu na toto haramu lake,nabii lichawi,Ee Mungu makanisa ya mishetwani,yanaxini tu.

  • @rikekikonyo2265
    @rikekikonyo2265 11 месяцев назад +1

    Sema we mzee hukuwa makini kusoma mchezo mapema! Unaruhusu vipi mke wako aje achukukuliwe na mwanaume mwenzako nyumbani kwako kwa kigezo eti ni mchungaji! Yani wewe mzee ndio umechangia kuibiwa mke wako!

  • @yeslord2276
    @yeslord2276 Год назад

    Davistar ndoa imekupenda kweli. Umependeza, hongera kwa mkeo

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Год назад +1

    Uwiiiii jaman msiba mkubwa huo hebu msaidieni huyu baba apate angalao mali zake nusu inauma mno hakuna kitu kibaya kama kuangalia hatua aliyofikia saivi kabaki na magofu anahisi kama Mungu amemsahau kumbe mke wake ndiyo shetani mkubwa 😢😢

  • @geraldmakalala6091
    @geraldmakalala6091 Год назад

    Pole Sana ndugu
    Ila nakupa ushauri huu
    Achana na huyo mwanamke kabisa
    Chukua watoto wako tu,
    Hakikisha mali zako unazirudisha zote kama ni hayo mashamba uza yote
    Halafu siku hizi ni za mwisho usimwamini mtu yoyote hata awe nani ,
    Siku hizi wachungaji na manabii wengi wao ni feki kweli ,wengi Wana mambo ya hovyo ninavyosema ni ya hovyo ni ya hovyo kweli.

  • @annettemalechela7543
    @annettemalechela7543 Год назад +1

    Msamehe bure kaka yangu hilo ni jaribio na fanya huo mtihani hasa mhusishe Yesu ktk hilo

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 11 месяцев назад

    Baba mke ashalogwa na mapenzi wewe dai Mali zako kusanya watoto mtatoboa tu Mungu niwema mno

  • @daudiloya8250
    @daudiloya8250 2 месяца назад

    Mapenzi yanauma mzee pole, ndioo maana sikuizi upo kama umechanganyikiwa na Toyo yako,wazo langu nawewe mtongoze mke wa huyo nabii.

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Год назад +3

    Sasa mzee mashamba yako kibinafsi Uyo mchungaji Anausika nanini pamaja kazi nyingi kwanini Usiwausishe watoto wako??? Vizuri Sana mzee kutoa hii Abari mapema Utapata Mali zako zote wachungaji wa Ovyo mataperi wapo wengi bongo ☝️🇹🇿🇬🇷

    • @bakari-si1pw
      @bakari-si1pw Год назад

      Hii ndoo Bongo Dar es salaam ata mimi best yangu aliuza kiwanja changu ili nifanikiwa kukipata

  • @mohdbest5859
    @mohdbest5859 Год назад +2

    yaani mke mpaka kazalishwa lkn bado unadai uko radhi kumpokea Mungu tunusuru na vizazi vyetu ujinga huo bado sijafikia

  • @kelvindaudi1063
    @kelvindaudi1063 Год назад

    Amina

  • @igurusitv6553
    @igurusitv6553 11 месяцев назад

    Kazalishwa nimrudishe, thubutu yake

  • @Philipoupdates
    @Philipoupdates Год назад

    Wa kwanza leo

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Год назад +1

    Yesu
    Hakuoa vipi wafuasi wake muoe ??
    Au mnamfuata Mtume Muhammad aliyeoa! 😅

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Год назад

    Anaumia sana na mtihani wa mapenzi huyu baba

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 Год назад +1

    Dini ni upuuzi

  • @juniordamas2957
    @juniordamas2957 Год назад +1

    Wa pili

  • @monicahnguta135
    @monicahnguta135 Год назад

    Hii ifikie huyo mchungaji na wanaoshiriki meza moja naye.tujiadhari na manabii wa uongo ni nyakati za wisho.wazee waliokaribu naye wamuongeleshe huyo nabii .

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Год назад +1

    Hahahaaa nabii mzinifu anachaguliwa na Mungu yupii hakuna nabii tena musidanganyike Yesu aliposema kutakuja manabii wa uongo hakuwa mgonjwa ndio hawa tunaowaona hawana unabii kitu wahuni tu

  • @rerisamba
    @rerisamba Год назад

    Doh kisa hiki kinaumiza kweli watu wanakujaga na mauchawi mimi ningemshauri awachane na hio story na asamehe naa angalie kesho yake

  • @monicasimpilu6257
    @monicasimpilu6257 Год назад

    Mungu tusaidie hizi ni dalili za mwisho. Inatakiwa tusimame pale tulipo. Tusihangaike sana na makanisa haya haya mageni. Nakumbuka nami nilikua mhudumu ktk kanisa fulani. Watoto walijaribu sanana sana kunionya. Sikuwasikia kibaya mm ni muuguzi tukaambiwa na huyo nabii tuwe tunawapima wagonjwa hiv. Na ni kweli wengi tukiwapima pale kwenye huduma walikua wanaonekana kutokua na maambukizi. Lakini wakieenda kupima hospitali maambukizi yapo. Kwa kweli ilitusumbua sana na sitaki kusikia habari ya manabii.

    • @UsafiMichael-mc8kt
      @UsafiMichael-mc8kt Год назад

      Ukisema hũtaki kuwasikia manabii umekosea maana kuna manabii wa kweli na manabii wa uongo.wewe ulienda kwa manabii wa uongo

  • @Inkubutembo7779
    @Inkubutembo7779 Год назад +1

    Duniani imo shida.

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 Год назад +1

    Nasikia Huzuni Sanaa Baba utapata vyote viliyopotea🙏

  • @agnestunu5527
    @agnestunu5527 Год назад

    Hapana hata bblia imekataza kama mwenzako umempata amezuni uko na haki ya kumwacha,na ukimrudia hata ww utakuwa umezini,ww msamehe tu

  • @Irenes_Kitchen
    @Irenes_Kitchen Год назад

    Mapya yaibuka

  • @januaryyotham5514
    @januaryyotham5514 Год назад

    DAVISTA VIP KUHUSU WATU KUUKIZA MASWALI KWA YULE MGANGA MLEMAVU??? WA MJI WASABA MJI WA GIZA BWANA POPO NA MAMA MIKONO3

  • @athumanmakale8221
    @athumanmakale8221 Год назад +1

    😮Nabii mzinifu
    Hizi Dini hizi

    • @rerisamba
      @rerisamba Год назад

      Ndio wengine ukiwaambia waende kanisani hawataki

  • @Philipoupdates
    @Philipoupdates Год назад

    Davistar tuwasiliane

  • @degaragewadoriojapan8968
    @degaragewadoriojapan8968 Год назад

    Ongera

  • @mohammadumarzavallah9719
    @mohammadumarzavallah9719 Год назад

    Anita please

  • @SaaS-Guide
    @SaaS-Guide Год назад

    Huyo sio mke wako tena. Fuata mali usaidie watoto wako.

  • @rehemaomar4924
    @rehemaomar4924 Год назад

    Duuh Duuuh!

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Год назад

    Sasa huyo mzinzi unampokeaje aisee ni udhaifu mkubwa sana ,wewe mzee dai tu fedha zako. wanatumia dini kwashughuli za wizi alafu wanawake ndio wana wavuna kiwepesi sana

    • @EstaValavala
      @EstaValavala Год назад

      Mzinzi sio mwasherati.soma Luka 16.

  • @Irenes_Kitchen
    @Irenes_Kitchen Год назад +2

    Mlete Anita tusha mmiss tayari 😅

  • @mussofepapa-jj9mc
    @mussofepapa-jj9mc 11 месяцев назад

    Ama, kweli ndiyo maana walokolee wanatuita wajinga! Ivi unawezaje kuchukua pesa milion10 ukamkabidhi mwanamke ulisahau maandiko yanayosema wanawake tuishinao Kwa akili? Polee, kwavile unaimani funga na umuombe mungu atakurudishia vyoye vilivyo liwa na huyo mchujinga muhuni!

  • @patrickmaina5459
    @patrickmaina5459 Год назад

    Huyu Mzee apewe Mke wa huyo nabii wa uongo🤭

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 Год назад

    Mtajeni majina yote na kanisa lake lote wajue hilo

  • @heritier5119
    @heritier5119 Год назад

    Nabii kaangalia nyota

  • @charlesmbunda6759
    @charlesmbunda6759 Год назад +1

    Kutanga-tanga makanisa; Leo hapa, kesho pale! Matokeo yake ndio kama haya!
    Zaidi ya yote, haya 'mamitume' na 'manabii' wa kisasa 99% wako hivyo! Wamama wengi wametekwa sana kwa namna kama hii.

  • @joycejackson2320
    @joycejackson2320 Год назад

    Mnahangaika sana na makanisa mara huku, mara kule daa! watu wapo after money siku hizi mzee open your eyes dont be blind

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 Год назад

    Yani mwanamke kaolewa kabisa na mwanaume mwenzio kakuacha miaka kadhaa na kaisha zaa nae family mpya! Afu unasema mbele za watu kuwa uko tayari kumpokea? Kama msamaha! Basi hata Mungu angewasamehe sodoma na gomora! Yani we hujaokoka! Tuliookoka hatunaga mizaha ya hivo!

    • @petersubeth9727
      @petersubeth9727 Год назад

      Daniel wwhujaokoka nkibalaka washetani2 unaambiwa samehe 7x70 wwhatahuez samehe hatamala1 mlokolegan ww

    • @rerisamba
      @rerisamba Год назад

      Bado ni mke wake nahata hao watoto wanabii wawili ni wake huo wokovu wake uko sawa kabisa coz amekubali kusamehe nani ajuae hawa watoto kesho watakua nani

  • @willisokello
    @willisokello Год назад

    Fanya juhudi na wewe kamchukue mke wake

  • @dr.abdallahngenya9780
    @dr.abdallahngenya9780 Год назад

    Sasa si aoe mke mwengine mbona wanawake wengi tu

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Год назад

      🤣 Mzee ana roho dhaifu dah mimi hiyo roho yakupenda hivyo imeshanitoka kitambo sana sina mapenzi yakupitiliza kwa wanawake nacheki maisha yangu sitaki habari zakutiana stress

    • @RwachiryoraWema
      @RwachiryoraWema 11 месяцев назад

      Sasa wewe surely unathani ni easy hivyo wacha ufala bana..mnabii anachukua bibi ya mtu na hii ufala ndio unaweza kuja nayo ama wewe na nabii fake ni same whatsapp group una ujinga mingi manze

  • @peterrulagora7403
    @peterrulagora7403 Год назад

    Huyu mzee anahama hama sn makanisa ndio maana wamempora mke

  • @mohammadumarzavallah9719
    @mohammadumarzavallah9719 Год назад

    Anita please

  • @dianaalfredy3790
    @dianaalfredy3790 Год назад +1

    Hizo ndo faida za kuhama hama makanisa ,kwanini msitulie na dini zenu, mpaka mkajikuta mnaangukia kwenye mikono ya manabii wa uongo, Mungu atuhurumie sana