SNAKE BOY | ep 28 | SEASON TWO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • Follow Me On Instagram
    / clamcris_
    Tiktok:
    / clam_cris
    Facebook:
    www.facebook.c...
    #clamvevo

Комментарии • 2,5 тыс.

  • @emmanuelmmbaga5209
    @emmanuelmmbaga5209 Месяц назад +274

    MUNGU MUUMBA MBINGUNI NA DUNIA, tupe macho ya rohoni tujue kweli yako, na tukae ktk njia zako Amina...... 🙏

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o Месяц назад +8

      Kwaio humu ulikua unasoma biblia au imeingiliana VP na maombi 😂😂😂😂

    • @user-jc1og5cr3i
      @user-jc1og5cr3i Месяц назад

      @@user-sv6zy3hc8o😂😂😂

    • @AweiyBeauty
      @AweiyBeauty Месяц назад +4

      Jaman jaman jaman watu hahahahahhhh!hayo majb sjui wp tunayapata wallah

    • @MohammadSwaghir
      @MohammadSwaghir Месяц назад +3

      Wewe ndo umesema la maaana

    • @MosesKahindi-ys2xb
      @MosesKahindi-ys2xb Месяц назад +1

      Amen🙏

  • @user-rl4cf6tc5n
    @user-rl4cf6tc5n Месяц назад +561

    mi mpk nilshakata tamaa kbs ya kuifuatilia snake boy mnakawia sana mpk nilihamia zangu kwa kp na zeb mnaboa sana au kwa kuwa tunasifia kazi nzuri ndio maana mnatucheleweshea

    • @MoneyKey247-fk4oy
      @MoneyKey247-fk4oy Месяц назад +18

      Kweli😂😂😂

    • @NawaliKassimu
      @NawaliKassimu Месяц назад +23

      Mpaka unasahau uliishia wapi

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Месяц назад +45

      Inahitaji akili ndogo tu kujua mwanzo mlikua mnalalamika inakua fupi sana muda mdogo sasa Hivi wameweka ndefu zaidi maanayake lazma watakua wanatumia muda mrefu kuandaa bado tena malalamiko

    • @LovenessPaul-yf7rz
      @LovenessPaul-yf7rz Месяц назад +4

      Kwakweli😢😢

    • @MaulidMrisho-hk2vi
      @MaulidMrisho-hk2vi Месяц назад +10

      usilaumu kukawia angalia wanatumia muda mlefu kuandaa maana siokitu chalaisi2 kiivyo wanatumia malifa mengi

  • @EphrahimIlomo
    @EphrahimIlomo Месяц назад +62

    Daaa tumesubiri sana mnakaa mno mpaka tunasahau kama Kuna snake boy anyway kazi nzuri sana@clam vevo

  • @Kaloki-hv7dx
    @Kaloki-hv7dx Месяц назад +36

    Sijui mm ni wangapi naombeni likes hapa...mwenyezi mungu haibarki snake boy...clam vevo hatariiii..

  • @user-mm3ri2up9c
    @user-mm3ri2up9c Месяц назад +19

    Kazi nzuli jaman naomba like from burundi tujuane

  • @_Wayiva_mukuta_jean
    @_Wayiva_mukuta_jean Месяц назад +32

    Clam vevo the number one ☝️ mpaka apa Congo 🇨🇩 na kubali équipe clam vevo.

  • @YoungblackPeople-qf7vx
    @YoungblackPeople-qf7vx Месяц назад +385

    Mwenyezi mungu akubaliki wewe na familia yako muwe na maisha malefu kwa wewe unaye soma comment hiii

  • @KibweOnlineTv
    @KibweOnlineTv Месяц назад +368

    Nimekuwa wa Mia mbili na 53, Naomba likes zangu, snake boy ni motooo 🎉🎉🎉

    • @HudhaimaYussuf
      @HudhaimaYussuf Месяц назад +9

      Afadhali umesema kweli mana kila mtu wa kwanza humu😂😂😂😂😂

    • @officialgvanny8334
      @officialgvanny8334 Месяц назад +4

      ​@@HudhaimaYussuf😂😂😂😂

    • @TajaIssa
      @TajaIssa Месяц назад +5

      Kama unamkubali mtanzi gonga like

    • @NdohoAud
      @NdohoAud Месяц назад +1

      ​@@HudhaimaYussufhhhhhhh😂😂 nihatal

    • @Mashenene_Robert
      @Mashenene_Robert Месяц назад +1

      Wewe adimin 😅😅😅

  • @adidjahassan6046
    @adidjahassan6046 Месяц назад +19

    From burundi ❤❤ napenda sana snake boy clam apewe maua yake jamani kama tukopamoja gonga like apa ❤❤

  • @filexingutia3620
    @filexingutia3620 Месяц назад +20

    Mimi ni miongoni mwa first 80,000 waaah! Si watu mnawai jamani... Yaani karibu nianguke😂❤🇰🇪KE🇰🇪NYA🇰🇪

  • @swafiirbulbul819
    @swafiirbulbul819 Месяц назад +229

    Àssalaam aleykum..
    Tukumbuke na Ibada ndugu zangu 🇹🇿 🇰🇪 🇧🇮 🇷🇼 🇨🇩

    • @user-vq6dc4nr5p
      @user-vq6dc4nr5p Месяц назад +7

      Waalaykum ssalaam...
      Shukran kwa ukumbusho❤

    • @FatumaHamisi-sr6yj
      @FatumaHamisi-sr6yj Месяц назад +5

      Walekum salam shukurani Kwa ukumbusho kipenzi 😍

    • @KishkiMdogo
      @KishkiMdogo Месяц назад +4

      Shukran

    • @AlhajiIssa-jb9hr
      @AlhajiIssa-jb9hr Месяц назад +4

      Waalykumussalaam warahmatullah'hi wabarakaatuh.
      Muhimu shukria ❤

    • @user-tu4vz9ee3h
      @user-tu4vz9ee3h Месяц назад +5

      Waalaykum musalamu warahmatullah wabarakatuh
      Inshallah,

  • @fundiseif1096
    @fundiseif1096 Месяц назад +43

    Snake boy 🐍 inazidi kua hatariiii umetisha sana clam vevo 🔥🔥🔥💪

  • @nestorykakatv7526
    @nestorykakatv7526 Месяц назад +55

    Ushauri wa bure msiwe mnakaa siku 10 jaman mjue tunapenda xn hii kazi

  • @professor1992
    @professor1992 Месяц назад +108

    Kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tangu nianze kufuatilia snake boy sijawai pata likes, jameni naombeni likes mukinifuata youtube

    • @Kib-jsanley
      @Kib-jsanley Месяц назад +1

      Mombasa😂😂

    • @DuniaMayombo
      @DuniaMayombo Месяц назад +4

      Nilisha kupa likes ambayo uliomba❤

    • @collinsmlay1438
      @collinsmlay1438 Месяц назад

      Nimekupa dislike moja aisee nataman nikuongezee zaidii

  • @AshaMussa-r4z
    @AshaMussa-r4z Месяц назад +11

    Kazi nzuri kaka Allah akulinde uzidi kutoa kazi nzuri ila munachelewesha sana

  • @RifatiJeshi
    @RifatiJeshi Месяц назад +42

    Mkishajua tunawafatilia na kuwakubal mnatuchelewesha sana kutoa muendelezo!! Jirekebshen bhac

    • @rashidkwengwegu6876
      @rashidkwengwegu6876 Месяц назад +1

      Kuchelewa kwao ni kuandaa kitu kizuri kitakacho kuvutia

  • @ramadhanmbai648
    @ramadhanmbai648 Месяц назад +51

    WA Kwanza kutoka Kenya. I love Tanzania bongo movies .. big up Tanzania ❤

  • @yassatv2129
    @yassatv2129 Месяц назад +131

    Naomba wote mnaoangalia snake boy mwenyezi mungu awape afya njema na mafanikio makubwa katika maisha yenu🙏

  • @Puchuanitz
    @Puchuanitz Месяц назад +55

    Jaman me nataka mwakatobe ak zinga team zinga dondosha like

  • @mosesashikoye3288
    @mosesashikoye3288 Месяц назад +10

    Clam siku hizi unachekewesha sana hadi nasikia nimeanza kukosa hamu tena, imarikeni kwa hilo. Tunawapenda sana huku Kenya

  • @amothedecorationiw9iw
    @amothedecorationiw9iw Месяц назад +25

    Kigongo kinachelewa mpaka napata hasira kiukweli sijafurahia kabisa week mbili tunakaa kinyonge aaaahhh director amezingua

  • @FeydhullahTwalib
    @FeydhullahTwalib Месяц назад +41

    Kiujumla vevo na team yako mupo vizuri tena mupo vizuri sana

  • @Jeremiahc224
    @Jeremiahc224 Месяц назад +31

    Kazi njema inaitaji watu hodari na nyinyi nyote ni mahodari kabisa 🙌🙌🌹❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉.

  • @sarahnjeri-tz8eu
    @sarahnjeri-tz8eu Месяц назад +20

    Wenye kufuatilia hizi episodes tujuane 😂😂😂mimi ata ikifika episode 50 lazima niifuatilie team Clamvevo wapi likes 👍👍👍

  • @Akili820
    @Akili820 Месяц назад +13

    Clam noma sana 🇨🇩🇨🇩☝️

  • @FrankLuhaha-dt5sh
    @FrankLuhaha-dt5sh Месяц назад +33

    Watu waliokubaliii kaziii hiii ya CLAM VEVO gonga like hapa❤❤❤❤ movie iko unyamaaa sanaaa

  • @qaltumsaid3095
    @qaltumsaid3095 Месяц назад +44

    Najaribu kufanya mazoezi ila najikuta kukosa mueleko😢... Kama umeamka Salama sema Asante mungu Kwa Kila pumzi ninayopumua.... team strong hapa kutoka Tanzania 🇹🇿🇶🇦

  • @BakariNgare-v8z
    @BakariNgare-v8z Месяц назад +78

    Duuh Clam vevo watueka sana wachelewesha mzigo but ongera Kwa kaz nzuri naona next kanumba miaka inayo kuja karibu Mombasa Kenya.

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 Месяц назад +3

      Dakika 40 pia umegewa

    • @BakariNgare-v8z
      @BakariNgare-v8z Месяц назад

      Hahahaha 40minutes n sawa but anatueka sana Vevo best wishes to this guy is very genius​@@eggysulle7988

  • @MagrethDaniel-cu5fg
    @MagrethDaniel-cu5fg Месяц назад +6

    Aisee huy dada urembo unamtesa jaman kaqa kama mpira ahahahaha!!! Ungekuwa na sura ngumu ka me akaaaah! Hata ukitupwa pale mbwa hanusi😂😂😂😂😂

  • @Monystar01
    @Monystar01 Месяц назад +87

    Aisee kama kuna mtu alikua anaumia Snake 🐍 boy kuchelewa kama mimi Gonga likes 👍

    • @saidpolish1988
      @saidpolish1988 Месяц назад

      Unachoka mtu kuifatilia inavochelewa sana

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 Месяц назад

      Kabisa inachelewa sana mpk tunakata tamaa

    • @Big-studios255
      @Big-studios255 Месяц назад +1

      inakuja ndugu zangu 😥😥😥😥 kazi ni nyingi upande wetu sisi ma producer

    • @SaidiHemedi-ug6qw
      @SaidiHemedi-ug6qw Месяц назад +1

      Wewe nimshamba tu

  • @DamarisDammie
    @DamarisDammie Месяц назад +52

    Wakwanza from 🇰🇪🇰🇪 ila mnachelewesha sana hd tunasahau pale tulipoachia ila kazi nzuri sana Clam vevo tunaikubali ❤

  • @yonamaduma6284
    @yonamaduma6284 Месяц назад +344

    Tujuane tunao fatilia snake boy kwanzia season one kama mimi ngonga like hapa

    • @AsmaEdgar
      @AsmaEdgar Месяц назад +8

      Gonga na kwangu basi

    • @user-hn6co1ul8l
      @user-hn6co1ul8l Месяц назад +4

      Naku kubari kazinzuri sana Ila muna cherewa jitaidini ata muwe munatoa vipande vitatu kwawiki 🎉

    • @JackyTarimo
      @JackyTarimo Месяц назад +2

      2po kimoja

    • @wamboiwamboh
      @wamboiwamboh Месяц назад

      ❤❤❤si mnipitie akh😂

    • @KigabiChanceline
      @KigabiChanceline Месяц назад +1

      Niko

  • @Nancykerush
    @Nancykerush Месяц назад +36

    Naipeda xana na watch nikiwa Nairobi Kenya wapi likes zangu jamen

  • @AishaAbdallah-lm4ic
    @AishaAbdallah-lm4ic Месяц назад +17

    From Kenya..🇰🇪🇰🇪 watching from Qatar 🇶🇦 🇶🇦 Nikiwa Moja Wenu🤝💕💕💕

  • @khajiathuman-zq4bj
    @khajiathuman-zq4bj Месяц назад +36

    tunaemuona tanu ajulikan yupo upande gani 😂😂 tien like ap

  • @saumbliz8983
    @saumbliz8983 Месяц назад +35

    Medick,mbwela,mwasi, Zumba,sengo,kipara ,na kakoso, nawakubali sana na team nzima 🎉🎉🎉🎉hongereni sana washirika nyote wa snake boy mwaitendea haki kabisa hii move 🌹🌹🌹🌹

  • @Shacky665
    @Shacky665 Месяц назад +18

    Kazi nzuri Tim vevo hamjawahi niangusha🎉🎉🎉🎉

  • @ShizoMsosa
    @ShizoMsosa Месяц назад +31

    Kukudadakei one number

  • @MellanierChristian-wn9mw
    @MellanierChristian-wn9mw Месяц назад +12

    Movie intufundisha hii dunia kuna watu wetu wa karibu ni wanafikii saana si mnaona rafiki ake mtukufu anavojifanya hajui alichokifanya yaan mtu anakupa msiba af anakusaidia kuliaaa 😢

  • @EstherShania-u8i
    @EstherShania-u8i Месяц назад +14

    Leo nmechelewa lkn naomba like hta 2 tuh

  • @KIBETLOTIPO
    @KIBETLOTIPO Месяц назад +22

    Watching live from the capital city of Africa 🇰🇪 KENYA,wapi like zangu,ila mnachukua muda mwingi kutoa episode

  • @qurthummrabdllh3635
    @qurthummrabdllh3635 Месяц назад +31

    Mtoe maoni basii kazi wsicheleweshe sana 😂😂😂 kuomba like tu 😂😂😂

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 Месяц назад +37

    KWANI watu mko n sim kwa mkono jmn 😂😂 nawapenda 🥰 Bure Genz 👊 team strong team clam vevo🇸🇦🇰🇪❤️❤️❤️

  • @user-rj8zh8ok7q
    @user-rj8zh8ok7q Месяц назад +5

    Tanu jau kiponza

  • @heryIsaac
    @heryIsaac Месяц назад +8

    clam ni bonge moja la act 4this country niamin

  • @Ozilandre
    @Ozilandre Месяц назад +33

    Clam VEVO hanajua kwandikajama , mana tukikosa kumwona Vevo tunamwona mwakatobe , tusipo mwona mwakatobe, tunamwona Vevo 😂😂😂
    Samani jamani Mimi kwetu Mozambique 🇲🇿🇲🇿 kwiavio sijuwi kwandi vizuri, samani 🙏 nipeni like

  • @hamzaIlunga
    @hamzaIlunga Месяц назад +45

    From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo❤

  • @siafuonlinetv
    @siafuonlinetv Месяц назад +36

    Kama kuna mtu kila siku alikuwa anaangalia kama clam kaaploud au laaa gonga like kwangu

  • @hashimuomary4569
    @hashimuomary4569 Месяц назад +25

    Kwan mnaoomba like zinawafaidish nn nyie vibwengo watoto wa mwakatobe

  • @MwabuJackson
    @MwabuJackson Месяц назад +3

    Hi cast of the snake boy, we are really enjoying your wonderful movies. Please keep it up, I wish you the best in your remaining seasons. I'm Zambian.

  • @user-dw3dz2zt4i
    @user-dw3dz2zt4i Месяц назад +17

    Hiii movie inaongelea Uongozi mbaya kama vile Kenya viongozi wengine wanavo wanyanyasa Wana Himaya ,,,,,ndio unakuta kuna wenye wanakufa ndo wengine wasaidike baadae,,,,,halafu kuna wakina Raila apo kina Kipara huku Yuko na kule yupo

  • @SallyMateru
    @SallyMateru Месяц назад +32

    Hatimaye baada yakusubiri kwa muda mrefu😂😂

    • @crazykea2032
      @crazykea2032 Месяц назад

      Eeeeh wanakawia sana adi mtu huchoka😂

    • @SallyMateru
      @SallyMateru Месяц назад

      @@crazykea2032 yaani mpaka unaanza kusahau ilipoishia 🤣😂😂 ila Ndo tunaipenda Hata iweje hatuachi kufatilia

  • @salhkiyagi
    @salhkiyagi Месяц назад +52

    Kazi nzur san ila punguzen baadh ya vitu move iende vizur mtuletee nyingne mwaka sasa unaenda tunafwatilia move iyo tu mwiso itakifu ipoteze ukwality tulio elewan tujuane kwa like

  • @MahadiMusa-b1z
    @MahadiMusa-b1z Месяц назад +8

    Sasa nyie mnao like amuwaambii kua ii igizo saivi adisi aeleweki nini inamaanisha wamalize2uuu

  • @shamiraramadhani3145
    @shamiraramadhani3145 Месяц назад +12

    Mnakalia kuomba like tu na wakati wanachelewesha saana hii move clam acha kuchelewesha hivyo bhn

  • @kizzydaniel4388
    @kizzydaniel4388 Месяц назад +61

    umetucheleweshea sanaa mzee sisi huu ni zaidi ya ulevii

  • @husseinmohamed1380
    @husseinmohamed1380 Месяц назад +8

    Anguka nayo clam vevo,much love from 254🇰🇪.

  • @RaymondMahadi
    @RaymondMahadi Месяц назад +10

    Alright thanks for your work bro 🙏
    Good morning our lovely videos
    I'm Raymond mahad from Kenya Mombasa or Nairobi
    I'm so happy for this channel

  • @diva_20162
    @diva_20162 Месяц назад +7

    Sema kipara anaupiga mwingi sana aseee maua yake,, hachezi mbali na fursa 😂😂

  • @ErickyTz-ku7dt
    @ErickyTz-ku7dt Месяц назад +5

    Why this young boy clamvevo doesn't trending although he is the best and large number of pure views any way much love from Toronto canada

  • @Rigobertpanga9
    @Rigobertpanga9 Месяц назад +57

    Jamani ndugu zangu kama Kuna aliyesubiri snake boy Kwa hamu kama mimi agonge like apo 🐍

  • @Misheckkazilist-cv2hb
    @Misheckkazilist-cv2hb Месяц назад +6

    Kazi nzuli sana ongeren ila maoninyangu kazi inachelewa kwa siku nyigi sana jmn fanyeni malekebisho kwamuda sahihi na dakika za kutosha ❤❤

  • @Barnizeboy
    @Barnizeboy Месяц назад +60

    Wa kwanza leo naomba like zangu toka dr Congo 🇨🇩💪💪

  • @mwajumaahmed9888
    @mwajumaahmed9888 Месяц назад +5

    Hakuna kazi ndog jmni wanajitahid sana na kutoa ndefu ndefu had rahaa mungu awabariki kwenye kzi zenu

  • @CostaTande
    @CostaTande Месяц назад +1

    Santé sana kwawangizadji yote wa muvi snack boy mungu awabariki wote clam vevo n'a Kim Nadayrecta Kakoso mungu amulinde kwakweli ni Costa Tande Justin kutokeya Congo

  • @aminielenock2050
    @aminielenock2050 Месяц назад +15

    Huo mziki bonge moja la ubunifu 🔥🔥

  • @aminielenock2050
    @aminielenock2050 Месяц назад +12

    Mnachelewesha sana kazi wakuu pia nzinga ni tumemiss misemo yake na timbwili

  • @GebrielMosha789
    @GebrielMosha789 Месяц назад +16

    Makini sana kamnda clqm vevo umeupiga mwingi hila zingatia kuwaisha mzigo

  • @samwelwekesa4480
    @samwelwekesa4480 Месяц назад +8

    Nipeni likes za wakenya, nampenda vevo na kazi zake

  • @user-bi9pl4eu2o
    @user-bi9pl4eu2o Месяц назад +5

    Kazi nzuri bro mbwela big up sana

  • @idrixalumany5902
    @idrixalumany5902 Месяц назад +20

    Wana mzengo mko moto sana😂😂

  • @isharaganechi6616
    @isharaganechi6616 Месяц назад +13

    Mimi wa kwanza kutoka kongo naomba munilae kibas kidogo sababu naikubali hii muvi na imecheleweshwa ila tunaipenda tu

  • @mwanaidisaidi1101
    @mwanaidisaidi1101 Месяц назад +7

    Sijawahi kucoment acha leo nikomenti unatucheleweshea sana mzee yan unafanya mda wote tushinde RUclips maana unawaza inatoka saizi au laah,,,,hongera kwa kuitoa maana tumeisubili kwa hamu sana tunashukuru kwa kutuongezea dakika bigup utafika mbali kijana

  • @VictorObeth
    @VictorObeth Месяц назад +3

    Namuona ndugu yangu ibra mbwera au chif safi kaka kazi nzuri

  • @fatumahashimmcheni9610
    @fatumahashimmcheni9610 Месяц назад +6

    Ku edit Videoo ni kazi ngumuu sana kupangq vipandee na kuandaa kazi nzur

  • @DianaRose-kh7sr
    @DianaRose-kh7sr Месяц назад +20

    Watu mko vizuri mapema mshawahi 🧡🧡🎉

  • @user-yk3cf6jp2y
    @user-yk3cf6jp2y Месяц назад +47

    Nakubari unyama huu apa nisubiri kwa hamu sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤

  • @ronzevannyboychui1661
    @ronzevannyboychui1661 Месяц назад +45

    ila namie sija chelewa sana nipo kabisa namie naomba like zangu 15 hapo ila nawapongaza sana kitu kizuri kabisa jaman ila Clam vevo 🎉🎉❤

  • @VarraneOmjo
    @VarraneOmjo Месяц назад +3

    Naomba like ata 2 jamani

  • @shabanbachane7318
    @shabanbachane7318 Месяц назад +10

    Kuwa wa mwisho naomba like 5

  • @PatronizeNgombo
    @PatronizeNgombo Месяц назад +182

    From kenya 🇰🇪 254 naomba like hata 5

  • @dismasjuma7440
    @dismasjuma7440 Месяц назад +25

    aura4aura nikiwa kenya kazi bro clam.wakenya wenzagu like natukutane tuesday CBD kwa mapambano

  • @UserOkelohansi85
    @UserOkelohansi85 Месяц назад +346

    Kuwa wa Kwanza naomba like ata 2

  • @topaztz7601
    @topaztz7601 Месяц назад +6

    Nakubali kazi nzuri sana team Clam Vevo, bila kumsahau Director Kakoso na Mganga wa taifa anaependezesha Movie yetu.. Mwakatobe.. Hongereni kwa kazi nzuri tuko pamoja mwanzo mwisho..
    KAMA UNAIKUBALI HII SERIES NA ULIKUWA UNAISUBIRI KWA SHAUKU TUJUANE HAPA KWA LIKE❤

  • @Mr.bossrivMr.bossriv
    @Mr.bossrivMr.bossriv Месяц назад +5

    Nami wa kwanza jamani naomba link hata kumi tu🎉🎉

  • @MartinLazaro-zj6ke
    @MartinLazaro-zj6ke Месяц назад +8

    Clam VEVO. Sterling wa snake boy umekuwa Bora sana. Season 1 na season 2. Kazi nzuri sana ❤❤❤❤

  • @hamisimbwana-yf3ze
    @hamisimbwana-yf3ze Месяц назад +10

    Wakwanza leo Fedha boy Aka Hamisi Mbwana from kenya mombasa kenya

  • @SylvesterMwinga-ff5iy
    @SylvesterMwinga-ff5iy Месяц назад +8

    Safi kazi nzuri>Team strong tujuane

  • @mustafamwenda
    @mustafamwenda Месяц назад +2

    Ila wadau saiz watanzania tumepiga hatuwa kwenye movie camera saiz zina hd ya kueleweka unaona mpak chunusi kwakweli tujipongeze wote tz❤❤❤❤

  • @user-yy6fx8hm4g
    @user-yy6fx8hm4g Месяц назад +4

    Ila kipala anaogopa kufa 😂😂😂😂

  • @MARIAKANIMEDIA_254
    @MARIAKANIMEDIA_254 Месяц назад +23

    Wapi wale wakenya🇰🇪 nataka kuona nguvu ya 1k likes

  • @zamirhassan81
    @zamirhassan81 Месяц назад +11

    🐍 Boy ya Motooo

  • @peterleonidasofficial3135
    @peterleonidasofficial3135 Месяц назад +32

    Itumie hii series piah kujifunza..make vipo vingi sana vya kujifunza...naomben likes bhas😇

  • @NurdinAthuman-lw7yc
    @NurdinAthuman-lw7yc Месяц назад +2

    Yaani inayofata toeni hata mwakani basi maana mnachelewesha tuu bhana 😢😢😢😊

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws Месяц назад +1

    Nomaaa sana kwa movie tamuu vevooooo ila nisimsahauu director kakosooo anafanya kaziii nzuriiii sana

  • @aganzeroger
    @aganzeroger Месяц назад +5

    Wa kwanza Leo kutoka Congo nipe like zangu asheni ushoyo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🎉🎉🎉🎉

  • @MaicoKaniqueMaico
    @MaicoKaniqueMaico Месяц назад +8

    From mozambique 🇲🇿 tunakubali sana snak boy

  • @sandulutu8635
    @sandulutu8635 Месяц назад +16

    Mnachelewa mpaka tunasahau mlipoishia

  • @othmanali5799
    @othmanali5799 Месяц назад +2

    Toeni sikuuu maalum tuu ya kutoa kama baba Oliver tunajua ni ijumaaa mtu unasubiri mpka unachokaaa

  • @sundaymarwa9322
    @sundaymarwa9322 Месяц назад +2

    Tatizo mnaforce sana ati kila EP ifike laki saba ndo mtoe ingine mnadhani ati hii ni wrong house ya R.K😂😂😂😂😂