PART1!NILIMUUA MKE WANGU NA MWANANGU/NILIKUNYWA DAMU/SUFURIA ILIONGEA/NILILALA NIKAJIKUTA BARABARANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 165

  • @utapatatabusanautanyooka2600
    @utapatatabusanautanyooka2600 4 года назад +35

    Kama wamkubali Sana Davstar mata Kama Mimi gonga like yako hapa ajue kwer twamkubali

  • @ngwanafabian7532
    @ngwanafabian7532 4 года назад +15

    Yesu anasema " tafuteni kwanza ufalme wa mbinguni na haki yake na hayo mengine mtazidishiwa"

  • @towettcheptoo3047
    @towettcheptoo3047 4 года назад +20

    Iav been following your shows, but nimejua hata hizi pesa wanadhani kuzipata hivi hivi zina ugumu na masharti makali heri kufanya kazi na kumuomba mungu tu..maana naye mungu hubariki kazi ya mikono zetu

  • @marywambui519
    @marywambui519 4 года назад +1

    Davistar napenda sana kukufwatilia lakini mziki unaboa sana tuache tuskie sauti zenu bila kelele zingine zisizo na haja all the way from 254

  • @alawitv2843
    @alawitv2843 4 года назад +5

    Kama unaikubali DAVISTAR MATA MEDIA gonga like yako hapo tujuane

  • @khadijajuma7142
    @khadijajuma7142 4 года назад +3

    Tamaa mbaya sana,Mungu atuepushie roho za kupenda rizki za haramu.

    • @hamisihamso3699
      @hamisihamso3699 4 года назад

      Khadija Juma wewe ni wa mombasa ama reply pliZ

  • @ichukagaum9732
    @ichukagaum9732 4 года назад +6

    Nakupenda Mata unavyomhoji kwa kina

  • @noonelike6382
    @noonelike6382 4 года назад +8

    Davista .. nakutabiria makubwa katika tasnia yako.. good job ✍️✍️✍️

    • @DavistarMataMediaDM
      @DavistarMataMediaDM  4 года назад

      Ameen Shukrani

    • @noonelike6382
      @noonelike6382 4 года назад +1

      @@DavistarMataMediaDM Amina!.
      Ubarikiwe Sana. Tunza hyo comment yangu.

    • @esterelias8189
      @esterelias8189 4 года назад

      Namuona mbali zaidi ya millardy Ayo..Mungu akubariki!

  • @esterelias8189
    @esterelias8189 4 года назад +2

    Abae ana tabia kama yangu tujuwane wapendwa..nasikiliza huku nasoma comment

  • @vaniahrehema6194
    @vaniahrehema6194 3 года назад

    Mtangazaji na mhojiwa bigup saut zipo claer hazichoshi😘😘

  • @monicamonica4597
    @monicamonica4597 4 года назад

    Tamaa mbaya tulizike na tunachopata ata Kama nikidogo ndicho mungu alichokujalia shukuru mungu tu

  • @masibosvlogmasibos9738
    @masibosvlogmasibos9738 4 года назад +2

    Story nzuri Sana pesa za sumbua watu jamani

  • @mrsochu-hv7bm
    @mrsochu-hv7bm 4 года назад

    Davistar mi nakupenda bule

  • @niaanthony9588
    @niaanthony9588 4 года назад +7

    Pls vijana tuache tamaa za kutafuta pesa kwa waganga maana pesa za hivo ujijue tu iposiku zitakurejesha kwenye umaskini wako tofauti na pesa unayotafuta kwa Jasho lako na ni halali

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 4 года назад +4

    MTAKOMA KUFANYA USHIRIKINA KWA NINI MNAKWENDA KUOMBA UTAJIRI DUNIYA YA TATU INNALILAHI WAINNAILAIHIRAJIUN TAMAA YA UTAJIRI

  • @Footballer-1992
    @Footballer-1992 4 года назад +2

    Waaau! Kind of terrible story! Please part 2 ikuje! Watching from Japan 🇯🇵

  • @demitrahawkins5457
    @demitrahawkins5457 4 года назад +2

    Ati sufiria iliongea!🤣🤣🤣so funny

  • @professormpakistanimweusi5766
    @professormpakistanimweusi5766 4 года назад +1

    Mambo Vp kaka Davista, Swali ni moja tu kaka, Vp unaamua kumficha mtu Sura ila unamuuliza Jina lake na anajitambulisha,pia kulingana na sauti yake ni raisi sana kwa jamii kuweza kumtambua ni vyema,ningekusii ukificha uso wa muusika,basi ficha pia utambulisho wake,na pia jaribu kuibana sauti katika hali ya ambayo itakuwa sie wasikilizaji tunaweza kuiskia na wala iwe haikeri.Shukran maoni yangu ni hayo

  • @enessisosten7814
    @enessisosten7814 4 года назад +1

    Da utajili huuu bola nife masikini mm jamani khaaa

  • @rahmakhassani4148
    @rahmakhassani4148 4 года назад +7

    Wale wa kutamani utajir wa ghafla tuache jamani hivi tulivyo pumzi safi maji tunakunywa na kidogo tukipatacho twala ni utajiri tosha

    • @kilolomaselemani9706
      @kilolomaselemani9706 4 года назад

      Rahma Khassani
      M lm
      Hello l
      Hello Alm uko yuh I b
      N’ by I’ll nvuijaajwj
      Well
      Mm mummy wewe

  • @zuriathkajwangya1724
    @zuriathkajwangya1724 4 года назад

    Fanyeni kazi vijana acheni kutafuta utajiri wa kichawi

  • @saumrashid8086
    @saumrashid8086 4 года назад +2

    Sasa hawa waganga wanakuwa wanafanya upuuz wao bila ya wao kujua jmn maana ctor zte likitokea jambo ndio wanajua jmn tamaa hzi fanyen kaz vijana achen nguvu za giza 🙄👌

  • @saumrashid8086
    @saumrashid8086 4 года назад

    Kofi😂😂😂😂bora ucheke mtangazaji

  • @zoey2635
    @zoey2635 4 года назад +2

    Kijiji hicho nakiskiaga

  • @avierastevens5141
    @avierastevens5141 4 года назад

    Nimecheka kama mazuri vyombo vinaongea. Story hizi jomoni davistar Mata love u

  • @saumrashid8086
    @saumrashid8086 4 года назад

    Kapigwa maskin😀😀😀😀😀😀😀

  • @likeothers2498
    @likeothers2498 4 года назад

    🔥🔥kama vipi mpige uyoo

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 4 года назад

    Mungu akupandishe juu zaidi kaka Amina Asante kwa kubuni kipindi kizuri asante

  • @nushirathkhasim6638
    @nushirathkhasim6638 3 года назад

    Duuuh Allah SW atusamahe jamni make wanaume mnaangaika Sana Ila kwanin mnataka vitu vya haraka jamni hangaikeni Mia Mia hizo zinatosha,ridhiki anatoa mungu tu

  • @OmarAli-dn8cn
    @OmarAli-dn8cn 4 года назад

    Inasikitisha sana

  • @abdullahrashed4817
    @abdullahrashed4817 4 года назад +1

    bora ni uze nyanya zangu kuliko kwenda kufanya hayoo mambo

  • @vandelinaugust4372
    @vandelinaugust4372 4 года назад +2

    Bro si ue unaweka yote full mtu ukikaa kuangalia unaelewa kulko vpande vpande inabid kurudia tena il kuweza kupata continuity, Though hongera kwa kutuelmisha baadh ya vijana tamaa tutazshinda kuptia story kama hiz

  • @umikulthumhamisi8311
    @umikulthumhamisi8311 4 года назад +1

    Kheri kufa masikini kuliko utajiri wa majini nifunzo kwa wengine, pole lakini tama mbaya 254

  • @princesssway1396
    @princesssway1396 4 года назад

    Pole nimecheka kwa nguvu eti vyombo vinasema mpige uyo . pole ndugu yangu

  • @gullaalex6590
    @gullaalex6590 4 года назад +1

    😂😂😂S ya kucheka lkn nimejikuta nacheka, pole Sana

  • @Ryoof-qo7if
    @Ryoof-qo7if 4 года назад

    Mbona sauti ya fanana na yule wa kulala na babake miyaka 3 .hivi story nikweli mana mm nipenda kufatiloya sana.. yako kweli haya duniya ni mana naona km story 2 mm

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 4 года назад

    Duh bora nife maskini kumbe sumbawanga

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 4 года назад +4

    Mhh yaani ninempenda sana huyu kijana na simulizi yake,anaongea vizuri kwa ufasaha.basi mtangazaji tuletee story hii mapema zaidi,kwani inasisimua.

  • @ZainabZainab-tv9ir
    @ZainabZainab-tv9ir 4 года назад

    Subhanallaah dunia inamambo

  • @brownmakaveli545
    @brownmakaveli545 4 года назад +2

    Enjoying from Kenya...ila part 2 wachelewesha sana kaka

    • @isabellasanga9185
      @isabellasanga9185 4 года назад

      Nakufatilia Sana da v kweli wew unakipaji Cha utangazaji maana unamuhoji mtu vizuri sana mpaka mm mxikilizaji nakuelewa

    • @wambokimani682
      @wambokimani682 3 года назад

      Hats mm natafuta part 2 ....#kenya

  • @awadhirajabu7754
    @awadhirajabu7754 4 года назад

    Au Kibabu Kilitaka Kikutoe Sadaka Isipokua Mungu Alipenda Ubaki Salama Ivi Sijajua Iyo Mitihani Kama Mwenzio Ilimpata

  • @missrukia9661
    @missrukia9661 4 года назад

    Mhuuuuu

  • @abdallagakweli6366
    @abdallagakweli6366 4 года назад +2

    Shortcut xku zote zinamadhara sana ila Mungu atuongoze na hatuepushie njia za rahisi rahisi manake hatujui kesho yetu itakuwaje

  • @phineruge3480
    @phineruge3480 4 года назад

    Dunia ina Mambo

  • @mcheshcomedy5809
    @mcheshcomedy5809 3 года назад +1

    Davistor TUPIA GAMBOSHI EPSODE 13

  • @rahmasuweyd827
    @rahmasuweyd827 4 года назад +1

    Part 2 davista mata please

  • @karrolleschon3986
    @karrolleschon3986 4 года назад +1

    Ndanii

  • @davidmongi1550
    @davidmongi1550 4 года назад

    Nzuri sana

  • @georgenkanawa7156
    @georgenkanawa7156 4 года назад +1

    Wa 6🔥🔥

  • @zainabukabura9876
    @zainabukabura9876 4 года назад

    Nzambe mangal haahaa urichapwa

  • @odatysharon8267
    @odatysharon8267 Год назад

    jaman sehemu ya 2 aiyonekani😌

  • @kuchiethephenomenal7879
    @kuchiethephenomenal7879 4 года назад

    Mazombi hayo yalikuw yanakuchezea

  • @jamilaally3172
    @jamilaally3172 4 года назад

    Dah kwer

  • @sophiebanga9533
    @sophiebanga9533 4 месяца назад

    Muendelezo please

  • @annajoseph9955
    @annajoseph9955 4 года назад +1

    Vijana tamaa zitatuua jaman tutafte kwa jasho sio kupenda kitonga mungu hapendi

  • @aliykibabe9033
    @aliykibabe9033 4 года назад

    chunga tamaaa mbaya aiseee

  • @aboudjuma523
    @aboudjuma523 4 года назад

    Davistar usogope maana naona unamuogopa jamaa😅😅😅

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 4 года назад +1

    Mungu wangu hivi kuna BINADAMU wanatesa hivi wenzao mmm😢

  • @rajabukidiza9831
    @rajabukidiza9831 4 года назад

    Mzigula mnyetukwindakala

  • @bmoa3538
    @bmoa3538 4 года назад +2

    Part 2 usicheleweshe davistar

  • @joycedzuya2330
    @joycedzuya2330 4 года назад

    Aky Mungu atawasamehe

  • @saidjuma25
    @saidjuma25 4 года назад +2

    Broo pesa ni ngum Sana kuipata sio kirahisi rahisii .lazima upambane

    • @demitrahawkins5457
      @demitrahawkins5457 4 года назад

      Said Juma wewe ulipambana? Basi tuambie

    • @saidjuma25
      @saidjuma25 4 года назад

      @@demitrahawkins5457 ndio tunapambana kwa kuzitafuta pesa

  • @fadhiliswalehe9286
    @fadhiliswalehe9286 4 года назад

    Money money zimesababisha watu wasoteee

  • @abdallahrenatus6677
    @abdallahrenatus6677 4 года назад

    Pamoja saana. Davistar

  • @annajoseph9955
    @annajoseph9955 4 года назад +1

    Nitatafta kwa jasho langu lakn sio kwenda kwa waganga

  • @allymtamilwa6899
    @allymtamilwa6899 4 года назад

    inaumaa

  • @alawitv2843
    @alawitv2843 4 года назад

    Nakubali sana wale team data mpoooooo

  • @agnesssanga5327
    @agnesssanga5327 4 года назад +1

    Part 2 ya mchungaji wa mbeya tafadhar

  • @wahidashabaz5982
    @wahidashabaz5982 4 года назад +1

    Maisha ukiwa unayatafuta unatakiwa kutuliza akili sana dah!

  • @momymood4341
    @momymood4341 4 года назад

    Dah jamn pesa hzi shida sana. Dav mwendelezo wa mchungaji uko wap

  • @babymansouth1164
    @babymansouth1164 4 года назад

    Shortcut hizoooo jamnaiiiUtajiri bora ubarikiweee+254

  • @babugsafari281
    @babugsafari281 4 года назад

    Jamani Muendelezo

  • @goldshukri86
    @goldshukri86 4 года назад

    Ni hatari

  • @wilsonkakili2481
    @wilsonkakili2481 4 года назад +1

    Kwa watumishi wa MUNGU MSISIKILIZE stori za davistar mwisho wa stori zake hazimpi Yesu utufu ,na zitakuretea mazara kwenye maisha yako

  • @wambokimani682
    @wambokimani682 3 года назад

    Is part 2 out?

  • @cartmation7978
    @cartmation7978 4 года назад

    Mimi wangapi

  • @butondodavid2105
    @butondodavid2105 4 года назад

    Hahaaaa nilichapwa

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 4 года назад

    Mambo ya waganga yataka moyo pole kwa mitihan kwel pesa kuipata vigum😥😥

  • @mazonaone7708
    @mazonaone7708 4 года назад

    KING MATA

  • @beatricesheme9427
    @beatricesheme9427 4 года назад

    heee

  • @babarama6274
    @babarama6274 4 года назад

    Mtanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿 naeishi🇱🇷🇱🇷🇱🇷nakukubali sana dogo 💪💪💪💪

  • @vonsidertz8405
    @vonsidertz8405 4 года назад +1

    Bro uwe unaweka zote part one na two
    Mtu hawez kuangalia part two bila part one so zote zitafatiliwa kwa wakati

    • @deelissa2746
      @deelissa2746 4 года назад

      Umeona eeeh sasa hapo mpk uje kupata part 2 umeshasahau ulipoishia😂

    • @vonsidertz8405
      @vonsidertz8405 4 года назад

      @@deelissa2746 ndiooo

  • @faidhirashidi1354
    @faidhirashidi1354 4 года назад

    1

  • @angelshonza8236
    @angelshonza8236 4 года назад +1

    Mbona kataja jina na eneo alipokuwa anaishi hivyo watu walioko maeneo hayo watamjua au ndugu zake watamjua

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 4 года назад

    Dah hyo babu mitihani yake si midogo kuifaulu nikazi kubwa san

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 4 года назад

    sio mchezo aisee

  • @utapatatabusanautanyooka2600
    @utapatatabusanautanyooka2600 4 года назад

    Muendelezo Lin Tena kk

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 4 года назад

    Huyu jamaa muoga

  • @ichukagaum9732
    @ichukagaum9732 4 года назад +1

    Mtangazaji unalala kweli maana hizi story zatisha

    • @deelissa2746
      @deelissa2746 4 года назад

      😂😂😂me niliwai kuwaz ivy ivy maan nahis kama anatafuta vita na wachaw na hv hawanaga dogo sijui kajichanja na nini uyo😆

    • @ichukagaum9732
      @ichukagaum9732 4 года назад

      @@deelissa2746 😂😂😂pole Sana mie nikiwa pekeangu naona kama namtu pemben loh lkn zinatufunza tusiwe na tamaa za pesa

  • @witneyjerry1293
    @witneyjerry1293 4 года назад

    Davie jitahidi kumaliza story iliyopita ndy uweke mpya ,mfano ile ya mchungaji uliyotoa wiki iliyopita haujamaliza,plzzz davie fanya kumaliza kwanza

    • @DavistarMataMediaDM
      @DavistarMataMediaDM  4 года назад +1

      Sawa hakuna shida

    • @witneyjerry1293
      @witneyjerry1293 4 года назад

      @@DavistarMataMediaDM uko makini sana ,kumbe unasoma comments 😂 nimefurahi sana sijuti kusabscribe kwenye chanel yako

    • @bernardmallya2967
      @bernardmallya2967 4 года назад

      @@witneyjerry1293 kijana Davistar yuko makini

  • @mariamdimosso621
    @mariamdimosso621 4 года назад

    Wa mia

  • @oscarlemamaringo8081
    @oscarlemamaringo8081 4 года назад

    Kwadkwazu moja

  • @hajirinibakari25
    @hajirinibakari25 4 года назад

    Kuna story ujamalizia ile ya mchungaji tulikua tunasubiria muendelezo ila leo umekuja na mpya ..tumalizie ile kwanza

  • @fasanitzfasanitz9631
    @fasanitzfasanitz9631 4 года назад +2

    Kaka mbona ujamuliza sumbawanga kijiji gani?

  • @awadhirajabu7754
    @awadhirajabu7754 4 года назад

    Mtu Ukimjua Hata Akigeukia Wapi Utamjua Tu Na Kuusu Utajili Wa Kichawi Nilazima Utengenezwe Uwe Kama Chizi Fuleshi Uchawi Noma

  • @ayubutewele5241
    @ayubutewele5241 4 года назад

    Mimi ninakupa ushauri wa bure, ninadhani urudi kwenye stori zile za mwazo za kuamsha udadisi hizi stori za watu hazivutii, nenda kwenye makala za historia

    • @bernardmallya2967
      @bernardmallya2967 4 года назад

      Zinavutia mbona na zinatoa fundisho kubwa sana kwa vijana wenye kutaka mafinikio kwa shortcut...

  • @jossmuigai5441
    @jossmuigai5441 4 года назад

    Babu vipi

  • @elizanjeri5455
    @elizanjeri5455 4 года назад

    Mbona usi post kitu ikiwa full

  • @roseuwambe8089
    @roseuwambe8089 4 года назад +1

    Anatamaa ila muoga hatari

  • @neemakoka599
    @neemakoka599 4 года назад

    Hizi pesa duuh