PART1:TAJIRI WA PESA ZA KICHAWI AELEZA ALIVYOZIPATA/KILA MWEZI NAUA WATU/NIMEMUOA MAMA YANGU/MSUKULE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 279

  • @thewomanofsteel3970
    @thewomanofsteel3970 3 года назад +32

    Ngoja tu ni ji fariji maana moyo wangu umejaa uchungu sana kuondokewa na mpendwa wetu,,Asante Dav Endelea kushusha mastory tufarijike farijike.

  • @rosekingalu4403
    @rosekingalu4403 3 года назад +4

    Hii stori nzuri sanaa tuendelee 👏😋

  • @mikarubisha3331
    @mikarubisha3331 3 года назад +2

    Lwanda magere!! The hero of lang'oo tribe..the great " lwanda magere"...pure rock his body..umetisha sana blooder.

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 года назад +1

      Nadhani kwaa wakucoment wenzio wooote wanaandka kiswahili ila ww tu mjichetuajimakini na vingeleza vyako

    • @mikarubisha3331
      @mikarubisha3331 3 года назад +1

      @@gosbertmuta5421 waitu vipi ?? Tatizo nini apo kwan we hicho kitabu cha lwanda magere umeona wapi wameandika kiswahili!!?...au ulitaka ayo nloandika uandike wew andika basi.

    • @mikarubisha3331
      @mikarubisha3331 3 года назад +1

      @@gosbertmuta5421 halafu comments hazina kanuni eti uandike kwa lugha flani. as long as sijamtukana mtu we sijui kimekukera nini apo!!!! binadamu bhana ok.

    • @fredchaki6712
      @fredchaki6712 3 года назад +1

      @@gosbertmuta5421 nenda shule Kama English ni shida kwako wewe

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 года назад +1

      @@fredchaki6712 kiherehere kitakuponza sasahv

  • @fredrickleoni283
    @fredrickleoni283 3 года назад +2

    On line

  • @mysskibe
    @mysskibe 2 года назад +7

    Ingekuwa poa kuweka kila interview series kwa playlist yake kibinafsi. Kindly consider, Davistar.

  • @r.kassimtoutautre3432
    @r.kassimtoutautre3432 3 года назад +1

    Nakufwata 🇧🇮Who lives 🇹🇷

  • @halimanjechele7023
    @halimanjechele7023 3 года назад +1

    . Asante broo

  • @lorraineatieno6544
    @lorraineatieno6544 3 года назад

    Haki I always enjoy Davista media show..leo sina raha nilishikwa na homa gafla jana usiku kusikia kifo cha African hero.. Magufuli. Tanzania is my country..sitoki u tube Juu ya story za Tz. Noma..Kenya

  • @margaretachieng9887
    @margaretachieng9887 3 года назад +1

    Ata mini nishai skia story ya lwanda magere I love you story my bro🙏

  • @ludza32
    @ludza32 3 года назад +4

    Davistar weka hizi video na playlist ndio iwe rahisi kufuatilia

  • @rajabhussein7794
    @rajabhussein7794 3 года назад +1

    Hahahahaha eti pilau tamu balaa

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 3 года назад +2

    Alhamdulillah w kwanzaa 😀😀💃💃🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 года назад

      Hongera kipenzi❤❤❤😍😍😍❤❤

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 года назад +1

      @@pilimusa7770 Asante wngu 😘😘😘😘😘❤❤❤❤

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 года назад

      @@ayshamahariq6665 pamoja ❤❤❤😍😍😘😘😘

    • @fatmaalrshdii7615
      @fatmaalrshdii7615 3 года назад

      @@ayshamahariq6665 ongera yako sana

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 года назад

      @@pilimusa7770 sana wngu😘😘😘❤❤❤

  • @angeljasson4376
    @angeljasson4376 3 года назад +1

    Davistar nilikumiss kaka yngu siku nyingi sikua hewani ila tupo pamoja mr everything mr facts

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago2876 3 года назад +1

    Bwana Yesu tuko apa utufundishe.

  • @abbyadams8691
    @abbyadams8691 3 года назад +1

    Huyu jamaa anasimulia pia hii story Radio Free kwenye kipindi cha sintosahau

  • @asingakani9138
    @asingakani9138 3 года назад +1

    Cape town tuna enjoy bro

  • @lazarojohn8080
    @lazarojohn8080 3 года назад +4

    Story ni nzuri sana ila mawazo yakumpotaza laisi wangu ninaumia sana

  • @maureenmwende3515
    @maureenmwende3515 3 года назад +1

    Davister napenda kusikiliza Kazi zako

  • @abdillahsuleiman7931
    @abdillahsuleiman7931 3 года назад +2

    Sasa kama anatoa kafara za kuuwa watu huyo ni muuaji, ni mtu hatari..Davistar asaidie uchunguzi

  • @hamisihassan2620
    @hamisihassan2620 3 года назад +7

    Mm sikohapa kabisa nafikiria raisi wangu R.I.P. uncle magufuli

    • @Teacher_01
      @Teacher_01 3 года назад +3

      Umemfata nn sasa

    • @hamisihassan2620
      @hamisihassan2620 3 года назад +1

      @@Teacher_01 tuliza mshono bhana kwani wewe ndiwe davister mata. ukware tu

    • @credo7837
      @credo7837 3 года назад +1

      Toka kwenye story kama unamawazo yako

    • @credo7837
      @credo7837 3 года назад +1

      @@Teacher_01 hajielew huyu

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 года назад +1

      pamoja wngu

  • @cleofasladislaus2177
    @cleofasladislaus2177 3 года назад +3

    Hatari San watu wa mkoa wa Mara sini wale mzee Marasta alisema kidogo nao Wana Roho ngumu?

  • @mariamnuru9939
    @mariamnuru9939 3 года назад +1

    shukran devistar🙏🙏

  • @rappertinno4184
    @rappertinno4184 3 года назад +1

    Chapa nembo Davistar Nakubal

  • @espinosapaemn4765
    @espinosapaemn4765 Год назад +1

    Ukiwa mchawi tomba wadada wenye matako makubwa afu asubuhi chill ucheki mzigo unaopita unaeza usiamini Kama uliukula kidadeki hatar sana

  • @macamezunguzungu5697
    @macamezunguzungu5697 3 года назад +1

    Nami nipo 🙏🇹🇿🇹🇿🙏💪 pamoja

  • @athumanmakale8221
    @athumanmakale8221 3 года назад +3

    Mola mlezi tunaomba Ulinzi wako na watu wabaya Kama hawa wanaotafuta mali kwa njia ya Kutoa kafara za watu.
    Tamaa ya kuwa Tajiri inawaka sana katika Nafsi nyingi za watu.

  • @jacklineakoth1016
    @jacklineakoth1016 3 года назад +5

    Na hii story umeanza bila ata kutuelezea mmeanza mbio kama magari ya mira

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 года назад

      Msimuliaji anajichetua balaa maaana sianajua story nzr😏😏😏😏😏😏😏😏😏

    • @juliemsimbe502
      @juliemsimbe502 3 года назад +1

      @@gosbertmuta5421 😀😀😀 eti anajichetua

  • @tommymsomalishaina
    @tommymsomalishaina Год назад +2

    😳😳😳😳😳

  • @kisurangusa554
    @kisurangusa554 3 года назад +1

    Huyu si lwanda magere, na bado anahojiwa radio free

  • @gracemakongoro8232
    @gracemakongoro8232 2 года назад +1

    Mmmmm

  • @gwynethjennings9708
    @gwynethjennings9708 2 года назад +1

    Angalia mpaka mwisho..!!

  • @sitiabubakar2892
    @sitiabubakar2892 3 года назад +1

    Nimeacha movie ya kinanigeria nimekimbia huku kwa davistar yaani situlii kwenye vipindi vingine mazoea buana😂😂

  • @juliusphabian6336
    @juliusphabian6336 3 года назад +1

    Kama nilishaisikiliza radio free hiv

  • @catherinewanjiru7136
    @catherinewanjiru7136 3 года назад +3

    Mr everything kaka mdogo alikwenda wapi

  • @mussamuna900
    @mussamuna900 3 года назад +1

    Rusha no 2 haraka

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 3 года назад +1

    Doh mfanyikaxi kweli au ilikua balaa lakuandika jini wacha nifatilie

  • @mariamnuru9939
    @mariamnuru9939 3 года назад +1

    hehhe kiengereza i say hatari

  • @tayanabenard4392
    @tayanabenard4392 3 года назад +1

    Huyu mkaka nilimsikia kwenye sitosahau ya redio free...big up Davister

    • @annasilayo1405
      @annasilayo1405 3 года назад +1

      Iliniipate naandikaje ?? Kwenye redio free

    • @tayanabenard4392
      @tayanabenard4392 3 года назад +1

      @@annasilayo1405 shogar umeona unacheleweshwa🤣🤣🤣🤣 hata kule nako haijaisha....naogopa nitampotezea followers Davistar

    • @annasilayo1405
      @annasilayo1405 3 года назад

      @@tayanabenard4392 0756877242 nitumie wsp usitume uku plz

    • @annasilayo1405
      @annasilayo1405 3 года назад

      Nitumie wsp 0756877242 usitume uku unachoongea nikweli

    • @tayanabenard4392
      @tayanabenard4392 3 года назад

      @@annasilayo1405 shogar kweli umeamua

  • @pili3750
    @pili3750 3 года назад +2

    MUNGU IBARIK TANZANIA 🇹🇿

  • @credo7837
    @credo7837 3 года назад +3

    Mr fact unasikika kwa mbali kidogo ila msimuliaji yuko vizur

  • @violinenyakara5028
    @violinenyakara5028 3 года назад +2

    Nani kachelewa kama mimi, ila heri kuchelewa kuliko kukosa kabisa

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 Год назад

      Mimi ndio nimechelewa ndio nasikiliza leo 11-9-2022

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 3 года назад +1

    Huyo mfanyakazi inawezekana baba alimpata mwanza ‘ kuna sehemu inaitwa kayenze...!...atakua ni MWARABU wa KAYENZE ‘ Wapo wengi huko wazuriii Lkn maisha ya kawaida sana ‘ ukitaka kuoa nenda huko utawapata..!

    • @suzansimon5296
      @suzansimon5296 3 года назад

      Mmh wenyewe sio wabaguzi kwel

    • @ismailyusuph740
      @ismailyusuph740 3 года назад

      @@suzansimon5296 ...hamna Sio wabaguzi ni mchanganyiko tu’ Lkn maisha ya kawaida na wanapiga kisukuma ile ile ...ni kama Dj Fetty ‘ ni wa kulekule..!

  • @yudaseleman8320
    @yudaseleman8320 Год назад +1

    Kwenye soko panaitea Rebu

  • @RahmaRahma-xp9jr
    @RahmaRahma-xp9jr 3 года назад +3

    Nilikuwa kwenye maomborezo nimerudi Sasa naaza mawazo

  • @dotosalim5090
    @dotosalim5090 2 года назад +1

    Nilikuwa Oman nilisikiliza mwanza mpaka mwisho

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 3 года назад

    Msimuliaji ana sauti nzr balaa maaashalah

  • @nasibubalonzizubusa3449
    @nasibubalonzizubusa3449 3 года назад

    Unatukosha Sana davistar

  • @yudaseleman8320
    @yudaseleman8320 Год назад +1

    Sunve njina la Jimbo Kijiji gani

  • @jannyrose5367
    @jannyrose5367 3 года назад

    Waiting part 2......

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 3 года назад +3

    Nipe Details za Kaka yako tujaribu mcheck hapa Sauz,pengine tushamzika

  • @rukiyaabdulrahman7770
    @rukiyaabdulrahman7770 3 года назад +3

    Mr Everything leo mbona hakuna introduction umekuja kasi kweli 😥

    • @lawilawi6800
      @lawilawi6800 3 года назад +1

      Umecomment bila kusikiliza😂

    • @cyantess8423
      @cyantess8423 3 года назад +1

      Lwanda the warrior jiwe na basi jini prt1 ndaani hebu nitrate juice 🙄🤣

  • @habibafeithal4014
    @habibafeithal4014 3 года назад +3

    Ila mm nilikuwa na wazo c ungekuwa unawafunika kichwan maana hapo kama ndugu yako lazima umjue tu

  • @mtengwadj9390
    @mtengwadj9390 3 года назад

    Twende kazi

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 3 года назад

    Wele vilaza au wavivu wa kujituma wanaopenda maisha ya mteremko ndio huwa kama na tabia hiyo .na wengi huwa makhanis au malaya . Wiz .wanga pumbav kweli jitume nguvu kaz .mtu mweusi amezaliwa kujituma kaz kaz .hapa kaz to boya

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 3 года назад

    Ww mkurya tu acha kukana umeniangusha Sana mutani wangu ila umenifurahisha lugha inapanda

  • @somoeawadh7774
    @somoeawadh7774 3 года назад

    Shukran kwa story mpya

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 3 года назад +1

    Mashallah mlikua na pesa kweli ndio maana huyo jini alijikujia kwenu

  • @florencerose859
    @florencerose859 3 года назад +5

    Mr fact nimefika lakini hii story nikama iko poa sana, story ya lwuanda magere pia nilisoma nikiwa shule ni m🇰🇪kwueli kutokea Kisumu

  • @stidejustin1156
    @stidejustin1156 3 года назад +1

    Ila mm jamani kwa kusoma comment 😂😂😂 hata Kama hainihusu jamna mm mchunguzi sio poa

  • @michaelvonsider3412
    @michaelvonsider3412 3 года назад +4

    Yan unaficha uhusika af unamwambia ngoj tukujue we ni nani?? 😁😁wtf

  • @mathiascharles471
    @mathiascharles471 3 года назад

    Hatari sana

  • @suzansimon5296
    @suzansimon5296 3 года назад +2

    Afazal hata unatuletea story zakutufariji kidogo japo n ngumu😭

  • @doreenchiragwile3424
    @doreenchiragwile3424 3 года назад +1

    HV Aya uwa niya kweri au hadith

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 года назад +1

    Duu huyo alikuwa jini ashura mana sikwahahayo masharti huyo baba alimokota wapi saingine unachukuwa mtu hujui anaishi vip

  • @margaretachieng9887
    @margaretachieng9887 3 года назад

    Ieo nime chelewa sana lakini apo Sasa💗

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 Год назад +1

    Kwan hapa ndo ilipo anza

  • @estasage498
    @estasage498 2 года назад +2

    Siyo ustarabu. You all were under hypnosis. Period

  • @shizaarfred4059
    @shizaarfred4059 3 года назад +2

    Wale wanao kosa amani na Mabek3 skuhiz kwa matukio yao yakutisha sku hiz apitie hapa niambie saitakuwe

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 3 года назад +3

    Rusha haraka namba mbili! Story iko poa!

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 года назад

      😜😜😜😜😜😜😜kumpelekesha dav wetu kwio

  • @lawilawi6800
    @lawilawi6800 3 года назад

    Nasita sita nawadada wakaz jmn 😔 nahofia watoto Wang daah Mungu tusaidie

    • @jumaramadhani1486
      @jumaramadhani1486 3 года назад

      Ni kusali sana na ikibd sasa hiv watoto nikupeleka day care wadada wa kazi imekua changamoto sana

    • @sapnaabdallah1084
      @sapnaabdallah1084 3 года назад +1

      Niletee mm nipo
      Zenji lakini iyo ni kazi
      Yangu
      Niliojiajiri

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 Год назад

      Uoga ni dhambi jomba

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 года назад +1

    story sasa

  • @nuruchaula5145
    @nuruchaula5145 3 года назад +1

    Umemwona davister alivyo taja pilau akalamba na mdomo

  • @alwialbeity4416
    @alwialbeity4416 3 года назад

    Mister clean heart

  • @aishaally8811
    @aishaally8811 3 года назад

    Story ni nzuri ila sioni hata nicomment nini dah mtetenzi wa wanyonge katutia unyonge kweli

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 3 года назад +1

    Hajajificha kabisa

  • @matridalule6477
    @matridalule6477 3 года назад

    Hahaaaaa watu wagumu jmn eet anataka ela za kichawi hahaaaaaa

  • @iddyhamis5330
    @iddyhamis5330 3 года назад +1

    Hiii stor nishawai nikiaga redio free

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 3 года назад +1

    Kitendo hiko cha kila sku kupangiwa chakula chake skpend na nnakchukia haya majumba makubwa ndo zao kututesa ss wakuja tu mtu unakuta unalazimishwa ule tu hvohvo ilimlad tu wakukere😜😜😜😜😜😜😜😜

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 3 года назад +5

    Hii story uyu jamaa aliwahi kuileta kwenye group la moliudy tv la baroni kama sijakosea hay tuendelee na story

    • @annasilayo1405
      @annasilayo1405 3 года назад +1

      Naomba uniambie naandikaje iliniweze kuiona

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 года назад

      Ila watu😜😜😜😜😜😜 duh

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 года назад +1

      @@annasilayo1405 andka mume wangu

    • @annasilayo1405
      @annasilayo1405 3 года назад +1

      @@gosbertmuta5421 mmewangu kafanyaje

    • @annasilayo1405
      @annasilayo1405 3 года назад +1

      @@gosbertmuta5421 alafu unamatani wewe

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 года назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂huo mshindo kwamabati waeza zimia ukiwaa usingixini

  • @alwiyshariff2263
    @alwiyshariff2263 2 года назад

    mr rainbow 🌈

  • @sidedirtylevel8483
    @sidedirtylevel8483 3 года назад

    leo hamna INTRO davista...af mbona imeeanza ghafla tu

  • @roseuwambe8089
    @roseuwambe8089 3 года назад +1

    Huyo dada hatar anashelia kama kwake

  • @mpangomzima9280
    @mpangomzima9280 3 года назад +1

    Kaka chapa kazi ila jitahidi utoe historia ya marehem mjomba magu hakika ulimwengu utakuelewa fanya ivo kama huto jari

    • @yudaseleman8320
      @yudaseleman8320 Год назад

      Davster anatoaga story yeye au mhusika? Watu kma wew ngumu San kueleweka

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 года назад

    Nahisi huyo angekuwa kaletwaa kwetu hata asingeendelea kukaa hapo kabisaa maid kama nani kama sio ibilisi

  • @cecycecy3610
    @cecycecy3610 3 года назад +1

    tupetupe vitu shemejiii dah sema am very sad kwakweli rais wetu kaniumaa from south AFRC yan sijatoka nimelia sana. shem dah acha nijifariji kidgo

    • @Oneofhiskind123
      @Oneofhiskind123 3 года назад +1

      Upo sauzi wapo tujuane 😜😜

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 года назад +3

      @@Oneofhiskind123 mbagala ndo sauz yetu wa RUclips

  • @matukicmagere3331
    @matukicmagere3331 3 года назад +2

    Davist wiki hii umejitahidi sana kupost story. Ongeza speed kaka

  • @mariamripiti2137
    @mariamripiti2137 3 года назад +1

    Swali langu kuna yule kijana Mussa kanini asifanye jambo kuhusu magufuli

    • @suzansimon5296
      @suzansimon5296 3 года назад +1

      Kwel umenena

    • @macamezunguzungu5697
      @macamezunguzungu5697 3 года назад

      Jambo gani?

    • @joventjohansenmushwaimi1988
      @joventjohansenmushwaimi1988 3 года назад

      Ucha ujinga na kufuru , jithidni kuvumilia hata kama umeguswa namna gani ,labda kama hujawahi kumpoteza, mtu ktk.family yenu

    • @mariamripiti2137
      @mariamripiti2137 3 года назад

      @@joventjohansenmushwaimi1988 Siwezi kukujibu vibaya km uvyo jibu wewe namuamini Mungu na nimemkabizi yeye maisha yangu na ata ikitokea mtu kanifanyia ubaya naamini Mungu atakuwa ameliruhusu ilo kusema hivyo nimekinyika tu maana mtu anajitangazia biashara kuwa anafufua watu wakati iko kitu akiwwzekani

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 Год назад

      @@mariamripiti2137 hakiwezekani kwako!!!! Come on kwanini unatangaza kushindwa!!!! Hakuna kushindwa kufuliwa MTU anafufuliwa kuponywa ataponywa mbona tuuu

  • @frankmakomba378
    @frankmakomba378 3 года назад

    Hii ni part 1.?? Kwa mwanzo wake ni kama ya pili.

  • @joycekelvin5434
    @joycekelvin5434 3 года назад

    Kweli mlikuwa wa kishua kila siku na chakula chake😀

  • @jumapengo2701
    @jumapengo2701 3 года назад

    Wa 8

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 11 месяцев назад

    mbona kama imeanzia njiani

  • @rikekikonyo2265
    @rikekikonyo2265 3 года назад

    Mapilau haha haha

  • @karrolleschon3986
    @karrolleschon3986 3 года назад +1

    🇰🇪🙄🙄🙄

  • @mikejohn7423
    @mikejohn7423 3 года назад

    Nimewahi.leo

  • @Teacher_01
    @Teacher_01 3 года назад +1

    Naogopaa.. 🙊🙊🙊😓😓

    • @credo7837
      @credo7837 3 года назад +1

      Nin waogopa

    • @Teacher_01
      @Teacher_01 3 года назад +1

      @@credo7837 story inantishaa credoo jaman huon lakin tamu.
      😓😓😓

    • @Teacher_01
      @Teacher_01 3 года назад +1

      🙈🙈🙈

    • @msalimsali6989
      @msalimsali6989 3 года назад

      Zuu wangu nimekumis aise

    • @credo7837
      @credo7837 3 года назад

      @@Teacher_01 aaah kumbe nikwel inaogopeshaa 😂

  • @makavelimkuchi2967
    @makavelimkuchi2967 3 года назад

    Atr

  • @ireneassey753
    @ireneassey753 3 года назад

    Eeh ni mda sijatembelea huku jamn bize na msiba mungu ni mwema kweli wacha nianze kufatilia maana nikitambo sija sain kitabu kwa davista ... niliishia kwa valori....

  • @beatricekweka6683
    @beatricekweka6683 3 года назад

    🥰

  • @sofianikita1567
    @sofianikita1567 3 года назад

    Please tuleteye MAMA MKOMBOZI