@@gosbertmuta5421 halafu comments hazina kanuni eti uandike kwa lugha flani. as long as sijamtukana mtu we sijui kimekukera nini apo!!!! binadamu bhana ok.
Haki I always enjoy Davista media show..leo sina raha nilishikwa na homa gafla jana usiku kusikia kifo cha African hero.. Magufuli. Tanzania is my country..sitoki u tube Juu ya story za Tz. Noma..Kenya
Mola mlezi tunaomba Ulinzi wako na watu wabaya Kama hawa wanaotafuta mali kwa njia ya Kutoa kafara za watu. Tamaa ya kuwa Tajiri inawaka sana katika Nafsi nyingi za watu.
Huyo mfanyakazi inawezekana baba alimpata mwanza ‘ kuna sehemu inaitwa kayenze...!...atakua ni MWARABU wa KAYENZE ‘ Wapo wengi huko wazuriii Lkn maisha ya kawaida sana ‘ ukitaka kuoa nenda huko utawapata..!
Wele vilaza au wavivu wa kujituma wanaopenda maisha ya mteremko ndio huwa kama na tabia hiyo .na wengi huwa makhanis au malaya . Wiz .wanga pumbav kweli jitume nguvu kaz .mtu mweusi amezaliwa kujituma kaz kaz .hapa kaz to boya
Kitendo hiko cha kila sku kupangiwa chakula chake skpend na nnakchukia haya majumba makubwa ndo zao kututesa ss wakuja tu mtu unakuta unalazimishwa ule tu hvohvo ilimlad tu wakukere😜😜😜😜😜😜😜😜
@@joventjohansenmushwaimi1988 Siwezi kukujibu vibaya km uvyo jibu wewe namuamini Mungu na nimemkabizi yeye maisha yangu na ata ikitokea mtu kanifanyia ubaya naamini Mungu atakuwa ameliruhusu ilo kusema hivyo nimekinyika tu maana mtu anajitangazia biashara kuwa anafufua watu wakati iko kitu akiwwzekani
Eeh ni mda sijatembelea huku jamn bize na msiba mungu ni mwema kweli wacha nianze kufatilia maana nikitambo sija sain kitabu kwa davista ... niliishia kwa valori....
Ngoja tu ni ji fariji maana moyo wangu umejaa uchungu sana kuondokewa na mpendwa wetu,,Asante Dav Endelea kushusha mastory tufarijike farijike.
tuko pamoja
Thats God works, no one to blamed! Yye mbele cc nyuma
Hujanifikia mm ase
@@hikmajeyz5072 are
Hii stori nzuri sanaa tuendelee 👏😋
Lwanda magere!! The hero of lang'oo tribe..the great " lwanda magere"...pure rock his body..umetisha sana blooder.
Nadhani kwaa wakucoment wenzio wooote wanaandka kiswahili ila ww tu mjichetuajimakini na vingeleza vyako
@@gosbertmuta5421 waitu vipi ?? Tatizo nini apo kwan we hicho kitabu cha lwanda magere umeona wapi wameandika kiswahili!!?...au ulitaka ayo nloandika uandike wew andika basi.
@@gosbertmuta5421 halafu comments hazina kanuni eti uandike kwa lugha flani. as long as sijamtukana mtu we sijui kimekukera nini apo!!!! binadamu bhana ok.
@@gosbertmuta5421 nenda shule Kama English ni shida kwako wewe
@@fredchaki6712 kiherehere kitakuponza sasahv
On line
Ingekuwa poa kuweka kila interview series kwa playlist yake kibinafsi. Kindly consider, Davistar.
Nakufwata 🇧🇮Who lives 🇹🇷
. Asante broo
Haki I always enjoy Davista media show..leo sina raha nilishikwa na homa gafla jana usiku kusikia kifo cha African hero.. Magufuli. Tanzania is my country..sitoki u tube Juu ya story za Tz. Noma..Kenya
Ata mini nishai skia story ya lwanda magere I love you story my bro🙏
Homie 👊 👊
Hey 👋
Davistar weka hizi video na playlist ndio iwe rahisi kufuatilia
Hahahahaha eti pilau tamu balaa
Alhamdulillah w kwanzaa 😀😀💃💃🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭
Hongera kipenzi❤❤❤😍😍😍❤❤
@@pilimusa7770 Asante wngu 😘😘😘😘😘❤❤❤❤
@@ayshamahariq6665 pamoja ❤❤❤😍😍😘😘😘
@@ayshamahariq6665 ongera yako sana
@@pilimusa7770 sana wngu😘😘😘❤❤❤
Davistar nilikumiss kaka yngu siku nyingi sikua hewani ila tupo pamoja mr everything mr facts
Ulikuwa wapi kwani
Bwana Yesu tuko apa utufundishe.
Amen 🙏
Huyu jamaa anasimulia pia hii story Radio Free kwenye kipindi cha sintosahau
Cape town tuna enjoy bro
Story ni nzuri sana ila mawazo yakumpotaza laisi wangu ninaumia sana
Pole tujifariji tu kadri tuwezavyo
Davister napenda kusikiliza Kazi zako
Sasa kama anatoa kafara za kuuwa watu huyo ni muuaji, ni mtu hatari..Davistar asaidie uchunguzi
Mm sikohapa kabisa nafikiria raisi wangu R.I.P. uncle magufuli
Umemfata nn sasa
@@Teacher_01 tuliza mshono bhana kwani wewe ndiwe davister mata. ukware tu
Toka kwenye story kama unamawazo yako
@@Teacher_01 hajielew huyu
pamoja wngu
Hatari San watu wa mkoa wa Mara sini wale mzee Marasta alisema kidogo nao Wana Roho ngumu?
shukran devistar🙏🙏
Chapa nembo Davistar Nakubal
Ukiwa mchawi tomba wadada wenye matako makubwa afu asubuhi chill ucheki mzigo unaopita unaeza usiamini Kama uliukula kidadeki hatar sana
Nami nipo 🙏🇹🇿🇹🇿🙏💪 pamoja
Mola mlezi tunaomba Ulinzi wako na watu wabaya Kama hawa wanaotafuta mali kwa njia ya Kutoa kafara za watu.
Tamaa ya kuwa Tajiri inawaka sana katika Nafsi nyingi za watu.
Na hii story umeanza bila ata kutuelezea mmeanza mbio kama magari ya mira
🤣🤣🤣🤣🤣
Msimuliaji anajichetua balaa maaana sianajua story nzr😏😏😏😏😏😏😏😏😏
@@gosbertmuta5421 😀😀😀 eti anajichetua
😳😳😳😳😳
Huyu si lwanda magere, na bado anahojiwa radio free
Nakubali... Kweli
Mmmmm
Angalia mpaka mwisho..!!
Nimeacha movie ya kinanigeria nimekimbia huku kwa davistar yaani situlii kwenye vipindi vingine mazoea buana😂😂
Kingereza unakijua?
Kama nilishaisikiliza radio free hiv
Mr everything kaka mdogo alikwenda wapi
😂😂😂 kwakwel
Kabisaaa
Rusha no 2 haraka
Doh mfanyikaxi kweli au ilikua balaa lakuandika jini wacha nifatilie
hehhe kiengereza i say hatari
Huyu mkaka nilimsikia kwenye sitosahau ya redio free...big up Davister
Iliniipate naandikaje ?? Kwenye redio free
@@annasilayo1405 shogar umeona unacheleweshwa🤣🤣🤣🤣 hata kule nako haijaisha....naogopa nitampotezea followers Davistar
@@tayanabenard4392 0756877242 nitumie wsp usitume uku plz
Nitumie wsp 0756877242 usitume uku unachoongea nikweli
@@annasilayo1405 shogar kweli umeamua
MUNGU IBARIK TANZANIA 🇹🇿
Mamb
Mungu abariki kwelikweli tunapoteza viongozi mashuuri🙏🙏🙏🙏🙏
Mr fact unasikika kwa mbali kidogo ila msimuliaji yuko vizur
umeona eeee
@@ayshamahariq6665 ee ila sio mbaya
@@credo7837 eeee
Nani kachelewa kama mimi, ila heri kuchelewa kuliko kukosa kabisa
Mimi ndio nimechelewa ndio nasikiliza leo 11-9-2022
Huyo mfanyakazi inawezekana baba alimpata mwanza ‘ kuna sehemu inaitwa kayenze...!...atakua ni MWARABU wa KAYENZE ‘ Wapo wengi huko wazuriii Lkn maisha ya kawaida sana ‘ ukitaka kuoa nenda huko utawapata..!
Mmh wenyewe sio wabaguzi kwel
@@suzansimon5296 ...hamna Sio wabaguzi ni mchanganyiko tu’ Lkn maisha ya kawaida na wanapiga kisukuma ile ile ...ni kama Dj Fetty ‘ ni wa kulekule..!
Kwenye soko panaitea Rebu
Nilikuwa kwenye maomborezo nimerudi Sasa naaza mawazo
Maombolezo ya nn
Nilikuwa Oman nilisikiliza mwanza mpaka mwisho
Msimuliaji ana sauti nzr balaa maaashalah
Unatukosha Sana davistar
Sunve njina la Jimbo Kijiji gani
Waiting part 2......
Nipe Details za Kaka yako tujaribu mcheck hapa Sauz,pengine tushamzika
😏
Mr Everything leo mbona hakuna introduction umekuja kasi kweli 😥
Umecomment bila kusikiliza😂
Lwanda the warrior jiwe na basi jini prt1 ndaani hebu nitrate juice 🙄🤣
Ila mm nilikuwa na wazo c ungekuwa unawafunika kichwan maana hapo kama ndugu yako lazima umjue tu
Twende kazi
Wele vilaza au wavivu wa kujituma wanaopenda maisha ya mteremko ndio huwa kama na tabia hiyo .na wengi huwa makhanis au malaya . Wiz .wanga pumbav kweli jitume nguvu kaz .mtu mweusi amezaliwa kujituma kaz kaz .hapa kaz to boya
Ww mkurya tu acha kukana umeniangusha Sana mutani wangu ila umenifurahisha lugha inapanda
Shukran kwa story mpya
😋😋😋😋
Mashallah mlikua na pesa kweli ndio maana huyo jini alijikujia kwenu
Mr fact nimefika lakini hii story nikama iko poa sana, story ya lwuanda magere pia nilisoma nikiwa shule ni m🇰🇪kwueli kutokea Kisumu
Ila mm jamani kwa kusoma comment 😂😂😂 hata Kama hainihusu jamna mm mchunguzi sio poa
Yan unaficha uhusika af unamwambia ngoj tukujue we ni nani?? 😁😁wtf
😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Hatari sana
Afazal hata unatuletea story zakutufariji kidogo japo n ngumu😭
HV Aya uwa niya kweri au hadith
Duu huyo alikuwa jini ashura mana sikwahahayo masharti huyo baba alimokota wapi saingine unachukuwa mtu hujui anaishi vip
Ieo nime chelewa sana lakini apo Sasa💗
Kwan hapa ndo ilipo anza
Siyo ustarabu. You all were under hypnosis. Period
Wale wanao kosa amani na Mabek3 skuhiz kwa matukio yao yakutisha sku hiz apitie hapa niambie saitakuwe
Rusha haraka namba mbili! Story iko poa!
😜😜😜😜😜😜😜kumpelekesha dav wetu kwio
Nasita sita nawadada wakaz jmn 😔 nahofia watoto Wang daah Mungu tusaidie
Ni kusali sana na ikibd sasa hiv watoto nikupeleka day care wadada wa kazi imekua changamoto sana
Niletee mm nipo
Zenji lakini iyo ni kazi
Yangu
Niliojiajiri
Uoga ni dhambi jomba
story sasa
Umemwona davister alivyo taja pilau akalamba na mdomo
Mister clean heart
Story ni nzuri ila sioni hata nicomment nini dah mtetenzi wa wanyonge katutia unyonge kweli
Hajajificha kabisa
Hahaaaaa watu wagumu jmn eet anataka ela za kichawi hahaaaaaa
Hiii stor nishawai nikiaga redio free
Ndo yenyewe
Kitendo hiko cha kila sku kupangiwa chakula chake skpend na nnakchukia haya majumba makubwa ndo zao kututesa ss wakuja tu mtu unakuta unalazimishwa ule tu hvohvo ilimlad tu wakukere😜😜😜😜😜😜😜😜
Hii story uyu jamaa aliwahi kuileta kwenye group la moliudy tv la baroni kama sijakosea hay tuendelee na story
Naomba uniambie naandikaje iliniweze kuiona
Ila watu😜😜😜😜😜😜 duh
@@annasilayo1405 andka mume wangu
@@gosbertmuta5421 mmewangu kafanyaje
@@gosbertmuta5421 alafu unamatani wewe
😂😂😂😂😂😂😂😂huo mshindo kwamabati waeza zimia ukiwaa usingixini
mr rainbow 🌈
leo hamna INTRO davista...af mbona imeeanza ghafla tu
Huyo dada hatar anashelia kama kwake
Rose uwambe
Kaka chapa kazi ila jitahidi utoe historia ya marehem mjomba magu hakika ulimwengu utakuelewa fanya ivo kama huto jari
Davster anatoaga story yeye au mhusika? Watu kma wew ngumu San kueleweka
Nahisi huyo angekuwa kaletwaa kwetu hata asingeendelea kukaa hapo kabisaa maid kama nani kama sio ibilisi
tupetupe vitu shemejiii dah sema am very sad kwakweli rais wetu kaniumaa from south AFRC yan sijatoka nimelia sana. shem dah acha nijifariji kidgo
Upo sauzi wapo tujuane 😜😜
@@Oneofhiskind123 mbagala ndo sauz yetu wa RUclips
Davist wiki hii umejitahidi sana kupost story. Ongeza speed kaka
Kabisaa
He
Swali langu kuna yule kijana Mussa kanini asifanye jambo kuhusu magufuli
Kwel umenena
Jambo gani?
Ucha ujinga na kufuru , jithidni kuvumilia hata kama umeguswa namna gani ,labda kama hujawahi kumpoteza, mtu ktk.family yenu
@@joventjohansenmushwaimi1988 Siwezi kukujibu vibaya km uvyo jibu wewe namuamini Mungu na nimemkabizi yeye maisha yangu na ata ikitokea mtu kanifanyia ubaya naamini Mungu atakuwa ameliruhusu ilo kusema hivyo nimekinyika tu maana mtu anajitangazia biashara kuwa anafufua watu wakati iko kitu akiwwzekani
@@mariamripiti2137 hakiwezekani kwako!!!! Come on kwanini unatangaza kushindwa!!!! Hakuna kushindwa kufuliwa MTU anafufuliwa kuponywa ataponywa mbona tuuu
Hii ni part 1.?? Kwa mwanzo wake ni kama ya pili.
Kweli mlikuwa wa kishua kila siku na chakula chake😀
Wa 8
mbona kama imeanzia njiani
Mapilau haha haha
🇰🇪🙄🙄🙄
Nimewahi.leo
Naogopaa.. 🙊🙊🙊😓😓
Nin waogopa
@@credo7837 story inantishaa credoo jaman huon lakin tamu.
😓😓😓
🙈🙈🙈
Zuu wangu nimekumis aise
@@Teacher_01 aaah kumbe nikwel inaogopeshaa 😂
Atr
Eeh ni mda sijatembelea huku jamn bize na msiba mungu ni mwema kweli wacha nianze kufatilia maana nikitambo sija sain kitabu kwa davista ... niliishia kwa valori....
Polee
🥰
Please tuleteye MAMA MKOMBOZI