Kumbe mwananchi wa nchi hii Hana haki na nchi yake bali haki yake ni kumpigia kura kiongozi was nchi yake. Haki hiyo ni ya msingi. Kisha Hana haki na Mali zilizomo ndani ya nchi yake (Taifa lake) kwani uongozi ndio inageuka kuwa mmiliki na Mali za nchi. Badala ya kuwasikiliza wapiga Kura basi wanatupiliwa mbali. Dhamani ya kura na faida yake ni kutothaminika uliye mpiga kura. Tuchague viongozi wanao thamini wananchi/wapiga Kura wao. Thamani kubwa kwa kiongozi ni kujali Raia wake kwa KILA jambo. Huo ni uongozi Bora. Tunaomboleza kwani wageni, wawekezaji ndio wamekuwa wapiga Kura wao. Hajawahi tokea. MUNGU NI MWEMA ATATUKOMBOA TU.
My sister unasema tasaf wakata elfu kumi. Heri yao hao wanakatwa elfu kumi. Huko kwetu lolionda inapo fika wakati wakwenda kupokea pesa za tasafu anakuta jina lake limekuja 0 hakuna kitu wa kupewa elfu 60 anapewa elfu 25000 wakupewa 20000 anapewa elfu 5000
HONGERA SANA BENSON KWA AKILI KUBWA, NIMEFURAHI SANA KWA MFANO HAI WA SHAMBA. CCM HAWTUFAI TENA WAO SASA WANASHINDANA TU KWA UTAJIRI WAMETUSAHAU WANANCHI NA WANAPIGA PROPAGANDA TU.
Mimi nataka kujua haya magari ya viongozi wa vyama vingi yanaunguzwa na vijana alietumwana ccm .polisi wamechukua hatua gani?. Na hizo ngarama anazilipa nani .mimi hadi nakosa maelezo kwa huo utumbo unaofanywa .sasa kuna shahidi wa ccm na kuna shabiki wa chadema .nyinyi ccm maagizo wananchi kua mkiwaona chadema wazomeeni au warushieni mawe au chomeni magari yao.kwahio na mkutano ya ccm ifanyiwe hivyo?mbona hiki chama kinakua kama jaribu ee Mungu ktk hii nchi yenye amani. Ingekua vyama vingi ni hatari Raisi Nyerere angetuambia sivyo.lakini vyama vingi ni agizo la umoja wa mataifa .iweje ccm wawanyanyase wenzao kutuma wananchi wachome magari? Hili jambo umoja wa mataifa ufahamishwe kwa maandishi wajue.
Afadhali huko angalau wanazitoa hizo pesa za TASAF. Maeneo mengine Tanzania hawawalipi kabisa baadhi ya Wazee wa watu. Wanawanyima kwa visingizio vya kioumbuvu kabisa. Hak
Lissu rekebisha maelezo kuwa Jpm, aliingia kichwa kichwa na sasa tunadaiwa. Bali semeni kuwa leo tunadaiwa, tutalipa/tunalipa ila kilicho chetu kimerudi. Mtake msitake mioyo yetu waliowengi ipo na Jpm. Kutandikwa risasi Lissu unakokusemea kuwa "ulisikia.." isiwe jambo la kuuaminisha umma kuwa aliyetoa oda ni Jpm, wewe Lisu ni mwanasheria. Hatusemi allegations bali tunashtaki ukweli. Kwa makosa hayo mawili ,tunaanza kuhisi na wewe ni mwana-DP. world. Kwani wana siasa ndimi zenu huzunguka vinywani kama pia. Chadema pambaneni kupata viti lukuki bungeni. Urais utawafuateni mkijaliwa, ila tunahitaji wabunge wengi toka upinzani.
Huyo Dada Mwanasiasa shupavu sana,Congratulations.
Huyo Mama yuko vizuri sana
Safi sana dada yetu yukovizuri
Kamera kamera hatuwaon makamanda wenzetu tunaona viongozi tu
Ccm bye bye 👋! Chadema tuanze kazi
Kumbe mwananchi wa nchi hii Hana haki na nchi yake bali haki yake ni kumpigia kura kiongozi was nchi yake. Haki hiyo ni ya msingi. Kisha Hana haki na Mali zilizomo ndani ya nchi yake (Taifa lake) kwani uongozi ndio inageuka kuwa mmiliki na Mali za nchi. Badala ya kuwasikiliza wapiga Kura basi wanatupiliwa mbali. Dhamani ya kura na faida yake ni kutothaminika uliye mpiga kura. Tuchague viongozi wanao thamini wananchi/wapiga Kura wao. Thamani kubwa kwa kiongozi ni kujali Raia wake kwa KILA jambo. Huo ni uongozi Bora. Tunaomboleza kwani wageni, wawekezaji ndio wamekuwa wapiga Kura wao. Hajawahi tokea. MUNGU NI MWEMA ATATUKOMBOA TU.
Mbona lowasa mlimtaja fisad lkn badae mlimuita Rais
Tuhuma za upigaji hela ni mbaya sana.
Chadema chama tunaimani mpate nafasi ya juu kwenye Tanzania wananiche tuwambe ushilikiano
My sister unasema tasaf wakata elfu kumi. Heri yao hao wanakatwa elfu kumi. Huko kwetu lolionda inapo fika wakati wakwenda kupokea pesa za tasafu anakuta jina lake limekuja 0 hakuna kitu wa kupewa elfu 60 anapewa elfu 25000 wakupewa 20000 anapewa elfu 5000
chadema ni nguvu ya umaaa kweli
Nay wa mitego kasha ongea akili ndogo inaongoza akili kubwa na kwa hali hii ya ccm hakuna atakaye achwa salama kwa maisha magum
Inaingia akini???
Hakuna silaha ambayo nchi kubwa hawazijui tulizonazo Tanzania
Mbona Kama Pana watu kumi tu hapo ushawishi umeshakufa kwa ajir ya uongo wako
Kwhy hata magufuli alikua fisad mpka kakutwa na Dolla milion 42
Wambiwe baba
Inatisha san
HAIINGII AKILINI HATA KIDOGO
Lisu uongo wako umeshafika mwisho
Banadari za Zanzibar zinahudumia wananch wazanzibar na wazanzibar ni wachache lkn bandar za bara zinahudumia nchi nyingi Kama 11
Hzo barabara waambien ccm Mana chadema hamna uwezo wa kujenga barabara Kama hata offce ya kujenga hamna
P]pp]p]p]
Tumechoka
Ama kweli Siasa mchezo mchafu.
Na lowasalimuita fisad lkn mlimuweka awe rais
Camera yenu hamuizungushi kwa wananchi mnawaonyesha viongozi tuuu.. kwaniniiiiii??? Au uwezo wenu ndio umeishia hapoooooooooooooo??????.
Gaita ukiwaambia bandar hata hawakuelew acha siasa za ujinga Kuna vijiji hawajui bandari
Hakika wewe ndiyo mpumbavu,kwani wewe asili yako ni wapi ujue Bandari alafu wenzako wasizijue!.
Acha kusambaza chuki Fara ww Mana Zanzibar bandar zao zinahudumia bandar ya Zanzibar tu Ila za bara zinahudumia nchi 11
ukinipeleka mahakamani umepeleka chula majini alinipiga lisasi aniue akafa yeye
Hata mkapa alikodisha kwa miaka 22 na kikwete na magufuli waliingia madarakan ikiwa bandar imekodishwa
mama amekodisha miaka mingapi
Akili kubwa sana hii,, cdm mko sirius na maisha ya waTZ kule mchicha naona Mungu ameondoa uwezo wa mbwa kunusa nadhani anampango wa kuuwa na kuzika
Waambie shamba likikosa rutuba linaachwa kwa muda. Ccm imekosa rutuba iachwe kwa muda 24:21
HONGERA SANA BENSON KWA AKILI KUBWA, NIMEFURAHI SANA KWA MFANO HAI WA SHAMBA. CCM HAWTUFAI TENA WAO SASA WANASHINDANA TU KWA UTAJIRI WAMETUSAHAU WANANCHI NA WANAPIGA PROPAGANDA TU.
Mimi nataka kujua haya magari ya viongozi wa vyama vingi yanaunguzwa na vijana alietumwana ccm .polisi wamechukua hatua gani?. Na hizo ngarama anazilipa nani .mimi hadi nakosa maelezo kwa huo utumbo unaofanywa .sasa kuna shahidi wa ccm na kuna shabiki wa chadema .nyinyi ccm maagizo wananchi kua mkiwaona chadema wazomeeni au warushieni mawe au chomeni magari yao.kwahio na mkutano ya ccm ifanyiwe hivyo?mbona hiki chama kinakua kama jaribu ee Mungu ktk hii nchi yenye amani. Ingekua vyama vingi ni hatari Raisi Nyerere angetuambia sivyo.lakini vyama vingi ni agizo la umoja wa mataifa .iweje ccm wawanyanyase wenzao kutuma wananchi wachome magari? Hili jambo umoja wa mataifa ufahamishwe kwa maandishi wajue.
Futa neno CCM ni shetani
Bandar zimekodishwa na kabla ya hapo kulikua na mtu kakodisha hyo bandar
Nikweli wakiambiwa wanajijmauma
Eti Hawa nao wachukue dola
Mungu huinua vinyonge Na kutawala
Endelea kukariri
kenge sana wewe!!!
Afadhali huko angalau wanazitoa hizo pesa za TASAF. Maeneo mengine Tanzania hawawalipi kabisa baadhi ya Wazee wa watu. Wanawanyima kwa visingizio vya kioumbuvu kabisa. Hak
Lissu rekebisha maelezo kuwa Jpm, aliingia kichwa kichwa na sasa tunadaiwa. Bali semeni kuwa leo tunadaiwa, tutalipa/tunalipa ila kilicho chetu kimerudi. Mtake msitake mioyo yetu waliowengi ipo na Jpm. Kutandikwa risasi Lissu unakokusemea kuwa "ulisikia.." isiwe jambo la kuuaminisha umma kuwa aliyetoa oda ni Jpm, wewe Lisu ni mwanasheria. Hatusemi allegations bali tunashtaki ukweli. Kwa makosa hayo mawili ,tunaanza kuhisi na wewe ni mwana-DP. world. Kwani wana siasa ndimi zenu huzunguka vinywani kama pia. Chadema pambaneni kupata viti lukuki bungeni. Urais utawafuateni mkijaliwa, ila tunahitaji wabunge wengi toka upinzani.
Magu alikua mjinga , mkurupukaji huo ndio ukweli, unatakà asemwa kiuongo?
Hauna tofauti na mkurupukaji
Magufuli hakua Mungu. Alikurupuka hakutaka ushauri ndio maana alifanya mambo bila kujua madhara yatakayo kuja baadae
LISU YUKO NA MENTAL HEALTH
ccm chali kabisa
Kifo cha mende ..
Saf
Mbona unatoa histria , tuambie kwenye secta ya maji, umeme, elimu, afya mtawafanyia Nini watanzania mkiipewa nchi ?
Tunawachora tu sio CCM wala chadema, ww sio ulikuwa unataka tuwe mashoga pita kushoto
mashoga mko ccm mnafilwa hadi mmenogewa mmehonga bandari machoko nyinyi.
Asifiaye mvua imemnyeshea ebu sema kama na wewe nk shoga?