🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 58

  • @osodowilberforce2321
    @osodowilberforce2321 Год назад +2

    Huyo Dada Mwanasiasa shupavu sana,Congratulations.

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 Год назад +2

    Huyo Mama yuko vizuri sana

  • @simonibonifasi3131
    @simonibonifasi3131 Год назад

    Safi sana dada yetu yukovizuri

  • @VenaEliki
    @VenaEliki Год назад +2

    Kamera kamera hatuwaon makamanda wenzetu tunaona viongozi tu

  • @fredrickyakobo
    @fredrickyakobo Год назад +3

    Ccm bye bye 👋! Chadema tuanze kazi

  • @simonikulwa9375
    @simonikulwa9375 Год назад +3

    Kumbe mwananchi wa nchi hii Hana haki na nchi yake bali haki yake ni kumpigia kura kiongozi was nchi yake. Haki hiyo ni ya msingi. Kisha Hana haki na Mali zilizomo ndani ya nchi yake (Taifa lake) kwani uongozi ndio inageuka kuwa mmiliki na Mali za nchi. Badala ya kuwasikiliza wapiga Kura basi wanatupiliwa mbali. Dhamani ya kura na faida yake ni kutothaminika uliye mpiga kura. Tuchague viongozi wanao thamini wananchi/wapiga Kura wao. Thamani kubwa kwa kiongozi ni kujali Raia wake kwa KILA jambo. Huo ni uongozi Bora. Tunaomboleza kwani wageni, wawekezaji ndio wamekuwa wapiga Kura wao. Hajawahi tokea. MUNGU NI MWEMA ATATUKOMBOA TU.

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад

    Mbona lowasa mlimtaja fisad lkn badae mlimuita Rais

  • @EnockFumbuka
    @EnockFumbuka Год назад

    Tuhuma za upigaji hela ni mbaya sana.

  • @jojomushy1837
    @jojomushy1837 Год назад +1

    Chadema chama tunaimani mpate nafasi ya juu kwenye Tanzania wananiche tuwambe ushilikiano

  • @omarngushai6450
    @omarngushai6450 Год назад

    My sister unasema tasaf wakata elfu kumi. Heri yao hao wanakatwa elfu kumi. Huko kwetu lolionda inapo fika wakati wakwenda kupokea pesa za tasafu anakuta jina lake limekuja 0 hakuna kitu wa kupewa elfu 60 anapewa elfu 25000 wakupewa 20000 anapewa elfu 5000

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 Год назад

    chadema ni nguvu ya umaaa kweli

  • @rashidyusuphwewenimtotowam1761
    @rashidyusuphwewenimtotowam1761 Год назад +2

    Nay wa mitego kasha ongea akili ndogo inaongoza akili kubwa na kwa hali hii ya ccm hakuna atakaye achwa salama kwa maisha magum

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn Год назад

    Inaingia akini???

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад

    Hakuna silaha ambayo nchi kubwa hawazijui tulizonazo Tanzania

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад

    Mbona Kama Pana watu kumi tu hapo ushawishi umeshakufa kwa ajir ya uongo wako

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад

    Kwhy hata magufuli alikua fisad mpka kakutwa na Dolla milion 42

  • @mrimimarwa6485
    @mrimimarwa6485 Год назад +1

    Wambiwe baba

  • @evodiusantony2115
    @evodiusantony2115 Год назад +1

    Inatisha san

  • @malalengunda6582
    @malalengunda6582 Год назад

    HAIINGII AKILINI HATA KIDOGO

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад

    Lisu uongo wako umeshafika mwisho

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад +1

    Banadari za Zanzibar zinahudumia wananch wazanzibar na wazanzibar ni wachache lkn bandar za bara zinahudumia nchi nyingi Kama 11

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад

    Hzo barabara waambien ccm Mana chadema hamna uwezo wa kujenga barabara Kama hata offce ya kujenga hamna

  • @mussaelisha3733
    @mussaelisha3733 Год назад

    Tumechoka

  • @hassankhalid2465
    @hassankhalid2465 Год назад

    Ama kweli Siasa mchezo mchafu.

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад

    Na lowasalimuita fisad lkn mlimuweka awe rais

  • @deogratiusdonald5123
    @deogratiusdonald5123 Год назад

    Camera yenu hamuizungushi kwa wananchi mnawaonyesha viongozi tuuu.. kwaniniiiiii??? Au uwezo wenu ndio umeishia hapoooooooooooooo??????.

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад

    Gaita ukiwaambia bandar hata hawakuelew acha siasa za ujinga Kuna vijiji hawajui bandari

    • @johanneskallya364
      @johanneskallya364 Год назад

      Hakika wewe ndiyo mpumbavu,kwani wewe asili yako ni wapi ujue Bandari alafu wenzako wasizijue!.

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад

    Acha kusambaza chuki Fara ww Mana Zanzibar bandar zao zinahudumia bandar ya Zanzibar tu Ila za bara zinahudumia nchi 11

  • @sinaubavu2810
    @sinaubavu2810 Год назад

    ukinipeleka mahakamani umepeleka chula majini alinipiga lisasi aniue akafa yeye

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад

    Hata mkapa alikodisha kwa miaka 22 na kikwete na magufuli waliingia madarakan ikiwa bandar imekodishwa

  • @solomoneglesias9752
    @solomoneglesias9752 Год назад

    Akili kubwa sana hii,, cdm mko sirius na maisha ya waTZ kule mchicha naona Mungu ameondoa uwezo wa mbwa kunusa nadhani anampango wa kuuwa na kuzika

  • @bensonmasunu3682
    @bensonmasunu3682 Год назад

    Waambie shamba likikosa rutuba linaachwa kwa muda. Ccm imekosa rutuba iachwe kwa muda 24:21

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd Год назад +1

      HONGERA SANA BENSON KWA AKILI KUBWA, NIMEFURAHI SANA KWA MFANO HAI WA SHAMBA. CCM HAWTUFAI TENA WAO SASA WANASHINDANA TU KWA UTAJIRI WAMETUSAHAU WANANCHI NA WANAPIGA PROPAGANDA TU.

    • @pungopungo411
      @pungopungo411 Год назад

      Mimi nataka kujua haya magari ya viongozi wa vyama vingi yanaunguzwa na vijana alietumwana ccm .polisi wamechukua hatua gani?. Na hizo ngarama anazilipa nani .mimi hadi nakosa maelezo kwa huo utumbo unaofanywa .sasa kuna shahidi wa ccm na kuna shabiki wa chadema .nyinyi ccm maagizo wananchi kua mkiwaona chadema wazomeeni au warushieni mawe au chomeni magari yao.kwahio na mkutano ya ccm ifanyiwe hivyo?mbona hiki chama kinakua kama jaribu ee Mungu ktk hii nchi yenye amani. Ingekua vyama vingi ni hatari Raisi Nyerere angetuambia sivyo.lakini vyama vingi ni agizo la umoja wa mataifa .iweje ccm wawanyanyase wenzao kutuma wananchi wachome magari? Hili jambo umoja wa mataifa ufahamishwe kwa maandishi wajue.

  • @NaftaliMhemi-du5re
    @NaftaliMhemi-du5re Год назад

    Futa neno CCM ni shetani

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад

    Bandar zimekodishwa na kabla ya hapo kulikua na mtu kakodisha hyo bandar

  • @evodiusantony2115
    @evodiusantony2115 Год назад

    Nikweli wakiambiwa wanajijmauma

  • @jamalkali9108
    @jamalkali9108 Год назад

    Eti Hawa nao wachukue dola

  • @TNgwale-eu3xl
    @TNgwale-eu3xl Год назад

    Afadhali huko angalau wanazitoa hizo pesa za TASAF. Maeneo mengine Tanzania hawawalipi kabisa baadhi ya Wazee wa watu. Wanawanyima kwa visingizio vya kioumbuvu kabisa. Hak

  • @tanzaniakwanza1699
    @tanzaniakwanza1699 Год назад +2

    Lissu rekebisha maelezo kuwa Jpm, aliingia kichwa kichwa na sasa tunadaiwa. Bali semeni kuwa leo tunadaiwa, tutalipa/tunalipa ila kilicho chetu kimerudi. Mtake msitake mioyo yetu waliowengi ipo na Jpm. Kutandikwa risasi Lissu unakokusemea kuwa "ulisikia.." isiwe jambo la kuuaminisha umma kuwa aliyetoa oda ni Jpm, wewe Lisu ni mwanasheria. Hatusemi allegations bali tunashtaki ukweli. Kwa makosa hayo mawili ,tunaanza kuhisi na wewe ni mwana-DP. world. Kwani wana siasa ndimi zenu huzunguka vinywani kama pia. Chadema pambaneni kupata viti lukuki bungeni. Urais utawafuateni mkijaliwa, ila tunahitaji wabunge wengi toka upinzani.

    • @zawadimbwambo1091
      @zawadimbwambo1091 Год назад

      Magu alikua mjinga , mkurupukaji huo ndio ukweli, unatakà asemwa kiuongo?

    • @williammbuzimai5744
      @williammbuzimai5744 Год назад

      Hauna tofauti na mkurupukaji

    • @charlesmakaggah2853
      @charlesmakaggah2853 Год назад

      Magufuli hakua Mungu. Alikurupuka hakutaka ushauri ndio maana alifanya mambo bila kujua madhara yatakayo kuja baadae

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Год назад

      LISU YUKO NA MENTAL HEALTH

  • @emmapaul1766
    @emmapaul1766 Год назад +1

    ccm chali kabisa

  • @adamadamluoga6902
    @adamadamluoga6902 Год назад

    Saf

  • @lucaskelegwa1123
    @lucaskelegwa1123 Год назад

    Mbona unatoa histria , tuambie kwenye secta ya maji, umeme, elimu, afya mtawafanyia Nini watanzania mkiipewa nchi ?

  • @samsonmsomi8330
    @samsonmsomi8330 Год назад

    Tunawachora tu sio CCM wala chadema, ww sio ulikuwa unataka tuwe mashoga pita kushoto

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Год назад

      mashoga mko ccm mnafilwa hadi mmenogewa mmehonga bandari machoko nyinyi.

    • @johanneskallya364
      @johanneskallya364 Год назад

      Asifiaye mvua imemnyeshea ebu sema kama na wewe nk shoga?