TUNDU LISSU AONDOKA NA KIJIJI CHATO, WATU ZAIDI YA 60 WAUAWA NA ASKARI|GARI LA CHADEMA KUCHOMWA MOTO
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- TUNDU LISSU AONDOKA NA KIJIJI CHATO, WATU ZAIDI YA 60 WAUAWA NA ASKARI|GARI LA CHADEMA KUCHOMWA MOTO
Tundu Lissu amefika Chato kuzungumza na wananchi kuhusu Mkataba wa Bandari akiwa kijijini huko ameelezea jinsi wananchi wanavyouawa na askari chanzo kikiwa ni uvuvi wanaoufanya pembezoni mwa Kisiwa cha Rubondo (Hifadhi ya Taifa ya Rubondo).
#mwanza #raissamia #trending #bandari_song #rip #ruthkadiri247 #daresalaam #simbasc #yangasc #wazirimkuu
Mungu atuokoe
😂😂😂😂😂
Serikali Mungu anawaona kila damu isiyo na hatia inawalilia
Mtabuna
Lisu ipo siku utakua pale ikulu Mungu akulinde sana
Ipi hiyo ikulu?labda ya kwako!
@@JumakimawaMinzanoni unakimbilia kujibu kwani we ni lisu?
Mungu apishe mbali. Huyu ni puppet mkubwa wa wazungu. Hana adabu anatukana kila mutu.
@@Gracemima ashakum si matusi viva lisu viva
@@BensonMpeteviva kamanda wetu
Walekeza wa Tanganyika hatujielewi Tatizo shule mungu atusaidie hasa la bandari samahani hawjasoma wa Tanganyika,
Vumilieni mnao furahia ujinga huyo anakubalika poleni mnao umizwa na maneno yake
Kama una uelewa wa kutosha hiyo ndo maana ya kumwamsha magufuli. Maana yake kufikisha ujumbe mahususi .
Mzee lissu we ni balaaa
Lissu 4 life Haki haidhurumiwi #People'sPower
Kina wasira wezi, wanapandikiza chuki tu kwa wananchi.
Wanao pandikiza chuki sio wasira huyoalie mkimbia mgufuli halafu leo anaenda kuwakejeli watu wa chato mm namuona mnafiki wanalazimisha nchi uvunwe ubelgij njoka mwenye vichwa viwili
Muheshimiwa washenzi kama wasira hawakosi ndio maana ata bunge lote la wasomi wamejilipua nakupenda KWA hoja nzuri zenye mashiko hao maccm hawajibu hawana jipya
Mzee nakuunga mkono asilimia 1000000000000000
Tunaomba Mungu aingilie kati atuokoe kama wana Israel kwani unyama umezidi kwa binadamu wasiokuwa na hatia.
Lissu wewe ni Yesu wasila akafe au alee vitukuu
Hivi lissu Ana Sera gani ya chake anyowaeleza wananchi zaidi ya kusema na kukashifu watu wengine. Anatakiwa atambie Nini tutarajie kutoka kwake. Vinginevyo Hana jipya
Kichwa cha habari kinapotosha ukweli wa habari yenyewe.
Umemsikia kweli anachoongea Tundu Lissu??
@@sindyvibe7149watu 60 waliokufa wako wap?
@@sindyvibe7149hajasikiliza😂😂😂
Kuna Watu wanafaa kukaa Ikulu lkn si Watu wa Vurugu kama hawa
Wananchi hawaelewi Kama Hawa niwaajiri wetu tuamke mtu mweusi wake up my
Watu zaidi ya siting wauwawa na police, jamani wako wapi watetezi wa haki za binadamu? Watu sitini wameuwawa sijamusikia Rais kusema chochote. Bila Shaka watu Hawa ni masikini.
Wewe unavuta bangi umeingiaje kwenye uandishi wa habari ?
Kwann mnaandika vichwa potofu na kinachojiri? Watu 60 waliokufa wamezikwa lini?😮😮 Acheni upotoshaji waisira ni mwehu tu
Ww ding umeathirika akili ww unajenga nchi au mnajenga nn unao uwezo wanao kuishi ubelgij kama ulivyo mkimbia mg leo unajifanya mwema kwake duu pesa hatari sana et mwanasheria wacheni kupotosha watu nadhani nyinyi wote ni vibararaka 2
Saf mkuu
Inchi ime uzwa
Mfya maji haishi kutatapa.Unatmbeaje na maneno ya mtu?Ina maana huna ya kwako,huo ni unafiki:Magufuli angekuwepo usingekanyaga Chato.
Hii ndio tabu ya kilamtu kuwa mmiliki wa CHOMBO cha habari.
Usengesana mnapandikiza chuki et watu 60 wameuliwa KWAIYO nyie ni jeshi la police SHAME
Siyo ungesikiliza kwanza Stori nzima ndiyo utoe ya Moyoni?? Hujamsikia Lissu akisema watu 60 wameuawa Rubondo na Askari wa TANAPA?
Ulikufuru ulisema utamuamsha umemuamsha ulikua haupo leo unatamba na kejeli na kufuru haya
Bwege wewe, SHAME mwenyewe mpuuzi mkubwa. Unafurahia wenzako kupigwa risasi
@@thepresidenttobe5481Umeona
Nikweli lake manyara ndugu zetu walipigwa risasa, r.I.p ndug zetu
Hotuba ya samia nanenane mbeya
Nimekusikiliza kwa umakinii mwanzo mwisho wa hii clip sijasikia ukimwambia Magu amka kama ulivoahidi ukifika Chato...
Kimsingi hayo ndio maneno ya kuongea kama Mpinzani... Mengine sijui Ushoga halalii,sijui Nchi inauzwaa ni maneno unayopaswa uwaaminishe Watu wasio na uelewa.
Lisu kwa nn usife ww kwa yale marisasi. kazi yako ni ujinga tu.
We ndo mjinga ambaye hajielewi Bora kuwa shoga ambaye ameamua nn anakifanya kuliko unasema lissu mjinga
Watu wa chato Ni waajabu kweli wanawezaje kumsikiliza mpumbavu Kama huyu lissu, ambaye hafurahi kuona hospitali ya rufaa imejengwa chato? Kama kwamba wananchi wa chato si watanzania?
Matako wewe
Wananchi wa chato msiwe wajinga. Chadema wamekuwa wakiwabeza nyinyi kuwa hamstahili kuwa na uwanja wa ndege, hospitali ya rufaa na huduma nyingine. Hawa wakipata madaraka wataziondoa huduma zote za kiserikali zilizopo chato kwa Sasa wanazozilslamikia
Sasa ww ni chizi
Politician with the capacity drive saycology of people on his maindset without fear address first what wasira thinking on his brain forget lisu is more than wasira capacity thinking badluck Forest belong to Tanzania national but Tanzania people deeth on on our own forest killings by forenor who own our Tanzania Forest it is the time Tanzania people to wekerup rengforce resist this few politician who enjoys our resources with the forenor
Propaganda. Zenu
Vipi amemuamsha?
Huna sera?
Eti raisi alete waarabu wenzake alafu mkiambiwa chadema ni wadini mnakataa mbona husemi wazungu
Wewe ndio unaleta Udini!
Na akili yako imekaa kidini
KWELI BAADHI YA WATANZANIA AKILI ZAO KAMA PUMBU HIVI UNADIRIKI KUSEMA KUA LISU AWE RAIS NCHI HII MNAFIKI MKUBWA , IBLISI LAAATU LLAAH ,
Kka huyu mhuni tuu Kama wahuni wengine
Jamani jamani. Mzomee porojo hizo. Hayo hayo ndo alizusha wakati wa serikali ya awamu ya tano.
Kichaa anachekesha akiwa sio ndugu yako angekufa ndugu yako usingeongea hayo
Huyu azomewe maana mchochezi
Amechochea bandari zetu zote zigawanywe kwa waarabu eti? Amechochea maliasili zetu kuuzwa kwa waarabu eti! Wewe ni mhonjwa wa akili.
Mchochez wawa mini acha ushamba
Nyie mnaosema mchochez ni mikundu tu hamna ht akili kosa lake nn mnamtukana kumamae zenu mbwa nyie subirien muolewe mpka baba zenu waolewe