TUNDU LISSU AONDOKA NA KIJIJI CHATO, WATU ZAIDI YA 60 WAUAWA NA ASKARI|GARI LA CHADEMA KUCHOMWA MOTO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • TUNDU LISSU AONDOKA NA KIJIJI CHATO, WATU ZAIDI YA 60 WAUAWA NA ASKARI|GARI LA CHADEMA KUCHOMWA MOTO
    Tundu Lissu amefika Chato kuzungumza na wananchi kuhusu Mkataba wa Bandari akiwa kijijini huko ameelezea jinsi wananchi wanavyouawa na askari chanzo kikiwa ni uvuvi wanaoufanya pembezoni mwa Kisiwa cha Rubondo (Hifadhi ya Taifa ya Rubondo).
    #mwanza #raissamia #trending #bandari_song #rip #ruthkadiri247 #daresalaam #simbasc #yangasc #wazirimkuu

Комментарии • 64

  • @lucianoshija1292
    @lucianoshija1292 Год назад +3

    Mungu atuokoe

  • @jacoblongo6814
    @jacoblongo6814 Год назад +3

    😂😂😂😂😂
    Serikali Mungu anawaona kila damu isiyo na hatia inawalilia
    Mtabuna

  • @BensonMpete
    @BensonMpete Год назад +5

    Lisu ipo siku utakua pale ikulu Mungu akulinde sana

    • @JumakimawaMinzanoni
      @JumakimawaMinzanoni Год назад

      Ipi hiyo ikulu?labda ya kwako!

    • @BensonMpete
      @BensonMpete Год назад

      @@JumakimawaMinzanoni unakimbilia kujibu kwani we ni lisu?

    • @Gracemima
      @Gracemima Год назад

      Mungu apishe mbali. Huyu ni puppet mkubwa wa wazungu. Hana adabu anatukana kila mutu.

    • @BensonMpete
      @BensonMpete Год назад

      @@Gracemima ashakum si matusi viva lisu viva

    • @LaizaErnest
      @LaizaErnest Год назад

      ​@@BensonMpeteviva kamanda wetu

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Год назад +2

    Walekeza wa Tanganyika hatujielewi Tatizo shule mungu atusaidie hasa la bandari samahani hawjasoma wa Tanganyika,

  • @antonymomba8185
    @antonymomba8185 Год назад +5

    Vumilieni mnao furahia ujinga huyo anakubalika poleni mnao umizwa na maneno yake

  • @juliusndossa201
    @juliusndossa201 Год назад +5

    Kama una uelewa wa kutosha hiyo ndo maana ya kumwamsha magufuli. Maana yake kufikisha ujumbe mahususi .

  • @SedekiaIsrael
    @SedekiaIsrael 2 месяца назад

    Mzee lissu we ni balaaa

  • @francizzykasowizzy7991
    @francizzykasowizzy7991 Год назад

    Lissu 4 life Haki haidhurumiwi #People'sPower

  • @GeraldMbega
    @GeraldMbega Год назад +5

    Kina wasira wezi, wanapandikiza chuki tu kwa wananchi.

    • @AllyMazinge-k6x
      @AllyMazinge-k6x Год назад

      Wanao pandikiza chuki sio wasira huyoalie mkimbia mgufuli halafu leo anaenda kuwakejeli watu wa chato mm namuona mnafiki wanalazimisha nchi uvunwe ubelgij njoka mwenye vichwa viwili

  • @gosbertfransis106
    @gosbertfransis106 Год назад

    Muheshimiwa washenzi kama wasira hawakosi ndio maana ata bunge lote la wasomi wamejilipua nakupenda KWA hoja nzuri zenye mashiko hao maccm hawajibu hawana jipya

  • @tluwaysulle
    @tluwaysulle Год назад

    Mzee nakuunga mkono asilimia 1000000000000000

  • @AminaMinja
    @AminaMinja Год назад

    Tunaomba Mungu aingilie kati atuokoe kama wana Israel kwani unyama umezidi kwa binadamu wasiokuwa na hatia.

  • @gosbertfransis106
    @gosbertfransis106 Год назад

    Lissu wewe ni Yesu wasila akafe au alee vitukuu

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 Год назад

    Hivi lissu Ana Sera gani ya chake anyowaeleza wananchi zaidi ya kusema na kukashifu watu wengine. Anatakiwa atambie Nini tutarajie kutoka kwake. Vinginevyo Hana jipya

  • @deven.oauditx7547
    @deven.oauditx7547 Год назад +3

    Kichwa cha habari kinapotosha ukweli wa habari yenyewe.

  • @twahirburhan3726
    @twahirburhan3726 Год назад

    Kuna Watu wanafaa kukaa Ikulu lkn si Watu wa Vurugu kama hawa

  • @SabrinaMilanzi-sv2gm
    @SabrinaMilanzi-sv2gm Год назад +1

    Wananchi hawaelewi Kama Hawa niwaajiri wetu tuamke mtu mweusi wake up my

  • @Gracemima
    @Gracemima Год назад +1

    Watu zaidi ya siting wauwawa na police, jamani wako wapi watetezi wa haki za binadamu? Watu sitini wameuwawa sijamusikia Rais kusema chochote. Bila Shaka watu Hawa ni masikini.

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 Год назад +1

    Wewe unavuta bangi umeingiaje kwenye uandishi wa habari ?

  • @IvoFransis
    @IvoFransis Год назад

    Kwann mnaandika vichwa potofu na kinachojiri? Watu 60 waliokufa wamezikwa lini?😮😮 Acheni upotoshaji waisira ni mwehu tu

  • @AllyMazinge-k6x
    @AllyMazinge-k6x Год назад

    Ww ding umeathirika akili ww unajenga nchi au mnajenga nn unao uwezo wanao kuishi ubelgij kama ulivyo mkimbia mg leo unajifanya mwema kwake duu pesa hatari sana et mwanasheria wacheni kupotosha watu nadhani nyinyi wote ni vibararaka 2

  • @LazaroMagaho-fx3wp
    @LazaroMagaho-fx3wp Год назад

    Saf mkuu

  • @MichaelSolayi-wr1se
    @MichaelSolayi-wr1se Год назад

    Inchi ime uzwa

  • @RaymondAndrea-k3l
    @RaymondAndrea-k3l Год назад

    Mfya maji haishi kutatapa.Unatmbeaje na maneno ya mtu?Ina maana huna ya kwako,huo ni unafiki:Magufuli angekuwepo usingekanyaga Chato.

  • @joelthomas-mx6gm
    @joelthomas-mx6gm Год назад +2

    Hii ndio tabu ya kilamtu kuwa mmiliki wa CHOMBO cha habari.
    Usengesana mnapandikiza chuki et watu 60 wameuliwa KWAIYO nyie ni jeshi la police SHAME

    • @sindyvibe7149
      @sindyvibe7149 Год назад +1

      Siyo ungesikiliza kwanza Stori nzima ndiyo utoe ya Moyoni?? Hujamsikia Lissu akisema watu 60 wameuawa Rubondo na Askari wa TANAPA?

    • @TanzaniaFisheriesGroup
      @TanzaniaFisheriesGroup Год назад

      Ulikufuru ulisema utamuamsha umemuamsha ulikua haupo leo unatamba na kejeli na kufuru haya

    • @thepresidenttobe5481
      @thepresidenttobe5481 Год назад

      Bwege wewe, SHAME mwenyewe mpuuzi mkubwa. Unafurahia wenzako kupigwa risasi

    • @faustinejemsi1488
      @faustinejemsi1488 Год назад

      ​@@thepresidenttobe5481Umeona

    • @iddymkeamkea4034
      @iddymkeamkea4034 Год назад

      Nikweli lake manyara ndugu zetu walipigwa risasa, r.I.p ndug zetu

  • @AmosiMwaji
    @AmosiMwaji Год назад

    Hotuba ya samia nanenane mbeya

  • @amanafi1288
    @amanafi1288 Год назад

    Nimekusikiliza kwa umakinii mwanzo mwisho wa hii clip sijasikia ukimwambia Magu amka kama ulivoahidi ukifika Chato...
    Kimsingi hayo ndio maneno ya kuongea kama Mpinzani... Mengine sijui Ushoga halalii,sijui Nchi inauzwaa ni maneno unayopaswa uwaaminishe Watu wasio na uelewa.

  • @cath-ef7wd
    @cath-ef7wd Год назад

    Lisu kwa nn usife ww kwa yale marisasi. kazi yako ni ujinga tu.

    • @tluwaysulle
      @tluwaysulle Год назад +1

      We ndo mjinga ambaye hajielewi Bora kuwa shoga ambaye ameamua nn anakifanya kuliko unasema lissu mjinga

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 Год назад

    Watu wa chato Ni waajabu kweli wanawezaje kumsikiliza mpumbavu Kama huyu lissu, ambaye hafurahi kuona hospitali ya rufaa imejengwa chato? Kama kwamba wananchi wa chato si watanzania?

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 Год назад

    Wananchi wa chato msiwe wajinga. Chadema wamekuwa wakiwabeza nyinyi kuwa hamstahili kuwa na uwanja wa ndege, hospitali ya rufaa na huduma nyingine. Hawa wakipata madaraka wataziondoa huduma zote za kiserikali zilizopo chato kwa Sasa wanazozilslamikia

  • @zegelibilishanga6047
    @zegelibilishanga6047 Год назад

    Sasa ww ni chizi

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 8 месяцев назад

    Politician with the capacity drive saycology of people on his maindset without fear address first what wasira thinking on his brain forget lisu is more than wasira capacity thinking badluck Forest belong to Tanzania national but Tanzania people deeth on on our own forest killings by forenor who own our Tanzania Forest it is the time Tanzania people to wekerup rengforce resist this few politician who enjoys our resources with the forenor

  • @vrk7602
    @vrk7602 Год назад

    Propaganda. Zenu

  • @omaryjumas6327
    @omaryjumas6327 Год назад

    Vipi amemuamsha?

  • @AwadhOmary-x7z
    @AwadhOmary-x7z Год назад

    Eti raisi alete waarabu wenzake alafu mkiambiwa chadema ni wadini mnakataa mbona husemi wazungu

    • @repsphrs5051
      @repsphrs5051 Год назад

      Wewe ndio unaleta Udini!
      Na akili yako imekaa kidini

  • @hassaniulende-sp6io
    @hassaniulende-sp6io Год назад +1

    KWELI BAADHI YA WATANZANIA AKILI ZAO KAMA PUMBU HIVI UNADIRIKI KUSEMA KUA LISU AWE RAIS NCHI HII MNAFIKI MKUBWA , IBLISI LAAATU LLAAH ,

    • @SubiraShuma
      @SubiraShuma Год назад

      Kka huyu mhuni tuu Kama wahuni wengine

  • @zachariamalley7076
    @zachariamalley7076 Год назад

    Jamani jamani. Mzomee porojo hizo. Hayo hayo ndo alizusha wakati wa serikali ya awamu ya tano.

    • @jeffkonki8279
      @jeffkonki8279 Год назад +1

      Kichaa anachekesha akiwa sio ndugu yako angekufa ndugu yako usingeongea hayo

  • @karimkassam571
    @karimkassam571 Год назад +2

    Huyu azomewe maana mchochezi

    • @sesicasi1364
      @sesicasi1364 Год назад +1

      Amechochea bandari zetu zote zigawanywe kwa waarabu eti? Amechochea maliasili zetu kuuzwa kwa waarabu eti! Wewe ni mhonjwa wa akili.

    • @heartchangara628
      @heartchangara628 Год назад

      Mchochez wawa mini acha ushamba

    • @MariamWilliam-z3v
      @MariamWilliam-z3v Год назад

      Nyie mnaosema mchochez ni mikundu tu hamna ht akili kosa lake nn mnamtukana kumamae zenu mbwa nyie subirien muolewe mpka baba zenu waolewe