TUNDU LISSU AMJIBU SAMIA UTATA MTUPU MANENO MAZITO KWA RAIS

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 96

  • @humphreyroberty8982
    @humphreyroberty8982 24 дня назад +15

    Lissu ni mmoja tu Dunia nzima

  • @BarakaKassian
    @BarakaKassian 24 дня назад +14

    Tundu Lissu brain 🧠 kubwa sanaa iyo 💪

  • @RehemaManase-t7j
    @RehemaManase-t7j 24 дня назад +7

    Huyo samia asikiri mungu hayupo, Mungu ninaemjua mimi atatenda juu ya hili

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 24 дня назад +11

    Yesu yu karibu kuja tujiandae

    • @dechardavid2555
      @dechardavid2555 24 дня назад +1

      Yesu yupo kaka anatenda kazi..niwewe tu ujiandae mwenyewe umpokee awe mwakozi wa maisha yako ya sasa na huko utakapoenda baada ya andiko kutimia la kurud mavumbin..barikiwa sana

  • @calvingibson2103
    @calvingibson2103 24 дня назад +10

    Akili kubwa 💪

  • @feruzmato4422
    @feruzmato4422 24 дня назад +8

    Nakuunga mkono mheshimiwa lisu mtetez wetu

  • @jescageorge-fv8yt
    @jescageorge-fv8yt 24 дня назад +8

    Mwamba lissu rais ni wew wanatuchelewesha tuu

  • @MassaiIsaacs
    @MassaiIsaacs 24 дня назад +12

    Yes yes oyeeee Rais mtarajiwa anajua kuongea anajua kuongoza nchi

  • @humphreyroberty8982
    @humphreyroberty8982 24 дня назад +14

    Tanzania na chadema tunajivunia watu Hawa majasiri na hawaogopi 1. MH.freeman mbowe,2. Tundu lissu 3.mdude sumu ya nyigu 7x70 😅 4.Godbless lema 5.John mnyika 6. Boniphace jackob 7. Suggu

  • @ShabaniOnyango-gm3vz
    @ShabaniOnyango-gm3vz 24 дня назад +5

    Inauma Sana jmn we mungu itangulie nchi yetu mnayasikia mateso wanayoyapata watanzania wenzetu jmn

  • @justinebalaguyu7769
    @justinebalaguyu7769 24 дня назад +6

    Hahahhahhahahhaaa daa kuna watu wana akili sana. Sikutegemea .

  • @Ahmedseif-l5g
    @Ahmedseif-l5g 24 дня назад +6

    namkubali huyu mzee

  • @nelsonissangya
    @nelsonissangya 24 дня назад +3

    Kwann lisu Mungu asikusqidie uwe ris pamoja nakwamba sheria zitakuwa ngumu ila una faa

  • @joselinejonathan8818
    @joselinejonathan8818 24 дня назад +6

    Lisu nakukubari saana

  • @prezidakasuga2595
    @prezidakasuga2595 24 дня назад +5

    Asaiv nakuelewa sana kaka ingawa nilikuwa sikupendi enzi za magufuli

    • @Aminmwansile-we8vn
      @Aminmwansile-we8vn 21 день назад

      SI ulikuwa kibaraka wa magufuli ?alifanya uovu mwingi lakini ulikuwa unamshabikia

  • @naishoruamooke
    @naishoruamooke 8 дней назад

    My president 💪💪💪 Tundu lissu

  • @lonsman
    @lonsman 24 дня назад +6

    Ooh God, please help us

  • @MsabahAli-d6u
    @MsabahAli-d6u 23 дня назад +5

    Kama mtanzania na mzanzibar nasimama na Lussu kwasababu ni mtu wa hakki

  • @Wanisimbula
    @Wanisimbula 24 дня назад +7

    hii nchi inavyoendeshwa unaweza kulia ukiifikia kwa undani...Wenye madaraka wameota mapembe

  • @deborahmgedzi632
    @deborahmgedzi632 24 дня назад +4

    Tujitafakari kwaupya Watanzania. Tukubali kushuka ili tuendelee mbele, uchaguzi umbele yetu. Tuwe wawazi, dawa pekee. Mungu Atuongoze.

  • @masensethethird
    @masensethethird 24 дня назад +10

    ILA NADHANI RAIS AACHIE MADARAKA TUMPE NCHI MPINA

  • @FredLuo-v3e
    @FredLuo-v3e 24 дня назад +4

    Uyu mwandishi wa habari ajiangalie sana wale wasiojulikana angalia wasije kuku azory gwanda tu

  • @rambostalon2888
    @rambostalon2888 24 дня назад +4

    Mungu akulinde baba

  • @elizabethiradukunda1950
    @elizabethiradukunda1950 22 дня назад +2

    Mbona mama samia anawaua watu?
    kwani kuna shida mtu kufikiria tofauti na yeye?
    Magufuli aliwapiga akina tundu lisu risasi, mwishoe magufuli alimtangulia tundu
    samia akumbuke, dami ya watu haimwagiki bure
    malipo ni hapa hapa duniani

  • @naishoruamooke
    @naishoruamooke 8 дней назад

    Save the ngorongoro land for the Tanzania maasai,VIVA VIVA tundu lissu.Stop the maasai eviction.😢😢

  • @DaudiMakaza
    @DaudiMakaza 24 дня назад +3

    Raisi wtu byu

  • @KassimSayid
    @KassimSayid 17 дней назад

    Bwana Tundu Lisu Mimi kuna wakati unanichanganya.

  • @saadomar2480
    @saadomar2480 17 дней назад

    Tundulisu huna shukrsn. Kwa uliyofanyiwa nasamia lkn bado wamlaani tu. Hunawemawewe

  • @EdwardNgomai
    @EdwardNgomai 21 день назад +1

    Bab lisu gombea kiti cha urais nitakupa kura yangu baba

  • @SamwelBonphace
    @SamwelBonphace 19 дней назад

    Mungu akusaidie

  • @PeterEwoton-tj1wn
    @PeterEwoton-tj1wn 21 день назад

    Shukuru umoja wa ulaya!

  • @yusuphally-kg4wc
    @yusuphally-kg4wc 23 дня назад +2

    Tatizo la chadema ni kukosa busara ya ufikishaji wa hoja zao. Hawajui kutofautisha kati ya kutoa hoja na kuropoka

  • @AlexanderAmrys
    @AlexanderAmrys 23 дня назад +2

    Hamna kitu humu nayeye akiingia uko madarakan itakua bora ya mama

  • @IddyMustapha-tj4du
    @IddyMustapha-tj4du 22 дня назад +1

    Samia kaota mkia kajiona yeye mungu mtu.

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 21 день назад +1

    Serikal yetu inasema kufa ni kawaida tusubili kuuwawa wote hatuko salama kama si kwako bas kwa wengine

  • @HashimKaoneka
    @HashimKaoneka 23 дня назад +1

    Atabaki na mashekh

  • @EliaMussa-g3h
    @EliaMussa-g3h 20 дней назад

    kweli 👍👍👍👍🙏🇹🇿

  • @ChristianLimo-k8t
    @ChristianLimo-k8t 24 дня назад +1

    Munhu akupe maisha marefu kamanda wetu

  • @ibrahmuya3528
    @ibrahmuya3528 21 день назад

    Mimi lisu ananiuzi kumtaja magufuri tuu kwengine kote sawa

  • @ABDULRAHMANIDAS
    @ABDULRAHMANIDAS 20 дней назад

    Ukimtendea wema muungwana atakushukuru na ukimtendea wema mpumbavu atakutukana, huyu jamaa ni mpumbavu sana

  • @McDicksonMakabara
    @McDicksonMakabara 18 дней назад

    Malipo ni hapahapa Duniani hakuna ujanja

  • @wistonernest1946
    @wistonernest1946 21 день назад

    Kwanini wasiyojulikana wanaatikana Tanzania wanazaliwa kwetu tu

  • @WanuSichone
    @WanuSichone 24 дня назад +6

    Nchi wakutusaidia ni mungu tu tunakufa kama kuku

  • @chindemasoftware
    @chindemasoftware 24 дня назад +1

    Mimi najua siasa ni mchezo mchafu. Nyinyi wenyewe ndo mnachezesha shele huu mchezo. Uaneni ila acha kusingizia serikali

  • @KawaduAmada
    @KawaduAmada 21 день назад

    Niwalewale waliyokunywa ujiwa mugonjwa

  • @danielamosi6871
    @danielamosi6871 22 дня назад +1

    Kwan nchi niyake

  • @JastineJonas-r5o
    @JastineJonas-r5o 20 дней назад

    ❤❤

  • @augustinemainde
    @augustinemainde 24 дня назад +1

    Mtangazaji mchochezi

  • @MirroIdrisa
    @MirroIdrisa 20 дней назад

    Acheni ujinga ndio muandamane pumbavu zenu hata kama ni mm rais siwezi waruhusu nyie wapumbavu wachumia tumbo muandamane

  • @patrickkilongo3214
    @patrickkilongo3214 23 дня назад

    Kitu kinaniuma sana , serekali yetu dereva wa mbunge ana elimu kubwa kuliko mbunge,,,,, kigezo cha kugombea ujue kusoma na kuandika

  • @geofreybowden5477
    @geofreybowden5477 23 дня назад

    Kazi ipo ngoja tuone 2025 picha litaendelea vp

  • @abdulwaheedsheikh8015
    @abdulwaheedsheikh8015 23 дня назад

    Mauaji ni mabaya ila mabalozi wa africa hua hawa kosoi mauaji yakifanyika marekani na ulaya ,nafikiri ndo maana

  • @abrahamuisrael6161
    @abrahamuisrael6161 24 дня назад

    leten na watoto wenu waje apa tz,,wew na lema watoto wenu wapo ughaibuni afu leo uhamasishe watt wa wenzako kuandamana,,jingaa sana hili

  • @AyzalRicco-mi6iu
    @AyzalRicco-mi6iu 23 дня назад

    Lisu acha ujinga wako kwani ukigombana na Askof ndio umefeli maisha? Unaongea ujinga mtupu bwege wewe .

  • @AlexanderAmrys
    @AlexanderAmrys 23 дня назад

    Alf uyu ndio mchochezi sana wa haya mambo na unataka uraisi kweli ww hufai

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 23 дня назад

    Na kutupatwa

  • @RizikKilonji
    @RizikKilonji 22 дня назад

    Mpo vizul

  • @stationerykinondoni7241
    @stationerykinondoni7241 24 дня назад

    Kwa maana hii ni kuwa Tz bila kanisa na maaskofu Rais hana nguvu, hii nchi ni ya kanisa?

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 23 дня назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤🔥🔥👏👏👏👏👏❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥

  • @fakifaki6263
    @fakifaki6263 24 дня назад

    Kama Tanzania anapokea msaada mkubwa kutoka marekani kuliko nchi yoyote .... Israel wasemeje ?

    • @GodwinIssack
      @GodwinIssack 24 дня назад

      Ndio uingie kwenye account yake Balozi wa Marekani atakujibu.

  • @MassaiIsaacs
    @MassaiIsaacs 24 дня назад

    Anajili watu wote

  • @yohanambatizaji5888
    @yohanambatizaji5888 24 дня назад

    Habari zirizojilo

  • @bushirially2077
    @bushirially2077 24 дня назад +1

    Huna jipya

  • @abdullahmasakata170
    @abdullahmasakata170 24 дня назад

    Ujinga tu na upuuzi huu usio na maana yoyote.

    • @GodwinIssack
      @GodwinIssack 24 дня назад +1

      Si kama wale mnao furahia kutekwa kupotezwa na kuuwawa kwa wa Tanganyika!

    • @nelsonissangya
      @nelsonissangya 24 дня назад

      Kam usivyo na akil

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 24 дня назад

      @@GodwinIssack Hio Tanganyika kamuulize alie unganisha Tanganyika na ZANZIBAR kuwa Tanzania, alafu tuambieni alikuwa na lengo gani? Jee ni baya au zuri,? Ukijua hilo koma kubwabwaja wewe Mcongomani.

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 24 дня назад

      @@nelsonissangya Akili zako zionyeshe tuzione rangi zake na idadi yake na tuambie zinakaaga wapi mtandaoni au kwenye simu yako apo kiunoni.

    • @GodwinIssack
      @GodwinIssack 23 дня назад

      @@abdullahmasakata170 mwendawazimu wewe mlaanika na kizazi chako, unaleta upumbavu wako ilihali mbaguzi ninyi mnanufaika Tanganyika yetu wapuuzi wakubwa ninyi! Ukiniita Mimi mkongomani wewe mnani tumbili wewe mkosa Ardhi unaetegemea kila kitu kutoka Tanganyika! Mpumbavu mkubwa kawambia wakosa shule wenzako umasikini wako wa Fikra na Akili.

  • @EdwardBalloho
    @EdwardBalloho 24 дня назад +4

    𝔩𝔦𝔰𝔲 𝔪𝔪𝔬𝔧𝔞 𝔫𝔦 𝔰𝔞𝔴𝔞 𝔫𝔞 𝔠𝔠𝔪 100000