From the point of medical field you can't tell, Ila kupitia hizi simulizi mbona majibu yapo, wale watoto wanaobadilishwa tumboni kichawi unafikiri huwa wanazaliwa na tabia gani, sura na maumbo? Yaweza kuwa ni moja wapo ya walivyobadilishwa na ndiyo maanaa huwa wanafiatiliwa sana maana ni mali yao.
We nae fala kweli kwani uvuvi una kabila maalum au mtu yoyote anaweza kuvua?halafu mbona wapo wakurya wanaozaliwa Dar au kabila fulani anakulia sehemu nyingine tofauti na sehemu ambayo ni asili la kabila ni mkoa fulani
Jamani ,,,watu wa Musoma tupewe maua yetu🌷🌷🌷🤣🤣
😅😅😅😅anitaa. Anita anita anita,,, niko na wewe hadi siku ya mwisho wa story hii
😂😂😂😂aiseeee Anita umejua kunichekeaha aloo
Sema wakurya wana ladha fulan kwenye kuongea kwao Davistar kaa huko huko tuletee watu wenye lafudhi za asili kama huyu dume jike
Tunajivunia na kiswahili chetu
Mbura umetuletea wakurya,nikasema mbee😂😂
Ndio mbura😅😅😅
Amang'ana ghasaghikile mullah
Kweli kwa iyi dunia kuna mambo thanks brother davista for bringing this stories
🤣🤣🤣🤣Davistar mwambie tupo nae paka mwisho familia yako tunampenda yy na wambura
Sawa
Shuleni tulisomaga na binti ni kama mwanaume kila kitu tulikuwa tunamuita baba maana anasauti nzito kuliko wanaume wenyewe 😂😂😂
Na huyo ukickia sauti utajua ni mwanaume kbs aisee
Nashangaa sauti kumbe mwanamke
Assallam aleikum tuwekee ya mwizi wa kuku kibaka mzoefu
Pamoja sana Davistar
Nategea sikio👂kwa umakini sana👂
Wameru from Kenya huyu dada yenu hata wabora yupo.
auu mksii mbe enketu ki ?🤣🤣🤣
Tuliambiwa ni Jamila ni mwanamke sasa mbona mwanaume jamani kipi kinaendelea
Jaman toka nianza kusikiliza hizi story sijawai comment lkn leo anita kanichekesha sn venye anavyoongea😂kazi nzuri davistar
🤣🤣🤣
Mtaelewa tu! Sisi ndo wakurya halisi, Original,
Sasa mwanamke! Hio sauti inakuaje? Makubwaaa!!! Mbona yakiume?
Yaitwa Edit juu musimjue😅
Sauti ya kiume
Assallam aleikum davistar mmi nime mpenda anita wangu na suti yake nime ipenda na anadisia mpaka raha kama wamoyo
Waallaykum ssallam warahma tullah wabarakatuh
Ugali mkuwa ata mtoto akikaa humuoni🤣🤣🙌
Interesting.
Dm umgekuwa unaliza story 1 ndio uanze nyingine unatunganya sana
Wapi makofi ya wambura😂
Uyu ni mwanamke au mwanaume
Nimechek sana davista 😂
Safari hii simulizi tumepata 😂😂😂😂😂😂😂
Tumepatamo mbe😢
@@nantaembanusurupia5674😂😂mbee
Lakini ni msimlizi mzuri sana
Loh sio kwakucheka huku 😅😅😅😅
Tuko pamoja Sana Kaka davistar nakupata vizur Sana
Wallah nimechekaa mimi 😂😂😂😂😂😂😂😂 kwan na uyu ni mwanamke kweli au ?
😂😂😂😂😂
😂😂 jamaa kajua kunichekesha
Nimekua wa kwanza na mtu asiniulize maswali 😂😂😂
Unaogopa kuulizwa masawali
@@onesmokapugi5875 ndio
DAAH NIMECHEKA SANA JAMANI 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Anota gani mb.n sauti ya kike jmn au cjaelewa
Inamaan huy ni mwanamke 😂😂😂😂
Bhutubhwiii,,,kipara
Mbona anita ana nichanganya kweli huyu ni anita kweli
Naomba nimuone sura yake ili niamini kama kweli ni WA kike
Jamn mbona sauti yakiume au cm yangu mbovu
Hiii sauti jmni 🥰😂
Kali
Anita anita anita muraaaa davista hii kali kuliko ya yule msukuma
Haki Leo davista umetuweza🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 mpokeeni dada yenu huyo
🤣🤣🤣na tupo naye mpk mwisho
mtu ni mwanaume eti mi ni wa kike! we wa kike uende na wanaume kuvua!!! hasi na chanya!!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ndeee
Sorry,
Wadau naomba kuuliza.
Huyu ni mwanamke?
Au ni men?
Make sauti, jina na Title haviendani.
Majibu tafadhali
Kuja na wambura kenya 😂 wambura eeee😂😂😂😂
wa Musoma mpewe maua ya nn
Amkeni
Sauti ni hatari😅 but twende kazi na story
Hahahahahah yaan
😂😂😂😂😂 aiseee hii story itakuwa Kali ya mwaka nimecheka mpaka basi
Mbona Sauti yakiume
Sasa tumehamia kwa Anitha baada ya mzee wa skadi kuelekea tamati
duh 😮
😂😂😂😂yaan nimecheka haki😂😂😂
Haya mambo ya kuku wa baharini niliyasikia kwa Mzee wa skadi kumbe ni kweli
sauti je
Mbona sauti niyakiume😅😮 ama masikio yangu yanashida🦻😮
Mwanamke ila mambo yake ya kiume
😂😂😂😂😂nicheka sana
Wakike wakiume?🙄
wabongo ni binamu huyu ni wa nyamira kisii
Kani kagundua sauti kama mzee wa skadi
Uyu ni mzee wa skadi kuchange lafudhi
Pole anit😅😅
Aisee story nzur Anita sauti Sasa
Davista hapa umetupiga changa la uso, huyu siyo jike ni dume
Ss huyu ni m.mke gani
Davista umetupiga uyo sio dada
😂😂😂😅😅
Kwani huyu ni mwanamke sauti hii ni ya mwanamke??? Dooo haya bana
Hii story Anita Ahu kakayake Anita?? Ndio Anamuongelezea manayake Anita Alikua kwenda usiku ziwani kuvua samaki ???
Assallam aleikum davistar nime mpenda anita mwambie atowe namba
🤣🤣🤣 nitaweka namba yake kwenye epsode ya mwisho ya story hii
Mwanamke huyo??
Huyu Ni mkongomani?😮
Mbona anaongea mwanaume siyo mwanamke? Halafu rafidhi yake ni ya kikurya lakini alitambulishwa kuwa ni mjita
Kuna jamaa mmoja aliwahi kuwa mvuvi maeneo hayo hii story ni kama anaijua
Ati mwanamke?????mbona sieleei
😂😂
Anita mimi siogopi sauti yako naomba nikuoe hivyo hivyo Davista nipe namba yake anita
😂😂😂 umeuwaaaaaa
Nitaiweka kwenye video
Aki watu wa davistar Mata wako na shida😅😅😅
Hivi hawa wanawake wanakuja na sauti za kiume inatokana na nini anaejua aniambie
Kama unacho kizaz ucpende jaji vtu hii
Jamani simungu kamuumba mbona kunawanaume unakuta mwanaume mtu mzima tuuh anakua nasauti yakike naninyembambaa balaa
From the point of medical field you can't tell, Ila kupitia hizi simulizi mbona majibu yapo, wale watoto wanaobadilishwa tumboni kichawi unafikiri huwa wanazaliwa na tabia gani, sura na maumbo? Yaweza kuwa ni moja wapo ya walivyobadilishwa na ndiyo maanaa huwa wanafiatiliwa sana maana ni mali yao.
😅😅
😁😁😁😁😁😁😁
😂😂😂😂😂😂
nikasema mbe mbembe mbe
ushamba😂mmetisha!
Jamn jmn davstar ww 😂😂😂sw banaa karibu da anita
Vita ni vita mura 😂
Mbona sauti ya kiume
🤣🤣🤣 ni mwanamke huyo wewe jichanganye
Anita kidume?i am lost😅
Hata me sijaelewa😂
Yani nacheka naicho kiswahili nimempenda bure
Tuelewamo tuu
Wambura jamani
Mbona una sauti yakiume
Nikasema mbee ila anita
Eeeeh😂😂😂😂😂 hii sauti jmn
Tupia Mwendelezo Wa Mzee Wa Skad
Bro mzee wa kuzimu vipi tuletee bana
Stor tamu mura
Ng'ana maana yake ni nini ?
Neno
Kwakwel
Is this really a woman?
kwa WENYEJI wa MUSOMA Wenye lafudhi hiyo hawatoki majita na wenye kuongea hivyo kiasili ni wafugaji hawavuwi samaki.
We nae fala kweli kwani uvuvi una kabila maalum au mtu yoyote anaweza kuvua?halafu mbona wapo wakurya wanaozaliwa Dar au kabila fulani anakulia sehemu nyingine tofauti na sehemu ambayo ni asili la kabila ni mkoa fulani
🤣🤣ziwa lipite ad musoma na wasivue unachekesha kweli nenda musoma ukajionee wakokoz wa musoma💪
Ng'ana ng'ana wambura wambura nyie
Kesho mapema basi
Jike dume Vipi sauti kabisa niya kiume
Kwani jike maana yake ni mwanamke mwenye maumbile na tabia na mambo ya kiume
Maana yake ni mwanamke mwenye vitu vya kiume
Huyu yani hata geto sijui atakupiga mitama ya kila rangi kanuna kuanzia sauti mbaka sehemu za Siri😂😂😂
@@babaalex5062😂😂😂
Vitu ambavyo sijaamini kuhusu msimuliaji ,kwanza sio wa kike wala sio mkurya na cha tatu ni siri
😂😂
😂😂