PART1:MKASA WA ANITHA ALIEKUWA ANAFUATWA NA JENEZA LENYE MAITI YA MUME WAKE KILA SEHEMU ANAPOENDA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 142

  • @dorahmavazi111
    @dorahmavazi111 Год назад +5

    Jamani ,,,watu wa Musoma tupewe maua yetu🌷🌷🌷🤣🤣

  • @MatukimagereMagere
    @MatukimagereMagere Год назад +8

    😅😅😅😅anitaa. Anita anita anita,,, niko na wewe hadi siku ya mwisho wa story hii

  • @RosemaryChristopher
    @RosemaryChristopher Год назад +4

    😂😂😂😂aiseeee Anita umejua kunichekeaha aloo

  • @bongobongo3882
    @bongobongo3882 Год назад +5

    Sema wakurya wana ladha fulan kwenye kuongea kwao Davistar kaa huko huko tuletee watu wenye lafudhi za asili kama huyu dume jike

  • @rachelmsekena603
    @rachelmsekena603 Год назад +3

    Mbura umetuletea wakurya,nikasema mbee😂😂

  • @sophiebanga9533
    @sophiebanga9533 Год назад

    Kweli kwa iyi dunia kuna mambo thanks brother davista for bringing this stories

  • @cocotz1892
    @cocotz1892 Год назад +3

    🤣🤣🤣🤣Davistar mwambie tupo nae paka mwisho familia yako tunampenda yy na wambura

  • @bongobongo3882
    @bongobongo3882 Год назад +3

    Shuleni tulisomaga na binti ni kama mwanaume kila kitu tulikuwa tunamuita baba maana anasauti nzito kuliko wanaume wenyewe 😂😂😂

  • @MulondelwamwindaAthumani
    @MulondelwamwindaAthumani Год назад +1

    Assallam aleikum tuwekee ya mwizi wa kuku kibaka mzoefu

  • @mazonaone7708
    @mazonaone7708 Год назад +1

    Pamoja sana Davistar

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Год назад +1

    Nategea sikio👂kwa umakini sana👂

  • @jamesgachigua8329
    @jamesgachigua8329 Год назад +2

    Wameru from Kenya huyu dada yenu hata wabora yupo.

    • @cyantess8423
      @cyantess8423 Год назад

      auu mksii mbe enketu ki ?🤣🤣🤣

  • @apolinemalungano9155
    @apolinemalungano9155 Год назад +1

    Tuliambiwa ni Jamila ni mwanamke sasa mbona mwanaume jamani kipi kinaendelea

  • @LucySwaibu
    @LucySwaibu Год назад +1

    Jaman toka nianza kusikiliza hizi story sijawai comment lkn leo anita kanichekesha sn venye anavyoongea😂kazi nzuri davistar

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 Год назад +5

    Sasa mwanamke! Hio sauti inakuaje? Makubwaaa!!! Mbona yakiume?

  • @othmanmulendelwa9622
    @othmanmulendelwa9622 Год назад +2

    Assallam aleikum davistar mmi nime mpenda anita wangu na suti yake nime ipenda na anadisia mpaka raha kama wamoyo

  • @LilianMnyanyi-jd8ut
    @LilianMnyanyi-jd8ut Год назад

    Ugali mkuwa ata mtoto akikaa humuoni🤣🤣🙌

  • @andrewbigambo6721
    @andrewbigambo6721 Год назад

    Interesting.

  • @saumusudi9720
    @saumusudi9720 Год назад +1

    Dm umgekuwa unaliza story 1 ndio uanze nyingine unatunganya sana

  • @Foodie_Tv1
    @Foodie_Tv1 Год назад +1

    Wapi makofi ya wambura😂

  • @Anastadhi
    @Anastadhi Год назад

    Uyu ni mwanamke au mwanaume

  • @jakembazi
    @jakembazi Год назад +1

    Nimechek sana davista 😂

  • @tayanabenard4392
    @tayanabenard4392 Год назад +1

    Safari hii simulizi tumepata 😂😂😂😂😂😂😂

  • @mildredakinyi9855
    @mildredakinyi9855 Год назад

    Lakini ni msimlizi mzuri sana

  • @hadijjohn3771
    @hadijjohn3771 2 месяца назад

    Loh sio kwakucheka huku 😅😅😅😅

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 Год назад

    Tuko pamoja Sana Kaka davistar nakupata vizur Sana

  • @munaahkiogakioga7330
    @munaahkiogakioga7330 Год назад +1

    Wallah nimechekaa mimi 😂😂😂😂😂😂😂😂 kwan na uyu ni mwanamke kweli au ?

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Год назад

    😂😂 jamaa kajua kunichekesha

  • @Irenes_Kitchen
    @Irenes_Kitchen Год назад +1

    Nimekua wa kwanza na mtu asiniulize maswali 😂😂😂

  • @monicambuva529
    @monicambuva529 Год назад

    DAAH NIMECHEKA SANA JAMANI 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @skeeteranderson375
    @skeeteranderson375 Год назад

    Anota gani mb.n sauti ya kike jmn au cjaelewa

  • @marrypius576
    @marrypius576 Год назад

    Inamaan huy ni mwanamke 😂😂😂😂

  • @dorahmavazi111
    @dorahmavazi111 Год назад

    Bhutubhwiii,,,kipara

  • @JaneDoe-hf3zy
    @JaneDoe-hf3zy Год назад

    Mbona anita ana nichanganya kweli huyu ni anita kweli

  • @nurumasha
    @nurumasha Год назад +1

    Naomba nimuone sura yake ili niamini kama kweli ni WA kike

  • @lenakassian-pr3dy
    @lenakassian-pr3dy Год назад

    Jamn mbona sauti yakiume au cm yangu mbovu

  • @malaikaally2645
    @malaikaally2645 Год назад

    Hiii sauti jmni 🥰😂

  • @johnjoseph1106
    @johnjoseph1106 Год назад

    Kali

  • @violethnatai7890
    @violethnatai7890 Год назад

    Anita anita anita muraaaa davista hii kali kuliko ya yule msukuma

  • @marryjoely8091
    @marryjoely8091 Год назад

    Haki Leo davista umetuweza🤣🤣🤣🤣

  • @jenipherkachecheba8097
    @jenipherkachecheba8097 Год назад

    mtu ni mwanaume eti mi ni wa kike! we wa kike uende na wanaume kuvua!!! hasi na chanya!!

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 Год назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ndeee

  • @stevejeremiah4497
    @stevejeremiah4497 Год назад

    Sorry,
    Wadau naomba kuuliza.
    Huyu ni mwanamke?
    Au ni men?
    Make sauti, jina na Title haviendani.
    Majibu tafadhali

  • @joymkenya2359
    @joymkenya2359 Год назад

    Kuja na wambura kenya 😂 wambura eeee😂😂😂😂

  • @jenipherkachecheba8097
    @jenipherkachecheba8097 Год назад

    wa Musoma mpewe maua ya nn

  • @PascalJohnMsisi
    @PascalJohnMsisi Год назад +1

    Amkeni

  • @Irenes_Kitchen
    @Irenes_Kitchen Год назад +2

    Sauti ni hatari😅 but twende kazi na story

  • @Oneofhiskind123
    @Oneofhiskind123 Год назад

    😂😂😂😂😂 aiseee hii story itakuwa Kali ya mwaka nimecheka mpaka basi

  • @marcodaud1005
    @marcodaud1005 Год назад +1

    Sasa tumehamia kwa Anitha baada ya mzee wa skadi kuelekea tamati

  • @moshihusna6766
    @moshihusna6766 Год назад

    duh 😮

  • @teddysisty320
    @teddysisty320 Год назад

    😂😂😂😂yaan nimecheka haki😂😂😂

  • @rerisamba
    @rerisamba Год назад

    Haya mambo ya kuku wa baharini niliyasikia kwa Mzee wa skadi kumbe ni kweli

  • @jenipherkachecheba8097
    @jenipherkachecheba8097 Год назад

    sauti je

  • @Irenes_Kitchen
    @Irenes_Kitchen Год назад +1

    Mbona sauti niyakiume😅😮 ama masikio yangu yanashida🦻😮

  • @elishajilungu1055
    @elishajilungu1055 Год назад

    Wakike wakiume?🙄

  • @cyantess8423
    @cyantess8423 Год назад

    wabongo ni binamu huyu ni wa nyamira kisii

  • @JaneDoe-hf3zy
    @JaneDoe-hf3zy Год назад

    Kani kagundua sauti kama mzee wa skadi

  • @kdbmcee789
    @kdbmcee789 Год назад

    Uyu ni mzee wa skadi kuchange lafudhi

  • @aziza9093
    @aziza9093 Год назад

    Pole anit😅😅

  • @elizabethamon2801
    @elizabethamon2801 Год назад

    Aisee story nzur Anita sauti Sasa

  • @sadiqmwafrica6759
    @sadiqmwafrica6759 Год назад

    Davista hapa umetupiga changa la uso, huyu siyo jike ni dume

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 7 месяцев назад

    Ss huyu ni m.mke gani

  • @husseinhamis14
    @husseinhamis14 Год назад

    Davista umetupiga uyo sio dada

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 Год назад

    Kwani huyu ni mwanamke sauti hii ni ya mwanamke??? Dooo haya bana

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    Hii story Anita Ahu kakayake Anita?? Ndio Anamuongelezea manayake Anita Alikua kwenda usiku ziwani kuvua samaki ???

  • @othmanmulendelwa9622
    @othmanmulendelwa9622 Год назад

    Assallam aleikum davistar nime mpenda anita mwambie atowe namba

    • @DavistarMataMediaDM
      @DavistarMataMediaDM  Год назад

      🤣🤣🤣 nitaweka namba yake kwenye epsode ya mwisho ya story hii

  • @AnnaJovine-zo7ne
    @AnnaJovine-zo7ne Год назад +1

    Mwanamke huyo??

  • @biblenakoranmatuhuhu9904
    @biblenakoranmatuhuhu9904 Год назад

    Huyu Ni mkongomani?😮

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 Год назад

    Mbona anaongea mwanaume siyo mwanamke? Halafu rafidhi yake ni ya kikurya lakini alitambulishwa kuwa ni mjita

  • @earthgottalent7765
    @earthgottalent7765 Год назад

    Kuna jamaa mmoja aliwahi kuwa mvuvi maeneo hayo hii story ni kama anaijua

  • @mildredakinyi9855
    @mildredakinyi9855 Год назад

    Ati mwanamke?????mbona sieleei

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Год назад

    😂😂

  • @habotanzania1982
    @habotanzania1982 Год назад +2

    Anita mimi siogopi sauti yako naomba nikuoe hivyo hivyo Davista nipe namba yake anita

  • @mazonaone7708
    @mazonaone7708 Год назад +3

    Hivi hawa wanawake wanakuja na sauti za kiume inatokana na nini anaejua aniambie

    • @mohamedngoshani2067
      @mohamedngoshani2067 Год назад

      Kama unacho kizaz ucpende jaji vtu hii

    • @Kalssambabo-gv6uh
      @Kalssambabo-gv6uh Год назад

      Jamani simungu kamuumba mbona kunawanaume unakuta mwanaume mtu mzima tuuh anakua nasauti yakike naninyembambaa balaa

    • @bintalmasi2393
      @bintalmasi2393 Год назад

      From the point of medical field you can't tell, Ila kupitia hizi simulizi mbona majibu yapo, wale watoto wanaobadilishwa tumboni kichawi unafikiri huwa wanazaliwa na tabia gani, sura na maumbo? Yaweza kuwa ni moja wapo ya walivyobadilishwa na ndiyo maanaa huwa wanafiatiliwa sana maana ni mali yao.

  • @imagepower3641
    @imagepower3641 Год назад +1

    😅😅

  • @monicambuva529
    @monicambuva529 Год назад

    😁😁😁😁😁😁😁

  • @katherinasamwel3937
    @katherinasamwel3937 Год назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @FETTYDHAHABU
    @FETTYDHAHABU 10 месяцев назад

    nikasema mbe mbembe mbe

  • @jenipherkachecheba8097
    @jenipherkachecheba8097 Год назад

    ushamba😂mmetisha!

  • @MozaDevi-pg1tj
    @MozaDevi-pg1tj Год назад

    Jamn jmn davstar ww 😂😂😂sw banaa karibu da anita

  • @Project1986p
    @Project1986p Год назад

    Vita ni vita mura 😂

  • @johnjoseph1106
    @johnjoseph1106 Год назад +2

    Mbona sauti ya kiume

  • @graytonndamgoba4805
    @graytonndamgoba4805 Год назад

    Anita kidume?i am lost😅

  • @fatumahaji-ei5hk
    @fatumahaji-ei5hk Год назад

    Yani nacheka naicho kiswahili nimempenda bure

  • @ndigwako
    @ndigwako Год назад

    Wambura jamani

  • @ninabizimana6869
    @ninabizimana6869 Год назад

    Mbona una sauti yakiume

  • @violethnatai7890
    @violethnatai7890 Год назад

    Nikasema mbee ila anita

  • @yeslord2276
    @yeslord2276 Год назад

    Eeeeh😂😂😂😂😂 hii sauti jmn

  • @DennisManumba
    @DennisManumba Год назад

    Tupia Mwendelezo Wa Mzee Wa Skad

  • @scholamwasi2782
    @scholamwasi2782 Год назад

    Bro mzee wa kuzimu vipi tuletee bana

  • @aziza9093
    @aziza9093 Год назад

    Stor tamu mura

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Год назад

    Ng'ana maana yake ni nini ?

  • @ayiekowabombakairi
    @ayiekowabombakairi Год назад

    Is this really a woman?

  • @wilfredmalima1138
    @wilfredmalima1138 Год назад

    kwa WENYEJI wa MUSOMA Wenye lafudhi hiyo hawatoki majita na wenye kuongea hivyo kiasili ni wafugaji hawavuwi samaki.

    • @mazonaone7708
      @mazonaone7708 Год назад +1

      We nae fala kweli kwani uvuvi una kabila maalum au mtu yoyote anaweza kuvua?halafu mbona wapo wakurya wanaozaliwa Dar au kabila fulani anakulia sehemu nyingine tofauti na sehemu ambayo ni asili la kabila ni mkoa fulani

    • @elizabethamon2801
      @elizabethamon2801 Год назад

      🤣🤣ziwa lipite ad musoma na wasivue unachekesha kweli nenda musoma ukajionee wakokoz wa musoma💪

  • @aphilinamsafiri9780
    @aphilinamsafiri9780 Год назад

    Ng'ana ng'ana wambura wambura nyie

  • @fatumahaji-ei5hk
    @fatumahaji-ei5hk Год назад

    Kesho mapema basi

  • @HamzaOmar-wb9sn
    @HamzaOmar-wb9sn Год назад

    Jike dume Vipi sauti kabisa niya kiume

    • @bongobongo3882
      @bongobongo3882 Год назад

      Kwani jike maana yake ni mwanamke mwenye maumbile na tabia na mambo ya kiume

    • @DavistarMataMediaDM
      @DavistarMataMediaDM  Год назад

      Maana yake ni mwanamke mwenye vitu vya kiume

    • @babaalex5062
      @babaalex5062 Год назад +1

      Huyu yani hata geto sijui atakupiga mitama ya kila rangi kanuna kuanzia sauti mbaka sehemu za Siri😂😂😂

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 Год назад

      ​@@babaalex5062😂😂😂

  • @johnjoseph1106
    @johnjoseph1106 Год назад

    Vitu ambavyo sijaamini kuhusu msimuliaji ,kwanza sio wa kike wala sio mkurya na cha tatu ni siri

  • @pezuzacreator7837
    @pezuzacreator7837 Год назад

    😂😂

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Год назад

    😂😂