Hawa wa ndugu ya Anita hawakuwa na muda wa kujuwa kuhusu pesa maana raha ilikuwa nyingi, lakini Anita una roho nzuri, ya kutokuhesabu mabaya, mimi na kupenda bure, ila uokoke njoo kwa Yesu na hiyo roho yako, Mungu atakutendeya makuu kuliko ya huyo shetani
Mmmmmmm, hivi vipindi vya davistar na wengine wanatuleteya mambo mengi ya kutuweka karibu na Mungu na kuepukana mambo ya shetani yana hasara kila wakati na pia tusipende kupewa pesa na hatujuwi zimepatikana kwa njia gani
Asante kwa kutujuza mengi yanayo tuzunguka chini ya jua
Anita Big ❤️ 💙 💜 una roho safi sana hata namuomba Mungu anisaidie mimi pia niwe na roho safi kama wewe
Mbe mbeee Anita wetu
Till next episode, allamsiki msikilizaji
Hawa wa ndugu ya Anita hawakuwa na muda wa kujuwa kuhusu pesa maana raha ilikuwa nyingi, lakini Anita una roho nzuri, ya kutokuhesabu mabaya, mimi na kupenda bure, ila uokoke njoo kwa Yesu na hiyo roho yako, Mungu atakutendeya makuu kuliko ya huyo shetani
Kweli kabisa Anita umesema kweli misaada mingine ina sababu zake tuichunguze sana
Kazi ya wamayo hio unachagua kaoshi au kucheka
Mmmmmmm, hivi vipindi vya davistar na wengine wanatuleteya mambo mengi ya kutuweka karibu na Mungu na kuepukana mambo ya shetani yana hasara kila wakati na pia tusipende kupewa pesa na hatujuwi zimepatikana kwa njia gani
Mama nikweli alikosea bado anita alikuwa na moyo mzuri sana kwake
Yaan mmi nikajua anaitwa shasha kumbe ni chacha wetu mbee
Ukajua mama kaenda kutolewa pumuzi?
Nitafute mu inbox yangu tusaidiyane kwa maombi kama unataka ku mupokeya Yesu, amen
Jifunze kuandika vizuri kwanza
Mbeee hata kuniamsha ng'ana hamtaki..
Wamwisho😢😂❤❤
Wabura wetu jaman. Lakin shasha
Vaiba ikakata kona kurudi ilipotoka 😁😁😁😁😁😁😁😁
Devasta mwbiy aaxisiya vyate asifichahatakimuj iliwatuwajifuz namurumiya san nimempeda Anita kwkutuelimish
mbee wanatuletea usiku jomon
Ngana mangana ndiyo nini jaman embe Mimi nahitaj kujuamo
Kina wamayo hao ati cheka unakatwa mdomo mzima
Usiwe na kisasi na usihifadhi chuki ndan ya moyo wako ilo ni funzo tosha kwetu
Mbeee mbeèe Anita watu pele
Nimewahi leo
Anita anampenda mamake sema masharti lazima yakukute tu mbee
J.boys 1999
Viper ni nini jameni
Viber ila si unajumjua Anitha wetu anavyoongea
Anamaanisha boti
@@hildaernest1090 oh asante
Duuh hata ndani ya sekunde kuna mtu kashapitamo😂😂😂Mbee Mbee Mbee haya bwana
Ngana kilamtu yupo makini
@@rayahamisi118 Kwakweri nikasemapo Mbee Mbee Mbee 😂😂😂 kwakweri watu wapo makini Mbee Mbee Mbee
😂😂😂 baya ndilo nilalo chekwa kucheka pensi na 😂😂😂😂
Kaoshi😂
Kujen