PART10:MKASA WA ANITHA ALIEKUWA ANAFUATWA NA JENEZA LENYE MAITI YA MUME WAKE KILA SEHEMU ANAPOENDA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 36

  • @mildredakinyi9855
    @mildredakinyi9855 Год назад +2

    Asante kwa kutujuza mengi yanayo tuzunguka chini ya jua

  • @rerisamba
    @rerisamba Год назад +2

    Anita Big ❤️ 💙 💜 una roho safi sana hata namuomba Mungu anisaidie mimi pia niwe na roho safi kama wewe

  • @RegnaRegna4
    @RegnaRegna4 Год назад +4

    Mbe mbeee Anita wetu

  • @MBerny-ez5su
    @MBerny-ez5su Год назад +1

    Till next episode, allamsiki msikilizaji

  • @azizabuyonde8368
    @azizabuyonde8368 Год назад +1

    Hawa wa ndugu ya Anita hawakuwa na muda wa kujuwa kuhusu pesa maana raha ilikuwa nyingi, lakini Anita una roho nzuri, ya kutokuhesabu mabaya, mimi na kupenda bure, ila uokoke njoo kwa Yesu na hiyo roho yako, Mungu atakutendeya makuu kuliko ya huyo shetani

  • @marianchamba3898
    @marianchamba3898 Год назад +1

    Kweli kabisa Anita umesema kweli misaada mingine ina sababu zake tuichunguze sana

  • @marianchamba3898
    @marianchamba3898 Год назад +1

    Kazi ya wamayo hio unachagua kaoshi au kucheka

  • @azizabuyonde8368
    @azizabuyonde8368 Год назад +1

    Mmmmmmm, hivi vipindi vya davistar na wengine wanatuleteya mambo mengi ya kutuweka karibu na Mungu na kuepukana mambo ya shetani yana hasara kila wakati na pia tusipende kupewa pesa na hatujuwi zimepatikana kwa njia gani

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Год назад

    Mama nikweli alikosea bado anita alikuwa na moyo mzuri sana kwake

  • @violethnatai7890
    @violethnatai7890 Год назад

    Yaan mmi nikajua anaitwa shasha kumbe ni chacha wetu mbee

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 Год назад

    Ukajua mama kaenda kutolewa pumuzi?

  • @azizabuyonde8368
    @azizabuyonde8368 Год назад +4

    Nitafute mu inbox yangu tusaidiyane kwa maombi kama unataka ku mupokeya Yesu, amen

  • @marcodaud1005
    @marcodaud1005 Год назад +1

    Mbeee hata kuniamsha ng'ana hamtaki..

  • @Irenes_Kitchen
    @Irenes_Kitchen Год назад

    Wamwisho😢😂❤❤

  • @marketingmanagerramahbmwak1508

    Wabura wetu jaman. Lakin shasha

  • @monicambuva529
    @monicambuva529 Год назад

    Vaiba ikakata kona kurudi ilipotoka 😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @aziza9093
    @aziza9093 Год назад

    Devasta mwbiy aaxisiya vyate asifichahatakimuj iliwatuwajifuz namurumiya san nimempeda Anita kwkutuelimish

  • @Kalssambabo-gv6uh
    @Kalssambabo-gv6uh Год назад +1

    mbee wanatuletea usiku jomon

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Год назад

    Ngana mangana ndiyo nini jaman embe Mimi nahitaj kujuamo

  • @rerisamba
    @rerisamba Год назад

    Kina wamayo hao ati cheka unakatwa mdomo mzima

  • @williammwambyale2015
    @williammwambyale2015 Год назад +1

    Usiwe na kisasi na usihifadhi chuki ndan ya moyo wako ilo ni funzo tosha kwetu

  • @aziza9093
    @aziza9093 Год назад

    Mbeee mbeèe Anita watu pele

  • @dianangethe7839
    @dianangethe7839 Год назад

    Nimewahi leo

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Год назад

    Anita anampenda mamake sema masharti lazima yakukute tu mbee

  • @tututz100
    @tututz100 Год назад

    J.boys 1999

  • @dianangethe7839
    @dianangethe7839 Год назад

    Viper ni nini jameni

  • @charlesmapunda5905
    @charlesmapunda5905 Год назад

    Duuh hata ndani ya sekunde kuna mtu kashapitamo😂😂😂Mbee Mbee Mbee haya bwana

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 Год назад

      Ngana kilamtu yupo makini

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 Год назад

      @@rayahamisi118 Kwakweri nikasemapo Mbee Mbee Mbee 😂😂😂 kwakweri watu wapo makini Mbee Mbee Mbee

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 Год назад

    😂😂😂 baya ndilo nilalo chekwa kucheka pensi na 😂😂😂😂

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 Год назад

    Kujen