PART4:KIJANA ALIEENDA KUTAFUTA UTAJIRI WA KICHAWI KWA WAGANGA NA KISHA KUKUTANA NA MAMBO YA KUTISHA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 85

  • @satinotino481
    @satinotino481 3 года назад +1

    Mungu anawapenda sana wababe

  • @elizanzula8375
    @elizanzula8375 3 года назад

    Brother MUNGU amekupa sauti nzuri Sana ya kutangaza injili songa mbele kabisa na Kazi ya MUNGU Kwa MUNGU kuna raha hakuna majuto kabisa raha ya milele na milele sifa zote Kwa yesu daima amina.

  • @satinotino481
    @satinotino481 3 года назад +1

    Mtu wa mungu hawezi laza mtu njaa
    HUYO HAKUWA MTU WA MUNGU

  • @MaryamMaryam-wp5yk
    @MaryamMaryam-wp5yk 3 года назад +3

    Pazi analiiwa sie tukiwa watoto tumekula saana niwataam mmno 😂😂😂 nimewamissi mmno😋😋🤣

    • @fekechezidg2036
      @fekechezidg2036 3 года назад

      Sawq mno 😂😂😂😁😁😁

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 года назад

      Kabisaa tena na senene😂😂😂😂😂😂

  • @somoeawadh7774
    @somoeawadh7774 3 года назад +1

    Ana raha huyu anawataja bila Wasi Wasi, 💃💃💃

  • @pilimusa7770
    @pilimusa7770 3 года назад

    Ila huyu jamaa ananichekesha kweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @gmdecoration6044
    @gmdecoration6044 3 года назад

    Ubaya wamchungaji ndio kipimo chako Ange kutia moyo ungemtumikia mchungaji sio Mungu uliyo pitia ndio ulipo takiwa muheshimu Sana amekufikisha hapo

  • @Yusufu940
    @Yusufu940 3 года назад

    Safi sana kwa ushauri Mungu akubariki

  • @somoeawadh7774
    @somoeawadh7774 3 года назад

    Ndio kufika Shukran sana, kwa muendelezo.

  • @satinotino481
    @satinotino481 3 года назад +1

    Laki 3 😁alipitanayo wapiii lol 😆😂
    Wachungaji wengine laana tupu
    EE MUNGU AZIDI KUSIMAMA NA WATU WAKE AMEN 🙏

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw 3 года назад

    Pazi🦗 kitambo nimekula sana hezi za utoto uku home

  • @Teacher_01
    @Teacher_01 3 года назад +1

    Tupo pamojaa.... ❣️❣️❣️❣️🙏

  • @margaretachieng9887
    @margaretachieng9887 3 года назад

    Leo nime jaribu umesema ukweli mungu haku bariki amen 🙏

  • @tututz100
    @tututz100 3 года назад

    TISHA

  • @karrolleschon3986
    @karrolleschon3986 3 года назад

    😎🇸🇪🇸🇪🇰🇪👍

  • @peninahkariuki4679
    @peninahkariuki4679 3 года назад

    Pole kwa hard life🇰🇪

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 3 года назад +1

    👂👀

  • @fahadjinni5845
    @fahadjinni5845 3 года назад +1

    WEWE UKITAK GARI MCHUNGAJI ANAKUOMBEA..... MCHUNGAJI AKITAK GARI MNAMCHANGIA😁😁😁😁

  • @aggywindewinde2595
    @aggywindewinde2595 2 года назад

    Mtumishi umeongea kweli hawana utu wanajali sadaka tu

  • @farusaimon3490
    @farusaimon3490 3 года назад

    Panzi wanaliwa, mimi ni miongoni mwa wanaokula panzi, juzi, jana, sasa na kesho. Panzi ni kitoweo kizuri sana! Hata hivyo, si kila panzi wanaliwa, wengine ni sumu.

  • @salmasalma8203
    @salmasalma8203 3 года назад

    Pmoja asnt kw muendlz

  • @kisurangusa554
    @kisurangusa554 3 года назад

    Ni kweli kabisa?

  • @ludza32
    @ludza32 3 года назад +1

    Huyu atupe mkasa mambo mengi ya kuoka atuwachishe

  • @fatmaalrshdii7615
    @fatmaalrshdii7615 3 года назад

    MTU makini katika ubora wako pamoja Sana Ka Ka angu wa ukweli endelea kutufundisha wanafunzi wako tunaelewa bila ya kutuchapa viboko

  • @macamezunguzungu5697
    @macamezunguzungu5697 3 года назад

    Pamoja dm 💪🔥🇹🇿

  • @pilimusa7770
    @pilimusa7770 3 года назад

    👏👏👏👏👏👏👏👏👌🙏

  • @charlesvictor5924
    @charlesvictor5924 3 года назад

    Acha story..unatumalizia bundle

  • @pilimusa7770
    @pilimusa7770 3 года назад

    Shem shemeji. Nimecheka kweli🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @daxpcomando9440
    @daxpcomando9440 3 года назад

    mwanamke alieolewa na jambazi

  • @amosjblack9614
    @amosjblack9614 3 года назад

    Pamoja

  • @happykajeli5453
    @happykajeli5453 3 года назад

    Kweli kabisa ibada njema huanzia nyumbani mwako wachungaji mbadilike

  • @pilimusa7770
    @pilimusa7770 3 года назад

    Chumba unalala kama mbuzi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nasibubalonzizubusa3449
    @nasibubalonzizubusa3449 3 года назад

    Davta hapo ni mahubirini au

  • @gilbertybahati1614
    @gilbertybahati1614 3 года назад

    afuu mbona anatufokea

  • @kakajoss2464
    @kakajoss2464 3 года назад

    Grasshoppers

  • @shantellemwanakombo3703
    @shantellemwanakombo3703 3 года назад

    Haya

  • @thumnathumna5946
    @thumnathumna5946 3 года назад

    🙆‍♀️niache swala tano, niende nikaokoke icho kitu hakitawezekana katika maisha yangu....paloko eb tuletee ctor..kondoo watakufuata tu taratibu.

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 года назад

      Kabisaa

    • @igurusitv6553
      @igurusitv6553 3 года назад

      Hatuishi kwa ajili ya dini, tunaishi kwa amli za mwenyezi Mungu. Kama unaamini dini yako itakupeleka peponi imekula kwako mkuu.
      Na uislam wako bado ni mzinzi, bado ni msengenyaji, bado ni muongo, bado mwizi bado ni mtenda dhambi. Usijivunie dini, jivunie utii wako wa amli za mwenyezi Mungu bila kujari unaabudu wapi

    • @thumnathumna5946
      @thumnathumna5946 3 года назад

      @@igurusitv6553 cjui uongee lugha gani ad nikuelewe.fuata kile unachoona kinakufaa.binafsi at uje na bunduki cji uko uliko wewe endelea na unachokiamini. Umu ni kwa ajili ya ctor na tunajifunza mambo tofauti uwezi ukamradhimisha mtu aokoke au aamini unachokiamini. Pigia msitari na usisahau at sekunde ilo nililokuambia.

  • @frajomedia6071
    @frajomedia6071 3 года назад +1

    Tuko pamoja

  • @thegreat.9869
    @thegreat.9869 3 года назад

    Panzi nzige senene wote wanaliwa. Ila inategemea ni jamii gani

  • @mutukumwaniki3901
    @mutukumwaniki3901 3 года назад

    Ni sauti moja tu ukujia kwa maskio ww pekeako ndo uskia nimewaiskia mara mbili tofauti

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 3 года назад

    Punguza sauti mpaka mwisho (0) jamaa ana makelele

    • @somoeawadh7774
      @somoeawadh7774 3 года назад

      😂😀😀

    • @credo7837
      @credo7837 3 года назад

      Binadamu hamna shukran

    • @fatmaalrshdii7615
      @fatmaalrshdii7615 3 года назад

      @@credo7837 umeonaeee atari na nusu aaàaa

    • @credo7837
      @credo7837 3 года назад

      @@fatmaalrshdii7615 sanaa ikiwa ndogo ooh aongeze saut

  • @ramadhangona9085
    @ramadhangona9085 3 года назад

    Panzi wanaliwa Davista...nishawala Sana ...panzi ama parare..pwani ya Kenya na wako Aina nyingi nyingi Sana na majina tofauti....Kwa Luga ya baba 🤣 ni mabanzi....ama banzi kama ni moja

  • @othmanmulendelwa9622
    @othmanmulendelwa9622 3 года назад +1

    Fata yalio kuleta atutaki maubiri yako wewe adisia mambo yako tu kila mtu ana imani yake

  • @ryhislamminamuonamsengetu9111
    @ryhislamminamuonamsengetu9111 3 года назад

    Panzi wanaliwa kwetu singida

  • @pilimusa7770
    @pilimusa7770 3 года назад

    Jamani eee mie nakula panzi , senene, kumbi kumbi , pengine na balanguru🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣✌

  • @hillarykirui4257
    @hillarykirui4257 3 года назад

    Among the top twenty give us likes subscribers of this channel

  • @ryhislamminamuonamsengetu9111
    @ryhislamminamuonamsengetu9111 3 года назад

    Kamaanalia kumbe anacheka aisee🤣🤣🤣😢

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 года назад

    pamoja

    • @annamwita1952
      @annamwita1952 3 года назад

      Jamani panzi analiw vizur anakaamgw au kuchoma 🤣

  • @florencerose859
    @florencerose859 3 года назад

    Kanisa sikuhizi nyingi zimekwua kama private development tabu sana

  • @kisurangusa554
    @kisurangusa554 3 года назад

    Dunia na vyote vijazavyo ni mali ya Mungu,,

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 года назад

    mchungaji shemu badilisha tabia yako mbaya unapo kaa na wasaidizi wapatie mahitaji yakujikimu kimaisha

  • @pilimusa7770
    @pilimusa7770 3 года назад

    Jamani eeee nilikuwa na raba zinaitwa lakuchumpya🤣

    • @fatmaalrshdii7615
      @fatmaalrshdii7615 3 года назад +1

      So lakumpa lamaa izo

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 года назад

      @@fatmaalrshdii7615 ndiyo hizo hizo. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kumbe unazijuwa. Nyingine zinaitwa yoso🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @macamezunguzungu5697
    @macamezunguzungu5697 3 года назад

    Wachungaji badilikeni😳

  • @othmanmulendelwa9622
    @othmanmulendelwa9622 3 года назад

    Tuna wajuwa ao panzi inchi zote zina tumia jina iloilo

  • @issamashurinyo9609
    @issamashurinyo9609 3 года назад

    Maubili ya nn sasa achaizo

  • @yushuaissa467
    @yushuaissa467 3 года назад

    Good script for a marvel movie.

  • @fekechezidg2036
    @fekechezidg2036 3 года назад

    Kunawatu na viatu 🤔🤔🤔🤔

  • @kisurangusa554
    @kisurangusa554 3 года назад

    Panzi ni nzige na zinaliwa?

  • @yushuaissa467
    @yushuaissa467 3 года назад

    Praying manti.