et unafany tendo la ck zote hapo hapo, kumbe tunaweza kuwa tunatafta ndugu huku dunian kapotea kumbe yuko huko kwa mungu bonge anakula madem ck zote hahahahahaaaaa
davistar yule mama alie chukuliwa mwanawe na wachawi akajaribu kumrudisha lakini mpaka sasa ajampata lakini sauti ya mwanawe anaisikia akipinga odii., davistar kwa wale waganga ulie wafanyia interview.. mwambie mmoja wao amrudishe huyo mtoto .ili tupate kuona ukweli wao. usimsahau mti mkavu kwasababu anajisifu sana
Nani anakubaliana na mimi kua hii channel nikama kileo....yani inarosto noma ikiisha unabaki kila wakati unachungulia tu kama vile unachemsha maharagwe.....🤣🤣🤣🤣
😉Bonge kujaa kwenye kiti, sauti ya mtoto 😉Bwawa la damu 😉Kurusha hirizi juu majengo yakaonekana 😉Kupokelewa na wadada wawili Mh hii sehemu ni kweli ipo, km Mzee wa bakora alvosema
Nilipo kuwa darasa la 6 nilisikia kengere ya shule inapigwa Usiku mkubwa sana. Mimi nakumbuka nilijikuta niko shule nimesimama peke yangu naingalia gengere kulikuwa kweupe lakini sikuona mtu mwingine. Kesho yake tuliiskia kama Kuna wanafunzi wengine walienda pia hawakuonekana tena. Hilo tokeo nalikumbuka kama lilitokea Leo.Mungu mkubwa Nipo bado mpaka Leo 😁
Noma sna tunaoishi hapa ndo tunajua na kila sku zinavozidi kwenda ndo watu wanazidi kujitokeza waliofikwa na mambo mazito kifupi wenye masaibu ni wengi
Nipoo Nani kawahi kama mimi Hongera sana Devister Pamoja sanaaaa, Huyo Mother Aliepita kisha akarudi nyuma Amenichekesha sana yaa Alitaka Umbea kamili🤣🤣🤣🤣 ANYWAY PAMOJA SANAAA NAPEPERUSHA FLAG YA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Nikiwa 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲
@@ikabako2454 🤣🤣🤣😂😂 ni kweli yaani hakiaminiki kabisa😂😂🤣🤣 halafu kinabadilika wakati wowote mara kwenye mitumba mara kwenye madini.Kikitoka hapo kinaingia muonjano church daah,yaani ni tafrani tu🤣🤣😂😂
@@jesusislord9190 haya mambo ni yakwel sema kwakua ni ya ulimwengu mwingine ndio maana tunaona Kam ni story, kifupi tujishikamanishe na MUNGU ndio nusura yetu
Watu wako bize na upishi mkuje huku kaw kaw pili pili zuu khadija fatme leyla shadow mkuje huku kumenoga eeehee mungu wayule mkaka alokua akiwaingilia watu hadi kufa mmmh mungu bonge
Huyu ni mtu wa pili anasema mfalme wao alikuwa mnene.. na malkia alikuwa anaoga damu kama yule jamaa alivyo lambwa akawekewa hirizi..huyu nae ilitumika kucha inamaana ni kweli..kabisa
Huyu mzee anaongea kweli ameenda kuzimu anasimulia kama mzee wa bakola za kimkakati shibalonda😭
inawezakana hio sehemu iko na msimamishi mmoja
@@flubtv kweli kabisa
huyo mungu bonge nyanya kwel atakuwepo maan, mzee wa bakora za kimkakati kumbe wako bahalini, hahahahaaaa et watu wanafany mapenz kika siku
et unafany tendo la ck zote hapo hapo, kumbe tunaweza kuwa tunatafta ndugu huku dunian kapotea kumbe yuko huko kwa mungu bonge anakula madem ck zote hahahahahaaaaa
Kweli kabisa,ni kama ni sorry moja 🤣🤣🤣🤣
davistar yule mama alie chukuliwa mwanawe na wachawi akajaribu kumrudisha lakini mpaka sasa ajampata lakini sauti ya mwanawe anaisikia akipinga odii., davistar kwa wale waganga ulie wafanyia interview.. mwambie mmoja wao amrudishe huyo mtoto .ili tupate kuona ukweli wao. usimsahau mti mkavu kwasababu anajisifu sana
Mti mkavu tapel hujasikia kuna mtu kamtapel laki nane
Hamna cha mganga aende kwa kuhani musa richard mwacha iko kimara temboni aonane na kuhani mwenyewe ata mwambia vya kufanya
@@fatmamucha4419 mm pia kanitapeli elfu hamsini
@@davidochieng7055 duh pole sana
Mtafuten huyu 0758148423 ni mmama anasaidia atamsaidia huyo mtoto atalud huku kuna mtoto alipotea mazingira tata ameludishwa
Leo nimeamua ni comment ivoivo tu maana nyie wachoyo wa like
Hongera
Sasa umecoment nn hapo bl unalalamikaa😂😂😂
Nimekometi uache kulalamika
@@fatmaalrshdii7615 kabsa 😂😂😂😂😂😂
Hivi mnazifanyiaga nin hizi like mnazo ombaga 😂 tujuzane basi na sisi tuanze kuombaa🙄🙄
Nani anakubaliana na mimi kua hii channel nikama kileo....yani inarosto noma ikiisha unabaki kila wakati unachungulia tu kama vile unachemsha maharagwe.....🤣🤣🤣🤣
Hapo kuna kaukweli
🤣😂
😂
Mi mwenyewe nishakuwa mrahibu
😃😃Dah noma saana huo msosi
😉Bonge kujaa kwenye kiti, sauti ya mtoto
😉Bwawa la damu
😉Kurusha hirizi juu majengo yakaonekana
😉Kupokelewa na wadada wawili
Mh hii sehemu ni kweli ipo, km Mzee wa bakora alvosema
😀😀😀 davister mungu bonge au sio ahahaha
hahahahaaa mungu bonge nyanya yaleyale ya mzee wa bakora za mkakati, kumb huyo bonge yupo kwel
Davistar kipenzi twashukuru kwa kazi nzuri
Hongera Davistar kwa kupata tangazo la Azam wamejua umuhimu wako
Wa kwanza uwiiiiii
Rahae😅😅😅😅😅😅et uuuwwiiiii
@@gosbertmuta5421 😀😀😀
Nilipo kuwa darasa la 6 nilisikia kengere ya shule inapigwa Usiku mkubwa sana. Mimi nakumbuka nilijikuta niko shule nimesimama peke yangu naingalia gengere kulikuwa kweupe lakini sikuona mtu mwingine. Kesho yake tuliiskia kama Kuna wanafunzi wengine walienda pia hawakuonekana tena. Hilo tokeo nalikumbuka kama lilitokea Leo.Mungu mkubwa Nipo bado mpaka Leo 😁
kwenye mashule kuna mambo ya ajabu
@@Mpakauseme kweli kabisa
Mara nyingi tulikuwa tunakuta kinyesi fresh kwenye class au tunanusa harufu ya pilau nzuri tu. Lakini tuliyazoea mambo hayo.
Wachawi walaniwe
@@annkim2690 ameen🤲🏼
Dm anakili sana anamuhoji, akiona jamaa amelitamka vigumu au vibaya yeye analirejea, kwa njia ya kulirejea kwa mfumo wa swali💪
Toka Burundi nakupata vizuri davi
Olakoze
Lakini mwanza kuna stories nyingi za kusisimua aisee matukio kama yote duh davistar barikiwa bro
Noma sna tunaoishi hapa ndo tunajua na kila sku zinavozidi kwenda ndo watu wanazidi kujitokeza waliofikwa na mambo mazito kifupi wenye masaibu ni wengi
Wa 45 naombeni like moja tu jamani
Haya ondoka
Tuko pamoja
@@fatmamucha4419 sana wngu😘😘😘😘
Nice questions DAVIE 🙌🙌🙌🙌
Minute 3:17 kuna mwanadada ana catwalk hadi amerudia tena 🤭🤭🤭 mashallah
🤣🤣🤣🤣
Umenifanya nirudie
😅😅😅
Nimerudi kuangalia
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimemuona
Sasa tamaa za mapenzi utakosa utajili😅🤣🤣🤣🤣🤣
Siku moja nitatembea maeneo ya mwanza,nafuatilia story from Nairobi.
Twende aki
Channel yangu pendwa kabisa Davistarmata nakushukuru kwa ajiri ya channel yako hii kusema kwel inanifundisha mengi sana..
Fm morn Nasra Aiyam zabiya Nguwalo kashnga Amina Farhat salum salim salim xiwaon damaniii🤔🇪🇭🇪🇭
Davista hii storY nzuri sana
Pole sana mzee wangu
Mganga wa mzee wa mkakati na huyu ni mmoja
Jamaa hafahamiki mana anahadisia kiwahka waka . Hatulii. Mbona kama anaiga stori zilopita au anataka pesa to na yeye
good broo
Mr everything 👍👍👍
Hii location ni ile ulikuwa na zabron mzee wa misosi
jaman Dunia hii Allah atuepushie na huo wali
Pamoja Sana brother dav
Mwamba anataka kumpiga malkia sound anaulizia kama ana bwana ampige bakora za kimkakati 😂😂😂😂
Pole ake
Story inaendana na ya ruwanda kagere, "bakola za kimkakati" pia alimuona mungu bonge mwenyewe sauti ya kitoto!
Huyu mzee ni muongo mie namuona kwanza story yake haiendi kwa mpango anakumbuka alichokiona hapa
Sijachelewa bado niko Mr everything
Hongera wngu😘😘😘😘😘😘
Mm pia mybe part 2 tutaelewaa
@@nurafedrick378 kabsa wngu😘😘😘😘🤝🤝
Ongera yako sana
Leo nasikia kwa mara ya pili mungu bonge
Nipoo Nani kawahi kama mimi Hongera sana Devister
Pamoja sanaaaa, Huyo Mother Aliepita kisha akarudi nyuma Amenichekesha sana yaa Alitaka Umbea kamili🤣🤣🤣🤣
ANYWAY PAMOJA SANAAA NAPEPERUSHA FLAG YA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Nikiwa 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲
Ni wapi huko uko
@@rosecruiz4348 🇴🇲 Oman
Pamoja dav ulipo nami nipo 🙏🇹🇿💪🔥
Mwambie a endege UG kakande ministries
Atapona
😂😂😂 unataka kujua kila kitu wangekuua shauri yako.
Eeeh mungu 🙏atulinde
Yap more fire
mungu bonge 🤔🤔🤔
Twendeni pamoja
Amemtaja mwalimu Pascal alikuwaga mkali jamani alafu kweli kunakipindi hadi chooni shulen kulikuwa na vihoja .......tujuane team nyamagamana primary wa enzi hizooooo.....
Na meno naona walimtoa huu utajili ni balaa tu meno yote kamwachia shetani🤣🤣🤣
Mbavu zanguu😂😂😂😂😂😂😂
Wallah Sitaki kucheka 😂😂😂
@@FFL-X1D 😁😁😁
@@somoeawadh7774 😃😃
🤣🤣🤣🤣
Uko ndipo alipo enda mzee wa kucharaza bakora 🤣🤣🤣
hahaha chezea bakora ww😁😂😃😅
Yarab
Bakora za kimkakati....2
Ila mtumakini stor ya shekh mnyeshani..Aka mtumishi omary stor yake iko pending hv? Au imeisha..
Ile iliisha
Haikuisha,,,kumbuka hatujafika namna ya yeye kuokoka
Kweli ndio hapo tunapopataka kama iko pending vile
Eeh. hata Mimi naulizia hio story mbona hajaimalizia
Watu wamejaa hapa kweli
Unamuuliza malkia una mume?we kiboko ndio maana walisema ukipewa utajiri utakuwa muhuni😂😂😂😂
@@ikabako2454 🤣🤣🤣😂😂 ni kweli yaani hakiaminiki kabisa😂😂🤣🤣 halafu kinabadilika wakati wowote mara kwenye mitumba mara kwenye madini.Kikitoka hapo kinaingia muonjano church daah,yaani ni tafrani tu🤣🤣😂😂
@@ikabako2454 😂😂😂 Ni kweli hana cha kuongeza madoido.Angekuwa mwingine hapo zingetoka episode 10.😂😂😂
Dah
Aisee huyu ameenda sehem moja alioenda mzee wa bakora za kimkakati
Mxiiii uyu jamaa mbona anongea story ambazo tushazipitia humu kama ya Mzee wa bakora anachanganya na nyengine
Ile ya mama wa kwenda gamboshi mbona hujatumalizia
Aisee mbona watu wako fasta. Kuwahii Leo x 😅😅👍
Umeona eee 😂😂😂😂😂❤❤🇪🇭🇪🇭
@@FFL-X1D Kabisa👍
@@tracyirene8917 pamoja wngu😘😘😘
Hahah mlikula mashonde
Wa1
Jamani pesa zitatuua
😂😂😂mungu bonge wa Mzee wa bakora za kimkakati kaonekana hukuuu
Inamaa Huyu ni mtu wa pili inamaana ni kweli
@@jesusislord9190 haya mambo ni yakwel sema kwakua ni ya ulimwengu mwingine ndio maana tunaona Kam ni story, kifupi tujishikamanishe na MUNGU ndio nusura yetu
uyo malikia kwelisiyo yule lwanda Magere ni hatari sana
Apo ndo mzee wa bakora alienda kumbe
Eeh ndio Hapo Ukikosea masharti basi wewe utafanya mapenzi bila kuchoka 😅😅😅
MTU makini katika ubora wako pamoja Sana Ka Ka angu wa ukweli endelea kutufundisha wanafunzi wako tunaelewa bila ya kutuchapa viboko
pamoja wngu😘😘😘😘😘😘😘
@@ayshamahariq6665 Sana nakupenda pia mwa mwaaaaa
@@fatmaalrshdii7615 pamoja wngu❤❤❤❤❤
Unaboa davister maswali mengi
Watu wako bize na upishi mkuje huku kaw kaw pili pili zuu khadija fatme leyla shadow mkuje huku kumenoga eeehee mungu wayule mkaka alokua akiwaingilia watu hadi kufa mmmh mungu bonge
❤️❤️❤️❤️❤️
Na me nipo
Ndiyo nmefka wngu ❤❤❤❤🤝🤝🇪🇭🇪🇭
Twapika dear
@@Teacher_01 zuu hujambo
huy jmaa alikoend ni kuleee kw mzee wa bakora za kimkakti
🤣🤣🤣🤣 huyo hiyo story kaisikia kwa mzee wa bakora zakimkakati kisha kaedit alafu kaibuka kuulungaga mambo, kimtindo maji ya bahari
Km kaongezea ya Rwanda magele
@@opionlinetv5052 Ndio kajiongeza 🤣
Mhhhh huyo hawez hata kuona msimjaze maneno
1
Huyu ni mtu wa pili anasema mfalme wao alikuwa mnene.. na malkia alikuwa anaoga damu kama yule jamaa alivyo lambwa akawekewa hirizi..huyu nae ilitumika kucha inamaana ni kweli..kabisa
Uyu jamaa mbn km anataka kutulia hela zetu tu kweli amuulize malikia habari za mume🙌
😂😂😂😂😂😂
@@nurafedrick378 😂😂😂😂😂😂
@@nurafedrick378 😂😂😂Yan uyu kaskiliz shuhuda za watu kaja kuchukua hela ake hp
lisslissa yaezekanaa kweli😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Story take kama ya mzee wa bakora za kimkakati
Wa kwanzaaaa 😂😂💃💃🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭
Hongera my
@@philipoluzege3200 Asante wngu❤❤❤❤❤
@@philipoluzege3200 za mdaa huuu❤❤❤❤❤
Hongera
@@FFL-X1D ni njema wangu za uko
MASHARTI
Stori ya huyu jamaa hata haieleweki
Nilifkiri peke yng simuelewi
Mh honest uyu mzee uyu mh hpn kwakwel
umeona eee😂😂😂
@@ayshamahariq6665 😂😂😂😂umeon alivyokuwa anaitafuta irizi kaongo aka kwaiy miak yote hajui ipo mguu gan
@@deelissa2746 Nimeona wngu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
DEV HUYO SIO MTU NI MSUKULE HUO KUA NAO MAKINI
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😆😆😆😆
🤣🤣🤣
@@davidochieng7055 😃😃😃😃
🙄🙄🙄🇰🇪
Huyu jini ndo mtoa utajiri ambae alikutana na mzee wa bakora za kimkakati dahhh
Ndio yy dear 😁😁😁
Nyoka anaongea huyo sio babu kajigeuzaa
ni yy wngu🤣🤣🤣🇪🇭🇪🇭
@@ayshamahariq6665 😂😂😂wachawi Wang's.. kumbe wanambinu zakujigeuzaa😂😂aisee
@@nurafedrick378 eeeee wngu😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@pilimusa7770 😂😂😂😂😂😂
Nmerudia tena kusikiliza mkasa huu na kweli Emma kahakikisha matukio ya jamaa wa bakora za kimkakati
kweli
Yaani nyie wote mwasema 1..???😳🙄🙄
Davista...kuna story uja malizulia...story ya chee..ambaye ameokoka...sasa unanichanganya bana...mi mkongo kutokeya Kampala...
Ws 2
Hii sehemu ni pale ulimuhoji Zabron
Ni hapo aswa..kwa zabron
Ndio kufika
Pamoja wngu❤❤❤
Pamoja Sana
Kumekuchaaa njoooni...
Nshafka pamoja
Nimekuja pamoja Sana
Dooh davista wee
Mpaka iishe mikasa yote Davistar atakuwa mganga mkubwa 😁😂
@@Laila-lz4ij 🤣🤣🤣 kisha onjaa soda na juis ya mti mkavu lazima
@@kalssambaboo9932 umeona eee😂😂😂🇪🇭🇪🇭
@@kalssambaboo9932 🤣🤣🤣🤣
@@Laila-lz4ij ushaa pika leyla
Aaaa Ila binadamu sisi tumeshindikana eti malikia una mume anataka ampe misitari malikia 😅😅😅😅
Sindio darling ama wewe hutaki
@@somoeawadh7774 uyu jamaa angebaki uko afate kilicho mpeleka inaonekana niwarembo kweli kila anae kuja anasema niwazuri 😅😅😅😅
@@gmdecoration6044 itabidi na wewe siku mmoja uende ukajionee!! Ama 😅😅😅
@@somoeawadh7774 ahaà kapike ftar😅😅😅😅
hatr😂😂😂😂😂😂😂
Akaa kazee kapo na pozii
Hahaaa
Narud 👂🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭
🤔🤔😅😅
@@tracyirene8917😂😂😂😂😂❤❤❤
@@tracyirene8917 Naandaa ftr wngu😂😂❤❤ njoooo
@@FFL-X1D usichelewe kuja
@@fatmaalrshdii7615Ndiyo saaahii wngu😂😂😂😂❤❤❤
Shkamo Kaka dav naomba niunge kwa group jamn la whasap 0788327252
Kwan kuna grp??????????🇪🇭🇪🇭
@@FFL-X1D yeah
@@gosbertmuta5421 vxur🤝🤝🇪🇭🇪🇭
Mími pià
Sikujua kuwa kuna group ...embu atuunge bana magwiji wake wa enzi hizo
1