PART1:MWANAUME ALIEFATA UTAJIRI WA KICHAWI NA KUISHIA KUWA KIPOFU BAADA YA KUKATAA MASHARTI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 294

  • @macamezunguzungu5697
    @macamezunguzungu5697 3 года назад +22

    Huyu mzee anaongea kweli ameenda kuzimu anasimulia kama mzee wa bakola za kimkakati shibalonda😭

    • @flubtv
      @flubtv 3 года назад

      inawezakana hio sehemu iko na msimamishi mmoja

    • @Laila-lz4ij
      @Laila-lz4ij 3 года назад

      @@flubtv kweli kabisa

    • @martinmaryogo3676
      @martinmaryogo3676 3 года назад

      huyo mungu bonge nyanya kwel atakuwepo maan, mzee wa bakora za kimkakati kumbe wako bahalini, hahahahaaaa et watu wanafany mapenz kika siku

    • @martinmaryogo3676
      @martinmaryogo3676 3 года назад +1

      et unafany tendo la ck zote hapo hapo, kumbe tunaweza kuwa tunatafta ndugu huku dunian kapotea kumbe yuko huko kwa mungu bonge anakula madem ck zote hahahahahaaaaa

    • @milkahotieno2198
      @milkahotieno2198 3 года назад

      Kweli kabisa,ni kama ni sorry moja 🤣🤣🤣🤣

  • @sheikhabdallahiddi3350
    @sheikhabdallahiddi3350 3 года назад +10

    davistar yule mama alie chukuliwa mwanawe na wachawi akajaribu kumrudisha lakini mpaka sasa ajampata lakini sauti ya mwanawe anaisikia akipinga odii., davistar kwa wale waganga ulie wafanyia interview.. mwambie mmoja wao amrudishe huyo mtoto .ili tupate kuona ukweli wao. usimsahau mti mkavu kwasababu anajisifu sana

    • @fatmamucha4419
      @fatmamucha4419 3 года назад +1

      Mti mkavu tapel hujasikia kuna mtu kamtapel laki nane

    • @rosecruiz4348
      @rosecruiz4348 3 года назад

      Hamna cha mganga aende kwa kuhani musa richard mwacha iko kimara temboni aonane na kuhani mwenyewe ata mwambia vya kufanya

    • @davidochieng7055
      @davidochieng7055 3 года назад

      @@fatmamucha4419 mm pia kanitapeli elfu hamsini

    • @fatmamucha4419
      @fatmamucha4419 3 года назад +1

      @@davidochieng7055 duh pole sana

    • @matridalule6477
      @matridalule6477 3 года назад

      Mtafuten huyu 0758148423 ni mmama anasaidia atamsaidia huyo mtoto atalud huku kuna mtoto alipotea mazingira tata ameludishwa

  • @chingaboy6917
    @chingaboy6917 3 года назад +19

    Leo nimeamua ni comment ivoivo tu maana nyie wachoyo wa like

    • @fatmamucha4419
      @fatmamucha4419 3 года назад

      Hongera

    • @nurafedrick378
      @nurafedrick378 3 года назад

      Sasa umecoment nn hapo bl unalalamikaa😂😂😂

    • @fatmaalrshdii7615
      @fatmaalrshdii7615 3 года назад

      Nimekometi uache kulalamika

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 года назад

      @@fatmaalrshdii7615 kabsa 😂😂😂😂😂😂

    • @mursallusinde9189
      @mursallusinde9189 3 года назад +1

      Hivi mnazifanyiaga nin hizi like mnazo ombaga 😂 tujuzane basi na sisi tuanze kuombaa🙄🙄

  • @ramadhangona9085
    @ramadhangona9085 3 года назад +22

    Nani anakubaliana na mimi kua hii channel nikama kileo....yani inarosto noma ikiisha unabaki kila wakati unachungulia tu kama vile unachemsha maharagwe.....🤣🤣🤣🤣

  • @mgenirasimi7771
    @mgenirasimi7771 3 года назад +2

    😃😃Dah noma saana huo msosi

  • @messimessi7255
    @messimessi7255 3 года назад +1

    😉Bonge kujaa kwenye kiti, sauti ya mtoto
    😉Bwawa la damu
    😉Kurusha hirizi juu majengo yakaonekana
    😉Kupokelewa na wadada wawili
    Mh hii sehemu ni kweli ipo, km Mzee wa bakora alvosema

  • @oneononetv5663
    @oneononetv5663 3 года назад +2

    😀😀😀 davister mungu bonge au sio ahahaha

  • @martinmaryogo3676
    @martinmaryogo3676 3 года назад +2

    hahahahaaa mungu bonge nyanya yaleyale ya mzee wa bakora za mkakati, kumb huyo bonge yupo kwel

  • @babyboss2886
    @babyboss2886 3 года назад +1

    Davistar kipenzi twashukuru kwa kazi nzuri

  • @shantellemwanakombo3703
    @shantellemwanakombo3703 3 года назад +1

    Hongera Davistar kwa kupata tangazo la Azam wamejua umuhimu wako

  • @rahaisacl9954
    @rahaisacl9954 3 года назад +7

    Wa kwanza uwiiiiii

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 года назад

      Rahae😅😅😅😅😅😅et uuuwwiiiii

    • @rahaisacl9954
      @rahaisacl9954 3 года назад

      @@gosbertmuta5421 😀😀😀

  • @Laila-lz4ij
    @Laila-lz4ij 3 года назад +8

    Nilipo kuwa darasa la 6 nilisikia kengere ya shule inapigwa Usiku mkubwa sana. Mimi nakumbuka nilijikuta niko shule nimesimama peke yangu naingalia gengere kulikuwa kweupe lakini sikuona mtu mwingine. Kesho yake tuliiskia kama Kuna wanafunzi wengine walienda pia hawakuonekana tena. Hilo tokeo nalikumbuka kama lilitokea Leo.Mungu mkubwa Nipo bado mpaka Leo 😁

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 3 года назад +1

      kwenye mashule kuna mambo ya ajabu

    • @Laila-lz4ij
      @Laila-lz4ij 3 года назад

      @@Mpakauseme kweli kabisa
      Mara nyingi tulikuwa tunakuta kinyesi fresh kwenye class au tunanusa harufu ya pilau nzuri tu. Lakini tuliyazoea mambo hayo.

    • @annkim2690
      @annkim2690 3 года назад +1

      Wachawi walaniwe

    • @Laila-lz4ij
      @Laila-lz4ij 3 года назад

      @@annkim2690 ameen🤲🏼

  • @makame3524
    @makame3524 3 года назад

    Dm anakili sana anamuhoji, akiona jamaa amelitamka vigumu au vibaya yeye analirejea, kwa njia ya kulirejea kwa mfumo wa swali💪

  • @ndikumasabodiegovevo9091
    @ndikumasabodiegovevo9091 3 года назад +1

    Toka Burundi nakupata vizuri davi

  • @carrenchigulu5712
    @carrenchigulu5712 3 года назад +5

    Lakini mwanza kuna stories nyingi za kusisimua aisee matukio kama yote duh davistar barikiwa bro

    • @mursallusinde9189
      @mursallusinde9189 3 года назад

      Noma sna tunaoishi hapa ndo tunajua na kila sku zinavozidi kwenda ndo watu wanazidi kujitokeza waliofikwa na mambo mazito kifupi wenye masaibu ni wengi

  • @ibraah7679
    @ibraah7679 3 года назад +10

    Wa 45 naombeni like moja tu jamani

  • @videozaaj1069
    @videozaaj1069 3 года назад

    Nice questions DAVIE 🙌🙌🙌🙌

  • @babyboss2886
    @babyboss2886 3 года назад +5

    Minute 3:17 kuna mwanadada ana catwalk hadi amerudia tena 🤭🤭🤭 mashallah

  • @roseuwambe8089
    @roseuwambe8089 3 года назад

    Sasa tamaa za mapenzi utakosa utajili😅🤣🤣🤣🤣🤣

  • @wilsonwilson2417
    @wilsonwilson2417 3 года назад +1

    Siku moja nitatembea maeneo ya mwanza,nafuatilia story from Nairobi.

  • @womanofsteel827
    @womanofsteel827 3 года назад +1

    Channel yangu pendwa kabisa Davistarmata nakushukuru kwa ajiri ya channel yako hii kusema kwel inanifundisha mengi sana..

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 3 года назад

    Fm morn Nasra Aiyam zabiya Nguwalo kashnga Amina Farhat salum salim salim xiwaon damaniii🤔🇪🇭🇪🇭

  • @msalimsali6989
    @msalimsali6989 3 года назад

    Davista hii storY nzuri sana

  • @margaretachieng9887
    @margaretachieng9887 3 года назад

    Pole sana mzee wangu

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 3 года назад +1

    Mganga wa mzee wa mkakati na huyu ni mmoja

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 3 года назад +2

    Jamaa hafahamiki mana anahadisia kiwahka waka . Hatulii. Mbona kama anaiga stori zilopita au anataka pesa to na yeye

  • @imagepower3641
    @imagepower3641 3 года назад

    good broo

  • @catherinewanjiru7136
    @catherinewanjiru7136 3 года назад

    Mr everything 👍👍👍

  • @shantellemwanakombo3703
    @shantellemwanakombo3703 3 года назад +1

    Hii location ni ile ulikuwa na zabron mzee wa misosi

  • @duniamapitosotewamungu3467
    @duniamapitosotewamungu3467 3 года назад +1

    jaman Dunia hii Allah atuepushie na huo wali

  • @musazabron3096
    @musazabron3096 3 года назад

    Pamoja Sana brother dav

  • @erickderick608
    @erickderick608 3 года назад +1

    Mwamba anataka kumpiga malkia sound anaulizia kama ana bwana ampige bakora za kimkakati 😂😂😂😂

  • @erickmasumbuko3841
    @erickmasumbuko3841 3 года назад

    Pole ake

  • @linkreuben2261
    @linkreuben2261 3 года назад +1

    Story inaendana na ya ruwanda kagere, "bakola za kimkakati" pia alimuona mungu bonge mwenyewe sauti ya kitoto!

    • @salmamohammed5623
      @salmamohammed5623 3 года назад

      Huyu mzee ni muongo mie namuona kwanza story yake haiendi kwa mpango anakumbuka alichokiona hapa

  • @fatmamucha4419
    @fatmamucha4419 3 года назад +2

    Sijachelewa bado niko Mr everything

  • @noshadmadini5768
    @noshadmadini5768 3 года назад

    Leo nasikia kwa mara ya pili mungu bonge

  • @fatumamohamed8645
    @fatumamohamed8645 3 года назад

    Nipoo Nani kawahi kama mimi Hongera sana Devister
    Pamoja sanaaaa, Huyo Mother Aliepita kisha akarudi nyuma Amenichekesha sana yaa Alitaka Umbea kamili🤣🤣🤣🤣
    ANYWAY PAMOJA SANAAA NAPEPERUSHA FLAG YA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Nikiwa 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲

  • @macamezunguzungu5697
    @macamezunguzungu5697 3 года назад

    Pamoja dav ulipo nami nipo 🙏🇹🇿💪🔥

  • @gilbertbada8385
    @gilbertbada8385 Год назад

    Mwambie a endege UG kakande ministries
    Atapona

  • @lilyrose7983
    @lilyrose7983 3 года назад

    😂😂😂 unataka kujua kila kitu wangekuua shauri yako.

  • @sabeybybadiloo7790
    @sabeybybadiloo7790 3 года назад

    Eeeh mungu 🙏atulinde

  • @abubakarwadi5773
    @abubakarwadi5773 3 года назад

    Yap more fire

  • @khadijaomari9344
    @khadijaomari9344 3 года назад

    mungu bonge 🤔🤔🤔

  • @davidochieng7055
    @davidochieng7055 3 года назад +1

    Twendeni pamoja

  • @doramkolo1745
    @doramkolo1745 3 года назад

    Amemtaja mwalimu Pascal alikuwaga mkali jamani alafu kweli kunakipindi hadi chooni shulen kulikuwa na vihoja .......tujuane team nyamagamana primary wa enzi hizooooo.....

  • @philipoluzege3200
    @philipoluzege3200 3 года назад +3

    Na meno naona walimtoa huu utajili ni balaa tu meno yote kamwachia shetani🤣🤣🤣

  • @fredychaki7203
    @fredychaki7203 3 года назад +2

    Uko ndipo alipo enda mzee wa kucharaza bakora 🤣🤣🤣

    • @swaifasaid1742
      @swaifasaid1742 3 года назад

      hahaha chezea bakora ww😁😂😃😅

  • @ayushsaeed1051
    @ayushsaeed1051 3 года назад

    Yarab

  • @daudisharufu3473
    @daudisharufu3473 3 года назад +1

    Bakora za kimkakati....2

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 3 года назад +1

    Ila mtumakini stor ya shekh mnyeshani..Aka mtumishi omary stor yake iko pending hv? Au imeisha..

    • @bariuezekiel5841
      @bariuezekiel5841 3 года назад

      Ile iliisha

    • @paulndoya5805
      @paulndoya5805 3 года назад +2

      Haikuisha,,,kumbuka hatujafika namna ya yeye kuokoka

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 3 года назад

      Kweli ndio hapo tunapopataka kama iko pending vile

    • @annkim2690
      @annkim2690 3 года назад

      Eeh. hata Mimi naulizia hio story mbona hajaimalizia

  • @annkim2690
    @annkim2690 3 года назад

    Watu wamejaa hapa kweli

  • @lilyrose7983
    @lilyrose7983 3 года назад +1

    Unamuuliza malkia una mume?we kiboko ndio maana walisema ukipewa utajiri utakuwa muhuni😂😂😂😂

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 3 года назад +1

      @@ikabako2454 🤣🤣🤣😂😂 ni kweli yaani hakiaminiki kabisa😂😂🤣🤣 halafu kinabadilika wakati wowote mara kwenye mitumba mara kwenye madini.Kikitoka hapo kinaingia muonjano church daah,yaani ni tafrani tu🤣🤣😂😂

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 3 года назад

      @@ikabako2454 😂😂😂 Ni kweli hana cha kuongeza madoido.Angekuwa mwingine hapo zingetoka episode 10.😂😂😂

  • @mbwanaomary4504
    @mbwanaomary4504 3 года назад

    Dah

  • @boluumohammed7310
    @boluumohammed7310 3 года назад

    Aisee huyu ameenda sehem moja alioenda mzee wa bakora za kimkakati

  • @mpandamohamedmsoke9722
    @mpandamohamedmsoke9722 3 года назад +1

    Mxiiii uyu jamaa mbona anongea story ambazo tushazipitia humu kama ya Mzee wa bakora anachanganya na nyengine

  • @rosecruiz4348
    @rosecruiz4348 3 года назад +1

    Ile ya mama wa kwenda gamboshi mbona hujatumalizia

  • @tracyirene8917
    @tracyirene8917 3 года назад +1

    Aisee mbona watu wako fasta. Kuwahii Leo x 😅😅👍

    • @FFL-X1D
      @FFL-X1D 3 года назад +1

      Umeona eee 😂😂😂😂😂❤❤🇪🇭🇪🇭

    • @tracyirene8917
      @tracyirene8917 3 года назад

      @@FFL-X1D Kabisa👍

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 года назад +1

      @@tracyirene8917 pamoja wngu😘😘😘

  • @mbungulanga6729
    @mbungulanga6729 3 года назад

    Hahah mlikula mashonde

  • @samueljohn4569
    @samueljohn4569 3 года назад

    Wa1

  • @faizamohamed6993
    @faizamohamed6993 3 года назад

    Jamani pesa zitatuua

  • @abdimohamed3953
    @abdimohamed3953 3 года назад

    😂😂😂mungu bonge wa Mzee wa bakora za kimkakati kaonekana hukuuu

    • @jesusislord9190
      @jesusislord9190 3 года назад +1

      Inamaa Huyu ni mtu wa pili inamaana ni kweli

    • @abdimohamed3953
      @abdimohamed3953 3 года назад +1

      @@jesusislord9190 haya mambo ni yakwel sema kwakua ni ya ulimwengu mwingine ndio maana tunaona Kam ni story, kifupi tujishikamanishe na MUNGU ndio nusura yetu

  • @ashelizakaria6306
    @ashelizakaria6306 3 года назад

    uyo malikia kwelisiyo yule lwanda Magere ni hatari sana

  • @jacklineakoth1016
    @jacklineakoth1016 3 года назад +1

    Apo ndo mzee wa bakora alienda kumbe

    • @somoeawadh7774
      @somoeawadh7774 3 года назад

      Eeh ndio Hapo Ukikosea masharti basi wewe utafanya mapenzi bila kuchoka 😅😅😅

  • @fatmaalrshdii7615
    @fatmaalrshdii7615 3 года назад +2

    MTU makini katika ubora wako pamoja Sana Ka Ka angu wa ukweli endelea kutufundisha wanafunzi wako tunaelewa bila ya kutuchapa viboko

  • @nolascochaule9342
    @nolascochaule9342 3 года назад

    Unaboa davister maswali mengi

  • @kalssambaboo9932
    @kalssambaboo9932 3 года назад +1

    Watu wako bize na upishi mkuje huku kaw kaw pili pili zuu khadija fatme leyla shadow mkuje huku kumenoga eeehee mungu wayule mkaka alokua akiwaingilia watu hadi kufa mmmh mungu bonge

  • @martinmaryogo3676
    @martinmaryogo3676 3 года назад

    huy jmaa alikoend ni kuleee kw mzee wa bakora za kimkakti

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 3 года назад +2

    🤣🤣🤣🤣 huyo hiyo story kaisikia kwa mzee wa bakora zakimkakati kisha kaedit alafu kaibuka kuulungaga mambo, kimtindo maji ya bahari

    • @opionlinetv5052
      @opionlinetv5052 3 года назад

      Km kaongezea ya Rwanda magele

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 3 года назад

      @@opionlinetv5052 Ndio kajiongeza 🤣

    • @idanysedrc1200
      @idanysedrc1200 3 года назад +1

      Mhhhh huyo hawez hata kuona msimjaze maneno

  • @mbwanaomary4504
    @mbwanaomary4504 3 года назад

    1

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 3 года назад

    Huyu ni mtu wa pili anasema mfalme wao alikuwa mnene.. na malkia alikuwa anaoga damu kama yule jamaa alivyo lambwa akawekewa hirizi..huyu nae ilitumika kucha inamaana ni kweli..kabisa

  • @deelissa2746
    @deelissa2746 3 года назад

    Uyu jamaa mbn km anataka kutulia hela zetu tu kweli amuulize malikia habari za mume🙌

    • @nurafedrick378
      @nurafedrick378 3 года назад

      😂😂😂😂😂😂

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 года назад

      @@nurafedrick378 😂😂😂😂😂😂

    • @deelissa2746
      @deelissa2746 3 года назад +2

      @@nurafedrick378 😂😂😂Yan uyu kaskiliz shuhuda za watu kaja kuchukua hela ake hp

    • @nurafedrick378
      @nurafedrick378 3 года назад

      lisslissa yaezekanaa kweli😂😂😂😂😂😂

    • @furahaedmundi2302
      @furahaedmundi2302 3 года назад

      🤣🤣🤣

  • @matheothomas1891
    @matheothomas1891 3 года назад

    Story take kama ya mzee wa bakora za kimkakati

  • @FFL-X1D
    @FFL-X1D 3 года назад

    Wa kwanzaaaa 😂😂💃💃🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭

  • @tututz100
    @tututz100 3 года назад

    MASHARTI

  • @bonychitanda6410
    @bonychitanda6410 3 года назад +1

    Stori ya huyu jamaa hata haieleweki

  • @deelissa2746
    @deelissa2746 3 года назад

    Mh honest uyu mzee uyu mh hpn kwakwel

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 года назад

      umeona eee😂😂😂

    • @deelissa2746
      @deelissa2746 3 года назад

      @@ayshamahariq6665 😂😂😂😂umeon alivyokuwa anaitafuta irizi kaongo aka kwaiy miak yote hajui ipo mguu gan

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 года назад

      @@deelissa2746 Nimeona wngu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mkukistore2816
    @mkukistore2816 3 года назад

    DEV HUYO SIO MTU NI MSUKULE HUO KUA NAO MAKINI

  • @karrolleschon3986
    @karrolleschon3986 3 года назад

    🙄🙄🙄🇰🇪

  • @rahaisacl9954
    @rahaisacl9954 3 года назад

    Huyu jini ndo mtoa utajiri ambae alikutana na mzee wa bakora za kimkakati dahhh

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 года назад

    Nyoka anaongea huyo sio babu kajigeuzaa

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 года назад +1

      ni yy wngu🤣🤣🤣🇪🇭🇪🇭

    • @nurafedrick378
      @nurafedrick378 3 года назад

      @@ayshamahariq6665 😂😂😂wachawi Wang's.. kumbe wanambinu zakujigeuzaa😂😂aisee

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 года назад

      @@nurafedrick378 eeeee wngu😂😂😂😂

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 года назад

      @@pilimusa7770 😂😂😂😂😂😂

  • @babyboss2886
    @babyboss2886 3 года назад +1

    Nmerudia tena kusikiliza mkasa huu na kweli Emma kahakikisha matukio ya jamaa wa bakora za kimkakati

  • @susankomu8978
    @susankomu8978 3 года назад

    Yaani nyie wote mwasema 1..???😳🙄🙄

  • @jerrymaskas5863
    @jerrymaskas5863 3 года назад

    Davista...kuna story uja malizulia...story ya chee..ambaye ameokoka...sasa unanichanganya bana...mi mkongo kutokeya Kampala...

  • @samueljohn4569
    @samueljohn4569 3 года назад

    Ws 2

  • @somoeawadh7774
    @somoeawadh7774 3 года назад

    Ndio kufika

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 3 года назад

    Kumekuchaaa njoooni...

  • @kalssambaboo9932
    @kalssambaboo9932 3 года назад +1

    Dooh davista wee

    • @Laila-lz4ij
      @Laila-lz4ij 3 года назад

      Mpaka iishe mikasa yote Davistar atakuwa mganga mkubwa 😁😂

    • @kalssambaboo9932
      @kalssambaboo9932 3 года назад +1

      @@Laila-lz4ij 🤣🤣🤣 kisha onjaa soda na juis ya mti mkavu lazima

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 года назад

      @@kalssambaboo9932 umeona eee😂😂😂🇪🇭🇪🇭

    • @Laila-lz4ij
      @Laila-lz4ij 3 года назад

      @@kalssambaboo9932 🤣🤣🤣🤣

    • @kalssambaboo9932
      @kalssambaboo9932 3 года назад

      @@Laila-lz4ij ushaa pika leyla

  • @gmdecoration6044
    @gmdecoration6044 3 года назад

    Aaaa Ila binadamu sisi tumeshindikana eti malikia una mume anataka ampe misitari malikia 😅😅😅😅

    • @somoeawadh7774
      @somoeawadh7774 3 года назад

      Sindio darling ama wewe hutaki

    • @gmdecoration6044
      @gmdecoration6044 3 года назад

      @@somoeawadh7774 uyu jamaa angebaki uko afate kilicho mpeleka inaonekana niwarembo kweli kila anae kuja anasema niwazuri 😅😅😅😅

    • @somoeawadh7774
      @somoeawadh7774 3 года назад

      @@gmdecoration6044 itabidi na wewe siku mmoja uende ukajionee!! Ama 😅😅😅

    • @gmdecoration6044
      @gmdecoration6044 3 года назад

      @@somoeawadh7774 ahaà kapike ftar😅😅😅😅

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 года назад

      hatr😂😂😂😂😂😂😂

  • @mamafaiza2651
    @mamafaiza2651 3 года назад

    Akaa kazee kapo na pozii

  • @FFL-X1D
    @FFL-X1D 3 года назад +1

    Narud 👂🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭

    • @tracyirene8917
      @tracyirene8917 3 года назад

      🤔🤔😅😅

    • @FFL-X1D
      @FFL-X1D 3 года назад

      @@tracyirene8917😂😂😂😂😂❤❤❤

    • @FFL-X1D
      @FFL-X1D 3 года назад

      @@tracyirene8917 Naandaa ftr wngu😂😂❤❤ njoooo

    • @fatmaalrshdii7615
      @fatmaalrshdii7615 3 года назад

      @@FFL-X1D usichelewe kuja

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 года назад

      @@fatmaalrshdii7615Ndiyo saaahii wngu😂😂😂😂❤❤❤

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 3 года назад

    Shkamo Kaka dav naomba niunge kwa group jamn la whasap 0788327252

    • @FFL-X1D
      @FFL-X1D 3 года назад

      Kwan kuna grp??????????🇪🇭🇪🇭

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 года назад

      @@FFL-X1D yeah

    • @FFL-X1D
      @FFL-X1D 3 года назад

      @@gosbertmuta5421 vxur🤝🤝🇪🇭🇪🇭

    • @ketydan5990
      @ketydan5990 3 года назад

      Mími pià

    • @doramkolo1745
      @doramkolo1745 3 года назад

      Sikujua kuwa kuna group ...embu atuunge bana magwiji wake wa enzi hizo

  • @samwelpaul3296
    @samwelpaul3296 3 года назад

    1