Kamwe asema mechi yao dhidi ya Augsburg imeondoa migogoro ya ndoa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • #MpumalangaPremiersInternationalCup2024: “Kuna watu walikuwa na shidashida kidogo za ndoa, matatizo yameanza kupungua” maneo ya Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ally Kamwe akizungumzia namna mechi yao ya leo dhidi ya Augsburg ilivyoleta neema kwa baadhi ya watu.
    Ametolea ufafanuzi kuhusu ushiriki wao kwenye michauno ya #MpumalangaPremiersInternationalCup2024
    Matokeo ni FC Augsburg 2-1 Yanga SC
    #MpumalangaPremiersInternationalCup2024 #Mpumalanga #YangaSC #FCAugsburg #AUGYNG

Комментарии • 173

  • @christophernilongo364
    @christophernilongo364 2 месяца назад +5

    Hongera Sanaaa msemaji mwenye weledi Na ufundi wa level ya kimataifa. Unajua brother

  • @RICHARDDEFAO
    @RICHARDDEFAO 2 месяца назад +3

    Amina MUNGU BABA MWENYEZI atulinde dhidi ya maadui
    Naamini tutafika mbali

  • @thobiasmwambeta6990
    @thobiasmwambeta6990 2 месяца назад +5

    Kipa wa Yanga Big up sana

  • @BabaMkuu
    @BabaMkuu 2 месяца назад +3

    Big up Semaji mwanaume haogopi mapambano

  • @LucasMapolu
    @LucasMapolu 2 месяца назад +2

    Hongera,sana,yangakazi,lnderee,

  • @magrethmakauki235
    @magrethmakauki235 2 месяца назад +5

    Kwa pira hili yanga iko vizur sana

  • @RodgersBartholomew
    @RodgersBartholomew 2 месяца назад +2

    Pongez nyingi sana team yangu 🎉 Mungu azidi kuibariki ifike hatua za juu zaidi 🙏🙋‍♂️

  • @LeticiaBukuku
    @LeticiaBukuku 2 месяца назад +5

    😂😂😂😂 me mwenyew ndoa yangu imetulia baada ya kuiona yanga

  • @neemaerasto1842
    @neemaerasto1842 2 месяца назад +2

    Ali kamwe umetisha sana kwa maneno yako

  • @hafidhlabdi-sq5rp
    @hafidhlabdi-sq5rp 2 месяца назад +3

    Hapo nyuma Kuna kikao Cha Engineer,andre mitne na Gamondi

  • @katowawambura4652
    @katowawambura4652 2 месяца назад +5

    Tumeridhika kabisa Wanayanga, hasa ukilinganisha na ligi Ugerumani

  • @juliusjkalela9164
    @juliusjkalela9164 2 месяца назад +18

    Team ety iko vzr mungu ijaalie team etu ifike mbali katka michuano ya caf champions league 💚💚💚💛💛💛💛💐💐💐❤️❤️🌹🌹🌹

  • @lodricklema9593
    @lodricklema9593 2 месяца назад +1

    Yanga ipo vizuri sana

  • @athmanjnr3231
    @athmanjnr3231 2 месяца назад +3

    😂😂😂😂😂Ali Kamwe wee kiboko na hyo maneno yko

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 2 месяца назад +2

    Nimefurai sana kuona timu yangu

  • @ElibarickSiyanga
    @ElibarickSiyanga 2 месяца назад +2

    Yanga rahaaaaa

  • @Samweldlemaanda
    @Samweldlemaanda 2 месяца назад +1

    Hapo sawa yaan yanga hii kolo atakula 10

  • @juliusjkalela9164
    @juliusjkalela9164 2 месяца назад +3

    Binafsi nzengeri ananikooshaa nakbali wapendwa wangu pamoja tunaweza

  • @AlawiHalima
    @AlawiHalima 2 месяца назад +4

    Yanga songa mbele tupo nyuma yenu DAIMA MBELE NYUMA MWIKO

  • @mwanangusana
    @mwanangusana 2 месяца назад +3

    Tx Galax itapendeza.....
    Hii match ikionyeshwa kuliko kuficha ficha kama makolo ubwela waliochezea 6 😂😂

  • @ChimbaeBalenga-qg7ci
    @ChimbaeBalenga-qg7ci 2 месяца назад +3

    Ila ally kamwe ww unajua kukera sana

  • @aliakrabi8321
    @aliakrabi8321 2 месяца назад +1

    Kuwa msemaji professional, sio blaa blaa. Kujisifia kwingi, badala ya kujifunza na mechi. wajerumani wamepiga coordination na touch za hatari. Tumeona beki ya Yanga ilivyokuwa ikisumbuliwa. kwa Yanga Marx Zengeli amecheza vizuri.

  • @neemaerasto1842
    @neemaerasto1842 2 месяца назад +1

    🤣🤣🤣🙆🙆❤️eti taulo na ndala za hotel 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wew ni noma sana

  • @RukiaKanyoni
    @RukiaKanyoni 2 месяца назад +1

    Hongera sana Yanga.

  • @BabaMkuu
    @BabaMkuu 2 месяца назад +7

    Hata ingekuwa tumefungwa 2 -0 cc tungefurahi kwa 7bu hii timu kwa stori sio level yetu lkn kilichotokea kocha wao amethibitisha au tunasemaje wananchi?

  • @bakarimavura7226
    @bakarimavura7226 2 месяца назад +3

    Safi sana semaji la caf ndugu Ali Simba

  • @RashidShidhani
    @RashidShidhani 2 месяца назад +2

    Jumanne Balekeeeee😄

  • @johnsonMazoya
    @johnsonMazoya 2 месяца назад

    ira tumejitaidia Sana mungu atusaidie tutafika mbari wenye roho mbaya na chuki mungu atashughulika now 🙏🏿🙏🏿

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 2 месяца назад +3

    😂😂😂achana na interview hii mimi nimezoom tu kikao kule nyuma kinakitu litakufa jitu

  • @samwelmasunga8293
    @samwelmasunga8293 2 месяца назад +2

    Jmn ifike sehemu tuwe na mabadiliko sana lkn mda wote yanga akifanya vzr bdo anaonekana wa hovyo hata simba akifanya vzr bdo kila upande wana fanya hovyo hv kwann tusiwe wazalendo tu Yanga in short wameupiga mwingi kama kwel ww ni mwana michezo ebu kubari tu kuwa kwa sas yanga ni fire 🔥 😂😂😂😂 hata simba akicheza vzr tuta mpa maua but this time to-morrow utakuwa nani daima mbele nyuma mwiko .

  • @brianbalozi7199
    @brianbalozi7199 2 месяца назад +3

    Shida ya yanga hawakubali matokeo

  • @christophersizya2574
    @christophersizya2574 2 месяца назад +1

    Pacome yuko wapi?

  • @GOLDIANEDRICK-sm6xk
    @GOLDIANEDRICK-sm6xk 2 месяца назад +4

    Sio yanga tu hata Wana Simba wameridhika

  • @kollysam6463
    @kollysam6463 2 месяца назад +2

    Bwana Ally Simba

  • @AminaMsimbe
    @AminaMsimbe 2 месяца назад +2

    Eti madunduka walifungwa 6 ?

  • @amosimussa3360
    @amosimussa3360 2 месяца назад +2

    😂😂😂 we chalii una maneno ya shombo duuh daima mbele nyuma mwiko

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 2 месяца назад +1

    Wenzenu waliocheza kipindi cha kwanza sio waliocheza kipindi cha pili. Lakini mmegongwa😂😂😂

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 2 месяца назад +1

    😂😂😂ndoa zilizokua na mgogoro zimepona🎉🎉🎉🎉🎉

  • @eliambwilojr1918
    @eliambwilojr1918 2 месяца назад +2

    Tumeridzika na kiwango kilichooneshwa na yanga yetu

  • @SalumuWawa
    @SalumuWawa 2 месяца назад +1

    Ally Kamwe una udhi sana

  • @NeemaMwangobola
    @NeemaMwangobola 2 месяца назад +1

    Gamondi pisi sana...tunaomba wote wapangwe Kwa zam. Tunakuombea sana sana kocha wetu ...wasikae sana bechi tunakuomba sana sana kocha wetu ...wewe ndio mpambanani na wachezaji tunaomba na tunakuombea Kwa mungu.

    • @jacksonmbewe-pl2nl
      @jacksonmbewe-pl2nl 2 месяца назад

      kwan hii account y gamondi au matumiz mabay y bando

  • @SalimuShemndoa
    @SalimuShemndoa 2 месяца назад +1

    Nic

  • @ShabaniMcharo
    @ShabaniMcharo 2 месяца назад +1

    Ni 2/1 sawaa

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 2 месяца назад +1

    Stress za magoma zinawatesa UTOPOLO 😂😂😂

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 2 месяца назад +2

    Tumepoteza nini sasa mchezo ya kirafikituu haina umuhimu ata

  • @ThomasGai-kz5cu
    @ThomasGai-kz5cu 2 месяца назад +2

    Semaji wakati mwingine maswali ya msingi yajibiwe na majibu ya msingi. Punguza utani.

  • @LinusKyando
    @LinusKyando 2 месяца назад +2

    MWITENI ALLY SIMBA LAKINI KIPIGO CHENU SIMBA KIPO PALEPALE

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 2 месяца назад +1

    Afrika nitimu kubwa sana hiyo hata yanga ni kubwa inaubira sana yanga kwa tanzania

  • @mrskingo7142
    @mrskingo7142 2 месяца назад +1

    Jumanne tena😮

  • @lizacontractors1924
    @lizacontractors1924 2 месяца назад

    Ahaaaa

  • @thobiasmwambeta6990
    @thobiasmwambeta6990 2 месяца назад +2

    KATIKA WASEMAJI WA OVYO NI WEWE SHIDA UNAONGEA UONGO KUTUPA HABARI YA UONGO KUWA WAPINZA I WAMEFINGWA WAKATI SIO KWELI HAWAJACHEZA MECHI YOYOTE,,INAMAANA WEW NI SIMBA KWELI NDIO MAANA UNAIONGELEA ILI IPATE HASIRA NA KWELI WAO HAWAJAKUJIBU KWASABABU WANAJIELEWA

  • @BullahSambiga
    @BullahSambiga 2 месяца назад

    Kweli semaji dua muhimu maana wenye husda ni wengi

  • @JumbeOjaso
    @JumbeOjaso 2 месяца назад +1

    Wakati. Mwingine Ally kamwe kuwa professional, usidhani unaongea na watanzania tu .
    Kuna tafsiri na dunia inaona Azam sport, Acha utoto that's international tour.
    Yanga ina fuatiliwa na watu wengine duniani.
    Sikiliza clip hii halafu jitafakari.

    • @fidelismuna9484
      @fidelismuna9484 2 месяца назад

      Acha unyumbu ww kwan hapo kakosea wapi au ndio unaishi kwa mihemuko tu nyambafu ww! Sijui nyie kolozidad mnafel wap

    • @JumbeOjaso
      @JumbeOjaso 2 месяца назад

      @fidelismuna9484
      Ahsante ,,umenijibu kwa tusi na Azam wanaona ni sawa,tusi hili kuwa highlighted reply.
      Azam wanaona ni sahihi kutukana kwenye jukwaa lao hili,kwa sababu tu nimemtaka Ally kamwe, kuongea na dunia badala ya mashabiki wa kariakoo.

    • @jumannemsengi2195
      @jumannemsengi2195 2 месяца назад

      ​@@fidelismuna9484umempa jibu sahihi ni Nyumbu

    • @aliakrabi8321
      @aliakrabi8321 2 месяца назад

      ​​@@fidelismuna9484acheni matusi, jibu hoja. JumbeOjaso amezungumza vizuri. mechi hii ni ya kujifunza, na kweli kwa timu ya ufundi na wachezaji lazima wajifunze kwao. Semaji yeye kujigamba tu, azungumze kiprofessional, kuzungumza mambo ya ndoa manake nini. wote washabiki wa yanga.. tunazungumza ukweli, hakuna usimba na uyanga hapa. acheni kushadadia kila kitu

  • @KamgishaIsaya
    @KamgishaIsaya 2 месяца назад +1

    Wapewe maua yao wanajangwani Sina mashaka timu yangu

  • @BOAZMWANGOGE
    @BOAZMWANGOGE 2 месяца назад +1

    hana point uyo anabwabwaja tu

  • @philiminamlosa
    @philiminamlosa 2 месяца назад +1

    Madunduka + kolo tarehe 8 watapigwa 8 Kwa mpira huu😂

  • @BabaNuria
    @BabaNuria 2 месяца назад +1

    😂❤❤❤

  • @SalumMahimbo-e4l
    @SalumMahimbo-e4l 2 месяца назад +1

    Tumeona kipimo kizur mmejishindia nyuma mwiko😂

  • @KassimSibiya-m7x
    @KassimSibiya-m7x 2 месяца назад +1

    Magoma anakusubiri urudi😂😂baba

  • @JacklineMbuya-ym1ri
    @JacklineMbuya-ym1ri 2 месяца назад +2

    Mpra umepigwa

  • @SelemaniLingamka
    @SelemaniLingamka 2 месяца назад +2

    Acha ushamb roh inakuuma wakat boli umeinjoi

  • @shagison_official
    @shagison_official 2 месяца назад +1

    Jumanne😂😂😂

  • @AbrahamChengula
    @AbrahamChengula 2 месяца назад +1

    Mzee wa MSHIKEMSHIKE,WENZETU WANAPIGWA KIMYAKIMYA HUKO

  • @japhetindobeji7239
    @japhetindobeji7239 2 месяца назад +1

    Ayo yamagoma yamekujaje hapo

  • @MwalimuAdamu
    @MwalimuAdamu 2 месяца назад +1

    Kamwe kavaa nembo ya simba mkono wa kushoto kumbe magoma anasema kwel

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 2 месяца назад +1

    Marehemu mambosasa aliyekuwa golikipa wa simba ndo aliiba taulo na kukamatwa nayo huko Misri, nchi iliaibika sana kipindi kile.

  • @AsaphuNguvumali
    @AsaphuNguvumali 2 месяца назад +1

    So mbaya vijana wako vizur

  • @reubenmakalla745
    @reubenmakalla745 2 месяца назад +1

    Siyo kila kitu chekundu ni cha Simba. Acheni ujinga wa rangi.

  • @JuxSule
    @JuxSule 2 месяца назад +1

    Kwaniukiduniyani kunawatu niwagonjwa wakuelewa

  • @shanelmbunga1301
    @shanelmbunga1301 2 месяца назад +1

    Kipa ndo yuko vizuri sio wachezaji

  • @UpendoUpendomgani
    @UpendoUpendomgani 2 месяца назад +1

    Wanao umia hawajifichi,kama vipi kujinyonga ruksa,mbona mapema sana!mkichelewa mtavimba mpasuke,kipele cha mwingine kikuwashe wewe?

  • @kessysenga8700
    @kessysenga8700 2 месяца назад +4

    Makolo vichwa vinawauma

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda 2 месяца назад +1

    Ali kamwe utaua watu kwa misemo yako wavulana wahudumu wa hotel wameiba taulo za hotel

  • @AlfredNkulizahe
    @AlfredNkulizahe 2 месяца назад +1

    Kamwe umevaa kitu chekundu mkononi

  • @leonidaskyarubota8145
    @leonidaskyarubota8145 2 месяца назад +1

    Umelowa

  • @ShabnMande-gw1nm
    @ShabnMande-gw1nm 2 месяца назад +1

    huyu ndio msemaji cio yule muimba gonjera

  • @hamadmohamedy
    @hamadmohamedy 2 месяца назад +1

    Jana mngefugwa nyingi kipa ndo apewe mauwa yake kama sio kipa mzur mngekula nyingi sana usiwape watu nguvu bado timu haiko vizur

    • @yasinismail5837
      @yasinismail5837 2 месяца назад +2

      Ndo maana nae yuko uwanjan nae nimchezaji ulitaka tumshukuru mangungu au

    • @asmaSheha
      @asmaSheha 2 месяца назад +1

      We kwel nikolo hlf ni mbumbumbu uzuri watim unaanxia kwa kip istosh Tim tulochez nay nikubw hvo kiwang kixur kimeonyshw kwa hio tunajipongez

    • @OfrahMsigala
      @OfrahMsigala 2 месяца назад +2

      Umelongw ww ss kip sio mchezaj hahah kwel makol mpila hamjui sas kip kaz yak nn yul sio ayub Wal Manul w vp et kip ndo 2mxhukul kip w vp kip c moj y mchezaj au

    • @LightnessCharlseKimaro
      @LightnessCharlseKimaro 2 месяца назад

      We kaizi kazi ya kipa nn au kazi yake ni kulala nonsense

    • @terrence9477
      @terrence9477 2 месяца назад

      Kwani kipa ni wa timu gani?

  • @LinusKyando
    @LinusKyando 2 месяца назад +1

    AUSBERG ALIIFUNGA BEYERN 1-0 NA LEO YANGA KAPIGWA 2-1 KWA HIYO YANGA =BEYERN

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 2 месяца назад +1

    Furaha ya Nini wakati umepoteza Mchezo sababu kibao wee seme tu umefungwa bc

  • @TheMrisho
    @TheMrisho 2 месяца назад +1

    Nilijua tu watakuja kutamba kufungwa 2-1

  • @ElisanteElisante
    @ElisanteElisante 2 месяца назад +2

    Naulizajeeee mmegongwa ngapiiii

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 2 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂

  • @Sostere98
    @Sostere98 2 месяца назад +2

    Timu haiwezi kuwa surprise kama mashabiki wanaiona ikicheza kabla ya Yanga day. Msitegemee mashabiki kujaa siku ya Yanga day

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 2 месяца назад

      Hayo ni mawazo yako.Hata punguani ana mawazo yake pia

    • @Sostere98
      @Sostere98 2 месяца назад

      ​@@yakobokuzenza6837Wewe ndo punguani, hata hujui miongoni mwa influence kubwa inayowafanya mashabiki waende Yanga day au Simba day ni kuona timu yao baada ya usajili mpya inachezaje. Sasa kama wachezaji wapya wote utawaona wakicheza kabla ya tamasha, tafsiri yake kiu ya mashabiki kuona wachezaji wapya itapungua, na kuna uwezekano timu ikaanza kukosolewa hata kabla ya siku ya tamasha. Timu si tatizo kuonesha mechi kipindi cha pre-season lakn kwa simba na yanga ambazo ndo zina huo utaratibu wa matamasha kuna kitu kinapungua, lakini timu zngne zinaonyesha mechi zao sababu hazina huo utaratibu wa matamasha kama sisi. Pia timu zingine ni kubwa hazina pressure ya kujaza uwanja kama sisi, wao kila tukio wanajaza

  • @JanuaryJanuary-ln7wu
    @JanuaryJanuary-ln7wu 2 месяца назад +1

    makolo wanasemaje

  • @JuxSule
    @JuxSule 2 месяца назад +1

    Kwanimagoma nixhangaziyako ww

  • @FaridaHaji-d2w
    @FaridaHaji-d2w 2 месяца назад +1

    Ndio walifungwa

  • @MwalimuAdamu
    @MwalimuAdamu 2 месяца назад +1

    Du kwel yanga kiboko wanagongwa lkn wanashangilia

  • @shanelmbunga1301
    @shanelmbunga1301 2 месяца назад +1

    Umefungwa et umetoa tiba zwazwa kweli wewe kipa kakulinda

    • @AbuubakriMdigoTz
      @AbuubakriMdigoTz 2 месяца назад

      Kwanikipa kazi yake nini manula zote kamba zile unateseka ukiwa wapi

    • @asmaSheha
      @asmaSheha 2 месяца назад

      Tumefungw kwel lkn sio lig ss we let Tim yk itufung km utakuw nauwez

    • @LightnessCharlseKimaro
      @LightnessCharlseKimaro 2 месяца назад

      Kwa hiyo kipa kazi ya uwanjani nnn au ulitaka alale kama yuko room

  • @harshkirit6780
    @harshkirit6780 2 месяца назад +1

    Nguvu zaudaga tupu

  • @BakariMakame-j5f
    @BakariMakame-j5f 2 месяца назад +1

    Zizingatiwe tarehe Kama tarehe 5 jee tarehe 8

  • @burnmotto1876
    @burnmotto1876 2 месяца назад +1

    Kupigwa kupigwa tu mbwa nyie

    • @user-qe2lb9ns8h
      @user-qe2lb9ns8h 2 месяца назад

      Kama tulivyowanyuka nje ndani dadeki jaman mbona msimu unachelew kuanza

  • @Barakah2590
    @Barakah2590 2 месяца назад +1

    Semaji Fifa

  • @SalimuShemndoa
    @SalimuShemndoa 2 месяца назад +1

    G

  • @IdaAdek
    @IdaAdek 2 месяца назад

    Ligi kuu hatuoni mpinzani

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 2 месяца назад +1

    Naomba kujua yanga kucheza na tmu yenye mzungu hata mmoja ni lini?Jana wamekamia lakin wameliwaaaaaaa

    • @NasCebu
      @NasCebu 2 месяца назад

      Yaani umeisha sahau ile mrete mzungu wa simba kwa kuwa umesema mzungu hata mmoja

    • @kalebphilip3426
      @kalebphilip3426 2 месяца назад

      @@NasCebu Simba walicheza na sevila je yanga walishawah kucheza na tmu gan ya wazunguuuui?

    • @FloraChami-o7s
      @FloraChami-o7s 2 месяца назад

      Wala 7 tulieni Bado tunadeni Hadi tuwatoboe 10

    • @user-qe2lb9ns8h
      @user-qe2lb9ns8h 2 месяца назад

      ​@@NasCebuusisahau bado tunaden nayie 7 ndogo mnoo

  • @RosemaryMarube
    @RosemaryMarube 2 месяца назад +1

    😂😂😂😂 kaka sikupendi wewe nabado mtafungwa saana unajikuta unajua sana kuliko mungu. Mwaka huu hamna chenu jiandaeni

    • @LightnessCharlseKimaro
      @LightnessCharlseKimaro 2 месяца назад +1

      Pole mchawi kolo na bado

    • @WingoNamtema-u9l
      @WingoNamtema-u9l 2 месяца назад +1

      Angalia kwanza ni mechi ya aina Gani ndpo uanze kumkandia.

    • @issaadinaniissa6487
      @issaadinaniissa6487 2 месяца назад +1

      Unafaa kuwa mke njoo Inbox

    • @Last403
      @Last403 2 месяца назад

      Kwani amekwambia wewe anakupenda, mpende hata mama yako inatosha tu.😂

  • @JaphetBikayamba
    @JaphetBikayamba 2 месяца назад +1

    Mmegongwa na namungo aliechangamka

    • @khamisally9559
      @khamisally9559 2 месяца назад +2

      Tarehe 08/08/2024 sio mbali. Tupo hapa.

    • @Samweldlemaanda
      @Samweldlemaanda 2 месяца назад +1

      Ushamba huo wewe xi bor yanga kuliko waliokula 6

    • @NuruSeif-uf2ge
      @NuruSeif-uf2ge 2 месяца назад

      Mpe uyoooo umbea tu

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 2 месяца назад

      😂😂😂 piga kelele tu ... Huko wenzako wanahangaika na kuvunja mikataba ya akina deborah wameona ni afadhal awesu awesu na kagoma kuliko uhalisia wa wanachokiona huko Cairo 🤣

    • @fredypaul6714
      @fredypaul6714 2 месяца назад

      ​@@Samweldlemaandaonyesha matokeo

  • @silasjacob-j2l
    @silasjacob-j2l 2 месяца назад +1

    magoma fc

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 2 месяца назад +1

    Pumbavu ,zako yanga haina uongoz mpaka dk hiii,magoma kakate rufaa Hawa wanongoza tmu kwa utaratbu wa Nan?

    • @Kasika-hi6hf
      @Kasika-hi6hf 2 месяца назад +2

      Mbn Kama una uchungu? Angalia ucje kuzaa

    • @kalebphilip3426
      @kalebphilip3426 2 месяца назад

      @@Kasika-hi6hf nikizaa nakuzaa wewe na injinia

    • @FloraChami-o7s
      @FloraChami-o7s 2 месяца назад +1

      Hahahahaaaa Bado hujasema na utasemaaaa

    • @user-qe2lb9ns8h
      @user-qe2lb9ns8h 2 месяца назад +1

      Ukifatilia sana mamb yasiyokuhusu utajiharishia mwishowe

    • @GladyWilly
      @GladyWilly 2 месяца назад +1

      Ebu tuliza kipili pili chakoo😂😂😂 yanga baba lao💛💚💪😘

  • @burnmotto1876
    @burnmotto1876 2 месяца назад +1

    Kupigwa kupigwa tu mbwa nyie

    • @UmmyHamisi-ru2rw
      @UmmyHamisi-ru2rw 2 месяца назад +1

      Mbwa ww apo,afu kwan si kuna kolo TV si mkaangalie utumbo wenu,wanga nyinyi 😂