Dr. Chris Mauki : Hatua saba (7) za kufuta kumbukubu mbaya zinazokutesa
HTML-код
- Опубликовано: 7 июн 2020
- Wengi wetu tumepitia nyakati mbaya na zinazoumiza huko nyuma. Labda uliteswa, ulitengwa, ulinyanyaswa, ulidhulumiwa na mengine mengi. Mambo haya yote yana tabia ya kuacha alama kwenye maisha yetu, kwenye fikra zetu, na tunaendelea kuishi tukiwa na kumbukumbu mbaya sana kutokana na yale tuliyoyapitia. Najua huzipendi kumbukumbu hizi lakini zipo na zinakufuatilia. Je unatamani kuzifuta? Niruhusu nikufundishe hatua 7 za kukusaidia kuzifuta kabisa.
Allah akujalie zaidi
🎉❤mauki ushauli wako umeniponya ubalikiwe sana2
A good training doctor
Asante dr unatusaidia sana baraka nyingi kwako umenitia moyo sana
Thank you Dr Chris everything u talk about it about me l do get alot of teaching in your lessons classes
Mungu akubali sana nimechelewa kukufahamu ila nimefalijika sana
Asante sana docteur, kweli mimi nimwenye kujiambiya kila mara yale ambayo yameisha pita. Tangiya leo naanza jiambiya mazuri kweli. Mungu akubariki 👏👏👏👏
Asante,haha maneno unayoongea ni Tiba so ushauli,Asante Sana mauki uwe na furaha na ufahamu wewe na familia yako🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Asante Sana,umenifundisha kitu kizuri Sana! Yale ambayo tunayaongea kuwakanya watoto wetu tuyatumie kujikanya wenyewe🙏🙏
Asante Dr.yaani nilipata misiba ila umekuwa faraja yangu Leo.
Ahsante kwa somo zuri
Asante kwa masomo yako nafuatilia kila mara narudiarudia kila mara sichoki na masomo yako maaana yananibadilisha kila Leo.Barikiwa.
THANKS FOR YOUR ADVICE SIR.
Shukran Sana 🙏
May God bless you!!
Asante ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Asante Dr
Shukran dr chris
Asante Dr.
May God Bless you
I like the teaching
Thanks so much Dr ur a good 🙏💪
Somo nzuri sana asante
Hoo yes somo mzuri aky nimesaidika be blessed ata nandika notice zinasaidie kesho
Sono nzuri sana asante
Nashukuru kwa mafunzo mungu akubariki
Kazi nzurii
Asante sana ...
Asante doctor nimenufaika
Mungu akubariki sana
Aki unafanana na yule mwanao mdogo! Wooi. Anyway thanks kwa somo zuriii
Ahsante sana Mungu akujlie afya njema uwepo kila cku ili wengne tujifunze kupitia wewe
Shukran Sana kk nimejifunza mengi kupitia masomo yako
Umenifaa sana crss broo
Asante sana
Asante sana una nisaidya sana mimi mdau wako
Umegusa sana father
Ubarikiwe sana
Asante daktar mimi ni mmoja wa wale wanateswa na kumbukumbu ila nimepona sasa,asantw
Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique 🇲🇿
Asante kwa somo nzuri🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Asante sana
Kufiwa na mtoto je,,,, MUNGU nisaidie
Hakika umenisaidia kitu🙏🙏🙏
Good somo
Exactly Dr. Nakufatiliaga sana na ni mdau makubwa wa psychology sana
Nashkuru sana sana rafiki
Somo nzuri sana nimejifunza kitu hongera
Nashkuru sana
asante
Asante kwa somo zur doctor. Kama mm MAMA alituacha tukiwa wadogo mm na mdogo wangu. Lkn sisi tunampenda sana. Lkn yeye anasema atupendi . MAMA kama huyo anaweza kumfanyia nn hisisote ajatule ?
Endelea kuwa karibu nae uenda Ana matatiz ya kisaikorojia pole Sana endelea kuwa karibu yake,🙏🙏
Asante umenivusha nlikua nmekwama mahali
Nashkuru sana kama umepata kitu
Asant san doctor
😢😢😢me ndo nmeiona hii Leo ilaa baba umenigusa
Habar dokta
Thank you so much Dr chris
Dr yani ninanwezi wa 7nimetendwa na tumeshakalishwa vikao sana ila kila nikikumbuka namna ya matukio ya usaliti moyowangu unajenga chuki na kujiuluza alinichukuluaje mpaka kunifanyia hivi nateseka saba
Mh yani Kama Mimi najitahd tu kutafuta furaha lkn unakataa kumbukumbu zimegoma kutoka kichwani
Amen🙏
Asante nazidi kuelimika
Nashkuru sana
yes
🙏🖤
Unawezaje kusamehe,kama "if You didn't let it out"?
😭😭😭docta mauki nimeumizwa kwenye mahusiano nahisi kufa tu mm
Usijifanyie ubàya ivyo, wengi tumetendwa na tulikuwa na Hali mbaya Sana Ila mauki na Joel wametusaidia,jiambie kwa sauti maneno ya ushindi,mungu akusaidie
Usijal dia tupo wengi wapo tunaowaitaj tusicjoke kumuomba mungu
Wala usife kwa ajili hiyo mambo hayo yapo Mungu ni mkuu atakupa faraja ya ajabu
Jamni mume wangu naishi naye niishije nae ili nisiumie juu ya matendo yake
ASANTE nikuelewa sana
Asante kwa kutazama, natumaini ume subscribe
Yani nilikuwa najua Nina shida peke yangu umetuponya weng Mahuki
Jamani mimi moyo wangu unamaumivu makubwa sana nahiji msada wako
9:10 hapo nilijipata
Kuna kitu nataka kuuliza dokta
🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🙏🙏🙏🙏🙏
Dr Chris mauki naomba unisaidie namba yako na shida muhimu sana
0713407182
Asante sana nimesaidika
@@ChrisMauki1 whatsapp number
Naomba namba yako kuna jambo linanisumbua sn 0789892570
Ht mm naomba no yang 0764186364
Asante Dr.
Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique 🇲🇿