Dr. Chris Mauki : Hatua saba (7) za kufuta kumbukubu mbaya zinazokutesa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 июн 2020
  • Wengi wetu tumepitia nyakati mbaya na zinazoumiza huko nyuma. Labda uliteswa, ulitengwa, ulinyanyaswa, ulidhulumiwa na mengine mengi. Mambo haya yote yana tabia ya kuacha alama kwenye maisha yetu, kwenye fikra zetu, na tunaendelea kuishi tukiwa na kumbukumbu mbaya sana kutokana na yale tuliyoyapitia. Najua huzipendi kumbukumbu hizi lakini zipo na zinakufuatilia. Je unatamani kuzifuta? Niruhusu nikufundishe hatua 7 za kukusaidia kuzifuta kabisa.

Комментарии • 86

  • @deejahkeyz9859
    @deejahkeyz9859 Год назад +2

    Allah akujalie zaidi

  • @SeliliaAlly
    @SeliliaAlly Месяц назад

    🎉❤mauki ushauli wako umeniponya ubalikiwe sana2

  • @mossesdaudi4617
    @mossesdaudi4617 3 года назад +5

    A good training doctor

  • @rehemaibrahim8758
    @rehemaibrahim8758 2 года назад +1

    Asante dr unatusaidia sana baraka nyingi kwako umenitia moyo sana

  • @rispathequeen
    @rispathequeen 3 года назад +5

    Thank you Dr Chris everything u talk about it about me l do get alot of teaching in your lessons classes

  • @monikaben9248
    @monikaben9248 2 года назад +1

    Mungu akubali sana nimechelewa kukufahamu ila nimefalijika sana

  • @mwendelwaaline1444
    @mwendelwaaline1444 2 года назад

    Asante sana docteur, kweli mimi nimwenye kujiambiya kila mara yale ambayo yameisha pita. Tangiya leo naanza jiambiya mazuri kweli. Mungu akubariki 👏👏👏👏

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 2 года назад

    Asante,haha maneno unayoongea ni Tiba so ushauli,Asante Sana mauki uwe na furaha na ufahamu wewe na familia yako🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Год назад

    Asante Sana,umenifundisha kitu kizuri Sana! Yale ambayo tunayaongea kuwakanya watoto wetu tuyatumie kujikanya wenyewe🙏🙏

  • @NyangiKaniki-dj7kb
    @NyangiKaniki-dj7kb 9 месяцев назад

    Asante Dr.yaani nilipata misiba ila umekuwa faraja yangu Leo.

  • @kadightanzna6709
    @kadightanzna6709 4 года назад +2

    Ahsante kwa somo zuri

  • @neemashirima6121
    @neemashirima6121 2 года назад

    Asante kwa masomo yako nafuatilia kila mara narudiarudia kila mara sichoki na masomo yako maaana yananibadilisha kila Leo.Barikiwa.

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 3 года назад +2

    THANKS FOR YOUR ADVICE SIR.

  • @munahashim8898
    @munahashim8898 2 года назад

    Shukran Sana 🙏

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 4 года назад +2

    May God bless you!!

  • @shikowanjiku3609
    @shikowanjiku3609 3 года назад

    Asante ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @ibahatimoses6431
    @ibahatimoses6431 3 года назад +1

    Asante Dr

  • @rahmamohamed9646
    @rahmamohamed9646 2 года назад

    Shukran dr chris

  • @evakimbindu4346
    @evakimbindu4346 3 года назад

    Asante Dr.

  • @sabylaby
    @sabylaby 3 года назад +2

    May God Bless you

  • @lucywanjugu6443
    @lucywanjugu6443 4 года назад +2

    I like the teaching

  • @rachaelsaguth7154
    @rachaelsaguth7154 3 года назад +3

    Thanks so much Dr ur a good 🙏💪

  • @janethjoely7685
    @janethjoely7685 4 года назад

    Somo nzuri sana asante

  • @ednanyaboke4536
    @ednanyaboke4536 4 года назад

    Hoo yes somo mzuri aky nimesaidika be blessed ata nandika notice zinasaidie kesho

  • @janethjoely7685
    @janethjoely7685 4 года назад

    Sono nzuri sana asante

  • @jacklineoduor7973
    @jacklineoduor7973 2 года назад

    Nashukuru kwa mafunzo mungu akubariki

  • @SadimMavoice
    @SadimMavoice 4 месяца назад

    Kazi nzurii

  • @monicahchepchirchir2728
    @monicahchepchirchir2728 4 года назад

    Asante sana ...

  • @mohameeddoaan2296
    @mohameeddoaan2296 4 года назад

    Asante doctor nimenufaika

  • @suzanne9517
    @suzanne9517 2 года назад

    Mungu akubariki sana

  • @naomikatharinaandrewmnkai6760
    @naomikatharinaandrewmnkai6760 4 года назад

    Aki unafanana na yule mwanao mdogo! Wooi. Anyway thanks kwa somo zuriii

  • @marialushinge1140
    @marialushinge1140 2 года назад

    Ahsante sana Mungu akujlie afya njema uwepo kila cku ili wengne tujifunze kupitia wewe

  • @mossomar1674
    @mossomar1674 3 года назад

    Shukran Sana kk nimejifunza mengi kupitia masomo yako

  • @graceclinton5241
    @graceclinton5241 Год назад

    Umenifaa sana crss broo

  • @jeanettegloria6244
    @jeanettegloria6244 4 года назад

    Asante sana

  • @yumnahamis407
    @yumnahamis407 4 года назад

    Asante sana una nisaidya sana mimi mdau wako

  • @benardhyranzimjr5729
    @benardhyranzimjr5729 4 года назад

    Umegusa sana father

  • @fatmamohamed3274
    @fatmamohamed3274 Год назад

    Ubarikiwe sana

  • @rosenelima8618
    @rosenelima8618 3 года назад

    Asante daktar mimi ni mmoja wa wale wanateswa na kumbukumbu ila nimepona sasa,asantw

  • @sufoorembo5925
    @sufoorembo5925 2 года назад

    Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique 🇲🇿

  • @episawaki1281
    @episawaki1281 4 года назад

    Asante kwa somo nzuri🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Год назад +2

    Kufiwa na mtoto je,,,, MUNGU nisaidie

  • @kainamallya4599
    @kainamallya4599 4 года назад +2

    Hakika umenisaidia kitu🙏🙏🙏

  • @emanuelmwangoka2913
    @emanuelmwangoka2913 4 года назад

    Good somo

  • @fedrickdaniely8620
    @fedrickdaniely8620 4 года назад +1

    Exactly Dr. Nakufatiliaga sana na ni mdau makubwa wa psychology sana

  • @roseaccont552
    @roseaccont552 4 года назад

    Somo nzuri sana nimejifunza kitu hongera

  • @careencharlescharles9749
    @careencharlescharles9749 4 года назад

    asante

  • @jellynesssemu9406
    @jellynesssemu9406 2 года назад +2

    Asante kwa somo zur doctor. Kama mm MAMA alituacha tukiwa wadogo mm na mdogo wangu. Lkn sisi tunampenda sana. Lkn yeye anasema atupendi . MAMA kama huyo anaweza kumfanyia nn hisisote ajatule ?

    • @happynescostat7420
      @happynescostat7420 2 года назад

      Endelea kuwa karibu nae uenda Ana matatiz ya kisaikorojia pole Sana endelea kuwa karibu yake,🙏🙏

  • @esthermrambamramba1570
    @esthermrambamramba1570 4 года назад

    Asante umenivusha nlikua nmekwama mahali

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  4 года назад

      Nashkuru sana kama umepata kitu

  • @kashnegro0510
    @kashnegro0510 3 года назад

    Asant san doctor

  • @JosephineJacob-zo8sq
    @JosephineJacob-zo8sq 29 дней назад

    😢😢😢me ndo nmeiona hii Leo ilaa baba umenigusa

  • @mrsmtiulempwembwe8938
    @mrsmtiulempwembwe8938 2 года назад

    Habar dokta

  • @rumb9691
    @rumb9691 4 года назад

    Thank you so much Dr chris

    • @gabigabrieliboniventula3462
      @gabigabrieliboniventula3462 3 года назад

      Dr yani ninanwezi wa 7nimetendwa na tumeshakalishwa vikao sana ila kila nikikumbuka namna ya matukio ya usaliti moyowangu unajenga chuki na kujiuluza alinichukuluaje mpaka kunifanyia hivi nateseka saba

    • @ashurasolaga9420
      @ashurasolaga9420 3 года назад

      Mh yani Kama Mimi najitahd tu kutafuta furaha lkn unakataa kumbukumbu zimegoma kutoka kichwani

  • @veronicamadata1673
    @veronicamadata1673 2 года назад

    Amen🙏

  • @wahidashabaz5982
    @wahidashabaz5982 4 года назад

    Asante nazidi kuelimika

  • @susanraphael5894
    @susanraphael5894 4 года назад

    yes

  • @kelvintimasho556
    @kelvintimasho556 4 года назад

    🙏🖤

  • @careenbaraka9854
    @careenbaraka9854 4 года назад +1

    Unawezaje kusamehe,kama "if You didn't let it out"?

  • @leahamani1267
    @leahamani1267 2 года назад +1

    😭😭😭docta mauki nimeumizwa kwenye mahusiano nahisi kufa tu mm

    • @happynescostat7420
      @happynescostat7420 2 года назад

      Usijifanyie ubàya ivyo, wengi tumetendwa na tulikuwa na Hali mbaya Sana Ila mauki na Joel wametusaidia,jiambie kwa sauti maneno ya ushindi,mungu akusaidie

    • @aminaluttu649
      @aminaluttu649 Год назад

      Usijal dia tupo wengi wapo tunaowaitaj tusicjoke kumuomba mungu

    • @joycehaule4520
      @joycehaule4520 Год назад

      Wala usife kwa ajili hiyo mambo hayo yapo Mungu ni mkuu atakupa faraja ya ajabu

    • @NellyYuda-ev5ts
      @NellyYuda-ev5ts 11 месяцев назад

      Jamni mume wangu naishi naye niishije nae ili nisiumie juu ya matendo yake

  • @mariamsanya5958
    @mariamsanya5958 3 года назад

    ASANTE nikuelewa sana

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад +1

      Asante kwa kutazama, natumaini ume subscribe

  • @leahjohnsimba4088
    @leahjohnsimba4088 2 года назад

    Yani nilikuwa najua Nina shida peke yangu umetuponya weng Mahuki

  • @lucksonkalima1988
    @lucksonkalima1988 3 года назад

    Jamani mimi moyo wangu unamaumivu makubwa sana nahiji msada wako

  • @barakanasari2760
    @barakanasari2760 4 года назад

    9:10 hapo nilijipata

  • @mrsmtiulempwembwe8938
    @mrsmtiulempwembwe8938 2 года назад

    Kuna kitu nataka kuuliza dokta

  • @jamesobedy3940
    @jamesobedy3940 Год назад

    🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🙏🙏🙏🙏🙏

  • @robhikebhanyo8026
    @robhikebhanyo8026 4 года назад

    Dr Chris mauki naomba unisaidie namba yako na shida muhimu sana

  • @ellyjames9375
    @ellyjames9375 4 года назад

    Naomba namba yako kuna jambo linanisumbua sn 0789892570

  • @evakimbindu4346
    @evakimbindu4346 3 года назад

    Asante Dr.

  • @sufoorembo5925
    @sufoorembo5925 2 года назад

    Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique 🇲🇿