MAMBO YA KUEPUKA ASUBUHI - JOEL NANAUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Комментарии • 196

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 18 дней назад

    Aisee Mungu atusaidie wengi wetu tunekuwa na changamoto ya kuongozwa na mitandao ,barikiwa zaidi kaka @Joel Nanauka

  • @BrotherG-i9i
    @BrotherG-i9i Год назад +1

    Kaka joeli kiukweli tangu nifuatilie masomo Yako nimebadili mfumo wa maisha yangu

  • @judithsilayo9776
    @judithsilayo9776 3 месяца назад

    Mungu akubari kaka umenito mbali na vipindi vyako.

  • @oliverjoseph780
    @oliverjoseph780 2 года назад +6

    Thanks joel be blessed umenena vema hususan matumizi ya mitandao ni changamoto kwa maisha haya

  • @MALEKANA
    @MALEKANA 2 года назад +3

    Ahsante kaka Joel nanauka unanifanya niwe mpya always .... ubarikiwe sana kaka🙏🙏

  • @JuliusMakanja-c7w
    @JuliusMakanja-c7w Месяц назад

    Natumai ujumbe utakukuta u mzima wa afya njema, naomba kujua inside ninavyoweza kupata kitabu chako. Ahsante sana.

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 года назад +3

    😂😂😂Mbona mawingu meusi sana 😂😂🤣🙌🙌🙌💐

  • @Mbambanaji
    @Mbambanaji День назад

    Asante kaka nimejifunza muda ndiyo kitu chathamani sana

  • @aksapeter5181
    @aksapeter5181 2 года назад

    Asantee sana kaka unanibariki sana na mafundisho yako Mungu aendelee kukupa Maisha marefu

  • @kachilar
    @kachilar 2 года назад +2

    Neno lako linaishi kichwani Mwangu
    Barikiwa sana.🙏🙏

  • @honestermwita366
    @honestermwita366 2 года назад +2

    Nakuelewa Sasa Kaka Joel . Barikiwa na uzidi kutupatia chakula Cha ubongo.

  • @NeemaMaliatabu
    @NeemaMaliatabu Год назад

    Kwa asilimia kubwa mda mwingi kwenye mitandao ya kijamii afu sina lengo lolote la kufanya ivo Asante sana

  • @AlexJefwa
    @AlexJefwa 8 дней назад

    Asante sana kaka Joel somo zuri Sana

  • @winfridantakoma1423
    @winfridantakoma1423 2 года назад +3

    Asante Sana,tangu nmeanza kukufuatilia Kuna mabadiliko mengi yametokea kwangu
    Ila hapo kwenye malengo ya siku ndo mtihani kwangu

  • @issacmwambire675
    @issacmwambire675 2 года назад

    Hongera sana

  • @richardvalson4313
    @richardvalson4313 2 года назад +2

    Somo zuri sana asey 🙏

  • @danchibomnyama5461
    @danchibomnyama5461 2 года назад +1

    Mungu akubariki sana kaka yangu joel

  • @bethmunyao5005
    @bethmunyao5005 2 года назад

    Asante sana nimejifunza jambo

  • @GladnessSulle
    @GladnessSulle 6 месяцев назад

    Nashukuru sana nmejifunza kitu

  • @SHILECKIZACHARIA
    @SHILECKIZACHARIA 3 месяца назад

    Kaka Mungu akubariki sana!

  • @GreyAloyce
    @GreyAloyce 10 месяцев назад

    Makini sana mkuu nakuelewa vzr sana

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 2 года назад

    Asante Joe,nimejifunza Tena kitu,

  • @evancepillar3753
    @evancepillar3753 2 года назад +1

    Najifunza mengi sana kupitia masomo yako....uko vizur brother natamani siku upange uje katika semina hapa Tanga .....Siku zote naomba uje Tanga na ninaamini Utakuja....

  • @veroo869
    @veroo869 2 года назад +1

    Kweli kabisa kaka Ahsante sana🙏

  • @deusy.mashauri8684
    @deusy.mashauri8684 11 месяцев назад

    Ubarikiwe sana kaka

  • @lilchima6946
    @lilchima6946 2 года назад +4

    Thanks joel...please make podcasts for us please 🙏 😊

  • @fredrickdaniel3536
    @fredrickdaniel3536 2 года назад

    Am the first once you'r the only One nakufatilia kila asubuh bcz najifunza v2 Ving god blessing

  • @brigithagillah3976
    @brigithagillah3976 2 года назад +1

    Nimekuelewa brother Joel be blessed

  • @maggiepeter8936
    @maggiepeter8936 2 года назад +1

    Hii ni kwel Mwl Joel me Siku yangu ya Leo ilikua ngumu tangu asubui na kwakwel nimeona imeenda vibaya kabisa...Mungu mwema kesho nayo siku 🙏🏻

  • @BrotherG-i9i
    @BrotherG-i9i Год назад

    Sto choka kujifuza meng mazuri Toka kwako

  • @samueljudah289
    @samueljudah289 2 года назад +1

    Ahsante sana brother 🙏

  • @veronicajanuary8583
    @veronicajanuary8583 29 дней назад

    Kutooanza bila malengo .....Huwa inanirudisha nyuma saana

  • @mapoluchalya280
    @mapoluchalya280 2 года назад

    Ahsante sana kaka,nakufuatilia pote hadi kwenye elimika huko 🙏🙏🙏🙏

  • @wencslausmkalawa728
    @wencslausmkalawa728 Год назад

    barikiwa sana

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 2 года назад

    Tuambiye tupone, barikiwe mtumishi wa Mungu 🙏

  • @UmmyIddi-h3v
    @UmmyIddi-h3v 3 месяца назад

    Ahsante sana broo

  • @ndakiholela2426
    @ndakiholela2426 2 года назад

    nakufatilia toka somalia , Mogadishu

  • @KingKasato
    @KingKasato 7 месяцев назад

    Shukuran sana

  • @anastasiamainaministries2700
    @anastasiamainaministries2700 Год назад

    Wow nashukuru sna kwa mafunzo..barikiwa ,kutoka kenya 🎉

  • @khamismwalim4161
    @khamismwalim4161 2 года назад +1

    Thanks your very inteligency God blace you!! Come Zanzibar to meet you!!

  • @mwl.mushionlinetv5925
    @mwl.mushionlinetv5925 2 года назад +3

    Asante Sana kaka Joel. Kwa kweli Nashukuru:- kuwa Mtu wa kuwa na Shukurani hasa Asubuhi, nisilalamike, 'having international use', & having daily goals and some great goals to achieve 🙏🙏🙏

  • @salmanyangasa1171
    @salmanyangasa1171 Год назад

    BARIKIWA Sana kaka...Hua unagusaga mioyo ya wengi sana

  • @marytabu4904
    @marytabu4904 2 года назад

    Asante sana. Nimejifunza

  • @Megatv275
    @Megatv275 10 месяцев назад

    Nimekuelewa Mwalimu Mungu akuzidishie

  • @mwemezifrance4225
    @mwemezifrance4225 2 года назад

    Amina mtumishi kupitia wewe nimebadilika sana nimekuwa mtu positive sana kwa mafundisho Yako.

  • @omarjuma1794
    @omarjuma1794 2 года назад +8

    Thanks Joel Nanauka. Genius by Discovery

  • @ambrose_vevo137
    @ambrose_vevo137 2 года назад

    Aiseee hapo kweny mitandao hapo....ni kweli kabisa

  • @happinessngole9081
    @happinessngole9081 2 года назад

    Yaani Joel swala la mitandao ya kijamii nataka nianze kujirekebusha kuanzia leo

  • @francolfredricque9588
    @francolfredricque9588 2 года назад

    Imekaa vizuri brother

  • @veeJesus
    @veeJesus 2 года назад

    Following from from Facebook

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  2 года назад

      Karibu sana na endelea kuwaalika wengine

  • @elimikatv
    @elimikatv Год назад

    Ahsante sana coach, Somo zuri sana💪

  • @charlesfaida1515
    @charlesfaida1515 2 года назад +2

    Nakuelewa Sana Bro Mara zote napenda kuanza siku yangu Kwa kusikiliza ama kusoma Kwa motivation speaker , Mungu akulinde zaid Bro

    • @kailemboedgar3005
      @kailemboedgar3005 2 года назад +1

      Kaka mungu akubariki sana ,.....nakumbuka nimeanza kukufuatilia miaka nne iliyopita ,.....nimefanikiwa kupanga malengo na kuweza kutimiza ndoto Yangu ya kumiliki gari ,....jambo lililoshindikana hapo jumaa ,....asante sana

  • @josephenerico5826
    @josephenerico5826 2 года назад

    More blessed,;hakika nabalikiwa na mafunzo yako mungu awepamoja nawe🤝🤝🤝🙏🙏🙏💥💥💥

  • @mahambagislain9618
    @mahambagislain9618 2 месяца назад

    Asante Kaka 🎉🎉✍️🇨🇩

  • @wailesmsongole1914
    @wailesmsongole1914 2 года назад

    Brazaa joel wewe ndo mwalimu wangu siwezag kuamka au kulala bila kukusikiliza na vitabu vyako ninavisoma sana

  • @adelinakibejile4696
    @adelinakibejile4696 2 года назад +1

    Thabks a lot Joel,GOD grace b with u,i learn something hear,big up

  • @paschallaurent7558
    @paschallaurent7558 2 года назад +2

    This is my favorite channel that I will be passing through every morning unless there is something! Stay blessed brother
    *Habari Mbaya
    *Kulalamika
    *Malengo ya Siku (80/20 Rule)

    • @shukransanga1040
      @shukransanga1040 2 года назад

      Asante sana kiongoz mungu akupe mahalifa zaid

    • @ZeraGeofrey
      @ZeraGeofrey 10 месяцев назад

      4/epuka social media kutumia kwa mda mrefu asubuhi

  • @perepetuarwabona4178
    @perepetuarwabona4178 2 года назад

    Asante mm nlkuwa mtu wa kuangalia matukio nmejfunza

  • @magrathmichael7475
    @magrathmichael7475 2 года назад +1

    Asante coach wangu.mungu akubariki sana.pia tunaomba uwendelee kutuletea video hapa utube Kama zaman unatusaidia sana

  • @johnmligo6966
    @johnmligo6966 2 года назад

    Kaka upo vizuri...

  • @festoelias7884
    @festoelias7884 2 года назад

    Shukrani sana kaka

  • @thomaskazungu6415
    @thomaskazungu6415 2 года назад +1

    Be blessed more Joel🙏

  • @ibrahimkalama6045
    @ibrahimkalama6045 2 года назад +1

    True you've inspired me

  • @richardkapolya3268
    @richardkapolya3268 Год назад

    BARIKIWA sana mkuu motivation zako zipo vizuri sana na zinatujenga sanaaaaaa

  • @janeflorencesajjabi1545
    @janeflorencesajjabi1545 Год назад

    May GOD bless You Always Mr.Joel

  • @andrekamango8573
    @andrekamango8573 2 года назад

    Asante kwa bidii yakutujuza ao yakutujulisha maisha

  • @Olafkaria123
    @Olafkaria123 Год назад

    Gud advice my role model ,I appreciate you much bro , I wish one day to see you bro

  • @WilliamJulius-p1q
    @WilliamJulius-p1q Год назад

    Asante uko sahih sana😅

  • @josephkiwovele7806
    @josephkiwovele7806 Год назад

    Namba 3

  • @delvinmoraa4883
    @delvinmoraa4883 Год назад

    Am here today na am blessed with your best advice

  • @geoffreyluvanda7801
    @geoffreyluvanda7801 2 года назад

    Good subject brother tatizo.Dirty mind zimetutawala sana vijana wasasa hata tushikapo simu tunayoangalia na kusikiliza nimachafu kwaasimilia kubwa

  • @aikasolomon7781
    @aikasolomon7781 2 года назад

    Be bless Brother Joel mengi najifunza

  • @shaziliabdalamilanzi7588
    @shaziliabdalamilanzi7588 2 года назад

    nakuelewa Sana bro 🙏🙏

  • @adampartson1625
    @adampartson1625 2 года назад

    Nashukuru Sana broo tunajifunza sana kupitia video zako👏💯

  • @saadarashidi2428
    @saadarashidi2428 2 года назад

    Kwakweli nashukuru kujuwa hili,nitajirekebisha kushika sm asubui.

  • @graceleo2462
    @graceleo2462 2 года назад

    Asante somo zuri Mie point namba moja inanisumbua sana

  • @biamungunestory1935
    @biamungunestory1935 Год назад +1

    You're such an amazing psychologist sir........i totally comprehend every teaching of you

  • @adammakame63
    @adammakame63 2 года назад

    Excellent

  • @sadickthedone3263
    @sadickthedone3263 2 года назад

    Aise bro Mungu akubariki

  • @jdm1459
    @jdm1459 2 года назад

    Asanteh sana kaka Joel Mungu akubarik kwa mafunzo yako tu

  • @abubakarhussein1676
    @abubakarhussein1676 2 года назад

    Nashukuru sana kaka noeli. Mimi jambo lakupanga ratiba yangu yaasubuh huwa linanishinda kwakweli

  • @هشامسلام-ف7س
    @هشامسلام-ف7س Год назад

    Kweli kuna siku niliamka asubuh nikajikumbusha mambo ya kuumiza nikalia saana na nilipofika ofcn akaja mteja akaniibia simu asubuh hiyo hiyo nikaishuhidia ajali mbaya ila leo kaka Joe asante

  • @AroniMnyuda
    @AroniMnyuda Год назад

    nimeipenda iko makini hiyo

  • @evalinemacha3593
    @evalinemacha3593 Год назад

    Hapo kwenye mitandao ya kijamii ndo shida. Naingia tu ili mradi nipo na bado. Yaani 🙆

  • @maryamhamad3485
    @maryamhamad3485 2 года назад

    Sante

  • @arafatdua166
    @arafatdua166 2 года назад

    Nakuelewa Sana bro

  • @nasmalyimo3458
    @nasmalyimo3458 2 года назад

    🙏🙏🙏 May God bless you....

  • @rahabuwangae3739
    @rahabuwangae3739 2 года назад

    Asante sana kaka mkubwa"intentionally" nmenote hii ❤ ❤ Mungu akawe nawe

  • @salehmasoud1672
    @salehmasoud1672 2 года назад +1

    Big up@ Nanauka

  • @NancyKahindi-qy8vh
    @NancyKahindi-qy8vh Год назад

    Apokweli mtumishi

  • @medlucas5686
    @medlucas5686 2 года назад

    Asante kwa ushaur ila kwa mfumo tulionao hatujui lipi ni lip

  • @Delphinusdeodatus-xu6nf
    @Delphinusdeodatus-xu6nf Год назад

    Thanks Mr Joel,your motivations makes many changes in my life style.God bless you forever!!!

  • @Ixxah05
    @Ixxah05 Год назад

    Thankyu so much motivation zako zipo vizuri barikiwa sana🙏

  • @petromathias9376
    @petromathias9376 2 года назад

    Asante sana kaka

  • @samiwily1716
    @samiwily1716 2 года назад

    ubarikiwe Kaka Joel🙏

  • @babybhalo8723
    @babybhalo8723 2 года назад

    Asanteeee ...mm ni mpenzi Sana wa kuingia mitandaoni asubuhi sana, Nimejifunza kitu mungu akubariki sana

  • @daniellepari4525
    @daniellepari4525 2 года назад

    Asante Sana mwalimu kwa elimu yako nzuri ubarikiwe na mungu awe nawe kila wakati umeniepusha mkubwa nakushukuru sana brother

  • @doreendeodatus9018
    @doreendeodatus9018 2 года назад +4

    One small POSITIVE THOUGHT in the morning can change your whole day. Asante sana kaka Joel na hongera kwa kazi nzuri. GOD Bless you

  • @faudhiatmasoud4025
    @faudhiatmasoud4025 2 года назад

    Asante sana kaka nimejifunza kusimamia jambo langu muhimu kuanzia asubuhi mpaka siku iishe.

  • @medardluckas3291
    @medardluckas3291 2 года назад

    Kazi nzuri kak