UNAPOSAIDIA WATU - JOEL NANAUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Комментарии • 170

  • @evancepillar3753
    @evancepillar3753 2 года назад +13

    Nimekuwa mtoa sana kwa ndugu, jamaa na hata rafiki shida kubwa ninayoipata ni kwamba.. mbali ya huko kujitoa kwangu kote mtu bado anaona ninzo nyingi na nikisubutu kusema sina maneno mabaya nayasikia kwa watu wa karibu kuwa SI MTU WA KUJALI MATATIZO YA WATU ....Nimejifunza kitu hapa

  • @annastaziarenatus9880
    @annastaziarenatus9880 2 года назад +14

    Kweli Kaka Joel Mimi ni binti ambae najitoa Sana kwenye kusaidia watu ijapokuwa Sina pesa za kutosha lakin nakumbuka niliwai kumsaidia dada yangu Mara nyingi Mara ya mwisho nilimpa mtaji lakin baada ya kufanya mauzo akampa Ela zote mume wake alafu akazitumia 😭😭nawakati Mimi nilijitoa kumpa mtaji ili asinisumbue Tena kuniomba omba Ela lakin chakushangaza kala mtaji na mume wake still bado anaendelea kuniomba Ela yaani kweli watu awasaidiki Bali wanarudisha maendeleo ya watu nyuma kwakweli🥺🥺Safari hii atanichukia we ngoja

    • @zainayolamu6486
      @zainayolamu6486 2 года назад

      Mkaushie huyo

    • @catherinemzurikwao3265
      @catherinemzurikwao3265 2 года назад

      Anakutumia vibaya huyo! Ndio tatizo la watu, ukimsaidia anadhani wewe unazo nyingi!!! 💔

    • @bobog9732
      @bobog9732 2 года назад +1

      wataona cha moto

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 2 года назад

      Hapana wewe ulimpa hela bila kumshauri elimu ya pesa ,mfundishe na aangalie video za elimu ya pesa kwa video za Joel

    • @mwlekartiesmwankenja3602
      @mwlekartiesmwankenja3602 2 года назад

      Kama wewe ni mtu wa Yesu wala usimhukumu Bali unapaswa kumpenda zaidi Kama wewe ulivyopendwa na Yesu. Msamehe tena na tena na kisha msaidie ushauri na kumwongoza vema. Huyo ni ndugu yako na Yesu anasema asiye wapenda wa kwao ni mbaya kuliko mpagani. Endelea kumsaidia tena na tena

  • @tukaesanatu2754
    @tukaesanatu2754 Год назад +1

    Ni baba watu hawajui kabisa,wanafikiri una pesa tu

  • @AziziKalembo
    @AziziKalembo 6 месяцев назад

    Hasante sana bro kwaushauri mzuri

  • @tukaesanatu2754
    @tukaesanatu2754 Год назад +1

    Unachosema ni kweli,,naunga mkono

  • @JosiasJosue-y3l
    @JosiasJosue-y3l Месяц назад

    Asante sana mkubwa nime ku elewa ila na dhani kuwa ku saidiya watu sana ku pitiliza ni makosa

  • @bonaventurasumaye6290
    @bonaventurasumaye6290 2 года назад +1

    Nimejifunza kuwa ukiwa mtu wa kusaidia watu wengine watatumia hiyo chance kukumiza kwakutojali unapitia nn ila wanataka uwasaidie

  • @eliaichitilya5728
    @eliaichitilya5728 2 года назад +1

    Thanks saaana bro joel coz nimejifunza meng meng coz napenda kusaidia watu

  • @kaburiamosi9557
    @kaburiamosi9557 Год назад

    Uko vizr saaana

  • @issaibrahim8796
    @issaibrahim8796 2 года назад +1

    Joel yaan hiyo point ya tatu ya kusaidi kwa kutohitaji malipo Wala shukran bali kutegemea malipo kutoka kwa Mungu yaan umezungumza maneno kutoka ktk quran surah insan au surat dahari mwenyezi Mungu amewataje wale wanao saidia msikini na wafungwa ma mayatima na wala hawahitaji kutoka kwao malipo wala shukran isipokuwa wanafanya hivyo kwa kutaka radhi za Allah

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 2 года назад +2

    Asante kwa mafudisho mazuri,barikiwa Sana toka kwetu kwetu ata sisi unatusaidia kutufundisha🙏🏻🙏🏻

  • @JoyceHaule-o7b
    @JoyceHaule-o7b 4 месяца назад

    Mungu atusaidie

  • @richrichard3322
    @richrichard3322 2 года назад

    Mungu azid kukuweka

  • @ahmedomary8331
    @ahmedomary8331 2 года назад

    Nikweli kabisa uyasemayo mm nimejifunza nimesaidia bila shukrani ila nimejitutumua nakufelisha mambo ilasasa nimejifunza niko kwenye mabadiliko

  • @mariashayo139
    @mariashayo139 Год назад

    Mungu akubariki sana

  • @liberatussylvanus5477
    @liberatussylvanus5477 2 года назад +1

    Asantesana kaka Joel hukukwetu ukimsaidia mtu akifanikiwa wengi wanakudharau mpaka unaweza kujutia ulichofanya

  • @bobog9732
    @bobog9732 2 года назад +1

    hatakama nimekutana na watu wasiokuwa na shukrani sitaacha kusaidia kipindi musaada wangu unaitajika

  • @ninjaisma7983
    @ninjaisma7983 2 года назад +1

    Umesahau kugusia swala la kumsaidia mtu na kumsema pembeni ukiwa na watu wengine

    • @janethgarlus9173
      @janethgarlus9173 2 года назад

      Yaan kabisa mwngne akikusaidis ukoo mzma utajua

  • @timothykengere2535
    @timothykengere2535 2 года назад +3

    Mawaidha mazuri Ndugu Nanauka Joel 📚📚📚📚 shukran 🎙️

  • @joelparmwat6029
    @joelparmwat6029 2 месяца назад

    Nikweli kabisa mtumishi wa mungu

  • @barakamshana664
    @barakamshana664 2 года назад

    Perfect brother

  • @eliaichitilya5728
    @eliaichitilya5728 2 года назад +1

    As iko kwenye plan yang ya maisha japo kuwa nasoma bdo but i believ ntaweza kufika mbali

  • @shishichocolate140
    @shishichocolate140 2 года назад +6

    Jambo lingine ambalo nimejifunza kwa upande wangu ni kuwa unaposaidia watu kuna kundi la watu wengine hawapendi kabisa ufanye ivo,wengine wangependa kuwa kweny nafasi yako,wengine ni chuki tu zisizo na sababu.

  • @reginaldipeter2272
    @reginaldipeter2272 2 года назад

    Hii Ni kweli kabisa

  • @zainabz2844
    @zainabz2844 2 года назад

    Shukran Kaka kweli Kabisa ujakosea

  • @stanleyandrea5153
    @stanleyandrea5153 Год назад

    Sahihi kaka joe

  • @mwlrobinson
    @mwlrobinson 2 года назад +2

    Naaamin pia ukimusaidia mtu Kuna baraka sana

  • @mussalulenga9939
    @mussalulenga9939 2 года назад +1

    Hata mie napofanya hivo huenjoy sana

  • @abdullyissa2082
    @abdullyissa2082 2 года назад +1

    Mimi ni mmoja wa uliowasaidia katika masomo pale mtwara kaka

  • @perucebuhomaosward8512
    @perucebuhomaosward8512 Год назад

    Umeongea ukweli kabisa. Yote hayo mimi nayapitia. Nakukubali sana Joel.

  • @sirwophaydom4638
    @sirwophaydom4638 Год назад

    Real talk abour

  • @musamabwe8651
    @musamabwe8651 Год назад

    Kweli kaka yangu naomba uhendelee kutufundisha. Nimebarikiwa sana na somo lako

  • @kiotastar1791
    @kiotastar1791 2 года назад +1

    Nakukubali Sana nipo apa Arusha karibu sana

  • @salmazwallo5920
    @salmazwallo5920 Год назад

    Ukweli mm hilii jambo la 4 huwa linanitesaa kweli aisee yaani ataa uwasaidie vp

  • @gilbertndikuriyo8264
    @gilbertndikuriyo8264 2 года назад

    Asante umeongea ukweri

  • @AnnaSoa-yn9mg
    @AnnaSoa-yn9mg Год назад

    Amina sana kaka

  • @vicentndiholeye1067
    @vicentndiholeye1067 2 года назад

    umenifunza kaka kwakweli

  • @bonaventurasumaye6290
    @bonaventurasumaye6290 2 года назад +1

    Asantee brother umenifungua nimekuwa mtu wa kuwasaidia watu lakin wengine hawana shukran

  • @collinsmercy3971
    @collinsmercy3971 Год назад

    Nakufuatilia sana kutoka Kenya transnzoia county .kwa kweli you are my role model

  • @annsteve4457
    @annsteve4457 2 года назад

    Mr nanauka kiukweli unamawaidha mzuri kabisa lakini Kuna kitu kimoja kinanitatisa nimekua wakulaumiwa nawatu hakuna kitu naweza fanya ama kusema bila mtu kulamika Hadi liniusunisha sababu najaribu niwezavyo lkini mwisho wasiku lawama , tafadhali ni saindie

  • @jumatawfiq6443
    @jumatawfiq6443 2 года назад +1

    Tunajitoa Sana kwa ndugu na watu wa karibu Ila cku tuh mtu au jamaa akuklilia shda ukimwambia huna lawama.hatari Sana ytaka moyo hassa

  • @nuruhassan5476
    @nuruhassan5476 2 года назад

    Nakuelewa sana kaka now muda wote nahitaji kupata mawadha yako🙏🙏

  • @sarahmarco9912
    @sarahmarco9912 2 года назад

    Dah, Utukufu kwa MUNGU, nimebarikiwa sana na nimejifunza kitu Cha tofauti sana ambacho nilijuwa skijui ktk kusaidia watu

  • @hamiduhamisi2457
    @hamiduhamisi2457 2 года назад

    Kaka Joel naomba Mungu akuepushe na mabaya

  • @danimsingi7869
    @danimsingi7869 2 года назад +1

    Ubarikiwe sana kk Joel

  • @shishichocolate140
    @shishichocolate140 2 года назад +1

    ni sahihi kabisa kaka Joe mengi nimeyapitia pia karika kuwasaidia watu

  • @happinessmulundi5821
    @happinessmulundi5821 Год назад

    Ni kweli kabisa huwa hawajui unapitiakwenye changamoto Gani huwa na ukiwa huna huwa hawaamini.

  • @CatherineMasanja-bj4rm
    @CatherineMasanja-bj4rm Год назад

    Kweli tupu mbaya zaidi wengi husahau wema wote waliofanyiwa hasta aliyewasaidia akiishiwa

  • @medlucas5686
    @medlucas5686 Год назад

    Msaada unanguvu ktka mafanikiao ya mwenyewe kiu ya mafanikiao nimeona ktk kutoa kwn hujui mungu ametuma Nan I'll umtolee sadaka

  • @petermkinga3566
    @petermkinga3566 2 года назад

    Upo sahihi sana jamaa yangu tendawema uende zako

  • @daniellepari4525
    @daniellepari4525 2 года назад

    Ahsante sana ndugu jeol Nanauka kwa ushauri ubarikiwe na bwana

  • @lizzybahati3739
    @lizzybahati3739 Год назад

    Amen kakaangu sana MUNGU akubariki sana kwa Elimu hii 🙏

  • @eliethaudax9360
    @eliethaudax9360 Год назад

    Mimi binafsi Mungu ndio anayenilipaga na kunibarik maana wengi niliotoa kidogo tugawane hawanashukran na wengiwao hawapend ata mafanikio yangu na ndo hao hao unaonijitoa kwa moyo kwao. Watu wanakatisha sana tamaa ataumsaidie Mara 9 ukishindwa kumsaidia mala moja basi chuki inainuka

  • @bukelebengelela
    @bukelebengelela 2 года назад +1

    Ubarikiwe sana Joel

  • @janemwita2962
    @janemwita2962 2 года назад

    Amina

  • @zinhotz5366
    @zinhotz5366 2 года назад

    Natumia mda wangu mwingi kujifumza kutoka kwako naona mabadiliko

  • @AfiSoul103
    @AfiSoul103 2 года назад

    Mwenyezmungu atupe khatma njema.. 🤗

  • @fatumaabdalla2580
    @fatumaabdalla2580 2 года назад

    Kweli ukisaidia watu usisubir shukran kutoka kwao🙏🙏

  • @fallyde1267
    @fallyde1267 2 года назад

    Sina cha ziada kwa mafunzo yako bali % mungu akubariki".

  • @emanuelbrysonshauritv.1638
    @emanuelbrysonshauritv.1638 2 года назад

    Nimejifunza usitegemee chochote kwa unaye msaidia isipokuwa ameguswa yeye mwenyewe kurudisha fadhila. Ila ukimsaidia mtu fanya kama utumishi kwa Mungu utalipwa na Mungu mwenyewe

  • @gaudencemwakibibi8225
    @gaudencemwakibibi8225 2 года назад

    Ubarikiwe sana nimejifunza kitu kikubwa

  • @user-ipallangyo
    @user-ipallangyo Год назад

    I appreciate kazi yako kaka Joel, unatu-inspire vijana

  • @lukandaguillaume4175
    @lukandaguillaume4175 Год назад

    Be blessed

  • @amaaissa9713
    @amaaissa9713 2 года назад

    Kabisa kaka joel ukwel sitaweza kuwasaidia watu wote lkn nitajitahid kuwasaidia watu wengi kwenye maisha yangu

  • @fabiansamwel5364
    @fabiansamwel5364 2 года назад

    Ahsant sana bro, uwep wako no WA mhim usinyamanz maan ukinyamanza kunawatu watasimama hawataendeleya mbel maan mungu anakutumia kama chombo Cha usafili wa wengi

  • @dr.bonye1
    @dr.bonye1 2 года назад +1

    Ahsante kaka Joel nimekuelewa vyema 🙏

  • @emmanuelpesambili6661
    @emmanuelpesambili6661 2 года назад

    Ni kwel ayo Ni hakika uwezi kumridhisha Kila mmoja

  • @masterkey536
    @masterkey536 Год назад

    yes sir

  • @tiffarqueen2712
    @tiffarqueen2712 2 года назад

    Kaka unajuwasana mungu akubaliki

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 2 года назад

    Nimejifunza barikiwa Sana Joel nanauka 💝

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 2 года назад

    Nakushukuru sana Brother
    Kwa Elimu yako Amboyo Haina Mipaka

  • @enocknnko4141
    @enocknnko4141 2 года назад

    Ubarikiwe Sana Mtumish wa Mungu kwa somo zuri

  • @happinessmulundi5821
    @happinessmulundi5821 Год назад

    Wengine ukimsaidia anakuhukuru Hadi unogopa kumsaidia tena .

  • @funnyclip5052
    @funnyclip5052 2 года назад

    Kaka Joel Asante Sana kwa SoMo lako God bless you uzidi kutufungua kk

  • @daniellepari4525
    @daniellepari4525 2 года назад

    Ahsante sana ndugu jeol Nanauka kwa Elimu yako kwa kweli umenifundisha mengi na umeniepusha vingi sana mungu Akubariki sana upate maisha marefu 🤞🤞

  • @kasimuthabiti6907
    @kasimuthabiti6907 2 года назад

    Hili somo nimelipenda saaana

  • @fredgersimbeye5394
    @fredgersimbeye5394 Год назад

    Amen Amen Amen

  • @gaudenciuspeter6544
    @gaudenciuspeter6544 2 года назад

    Asante sana kaka kwa masomo yako
    Nawezaje kupataje vitabu vyako hasa hiki cha utunzaji wa fedha na matumizi yake

  • @godkundy1582
    @godkundy1582 2 года назад

    Fact..🙏

  • @lilianphilipe
    @lilianphilipe 5 месяцев назад

    Thanks teacher

  • @patrickmupika5158
    @patrickmupika5158 2 года назад

    Nina omba usaidizi kwaku télécharger viduo za nanauka

  • @khadijajuma7142
    @khadijajuma7142 2 года назад +1

    Mm nikisaidia huwa najifurahisha yaani nainjoi vibaya sana na napata nguvu yakuona kumbe naweza kua sababu ya mtu kufurahi najiona wathamani ile mbayaa.

  • @saidyshoka1872
    @saidyshoka1872 2 года назад

    Nimejifunza kuwa na furaha zaid nikimsaidia mtu

  • @evancymassawekenya7521
    @evancymassawekenya7521 2 года назад

    That's true brother ubarikiwe unaelimisha Sana Niko hivyo

  • @nehemiahelisha6947
    @nehemiahelisha6947 2 года назад +1

    Amen
    Amen
    Amen
    Well and relevant issues 👏
    May God bless you abundantly 🙏👋

  • @emotional_feelingsfeelings5780
    @emotional_feelingsfeelings5780 2 года назад

    Yaaaani Hiii Video Nilikuwa Naitafuta Jana You Tube Na Mungu Kaileta SHUKRAN Boss Kwa Kutengeneza Hiiii Video

  • @dorcasmunisi8678
    @dorcasmunisi8678 2 года назад

    Kila somo lako linanibariki..kwakweli watu hawana wema.BIG UP BROTHER

    • @bakundukizetz3880
      @bakundukizetz3880 2 года назад

      Rafiki watu wana wema Sana! Usivunjike Moyo,wako watu wengi wema tu!

  • @martinbarasa3200
    @martinbarasa3200 Год назад

    i agree 💯👍 with you

  • @jumatawfiq6443
    @jumatawfiq6443 2 года назад

    Kweli kaka nimekuelewa ubarikiwe

  • @silaserasto78
    @silaserasto78 2 года назад

    Somo zuri sana Kwan linaboresha maisha

  • @suziefaustine546
    @suziefaustine546 2 года назад

    Well said yan kuna watu hawana shukurani hata uwape kila kitu ulichonacho

  • @justinebaada9079
    @justinebaada9079 2 года назад

    Kwl kabisa bro

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 2 года назад

    Asante Sanaa ,unazidi kunifunguwa🙏

  • @eliudwiston4206
    @eliudwiston4206 2 года назад

    Ni kweli kabisa kabisa kaka. Barkiwa sana.

  • @ambrose_vevo137
    @ambrose_vevo137 2 года назад

    Well said Brother......!!
    Jambo la nne limekuwa kikwazo sana ,mno.
    Mungu atusaidie katika hili....

  • @tresorndayisenga6528
    @tresorndayisenga6528 2 года назад

    Asante sana elimu muhimu

  • @catherinemzurikwao3265
    @catherinemzurikwao3265 2 года назад

    Hayo yote hata mimi nimeyapitia katika maisha ya kupenda kusaidia watu. Ahsante kwa kunikumbusha

  • @merveilleajabu
    @merveilleajabu 2 года назад

    Asante sana kwa ushauri huu.

  • @legrandmsangi8405
    @legrandmsangi8405 2 года назад

    Appreciate you always.. ubarikiwe daima

  • @rhinakiza
    @rhinakiza 2 года назад

    Wow, God bless you 🙏🏼 🙌 that's truly I can't help every one and I am making myself poor