Nimekuwa mtoa sana kwa ndugu, jamaa na hata rafiki shida kubwa ninayoipata ni kwamba.. mbali ya huko kujitoa kwangu kote mtu bado anaona ninzo nyingi na nikisubutu kusema sina maneno mabaya nayasikia kwa watu wa karibu kuwa SI MTU WA KUJALI MATATIZO YA WATU ....Nimejifunza kitu hapa
Kweli Kaka Joel Mimi ni binti ambae najitoa Sana kwenye kusaidia watu ijapokuwa Sina pesa za kutosha lakin nakumbuka niliwai kumsaidia dada yangu Mara nyingi Mara ya mwisho nilimpa mtaji lakin baada ya kufanya mauzo akampa Ela zote mume wake alafu akazitumia 😭😭nawakati Mimi nilijitoa kumpa mtaji ili asinisumbue Tena kuniomba omba Ela lakin chakushangaza kala mtaji na mume wake still bado anaendelea kuniomba Ela yaani kweli watu awasaidiki Bali wanarudisha maendeleo ya watu nyuma kwakweli🥺🥺Safari hii atanichukia we ngoja
Kama wewe ni mtu wa Yesu wala usimhukumu Bali unapaswa kumpenda zaidi Kama wewe ulivyopendwa na Yesu. Msamehe tena na tena na kisha msaidie ushauri na kumwongoza vema. Huyo ni ndugu yako na Yesu anasema asiye wapenda wa kwao ni mbaya kuliko mpagani. Endelea kumsaidia tena na tena
Joel yaan hiyo point ya tatu ya kusaidi kwa kutohitaji malipo Wala shukran bali kutegemea malipo kutoka kwa Mungu yaan umezungumza maneno kutoka ktk quran surah insan au surat dahari mwenyezi Mungu amewataje wale wanao saidia msikini na wafungwa ma mayatima na wala hawahitaji kutoka kwao malipo wala shukran isipokuwa wanafanya hivyo kwa kutaka radhi za Allah
Jambo lingine ambalo nimejifunza kwa upande wangu ni kuwa unaposaidia watu kuna kundi la watu wengine hawapendi kabisa ufanye ivo,wengine wangependa kuwa kweny nafasi yako,wengine ni chuki tu zisizo na sababu.
Mr nanauka kiukweli unamawaidha mzuri kabisa lakini Kuna kitu kimoja kinanitatisa nimekua wakulaumiwa nawatu hakuna kitu naweza fanya ama kusema bila mtu kulamika Hadi liniusunisha sababu najaribu niwezavyo lkini mwisho wasiku lawama , tafadhali ni saindie
Mimi binafsi Mungu ndio anayenilipaga na kunibarik maana wengi niliotoa kidogo tugawane hawanashukran na wengiwao hawapend ata mafanikio yangu na ndo hao hao unaonijitoa kwa moyo kwao. Watu wanakatisha sana tamaa ataumsaidie Mara 9 ukishindwa kumsaidia mala moja basi chuki inainuka
Nimejifunza usitegemee chochote kwa unaye msaidia isipokuwa ameguswa yeye mwenyewe kurudisha fadhila. Ila ukimsaidia mtu fanya kama utumishi kwa Mungu utalipwa na Mungu mwenyewe
Ahsant sana bro, uwep wako no WA mhim usinyamanz maan ukinyamanza kunawatu watasimama hawataendeleya mbel maan mungu anakutumia kama chombo Cha usafili wa wengi
Mm nikisaidia huwa najifurahisha yaani nainjoi vibaya sana na napata nguvu yakuona kumbe naweza kua sababu ya mtu kufurahi najiona wathamani ile mbayaa.
Nimekuwa mtoa sana kwa ndugu, jamaa na hata rafiki shida kubwa ninayoipata ni kwamba.. mbali ya huko kujitoa kwangu kote mtu bado anaona ninzo nyingi na nikisubutu kusema sina maneno mabaya nayasikia kwa watu wa karibu kuwa SI MTU WA KUJALI MATATIZO YA WATU ....Nimejifunza kitu hapa
Kweli Kaka Joel Mimi ni binti ambae najitoa Sana kwenye kusaidia watu ijapokuwa Sina pesa za kutosha lakin nakumbuka niliwai kumsaidia dada yangu Mara nyingi Mara ya mwisho nilimpa mtaji lakin baada ya kufanya mauzo akampa Ela zote mume wake alafu akazitumia 😭😭nawakati Mimi nilijitoa kumpa mtaji ili asinisumbue Tena kuniomba omba Ela lakin chakushangaza kala mtaji na mume wake still bado anaendelea kuniomba Ela yaani kweli watu awasaidiki Bali wanarudisha maendeleo ya watu nyuma kwakweli🥺🥺Safari hii atanichukia we ngoja
Mkaushie huyo
Anakutumia vibaya huyo! Ndio tatizo la watu, ukimsaidia anadhani wewe unazo nyingi!!! 💔
wataona cha moto
Hapana wewe ulimpa hela bila kumshauri elimu ya pesa ,mfundishe na aangalie video za elimu ya pesa kwa video za Joel
Kama wewe ni mtu wa Yesu wala usimhukumu Bali unapaswa kumpenda zaidi Kama wewe ulivyopendwa na Yesu. Msamehe tena na tena na kisha msaidie ushauri na kumwongoza vema. Huyo ni ndugu yako na Yesu anasema asiye wapenda wa kwao ni mbaya kuliko mpagani. Endelea kumsaidia tena na tena
Ni baba watu hawajui kabisa,wanafikiri una pesa tu
Hasante sana bro kwaushauri mzuri
Unachosema ni kweli,,naunga mkono
Asante sana mkubwa nime ku elewa ila na dhani kuwa ku saidiya watu sana ku pitiliza ni makosa
Nimejifunza kuwa ukiwa mtu wa kusaidia watu wengine watatumia hiyo chance kukumiza kwakutojali unapitia nn ila wanataka uwasaidie
Thanks saaana bro joel coz nimejifunza meng meng coz napenda kusaidia watu
Uko vizr saaana
Joel yaan hiyo point ya tatu ya kusaidi kwa kutohitaji malipo Wala shukran bali kutegemea malipo kutoka kwa Mungu yaan umezungumza maneno kutoka ktk quran surah insan au surat dahari mwenyezi Mungu amewataje wale wanao saidia msikini na wafungwa ma mayatima na wala hawahitaji kutoka kwao malipo wala shukran isipokuwa wanafanya hivyo kwa kutaka radhi za Allah
Asante kwa mafudisho mazuri,barikiwa Sana toka kwetu kwetu ata sisi unatusaidia kutufundisha🙏🏻🙏🏻
Mungu atusaidie
Mungu azid kukuweka
Nikweli kabisa uyasemayo mm nimejifunza nimesaidia bila shukrani ila nimejitutumua nakufelisha mambo ilasasa nimejifunza niko kwenye mabadiliko
Mungu akubariki sana
Asantesana kaka Joel hukukwetu ukimsaidia mtu akifanikiwa wengi wanakudharau mpaka unaweza kujutia ulichofanya
hatakama nimekutana na watu wasiokuwa na shukrani sitaacha kusaidia kipindi musaada wangu unaitajika
Sawa ila tutatoa msaada Kwa anaejielewa
Umesahau kugusia swala la kumsaidia mtu na kumsema pembeni ukiwa na watu wengine
Yaan kabisa mwngne akikusaidis ukoo mzma utajua
Mawaidha mazuri Ndugu Nanauka Joel 📚📚📚📚 shukran 🎙️
Nikweli kabisa mtumishi wa mungu
Perfect brother
As iko kwenye plan yang ya maisha japo kuwa nasoma bdo but i believ ntaweza kufika mbali
Jambo lingine ambalo nimejifunza kwa upande wangu ni kuwa unaposaidia watu kuna kundi la watu wengine hawapendi kabisa ufanye ivo,wengine wangependa kuwa kweny nafasi yako,wengine ni chuki tu zisizo na sababu.
Hii Ni kweli kabisa
Shukran Kaka kweli Kabisa ujakosea
Sahihi kaka joe
Naaamin pia ukimusaidia mtu Kuna baraka sana
Hata mie napofanya hivo huenjoy sana
Mimi ni mmoja wa uliowasaidia katika masomo pale mtwara kaka
Umeongea ukweli kabisa. Yote hayo mimi nayapitia. Nakukubali sana Joel.
Real talk abour
Kweli kaka yangu naomba uhendelee kutufundisha. Nimebarikiwa sana na somo lako
Nakukubali Sana nipo apa Arusha karibu sana
Ukweli mm hilii jambo la 4 huwa linanitesaa kweli aisee yaani ataa uwasaidie vp
Asante umeongea ukweri
Amina sana kaka
umenifunza kaka kwakweli
Asantee brother umenifungua nimekuwa mtu wa kuwasaidia watu lakin wengine hawana shukran
Nakufuatilia sana kutoka Kenya transnzoia county .kwa kweli you are my role model
Mr nanauka kiukweli unamawaidha mzuri kabisa lakini Kuna kitu kimoja kinanitatisa nimekua wakulaumiwa nawatu hakuna kitu naweza fanya ama kusema bila mtu kulamika Hadi liniusunisha sababu najaribu niwezavyo lkini mwisho wasiku lawama , tafadhali ni saindie
Tunajitoa Sana kwa ndugu na watu wa karibu Ila cku tuh mtu au jamaa akuklilia shda ukimwambia huna lawama.hatari Sana ytaka moyo hassa
Nakuelewa sana kaka now muda wote nahitaji kupata mawadha yako🙏🙏
Dah, Utukufu kwa MUNGU, nimebarikiwa sana na nimejifunza kitu Cha tofauti sana ambacho nilijuwa skijui ktk kusaidia watu
Kaka Joel naomba Mungu akuepushe na mabaya
Ubarikiwe sana kk Joel
ni sahihi kabisa kaka Joe mengi nimeyapitia pia karika kuwasaidia watu
Ni kweli kabisa huwa hawajui unapitiakwenye changamoto Gani huwa na ukiwa huna huwa hawaamini.
Kweli tupu mbaya zaidi wengi husahau wema wote waliofanyiwa hasta aliyewasaidia akiishiwa
Msaada unanguvu ktka mafanikiao ya mwenyewe kiu ya mafanikiao nimeona ktk kutoa kwn hujui mungu ametuma Nan I'll umtolee sadaka
Upo sahihi sana jamaa yangu tendawema uende zako
Ahsante sana ndugu jeol Nanauka kwa ushauri ubarikiwe na bwana
Amen kakaangu sana MUNGU akubariki sana kwa Elimu hii 🙏
Mimi binafsi Mungu ndio anayenilipaga na kunibarik maana wengi niliotoa kidogo tugawane hawanashukran na wengiwao hawapend ata mafanikio yangu na ndo hao hao unaonijitoa kwa moyo kwao. Watu wanakatisha sana tamaa ataumsaidie Mara 9 ukishindwa kumsaidia mala moja basi chuki inainuka
Ubarikiwe sana Joel
Amina
Natumia mda wangu mwingi kujifumza kutoka kwako naona mabadiliko
Mwenyezmungu atupe khatma njema.. 🤗
Kweli ukisaidia watu usisubir shukran kutoka kwao🙏🙏
Sina cha ziada kwa mafunzo yako bali % mungu akubariki".
Nimejifunza usitegemee chochote kwa unaye msaidia isipokuwa ameguswa yeye mwenyewe kurudisha fadhila. Ila ukimsaidia mtu fanya kama utumishi kwa Mungu utalipwa na Mungu mwenyewe
Ubarikiwe sana nimejifunza kitu kikubwa
I appreciate kazi yako kaka Joel, unatu-inspire vijana
Be blessed
Kabisa kaka joel ukwel sitaweza kuwasaidia watu wote lkn nitajitahid kuwasaidia watu wengi kwenye maisha yangu
Ahsant sana bro, uwep wako no WA mhim usinyamanz maan ukinyamanza kunawatu watasimama hawataendeleya mbel maan mungu anakutumia kama chombo Cha usafili wa wengi
Ahsante kaka Joel nimekuelewa vyema 🙏
Ni kwel ayo Ni hakika uwezi kumridhisha Kila mmoja
yes sir
Kaka unajuwasana mungu akubaliki
Nimejifunza barikiwa Sana Joel nanauka 💝
Nakushukuru sana Brother
Kwa Elimu yako Amboyo Haina Mipaka
Ubarikiwe Sana Mtumish wa Mungu kwa somo zuri
Wengine ukimsaidia anakuhukuru Hadi unogopa kumsaidia tena .
Kaka Joel Asante Sana kwa SoMo lako God bless you uzidi kutufungua kk
Ahsante sana ndugu jeol Nanauka kwa Elimu yako kwa kweli umenifundisha mengi na umeniepusha vingi sana mungu Akubariki sana upate maisha marefu 🤞🤞
Hili somo nimelipenda saaana
Amen Amen Amen
Asante sana kaka kwa masomo yako
Nawezaje kupataje vitabu vyako hasa hiki cha utunzaji wa fedha na matumizi yake
Fact..🙏
Thanks teacher
Nina omba usaidizi kwaku télécharger viduo za nanauka
Mm nikisaidia huwa najifurahisha yaani nainjoi vibaya sana na napata nguvu yakuona kumbe naweza kua sababu ya mtu kufurahi najiona wathamani ile mbayaa.
Nimejifunza kuwa na furaha zaid nikimsaidia mtu
That's true brother ubarikiwe unaelimisha Sana Niko hivyo
Amen
Amen
Amen
Well and relevant issues 👏
May God bless you abundantly 🙏👋
Yaaaani Hiii Video Nilikuwa Naitafuta Jana You Tube Na Mungu Kaileta SHUKRAN Boss Kwa Kutengeneza Hiiii Video
Kila somo lako linanibariki..kwakweli watu hawana wema.BIG UP BROTHER
Rafiki watu wana wema Sana! Usivunjike Moyo,wako watu wengi wema tu!
i agree 💯👍 with you
Kweli kaka nimekuelewa ubarikiwe
Somo zuri sana Kwan linaboresha maisha
Well said yan kuna watu hawana shukurani hata uwape kila kitu ulichonacho
Kwl kabisa bro
Asante Sanaa ,unazidi kunifunguwa🙏
Ni kweli kabisa kabisa kaka. Barkiwa sana.
Well said Brother......!!
Jambo la nne limekuwa kikwazo sana ,mno.
Mungu atusaidie katika hili....
Asante sana elimu muhimu
Hayo yote hata mimi nimeyapitia katika maisha ya kupenda kusaidia watu. Ahsante kwa kunikumbusha
Asante sana kwa ushauri huu.
Appreciate you always.. ubarikiwe daima
Wow, God bless you 🙏🏼 🙌 that's truly I can't help every one and I am making myself poor