ROSEMARY MWAKITWANGE KAFICHUA MAZITO. CCM NI AKINA NANI HASA. NANI ANAYE MUENDESHA RAIS SAMIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 май 2024

Комментарии • 40

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад +3

    CCM ni jitu kubwa sana ni mafisadi wakubwa sana, Majizi wakubwa sana. Wakina KINANA, MAKAMBA, KIKWETE, WAKINA MAKALA NA GROUP ZAO.

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 Месяц назад +1

    Asante sana my sis Rosemary 👏👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥🔥

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 Месяц назад +2

    Ccm ni kina Samia, Kikwete, Kinana, Mwinyi, Kinana na Makamba. Hizi familia ndo zimetuoigisha magoti watanganyika na wa Znz

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 Месяц назад +2

    Baba lao ndo Kikwete😭😭😭 watu wanalia, Watanganyika na Wazamzibar wanalia, yeye ana furaha zote anavyotutesa watz

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад +1

    Mahakama yetu ni CCM tupu. Kwa sababu tulimsikia Rostam ambaye ni katika group la MACCM WAKUBWA WA KUTUONEA

  • @user-ii3xo5jw9y
    @user-ii3xo5jw9y Месяц назад +1

    wewe ni Mama. Mungu akupe ulimi wa kuneno.

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Месяц назад +2

    Ni mafisiyemu kijani

  • @StephenChama-nh2vr
    @StephenChama-nh2vr Месяц назад +1

    Watanganyika hatumtaki mzanzibari

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 Месяц назад +1

    Kikwete anayemshauri M

  • @judithmwamukinga4448
    @judithmwamukinga4448 Месяц назад

    Umeme hatupewi bure ila kila MTU analipa hii no biashara kama biashara zingine acha ujinga

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад

    Watanganyika wote tunafanya kazi na kulipa kodi, lakini wao CCM wanadhani wao na kundi lao la CCM wanajifanya kuwa wao ndiyo wenye kujenga hilo li Tanzania wanalolisema. Lakini ni waongo kwanza MACCM hawalipi kodi ila sisi watumwa wao ndiyo tunalipa kodi na utitiri wa makodi.

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Месяц назад +1

    Msiangaike ccm lnashimiliwa na kikwete wala msihangaike na group lake na kuwamiliki wakuu wa mkoa ambayo ni wastaafu toka jeshini wala msihangaike wao wanatumia propaganda tuu lakini kikwete ndio msikukilia vyote hivyo kala deal na wazungu na wanaosapoti ccm ni wageni wenye kushikilia rasilimali zetu Sasa mnahaika kuongea wakati kikwete ndio mwenye maono msihangaike kupiga kelele

  • @christianmwabukusi8132
    @christianmwabukusi8132 Месяц назад +1

    Tunafahamu

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Месяц назад +1

    HIVI KAMA KUNA NNCHI IMEZARAULIWA SASAHIVI, TANGU AONDOKE MAGUFULI , NI TANZANIA. MAANA IMEKUWA KAMA MJI USIO NA JUMBE.

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Месяц назад +3

    CCM ni chama cha siasa kama vingine kama hukubaliani nacho achana nacho. Lakini ni upuuzi kudhani kuwa kwa kelele tu CCM itakufa.

  • @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
    @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp Месяц назад

    Kama Kuna mwenyewe uchaguzi was nini

  • @user-mm6nx4jp2m
    @user-mm6nx4jp2m Месяц назад

    Huyo ni kikwete

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Месяц назад

      User wewe Kiboko halooooooo ya Ccm wstabakia tu na kelele za mitandaoni site tunawasikiliza tu wenye nchi yao kwa Familia zao

  • @chalokalunde9429
    @chalokalunde9429 Месяц назад +3

    Tupigeni kura wakati wa uchaguzi kuchagua tuendelee na muungano au la.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Месяц назад

      Na ndio kitu cha kwanza kabla kuzungumzia Katiba Mpya. Kama tuendelee ndio tujadili iwe je.

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza Месяц назад

    Mimi hapa ccm. hatuitaki. Ccm tena ukiona mtu anashabikia ccm ni mlamakombo kupitia kazi .au kwa ndugu hivihivi hamtaona wafuasi hamna watu,hata hatamukiwafuata na. Magari hatuji ccm vyombo vya dora basi sasa katibu kata wa ccm na mwenyekiti wake hawana mishahara niwajinga kiasi gani wakusanye watu kufaidika mfaidike nyiye .wajinga hawo hawapo tena.

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd Месяц назад

      Dada umeongea Jambo la maana sana tena sana, NI LAZIMA TUMJUE CCM ni Nani!!!? Na kama ni Fulani huyu Fulani KATIBA YETU INAMTAMBUAJE? (ANA MAMLAKA GANI KIKATIBA HUYU FULANI)? NINAVYOFAHAMU MIMI, CCM NI CHAMA CHA SISA HAKINA MAMLAKA KIKATIBA KUTUPANGIA NAMNA NCHI YETU TUNATAKA IONGOZWE KWA MAANA YA KATIBA. SASA NI ZAIDI YA MIAKA 35 SASA ETI CCM HAITAKI KATIBA MPYA HAWTAKI KAMA NANI? MADIKTETA, WAKOLONI AU NANI!!? KAMA LIKO JAMBO LINALO BISHANIWA HUAMLIWANA NA WANA NCHI KWA KURA YA WAZI( KURA YA MAONI) WATANGANYIKA BADO TUKO GIZANI!!! HAKUNA WAKUTUTOA GIZANI NI SISI WENYEWE KAMA ALIVYO ONGEA VEMA KABISA HUYO DADA!!! KILA MWENYE AKILI TIMAMU AMECHOSHWA NA CCM, MPAKA HAPA TULIPO INATAWALA KWA MABAVU. AIBU!!!

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Месяц назад

    Mama unahangaika bure vyama vyenyewe vya Upinzani vyote ni Wasaka Tonge kuishinda Ccm hawawezi

  • @Ba63828
    @Ba63828 Месяц назад

    Fake questions

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward Месяц назад

      Ni nani ni sisi wenyewe. Tunajiogopa. Sisi wenyewe.

    • @Ba63828
      @Ba63828 Месяц назад +1

      @@GodfreyOsward Dada yangu Mwakitwange anakua kama mhuni sasa kwani CCM si chama kama vyama vingine vinavoundwa na wanachama ambao wana viongozi wao na katiba yao.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Месяц назад

    Mama utapiga kelele sanaaaa wenzio wala hiyo Ccm ni ya ukoo siye yetu macho tunachoomba amani tu vita hatuwezi tunaona kwa majirani zetu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Месяц назад

    Waende wasiende Mama Ccm itashinda tu nani anataka kupotezwa

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw Месяц назад

    Huyu malaya anaongea nini? Anaacha kuuza uchi wake anaongea pumba

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza Месяц назад +1

    Wewe said Ally acha matusi wewe ni mjinga kama unalamba makombo ya wajinga wenzako lamba kwa siri watu wamesha badirika