Watanganyika wote tunafanya kazi na kulipa kodi, lakini wao CCM wanadhani wao na kundi lao la CCM wanajifanya kuwa wao ndiyo wenye kujenga hilo li Tanzania wanalolisema. Lakini ni waongo kwanza MACCM hawalipi kodi ila sisi watumwa wao ndiyo tunalipa kodi na utitiri wa makodi.
Msiangaike ccm lnashimiliwa na kikwete wala msihangaike na group lake na kuwamiliki wakuu wa mkoa ambayo ni wastaafu toka jeshini wala msihangaike wao wanatumia propaganda tuu lakini kikwete ndio msikukilia vyote hivyo kala deal na wazungu na wanaosapoti ccm ni wageni wenye kushikilia rasilimali zetu Sasa mnahaika kuongea wakati kikwete ndio mwenye maono msihangaike kupiga kelele
Mimi hapa ccm. hatuitaki. Ccm tena ukiona mtu anashabikia ccm ni mlamakombo kupitia kazi .au kwa ndugu hivihivi hamtaona wafuasi hamna watu,hata hatamukiwafuata na. Magari hatuji ccm vyombo vya dora basi sasa katibu kata wa ccm na mwenyekiti wake hawana mishahara niwajinga kiasi gani wakusanye watu kufaidika mfaidike nyiye .wajinga hawo hawapo tena.
Dada umeongea Jambo la maana sana tena sana, NI LAZIMA TUMJUE CCM ni Nani!!!? Na kama ni Fulani huyu Fulani KATIBA YETU INAMTAMBUAJE? (ANA MAMLAKA GANI KIKATIBA HUYU FULANI)? NINAVYOFAHAMU MIMI, CCM NI CHAMA CHA SISA HAKINA MAMLAKA KIKATIBA KUTUPANGIA NAMNA NCHI YETU TUNATAKA IONGOZWE KWA MAANA YA KATIBA. SASA NI ZAIDI YA MIAKA 35 SASA ETI CCM HAITAKI KATIBA MPYA HAWTAKI KAMA NANI? MADIKTETA, WAKOLONI AU NANI!!? KAMA LIKO JAMBO LINALO BISHANIWA HUAMLIWANA NA WANA NCHI KWA KURA YA WAZI( KURA YA MAONI) WATANGANYIKA BADO TUKO GIZANI!!! HAKUNA WAKUTUTOA GIZANI NI SISI WENYEWE KAMA ALIVYO ONGEA VEMA KABISA HUYO DADA!!! KILA MWENYE AKILI TIMAMU AMECHOSHWA NA CCM, MPAKA HAPA TULIPO INATAWALA KWA MABAVU. AIBU!!!
@@GodfreyOsward Dada yangu Mwakitwange anakua kama mhuni sasa kwani CCM si chama kama vyama vingine vinavoundwa na wanachama ambao wana viongozi wao na katiba yao.
CCM ni jitu kubwa sana ni mafisadi wakubwa sana, Majizi wakubwa sana. Wakina KINANA, MAKAMBA, KIKWETE, WAKINA MAKALA NA GROUP ZAO.
Asante sana my sis Rosemary 👏👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥🔥
Ccm ni kina Samia, Kikwete, Kinana, Mwinyi, Kinana na Makamba. Hizi familia ndo zimetuoigisha magoti watanganyika na wa Znz
Baba lao ndo Kikwete😭😭😭 watu wanalia, Watanganyika na Wazamzibar wanalia, yeye ana furaha zote anavyotutesa watz
Mahakama yetu ni CCM tupu. Kwa sababu tulimsikia Rostam ambaye ni katika group la MACCM WAKUBWA WA KUTUONEA
wewe ni Mama. Mungu akupe ulimi wa kuneno.
Ni mafisiyemu kijani
Watanganyika hatumtaki mzanzibari
Kikwete anayemshauri M
Umeme hatupewi bure ila kila MTU analipa hii no biashara kama biashara zingine acha ujinga
Watanganyika wote tunafanya kazi na kulipa kodi, lakini wao CCM wanadhani wao na kundi lao la CCM wanajifanya kuwa wao ndiyo wenye kujenga hilo li Tanzania wanalolisema. Lakini ni waongo kwanza MACCM hawalipi kodi ila sisi watumwa wao ndiyo tunalipa kodi na utitiri wa makodi.
Msiangaike ccm lnashimiliwa na kikwete wala msihangaike na group lake na kuwamiliki wakuu wa mkoa ambayo ni wastaafu toka jeshini wala msihangaike wao wanatumia propaganda tuu lakini kikwete ndio msikukilia vyote hivyo kala deal na wazungu na wanaosapoti ccm ni wageni wenye kushikilia rasilimali zetu Sasa mnahaika kuongea wakati kikwete ndio mwenye maono msihangaike kupiga kelele
Tunafahamu
HIVI KAMA KUNA NNCHI IMEZARAULIWA SASAHIVI, TANGU AONDOKE MAGUFULI , NI TANZANIA. MAANA IMEKUWA KAMA MJI USIO NA JUMBE.
Nani anakudanganya.
CCM ni chama cha siasa kama vingine kama hukubaliani nacho achana nacho. Lakini ni upuuzi kudhani kuwa kwa kelele tu CCM itakufa.
Kama Kuna mwenyewe uchaguzi was nini
Huyo ni kikwete
User wewe Kiboko halooooooo ya Ccm wstabakia tu na kelele za mitandaoni site tunawasikiliza tu wenye nchi yao kwa Familia zao
Tupigeni kura wakati wa uchaguzi kuchagua tuendelee na muungano au la.
Na ndio kitu cha kwanza kabla kuzungumzia Katiba Mpya. Kama tuendelee ndio tujadili iwe je.
Mimi hapa ccm. hatuitaki. Ccm tena ukiona mtu anashabikia ccm ni mlamakombo kupitia kazi .au kwa ndugu hivihivi hamtaona wafuasi hamna watu,hata hatamukiwafuata na. Magari hatuji ccm vyombo vya dora basi sasa katibu kata wa ccm na mwenyekiti wake hawana mishahara niwajinga kiasi gani wakusanye watu kufaidika mfaidike nyiye .wajinga hawo hawapo tena.
Dada umeongea Jambo la maana sana tena sana, NI LAZIMA TUMJUE CCM ni Nani!!!? Na kama ni Fulani huyu Fulani KATIBA YETU INAMTAMBUAJE? (ANA MAMLAKA GANI KIKATIBA HUYU FULANI)? NINAVYOFAHAMU MIMI, CCM NI CHAMA CHA SISA HAKINA MAMLAKA KIKATIBA KUTUPANGIA NAMNA NCHI YETU TUNATAKA IONGOZWE KWA MAANA YA KATIBA. SASA NI ZAIDI YA MIAKA 35 SASA ETI CCM HAITAKI KATIBA MPYA HAWTAKI KAMA NANI? MADIKTETA, WAKOLONI AU NANI!!? KAMA LIKO JAMBO LINALO BISHANIWA HUAMLIWANA NA WANA NCHI KWA KURA YA WAZI( KURA YA MAONI) WATANGANYIKA BADO TUKO GIZANI!!! HAKUNA WAKUTUTOA GIZANI NI SISI WENYEWE KAMA ALIVYO ONGEA VEMA KABISA HUYO DADA!!! KILA MWENYE AKILI TIMAMU AMECHOSHWA NA CCM, MPAKA HAPA TULIPO INATAWALA KWA MABAVU. AIBU!!!
Mama unahangaika bure vyama vyenyewe vya Upinzani vyote ni Wasaka Tonge kuishinda Ccm hawawezi
Fake questions
Ni nani ni sisi wenyewe. Tunajiogopa. Sisi wenyewe.
@@GodfreyOsward Dada yangu Mwakitwange anakua kama mhuni sasa kwani CCM si chama kama vyama vingine vinavoundwa na wanachama ambao wana viongozi wao na katiba yao.
Mama utapiga kelele sanaaaa wenzio wala hiyo Ccm ni ya ukoo siye yetu macho tunachoomba amani tu vita hatuwezi tunaona kwa majirani zetu
Waende wasiende Mama Ccm itashinda tu nani anataka kupotezwa
Huyu malaya anaongea nini? Anaacha kuuza uchi wake anaongea pumba
Acha matusi wewe Said Ally
Malaya ni wewe
Usimuite dada Rose Mwakitwange malaya.
Wewe ndio unajiuza...😂
Matusi ya nini?
KIJANA HAKULELEWA!
Malaya wewe,chawa mkubwa,na mwaka ujao mtaisoma ninyi
Wewe said Ally acha matusi wewe ni mjinga kama unalamba makombo ya wajinga wenzako lamba kwa siri watu wamesha badirika