QURAN YAKIRI YESU KRISTO NDIYE MFALME WA SIKU YA MALIPO-22-5-2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • Elimu ya mambo yajayo inatajwa na Bibloa na inatajwa pia katika Quran. Hata hivyo Quran inapungukiwa sana taarifa muhimu za ulimwengu ule kwa sababu Allah hajawahi kujidhihirisha kwa wanadamu kwa namna yoyote isipokuwa kumhisi tu. Yesu Kristo Aliuacha Utukufu Wake mbinguni akaja na kujionesha kwa wanadamu, na ndiyo maana anaitwa EMANUEL. Je, kama ndivyo maelezo ya Mungu asiyewahi kuonekana kwa viumbe wake yanaweza kuwa na nguvu sawa nay a yule Aliyewajia viumbe wake? Karibu tutafakari pamoja.

Комментарии • 81

  • @etoabwe3451
    @etoabwe3451 3 месяца назад

    Ubarikiwe sana mwalimu wetu Mungu akupe maisha marefu ili uendelee kufundisha kwa kufunguwa akili za watu

  • @GULIELMAS
    @GULIELMAS 3 месяца назад +1

    Haya unayofundisha. Kama ungalikua hujanukuu kwenye vitabu ungeoonekana muongo. Mungu akubariki sana.

  • @user-it4uh7vu5c
    @user-it4uh7vu5c 3 месяца назад

    Àsante kwa ujumbe. Naomba pia mtuletee kipindi cha maana ya kila Aya za Quran moja moja. Kuna Aya ya meza ya chakula,Aya ya meza ya chakula nk. Mbarikiwe sana tu

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 3 месяца назад

    Hongera Daniël unajuwa kusoma quruan

  • @HabibuUrasa
    @HabibuUrasa 3 месяца назад

    Tatizo lenu Mungu amewaondolea ufahamu wala hamjui Mungu ni yupi. bila kusilimu hutaweza kumjua Mungu wa kweli utabaki kusema yesu ni Mungu wakati yesu alikuwa na Mungu wake ambaye ni ALLAH.ss na yesu Mungu wetu ni ALLAH hata mkichukia ndivyo ilivyo na mkiendelea kuchukia jinyongeni

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 3 месяца назад

    Daniël ,shriki unayofanya Yesu sio Mungu

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 2 месяца назад

    Sura ya Ikhlas isemayo Mungu ni mmoja hakuzaa hakuzaliwa hana mfano wake. Yesu kazaliwa na binadam kwa hivi si hivyo unavyodanganya watu Unaunganisha na sura ya Faatihah kwenye mstari ulioandikwa Malik ya umidin yaani mkuu siku ya malipo .Unadanganya eti ni Yesu wakati waislam wanaamini Mungu hakuzaliwa kwa hivi si Yesu hiyo unafahamu ila umeamua tu kudanganya au huelewi. Allah ukigoogle ni neno tu la kiarabu maana yake God au Mungu ambae waislam wanaamini ni mmoja tu si kila dini ina Mungu wake na unasema eti Mungu ataenda motoni yaani Allah ataenda motoni. Huyo Isa bin Mariam myahudi alietumwa kwa wana wa Israel alisema mwenyewe kwamba yeye ni binadamu asiefaa kuabudiwa ila aabudiwe baba yake imeandikwa lakini watu wanadanganyana. Wanasema hukumu itatokana na matendo ya mtu mwenyewe na kila mtu ana daftari lake na anaetoa hukumu au mfalme siku ya malipo ni Mungu tu huyo mmoja ambae hakuzaa wala hakuzaliwa. Afadhali waislam wanaomtambua na kumheshimu Yesu kuliko waisrael au wayahudi alikotumwa kwao. Wao wana Judaism na Jehova na si Yesu. Halafu wanapozema taifa teule hapo napo panashangaza kwani itakuaje liwe teule la Mungu wakati wamemuua na kumkataa mwanae.

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 Месяц назад

    Siku ya Malipo kama lilivyo neno malipo. Kwanza litazingatiwa daftari la matendo yako duniani na jinsi ulivyozijali Amri kumi za Mungu. Basi hayo ya umepitia kwa nani kutengeneza Daftari lako kwa Yesu Muhammad Budha na dini zinginezo ni nyongeza tu. Matendo yako ndio yatakuhukumu na si Yesu ndii sababu inasemwa kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 2 месяца назад

    Kulhu Allaahu Ahad katika surat Ikhlas maana yake Mungu ni mmoja tu ndio huyo huyo hakuzaaa hakuzaliwa hana wa kufananisha nae. Mengineyo yote ni uzushi na uongo . Mitume au manabii walikua 25 akiwemo Yessu na Muhammad Yesu alitumwa kwa wana wa Israel na Muhammad katika Uizlam manenk mafupi makavu na ya ukweli mengineyo mengi ya kutunga tu wssemayo sijui ya Paulo ya kanisa na manabij wa uongo

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j 3 месяца назад +1

    SISI WAISLAMU TUNAAMINI KUNA DALILI 9 KUBWA ZA KIAMA NA BADO HAZIJATOKE, LKN MOJA WAPO KURUDI KWA NABII ISSA AU YESSU, NA IKIFIKA MUDA WA SALA ATASWALI KWA IMANI YA UISLAMU, UAMINI USIAMINI HIVYO NDIVYO ITAVYOKUWA, TAFUTA ELIMU WW BADO SANA....

  • @OmariShuli
    @OmariShuli 3 месяца назад

    Kwanza Mtume Muhammadi hanukuu bibilia. Kwa muujibu wa quran hakuna ufufua mara mbili. Pia niwaulize Yesu kama atakuja na nyinyi mtaenda mkampokee kisha atawapeleka kwenye makazi. je wakati huo hao wana wa esraeli wamewekwa fungu gani? kwa sababu hawakunyakuliwa.

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 Месяц назад

    Mwalimu unaamini kwamba Mungu amemdanganya Mariam kwa Kumtuma Malaika na kumjulisha kwamba atabeba ujauzito na atazaa mtoto amwite Imanuel halafu kumbe akaingia mwenyewe tumboni kwa Mariam na akazaliwa kwa jina la Yesu!!! Hii kama haiwezekani Mungu kua Muongo au kigeugeu basi Yesu si Mungu. Si wote tunajua Mariam alijulishwa na Mungu kwamba atapata ujauzito na atazaa amwite Imanuel. Sasa iweje tena Mungu huyo huyo aje azaliwe? Mungu si Imannuel kamwe

  • @felixgitonga6783
    @felixgitonga6783 3 месяца назад

    Mutume wa waislamu alipewa sumu na kufa

  • @starsirlimonmussa5612
    @starsirlimonmussa5612 3 месяца назад

    ukosai uyo ni isa bi Marim

  • @samuelmaina99
    @samuelmaina99 3 месяца назад

    Niko na swali, Allah anaeza ingiza shetani mbinguni na YESU aingize wafuasi wake jehanam??? 1:21:58

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 Месяц назад

    Mfalme siku ya malipo ni yule ambae waislam wanaamini hakuzaa hakuzaliwa. Na si huyo mwana aliyezaliwa na Mariam aliyetumwa kwa wana wa Israel tu

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 2 месяца назад

    Mwalimu Daniel usijichanganye usipotoshe usidanganye kifupi tu hizo sura mbili za koran unazosoma ziko wazi lakini huzielewi ndio hivyo hivyo mnadanganyana katika biblia. Surat Ikhlas inayosema Mungu ni mmoja tu hakuzaa hakuzaliwa ni maendele,o tu ya maneno Malik ya Umidin mkuu siku ya malipo ambapo huyo mkuu ni huyo huyo mmoja ambae hakuzaa hakuzaliwa hana jinsia wala si myahudi .Kwa hivi Yesu si Mungu ni binadam hata mwenyewe kasema na si Malik ya umidin yeye atatumwa tu na Mungu na si Mungu mtoa hukumu Tunamtambua tunamkubali tunamuheshimu kama ni Issa bin Mariam yaani mtoto wa Mariam ambae ni mtume wa mwenyezi Mungu kwa nyongeza alitumwa kuja kuwakomboa wana wa Izrael. Uongo si mzuri ni dhambi hata upotoshajj ni dhambi Hata neno la kiarabu Allah unalipotosha na kupotosha eti miungu wako wengi wa kila dini. Katika Ikhlas yasema kulhu Allahu maana yake Mungu ni mmoja tu ila majina tofauti sababu ya lugha kwa Allah ni kiarabu sawa na God kiinvereza lakini ni huyo huyo mmoja. Dini yenu ni ya kudanganyana tu kama Shakahola

  • @OmariShuli
    @OmariShuli 3 месяца назад

    Umma wa Muhammad ni wote waliokuwapo tangu alipotumilizwa hadi kiama. hakuna inchi ilotwaliwa na maraisi wawili. ni wewe umuamini uokoke au umpinge uwe mtu wa motoni.

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 2 месяца назад

    Mchungaji haelewi maana ya Allah anaaminj kuna Mungu wengi wa kila dini Anadhani Surat Ikhlas inamuhusu Yesu. Waislam wanaamini kwamba Yesu ni mtume tu wa mwenyezi Mungu alitumwa na atatumwa tena siku ya mwisho lakini si Mungu. Mtoa hukumu si Yesu bali ni Mungu mwenyewe. Koran katika Surat FAATIHAH panaposemwa Maalik ya Umidin yaani Mkuu siku ya Malipo. Mchungaji anadhani ni Yesu. Hapsna huyo mkuu siku ya Malipo ni huyo huyo aliyemo katika Surat Ikhlas kwamba hakuzaa hakuzaliwa. Yesu kamwe si mtoa hukumu.Anasema njooni katika Ufalme wa BABA YANGU lakini haelewi anazungumza vingine kwamba yeye ndie Mungu mfalme sasa huyo baba yake ni nani. Ajabu hata wayahudi alieletwa kwao wana Judaism na Yehova. Mchumgaji ni mpotoshaji yaonekana haelewi anachanganya changanya tu . Hebu mchungaji nenda kahubiri Israel kwa wayahudi. Huyo anaesemwa Maalik ya Umidin mkuu siku ya Malipo sio Yesu usipotoshe.Waislam hawaamini kama Yesu ni Mungu. Anaelezea matarumbeta akimtaja aloydmtaka Mwenyezi Mungu yaani mwenyezi Mungu amemtaka au amemchagua Yesu anasoma vizuri lakini haelewi bado anasema Huyo aliyechaguliwa na Mungu ndiye Mungu.. Uelewe koran inaposema Malik ya umidin wanamaananisha Mungu ambae hakuzaa wala hakuzaliwa kama Yesu. Usipotoshe. Yesu alishasema muabuduni baba yangu Mungu na alisema yeye ni binadamu. Sasa huo uongo eti bimadamu muyahudi ndio mkuu siku ya Malipo. Mchungaji kachanganyikiwa anazunhumza uongo kwa ukosefu wa uelewa

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 2 месяца назад

      Mimi mchungaji nakuelimisha katika sura ya Faaatiha inaposema Malik ya umidin Mkuu siku ya Malipo si Yesu kwani Uislam hauamini kwamba Yesu ni Mungu katika surat Ikhlas isemayo Mungu ni mmoja hakuzaa hakuzaliwa na Yesu si kazaliwa na Mariam? Yesu si mwanadamu hata mwenyewe amesema ksamba muabuduni baba yangu na si mimi mimi ni bin Adam. Hivi hamuoni au hamuelewi? Surat Ikhlas inasema Mungu ni mmoja tu au kwa Kiarabu Allah ni mmoja tu au google uone maana ya neno Allah.Mchungaji mbona unaonyesha jinsi upeo wako ulivyo wa chini.Unasoma vizuri vya kuonyesha Yesu ana baba yake ambae ndie Mungu mmoja halafu unazungumza huyo mtoto binadamu ndio Mungu. Walipita mitume wa kweli 25 wa 24 alikua Yesu na wa 25 alikua Muhammad stori zingine zote ni uongo.Katika hao mitume mmoja tu kachaguliwa kurudi siku ya kiama ambae ni Issa bin Mariam. Ukichaguliwa na Rais kuhudhuria hafla sio kwamba tayari wewe ni Rais. Mwalimu Daniel elewa maana ya Allah katika kamusi na google ili usiemdelee kudanganya watu. Waislam tunaamini Mungu ambae ndie Allah kwa lugha ya kiarabu ni Mmoja tu kwa wote hakuzaa hakuzaliwa na Yesu na Muhammad na akina Musa ni watume tu. Unasema Yesu anawaambia watu anaenda kuwaandalia makazi kwa baba yake lakini mtu haelewi huyo baba yake ni nani. Ajabu eti Israel ni Taifa la Mungu wakati hao hao ndio wamemuua na hawamtambui mwana wa Mungu. Hii dini kweli ina maajabu kama yale ya Shakahola Kenya

  • @veromosha9090
    @veromosha9090 3 месяца назад

    Mwalimu ili uwasaidie vyema siku moja watofautishie utendaji wa mungu wa biblia na quran ulivyo tofauti,yesu kwanzia kuzaliwa kwake na manabii ni tofauti kabisa inavyosema quran na biblia wakati quran imekuja miaka zaidi ya 300 baada ya kristo

    • @MiziziMti
      @MiziziMti 2 месяца назад

      Baada ya Yesu kuondoka duniani ilipita miaka 600 ndipo akazaliwa muhamadi na muhamadi alipokua na miaka 40 ndipo alipo anzisha uislamu na kitabu cha kuruani huku akikopi kopi maandiko ya Biblia na ku twist twist maandiko ya Biblia.

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 3 месяца назад

    Mzee wa upako kishasema someni. Bible wengi wenu hamuwijiwi bible mnawasikiliza manabii feki.

  • @OmariShuli
    @OmariShuli 3 месяца назад

    Maandiko yako sahihi illa maelezo yako ni ya upotoshaji. na pia kiswahili hujui, sijui umejifunzia shule gani. kwani kuweka mguu ni kuingia? hadi uulize kutoka.

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 Месяц назад

    Malik ya umidin mkuu siku ya Malipo ni huyo huyo ambae hakuzaa wala hakuzaliwa Sasa Yesu si kazaliwa na Mariam? Unaisom Sura ya Ikhlas na Fatiha lakini huna unaloelewa unaleta tafsiri zako za uongo .Kur ani inasema Mungu hakuzaa hakuzaliwa na mfalme siku ya Malipo ni dhambi zako na huyo ambae hakuzaa wala hakuzaliwa. Yesu sio Mungu kwa sababu Yesu hajamuumba Adam kamwe. Mariam ni binadamu na kizazi cha Adam iweje Mungu amuumbe binadamu halafu binadamu amzae Mungu huyo huyo aliemuumba!!! Hiyo kwako haiji akilini?

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 Месяц назад

    Mwalimu unaona Amri kumi za Mungu kapewa Musa kabla ya Yesu na Yesu mwenyewe kasema yeye haji kubadilisha wala kupinga yale ya mitume wa Mungu waliopita na ndio hayo alihubiri hakubadikisha wala kuongeza amri kumi za Mungu alifanya Mengi na hata kuongeza lakini kwa misingi ya Amri kumi za Mungu baba yake. Wala hakua Mungu eti aliejifanya binadamu ili iweje sasa? Mungu hafanyi hizo komedi Yaani amtume Malaika kwa Mariam halafu kumbe kamdanganya kaingia mwenyewe tumboni kwa Mariam miezi 9 halafu kazaliwa?!!?! Mbona ni vitu vya kuchekesha?

  • @OmariShuli
    @OmariShuli 3 месяца назад

    Huna akili za kufahamu hata maandishi yaliyo wazi. Quran inazungumza litapulizwa parapanda la kwanza viumbe vyote vitakufa vya mbinguni na ardhini illa vile ambavyo Allah mwenyewe ametaka visife. kisha litapulizwa la pili, hili ni la kuwafufua viumbe vyote. apo ndipo Mtume anaposema yeye atakuwa wa kwanza kufufuka...".

    • @MiziziMti
      @MiziziMti 2 месяца назад

      Quruan sio kitabu cha Mungu hata kidogo

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari6956 3 месяца назад

    YESU ARUDI KUHUKUMU
    WATU
    WALIOMSINGIZIA UONGO
    Sio Mussa (pbuh) wala Muhammad (pbuh) lakini Yesu (pbuh) anasingiziwa:
    1) Amebatizwa.
    2) Amesulubiwa.
    3) Ameuliwa
    4) Amezikwa.
    5) Mungu.
    6) Mtoto wa Mungu.
    7) Alianzisha Ukiristo.
    Wapotoshaji wanaamini Yesu ni Mungu baada ya kutahiriwa, aliuliwa na watu walimzika.✝️

    • @mobutu3884
      @mobutu3884 3 месяца назад +1

      Wote tunaamini Yesu saizi yupo mbinguni ila cha ajabu waislamu mnaamini mpaka sasa hajaulizwa bado hilo swali, mpaka atakaporudi duniani kuhukumu ndio ataulizwa badae au sio, 😂😂😂😂 dah kweli akili ni nywele😂😂
      Kwa kifupi saizi kakaushiwa kwanza mpaka arudi duniani kutoa hukumu 😂😂😂 kuna vituko sana kama hujui kuchanganua maandiko ya ukweli na uongo utapelekwa kama ng'ombe😂.
      Kwa hiyo akirudi nyie haiwahusu 😂😂 na mnasahau kuwa Mohamad alisema nafsi yake iko mkononi mwa Yesu na anasubiri hukumu yake.
      Kwani nyie akili huwa mnaweka wapi?😂😂

  • @Motheking-ps2tl
    @Motheking-ps2tl 3 месяца назад

    Hakuna namna unaweza ukashindana na quran. Sikuizi mnajitahidi kusoma biblia angalau sikuizi mnasomasoma ila ni ngumu kuiamini biblia kwasababu ina contradiction nyingi sana. Kwanza wakristo wengi hawaiamini biblia.

    • @dannypaul893
      @dannypaul893 3 месяца назад

      Hakuna kitu kama hicho, ukikuta mkristo haiamini ujue huyo ni mkristo kimwili na sio mtu wa Ibaada

  • @AnafBanda
    @AnafBanda 3 месяца назад

    Ninacho kubal nikwamba unatoa andiko kwenye quaran

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Месяц назад

      @@AnafBanda Anatoa andiko katika kur ani lakini tafsi yake ni uongo au labda hajui au labda ametumwa kupiga kampeni na propaganda na ni mtafuta riziki tu kwa kuuza clips mtandaoni.Ameamua kupitia njia hii na mbaya zaidi anadanhanya watu na kujizolea dhambi tu. Kuran inasema Mungu ni mmoja tu wala hakuzaa hakuzaliwa wala hana mfano wake yeye anazungumza yake kurani inasema Mungu ambae hakuzaa wala kuzaliwa ndio atakua mkuu siku ya Malipo yeye anadanganya huyo aliezaliwa na Mariam waislam kurani inasema ndio atakua mkuu

  • @HenryTindwa
    @HenryTindwa 3 месяца назад

    Mtumisi kunakitu ninautata kwa awa waislam Kila mtu anatoa jibu lake kuusu kifo Cha mtume wao

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 3 месяца назад

      Waislam hawana mambo ya uongo na kutunga kinachosemwa ni kimoja tu na alikufa akiwa na miaka 63.Alikua mtume na binadamu mengi yameenda kama binadamu ila mwenye uwezo na mtume

    • @veromosha9090
      @veromosha9090 3 месяца назад

      Tena utume wenyewe aliambiwa na mkewe na mpwa wake Kwamba huenda atakua ni mtume kutokana na vitimbwi alivyokua anapitia,,,,mtume katumwa nin..nanani?

  • @HajiHaji-lm6ku
    @HajiHaji-lm6ku 3 месяца назад

    Wewe muongo

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 3 месяца назад

    Number of the Muslim 2.3billion in the World
    Number of the Christiaans 1.5billiog

    • @veromosha9090
      @veromosha9090 3 месяца назад

      Kwani hujasikia andiko wapitao njia nyembamba ya uzimani ni wachache kuliko waendao njia pana ya upotevu🙄? Ila usjali...Ila usisahau pia siku yaja mfalme atarudi kila jicho litamwona na kila ulimi utakiri Yesu mi Bwana ✍️kumbuka ilo maisha yako yote

    • @BAYYINATDMTV
      @BAYYINATDMTV  3 месяца назад

      Takwimu hizo umezitoa chanzo gani? Weka source hapa.

    • @OmariShuli
      @OmariShuli 3 месяца назад

      GULEILMAS.daniel ananukuu maandiko kisha atao maelezo yake yanayokwenda kinyume na maandiko hayo.

    • @mobutu3884
      @mobutu3884 3 месяца назад

      Pamoja na kuweka utaratibu wa kuzaa sana ili muwe wengi bado humuezi fikia idadi ya wakristo 😂 najua hilo ulikuwa hujui weka sasa akilini.

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 3 месяца назад

    Quruan imeleza kila kitu,geografie, hist chemster na mathematisch,Bible. Ni zero

  • @badruseif1318
    @badruseif1318 3 месяца назад

    Jamaa anatafuta wafuasi afungue kanisa aanze kuwapiga Hela tayari wenye akili tumemshtukia

    • @BAYYINATDMTV
      @BAYYINATDMTV  3 месяца назад

      Nilifikiri utapinga yaliyoandikwa niliyoyanukuu, kumbe unafikiria kuanzisha kanisa na wala siyo kuhusu namna ya kumsaidia Allah atatokaje jehanam baada ya kutulwa na Yesu Mfalme wa siku ya malipo!

    • @badruseif1318
      @badruseif1318 3 месяца назад

      ​@@BAYYINATDMTVwacha kuvuruga Aya za Quran huna ujuzi wa kuzitafsiri

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 3 месяца назад

      ​@badruseif1318 SWADAKTA. Mbali ya Qur'an hata maandiko ya Biblia yanachakatuliwa kwa kutoa na kuingiza maneno. Lengo Madhumuwapotosha Kondoo wakubaYesu ni Mungu😂.
      Mbinu zao zinalingana na Uchaguzi wa Jecha ya kuengeza au kupunguza kura ili Chama Cha Mapinduzi kishin

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 3 месяца назад

      ​@badruseif1318 SWADAKTA. Mbali ya Qur'an hata maandiko ya Biblia yanachakatuliwa kwa kutoa na kuingiza maneno. Lengo Madhumuwapotosha Kondoo wakubaYesu ni Mungu😂.
      Mbinu zao zinalingana na Uchaguzi wa Jecha ya kuengeza au kupunguza kura ili Chama Cha Mapinduzi kishin

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 3 месяца назад

      ​@badruseif1318 SWADAKTA. Mbali ya Qur'an hata maandiko ya Biblia yanachakatuliwa kwa kutoa na kuingiza maneno. Lengo Madhumuwapotosha Kondoo wakubaYesu ni Mungu😂.
      Mbinu zao zinalingana na Uchaguzi wa Jecha ya kuengeza au kupunguza kura ili Chama Cha Mapinduzi kishin

  • @denismugisha2
    @denismugisha2 2 месяца назад

    Ukiangalia vizuri na kusoma vizuri kwa akili tulivu kabisa utagundua kuwa anayeitwa allah ni shetani mwenyewe
    Ndio maana anaahidi watu wake wanawake huko peponi kwake, sasa sijui wanawake atawapa nini sasa

    • @yamungummungulo633
      @yamungummungulo633 2 месяца назад

      Wake 4 ssa sijui itakuaj hk

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Месяц назад

      Tatizo ni elimu ndogo huelewi maana ya Allah google au tafuta katika kamusi hilo neno la kiarabu. Mungu ni mmoja tu ila kila kabila linamwita kivyake. Waislam wanaamini Mungu ni mmoja tu kwa kila dini ya haki na si kila dini na Mungu wake Huyu Mungu hakuzaa wala hakuzaliwa hana dini sio binadamu sio mkatoliki sio Myahudi yuko popote. Hukumu itatolewa na Mungu ambae hakuzaa wala kuzaliwa kufuatana na daftari lako lililo na matendo yako binafsi kila mtu atabeba mzigo wake mengineyo yote ni porojo tu watu wanatafuta riziki mitandaoni. Yesu ni Mtume wa Mungu alitumwa kuja kukomboa wana wa Israel waliopotea. Zingine ni uongo nyongeza tu za waandishi

    • @denismugisha2
      @denismugisha2 Месяц назад

      @@hashimchaoga9566 kweli elimu ya kiarabu sina, ila sifa za Allah sasa zilizoainishwa ndo zintia mashaka,....
      Huyu Allah anawaahidi wanaume kuwapa wanawake, sasa wanawake mbona hajawaambia atawapa nini??

    • @denismugisha2
      @denismugisha2 Месяц назад

      @@hashimchaoga9566 kwani mtume Muhammad aliyeoa wake wengi ndo aliyewaahidi watu wanawake 70 huko peponi? Mbona umemsingizia mtume wako sasa

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Месяц назад

      @@denismugisha2 Mohammad ni mtume tu wa duniani hana uwezo wala madaraka huko mbinguni hizo ni habari za uongo za kutunga tu na waislam hawana mambo ya kutunga tunga uongo na kuongeza katika maandiko. Kweli alioa wanawake wengi lakini si 70. Waliooa wanawake wengi wako katika agano la kale na hakuna cha ajabu. Wengi wanashindwa kubaki na mke mmoja uislam ili kupunguza zinaa inaruhusu 4 kama tu una uwezo. Si mke mmoja lakini unazini nje kama wengi wafanyavyo au padri asioe wakati yeye ni binadamu aliyeumbwa na matamanio

  • @HabibuUrasa
    @HabibuUrasa 3 месяца назад

    eti yesu atakaa mawinguni ,eti wale ambao hawajafa atawachukua kuwapeleka mbinguni,eti waende mbinguni bila kufa 😂😂😂😂😂😂😂 ndanganya makafiri wenzako wote lazima tufe
    na Huyu yesu siku ya kiama ataulizwa maswali na ALLAH ,swali ambalo yesu atawauliza ni hili tulikutuma duniani ukawambie watu kuwa ww na mamayako ni waungu wawili?hilo swali lazima yesu akatoe majibu

    • @user-cf9sk4us6u
      @user-cf9sk4us6u 3 месяца назад

      Pumbavu.

    • @mobutu3884
      @mobutu3884 3 месяца назад

      Wote tunaamini Yesu saizi yupo mbinguni ila cha ajabu waislamu mnaamini mpaka sasa hajaulizwa bado hilo swali, mpaka atakaporudi duniani kuhukumu ndio ataulizwa badae au sio, 😂😂😂😂 dah kweli akili ni nywele😂😂
      Kwa kifupi saizi kakaushiwa kwanza mpaka arudi duniani kutoa hukumu 😂😂😂 kuna vituko sana kama hujui kuchanganua maandiko ya ukweli na uongo utapelekwa kama ng'ombe😂.

    • @MiziziMti
      @MiziziMti 2 месяца назад

      Wapi Katika BibliaYesu kasema Mama yake ni Mungu?

    • @mobutu3884
      @mobutu3884 2 месяца назад

      @@MiziziMti Sasa hapo na wewe umeuliza nini 😂😂, yani waislamu mnaulizaga maswali ya ajabu, sasa hivi si vichekesho? Na ndio maswali ya walimu wenu hayo aise ni msiba mzito, umesahau na lile swali lenu wapi Yesu alisema yeye ni Mungu dah 😂
      Yani ni sawa na sisi tuanze kuuliza
      1. wapi katika quran Mohamad alisema alienda mbinguni?
      2. Wapi katika quran Isa alisema yeye ni mtoto wa Mariam?
      3. Wapi katika Quran Isa alisema yeye ni neno na ni roho?
      4. Wapi katika quran Isa alisema yeye ni masihi?
      Kwa hiyo mnataka tusiamini maandiko mpaka wenyewe waseme kutoka midomoni mwao tukienda hivyo si quran na hadith zote zitakuwa hazina kazi, mnachekeshaga sana.
      Hivi unaona maswali kama hayo yana maana yoyote katika maandiko? 😂😂😂 Yani nyie msipoombewa mkatolewa huyo karin vichwani mwenu basi kazi mnayo

  • @mussamohammedy8014
    @mussamohammedy8014 3 месяца назад

    Hivi wewe uko seriously na mafundisho yako au unatafuta na wewe watu kidogo ufungue kanisa? Lait kama na najua hata kwa kama yenyewe sijawah kukuelewa na sinto kuja kukuelewa wakristo wakitaka kujifunza basi sio kwako bora wakajifunze hata kwa mzee wa upako lusekelo lakin wewe mmmmh elimu yako ni dhaifu sana kweli wazazi wenu utumwa uliwapoteza sana matokeo yake hadi vizaz vyenu vinaangamia

    • @isaackmlayy6228
      @isaackmlayy6228 3 месяца назад +1

      huyu anatoa kwenye kitabu chenu acha umaamuma

    • @badruseif1318
      @badruseif1318 3 месяца назад

      Anatafuta wafuasi afungue kanisa aanze kuwapiga Hela tayari wenye akili tumemshtukia😂

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 3 месяца назад

      ​@@badruseif1318 Muhammad ndiye aliyewapiga hela Maqureishi kule Badri, Uhud, Taif, Tobuk, Khaibar

    • @badruseif1318
      @badruseif1318 3 месяца назад

      @@paulmushi2428 kivipi?

    • @OmariShuli
      @OmariShuli 3 месяца назад

      Huyo anatoa kichwani mwake. wewe wamsikiliza kiushabiki amekuteka aikili yako yote. lkn ukimsikiliza kwa makini mara moja utagundua kuwa Danel siku zote Maandiko yanazungumza vingine na yeye huna na ndharia tofauti na ilyo kwenye andiko alolitoa. Zinduka