🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024

Комментарии • 163

  • @misanamaige
    @misanamaige 3 месяца назад +3

    Pole sana kijana. Mungu akupe baraka katika kuyaishi yake mzee ameachia.

  • @SHIJADAVIS
    @SHIJADAVIS 3 месяца назад +11

    Poleni kwa msiba mkubwa, Mungu awatie nguvu.

  • @YusufLubangula-yn6tq
    @YusufLubangula-yn6tq 3 месяца назад +7

    Tunawapa pole wafiwa INNA LILAH!

  • @BismarkStephen
    @BismarkStephen 3 месяца назад +14

    Kikwete mumgu akubariki Sana uzeeki Una roho nzuri

    • @WilliamMsungu
      @WilliamMsungu 3 месяца назад +2

      Hizi kauli zingine za kishamba kwahiyo wanaozeeka Wana roho mbaya?

    • @allythabiti8150
      @allythabiti8150 3 месяца назад

      ​@@WilliamMsunguNdyo hujui kuwa roho mbaya na kuweka vitu moyon vinamzeesha mtu haraka

  • @rahmazahor4333
    @rahmazahor4333 3 месяца назад +6

    Mashallah mtoto mzuri sana hatari... Pole sana... mwenyezi Mungu amlaze pahala pema peponi amini

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 3 месяца назад +5

    Allah awape moyo wa subra kwa nyakati zote daiman

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 3 месяца назад +14

    The late , Yusuf Ally Mehboub Manji, was very hardworking man!

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 3 месяца назад +19

    Mwenyezi Mungu amsamehe madhambi yake na alitie nuru kaburi lake pamoja na sisi tuliohai utupe mwisho mwema.

    • @AbdulmujibAhmed
      @AbdulmujibAhmed 3 месяца назад +2

      Kwanini wataje habari ya yanga kwani dini hiyo? Manji namjua sana alikua mtu wa Dunia tu mimi mtanzani mkazi wa mbagala kuu kwa sasa nipo South africca hakuahi kujenga hata msikiti mmoja katika maisha yake

    • @ramashauritanga8966
      @ramashauritanga8966 3 месяца назад

      Pp

    • @meshackeliau8973
      @meshackeliau8973 3 месяца назад

      ​@@AbdulmujibAhmed kwani ni lazima ajenge msikitiki 😂😂

    • @mariamkikula1614
      @mariamkikula1614 3 месяца назад

      Amin yarabii

    • @shakilakhamis2109
      @shakilakhamis2109 3 месяца назад

      Amiiin

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 3 месяца назад +4

    Pole sana kwa wana familia wa Manji

  • @RachelLaizer-n2p
    @RachelLaizer-n2p 3 месяца назад +2

    Mungu awatie nguvu watoto wa manji naelewa uchungu mliopata ila Mungu awatie nguvu na kuwafariji sana

  • @dassustephen731
    @dassustephen731 3 месяца назад +4

    Yusuph was a very humble rich man

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 3 месяца назад +6

    MashaAllah amekua mkubwa ivi, Mungu akupe subra 😢😢

  • @jokhamohammed976
    @jokhamohammed976 3 месяца назад

    Poleni sana family ya manji M/mungu awape nguvu na subra 😭😭

  • @Sebastianmangenyi
    @Sebastianmangenyi 3 месяца назад +5

    Jk nakukubali sana na Mungo akubariki na kukupa miaka mingi na kheri duniani

  • @setiseti5281
    @setiseti5281 3 месяца назад

    Amina yaaraab

  • @pauloegbert515
    @pauloegbert515 3 месяца назад

    Mungu amuweke mahali pema amani

  • @aishamtaula1959
    @aishamtaula1959 3 месяца назад +5

    Poreasamwanangu mungu ampuunzisha baba magari pema oeponi jamani nimeeumia sana

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 3 месяца назад

    MUNGU amulaze mahara pema peponi Amen

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 3 месяца назад

    Wamemdhulumu sna mpka wamemuua maskiin!! makonda utalipa yote kwa Mungu

  • @CharlesMs25Daghaly
    @CharlesMs25Daghaly 2 месяца назад

    Amen

  • @beatuskulwa2912
    @beatuskulwa2912 3 месяца назад +5

    RIP Manji ,uliiheshimisha Yanga natutaendelea kukukumbuka kwa waalama ulioiacha

  • @emanuelmushi9917
    @emanuelmushi9917 3 месяца назад +7

    N kwel manji alionewa sana na kikombe hich makonda anakjuaa

  • @majidimussa8678
    @majidimussa8678 3 месяца назад +1

    Allahu Marehemu 🙏🙏🙏

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 3 месяца назад

    😢😢😢maskn anajikaza kiume
    Innalilah waina ilah rajiun

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 3 месяца назад +1

    Ya rabbi nsataraa manji

  • @aishamtaula1959
    @aishamtaula1959 3 месяца назад +4

    Mwanae mfanya biashara jamani kama kaandika manji kisa riko wapi mwizi kakuibia Nini mtajeni marehemu Kwa mazuri yake nawara sio mabaya yake wewe ukisajamwa umekufa nduguzako hajisikii vizuri mungu iraze pema rohi ya mpendwa wetu oeponi amina

  • @friendsofpeopleorg1157
    @friendsofpeopleorg1157 3 месяца назад +2

    Poleni sana

  • @adrianowillix5491
    @adrianowillix5491 3 месяца назад

    The team , the network

  • @piusmdoe3200
    @piusmdoe3200 3 месяца назад +1

    RIP.Yusuf Manji.

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 3 месяца назад +6

    Umesema Ukweli hapa sio maswala ya siasa ni msiba acheni ujinga wa kusema mzee kaiba mnsushaidi upi

  • @salmakirundu2076
    @salmakirundu2076 3 месяца назад

    Innah lilah wainah illah rajioon

  • @millitarybattalion7515
    @millitarybattalion7515 3 месяца назад +3

    R.I.P YUSUPH MANJI

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 3 месяца назад +3

    Manji na Kikwete walikuwa marafiki wakubwa, ndio maana Manji aliingia Yanga.

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 3 месяца назад

    Makonda kaka yangu, mtafute huyu Kijana, unafanya mambo makubwa sana, usikose Baraka Bure, muombe Msamaha Kwa ajili ya baba yake kabla ya kufanya Toba Kwa Mungu Ili uwe na amani, pia umuombe Msamaha Joseph Warioba, pia Mtoto wa Lowasa,
    nayasema haya kwakuwa nipo na wewe sana siku hizi, unafanya mambo makubwa sana, usikubali hawa watu wote wafe hujawaomba Msamaha. Manji aliteseka na moyo wake ulizidi kumdhoofu akiwa magereza Kwa kisasi kisicho na Afya. Nakupenda Makonda fanya hivyo my Brother.

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 3 месяца назад +1

    Kikwete ni mtu mzur saana, Hekima na busara ni vitu vikubwa sana katika maisha.

  • @salmaramadhan2725
    @salmaramadhan2725 3 месяца назад

    Kikwete ana roho nzuri,najuta kupoteza simu na no zake kupotea...

  • @greysonjohn9778
    @greysonjohn9778 3 месяца назад

    R. I. P

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 3 месяца назад

    Manji ameacha alama ya upendo na upole. Mungu amtunzie vijana wake wazuri na timu ya yanga pia. RIP Manji.

  • @walterngowi5835
    @walterngowi5835 3 месяца назад +2

    Vp Makonda naye yupo hapo au 😎😎

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 3 месяца назад +3

    bonge la handsome jamani waoool

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 3 месяца назад +1

      Acha tamaa na uzinifu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 месяца назад

      HAYA MAJINA YA WEMA WANAKUWA NA NYEGE SANA 😂😂😂

  • @abdallahabdallah7872
    @abdallahabdallah7872 3 месяца назад +8

    Kikwete ametokea katika familia ya kiungwana

  • @SalumuAlly-d9q
    @SalumuAlly-d9q 3 месяца назад

    President kikwete miaka 100 nakuombea mana kuna wachawi wanahesabu marais eti walotangulia mbele ya haki wewe kwa kuwa ulikuwa na roho nzuri hadi mia inshallah utafika kwa uwezo wa alwah

  • @josephmihayo6236
    @josephmihayo6236 3 месяца назад

    RIP Yusuph Manji

  • @ramadhanikigoto
    @ramadhanikigoto 3 месяца назад +1

    Innallilah wainailaih rajiun

  • @ashapearubart2624
    @ashapearubart2624 3 месяца назад +2

    R l.P.

  • @eightofhearts
    @eightofhearts 3 месяца назад

    The older son is very handsome and eloquent. He gives off a “trustable” vibe. MashaAllah.

  • @GhalibMohammed-u9t
    @GhalibMohammed-u9t 3 месяца назад +6

    Yan mnatarajia mtu kafika level ya urais awe maskin/ kama kaiba hamna ushahid nyamazeni

  • @MiriamAziz-z5t
    @MiriamAziz-z5t 3 месяца назад

    RIP YUSUF MANJI.

  • @markmushi8940
    @markmushi8940 3 месяца назад +1

    Apumzike kwa amani yusuf manji alikuwa ni m2 wa wa2

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 3 месяца назад +2

    Mwenyezimungu hashindwi na jambo lolote hana kubwa wala hana dogo

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 3 месяца назад

    😢😢😢😢😢

  • @geofkabo7843
    @geofkabo7843 3 месяца назад

    Ridh1 alikuwa na urafiki na manji? Haraf kunafukunyuku anamsema makonda?

  • @BismarkStephen
    @BismarkStephen 3 месяца назад +2

    Acheni kulaum wqtu fanyeni KAZI Acha kusema watu vibaya

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 3 месяца назад +2

    Chalamila sasa atamkebehi nani? Alipo sema kariakoo, manji kakimbia nchi

    • @nsiamasawe4578
      @nsiamasawe4578 3 месяца назад

      Yaani acha tu Mungu atamlipa

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 месяца назад

      ​@@nsiamasawe4578NYIE UTOPOLO MLIMPIGA MANJI BAKORA NA MKAMUITA MWIZI SHENZISTAN NYIE

  • @AminaJuma-r4v
    @AminaJuma-r4v 3 месяца назад +2

    Kikwete kumbe Bado hajawa mzee Bado Yuko ,🦾

    • @JohnsonBagambi
      @JohnsonBagambi 3 месяца назад

      👍👍👍

    • @KenedyMwaipaja
      @KenedyMwaipaja 3 месяца назад

      Awam ya 5 alizeeka zeeka awamu ya 6 kamwili kamenona😂😂😅

    • @wazirisaid8326
      @wazirisaid8326 3 месяца назад

      Ukiwa na moyo Safi huwezi kuzeeka haraka, Ila ilukiwa na moyo wa chuki, fitina na wivu Lazima uonekane mzee hata kama una umri mdogo!!

    • @KenedyMwaipaja
      @KenedyMwaipaja 3 месяца назад

      @@wazirisaid8326 moyo safiii!! ???

  • @aishamtaula1959
    @aishamtaula1959 3 месяца назад +2

    Mjombaumeongea vizir sana hata Mimi nimeeumia sana nimesikia Jana kuwa yusufu amekufa

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 3 месяца назад +3

    Yusuf Sio Yusufu..😂😂😂

  • @dilludillu2747
    @dilludillu2747 3 месяца назад

    Jk 🔥

  • @JohnMhoja-h7s
    @JohnMhoja-h7s 3 месяца назад

    Rip jembe ulaya

  • @SwalehAidarus
    @SwalehAidarus 3 месяца назад

    MNAZUNGUMZA KWA UCHUNGU SABABU YAMANJI SASA NI HISTORIA ILIOBAKI KIONGOZI MKUU RAIS MSTAAFU MAREHEMU ALI H😊HASSAN MWINYI ALISEMA MAISHA NIHADITHI SASA TUELEWE.HIVYO NASI TUKO NJIA 1 MOJA HAKUNA KUZUNGUMZA KWAUCHUNGU LAZIMA TUONDOKE

  • @SalimSalimu-z5c
    @SalimSalimu-z5c 3 месяца назад

    Makonda hajafika msibani?

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 3 месяца назад +1

    Kikwete bado kijanaaaa

  • @hamidashaban1203
    @hamidashaban1203 3 месяца назад

    Wacheni wivu aliyepewa na Allah hakuna wakumnyang'anya hasadi zinawasumbua.

  • @bakermusa9033
    @bakermusa9033 3 месяца назад

    Sasa wee mzee kikwete umekabidhiwa mtoto umelee mpaka unashtukizwa msiba we vipi mzee

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 3 месяца назад +2

    Kumbe uliachiwa Hayati Yusuf Ally Mehboub Manji umlee? Mbona hukutuambia hayo kabla,,,,? Kama ulikuwa umekabidhiwa kama mwanao mbona hawakukukaribisha katika mazishi yake? Kumbe mlikuwa unakutana nao nje ya nchi,,,dah, haya bwana!

    • @emazjassam2452
      @emazjassam2452 3 месяца назад +1

      Hujitambui,ulitaka lini asimame aseme aliachiwa....

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 3 месяца назад +2

      Mtu kifa kila kitu utasikia hp sifa kibao utasikia wamemtesa wee na kumpmaradhi

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 3 месяца назад

      @@emazjassam2452 punguza makasiriko ndugu,,

    • @ibrahimrajabu8722
      @ibrahimrajabu8722 3 месяца назад

      Yako ushamaliza kiasi ubebe ya wengine???

    • @ramsojimmykelly3379
      @ramsojimmykelly3379 3 месяца назад

      ​@@nishaabdula5015makonda hii dhambi inamuhusu na marehemu magu

  • @victorkamugisha2282
    @victorkamugisha2282 3 месяца назад

    Huyu mtoto ataichukua Yanga

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 месяца назад

      ILIWAMPIGE BAKORA KAMA BABAKE???

  • @danielkipingu354
    @danielkipingu354 3 месяца назад

    DP ..... tumepigwa.

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed 3 месяца назад +3

    Lakini aliathirika na madawa na alikua simtu wa dini alipenda sana dunia

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 3 месяца назад +4

      Ni kheri wewe usiyependa dunia kwa maana utaishi milele!

    • @ip_header
      @ip_header 3 месяца назад +3

      @abdulmujibAhmed
      jaribu kusoma vizuri dini ya uislam, si vyema kumsema vibaya mtu aliefariki. Hakuna binadamu mkamilifu kikubwa kuomba mwisho mwema.

    • @SharifaOmary-ui8vs
      @SharifaOmary-ui8vs 3 месяца назад

      Ww tena hakimu wa watu

    • @Legends_Interviews
      @Legends_Interviews 3 месяца назад

      Allah amsamehe

    • @allythabiti8150
      @allythabiti8150 3 месяца назад

      Sheikh hayo umetoa wap, Wala tajasasu

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed 3 месяца назад

    Kupenda yanga ndo nini sasa

  • @davidmalogo7100
    @davidmalogo7100 3 месяца назад

    Laisi watanzania anaendelea kupenda madaraka ila kwasababu ya katiba yaccmtu ila isinge kua hio angehutubu mpaka kifo

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 3 месяца назад +2

    Mmemtesa bqba ake wee adi kumsababishi mardhi leo mnongea nae nn mtt wk

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 3 месяца назад +1

    Mbona unataja ugonjwa wa mtu?

    • @kaoretosha6668
      @kaoretosha6668 3 месяца назад +2

      Shida ipo wapi....amezungumza historia ya uhusiano wa yeye na familia ya manji

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 3 месяца назад

      @@kaoretosha6668 hata madaktari Huwa hawasemi ugonjwa wa mtu hadharani

    • @HannanSomaiyah-wp7ny
      @HannanSomaiyah-wp7ny 3 месяца назад +1

      Tumuombee na Tujiombee,Si vyema kuongelea mabaya yake, Hakuna mkamilifu Dunia Allah ampe kaul thabity pamoja na Wazaz wetu yaraby 🙏

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 3 месяца назад +2

    WEWENKIKWETE YALE MABASI MWANAO PESSA KAPATA WAPI ?

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 3 месяца назад +2

      Ulipopata wewe pesa ya bando kuandika upuuzi.

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 3 месяца назад +2

      Kapewa na baba yake unadhani ndio wewe mwenye baba hohehahe.

    • @KingBuddah-nx3ui
      @KingBuddah-nx3ui 3 месяца назад

      @@salmahalfani6307 KWA NINI KAMUANDIKISHA MANJE NDIO MMIRIKI

    • @kaoretosha6668
      @kaoretosha6668 3 месяца назад +2

      Roho za kimaskini.......shidaaaaa.....

    • @KingBuddah-nx3ui
      @KingBuddah-nx3ui 3 месяца назад

      @@kaoretosha6668 WEWE WATANZANIA WANAKUMBUKA KWA MATESA WALIOFANYIWA NA HUYU MZEE

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 3 месяца назад

    Mrudishieni mali zake mulizomtaifisha

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 3 месяца назад +1

    baba Kikwete bado kijana kabisa..siri ni ipi mzee?😅 apewe muda na globa TV atupe mawaidha kabla kujaliwa kufika umri huo na Mungu wetu😄😄

    • @doktamathew
      @doktamathew 3 месяца назад

      Hali vitu vya kisasa,hali ugali,hali wali,hali vitu vyenye sukari ,hajawahi kunywa soda,pombe. Anakula vitu vya asili mara kwa mara

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 3 месяца назад

      @@doktamathew oh ivi kumbe ivo eh?

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 3 месяца назад

    Kumbe ukawa unamsaidia hata kwenye mikwepo ya kodi we zee wewe bwana

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb 3 месяца назад +2

    Siowote tumesikitika ACHA aende tu

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 3 месяца назад +2

    MWIZI ANAMJENGEA MWIZI MWENZAKE RIZIWANI KANUNUA MABASI KAMUANDIKA MANJE KAIBIA SERIKALI

    • @kaoretosha6668
      @kaoretosha6668 3 месяца назад +1

      Acha roho mbaya za kijinga...

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 3 месяца назад

      Tena wewe ni mpumbavu haswa.

    • @JohnsonBagambi
      @JohnsonBagambi 3 месяца назад

      Uwezo wako wa kufikili umefka mwisho

    • @hemedrashid2921
      @hemedrashid2921 3 месяца назад +2

      rohoo ya kibaguziii itakuuaa aduaaa llah laanatullah mungu akulani zaidi

    • @IMANWILLIAM-bl2ui
      @IMANWILLIAM-bl2ui 3 месяца назад

      umaskini wako ndo uchukue wengine

  • @kaoretosha6668
    @kaoretosha6668 3 месяца назад +6

    Acheni roho za kimaskini kila wakati mwizi....mwizi...mwizi....toeni ushahidi msisambaze fitnaaa....

    • @innocensiapius
      @innocensiapius 3 месяца назад +1

      Maskini ndivyo walivyo.ndio maana wengi wachawi
      Mtu kajitahidi kafanikiwa mnamwambia mwizi
      Nenda nawe kaibe ufanikiwe

    • @didasseveline9013
      @didasseveline9013 3 месяца назад

      Walioshangilia kifo Cha mwamba! Naona anachomoka Mmoja baada ya mwingine! Hakika mungu ni fundi

    • @MiriamAziz-z5t
      @MiriamAziz-z5t 3 месяца назад

      RIP YUSUF MANJI....MAREHEMU HAKUWA MKAMILIFU KAMA SISI BINADAMU WOTE....KUNA WAKATI ALIWAKOSEA WATANZANIA KAMA WANANCHI KWA KUSHIRIKIANA NA VIONGOZI WETU MAFISADI NA WALA RUSHWA....NA KUNA WAKATI PIA ALIWATENDEA MEMA NA MAZURI WATANZANIA....WATANZANIA TUMSAMEHE KWA YOTE....RIP YUSUF MANJI.

    • @mussamalekela2107
      @mussamalekela2107 3 месяца назад

      ​@@didasseveline9013 kwa hiyo ambao hawakushangilia watachomoka kwa makundi sio! Ujinga mzigo

  • @pauloegbert515
    @pauloegbert515 3 месяца назад

    Mungu amuweke mahali pema amani