Kwanini wataje habari ya yanga kwani dini hiyo? Manji namjua sana alikua mtu wa Dunia tu mimi mtanzani mkazi wa mbagala kuu kwa sasa nipo South africca hakuahi kujenga hata msikiti mmoja katika maisha yake
Mwanae mfanya biashara jamani kama kaandika manji kisa riko wapi mwizi kakuibia Nini mtajeni marehemu Kwa mazuri yake nawara sio mabaya yake wewe ukisajamwa umekufa nduguzako hajisikii vizuri mungu iraze pema rohi ya mpendwa wetu oeponi amina
Makonda kaka yangu, mtafute huyu Kijana, unafanya mambo makubwa sana, usikose Baraka Bure, muombe Msamaha Kwa ajili ya baba yake kabla ya kufanya Toba Kwa Mungu Ili uwe na amani, pia umuombe Msamaha Joseph Warioba, pia Mtoto wa Lowasa, nayasema haya kwakuwa nipo na wewe sana siku hizi, unafanya mambo makubwa sana, usikubali hawa watu wote wafe hujawaomba Msamaha. Manji aliteseka na moyo wake ulizidi kumdhoofu akiwa magereza Kwa kisasi kisicho na Afya. Nakupenda Makonda fanya hivyo my Brother.
President kikwete miaka 100 nakuombea mana kuna wachawi wanahesabu marais eti walotangulia mbele ya haki wewe kwa kuwa ulikuwa na roho nzuri hadi mia inshallah utafika kwa uwezo wa alwah
MNAZUNGUMZA KWA UCHUNGU SABABU YAMANJI SASA NI HISTORIA ILIOBAKI KIONGOZI MKUU RAIS MSTAAFU MAREHEMU ALI H😊HASSAN MWINYI ALISEMA MAISHA NIHADITHI SASA TUELEWE.HIVYO NASI TUKO NJIA 1 MOJA HAKUNA KUZUNGUMZA KWAUCHUNGU LAZIMA TUONDOKE
Kumbe uliachiwa Hayati Yusuf Ally Mehboub Manji umlee? Mbona hukutuambia hayo kabla,,,,? Kama ulikuwa umekabidhiwa kama mwanao mbona hawakukukaribisha katika mazishi yake? Kumbe mlikuwa unakutana nao nje ya nchi,,,dah, haya bwana!
RIP YUSUF MANJI....MAREHEMU HAKUWA MKAMILIFU KAMA SISI BINADAMU WOTE....KUNA WAKATI ALIWAKOSEA WATANZANIA KAMA WANANCHI KWA KUSHIRIKIANA NA VIONGOZI WETU MAFISADI NA WALA RUSHWA....NA KUNA WAKATI PIA ALIWATENDEA MEMA NA MAZURI WATANZANIA....WATANZANIA TUMSAMEHE KWA YOTE....RIP YUSUF MANJI.
Pole sana kijana. Mungu akupe baraka katika kuyaishi yake mzee ameachia.
Poleni kwa msiba mkubwa, Mungu awatie nguvu.
Tunawapa pole wafiwa INNA LILAH!
Kikwete mumgu akubariki Sana uzeeki Una roho nzuri
Hizi kauli zingine za kishamba kwahiyo wanaozeeka Wana roho mbaya?
@@WilliamMsunguNdyo hujui kuwa roho mbaya na kuweka vitu moyon vinamzeesha mtu haraka
Mashallah mtoto mzuri sana hatari... Pole sana... mwenyezi Mungu amlaze pahala pema peponi amini
😢
Allah awape moyo wa subra kwa nyakati zote daiman
The late , Yusuf Ally Mehboub Manji, was very hardworking man!
Mwenyezi Mungu amsamehe madhambi yake na alitie nuru kaburi lake pamoja na sisi tuliohai utupe mwisho mwema.
Kwanini wataje habari ya yanga kwani dini hiyo? Manji namjua sana alikua mtu wa Dunia tu mimi mtanzani mkazi wa mbagala kuu kwa sasa nipo South africca hakuahi kujenga hata msikiti mmoja katika maisha yake
Pp
@@AbdulmujibAhmed kwani ni lazima ajenge msikitiki 😂😂
Amin yarabii
Amiiin
Pole sana kwa wana familia wa Manji
Mungu awatie nguvu watoto wa manji naelewa uchungu mliopata ila Mungu awatie nguvu na kuwafariji sana
Yusuph was a very humble rich man
MashaAllah amekua mkubwa ivi, Mungu akupe subra 😢😢
Poleni sana family ya manji M/mungu awape nguvu na subra 😭😭
Jk nakukubali sana na Mungo akubariki na kukupa miaka mingi na kheri duniani
Amina yaaraab
Mungu amuweke mahali pema amani
Poreasamwanangu mungu ampuunzisha baba magari pema oeponi jamani nimeeumia sana
MUNGU amulaze mahara pema peponi Amen
Wamemdhulumu sna mpka wamemuua maskiin!! makonda utalipa yote kwa Mungu
Amen
RIP Manji ,uliiheshimisha Yanga natutaendelea kukukumbuka kwa waalama ulioiacha
N kwel manji alionewa sana na kikombe hich makonda anakjuaa
Hahaha! Anakusikia makonda
Allahu Marehemu 🙏🙏🙏
😢😢😢maskn anajikaza kiume
Innalilah waina ilah rajiun
Ya rabbi nsataraa manji
Mwanae mfanya biashara jamani kama kaandika manji kisa riko wapi mwizi kakuibia Nini mtajeni marehemu Kwa mazuri yake nawara sio mabaya yake wewe ukisajamwa umekufa nduguzako hajisikii vizuri mungu iraze pema rohi ya mpendwa wetu oeponi amina
Kweli kabisa
Poleni sana
The team , the network
RIP.Yusuf Manji.
Umesema Ukweli hapa sio maswala ya siasa ni msiba acheni ujinga wa kusema mzee kaiba mnsushaidi upi
Innah lilah wainah illah rajioon
R.I.P YUSUPH MANJI
Manji na Kikwete walikuwa marafiki wakubwa, ndio maana Manji aliingia Yanga.
Makonda kaka yangu, mtafute huyu Kijana, unafanya mambo makubwa sana, usikose Baraka Bure, muombe Msamaha Kwa ajili ya baba yake kabla ya kufanya Toba Kwa Mungu Ili uwe na amani, pia umuombe Msamaha Joseph Warioba, pia Mtoto wa Lowasa,
nayasema haya kwakuwa nipo na wewe sana siku hizi, unafanya mambo makubwa sana, usikubali hawa watu wote wafe hujawaomba Msamaha. Manji aliteseka na moyo wake ulizidi kumdhoofu akiwa magereza Kwa kisasi kisicho na Afya. Nakupenda Makonda fanya hivyo my Brother.
Kikwete ni mtu mzur saana, Hekima na busara ni vitu vikubwa sana katika maisha.
Kikwete ana roho nzuri,najuta kupoteza simu na no zake kupotea...
R. I. P
Manji ameacha alama ya upendo na upole. Mungu amtunzie vijana wake wazuri na timu ya yanga pia. RIP Manji.
Vp Makonda naye yupo hapo au 😎😎
bonge la handsome jamani waoool
Acha tamaa na uzinifu
HAYA MAJINA YA WEMA WANAKUWA NA NYEGE SANA 😂😂😂
Kikwete ametokea katika familia ya kiungwana
Mhhh
Au sio
Huna baya Rais mstafaa KIKWETE
Ni kweli...pia inategemea malezi huwezi ukaribganisha watu wa pwani na Kanda za ziwa Kwa ungwana etc
@@HamisMghuna-fj3vzatakufa tu
President kikwete miaka 100 nakuombea mana kuna wachawi wanahesabu marais eti walotangulia mbele ya haki wewe kwa kuwa ulikuwa na roho nzuri hadi mia inshallah utafika kwa uwezo wa alwah
RIP Yusuph Manji
Innallilah wainailaih rajiun
R l.P.
The older son is very handsome and eloquent. He gives off a “trustable” vibe. MashaAllah.
Yan mnatarajia mtu kafika level ya urais awe maskin/ kama kaiba hamna ushahid nyamazeni
RIP YUSUF MANJI.
Apumzike kwa amani yusuf manji alikuwa ni m2 wa wa2
Mwenyezimungu hashindwi na jambo lolote hana kubwa wala hana dogo
😢😢😢😢😢
Ridh1 alikuwa na urafiki na manji? Haraf kunafukunyuku anamsema makonda?
Acheni kulaum wqtu fanyeni KAZI Acha kusema watu vibaya
Chalamila sasa atamkebehi nani? Alipo sema kariakoo, manji kakimbia nchi
Yaani acha tu Mungu atamlipa
@@nsiamasawe4578NYIE UTOPOLO MLIMPIGA MANJI BAKORA NA MKAMUITA MWIZI SHENZISTAN NYIE
Kikwete kumbe Bado hajawa mzee Bado Yuko ,🦾
👍👍👍
Awam ya 5 alizeeka zeeka awamu ya 6 kamwili kamenona😂😂😅
Ukiwa na moyo Safi huwezi kuzeeka haraka, Ila ilukiwa na moyo wa chuki, fitina na wivu Lazima uonekane mzee hata kama una umri mdogo!!
@@wazirisaid8326 moyo safiii!! ???
Mjombaumeongea vizir sana hata Mimi nimeeumia sana nimesikia Jana kuwa yusufu amekufa
Sio yusufu ni YUSUF
Yusuf Sio Yusufu..😂😂😂
😂😂😂
Jk 🔥
Rip jembe ulaya
MNAZUNGUMZA KWA UCHUNGU SABABU YAMANJI SASA NI HISTORIA ILIOBAKI KIONGOZI MKUU RAIS MSTAAFU MAREHEMU ALI H😊HASSAN MWINYI ALISEMA MAISHA NIHADITHI SASA TUELEWE.HIVYO NASI TUKO NJIA 1 MOJA HAKUNA KUZUNGUMZA KWAUCHUNGU LAZIMA TUONDOKE
Makonda hajafika msibani?
Kikwete bado kijanaaaa
Hapendi pressure ndiyo maana hazeeki
Atakufa tu
@@shinipapaya846 wewe haufi?
Wacheni wivu aliyepewa na Allah hakuna wakumnyang'anya hasadi zinawasumbua.
Sasa wee mzee kikwete umekabidhiwa mtoto umelee mpaka unashtukizwa msiba we vipi mzee
Kumbe uliachiwa Hayati Yusuf Ally Mehboub Manji umlee? Mbona hukutuambia hayo kabla,,,,? Kama ulikuwa umekabidhiwa kama mwanao mbona hawakukukaribisha katika mazishi yake? Kumbe mlikuwa unakutana nao nje ya nchi,,,dah, haya bwana!
Hujitambui,ulitaka lini asimame aseme aliachiwa....
Mtu kifa kila kitu utasikia hp sifa kibao utasikia wamemtesa wee na kumpmaradhi
@@emazjassam2452 punguza makasiriko ndugu,,
Yako ushamaliza kiasi ubebe ya wengine???
@@nishaabdula5015makonda hii dhambi inamuhusu na marehemu magu
Huyu mtoto ataichukua Yanga
ILIWAMPIGE BAKORA KAMA BABAKE???
DP ..... tumepigwa.
Lakini aliathirika na madawa na alikua simtu wa dini alipenda sana dunia
Ni kheri wewe usiyependa dunia kwa maana utaishi milele!
@abdulmujibAhmed
jaribu kusoma vizuri dini ya uislam, si vyema kumsema vibaya mtu aliefariki. Hakuna binadamu mkamilifu kikubwa kuomba mwisho mwema.
Ww tena hakimu wa watu
Allah amsamehe
Sheikh hayo umetoa wap, Wala tajasasu
Kupenda yanga ndo nini sasa
Laisi watanzania anaendelea kupenda madaraka ila kwasababu ya katiba yaccmtu ila isinge kua hio angehutubu mpaka kifo
WEWE HUPENDI MADARAKA??
Mmemtesa bqba ake wee adi kumsababishi mardhi leo mnongea nae nn mtt wk
Mbona unataja ugonjwa wa mtu?
Shida ipo wapi....amezungumza historia ya uhusiano wa yeye na familia ya manji
@@kaoretosha6668 hata madaktari Huwa hawasemi ugonjwa wa mtu hadharani
Tumuombee na Tujiombee,Si vyema kuongelea mabaya yake, Hakuna mkamilifu Dunia Allah ampe kaul thabity pamoja na Wazaz wetu yaraby 🙏
WEWENKIKWETE YALE MABASI MWANAO PESSA KAPATA WAPI ?
Ulipopata wewe pesa ya bando kuandika upuuzi.
Kapewa na baba yake unadhani ndio wewe mwenye baba hohehahe.
@@salmahalfani6307 KWA NINI KAMUANDIKISHA MANJE NDIO MMIRIKI
Roho za kimaskini.......shidaaaaa.....
@@kaoretosha6668 WEWE WATANZANIA WANAKUMBUKA KWA MATESA WALIOFANYIWA NA HUYU MZEE
Mrudishieni mali zake mulizomtaifisha
baba Kikwete bado kijana kabisa..siri ni ipi mzee?😅 apewe muda na globa TV atupe mawaidha kabla kujaliwa kufika umri huo na Mungu wetu😄😄
Hali vitu vya kisasa,hali ugali,hali wali,hali vitu vyenye sukari ,hajawahi kunywa soda,pombe. Anakula vitu vya asili mara kwa mara
@@doktamathew oh ivi kumbe ivo eh?
Kumbe ukawa unamsaidia hata kwenye mikwepo ya kodi we zee wewe bwana
Siowote tumesikitika ACHA aende tu
Kwanini ufurahie mwenzio kufariki !
Ajitambui uyo anafikiri kufa kwa manji utajiri utahamia kwake
MWIZI ANAMJENGEA MWIZI MWENZAKE RIZIWANI KANUNUA MABASI KAMUANDIKA MANJE KAIBIA SERIKALI
Acha roho mbaya za kijinga...
Tena wewe ni mpumbavu haswa.
Uwezo wako wa kufikili umefka mwisho
rohoo ya kibaguziii itakuuaa aduaaa llah laanatullah mungu akulani zaidi
umaskini wako ndo uchukue wengine
Acheni roho za kimaskini kila wakati mwizi....mwizi...mwizi....toeni ushahidi msisambaze fitnaaa....
Maskini ndivyo walivyo.ndio maana wengi wachawi
Mtu kajitahidi kafanikiwa mnamwambia mwizi
Nenda nawe kaibe ufanikiwe
Walioshangilia kifo Cha mwamba! Naona anachomoka Mmoja baada ya mwingine! Hakika mungu ni fundi
RIP YUSUF MANJI....MAREHEMU HAKUWA MKAMILIFU KAMA SISI BINADAMU WOTE....KUNA WAKATI ALIWAKOSEA WATANZANIA KAMA WANANCHI KWA KUSHIRIKIANA NA VIONGOZI WETU MAFISADI NA WALA RUSHWA....NA KUNA WAKATI PIA ALIWATENDEA MEMA NA MAZURI WATANZANIA....WATANZANIA TUMSAMEHE KWA YOTE....RIP YUSUF MANJI.
@@didasseveline9013 kwa hiyo ambao hawakushangilia watachomoka kwa makundi sio! Ujinga mzigo
Mungu amuweke mahali pema amani