Niliwaambia mpina hao wabunge wote anaweza kuwakusanya wote na akili zao ndogo akawaweka mfukoni na Bado wataona aibu Kwa mpina na mungu atazidi kumpaisha zaidi na zaidi
Mpina kosa lake ni kutoa tuhuma kwa waziri wa kilimo kisha kwenda kwenye media kulielezea wakati taarifa alisha ifikisha kwa spika,alipaswa kukaa kimya mana bunge lina sheria zake za ndani kwa wabunge
Mpina kosa lake ni kutoa tuhuma kwa waziri wa kilimo kisha kwenda kwenye media kulielezea wakati taarifa alisha ifikisha kwa spika,alipaswa kukaa kimya mana bunge lina sheria zake za ndani kwa wabunge
Ww nae@@gstone830acha kuwadanganya humu! Ko Mpina aliziita media bungeni? Au alikua place? Tuambie spika anahusikaje nje ya bunge? Huon kuna kanuni muda mwingine anaketi na kuchangia hoja akiwa kama mbuge wa kawaida. Ndo ujue kua hujui.
@@gstone830kwani mpina aliitisha media bungeni? Kua smart bro hawa wabunge ni wahuni tu msukuma alimsimanga mpina kiasi kwamba wana chuki binafsi, hivi kuongea na media nje na bunge unadhani hakujua kua yuko sahihi au yuko wrong?
Mheshimiwa spika ninaamini Mpina alikukwaza baada kuleta vielelezo badla ya kusubiri maamuzi yako aliitisha vyombo vya habari na kueleza alichooleza Lakini leo ukiwa umetulia umeweza kubaini ukweli kuwa bei ya sukari Tanzania iko juu zaidi kuliko nchi jirani. na waziri hajaeleza ni kwanini bei iwe juu nchini kwetu. Naomba kwa mamlaka Mpina apunguziwe adhabu. kwa sababu ukweli ni kuwa waziri ameshindwa kuwalinda watanzania. Mungu akubariki. Amen
Haka haka ka kenge maji kanakoongea hapa! Kweli kunatofauti kati ya skilled and unskilled labours, siku anamshambulia Mpina kichwan mwake palikua mavi yamejaa, naona leo sijui yamenyonywa.
Duuuuh! Kweli bado kuna safari ndefu sana ya kuwafanya watu kufikiri mambo kwa kina. Eti leo mtu alie kua anaatack mawazo mazuri ya Waziri kutuondoa kwenye tatizo la sukari dhidi ya mabepali wachache wanaotuumiza ndio anaonekana Mzalendo kuliko wote. Tatizo sana
Kuvunja bodi sio tiba ,Tiba iundwe tume ichunguze wizara na pia bodi, ndi madudu mtayaona na kama ni kuvunja bodi ndio mfuate ,kwa masilahi ya wananchi
Mpina alikuwa sahihi, alichokuja kukosea nikwenda kulizungumza swala inje kwenye vyombo vya habari Ili Hali tayari supika ameshatoa mwongozo wa Nini kifanyike!
mpina alijua hawatamsikiliza maana hata wabunge wengine hawana uelewa wa mambo nyeti Kwa maslahi ya nchi ndio maana akaamua kujilipua kwenda Kwa waajiri ambao ni sisi wananchi@@ramadhanimushi6059
Mpina ana akili nyingi sana na ndiyo pekee anayepaswa kuigwa na watanzania wote viva meatu viva viva mwandoya viva viva wasukuma viva viva kanda ya ziwa viva hiyo ndo chapa ya ng'ombe luhaga mpeni maua yake anapambana na ufisadi vilivyo
Wote wapigaji tu,serikali ina wapigaji,na bunge zima ccm mnaiunga mkono kila kitu, mijadala yenu ni ya kupoteza muda na kupitisha sheria na mikataba mpokee chenu mrudi majimboni kujipitisha bila kupingwa!. Bashe mpigaji, bodi na wanaowapa tenda wote wapigaji tu... Hamna
dk msukuma mimi ninakukubali sana,siku zote umekuwa ukiwatetea walaji wa mwisho wale wa vijijini,tofauti na mpina kazi yake kuwatetea mataycoon wa sukari mara wa nguo!!
Wachangiaji humu mjitathmini maana naona wendawazimu mnatuchanganya hapa. Mtu anasemaje kuwa Msukuma ndio sahihi na Mpina ni adui? Jitahidini kuelewa mambo kabla kuropoka humu. Msukuma ni ndumilakuwili .
Nakubaliana na hoja za Mheshimiwa Msukuma kuhusu hali ya sukari nchini. Ni muhimu kwa serikali kuchukua hatua za haraka kuhakikisha kuwa tatizo hili linatatuliwa kwa manufaa ya wananchi wote. Pia, ni muhimu kufanya mageuzi makubwa ili kuboresha sekta ya sukari. Asante.
Hawa wabunge wanakera sana mpina amewaanzishia hoja ameijenga vizuri ameisimamia ipasavyo mmemfungia vikao vingi sana leo hii kile kile alichoongea ndicho mnachokiongea sasa mlimfungia ili iweje? Hata kama mnachukiana ipokuwa jambo ni la taifa liangalieni taifa ugomvi wenu binafisi usiriathili taifa
Hivi mabepari ni wakina nani? Mabepari si ninyi mliomdharilisha Mpina ambaye ni mbunge wa wanainchi? Kwa kweli hili bunge ni la CCM na unafiki wao wanaongoja kuiba kura mwaka kesho hao ndiyo wabunge wa wanainchi?
Pumbaf sana wanasiasa wa nchi hii. Mwajengaje kiwanda bila kufanya upembuzi? Mwatumia mabilioni ya pesa za maskini kujenga viwanda vinavyolala mapopo? Kisha mwazidi kuongeza kodi, ushuru.... Yaliyokea Kenya ilibidi yatokee Bongo!
mpima alikuwa sahihi inbox ushahidi wake usingefanyiwa kazi pamoja suspended ya spika/bunge bado linawasumbua wabunge h/kuu ccm izingatie kusema kweli ya mwanaccm ni haki ya mwanachama bila uoga hjvyo pasiwepo na kulindanalindana viongozi/yeyote anayepiga dili
Ni kweli Mpina alikosea kusema nje ya Bunge kabla ya maelekezo ya spika kufanyia kaz Lakin kwa nn hawajafanyia kaz mapungufu ya wazir na kumchukulia hatua? Maana ni kweli aliongea lakin hawajamshughulikia mlalamikiwa ambaye ni Bashe naye si ashughulikiwa coz ni muongo
u-mbu mbu mbu unatusumbua sana, yule jamaa mmempa adhabu mkapiga na makofi na kumkejeli juu...leo mnaanza kujitekenya taratibu kurudi kwenye point zake jamani
Kwanini watunga Sheria ni. Wakatili. Nammna hii angalieni nyie mnajilipa.mnavyotaka ndio maana niwajeuri lakini hatuna lakuwafanya basi Mungu. Nae hamumuogopi msitese. Wananchi please
Huyo ni darasa ra saba. Anawashinda wazi wasomi wamejaaa hapo wapo kuiba tu musukuma na mpina ni majembe na nk wapo hapo tunataka watu wanaotutambua watz n hari yetu kiukweri kweri
usikahukumu sana Bali hukumu elimu ya kenyewe, kangejuaje kutafakari jema na baya huku ka bashe kanawachanganya na kingereza uchwara bungeni@@michaellutonjagospelsinger6611
Bunge 2025 asilimia 70 ya wabunge wa CCM watolewe nje kabisa Mphina ni kichwa cha wabunge 200 wa CCM ndio maana hakuna hata mmoja aliyesimama kumtetea.fuckin hell
Wewe Mheshimiwa Msukuma mbona ulitoa hoja ya kumdhalilisha Msukuma mwenzako? Mbona kwa muono wangu nisiye elimu kubwa ninaona kama kinashabihiana na hicho unachokichangia.
Mpina hana utulivu alitaka haki kupitia watu siyo taratibu. Usitake haki kabla ya hukumu. Hill ndiyo kosa.Halafu moyo wake ulijaa hila!! Na hila ni ya shetani!!Akamkosea Mungu.
@@JaneChissawilo-dr7nnumetumwa na bashe kidhoofisha hoja za mpina? kwani angefuata taratibu ww ungejua bashe ni mpiga Dili? mpina alijua yote ndio maana akajilipua liwalo na liwe
Sasa hivi hamuongelei urasimu uliofanyww kwenye kuagiza sukari,mpina akirudi anaanzisha hoja tena mpaka ijadiliwe,mmejifanya kuipotezea hiyo hoja lkn tutawapiga kama mlivyopigwa kenya...kila mbunge aliepiga kura ya ndio kama nyie amekula kichapo...sasa na nyie ngojeni
Niliwaambia mpina hao wabunge wote anaweza kuwakusanya wote na akili zao ndogo akawaweka mfukoni na Bado wataona aibu Kwa mpina na mungu atazidi kumpaisha zaidi na zaidi
Wabunge mwaka huu watahukumiwa kwa ajili ya mpina😂😂
Msukuma mnafiki chawa
Kwahiyo mpina alikua na kosa gani? Bunge la hovyo sana kuwahi kutokea,
Mpina kosa lake ni kutoa tuhuma kwa waziri wa kilimo kisha kwenda kwenye media kulielezea wakati taarifa alisha ifikisha kwa spika,alipaswa kukaa kimya mana bunge lina sheria zake za ndani kwa wabunge
Mpina kosa lake ni kutoa tuhuma kwa waziri wa kilimo kisha kwenda kwenye media kulielezea wakati taarifa alisha ifikisha kwa spika,alipaswa kukaa kimya mana bunge lina sheria zake za ndani kwa wabunge
Ww nae@@gstone830acha kuwadanganya humu! Ko Mpina aliziita media bungeni? Au alikua place? Tuambie spika anahusikaje nje ya bunge? Huon kuna kanuni muda mwingine anaketi na kuchangia hoja akiwa kama mbuge wa kawaida. Ndo ujue kua hujui.
@@gstone830kwani mpina aliitisha media bungeni? Kua smart bro hawa wabunge ni wahuni tu msukuma alimsimanga mpina kiasi kwamba wana chuki binafsi, hivi kuongea na media nje na bunge unadhani hakujua kua yuko sahihi au yuko wrong?
Msukuma sio MTU anachozungumza ndio LOGIC YA MPINA.
Alisimanga kumbe na yeye anzungumza hayo hayo ya Mpina
Huwa hawamuelewi na wivu ndiomana hawapigagi makofi Mpina akichangia au kukosoa
Msukuma ni wa hovyo kabisa
Mheshimiwa spika ninaamini Mpina alikukwaza baada kuleta vielelezo badla ya kusubiri maamuzi yako aliitisha vyombo vya habari na kueleza alichooleza Lakini leo ukiwa umetulia umeweza kubaini ukweli kuwa bei ya sukari Tanzania iko juu zaidi kuliko nchi jirani. na waziri hajaeleza ni kwanini bei iwe juu nchini kwetu. Naomba kwa mamlaka Mpina apunguziwe adhabu. kwa sababu ukweli ni kuwa waziri ameshindwa kuwalinda watanzania. Mungu akubariki. Amen
Haswaaaaa
Msukuma amepoteza mwelekeo baada ya kuhongwa na DP World. Hajui anachokitaka
Mmh kazi kwelikweli kumbe mnjua kwenye sukari kuna shida,mlimsha mbulia mpina wa nin
Haka haka ka kenge maji kanakoongea hapa! Kweli kunatofauti kati ya skilled and unskilled labours, siku anamshambulia Mpina kichwan mwake palikua mavi yamejaa, naona leo sijui yamenyonywa.
@@RamadhanKitama kudadeki kweli kbs
Msukuma MNAFIKI SAANA ALIONGEA MPINA UKAMUSEMA hivi we toka lini wasukuma tukawa WANAFIKI?
Hatuna wabunge
Jaman mm binafsi naona mpina alikuwa sahihi sana
Kwa yeyote asiyekuwa na akili atamuona mpina kuwa yupo sahihi
@@walidmgonja3644kwa yeyote aside na akili atamwona bashe yuko sahihi
Ukianzia ww @@walidmgonja3644
Kilichomuhukumu mpina sio alichosema icho bado akijahukumiwa kahukumiwa kwa kuongea sehemu isiyo sahihi ili kujenga itention kwenye jamii
@@walidmgonja3644kwahiyo ww tu ndiyo mwenye akili?
Msukuma umetukana Sana mpina huku unajuwa mpina aliongea ukweli iliniuma sana
Mpina ni kichwa bhana ni WA kwanza kuelewa jambo kuliko wabunge wote wengine kuja kuelewa tayari wameshamhukumu Mh. Mpina
Duuuuh! Kweli bado kuna safari ndefu sana ya kuwafanya watu kufikiri mambo kwa kina. Eti leo mtu alie kua anaatack mawazo mazuri ya Waziri kutuondoa kwenye tatizo la sukari dhidi ya mabepali wachache wanaotuumiza ndio anaonekana Mzalendo kuliko wote. Tatizo sana
Hapo Spika ,safi sana. Kweli wananchi wa kawaida tunapata shida. Hilo lifuatilie sana.
Msukuma we mnafiki sana umemkashifu mpina ila unarudia mlemle kwa mpina
Mlimhukumu mpina mnarumbana
Msukuma nikigeugeu umemshambulia mpina nakuingiza fitina zakishamba
Mpina luhaga anaona mbali wote mlimbeza leo ndo mada inawasumbua kenge nyie
Hii yote ni kwa ajili ya kukopakopa hovyo, sasa mnahaha jinsi ya kupata hela ya kulipa madeni, but hongera weww msukuma kwa mchango mziri sana
WAHUNI WOTE HAO😅😅😢😢😂😂😂
Msukuma ameungana mkuu wa mkoa dar,
Eti mnataka kuturudisha kwenye mateso🎉
SPIKA YA REDIO YANGU INAPASWA KIJITATHIMINI, JE INACHOKISEMA NDIO TAFSIRI YA MAWIMBI AU KELELE TU
Kuvunja bodi sio tiba ,Tiba iundwe tume ichunguze wizara na pia bodi, ndi madudu mtayaona na kama ni kuvunja bodi ndio mfuate ,kwa masilahi ya wananchi
Mpina alikuwa sahihi, alichokuja kukosea nikwenda kulizungumza swala inje kwenye vyombo vya habari Ili Hali tayari supika ameshatoa mwongozo wa Nini kifanyike!
mbona sasa alichokianzisha hakiendelei kujadiriwa.Bunge letu linakosa mvuto kabisa
mpina alijua hawatamsikiliza maana hata wabunge wengine hawana uelewa wa mambo nyeti Kwa maslahi ya nchi ndio maana akaamua kujilipua kwenda Kwa waajiri ambao ni sisi wananchi@@ramadhanimushi6059
Akili ndogo inarudi nyuma haiwezi kwenda mbele
Mpina ana akili nyingi sana na ndiyo pekee anayepaswa kuigwa na watanzania wote viva meatu viva viva mwandoya viva viva wasukuma viva viva kanda ya ziwa viva hiyo ndo chapa ya ng'ombe luhaga mpeni maua yake anapambana na ufisadi vilivyo
Msukuma❤
Wote wapigaji tu,serikali ina wapigaji,na bunge zima ccm mnaiunga mkono kila kitu, mijadala yenu ni ya kupoteza muda na kupitisha sheria na mikataba mpokee chenu mrudi majimboni kujipitisha bila kupingwa!. Bashe mpigaji, bodi na wanaowapa tenda wote wapigaji tu... Hamna
dk msukuma mimi ninakukubali sana,siku zote umekuwa ukiwatetea walaji wa mwisho wale wa vijijini,tofauti na mpina kazi yake kuwatetea mataycoon wa sukari mara wa nguo!!
Acha uchawa huyo msukuma mbona hakuwatetea chochote anawapuliza tu
Wewe hukumwelewa Mpina ulimsikia juu . Yeye analala mika kulikua na upigaji kwenye kuagiza sukari
Wachangiaji humu mjitathmini maana naona wendawazimu mnatuchanganya hapa. Mtu anasemaje kuwa Msukuma ndio sahihi na Mpina ni adui? Jitahidini kuelewa mambo kabla kuropoka humu. Msukuma ni ndumilakuwili .
Bora uangalie sajili ya simba na yanga kuliko bunge letu,
Nakubaliana na hoja za Mheshimiwa Msukuma kuhusu hali ya sukari nchini. Ni muhimu kwa serikali kuchukua hatua za haraka kuhakikisha kuwa tatizo hili linatatuliwa kwa manufaa ya wananchi wote. Pia, ni muhimu kufanya mageuzi makubwa ili kuboresha sekta ya sukari. Asante.
Asante sana nimependa Mchango wako
samia tuondoleee mwiguru saivi ushapata uzoefu wa kazi weka waziri mwingine
Mheshimiwa mpina alikuwa na haki Kwa maneno haya.
Msukuma ww sku hizi unadifia hata wizi daaaaaah hatari sana hiyo sukari mbona bado ipo juu? Sasa unamsifia nini
Ni changamoto za biashara zinazofunga kiwanda au ni mabadiliko ya Sera zenye kutetea matumbo ya wachache? Anaogopa kuwa mkweli.
Hili bunge limejaa wahuni tu. Genge la majambazi ndo wamejaa humo. Wazalendo kama Mpina lazima waonekane hawafai.
Na wew haufai kilichomuondoa mpina ni kwenda public kujenga tension na sio alichokisema
Hiii ni point sana aiseeee
Hawa wabunge wanakera sana mpina amewaanzishia hoja ameijenga vizuri ameisimamia ipasavyo mmemfungia vikao vingi sana leo hii kile kile alichoongea ndicho mnachokiongea sasa mlimfungia ili iweje? Hata kama mnachukiana ipokuwa jambo ni la taifa liangalieni taifa ugomvi wenu binafisi usiriathili taifa
Nilitegemea umuunge mkono mpina, Kwenye swala la uagizaji wa sukari kumejaa ufisadi sana. Uchunguzi ufanyike.
Kuangalie hivohivo hako kajamaa huwa ni kanafiki sana kameshiriki kuuza bandari hako
😂😂@@chrithicksambo2287
@@chrithicksambo2287😅😂
Bepali ni Nan tofaut na nyinyi
Hivi mabepari ni wakina nani? Mabepari si ninyi mliomdharilisha Mpina ambaye ni mbunge wa wanainchi? Kwa kweli hili bunge ni la CCM na unafiki wao wanaongoja kuiba kura mwaka kesho hao ndiyo wabunge wa wanainchi?
Sasa mpina mmemtoa kwanini uku amewasaidia kujua hii mambo ikoje mabosi wangu
Sasa mpina alifukuzwa kwa lipi ,,bunge la wapumbavu
nilichogunduwabungeni kuna watu ambao ni chawa sana
hasa msukuma
Msukuma ww ni fisadi tu unayozungumza ndio yale yale ya mpina unazungumka mbuyu tu
Kilichomuondoa mpina bungen sio alichokiongea bali utaratibu haukufuatwa acha miemko
Kuvunja bodi co tatz,ishu ya msingi ni mumpe mpina uwaziri wa wizara ya kilimo,then bashe aende wizara ya maliasili akapumzike huko
Ingekuwa ni ivyo kaangalie bashe kipindi akiwa mbunge alivyotetea wizara hii mpina alipewa yakamshinda tangu enzi za magu au umenunua simu lini
@@KelvinConorard nimenunua jana
Pumbaf sana wanasiasa wa nchi hii. Mwajengaje kiwanda bila kufanya upembuzi? Mwatumia mabilioni ya pesa za maskini kujenga viwanda vinavyolala mapopo? Kisha mwazidi kuongeza kodi, ushuru....
Yaliyokea Kenya ilibidi yatokee Bongo!
Kosa la mpina liko wapi?
Kwelii tenah
ULIMTUKANA SANA MPINA
Ukimuondoa mpina wabunge waliobaki wanajali matumbo yao tu hawapo kwa ajili ya watanzania wabunge wa ovyo kabisa
Msukuma kamponda Mpina Kisha anapita na hoja za Mpina.
Hii kitaalamu inaitwaje?
Figisu
mpima alikuwa sahihi inbox ushahidi wake usingefanyiwa kazi pamoja suspended ya spika/bunge bado linawasumbua wabunge h/kuu ccm izingatie kusema kweli ya mwanaccm ni haki ya mwanachama bila uoga hjvyo pasiwepo na kulindanalindana viongozi/yeyote anayepiga dili
Msukuma unaongea kwa data na mtubanaelewa majitu mengine yanaongea kwa percent tuuu avieleweki
Tunakumbuka mlimshambulia mpina 😢
Msukuma mnafiki sana!
Mpina the great
Mpina Hoja ilikua nzuri shida yake kutoa ripoti kwa waandishi wakat ripot ishaenda kwa spika Mana naona mnamzonga spika kuhusu Mpina
Alitaka watanzania tuelewe,ndio maana aliita waaandishi
Ni kweli Mpina alikosea kusema nje ya Bunge kabla ya maelekezo ya spika kufanyia kaz
Lakin kwa nn hawajafanyia kaz mapungufu ya wazir na kumchukulia hatua?
Maana ni kweli aliongea lakin hawajamshughulikia mlalamikiwa ambaye ni Bashe naye si ashughulikiwa coz ni muongo
Hueleweki
u-mbu mbu mbu unatusumbua sana, yule jamaa mmempa adhabu mkapiga na makofi na kumkejeli juu...leo mnaanza kujitekenya taratibu kurudi kwenye point zake jamani
Bado wanampigia makofi na msukuma, wakati pia walimpigia makofi nayule waziri na wakapiga makofi adhabu ya yule mbunge
Kweli nimeamini wanasiasa ni wanafiki
Wabunge ihi nchi ili ikae sawa unategemea sana mawazo yenu ya busala zaid ila sio kubebana bebana tuu
Msukuma fala alikuwa anamzingua mpina sasa mbona anaongea maono ya mpina
Mpina hakufata utaratibu, point ziko sawa sema udhalilishaji
Bunge la kikuma xn hili,,tunataka mjadili yalè ya mpina
Kwanini watunga Sheria ni. Wakatili. Nammna hii angalieni nyie mnajilipa.mnavyotaka ndio maana niwajeuri lakini hatuna lakuwafanya basi Mungu. Nae hamumuogopi msitese. Wananchi please
OK...SASA SWALI DOGO HILI: JE, MHESHIMIWA MBUNGE MPINA...HAKUWA SAHIHI..?
-MIMI NAONA,HUKUMU YA MPINA...HAIKUWA SAHIHI MAANA ALIKUWA MTETEZI SAHIHI
Kama munajua ayo kwa nn munamtimua mpina? Nyie majambazi waongowaongo nyie
Huyo ni darasa ra saba. Anawashinda wazi wasomi wamejaaa hapo wapo kuiba tu musukuma na mpina ni majembe na nk wapo hapo tunataka watu wanaotutambua watz n hari yetu kiukweri kweri
Kuna jambo linatengenezwa Kanda ya Ziwa
Hoja ya mpina au wasilisho la mpina kwa sipika hamkulitendea haki
Haka kamusukuma kashamba fulani kanajiweka kanajua kumbe kanaungua jua hakana musimamo
Wengi walifata mkumbo wa azabu tu😅,ila inawauma
usikahukumu sana Bali hukumu elimu ya kenyewe, kangejuaje kutafakari jema na baya huku ka bashe kanawachanganya na kingereza uchwara bungeni@@michaellutonjagospelsinger6611
Kwa mala nyingine bunge la hovyo😅
Ulisema mpina apimwe akili leo wewe unachangia nini
Bunge 2025 asilimia 70 ya wabunge wa CCM watolewe nje kabisa Mphina ni kichwa cha wabunge 200 wa CCM ndio maana hakuna hata mmoja aliyesimama kumtetea.fuckin hell
Ccm imechoka
Ww ndo ulimtukana sana mpina sa hv nn kimekusibu
Na wewe kumbe WA ovyoo kabisa tangu uliponunuliwa na bandari hujielewi
Wabunge ni wasaliti
Msukuma wewe sasa hiv hatukuelewi ulishakuwa chawa wa serikali
Saruti
🇹🇿🇿🇦🤲🏾😢😢🙏☝🏿
Kingine uyo waziri wa fedha kwanza anakitu gani zaid kinacho mfanya afanye anacho jisikia yeye
Tunakiwa kujifunza tusiwe vichwa ngumu.
Musukuma Mnafiki wewe mlikataa ushauri wa Mpina mkamtoa kafara halafu hoja zake mnazikopi na kuzifanya zenu ili mwonekane ninyi ndio mnatetea wananchi
Hovyoo mi ni timu Mpinaaaa ndiye tunayemsikiliza Kwa sasa
Huyu akili zake anazijuwa mwenyewe,alishazibwa mdomo akamgeuka mpina,lkn huyo co wa kuangalia hoja ya mpina na kukifanya haoni
Hana lolote huyu alikuwa anamponda Mpina
Ukiona anaongea sana jua linamuhusu hilo
Hakuna lolote wapigaj tu hawa
Mnafik mkubwa ww ,leo hii unaend na mawazo ya mpina
Msukuma unavuruga hatukuelewi.Kosa la Mpina liko wapi?
Kutofuata utaratibu
Kichowafanya mumfukuze mpina nn
Jaman huko bungen muwe unajuwa huku nje kuna watu ambao wanaumia na kupotea kabisa kibiashara kulingana na sela zeni mnajiangalia nyinyi wenyew tu
Mkundu ww
Maadili ulifundishwa na shetani mwenyewe!!
Muuu
Ha😅
We Mnafiki tyu
Wewe Mheshimiwa Msukuma mbona ulitoa hoja ya kumdhalilisha Msukuma mwenzako? Mbona kwa muono wangu nisiye elimu kubwa ninaona kama kinashabihiana na hicho unachokichangia.
Ni kweli kabisa Mnafiki mkubwa huyu Umeongea vizuri sana
mkundu nyie
Yaani hili bunge ni kama kikao cha walevi. Mpina mmemfukuzia nini?
Mpina hana utulivu alitaka haki kupitia watu siyo taratibu. Usitake haki kabla ya hukumu. Hill ndiyo kosa.Halafu moyo wake ulijaa hila!! Na hila ni ya shetani!!Akamkosea Mungu.
@@JaneChissawilo-dr7nnumetumwa na bashe kidhoofisha hoja za mpina? kwani angefuata taratibu ww ungejua bashe ni mpiga Dili? mpina alijua yote ndio maana akajilipua liwalo na liwe
Hakuna kimtu kinafiki kama hiko kijamaa .....kameuza bandari leo hii kanafanya kama kanawatetea wananchi
We ni fara nini , Hauna Akili yoyote , Msukuma ana Nguvu Gani ya kuuza Bandari !!?? Si ni Mbunge kama wabunge wengine ,, mkundu wewe
Sasa hivi hamuongelei urasimu uliofanyww kwenye kuagiza sukari,mpina akirudi anaanzisha hoja tena mpaka ijadiliwe,mmejifanya kuipotezea hiyo hoja lkn tutawapiga kama mlivyopigwa kenya...kila mbunge aliepiga kura ya ndio kama nyie amekula kichapo...sasa na nyie ngojeni
Msukuma bhana
Msukuma ni mchekeshaji tu HIVI UTATUMWA MBUNGE UTAFUATA MSUKUMA????
@@user-cp8df8ik5hmkundu wewe , utamfata Babu yako