MBUNGE MUSUKUMA AMVAA BASHE SAKATA LA SUKARI, "VUNJA BODI, TUACHE MIZAHA, KUNA MCHEZO UMECHEZWA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 июн 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 154

  • @ALCADOJAMES
    @ALCADOJAMES 3 дня назад +7

    Niliwaambia mpina hao wabunge wote anaweza kuwakusanya wote na akili zao ndogo akawaweka mfukoni na Bado wataona aibu Kwa mpina na mungu atazidi kumpaisha zaidi na zaidi

  • @mwankenjatv9330
    @mwankenjatv9330 2 дня назад +4

    Wabunge mwaka huu watahukumiwa kwa ajili ya mpina😂😂

  • @hamisijuma3276
    @hamisijuma3276 3 дня назад +10

    Msukuma mnafiki chawa

  • @geraldgogadi7054
    @geraldgogadi7054 3 дня назад +20

    Kwahiyo mpina alikua na kosa gani? Bunge la hovyo sana kuwahi kutokea,

    • @gstone830
      @gstone830 3 дня назад +1

      Mpina kosa lake ni kutoa tuhuma kwa waziri wa kilimo kisha kwenda kwenye media kulielezea wakati taarifa alisha ifikisha kwa spika,alipaswa kukaa kimya mana bunge lina sheria zake za ndani kwa wabunge

    • @gstone830
      @gstone830 3 дня назад

      Mpina kosa lake ni kutoa tuhuma kwa waziri wa kilimo kisha kwenda kwenye media kulielezea wakati taarifa alisha ifikisha kwa spika,alipaswa kukaa kimya mana bunge lina sheria zake za ndani kwa wabunge

    • @RamadhanKitama
      @RamadhanKitama 3 дня назад

      ​Ww nae​@@gstone830acha kuwadanganya humu! Ko Mpina aliziita media bungeni? Au alikua place? Tuambie spika anahusikaje nje ya bunge? Huon kuna kanuni muda mwingine anaketi na kuchangia hoja akiwa kama mbuge wa kawaida. Ndo ujue kua hujui.

    • @hakiyangu
      @hakiyangu 2 дня назад +2

      ​@@gstone830kwani mpina aliitisha media bungeni? Kua smart bro hawa wabunge ni wahuni tu msukuma alimsimanga mpina kiasi kwamba wana chuki binafsi, hivi kuongea na media nje na bunge unadhani hakujua kua yuko sahihi au yuko wrong?

  • @user-cp8df8ik5h
    @user-cp8df8ik5h 3 дня назад +14

    Msukuma sio MTU anachozungumza ndio LOGIC YA MPINA.

    • @rehemakanyere4188
      @rehemakanyere4188 2 дня назад +2

      Alisimanga kumbe na yeye anzungumza hayo hayo ya Mpina

    • @BabuGga-td3mg
      @BabuGga-td3mg День назад

      Huwa hawamuelewi na wivu ndiomana hawapigagi makofi Mpina akichangia au kukosoa

  • @solomoneglesias9752
    @solomoneglesias9752 3 дня назад +7

    Msukuma ni wa hovyo kabisa

  • @ElibarikiEliud
    @ElibarikiEliud 2 дня назад +2

    Mheshimiwa spika ninaamini Mpina alikukwaza baada kuleta vielelezo badla ya kusubiri maamuzi yako aliitisha vyombo vya habari na kueleza alichooleza Lakini leo ukiwa umetulia umeweza kubaini ukweli kuwa bei ya sukari Tanzania iko juu zaidi kuliko nchi jirani. na waziri hajaeleza ni kwanini bei iwe juu nchini kwetu. Naomba kwa mamlaka Mpina apunguziwe adhabu. kwa sababu ukweli ni kuwa waziri ameshindwa kuwalinda watanzania. Mungu akubariki. Amen

  • @tronline6959
    @tronline6959 3 дня назад +4

    Msukuma amepoteza mwelekeo baada ya kuhongwa na DP World. Hajui anachokitaka

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama1199 3 дня назад +7

    Mmh kazi kwelikweli kumbe mnjua kwenye sukari kuna shida,mlimsha mbulia mpina wa nin

    • @RamadhanKitama
      @RamadhanKitama 3 дня назад

      Haka haka ka kenge maji kanakoongea hapa! Kweli kunatofauti kati ya skilled and unskilled labours, siku anamshambulia Mpina kichwan mwake palikua mavi yamejaa, naona leo sijui yamenyonywa.

    • @rehemakanyere4188
      @rehemakanyere4188 2 дня назад

      @@RamadhanKitama kudadeki kweli kbs

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 3 дня назад +6

    Msukuma MNAFIKI SAANA ALIONGEA MPINA UKAMUSEMA hivi we toka lini wasukuma tukawa WANAFIKI?

  • @user-qx4pc3rx8g
    @user-qx4pc3rx8g 3 дня назад +7

    Hatuna wabunge

  • @yohanemwitumba3711
    @yohanemwitumba3711 3 дня назад +19

    Jaman mm binafsi naona mpina alikuwa sahihi sana

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 3 дня назад

      Kwa yeyote asiyekuwa na akili atamuona mpina kuwa yupo sahihi

    • @wilfredywilhelm1426
      @wilfredywilhelm1426 3 дня назад

      ​@@walidmgonja3644kwa yeyote aside na akili atamwona bashe yuko sahihi

    • @RamadhanKitama
      @RamadhanKitama 3 дня назад

      Ukianzia ww ​@@walidmgonja3644

    • @KelvinConorard
      @KelvinConorard 3 дня назад

      Kilichomuhukumu mpina sio alichosema icho bado akijahukumiwa kahukumiwa kwa kuongea sehemu isiyo sahihi ili kujenga itention kwenye jamii

    • @WilliamMsungu
      @WilliamMsungu 3 дня назад

      @@walidmgonja3644kwahiyo ww tu ndiyo mwenye akili?

  • @teshashaban2479
    @teshashaban2479 3 дня назад +3

    Msukuma umetukana Sana mpina huku unajuwa mpina aliongea ukweli iliniuma sana

  • @SelemanMhana-ol7tk
    @SelemanMhana-ol7tk 3 дня назад +11

    Mpina ni kichwa bhana ni WA kwanza kuelewa jambo kuliko wabunge wote wengine kuja kuelewa tayari wameshamhukumu Mh. Mpina

    • @user-us4tk2tk3c
      @user-us4tk2tk3c 3 дня назад +1

      Duuuuh! Kweli bado kuna safari ndefu sana ya kuwafanya watu kufikiri mambo kwa kina. Eti leo mtu alie kua anaatack mawazo mazuri ya Waziri kutuondoa kwenye tatizo la sukari dhidi ya mabepali wachache wanaotuumiza ndio anaonekana Mzalendo kuliko wote. Tatizo sana

  • @atupegemwakahesya
    @atupegemwakahesya 2 дня назад

    Hapo Spika ,safi sana. Kweli wananchi wa kawaida tunapata shida. Hilo lifuatilie sana.

  • @evansdecaprio8196
    @evansdecaprio8196 2 дня назад +1

    Msukuma we mnafiki sana umemkashifu mpina ila unarudia mlemle kwa mpina

  • @barackbrysonramsey
    @barackbrysonramsey 3 дня назад +8

    Mlimhukumu mpina mnarumbana

  • @teshashaban2479
    @teshashaban2479 3 дня назад +2

    Msukuma nikigeugeu umemshambulia mpina nakuingiza fitina zakishamba

  • @user-jy4pm3hh9s
    @user-jy4pm3hh9s 3 дня назад +1

    Mpina luhaga anaona mbali wote mlimbeza leo ndo mada inawasumbua kenge nyie

  • @melichmahingule2896
    @melichmahingule2896 2 дня назад

    Hii yote ni kwa ajili ya kukopakopa hovyo, sasa mnahaha jinsi ya kupata hela ya kulipa madeni, but hongera weww msukuma kwa mchango mziri sana

  • @mwankenjatv9330
    @mwankenjatv9330 2 дня назад +1

    WAHUNI WOTE HAO😅😅😢😢😂😂😂

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 День назад

    Msukuma ameungana mkuu wa mkoa dar,
    Eti mnataka kuturudisha kwenye mateso🎉

  • @gibrilmongi5646
    @gibrilmongi5646 3 дня назад +3

    SPIKA YA REDIO YANGU INAPASWA KIJITATHIMINI, JE INACHOKISEMA NDIO TAFSIRI YA MAWIMBI AU KELELE TU

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl 3 дня назад +2

    Kuvunja bodi sio tiba ,Tiba iundwe tume ichunguze wizara na pia bodi, ndi madudu mtayaona na kama ni kuvunja bodi ndio mfuate ,kwa masilahi ya wananchi

  • @MarcoMhande
    @MarcoMhande 3 дня назад +3

    Mpina alikuwa sahihi, alichokuja kukosea nikwenda kulizungumza swala inje kwenye vyombo vya habari Ili Hali tayari supika ameshatoa mwongozo wa Nini kifanyike!

    • @ramadhanimushi6059
      @ramadhanimushi6059 2 дня назад

      mbona sasa alichokianzisha hakiendelei kujadiriwa.Bunge letu linakosa mvuto kabisa

    • @piusmaduka
      @piusmaduka 2 дня назад

      ​mpina alijua hawatamsikiliza maana hata wabunge wengine hawana uelewa wa mambo nyeti Kwa maslahi ya nchi ndio maana akaamua kujilipua kwenda Kwa waajiri ambao ni sisi wananchi​@@ramadhanimushi6059

  • @jumakilinja6341
    @jumakilinja6341 3 дня назад +3

    Akili ndogo inarudi nyuma haiwezi kwenda mbele

  • @ndimuelias6183
    @ndimuelias6183 День назад

    Mpina ana akili nyingi sana na ndiyo pekee anayepaswa kuigwa na watanzania wote viva meatu viva viva mwandoya viva viva wasukuma viva viva kanda ya ziwa viva hiyo ndo chapa ya ng'ombe luhaga mpeni maua yake anapambana na ufisadi vilivyo

  • @LaigwanaMollel
    @LaigwanaMollel 3 дня назад +1

    Msukuma❤

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 День назад

    Wote wapigaji tu,serikali ina wapigaji,na bunge zima ccm mnaiunga mkono kila kitu, mijadala yenu ni ya kupoteza muda na kupitisha sheria na mikataba mpokee chenu mrudi majimboni kujipitisha bila kupingwa!. Bashe mpigaji, bodi na wanaowapa tenda wote wapigaji tu... Hamna

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 3 дня назад

    dk msukuma mimi ninakukubali sana,siku zote umekuwa ukiwatetea walaji wa mwisho wale wa vijijini,tofauti na mpina kazi yake kuwatetea mataycoon wa sukari mara wa nguo!!

    • @user-qx4pc3rx8g
      @user-qx4pc3rx8g 3 дня назад

      Acha uchawa huyo msukuma mbona hakuwatetea chochote anawapuliza tu

    • @paulmteki8196
      @paulmteki8196 3 дня назад

      Wewe hukumwelewa Mpina ulimsikia juu . Yeye analala mika kulikua na upigaji kwenye kuagiza sukari

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq 3 дня назад

      Wachangiaji humu mjitathmini maana naona wendawazimu mnatuchanganya hapa. Mtu anasemaje kuwa Msukuma ndio sahihi na Mpina ni adui? Jitahidini kuelewa mambo kabla kuropoka humu. Msukuma ni ndumilakuwili .

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 3 дня назад +1

    Bora uangalie sajili ya simba na yanga kuliko bunge letu,

  • @ElishamaBoaziHubiEBH
    @ElishamaBoaziHubiEBH 3 дня назад

    Nakubaliana na hoja za Mheshimiwa Msukuma kuhusu hali ya sukari nchini. Ni muhimu kwa serikali kuchukua hatua za haraka kuhakikisha kuwa tatizo hili linatatuliwa kwa manufaa ya wananchi wote. Pia, ni muhimu kufanya mageuzi makubwa ili kuboresha sekta ya sukari. Asante.

    • @solotap
      @solotap 3 дня назад

      Asante sana nimependa Mchango wako

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 2 дня назад

    samia tuondoleee mwiguru saivi ushapata uzoefu wa kazi weka waziri mwingine

  • @hubertmroso1664
    @hubertmroso1664 3 дня назад +6

    Mheshimiwa mpina alikuwa na haki Kwa maneno haya.

  • @abdulikilala5902
    @abdulikilala5902 3 дня назад +1

    Msukuma ww sku hizi unadifia hata wizi daaaaaah hatari sana hiyo sukari mbona bado ipo juu? Sasa unamsifia nini

  • @EmanuelyMbagalla-rt2vm
    @EmanuelyMbagalla-rt2vm 11 часов назад

    Ni changamoto za biashara zinazofunga kiwanda au ni mabadiliko ya Sera zenye kutetea matumbo ya wachache? Anaogopa kuwa mkweli.

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius1796 3 дня назад +1

    Hili bunge limejaa wahuni tu. Genge la majambazi ndo wamejaa humo. Wazalendo kama Mpina lazima waonekane hawafai.

    • @KelvinConorard
      @KelvinConorard 3 дня назад

      Na wew haufai kilichomuondoa mpina ni kwenda public kujenga tension na sio alichokisema

  • @Kisimatigin
    @Kisimatigin 3 дня назад +1

    Hiii ni point sana aiseeee

  • @bakaryngoneke5606
    @bakaryngoneke5606 3 дня назад

    Hawa wabunge wanakera sana mpina amewaanzishia hoja ameijenga vizuri ameisimamia ipasavyo mmemfungia vikao vingi sana leo hii kile kile alichoongea ndicho mnachokiongea sasa mlimfungia ili iweje? Hata kama mnachukiana ipokuwa jambo ni la taifa liangalieni taifa ugomvi wenu binafisi usiriathili taifa

  • @medardchenge
    @medardchenge 3 дня назад +4

    Nilitegemea umuunge mkono mpina, Kwenye swala la uagizaji wa sukari kumejaa ufisadi sana. Uchunguzi ufanyike.

    • @chrithicksambo2287
      @chrithicksambo2287 3 дня назад

      Kuangalie hivohivo hako kajamaa huwa ni kanafiki sana kameshiriki kuuza bandari hako

    • @FelicianSimon
      @FelicianSimon 3 дня назад

      😂😂​@@chrithicksambo2287

    • @wilfredywilhelm1426
      @wilfredywilhelm1426 3 дня назад

      ​@@chrithicksambo2287😅😂

  • @allyhasani3750
    @allyhasani3750 3 дня назад +1

    Bepali ni Nan tofaut na nyinyi

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 День назад

    Hivi mabepari ni wakina nani? Mabepari si ninyi mliomdharilisha Mpina ambaye ni mbunge wa wanainchi? Kwa kweli hili bunge ni la CCM na unafiki wao wanaongoja kuiba kura mwaka kesho hao ndiyo wabunge wa wanainchi?

  • @rashidswed2147
    @rashidswed2147 3 дня назад

    Sasa mpina mmemtoa kwanini uku amewasaidia kujua hii mambo ikoje mabosi wangu

  • @madengejr
    @madengejr 2 дня назад

    Sasa mpina alifukuzwa kwa lipi ,,bunge la wapumbavu

  • @augustinekusekwa183
    @augustinekusekwa183 3 дня назад +1

    nilichogunduwabungeni kuna watu ambao ni chawa sana

  • @jumaabdalla3374
    @jumaabdalla3374 3 дня назад +1

    Msukuma ww ni fisadi tu unayozungumza ndio yale yale ya mpina unazungumka mbuyu tu

    • @KelvinConorard
      @KelvinConorard 3 дня назад

      Kilichomuondoa mpina bungen sio alichokiongea bali utaratibu haukufuatwa acha miemko

  • @AbshirMubaarack
    @AbshirMubaarack 3 дня назад +1

    Kuvunja bodi co tatz,ishu ya msingi ni mumpe mpina uwaziri wa wizara ya kilimo,then bashe aende wizara ya maliasili akapumzike huko

    • @KelvinConorard
      @KelvinConorard 3 дня назад

      Ingekuwa ni ivyo kaangalie bashe kipindi akiwa mbunge alivyotetea wizara hii mpina alipewa yakamshinda tangu enzi za magu au umenunua simu lini

    • @AbshirMubaarack
      @AbshirMubaarack 3 дня назад

      @@KelvinConorard nimenunua jana

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 3 дня назад

    Pumbaf sana wanasiasa wa nchi hii. Mwajengaje kiwanda bila kufanya upembuzi? Mwatumia mabilioni ya pesa za maskini kujenga viwanda vinavyolala mapopo? Kisha mwazidi kuongeza kodi, ushuru....
    Yaliyokea Kenya ilibidi yatokee Bongo!

  • @user-gd3qz5pe6x
    @user-gd3qz5pe6x 2 дня назад

    Kosa la mpina liko wapi?

  • @user-sh4vq1kn4t
    @user-sh4vq1kn4t 3 дня назад

    Kwelii tenah

  • @michaelmeshaki9931
    @michaelmeshaki9931 2 дня назад

    ULIMTUKANA SANA MPINA

  • @jumaabdalla3374
    @jumaabdalla3374 3 дня назад

    Ukimuondoa mpina wabunge waliobaki wanajali matumbo yao tu hawapo kwa ajili ya watanzania wabunge wa ovyo kabisa

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 3 дня назад +1

    Msukuma kamponda Mpina Kisha anapita na hoja za Mpina.
    Hii kitaalamu inaitwaje?

  • @paulnsabi3779
    @paulnsabi3779 2 дня назад

    mpima alikuwa sahihi inbox ushahidi wake usingefanyiwa kazi pamoja suspended ya spika/bunge bado linawasumbua wabunge h/kuu ccm izingatie kusema kweli ya mwanaccm ni haki ya mwanachama bila uoga hjvyo pasiwepo na kulindanalindana viongozi/yeyote anayepiga dili

  • @jumaalmasjuma1700
    @jumaalmasjuma1700 3 дня назад

    Msukuma unaongea kwa data na mtubanaelewa majitu mengine yanaongea kwa percent tuuu avieleweki

  • @andrewkilulu
    @andrewkilulu 3 дня назад +1

    Tunakumbuka mlimshambulia mpina 😢

  • @vianmarcel818
    @vianmarcel818 3 дня назад +2

    Mpina the great

  • @gbbuku4714
    @gbbuku4714 3 дня назад +1

    Mpina Hoja ilikua nzuri shida yake kutoa ripoti kwa waandishi wakat ripot ishaenda kwa spika Mana naona mnamzonga spika kuhusu Mpina

    • @rehemakanyere4188
      @rehemakanyere4188 2 дня назад

      Alitaka watanzania tuelewe,ndio maana aliita waaandishi

    • @stevenmabungi3245
      @stevenmabungi3245 2 дня назад +1

      Ni kweli Mpina alikosea kusema nje ya Bunge kabla ya maelekezo ya spika kufanyia kaz
      Lakin kwa nn hawajafanyia kaz mapungufu ya wazir na kumchukulia hatua?
      Maana ni kweli aliongea lakin hawajamshughulikia mlalamikiwa ambaye ni Bashe naye si ashughulikiwa coz ni muongo

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 2 дня назад

    Hueleweki

  • @paulmadundo8084
    @paulmadundo8084 3 дня назад

    u-mbu mbu mbu unatusumbua sana, yule jamaa mmempa adhabu mkapiga na makofi na kumkejeli juu...leo mnaanza kujitekenya taratibu kurudi kwenye point zake jamani

    • @wilfredywilhelm1426
      @wilfredywilhelm1426 3 дня назад

      Bado wanampigia makofi na msukuma, wakati pia walimpigia makofi nayule waziri na wakapiga makofi adhabu ya yule mbunge

  • @anthonyluhumbika4693
    @anthonyluhumbika4693 2 дня назад

    Kweli nimeamini wanasiasa ni wanafiki

  • @yohanemwitumba3711
    @yohanemwitumba3711 3 дня назад

    Wabunge ihi nchi ili ikae sawa unategemea sana mawazo yenu ya busala zaid ila sio kubebana bebana tuu

  • @barakarobert1029
    @barakarobert1029 3 дня назад +1

    Msukuma fala alikuwa anamzingua mpina sasa mbona anaongea maono ya mpina

    • @solotap
      @solotap 3 дня назад

      Mpina hakufata utaratibu, point ziko sawa sema udhalilishaji

  • @user-zr1mk3xd2x
    @user-zr1mk3xd2x 2 дня назад

    Bunge la kikuma xn hili,,tunataka mjadili yalè ya mpina

  • @aloycemruma6552
    @aloycemruma6552 3 дня назад

    Kwanini watunga Sheria ni. Wakatili. Nammna hii angalieni nyie mnajilipa.mnavyotaka ndio maana niwajeuri lakini hatuna lakuwafanya basi Mungu. Nae hamumuogopi msitese. Wananchi please

  • @kesterkanyala7718
    @kesterkanyala7718 3 дня назад

    OK...SASA SWALI DOGO HILI: JE, MHESHIMIWA MBUNGE MPINA...HAKUWA SAHIHI..?
    -MIMI NAONA,HUKUMU YA MPINA...HAIKUWA SAHIHI MAANA ALIKUWA MTETEZI SAHIHI

  • @BakariIssa-nx3yf
    @BakariIssa-nx3yf 2 дня назад

    Kama munajua ayo kwa nn munamtimua mpina? Nyie majambazi waongowaongo nyie

  • @Fundi12345
    @Fundi12345 3 дня назад

    Huyo ni darasa ra saba. Anawashinda wazi wasomi wamejaaa hapo wapo kuiba tu musukuma na mpina ni majembe na nk wapo hapo tunataka watu wanaotutambua watz n hari yetu kiukweri kweri

  • @jacksonsawe2301
    @jacksonsawe2301 3 дня назад

    Kuna jambo linatengenezwa Kanda ya Ziwa

  • @user-mn2et2pf6z
    @user-mn2et2pf6z 3 дня назад

    Hoja ya mpina au wasilisho la mpina kwa sipika hamkulitendea haki

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 3 дня назад +4

    Haka kamusukuma kashamba fulani kanajiweka kanajua kumbe kanaungua jua hakana musimamo

    • @michaellutonjagospelsinger6611
      @michaellutonjagospelsinger6611 3 дня назад

      Wengi walifata mkumbo wa azabu tu😅,ila inawauma

    • @piusmaduka
      @piusmaduka 2 дня назад

      usikahukumu sana Bali hukumu elimu ya kenyewe, kangejuaje kutafakari jema na baya huku ka bashe kanawachanganya na kingereza uchwara bungeni​@@michaellutonjagospelsinger6611

  • @MasoudyMichael-ox7xl
    @MasoudyMichael-ox7xl 2 дня назад

    Kwa mala nyingine bunge la hovyo😅

  • @CharlesSomeke-ml7ju
    @CharlesSomeke-ml7ju 3 дня назад

    Ulisema mpina apimwe akili leo wewe unachangia nini

  • @bigdad1816
    @bigdad1816 2 дня назад

    Bunge 2025 asilimia 70 ya wabunge wa CCM watolewe nje kabisa Mphina ni kichwa cha wabunge 200 wa CCM ndio maana hakuna hata mmoja aliyesimama kumtetea.fuckin hell

  • @johnshayo9635
    @johnshayo9635 2 дня назад

    Ccm imechoka

  • @richardnott4403
    @richardnott4403 3 дня назад

    Ww ndo ulimtukana sana mpina sa hv nn kimekusibu

  • @MrutaJusto
    @MrutaJusto 2 дня назад

    Na wewe kumbe WA ovyoo kabisa tangu uliponunuliwa na bandari hujielewi

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 3 дня назад

    Wabunge ni wasaliti

  • @SimonSamson-wp5ik
    @SimonSamson-wp5ik День назад

    Msukuma wewe sasa hiv hatukuelewi ulishakuwa chawa wa serikali

  • @user-ce2wi1ht8g
    @user-ce2wi1ht8g 3 дня назад

    Saruti
    🇹🇿🇿🇦🤲🏾😢😢🙏☝🏿

  • @yohanemwitumba3711
    @yohanemwitumba3711 3 дня назад

    Kingine uyo waziri wa fedha kwanza anakitu gani zaid kinacho mfanya afanye anacho jisikia yeye

  • @victorwilliam1111
    @victorwilliam1111 3 дня назад

    Tunakiwa kujifunza tusiwe vichwa ngumu.

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 3 дня назад

    Musukuma Mnafiki wewe mlikataa ushauri wa Mpina mkamtoa kafara halafu hoja zake mnazikopi na kuzifanya zenu ili mwonekane ninyi ndio mnatetea wananchi

  • @gililwise
    @gililwise 3 дня назад +2

    Hovyoo mi ni timu Mpinaaaa ndiye tunayemsikiliza Kwa sasa

    • @samochristopherroche9953
      @samochristopherroche9953 3 дня назад

      Huyu akili zake anazijuwa mwenyewe,alishazibwa mdomo akamgeuka mpina,lkn huyo co wa kuangalia hoja ya mpina na kukifanya haoni

  • @innocentkanyata9923
    @innocentkanyata9923 3 дня назад

    Hana lolote huyu alikuwa anamponda Mpina

  • @peterdamiano6740
    @peterdamiano6740 3 дня назад

    Ukiona anaongea sana jua linamuhusu hilo

  • @davidgeorge9324
    @davidgeorge9324 2 дня назад

    Hakuna lolote wapigaj tu hawa

  • @user-zr9sj8sf3w
    @user-zr9sj8sf3w 2 дня назад

    Mnafik mkubwa ww ,leo hii unaend na mawazo ya mpina

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 3 дня назад

    Msukuma unavuruga hatukuelewi.Kosa la Mpina liko wapi?

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 3 дня назад

    Kichowafanya mumfukuze mpina nn

  • @yohanemwitumba3711
    @yohanemwitumba3711 3 дня назад

    Jaman huko bungen muwe unajuwa huku nje kuna watu ambao wanaumia na kupotea kabisa kibiashara kulingana na sela zeni mnajiangalia nyinyi wenyew tu

  • @saidmabanga388
    @saidmabanga388 3 дня назад

    Mkundu ww

  • @francismigongwa4146
    @francismigongwa4146 3 дня назад

    Muuu

  • @Mussa-id9jb
    @Mussa-id9jb 2 дня назад

    Ha😅

  • @shabanikisiga5710
    @shabanikisiga5710 3 дня назад +3

    We Mnafiki tyu

  • @charleskinyala3216
    @charleskinyala3216 3 дня назад +1

    Wewe Mheshimiwa Msukuma mbona ulitoa hoja ya kumdhalilisha Msukuma mwenzako? Mbona kwa muono wangu nisiye elimu kubwa ninaona kama kinashabihiana na hicho unachokichangia.

    • @shabanikisiga5710
      @shabanikisiga5710 3 дня назад

      Ni kweli kabisa Mnafiki mkubwa huyu Umeongea vizuri sana

    • @solotap
      @solotap 3 дня назад

      mkundu nyie

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 3 дня назад +1

    Yaani hili bunge ni kama kikao cha walevi. Mpina mmemfukuzia nini?

    • @JaneChissawilo-dr7nn
      @JaneChissawilo-dr7nn 3 дня назад

      Mpina hana utulivu alitaka haki kupitia watu siyo taratibu. Usitake haki kabla ya hukumu. Hill ndiyo kosa.Halafu moyo wake ulijaa hila!! Na hila ni ya shetani!!Akamkosea Mungu.

    • @piusmaduka
      @piusmaduka 2 дня назад

      ​@@JaneChissawilo-dr7nnumetumwa na bashe kidhoofisha hoja za mpina? kwani angefuata taratibu ww ungejua bashe ni mpiga Dili? mpina alijua yote ndio maana akajilipua liwalo na liwe

  • @chrithicksambo2287
    @chrithicksambo2287 3 дня назад +1

    Hakuna kimtu kinafiki kama hiko kijamaa .....kameuza bandari leo hii kanafanya kama kanawatetea wananchi

    • @solotap
      @solotap 3 дня назад

      We ni fara nini , Hauna Akili yoyote , Msukuma ana Nguvu Gani ya kuuza Bandari !!?? Si ni Mbunge kama wabunge wengine ,, mkundu wewe

  • @samochristopherroche9953
    @samochristopherroche9953 3 дня назад

    Sasa hivi hamuongelei urasimu uliofanyww kwenye kuagiza sukari,mpina akirudi anaanzisha hoja tena mpaka ijadiliwe,mmejifanya kuipotezea hiyo hoja lkn tutawapiga kama mlivyopigwa kenya...kila mbunge aliepiga kura ya ndio kama nyie amekula kichapo...sasa na nyie ngojeni

  • @taaonlinetv1820
    @taaonlinetv1820 3 дня назад

    Msukuma bhana

    • @user-cp8df8ik5h
      @user-cp8df8ik5h 3 дня назад

      Msukuma ni mchekeshaji tu HIVI UTATUMWA MBUNGE UTAFUATA MSUKUMA????

    • @solotap
      @solotap 3 дня назад

      ​@@user-cp8df8ik5hmkundu wewe , utamfata Babu yako