LEMA ATEMA NYONGO, MDEE AMCHANA LAIVU SAKATA LA MSIGWA KUTIMKIA CCM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 июн 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 152

  • @twendetuishi2316
    @twendetuishi2316 2 дня назад +11

    NJJAA ZA NAMNA HII NI MBAYA SANA WATU WASHAUAWA SABABU YENU HALAFU LEO MNAWASALITI HAIPENDEZI

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle911 2 дня назад +7

    Hakuna Mchungaji mnafiki kama huyu

  • @gabrielnjiapanda3710
    @gabrielnjiapanda3710 2 дня назад +10

    Kukosa uongozi tu umehama chama,yaani ni ubinafsi tu unamsukuma.

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z 2 дня назад +4

    Kumbe wa Tanzania niwamoja kumbe hata Tundu lisu anaweza kuwa mwana chama wa CCM

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 2 дня назад +8

    Wewe ulishakula mlungula ukawa unatetea sera mbovu za CCM ..!! Uliwakana wamasai ,ulitetea ulaji wa bandari

  • @jacksonsawe2301
    @jacksonsawe2301 2 дня назад +8

    Huyu ni mnafiki huko ccm atazungumza nini wakati siasa zake ni upinzani au atamuunga Mpina?

    • @jdanny497
      @jdanny497 День назад

      Njaa mbaya sana kwa kweli

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 День назад +1

    Hongera msigwa umeona mbali karibu ccm.kila ataekuja ccm ataambiwq njaa ila ukweli msigwa 🎉🎉🎉🎉🎉 wache waseme hao ulowaacha nyuma watakufata karibu

  • @DevidMarhias
    @DevidMarhias 2 дня назад +3

    Huyo alisha kuwa ccm siku nyingi na chadema walishalitabuaga siku mingi na Msigwa alisha elewa toka hapo kuwa kinacho fuata ni THANK YOU

    • @piumagoha
      @piumagoha 2 дня назад

      Kwa nn awakumfukuza mapema?

  • @neemamajana3078
    @neemamajana3078 2 дня назад +3

    Njaa itakupelekea kifo Mchungaji, huko ulikoelekea watakupoteza, na police asiwatafute.

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 2 дня назад +4

    CHADEMA NI KUBWA KULIKO MSIGWA.....WALIONDOKA AKINA HAYATI LOWASSA, MH. SUMAYE, MZEE SLAA, WAITARA NA WENGINE WAKATI WA HAYATI JPM....LAKINI CHADEMA KIKO IMARA!

    • @JohnValle-xn1dx
      @JohnValle-xn1dx 2 дня назад

      Umemusahau zito kabwe

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 2 дня назад

      ​@@JohnValle-xn1dx Chama ni watu kila mtu ni muhimu, lazima ukubali kuondoka yoyote ni pigo. Matusi hayafai.

  • @antonykpatricj2864
    @antonykpatricj2864 День назад

    Chadema ni mgodi wao.waende.sisi.tupo.sana ❤❤cadema

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b День назад

    asanteni sana CCM kwa kutudanganya wananchi tulio wengi tunaendelea na matatizo makubwa sana ya wanyonge Chama mapinduzi kina ondoa uhuru wetu vijijini kwa kusema watasmamia uchaguzi waserekali za mitaa je kama mnasema CCM inasimamia kwanini wenyeviti wasumbuliwe wakuu wa mikoa mpaka awa wakuu wanajaribu kuweka wenyeviti je. nauliza Samia ni haki je swala la kuwakimbiza wamasai ngorongoro iyo Bado unatarajia kuongoza Tanganyika tutafanya utafiti kubaini ata mkitetea serekali sisi walio wengi atuoni haki zetu atamkisema Chadema Chama chalikabila atukatai je sio Chama Cha udini naubepari

  • @EzekielChalomhola
    @EzekielChalomhola День назад

    Yan inadhihirisha huna hoja kabisa. Mpaka unakosa neno kasema yana unafikiria ktunga uwonngo uongo?? Da! Jaman wanasiasa wa Tanzania

  • @deograsiamgeni5716
    @deograsiamgeni5716 2 дня назад +2

    Njaa inawatesa watu jamani?

  • @emmanuelmathiasmpesa9396
    @emmanuelmathiasmpesa9396 2 дня назад +1

    Tunachezewa akili hapa mbona kama ni mipangphii🙆🏿‍♀️

  • @JonathanMatembo
    @JonathanMatembo 2 дня назад +1

    Msigwa pole sana kwa kuuza utu wako, kuuza heshima yako, chadema ndio imekupa umaalufu watu wakakujuwa,leo umekubali kuwasaliti wana iringa,umesahau watu wapo jela wengine ni walemavu wengine wamekufa kwajili yako,imeingia kweye mtego wa CCM, watanzania wamekuzalau sana,,umeshajiuwa kisiasa bola uachane na siasa maana umeshajiuwa mwenyewe.

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv День назад

    MUSIGWA amejimaliza kisiasa tamaa mbaya sana akina DEVDI kafulila walisha poteaga kwenye siasa nawwe ndio umeisha ivo

  • @barakambasile2651
    @barakambasile2651 День назад

    Mpaka happy mbowe hata sikia atabuda tuu kama vire hasikii agekua na maana nzuli na chama angejitoa kugombea tukaona kweli anamarengo mazuri na chama awapishe kinalisu

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds День назад

    Njaa zitakuua ukikosa CCM utahamia chama gani kingine

  • @user-hd6il8ni2f
    @user-hd6il8ni2f 2 дня назад

    Njaa hizi watabzani kweli wana kazi ya kujitambua zaidi

  • @frenktarimo4703
    @frenktarimo4703 2 дня назад +3

    Njaa mchungaji

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 День назад

    SHOGA LIMESHANUNULIWA NA ATAKUTANA NA WANAUME WAKUBWA WA KUMSHUGHULIKIA! 👀👀

  • @user-kz5en5tq2z
    @user-kz5en5tq2z День назад

    NGURUWE KURUDI MATOPENI NI KAWAIDA, NA MBWA KULAMBA MATAPISHI C SHIDA,
    ALIYOKANDIA ANASIFIA. NAA MBAYA...
    KANISANI UNGEKUWA ARC BISHOP UNGENENEPA. LKN SASA MBNG NA NCHI ZINAKUTATHIMU KWA UNAFIKI WAKO.
    JE UTAIKOSOA TENA CCM AMA UTAISIFIA? NAKUSBR.

  • @husseinjosephitocho6754
    @husseinjosephitocho6754 2 дня назад +1

    mda si mrefu tunasajili chuma cha maana mpina achana na hilo takataka liliroshindwa uwenyekiti wa chadema Kanda

  • @Worldunite
    @Worldunite День назад

    Kwa mapokezi hayaaa, lzm atapewa uwaziri huyu😂😂😂😂

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds День назад

    Huyu kamanda wetu kapatwa na nini jamani njaa imekuwa Kali kiasi kiasi hiki siamini eti mchungaji wanairinga tumtenge akigombea nafasi yoyote

  • @titongome3037
    @titongome3037 День назад

    Ameenda kuungana na namafisadi wenzake wa ccm

  • @issaidrisamusa5962
    @issaidrisamusa5962 2 дня назад +1

    Aiseeeh, sipotezi muda tena kuwasikiza wanasiasa . Yaani aliyesema nyekundu juzi Leo anasema nyeupe tena hadharani hivi. Hata mbowe sina Imani nae. Na nahisi wakina Mdee walipata baraka zote za viongozi wa chama

  • @ommymsangi9182
    @ommymsangi9182 День назад

    Mijuavyo mimi ulisha kisaliti chama tangu awamu ya 5 lkn ulibakishwa kama pandikizi lkn baada ya kuona kuwa wamekustukia na kukupiga chini kwa kura kanda ya Nyasa ndipo umeona uondoke.

  • @user-yo4mt8cv6w
    @user-yo4mt8cv6w 2 дня назад

    Umekosea huna msimamo kabisa kama kuna shida ungebako hapo kuipgania haki umeondka umekimbia matatizo hifai hatakuitwa mwanaume mwanaume hakimbii tatizo anakabiliana nalo kwa stail hii hufai kuwa hata mwenyekiti wa kijiji

  • @fadhilimoshi5754
    @fadhilimoshi5754 День назад

    Weee msigwa acha njaa huna hata aibu ulivyokuwa ukiwatukana? Na nyie ccm kwa kula matapishi hoyeee katu chadema haishuki

  • @AishaKafimbi
    @AishaKafimbi День назад

    Hii safi sana.

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 2 дня назад

    Msigwa kuhamia ccm ilikuwa swala la muda tu.. huyo ni mtu wa maslahi

  • @BavaBava-lz8vf
    @BavaBava-lz8vf День назад

    Ww mnafiki
    Uko uliko ndio sawa
    Huna lolote wanaharakat kama ww tunawafuta
    Ww na halima mdee mpo sawa pengine mpaka jinsia

  • @MonayLai
    @MonayLai 2 дня назад +1

    Yaani huyu mchungaji kituko kwa kweli, yaani kushindwa uchaguzi na Sugu ndio uhame! Sasa km ni ivyo si heri hata ungemrudia Mungu urudi kutumikia kanisa kuliko kuungana na wanyang'anyi 🥱

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 2 дня назад

      Nami namshangaa kutoka kwenye genge la majambazi aka CHAGADEMA na kujiunga na chama kilichojaa wezi,kweli huyu kashukiwa na roho mtakavitu

  • @user-hj4bc5uh2x
    @user-hj4bc5uh2x День назад

    Hiikazi kaifanya mboe nahii njia yanamnahii mbaya katikamafanikioyakweli kwenyenchi yetu ila ajendayamungu itatimia tuh

  • @user-xi2mf4xh7r
    @user-xi2mf4xh7r День назад

    Binafsi sioni kama kuna shida yeyote Msigwa kuondoka chadema na kuhamia ccm,kwani yeye msigwa nani ndani ya chadema,aliondoka Wilblod slaa,aliondoka Zitto kabwe,Waitara,cvd 19,na wengine wengi kwani chadema imekufa?Mh,Lowassa aliondoka Ccm kwani CCm ilikufa? Msigwa siyo zaidi ya chama na huyo walimstukia muda na ndio maana walimtupilia mbali kwenye uchaguzi kanda ya nyasa.kauza kibali kisichowezatolewa na mwanadamu isipokuwa Mungu peke yake.ngoja tusubiri hapo kwisha habariyake atajitahidi kuchonga maneno lakini yatakosa kibali kwa watu, (ati mchungaji anachunga nini mbuzi,au punda,wnyamapori,au anachunga ng'ombe? Ewe mgalatia ni nani aliyekuloga kuanza kwa Roho na kukamilishwa kwa mwili?

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p 2 дня назад

    Watu wanatazama kwenye sura ya mtu na vyama tunatakiwa tuangalie ndani zaidi k.v. familia, shule, jkt,n.k.

  • @abdallahrunwa1886
    @abdallahrunwa1886 День назад

    Kwa mawazo hayo ukko swa kabisa wale wanao kutupia lawama nao nikutokujua tu hakuna chama halali kinachowanyima wanacha wake kukosolewa ukweli ni chadema tu...!mchungaji usiwe na hofu karibu nyumbani umeongozwa na roho ya ya Bwana asikutishe mtu wewe ndiyo mzarendo wa kweli umeyaona maendeleo yanayoletwa na CCM huu ndiyo ukweli...!

  • @Danielmathayo-hj8ek
    @Danielmathayo-hj8ek День назад

    Karibu ccm.

  • @lilyjones3584
    @lilyjones3584 2 дня назад

    Hizi ndiyo zile tabia za kimalaya malaya alizosema mwalimu! Kwenye Nchi za wenzetu, hatusikii leo mtu yupo Democrat halafu kesho Republican! Au leo yupo Conservative halafu kesho yupo Labour!!! Siasa zetu ni za kushibisha matumbo. Uso umeumbwa na haya! 😢

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 2 дня назад +2

    Mnashangaa nini mbowe mwenyewe analipwa na CCM amelamba asali kwa kifupi upinzani wote Tanzania kwa sasa ni wapambe wa CCM. Lakini ukweli ni kwamba ili mladi vyama vingi vipo CCM haiwezi kutawala milele labda waache ufisadi na hilo sio rahisi.

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 18 часов назад

      Analipwa sh.ngapi,acha uongo siyo vizuri kutoa shutuma za uongo

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 10 часов назад

      @@FridayMwassa Mbowe ni mpambe wa Mama Samia kwa sababu Mbowe anajua hana mvuto wa kuchaguliwa kuwa Rais sasa hivi na yeye anakula keki. Mbowe hana hela ya kukodi helicopter analipiwa na mama Samia. Mbowe ni mfanya biashara ya siasa sio kiongozi wa siasa. Chadema chini wa wenyekiti wa Mbowe wamegombea uraisi mara nne wameshindwa zote kwa nini bado anashika hiyo nafasi? Jibu maslahi binafsi.

  • @realswahilicultural8140
    @realswahilicultural8140 2 дня назад

    Mbowe aachie uenyekiti chama kinanfiaa😢😢

  • @jumannentimizi9000
    @jumannentimizi9000 2 дня назад +2

    HUYU NI MJINGA MMOJA AMEKOSA CHEO AMEKIMBIA ACHENI AENDE ZAKE HUYU YUPO TAYARI KUWAUZA WANANCHI WAKE NENDA ZAKO HAUTASUMBUA AKILI ZA WATU

    • @lilyjones3584
      @lilyjones3584 2 дня назад

      Huyu jamaa yupo tayari hata kuuza watoto wake kwa uroho wa ubunge 😢

  • @user-xl4io3or7r
    @user-xl4io3or7r 2 дня назад +1

    Ni haki yake. Tusimkejeli hata wewe ipo siku utahama Kama alivyohama. Siasa Haina usingizi. Kahama chama lakini bado ni mtanzania.

  • @user-wu2du6jy5c
    @user-wu2du6jy5c День назад

    Usmchagulie mtazamo wake kwani cdm chama Cha maraika

  • @maimunaahmed3477
    @maimunaahmed3477 2 дня назад +2

    Nimechukia siasa siasa ni unafiki.

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja8342 День назад

    Aishiwa na Sera.njaaa

  • @rahmaramadhan2825
    @rahmaramadhan2825 2 дня назад

    Km ni mwema acha ajenge nchi kwani tz ni mmoja kajiona anastahiri ukmbn sio chmbn

  • @frankbutati8343
    @frankbutati8343 2 дня назад

    Mungu akutangulie huko uendako

  • @omarinyahegs4539
    @omarinyahegs4539 2 дня назад +1

    Uchaguzi sio muda mbona hivyo tena

  • @user-ev5xw1ev6f
    @user-ev5xw1ev6f 2 дня назад

    Tanzania hakuna wapinzani wote waroho wa madaraka mbowe amekuwa mwenyekiti Zaid 20 lakin bado wanasema wanadai katiba mpya pia wale Kaz yao wapo kwa maslahi kile chama ni Sacco's ya watu ndo maana kinawalinda watu kaskazini kwa hiyo wee Kama unaipenda chadema pole as tumeelimika na ndo maana hatumuwazii mbowe Wala nan maana ni njaa ndo inamfanya apige kelele

  • @petermwanyondo5370
    @petermwanyondo5370 День назад

    Wakina zitto dokter slaa ndowalijuwa umpinza hata wakihama seem unajuwa pigo wengne kanjanja two

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e День назад

    Ulipaswa usmame na chama chako na kuleta mabadiliko unayoyataka. Pili kwann uliposhindwa uenyekit wa kanda ndipo uhame

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso 2 дня назад +4

    Chama yanga msigwa ccm hawa wote wamechoka hawana maajabu tena

  • @user-yo7sj8fs4h
    @user-yo7sj8fs4h 2 дня назад

    Baada ya kukosa uongozi wa Nyasa.
    Hii unaonyesha ni uchu wa madaraka.
    Chawa mmoja na nusu
    Da mpaka kusifia ya Kula na kipofu anajua.

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk 2 дня назад +3

    Hiyo rang na wazee hao ni uchuro

  • @aarona.midende1789
    @aarona.midende1789 День назад

    Siasa ovyaa yaan mtu anakuwjizima data kabisaaa

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 2 дня назад

    Bado COVID nao wapo njia moja ili kulipa walio wafadhili kuingia bungeni kinyume na katiba

  • @EdwardUrassa-xc6gz
    @EdwardUrassa-xc6gz 2 дня назад +1

    Njaa

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 2 дня назад

    Hivi hicho chama ulichokwenda ndio kuna hiyo haki na kujali wananchi na rasilimali za nchi ?

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2ps 2 дня назад

    Kama mchungaji kadhurumiwa je akina mnyika watadumu humo

  • @FashoKibona
    @FashoKibona 2 дня назад

    Njaa mbaya sana.

  • @aronimanirakiza5655
    @aronimanirakiza5655 2 дня назад

    Musigwa. Gani. Aibu. Uko a Konami?

  • @Agath45
    @Agath45 День назад

    Mmmmh haya bwana

  • @silvaj3155
    @silvaj3155 2 дня назад +2

    Good job mh Makala

  • @OmariVesso
    @OmariVesso День назад

    Njaa hz jau

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u 2 дня назад

    Naamini wewe umehamia ccm baada ya kukosa ushindi wa uenyekiti wa kanda

  • @user-oq6zh4tg3u
    @user-oq6zh4tg3u День назад

    Wakiwa upande huu ni wahuni wakija kwenu mnawashangilia na kuwafanyia sherehe wahuni hao hao

  • @nashirkamugisha9425
    @nashirkamugisha9425 2 дня назад +1

    Mtu makini katoka kwenye chama cha wahuni kaenda chama walau chenye mwanga

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward День назад

      Siku zote nyumba ilikuwa moja. Kahama chumba tu. Ila watazamaji tulijua msigwa anaishi nyumba tofauti.

  • @ellenirelli4912
    @ellenirelli4912 День назад

    Kaa kmy kaka

  • @AugustinoSambala
    @AugustinoSambala День назад

    Mnyalukolo una nzala sana be unene Bado ndisikwelewa ndaa

  • @leonardalphonce8924
    @leonardalphonce8924 2 дня назад

    Njaa zimekupeleka huko unajua sahiz upigaji uko kashirikiane kuiba huko

  • @danielndam5997
    @danielndam5997 2 дня назад

    Jamaa anakula bila kunawa ameenda kwawenzie

  • @markoshem-ij6cf
    @markoshem-ij6cf 2 дня назад +1

    Mwehuu huyo

  • @yonazimpombe1160
    @yonazimpombe1160 15 часов назад

    MBOWE UMEZIDI ,,,,,,,, achia ngazi waru tujiunge chadema

  • @titusmulokoz7809
    @titusmulokoz7809 2 дня назад

    Njaa mbaya.

  • @YohanaMwakaje
    @YohanaMwakaje 2 дня назад

    Yuda yuda yuda usitoe mpaka zavhumban prise

  • @user-princs
    @user-princs 2 дня назад

    Point tujenge nci na sio chama

  • @barakambasile2651
    @barakambasile2651 День назад

    Kira mwanachadema atafakali uongozi was chadema je inwamilele au hakuna mwingine cadema mwenye akili kuliko mbowe kuwa mwenyekiti was chama happy ndoo naiona chadema kushuka kisiasa tulimweshimu mbowe rakini Sasa iiii

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 2 дня назад

    Miradi ipi acha unafiki wewe ,anakopa kwa kukopa na bado utendaji mbovu wizi mwingi na matumizi mabaya ya rasilimali za nchi.

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 День назад

    CCM FEKI MMEKWISHA KIFO CHA MENDE CHALII

  • @YustoMlay-cv4zb
    @YustoMlay-cv4zb 2 дня назад +1

    Vichwa vyote vinaenda CCM chadema Keisha kabisa

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward День назад

      Ni namna ya kutawalana, tuna chama kimoja mengine ni matawi. Tafakari

  • @joshua-w5p
    @joshua-w5p 2 дня назад

    Shida ya njaa kuamia kichwani iyoo

  • @FrankKajwaula
    @FrankKajwaula День назад

    HAYO BAADA YA KUPIGWA CHINI NA SUGU

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z 2 дня назад

    Karibu saana msigwa bado na wengine

  • @FrankKajwaula
    @FrankKajwaula День назад

    HAYO BAADA YA KUPIGWA CHINI NA SUGU 7:20

  • @antonykpatricj2864
    @antonykpatricj2864 День назад

    Maneno sio dawa ututoi. Kweye reli

  • @OswaldMwakalinga-jr4fd
    @OswaldMwakalinga-jr4fd День назад

    Msigwa hiyo ni njaaa wenzio tumezoea wewe ni sokaliote

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 День назад

    #NONSENSE, mchungaji feki wa mchongo

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8d День назад

    Kwa iyo una maanisha ccm ni safi? Mpuuzi wewe mwenye uchu wa madaraka, uliyeshindwa uchaguzi na watu walikustukia. Lilikuwa swala la muda tu na ungekuwa mwenyekiti wa nyasa si ungeliuza majimbo wewe?

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 2 дня назад

    Kazi nzuri kaka

  • @FranksonMkumbwa-mb3pp
    @FranksonMkumbwa-mb3pp 2 дня назад

    😂😂😂😂njaaa inakutesa na uroho wa madaraka

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 2 дня назад

    Ukubali usikubali CCM raha tu

  • @user-gy5gu1mn4x
    @user-gy5gu1mn4x 2 дня назад

    ✌️💯💯💯💯

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 День назад

    CCM FEKI GENGE LA WAHUNI

  • @user-rv2ht5vm5k
    @user-rv2ht5vm5k День назад

    Mibaba mizima Amna hata aibu

  • @YahyaNassor-p4d
    @YahyaNassor-p4d 2 дня назад

    Msigwa oyee nakuponge

  • @SaidiSelemani-l1n
    @SaidiSelemani-l1n День назад

    Ww kicha

  • @jseventz
    @jseventz День назад

    nyerere alishamaliza