CHADEMA NI KUBWA KULIKO MSIGWA.....WALIONDOKA AKINA HAYATI LOWASSA, MH. SUMAYE, MZEE SLAA, WAITARA NA WENGINE WAKATI WA HAYATI JPM....LAKINI CHADEMA KIKO IMARA!
asanteni sana CCM kwa kutudanganya wananchi tulio wengi tunaendelea na matatizo makubwa sana ya wanyonge Chama mapinduzi kina ondoa uhuru wetu vijijini kwa kusema watasmamia uchaguzi waserekali za mitaa je kama mnasema CCM inasimamia kwanini wenyeviti wasumbuliwe wakuu wa mikoa mpaka awa wakuu wanajaribu kuweka wenyeviti je. nauliza Samia ni haki je swala la kuwakimbiza wamasai ngorongoro iyo Bado unatarajia kuongoza Tanganyika tutafanya utafiti kubaini ata mkitetea serekali sisi walio wengi atuoni haki zetu atamkisema Chadema Chama chalikabila atukatai je sio Chama Cha udini naubepari
Msigwa pole sana kwa kuuza utu wako, kuuza heshima yako, chadema ndio imekupa umaalufu watu wakakujuwa,leo umekubali kuwasaliti wana iringa,umesahau watu wapo jela wengine ni walemavu wengine wamekufa kwajili yako,imeingia kweye mtego wa CCM, watanzania wamekuzalau sana,,umeshajiuwa kisiasa bola uachane na siasa maana umeshajiuwa mwenyewe.
Mpaka happy mbowe hata sikia atabuda tuu kama vire hasikii agekua na maana nzuli na chama angejitoa kugombea tukaona kweli anamarengo mazuri na chama awapishe kinalisu
NGURUWE KURUDI MATOPENI NI KAWAIDA, NA MBWA KULAMBA MATAPISHI C SHIDA, ALIYOKANDIA ANASIFIA. NAA MBAYA... KANISANI UNGEKUWA ARC BISHOP UNGENENEPA. LKN SASA MBNG NA NCHI ZINAKUTATHIMU KWA UNAFIKI WAKO. JE UTAIKOSOA TENA CCM AMA UTAISIFIA? NAKUSBR.
Aiseeeh, sipotezi muda tena kuwasikiza wanasiasa . Yaani aliyesema nyekundu juzi Leo anasema nyeupe tena hadharani hivi. Hata mbowe sina Imani nae. Na nahisi wakina Mdee walipata baraka zote za viongozi wa chama
Mijuavyo mimi ulisha kisaliti chama tangu awamu ya 5 lkn ulibakishwa kama pandikizi lkn baada ya kuona kuwa wamekustukia na kukupiga chini kwa kura kanda ya Nyasa ndipo umeona uondoke.
Umekosea huna msimamo kabisa kama kuna shida ungebako hapo kuipgania haki umeondka umekimbia matatizo hifai hatakuitwa mwanaume mwanaume hakimbii tatizo anakabiliana nalo kwa stail hii hufai kuwa hata mwenyekiti wa kijiji
Yaani huyu mchungaji kituko kwa kweli, yaani kushindwa uchaguzi na Sugu ndio uhame! Sasa km ni ivyo si heri hata ungemrudia Mungu urudi kutumikia kanisa kuliko kuungana na wanyang'anyi 🥱
Binafsi sioni kama kuna shida yeyote Msigwa kuondoka chadema na kuhamia ccm,kwani yeye msigwa nani ndani ya chadema,aliondoka Wilblod slaa,aliondoka Zitto kabwe,Waitara,cvd 19,na wengine wengi kwani chadema imekufa?Mh,Lowassa aliondoka Ccm kwani CCm ilikufa? Msigwa siyo zaidi ya chama na huyo walimstukia muda na ndio maana walimtupilia mbali kwenye uchaguzi kanda ya nyasa.kauza kibali kisichowezatolewa na mwanadamu isipokuwa Mungu peke yake.ngoja tusubiri hapo kwisha habariyake atajitahidi kuchonga maneno lakini yatakosa kibali kwa watu, (ati mchungaji anachunga nini mbuzi,au punda,wnyamapori,au anachunga ng'ombe? Ewe mgalatia ni nani aliyekuloga kuanza kwa Roho na kukamilishwa kwa mwili?
Kwa mawazo hayo ukko swa kabisa wale wanao kutupia lawama nao nikutokujua tu hakuna chama halali kinachowanyima wanacha wake kukosolewa ukweli ni chadema tu...!mchungaji usiwe na hofu karibu nyumbani umeongozwa na roho ya ya Bwana asikutishe mtu wewe ndiyo mzarendo wa kweli umeyaona maendeleo yanayoletwa na CCM huu ndiyo ukweli...!
Hizi ndiyo zile tabia za kimalaya malaya alizosema mwalimu! Kwenye Nchi za wenzetu, hatusikii leo mtu yupo Democrat halafu kesho Republican! Au leo yupo Conservative halafu kesho yupo Labour!!! Siasa zetu ni za kushibisha matumbo. Uso umeumbwa na haya! 😢
Mnashangaa nini mbowe mwenyewe analipwa na CCM amelamba asali kwa kifupi upinzani wote Tanzania kwa sasa ni wapambe wa CCM. Lakini ukweli ni kwamba ili mladi vyama vingi vipo CCM haiwezi kutawala milele labda waache ufisadi na hilo sio rahisi.
@@FridayMwassa Mbowe ni mpambe wa Mama Samia kwa sababu Mbowe anajua hana mvuto wa kuchaguliwa kuwa Rais sasa hivi na yeye anakula keki. Mbowe hana hela ya kukodi helicopter analipiwa na mama Samia. Mbowe ni mfanya biashara ya siasa sio kiongozi wa siasa. Chadema chini wa wenyekiti wa Mbowe wamegombea uraisi mara nne wameshindwa zote kwa nini bado anashika hiyo nafasi? Jibu maslahi binafsi.
Tanzania hakuna wapinzani wote waroho wa madaraka mbowe amekuwa mwenyekiti Zaid 20 lakin bado wanasema wanadai katiba mpya pia wale Kaz yao wapo kwa maslahi kile chama ni Sacco's ya watu ndo maana kinawalinda watu kaskazini kwa hiyo wee Kama unaipenda chadema pole as tumeelimika na ndo maana hatumuwazii mbowe Wala nan maana ni njaa ndo inamfanya apige kelele
Kira mwanachadema atafakali uongozi was chadema je inwamilele au hakuna mwingine cadema mwenye akili kuliko mbowe kuwa mwenyekiti was chama happy ndoo naiona chadema kushuka kisiasa tulimweshimu mbowe rakini Sasa iiii
Kwa iyo una maanisha ccm ni safi? Mpuuzi wewe mwenye uchu wa madaraka, uliyeshindwa uchaguzi na watu walikustukia. Lilikuwa swala la muda tu na ungekuwa mwenyekiti wa nyasa si ungeliuza majimbo wewe?
NJJAA ZA NAMNA HII NI MBAYA SANA WATU WASHAUAWA SABABU YENU HALAFU LEO MNAWASALITI HAIPENDEZI
Hakuna Mchungaji mnafiki kama huyu
Kukosa uongozi tu umehama chama,yaani ni ubinafsi tu unamsukuma.
Kumbe wa Tanzania niwamoja kumbe hata Tundu lisu anaweza kuwa mwana chama wa CCM
Wewe ulishakula mlungula ukawa unatetea sera mbovu za CCM ..!! Uliwakana wamasai ,ulitetea ulaji wa bandari
Kabisa mnafiki mzandiki huyo
😊@@leokamil6284
Huyu ni mnafiki huko ccm atazungumza nini wakati siasa zake ni upinzani au atamuunga Mpina?
Njaa mbaya sana kwa kweli
Hongera msigwa umeona mbali karibu ccm.kila ataekuja ccm ataambiwq njaa ila ukweli msigwa 🎉🎉🎉🎉🎉 wache waseme hao ulowaacha nyuma watakufata karibu
Huyo alisha kuwa ccm siku nyingi na chadema walishalitabuaga siku mingi na Msigwa alisha elewa toka hapo kuwa kinacho fuata ni THANK YOU
Kwa nn awakumfukuza mapema?
Njaa itakupelekea kifo Mchungaji, huko ulikoelekea watakupoteza, na police asiwatafute.
CHADEMA NI KUBWA KULIKO MSIGWA.....WALIONDOKA AKINA HAYATI LOWASSA, MH. SUMAYE, MZEE SLAA, WAITARA NA WENGINE WAKATI WA HAYATI JPM....LAKINI CHADEMA KIKO IMARA!
Umemusahau zito kabwe
@@JohnValle-xn1dx Chama ni watu kila mtu ni muhimu, lazima ukubali kuondoka yoyote ni pigo. Matusi hayafai.
Chadema ni mgodi wao.waende.sisi.tupo.sana ❤❤cadema
asanteni sana CCM kwa kutudanganya wananchi tulio wengi tunaendelea na matatizo makubwa sana ya wanyonge Chama mapinduzi kina ondoa uhuru wetu vijijini kwa kusema watasmamia uchaguzi waserekali za mitaa je kama mnasema CCM inasimamia kwanini wenyeviti wasumbuliwe wakuu wa mikoa mpaka awa wakuu wanajaribu kuweka wenyeviti je. nauliza Samia ni haki je swala la kuwakimbiza wamasai ngorongoro iyo Bado unatarajia kuongoza Tanganyika tutafanya utafiti kubaini ata mkitetea serekali sisi walio wengi atuoni haki zetu atamkisema Chadema Chama chalikabila atukatai je sio Chama Cha udini naubepari
Yan inadhihirisha huna hoja kabisa. Mpaka unakosa neno kasema yana unafikiria ktunga uwonngo uongo?? Da! Jaman wanasiasa wa Tanzania
Njaa inawatesa watu jamani?
Tunachezewa akili hapa mbona kama ni mipangphii🙆🏿♀️
Msigwa pole sana kwa kuuza utu wako, kuuza heshima yako, chadema ndio imekupa umaalufu watu wakakujuwa,leo umekubali kuwasaliti wana iringa,umesahau watu wapo jela wengine ni walemavu wengine wamekufa kwajili yako,imeingia kweye mtego wa CCM, watanzania wamekuzalau sana,,umeshajiuwa kisiasa bola uachane na siasa maana umeshajiuwa mwenyewe.
Sasa unalia nini?
MUSIGWA amejimaliza kisiasa tamaa mbaya sana akina DEVDI kafulila walisha poteaga kwenye siasa nawwe ndio umeisha ivo
Mpaka happy mbowe hata sikia atabuda tuu kama vire hasikii agekua na maana nzuli na chama angejitoa kugombea tukaona kweli anamarengo mazuri na chama awapishe kinalisu
Njaa zitakuua ukikosa CCM utahamia chama gani kingine
Njaa hizi watabzani kweli wana kazi ya kujitambua zaidi
Njaa mchungaji
SHOGA LIMESHANUNULIWA NA ATAKUTANA NA WANAUME WAKUBWA WA KUMSHUGHULIKIA! 👀👀
NGURUWE KURUDI MATOPENI NI KAWAIDA, NA MBWA KULAMBA MATAPISHI C SHIDA,
ALIYOKANDIA ANASIFIA. NAA MBAYA...
KANISANI UNGEKUWA ARC BISHOP UNGENENEPA. LKN SASA MBNG NA NCHI ZINAKUTATHIMU KWA UNAFIKI WAKO.
JE UTAIKOSOA TENA CCM AMA UTAISIFIA? NAKUSBR.
mda si mrefu tunasajili chuma cha maana mpina achana na hilo takataka liliroshindwa uwenyekiti wa chadema Kanda
Kwa mapokezi hayaaa, lzm atapewa uwaziri huyu😂😂😂😂
Huyu kamanda wetu kapatwa na nini jamani njaa imekuwa Kali kiasi kiasi hiki siamini eti mchungaji wanairinga tumtenge akigombea nafasi yoyote
Ameenda kuungana na namafisadi wenzake wa ccm
Aiseeeh, sipotezi muda tena kuwasikiza wanasiasa . Yaani aliyesema nyekundu juzi Leo anasema nyeupe tena hadharani hivi. Hata mbowe sina Imani nae. Na nahisi wakina Mdee walipata baraka zote za viongozi wa chama
Usikate tamaa acha uoga
Mijuavyo mimi ulisha kisaliti chama tangu awamu ya 5 lkn ulibakishwa kama pandikizi lkn baada ya kuona kuwa wamekustukia na kukupiga chini kwa kura kanda ya Nyasa ndipo umeona uondoke.
Umekosea huna msimamo kabisa kama kuna shida ungebako hapo kuipgania haki umeondka umekimbia matatizo hifai hatakuitwa mwanaume mwanaume hakimbii tatizo anakabiliana nalo kwa stail hii hufai kuwa hata mwenyekiti wa kijiji
Weee msigwa acha njaa huna hata aibu ulivyokuwa ukiwatukana? Na nyie ccm kwa kula matapishi hoyeee katu chadema haishuki
Hii safi sana.
Msigwa kuhamia ccm ilikuwa swala la muda tu.. huyo ni mtu wa maslahi
Ww mnafiki
Uko uliko ndio sawa
Huna lolote wanaharakat kama ww tunawafuta
Ww na halima mdee mpo sawa pengine mpaka jinsia
Yaani huyu mchungaji kituko kwa kweli, yaani kushindwa uchaguzi na Sugu ndio uhame! Sasa km ni ivyo si heri hata ungemrudia Mungu urudi kutumikia kanisa kuliko kuungana na wanyang'anyi 🥱
Nami namshangaa kutoka kwenye genge la majambazi aka CHAGADEMA na kujiunga na chama kilichojaa wezi,kweli huyu kashukiwa na roho mtakavitu
Hiikazi kaifanya mboe nahii njia yanamnahii mbaya katikamafanikioyakweli kwenyenchi yetu ila ajendayamungu itatimia tuh
Binafsi sioni kama kuna shida yeyote Msigwa kuondoka chadema na kuhamia ccm,kwani yeye msigwa nani ndani ya chadema,aliondoka Wilblod slaa,aliondoka Zitto kabwe,Waitara,cvd 19,na wengine wengi kwani chadema imekufa?Mh,Lowassa aliondoka Ccm kwani CCm ilikufa? Msigwa siyo zaidi ya chama na huyo walimstukia muda na ndio maana walimtupilia mbali kwenye uchaguzi kanda ya nyasa.kauza kibali kisichowezatolewa na mwanadamu isipokuwa Mungu peke yake.ngoja tusubiri hapo kwisha habariyake atajitahidi kuchonga maneno lakini yatakosa kibali kwa watu, (ati mchungaji anachunga nini mbuzi,au punda,wnyamapori,au anachunga ng'ombe? Ewe mgalatia ni nani aliyekuloga kuanza kwa Roho na kukamilishwa kwa mwili?
Watu wanatazama kwenye sura ya mtu na vyama tunatakiwa tuangalie ndani zaidi k.v. familia, shule, jkt,n.k.
Kwa mawazo hayo ukko swa kabisa wale wanao kutupia lawama nao nikutokujua tu hakuna chama halali kinachowanyima wanacha wake kukosolewa ukweli ni chadema tu...!mchungaji usiwe na hofu karibu nyumbani umeongozwa na roho ya ya Bwana asikutishe mtu wewe ndiyo mzarendo wa kweli umeyaona maendeleo yanayoletwa na CCM huu ndiyo ukweli...!
Karibu ccm.
Hizi ndiyo zile tabia za kimalaya malaya alizosema mwalimu! Kwenye Nchi za wenzetu, hatusikii leo mtu yupo Democrat halafu kesho Republican! Au leo yupo Conservative halafu kesho yupo Labour!!! Siasa zetu ni za kushibisha matumbo. Uso umeumbwa na haya! 😢
Mnashangaa nini mbowe mwenyewe analipwa na CCM amelamba asali kwa kifupi upinzani wote Tanzania kwa sasa ni wapambe wa CCM. Lakini ukweli ni kwamba ili mladi vyama vingi vipo CCM haiwezi kutawala milele labda waache ufisadi na hilo sio rahisi.
Analipwa sh.ngapi,acha uongo siyo vizuri kutoa shutuma za uongo
@@FridayMwassa Mbowe ni mpambe wa Mama Samia kwa sababu Mbowe anajua hana mvuto wa kuchaguliwa kuwa Rais sasa hivi na yeye anakula keki. Mbowe hana hela ya kukodi helicopter analipiwa na mama Samia. Mbowe ni mfanya biashara ya siasa sio kiongozi wa siasa. Chadema chini wa wenyekiti wa Mbowe wamegombea uraisi mara nne wameshindwa zote kwa nini bado anashika hiyo nafasi? Jibu maslahi binafsi.
Mbowe aachie uenyekiti chama kinanfiaa😢😢
HUYU NI MJINGA MMOJA AMEKOSA CHEO AMEKIMBIA ACHENI AENDE ZAKE HUYU YUPO TAYARI KUWAUZA WANANCHI WAKE NENDA ZAKO HAUTASUMBUA AKILI ZA WATU
Huyu jamaa yupo tayari hata kuuza watoto wake kwa uroho wa ubunge 😢
Ni haki yake. Tusimkejeli hata wewe ipo siku utahama Kama alivyohama. Siasa Haina usingizi. Kahama chama lakini bado ni mtanzania.
Good comment
Usmchagulie mtazamo wake kwani cdm chama Cha maraika
Nimechukia siasa siasa ni unafiki.
Ndio unalijua leo mbona kama umechelewa sana
Aishiwa na Sera.njaaa
Km ni mwema acha ajenge nchi kwani tz ni mmoja kajiona anastahiri ukmbn sio chmbn
Mungu akutangulie huko uendako
Uchaguzi sio muda mbona hivyo tena
Tanzania hakuna wapinzani wote waroho wa madaraka mbowe amekuwa mwenyekiti Zaid 20 lakin bado wanasema wanadai katiba mpya pia wale Kaz yao wapo kwa maslahi kile chama ni Sacco's ya watu ndo maana kinawalinda watu kaskazini kwa hiyo wee Kama unaipenda chadema pole as tumeelimika na ndo maana hatumuwazii mbowe Wala nan maana ni njaa ndo inamfanya apige kelele
Wakina zitto dokter slaa ndowalijuwa umpinza hata wakihama seem unajuwa pigo wengne kanjanja two
Ulipaswa usmame na chama chako na kuleta mabadiliko unayoyataka. Pili kwann uliposhindwa uenyekit wa kanda ndipo uhame
Chama yanga msigwa ccm hawa wote wamechoka hawana maajabu tena
Baada ya kukosa uongozi wa Nyasa.
Hii unaonyesha ni uchu wa madaraka.
Chawa mmoja na nusu
Da mpaka kusifia ya Kula na kipofu anajua.
Hiyo rang na wazee hao ni uchuro
Siasa ovyaa yaan mtu anakuwjizima data kabisaaa
Bado COVID nao wapo njia moja ili kulipa walio wafadhili kuingia bungeni kinyume na katiba
Njaa
Hivi hicho chama ulichokwenda ndio kuna hiyo haki na kujali wananchi na rasilimali za nchi ?
Kama mchungaji kadhurumiwa je akina mnyika watadumu humo
Njaa mbaya sana.
Musigwa. Gani. Aibu. Uko a Konami?
Mmmmh haya bwana
Good job mh Makala
Njaa hz jau
Naamini wewe umehamia ccm baada ya kukosa ushindi wa uenyekiti wa kanda
Wakiwa upande huu ni wahuni wakija kwenu mnawashangilia na kuwafanyia sherehe wahuni hao hao
Mtu makini katoka kwenye chama cha wahuni kaenda chama walau chenye mwanga
Siku zote nyumba ilikuwa moja. Kahama chumba tu. Ila watazamaji tulijua msigwa anaishi nyumba tofauti.
Kaa kmy kaka
Mnyalukolo una nzala sana be unene Bado ndisikwelewa ndaa
Njaa zimekupeleka huko unajua sahiz upigaji uko kashirikiane kuiba huko
Jamaa anakula bila kunawa ameenda kwawenzie
Mwehuu huyo
MBOWE UMEZIDI ,,,,,,,, achia ngazi waru tujiunge chadema
Njaa mbaya.
Yuda yuda yuda usitoe mpaka zavhumban prise
Point tujenge nci na sio chama
Kira mwanachadema atafakali uongozi was chadema je inwamilele au hakuna mwingine cadema mwenye akili kuliko mbowe kuwa mwenyekiti was chama happy ndoo naiona chadema kushuka kisiasa tulimweshimu mbowe rakini Sasa iiii
Miradi ipi acha unafiki wewe ,anakopa kwa kukopa na bado utendaji mbovu wizi mwingi na matumizi mabaya ya rasilimali za nchi.
CCM FEKI MMEKWISHA KIFO CHA MENDE CHALII
Vichwa vyote vinaenda CCM chadema Keisha kabisa
Ni namna ya kutawalana, tuna chama kimoja mengine ni matawi. Tafakari
Shida ya njaa kuamia kichwani iyoo
HAYO BAADA YA KUPIGWA CHINI NA SUGU
Karibu saana msigwa bado na wengine
HAYO BAADA YA KUPIGWA CHINI NA SUGU 7:20
Maneno sio dawa ututoi. Kweye reli
Msigwa hiyo ni njaaa wenzio tumezoea wewe ni sokaliote
#NONSENSE, mchungaji feki wa mchongo
Kwa iyo una maanisha ccm ni safi? Mpuuzi wewe mwenye uchu wa madaraka, uliyeshindwa uchaguzi na watu walikustukia. Lilikuwa swala la muda tu na ungekuwa mwenyekiti wa nyasa si ungeliuza majimbo wewe?
Kazi nzuri kaka
😂😂😂😂njaaa inakutesa na uroho wa madaraka
Ukubali usikubali CCM raha tu
✌️💯💯💯💯
CCM FEKI GENGE LA WAHUNI
Mibaba mizima Amna hata aibu
Msigwa oyee nakuponge
Ww kicha
nyerere alishamaliza