PART 3: Learn How to Ride a Motorcycle // Boxer 150 //Jifunze Kuendesha Pikipiki //TVS Motorcycle

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 сен 2024
  • ‪@EzekielTv49‬

Комментарии • 27

  • @tumainikaduma4107
    @tumainikaduma4107 Месяц назад

    We mbwaaa me ndo nkuweka mjini by p

  • @syombuamuumbi6472
    @syombuamuumbi6472 2 дня назад

    From kenya... Nashukuru sana

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  2 дня назад

      Asante sana..
      Support yako kusubscribe

  • @user-cd1rl9eb3p
    @user-cd1rl9eb3p 22 дня назад

    Umetisha sna broo

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  22 дня назад

      Support yako kusubscribe na kushare kaka

  • @Emma300b
    @Emma300b 19 дней назад

    Bro uko vizuri. Nilifutalia siku moja juu na nikaendesha. Ila sasa naomba namna ya kuwasha indicator ukiwa barabarani . Mimi sipend kuendesha kwa speed sana . Tambarare natumia gia namba 3 . Mlimani namba 1 na 2. Vp iko sawa

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  19 дней назад

      Upo sawa kabisa kaka,,,ila kwenye tambarare unaweza ukamaliza gear zote na ukawa kwenye speed ya kawaida tu

  • @linusalisen991
    @linusalisen991 26 дней назад +2

    Boi naomba kujua kazi ya kila gear na kwa muda sahihi kwa mfano tunajua gear namba 1 ndio ya kuanzia Safar

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  26 дней назад

      Support yako kusubscribe na kushare...
      Gear number 1 ni kuondokea lakini pia gear namba moja na mbili ni gear za kutumia kwenye mazingira sumbufu kama mlima,mchanga mwingi na matope kwa sababu ndo gear zenye nguvu kwenye mazingira kama hayo,,,,gear namba 3 hadi tano ni gear za high speed kulingana na mtirirko wake,,,hivi karibuni nitaleta video ya kuonyesha kutoka gear moja kwenda nyingine inahitaji dakika ngapi mpaka kubadili gear kwenda inayofata

    • @linusalisen991
      @linusalisen991 22 дня назад

      @@EzekielTv49 nimekuelewa mkuu unafanya content nzuli keep it up

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  22 дня назад

      @@linusalisen991 Support yako kusubscribe na kushare 🙏

  • @Sucar-ft2cs
    @Sucar-ft2cs Месяц назад +1

    Imekaa poa

  • @ShaniaJumison-g1n
    @ShaniaJumison-g1n Месяц назад

    Noma sana

  • @RehemaKunchela
    @RehemaKunchela Месяц назад +1

  • @user-my9ou6ns8w
    @user-my9ou6ns8w Месяц назад

    I have been looking for such tutorials

  • @eginoefrem2516
    @eginoefrem2516 Месяц назад

    🙌👍

  • @CarolinePaul-q7z
    @CarolinePaul-q7z Месяц назад

    Hey

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 Месяц назад

    Videos zinazofata tueleze ni mazingira gani unapaswa kutumia hizo gear no 1,2,3,4,5 na N
    Pia jinsi ya kukata kona

  • @surveyor_dk
    @surveyor_dk Месяц назад

    Hii chuma ni bei gani?

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  Месяц назад +1

      Mkoa nilipo mimi ni 3,500,000,,,bei zinatofautiana kulingana na mkoa,,,ukiwa karibu na Dar nadhani bei inaweza pungua zaidi

    • @surveyor_dk
      @surveyor_dk Месяц назад

      @@EzekielTv49 Me nipo Singida

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  Месяц назад +1

      Sijajua pande hizo inaweza kuwa sh ngapi lakini ni zaidi ya million 3 sababu Dar mpaka singida ni mbali pia​@@surveyor_dk

    • @surveyor_dk
      @surveyor_dk Месяц назад

      @@EzekielTv49 poa poa

    • @cypriankioko
      @cypriankioko Месяц назад

      ATI 3.5m😂​@@EzekielTv49

  • @user-my9ou6ns8w
    @user-my9ou6ns8w Месяц назад

    Kindly with due respect ma Swahili ain't good,mix some English if you don't mind

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  Месяц назад

      I will try even though I'm not good in English