PART 4: Learn How to Ride a Motorcycle for Beginners//Jifunze Kuendesha Pikipiki

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • ‪@EzekielTv49‬

Комментарии • 15

  • @ShabaniPatrick-ni2tl
    @ShabaniPatrick-ni2tl 18 дней назад

    Ahsante bro

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  18 дней назад

      Support yako kusubscribe na...
      Nashukuru sana

  • @waynejoseph8856
    @waynejoseph8856 18 дней назад

    Good job

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  18 дней назад

      Shukrani sana
      Support yako kusubscribe na kushare

  • @jayharryson4913
    @jayharryson4913 18 дней назад

    Uko vzr mwamba Loud an Clear na vipi nikiwa labda niko kwenye Gia 3 hlf ghafla nikasimama either kwenye foleni natakiwa kuondoka na gia hyo hyo au narudisha kwa Neutral

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  18 дней назад

      Support yako kusubscribe na kushare..
      Rudi mpaka gear namba 1 sababu ndo gear nzuri kwa ajili ya kuondokea,,,ukiwa kwenye gear kubwa pikipiki itakuwa inazima na hivyo utashindwa kuondoka na kujaza foleni,,,hata kwenye taa za barabara ukisimama rudi mpaka gear namba 1..
      Na usipende kuweka neutral ukiwa kwenye foleni au taa Sababu hayo maeneo huwa yanahitaji uwe haraka sana so simama ukiwa kwenye gear namba moja

    • @jayharryson4913
      @jayharryson4913 13 дней назад

      ​​@@EzekielTv49Ok navp kuhusu gear na speed zinahusiana yaan kuna uwezekano hata kama haupo speed kubwa ukamaliza gear au kila gear inatakiwa ubadilishe kutokana na Speed ya Chombo chako
      Nakwenye ubadilishaji wa gia either kwa kupunguza ua kuongeza unatakiwa ubadilishe kila moja kwa mda fulan au inawezekana kushusha mfululizo yaaan ulikuwa 4 ukashusha mfululizo mpk 1ukiwa kwenye mwendo

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  13 дней назад

      @@jayharryson4913 unaweza ukamaliza gear zote na ukawa na speed ndogo ambayo at least 40....
      Na kuhusu kushusha gear unaweza shusha mfululizo hiyo haina shida,,,imagine unaenda kukatiza kwenye kona upo speed 60 na umezimaliza,,,unazipangua tu chapu mpaka 3 au mbili chapu (kama haihitaji usimame,,kama utasimama rudi mpaka 1) ukimaliza kona unaanza kuzipandisha tena kama kuna uhitaji

    • @jayharryson4913
      @jayharryson4913 12 дней назад

      ​@@EzekielTv49Sorry Mzee nishanunua TVS nimeondoka vzr ila kwenye Corner nikiwa napunguza mwendo inazima je nakosea sababu sishiki Clutch au Sivuti mafuta 😂😂imenitesa leo kinoma

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  12 дней назад

      @@jayharryson4913 pole sana,,,tatizo nadhani utakuwa unakata kona na gear kubwa,,,so punguza gear (2 au 3)na jifunze kutembelea half clutch kama nilivyoelekeza kwenye hii video