Uko vzr mwamba Loud an Clear na vipi nikiwa labda niko kwenye Gia 3 hlf ghafla nikasimama either kwenye foleni natakiwa kuondoka na gia hyo hyo au narudisha kwa Neutral
Support yako kusubscribe na kushare.. Rudi mpaka gear namba 1 sababu ndo gear nzuri kwa ajili ya kuondokea,,,ukiwa kwenye gear kubwa pikipiki itakuwa inazima na hivyo utashindwa kuondoka na kujaza foleni,,,hata kwenye taa za barabara ukisimama rudi mpaka gear namba 1.. Na usipende kuweka neutral ukiwa kwenye foleni au taa Sababu hayo maeneo huwa yanahitaji uwe haraka sana so simama ukiwa kwenye gear namba moja
@@EzekielTv49Ok navp kuhusu gear na speed zinahusiana yaan kuna uwezekano hata kama haupo speed kubwa ukamaliza gear au kila gear inatakiwa ubadilishe kutokana na Speed ya Chombo chako Nakwenye ubadilishaji wa gia either kwa kupunguza ua kuongeza unatakiwa ubadilishe kila moja kwa mda fulan au inawezekana kushusha mfululizo yaaan ulikuwa 4 ukashusha mfululizo mpk 1ukiwa kwenye mwendo
@@jayharryson4913 unaweza ukamaliza gear zote na ukawa na speed ndogo ambayo at least 40.... Na kuhusu kushusha gear unaweza shusha mfululizo hiyo haina shida,,,imagine unaenda kukatiza kwenye kona upo speed 60 na umezimaliza,,,unazipangua tu chapu mpaka 3 au mbili chapu (kama haihitaji usimame,,kama utasimama rudi mpaka 1) ukimaliza kona unaanza kuzipandisha tena kama kuna uhitaji
@@EzekielTv49Sorry Mzee nishanunua TVS nimeondoka vzr ila kwenye Corner nikiwa napunguza mwendo inazima je nakosea sababu sishiki Clutch au Sivuti mafuta 😂😂imenitesa leo kinoma
@@jayharryson4913 pole sana,,,tatizo nadhani utakuwa unakata kona na gear kubwa,,,so punguza gear (2 au 3)na jifunze kutembelea half clutch kama nilivyoelekeza kwenye hii video
Ahsante bro
Support yako kusubscribe na...
Nashukuru sana
Good job
Shukrani sana
Support yako kusubscribe na kushare
Uko vzr mwamba Loud an Clear na vipi nikiwa labda niko kwenye Gia 3 hlf ghafla nikasimama either kwenye foleni natakiwa kuondoka na gia hyo hyo au narudisha kwa Neutral
Support yako kusubscribe na kushare..
Rudi mpaka gear namba 1 sababu ndo gear nzuri kwa ajili ya kuondokea,,,ukiwa kwenye gear kubwa pikipiki itakuwa inazima na hivyo utashindwa kuondoka na kujaza foleni,,,hata kwenye taa za barabara ukisimama rudi mpaka gear namba 1..
Na usipende kuweka neutral ukiwa kwenye foleni au taa Sababu hayo maeneo huwa yanahitaji uwe haraka sana so simama ukiwa kwenye gear namba moja
@@EzekielTv49Ok navp kuhusu gear na speed zinahusiana yaan kuna uwezekano hata kama haupo speed kubwa ukamaliza gear au kila gear inatakiwa ubadilishe kutokana na Speed ya Chombo chako
Nakwenye ubadilishaji wa gia either kwa kupunguza ua kuongeza unatakiwa ubadilishe kila moja kwa mda fulan au inawezekana kushusha mfululizo yaaan ulikuwa 4 ukashusha mfululizo mpk 1ukiwa kwenye mwendo
@@jayharryson4913 unaweza ukamaliza gear zote na ukawa na speed ndogo ambayo at least 40....
Na kuhusu kushusha gear unaweza shusha mfululizo hiyo haina shida,,,imagine unaenda kukatiza kwenye kona upo speed 60 na umezimaliza,,,unazipangua tu chapu mpaka 3 au mbili chapu (kama haihitaji usimame,,kama utasimama rudi mpaka 1) ukimaliza kona unaanza kuzipandisha tena kama kuna uhitaji
@@EzekielTv49Sorry Mzee nishanunua TVS nimeondoka vzr ila kwenye Corner nikiwa napunguza mwendo inazima je nakosea sababu sishiki Clutch au Sivuti mafuta 😂😂imenitesa leo kinoma
@@jayharryson4913 pole sana,,,tatizo nadhani utakuwa unakata kona na gear kubwa,,,so punguza gear (2 au 3)na jifunze kutembelea half clutch kama nilivyoelekeza kwenye hii video